KILIMO CHA UMWAGILIAJI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 09. 2017
  • Jifunze manufaa ya kilimo cha umwagiliaji kutoka kwa mtaalamu wa umwagiliaji wa AGRIBUSINESS, kwa vifaa na utaalamu wa umwagiliaji wasiliana na kwa namba hii
    +255 715 044 777
    au tembelea ukura wao wa instagram
    / agribusinestz

Komentáře • 28

  • @user-qs9rn2je4c
    @user-qs9rn2je4c Před 5 lety +2

    hongera Ahsante sana kwa elimu hii

  • @aminamndolwa4150
    @aminamndolwa4150 Před 5 lety +2

    Nice subject..nimekua inspired soon I will be like you congrats broh

  • @tahiachande3898
    @tahiachande3898 Před 6 lety +1

    Okay.... Class taken Mr. Entrepreneur...

  • @mussahokororo485
    @mussahokororo485 Před 6 lety +3

    Thanks alot Mr George Shango for the lesson
    I have gain alot from you

    • @briargrey7515
      @briargrey7515 Před 2 lety

      i know Im randomly asking but does anybody know of a trick to log back into an Instagram account??
      I was stupid lost the login password. I would love any help you can offer me!

  • @emmykharifa1450
    @emmykharifa1450 Před rokem

    kilima Cha mahindi

  • @evaamerika9939
    @evaamerika9939 Před 6 lety +2

    Hongera kaka mungu akubariki

  • @sethmsangwa1413
    @sethmsangwa1413 Před 6 lety

    nakuelewa sana mkuu

  • @wambaamwambaje1272
    @wambaamwambaje1272 Před 6 lety

    Asante kaka

  • @godfreygramsen5910
    @godfreygramsen5910 Před 3 lety

    Naitaji Sana pampu ya uwezo wa kumwagilia ekari 2

  • @heavenlymusicproduction4360

    Thanks

  • @gullaalex6590
    @gullaalex6590 Před 4 lety

    Nimependa Sana kilimo cha umwagiliaji, ila nawaza gharama ya kutengeneza iyo nyumb sijui n kias gani?

  • @dullaali5920
    @dullaali5920 Před 6 lety

    Naomba ushaur.mmepnda mazao mchanyiko takriban aina kumi za miti.juwa linaniathir zaid midimu ndmu znapukutika kwa juwa.ss namba ushaur nn nifnya kuokoa hasara io.

    • @kilimobiashara9361
      @kilimobiashara9361  Před 6 lety +1

      Nadhani ushauri ulikua ndani ya kipindi hiki, tumia matandaza kama inavyoonekana humu kuzuia ukali wa jua, pia pumba za mchele, nyasi au majani ya mti kuzuia upotevu wa maji na ukavu wa udongo

  • @godfreygramsen5910
    @godfreygramsen5910 Před 3 lety

    Vifaa vinapatikana kwenye ofisi zenu

  • @barakayohanasanga3005
    @barakayohanasanga3005 Před 3 lety

    Vifaa vyavkuanzishia kilimo ja drip ilihation vinapatikana wapi?

  • @camilanjau2429
    @camilanjau2429 Před 2 lety

    Where are you located

  • @danyngenda4714
    @danyngenda4714 Před 6 lety

    MM NILIZAN mtu onyesha njisi ya kuconect drip line ,fitter ,main line, tank

  • @MISHIONARYSHUKURU
    @MISHIONARYSHUKURU Před 5 lety

    Hizo drip ni special?

  • @mwachambigeorge7728
    @mwachambigeorge7728 Před 6 lety

    Je nikusema kuwa mtu hawezi fanya ukulima wa kunyunyuzia kwa sehemu yenye mlima?

  • @mahamoudabas8555
    @mahamoudabas8555 Před 6 lety

    nina heka mbil pale ruvu, natafuta nyingine moja, hizo mbil nimenunua lakin sijawai lima bado, pale ruvu kunaniumiza kichwa nn nilime kibiashara?