Kilimo cha Maharage KINATAJIRISHA BALAA !! Uhakika wa MILLION 5 Kila Baada ya Miezi Minne

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 02. 2024

Komentáře • 9

  • @lwitikomwambogela4276
    @lwitikomwambogela4276 Před měsícem

    Hapo kwenye kipato sio kweli. Kwa ekari ukijitahidi ni gunia 8 mpaka 10 hizo 20 mpaka 30 ni kipato cha hekta 1 ambayo no sawa na ekari 2.5

  • @antipasjohn62
    @antipasjohn62 Před 4 měsíci

    I love it

  • @hassansalimmntjjggk9403
    @hassansalimmntjjggk9403 Před 3 měsíci +1

    Muache uwongo hata upande mbegu za mawe upati gunia hata 10

  • @tumainikandaga2997
    @tumainikandaga2997 Před 3 měsíci

    Ahsante sana kwa elimu.
    Maharage aina gani hayo ya kuvuna gunia 20 mpaka 30?
    Ni mkoa gani apo na wilaya?
    Shukrani

  • @juniormahenge8845
    @juniormahenge8845 Před 4 měsíci

    Naomba kufundishwa kuhusu kilimo Cha maharage

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  Před 4 měsíci

      Wasiliana nasi 0764 148 221

  • @msamgunda7684
    @msamgunda7684 Před 4 měsíci

    Habar.jee,maharage yanaweza kustawi vzur mkowa wa pwani?

  • @rehemahramadhani3428
    @rehemahramadhani3428 Před 5 měsíci

    mkoa gan na heka ngapi hizo

  • @eunicecharles8378
    @eunicecharles8378 Před 4 měsíci

    Mna group la whatsapp?