KILIMO CHA UMWAGILIAJI|MAMBO YA KUZINGATIA|UMUHIMU NA FAIDA ZAKE|KILIMO TANZANIA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 31. 03. 2023
  • Je unafahamu kuhusu kilimo cha umwagiliaji?asili yake?mambo ya kuzingatia,faida na hasara zake.Jifunze kwa Mhandisi Festo Silungwe kwa kina zaidi.

Komentáře • 26

  • @user-kg1se2hp2h
    @user-kg1se2hp2h Před 8 měsíci

    Napenda kilimo chaumwagiliaji

  • @AkwilinTarimo-hw9tk
    @AkwilinTarimo-hw9tk Před rokem +1

    Very clear and informative. Keep it up.

  • @leonardlema1915
    @leonardlema1915 Před rokem

    Asante Dr.Silungwe, very informative, very composed! Endelea kutoa elimu hii kwa kufanya topics mbalimbali ambazo ni changamoto hapa nchini.

  • @kedmonlameck8401
    @kedmonlameck8401 Před 11 měsíci +1

    Naomba kuunganishwa kwenye grump yakilimo cha umwagiliaji
    .ninachangamoto nyingi shambani niko kwenye kilimo cha mpunga mtomaragarasi .nambegu Nathan hapo sua morogoro. Tunahitaji sana semina ili tuone tija yamafanikio

  • @SaidiOmary-qq4ni
    @SaidiOmary-qq4ni Před 3 měsíci

    Naomba namba mhandisi nimependa somo len

  • @yohanamsanga9411
    @yohanamsanga9411 Před rokem

    Good thing
    💥

  • @marykinyaiya8773
    @marykinyaiya8773 Před rokem

    Very well spoken and easy to understand.

  • @gloriajulius9233
    @gloriajulius9233 Před rokem

    Asanteh kwa elimu nzuri

  • @abdulshango2123
    @abdulshango2123 Před rokem +1

    Mada sahihi kwa wakati sahihi hususani katika wakati huu wa mabadiliko ya tabia ya nchi na hali ya hewa.

  • @topbdesigners5650
    @topbdesigners5650 Před rokem

    Good 👍

  • @bensonmwambwelwa-zi8de

    Asante Dr.festo for good explanation

  • @williammubanga2271
    @williammubanga2271 Před rokem

    Madini ya kutosha kutoka Eng.Festo

  • @filbertsulusi8963
    @filbertsulusi8963 Před 9 měsíci

    Nimependa Sana kipindi chenu cha kilimo cha umwagiliaji,mm napenda nipate mawasiliano yenu,mm najiusisha na kilimo cha umwagiliaji

  • @saidMnyanga-yk3rf
    @saidMnyanga-yk3rf Před rokem

    Vizuri

  • @janetmollel1309
    @janetmollel1309 Před rokem

    👍

  • @daudmasawe4459
    @daudmasawe4459 Před rokem

    Mm nashid na wot pampu nch 8 naipat wapi sory

  • @user-yd3zd3jf4n
    @user-yd3zd3jf4n Před rokem

    Nimesikia umwagiliaji wa matone. Nimevutiwa nao. Naendelea jifunza, kabla sijaamua weka shambani kwangu. Asante kwa elimu hii mnayotoa

  • @noeroby233
    @noeroby233 Před rokem

    Elimu Bora na inayoeleweka Kwa urahisi sana

  • @albertmwakisambwe463
    @albertmwakisambwe463 Před 3 měsíci

    Ili kujua ubora wa maji ya kisima cha kuchimba gharama bei gani?

  • @daudimangire4976
    @daudimangire4976 Před 8 měsíci

    Tunaomba wapimaji wakupata maji sahihi watoe huduma hizo bure kwani kufanikiwa kwangu ndo kutoa ajira kwa wengine

  • @noeroby233
    @noeroby233 Před rokem

    Elimu Bora na inayoeleweka Kwa urahisi sana

    • @agnethamsuha-yr9cq
      @agnethamsuha-yr9cq Před rokem

      Hongeraaa Sana Dr silungwe kwa elimu nzuriiii keep up the good work.

    • @jacobndalahwa2992
      @jacobndalahwa2992 Před rokem

      Nifanyeje Mimi napenda kilimo lakini Sina maji lakini kionzio Cha shamba kipo shamba heka moja narobo

    • @jacobndalahwa2992
      @jacobndalahwa2992 Před rokem

      Pia kiujumla shida maji tu