Mbona mbegu hamsemi mlio tumio
asante kwa kipindi kizuri saaaaana mbarikiwe
Nimefurahi sana na nimependa san hili somo nataman niwe na mm moja kati y wakulima wapunga kw tija na biashara
asante sana kwa elimu zuri ya kilimo.naomba mawasiliano yenu ili na mimi niweze kuwekeka maana napenda sana kilimo cha mpunga lakini elimu ya kulima sina
Safi sana endeleeni kukuza kilimo tz
Asanteni sana wakulima limeni tujekula mjini
asante sana kwa elimu bora..
lakini kuna changamoto kubwa ya soko.. bado bei ya mpunga haipo vizuri.
Naomba na mm mnielekeze
Mmeelezea mafanikio ya wakulima wa mpunga wa kilimo shadidi, hamkueleza au akutoa elimu namna ya ulimaji wa kilimo hicho cha mpunga Kama mnavyotoa elimu kwa mazao mengine.
Mashaa Allaah tuna omba namba zako plz
Nita jifunzanje jamani shadidi mko wapi nateseka Sana na kilimo cha mpunga
Nimependa sana hiki kilimo naomba no zenu za cmu ili nijue mnapatikana wapi nije nipate elimu
mpunga ndio zao la mafanikia zaidi
Tunaomba kuelekezwa jamani kuazia mwazo hadi mwisho
Gharama ya kulimia
Naomba namba zenuu
hongereni Sana nimevutiwa na shadidi,Je ni mkoa gani mzuri kwa kilimo hichi cha shadidi, mwanza VP?
Muhesa nitapata vipi mawasiliano yako
Naomba kupata no zenu
mbona hamtoi namna yakulima mpunga mnatuonyesha historia za watu tu
Documentary inatakiwa ijae action sio maneno jaman
Izi documentary za maneno uwa hazivutii
Naomba contact zenu please?
jamani naoba mawasiliyano yenu napenda kulima ilasinaelimu yakilimo chandidi mimi naichi burundi +257 61387429 whatsapp
Kilimo hicho nibola zaidi kabisa hatamimi nimekipenda mno. Ningependa kuuliza mbegu nitazipata vipi? Maana nahitaji hatamimi kujiendeleze kiuchumi.
Elimu nzuri sana, nawezaje kupata mawasiliano ili na Mimi niwekeze kwenye kilimo hiki?
Nimefurahi sana na nimependa san hili somo nataman niwe na mm moja kati y wakulima wapunga kw tija na biashara
Mko vizuri