Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Napenda kilimo chaumwagiliaji
Very clear and informative. Keep it up.
Asante Dr.Silungwe, very informative, very composed! Endelea kutoa elimu hii kwa kufanya topics mbalimbali ambazo ni changamoto hapa nchini.
Naomba kuunganishwa kwenye grump yakilimo cha umwagiliaji.ninachangamoto nyingi shambani niko kwenye kilimo cha mpunga mtomaragarasi .nambegu Nathan hapo sua morogoro. Tunahitaji sana semina ili tuone tija yamafanikio
Naomba namba mhandisi nimependa somo len
Good thing💥
Very well spoken and easy to understand.
Asanteh kwa elimu nzuri
Mada sahihi kwa wakati sahihi hususani katika wakati huu wa mabadiliko ya tabia ya nchi na hali ya hewa.
Good 👍
Asante Dr.festo for good explanation
Madini ya kutosha kutoka Eng.Festo
Nimependa Sana kipindi chenu cha kilimo cha umwagiliaji,mm napenda nipate mawasiliano yenu,mm najiusisha na kilimo cha umwagiliaji
Vizuri
👍
Mm nashid na wot pampu nch 8 naipat wapi sory
Nimesikia umwagiliaji wa matone. Nimevutiwa nao. Naendelea jifunza, kabla sijaamua weka shambani kwangu. Asante kwa elimu hii mnayotoa
Zao gani unatumia
Elimu Bora na inayoeleweka Kwa urahisi sana
Ili kujua ubora wa maji ya kisima cha kuchimba gharama bei gani?
Tunaomba wapimaji wakupata maji sahihi watoe huduma hizo bure kwani kufanikiwa kwangu ndo kutoa ajira kwa wengine
Hongeraaa Sana Dr silungwe kwa elimu nzuriiii keep up the good work.
Nifanyeje Mimi napenda kilimo lakini Sina maji lakini kionzio Cha shamba kipo shamba heka moja narobo
Pia kiujumla shida maji tu
Napenda kilimo chaumwagiliaji
Very clear and informative. Keep it up.
Asante Dr.Silungwe, very informative, very composed! Endelea kutoa elimu hii kwa kufanya topics mbalimbali ambazo ni changamoto hapa nchini.
Naomba kuunganishwa kwenye grump yakilimo cha umwagiliaji
.ninachangamoto nyingi shambani niko kwenye kilimo cha mpunga mtomaragarasi .nambegu Nathan hapo sua morogoro. Tunahitaji sana semina ili tuone tija yamafanikio
Naomba namba mhandisi nimependa somo len
Good thing
💥
Very well spoken and easy to understand.
Asanteh kwa elimu nzuri
Mada sahihi kwa wakati sahihi hususani katika wakati huu wa mabadiliko ya tabia ya nchi na hali ya hewa.
Good 👍
Asante Dr.festo for good explanation
Madini ya kutosha kutoka Eng.Festo
Nimependa Sana kipindi chenu cha kilimo cha umwagiliaji,mm napenda nipate mawasiliano yenu,mm najiusisha na kilimo cha umwagiliaji
Vizuri
👍
Mm nashid na wot pampu nch 8 naipat wapi sory
Nimesikia umwagiliaji wa matone. Nimevutiwa nao. Naendelea jifunza, kabla sijaamua weka shambani kwangu. Asante kwa elimu hii mnayotoa
Zao gani unatumia
Elimu Bora na inayoeleweka Kwa urahisi sana
Ili kujua ubora wa maji ya kisima cha kuchimba gharama bei gani?
Tunaomba wapimaji wakupata maji sahihi watoe huduma hizo bure kwani kufanikiwa kwangu ndo kutoa ajira kwa wengine
Elimu Bora na inayoeleweka Kwa urahisi sana
Hongeraaa Sana Dr silungwe kwa elimu nzuriiii keep up the good work.
Nifanyeje Mimi napenda kilimo lakini Sina maji lakini kionzio Cha shamba kipo shamba heka moja narobo
Pia kiujumla shida maji tu