![Kilimo Tanzania](/img/default-banner.jpg)
- 9
- 10 972
Kilimo Tanzania
Registrace 8. 03. 2023
Kilimo Tanzania ni jukwaa la kilimo likibeba uzalishaji mazao,ufugaji wa mifugo na uzalishaji samaki.Lengo kuu ni kuelimisha,na kukupa taarifa zote za kilimo Tanzania.
Jukwaa hili limejikita zaidi katika elimu,uchambuzi,mijadala,mafanikio,tafiti za kilimo pamoja na habari katika sekta hii muhimu.
Jukwaa hili ni kwa ajili ya mnyororo zima wa thamani katika sekta hii nzima na unafaa vijana,wakufunzi,watafiti,wanahabari,
wakulima ,wafanyabiashara na jamii nzima inayopenda kujifunza kuhusu kilimo kwa ujumla.
Jukwaa hili limejikita zaidi katika elimu,uchambuzi,mijadala,mafanikio,tafiti za kilimo pamoja na habari katika sekta hii muhimu.
Jukwaa hili ni kwa ajili ya mnyororo zima wa thamani katika sekta hii nzima na unafaa vijana,wakufunzi,watafiti,wanahabari,
wakulima ,wafanyabiashara na jamii nzima inayopenda kujifunza kuhusu kilimo kwa ujumla.
ZIJUE AINA MBALIMBALI ZA MICHE|MATUNDA|UTUNZAJI|KILIMO
Je unazifahamu aina za miche mbalimbali ya matunda kama vile Maembe,Machungwa,Parachichi nk.Katika episode huu utajifunza aina tofauti za miche ya matunda na namna bora ya utunzaji na uandaaji wa miche hiyo.
Usiasahau kulike video hii,kutuandikia maoni na kisha KUSUBSCRIBE ili uwe mmoja wa wanafamilia ya kilimo Tanzania.
Karibu
Usiasahau kulike video hii,kutuandikia maoni na kisha KUSUBSCRIBE ili uwe mmoja wa wanafamilia ya kilimo Tanzania.
Karibu
zhlédnutí: 261
Video
NJIA RAHISI YA UZALISHAJI MIGOMBA|KILIMO|MBEGU BORA
zhlédnutí 2,3KPřed rokem
Je unajua njia rahisi za uzalishaji miche ya migomba kwa kutumia shina la mgomba?Zijue faida zake hapa na namna rahisi ya kuzalisha miche na mambo muhimu ya kuzingatia.
MASHINE ZA KUCHAKATA MAZAO|KILIMO|MAZAO|THAMANI@Kilimotanzania1
zhlédnutí 256Před rokem
Uzalishaji wa mazao unaenda sambamba na uchakataji ,utunzaji na usindikaji ili kuongeza thamani.Tazama Video hii ili uweze kujifunza zaidi kuhusu mashine mbalimbali zinazoweza kupatikana hapa hapa Tanzania.
AFYA YA MIMEA|MBEGU BORA|KILIMO|SOKOINE
zhlédnutí 191Před rokem
Je unafahamu kuhusu kliniki ya mimea??Unajua umuhimu wa kupima ubora wa mbegu zako kabla ya kuzitumia?Unaweza kuitambua mbegu bora kwa macho??Karibu ujifunze
TAZAMA SAHANI YAKO...CHAKULA SALAMA/SUMU KATIKA VYAKULA NA MAZAO
zhlédnutí 280Před rokem
Je umewahi kusikia kuhusu sumu kwenye chakula??Je unajua njia za kupunguza sumu katika vyakula?Unaamini kuna mchanganyiko wa viambata sumu katika chakula?Majibu ya maswali yako yanapatikana katika video hii. Karibu kutazama na kisha tuandikie maoni ,maswali na mchango wako katika sehemu ya maoni.
KILIMO CHA UMWAGILIAJI|MAMBO YA KUZINGATIA|UMUHIMU NA FAIDA ZAKE|KILIMO TANZANIA
zhlédnutí 5KPřed rokem
Je unafahamu kuhusu kilimo cha umwagiliaji?asili yake?mambo ya kuzingatia,faida na hasara zake.Jifunze kwa Mhandisi Festo Silungwe kwa kina zaidi.
MAZAO YA JAMII YA MIKUNDE|UMUHIMU LISHE NA AFYA
zhlédnutí 413Před rokem
Je unayafahamu mazao ya jamii ya mikunde??unajua faida zaks katika lishe na afya ya mwili wa mwanadamu.Karibu ujifunze kupitia video hii na mtaalamu wa Lishe na Chakula
FAHAMU KUHUSU KILIMO TANZANIA|KILIMO TANZANIA
zhlédnutí 1,7KPřed rokem
Karibu kusikiliza utangulizi wa chaneli yetu ya Kilimo Tanzania hapa utajifunza,utaelimika na kubudurika.
Well done sir .👏🏾👏🏾
Naomba namba mhandisi nimependa somo len
Ili kujua ubora wa maji ya kisima cha kuchimba gharama bei gani?
Tunaomba wapimaji wakupata maji sahihi watoe huduma hizo bure kwani kufanikiwa kwangu ndo kutoa ajira kwa wengine
Napenda kilimo chaumwagiliaji
Naomba namba yako mtaalam
0745207403
Nimependa Sana kipindi chenu cha kilimo cha umwagiliaji,mm napenda nipate mawasiliano yenu,mm najiusisha na kilimo cha umwagiliaji
Nahitaji kupanda maparachici
Naomba kuunganishwa kwenye grump yakilimo cha umwagiliaji .ninachangamoto nyingi shambani niko kwenye kilimo cha mpunga mtomaragarasi .nambegu Nathan hapo sua morogoro. Tunahitaji sana semina ili tuone tija yamafanikio
Mm nashid na wot pampu nch 8 naipat wapi sory
Nimesikia umwagiliaji wa matone. Nimevutiwa nao. Naendelea jifunza, kabla sijaamua weka shambani kwangu. Asante kwa elimu hii mnayotoa
Zao gani unatumia
Somo zuri sana ,asante sana muwezeshaji
Waooh. Kwa platform hii, tushindwe Sisi tu Kwa kutothubutu kwetu. Kwa kifupi, imesheheni madini mengi ambayo ni mtaji mkubwa sana wa kufanikisha kile kinatakiwa. Msiache kutupa vitu hivi🙏🙏🙏
Sante kwa kutupatia elimu Mai WANGU, nakupenda bure tu kichwan umejaa AKILI tupu
Nafanya kilimo lakini tatizo maji pia nambegu nipo kahama shy
Wasiliana nasi kwa 0745207403
Nice content , najifunza
🔥
Go goo my girl ❤️❤️
Asante kwa elimu nzuri miss hekima
Hongereni KILIMO TANZANIA 💚🇹🇿🔥
Congratulations a lot napenda kulima ila mvivu hope utaniispire kuchukua hatua
Asante kwa elimu nzuri miss hekima
Congrats dear Mungu akutunzee
Mada sahihi kwa wakati sahihi hususani katika wakati huu wa mabadiliko ya tabia ya nchi na hali ya hewa.
Somo mujarabu kabisa kwa lishe.
Asanteh kwa elimu nzuri
Good 👍
Elimu Bora na inayoeleweka Kwa urahisi sana
Elimu Bora na inayoeleweka Kwa urahisi sana
Hongeraaa Sana Dr silungwe kwa elimu nzuriiii keep up the good work.
Nifanyeje Mimi napenda kilimo lakini Sina maji lakini kionzio Cha shamba kipo shamba heka moja narobo
Pia kiujumla shida maji tu
Ahsante kwa kuendelea kufuatilia vipindi vyetu. Tunakukaribisha uendelee kulike ,comment,uliza maswali na pia usisahau kusubscribe katika chaneli yetu.
Vizuri
Asante Dr.festo for good explanation
Madini ya kutosha kutoka Eng.Festo
Very well spoken and easy to understand.
Asante Dr.Silungwe, very informative, very composed! Endelea kutoa elimu hii kwa kufanya topics mbalimbali ambazo ni changamoto hapa nchini.
Good thing 💥
Very clear and informative. Keep it up.
👍
Hongera Ma mkubwa😘😘👊👊👌👌👌
🎉maharage,soya,choroko,njegere nakuendeleaa
Wow..❤️ najifunza vingi
Ahsante kwa kutazama video yetu na kutupa maoni.....Usisahau kusubscribe,kucomment,kulike,kushare na rafiki zako na utakua umesogeza elimu hii kwa watu wengi zaidi.
Naitwa Nelson na muliza mtaalamu beatha alishawai kulima.swali lapili marage mekundu yana virutubisho gan neto
Ahsante kwa swali zuri Nelson na karibu sana.Nitajibu swali la pili maharage yana virutubisho vingi sana Yana aina zaidi ya sita za Vitamini,Madini ya chuma,manganese,zinc,potashiamu,calcium,protein,nyuzinyuzi,na lipids
Ndio Nelson Nimeshawahi kulima maharage. Na nimelima maharage ya soya ambayo yana rangi ya kijivu na pia maharage ya njano.
❤❤
Asante Sana kwa somo. Naomba kuuliza, je kuna tofauti kati ya maharage ya njano na Aina nyingine ya maharage? Na utofauti ukoje? Na je ni kweli ya njano yanafaa zaidi kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo?
Ahsante kwa swali lako zuri .Ni kweli kuna aina nyingi za maharage kutokana na asili yake(breeder seed).Ndani ya maharage kuna asidi iitwayo Phytic ambayo ikikutana na madini kama calcium,zinc zilizopo kwenye maharage basi husababisha mtu kupata kiungulia na kujaa gesi na hivyo watu husemi hayafai kwa mtu mwenye vidonda vya tumbo sababu ya kiwango kikubwa cha Asidi.Hivyo basi ili kupunguza kiwango cha asidi inashauriwa kuloweka maharage yako kwa kati ya saa 1_2 kabla ya kupika .Na ikiwa utataka kuloweka zaidi ya masaa 2 basi uyaweke kwenye friji .Maharage ya njano yana kiwango kidogo cha ile asidi hivyo watu wwngi husema yanafaa kwa mgonjwa na ziko aina nyingine kama vile Sua maharage.La muhimu sana ni maandalizi ya maharage kabla ya kuyapika
@@Kilimotanzania1 asante sana
💥🥰
Oneni mambo mazuri kutoka kwa mtaalam wetu aunt mzuri 😂 subscribe,like na kushare tuwafikie watz wote
Congrats mate, the kind of youth the nation is desirable to have👏👏. Courageous, Keep it up👍
Congrats madam hekima I'm proud to have you as my teacher
Congratulations Madame, let's go