Komentáře •

  • @andrewmtabazi5894
    @andrewmtabazi5894 Před 2 měsíci

    Mko vizuri

  • @SahaniKihongwe
    @SahaniKihongwe Před 5 měsíci

    Mbona mbegu hamsemi mlio tumio

  • @irakozemaissarah4325
    @irakozemaissarah4325 Před 5 lety +3

    asante kwa kipindi kizuri saaaaana mbarikiwe

  • @bakariomary4772
    @bakariomary4772 Před 4 lety +1

    Nimefurahi sana na nimependa san hili somo nataman niwe na mm moja kati y wakulima wapunga kw tija na biashara

  • @thomutawai7893
    @thomutawai7893 Před 5 lety +4

    asante sana kwa elimu zuri ya kilimo.naomba mawasiliano yenu ili na mimi niweze kuwekeka maana napenda sana kilimo cha mpunga lakini elimu ya kulima sina

  • @anafisuleimani7083
    @anafisuleimani7083 Před 5 lety +1

    Safi sana endeleeni kukuza kilimo tz

  • @tadeimwaipaja1191
    @tadeimwaipaja1191 Před 5 lety +2

    Asanteni sana wakulima limeni tujekula mjini

  • @christopherlupokela6247
    @christopherlupokela6247 Před 5 lety +2

    asante sana kwa elimu bora..
    lakini kuna changamoto kubwa ya soko.. bado bei ya mpunga haipo vizuri.

  • @MasotaLilaEnock
    @MasotaLilaEnock Před 7 měsíci

    Naomba na mm mnielekeze

  • @kalihovixz3813
    @kalihovixz3813 Před 5 lety +5

    Mmeelezea mafanikio ya wakulima wa mpunga wa kilimo shadidi, hamkueleza au akutoa elimu namna ya ulimaji wa kilimo hicho cha mpunga Kama mnavyotoa elimu kwa mazao mengine.

  • @loveahmed7892
    @loveahmed7892 Před 5 lety +3

    Mashaa Allaah tuna omba namba zako plz

  • @sianaaliko8096
    @sianaaliko8096 Před rokem

    Nita jifunzanje jamani shadidi mko wapi nateseka Sana na kilimo cha mpunga

  • @triplesisa44
    @triplesisa44 Před 4 lety

    Nimependa sana hiki kilimo naomba no zenu za cmu ili nijue mnapatikana wapi nije nipate elimu

  • @salawakishishi7435
    @salawakishishi7435 Před rokem

    mpunga ndio zao la mafanikia zaidi

  • @mariammwambungu3174
    @mariammwambungu3174 Před 3 lety

    Tunaomba kuelekezwa jamani kuazia mwazo hadi mwisho

  • @TuliTweve-ti3fx
    @TuliTweve-ti3fx Před rokem

    Gharama ya kulimia

  • @TuliTweve-ti3fx
    @TuliTweve-ti3fx Před rokem

    Naomba namba zenuu

  • @victorkumenyafilms716
    @victorkumenyafilms716 Před 5 lety +3

    hongereni Sana nimevutiwa na shadidi,Je ni mkoa gani mzuri kwa kilimo hichi cha shadidi, mwanza VP?

  • @danielsanga5198
    @danielsanga5198 Před 5 lety +1

    Muhesa nitapata vipi mawasiliano yako

  • @bensonshao8130
    @bensonshao8130 Před 4 lety

    Naomba kupata no zenu

  • @officialjbk8827
    @officialjbk8827 Před 9 měsíci

    mbona hamtoi namna yakulima mpunga mnatuonyesha historia za watu tu
    Documentary inatakiwa ijae action sio maneno jaman
    Izi documentary za maneno uwa hazivutii

  • @alikarisa
    @alikarisa Před 2 lety

    Naomba contact zenu please?

  • @fidyaline214
    @fidyaline214 Před 4 lety +1

    jamani naoba mawasiliyano yenu napenda kulima ilasinaelimu yakilimo chandidi mimi naichi burundi +257 61387429 whatsapp

  • @ndayitwayekomoise4950
    @ndayitwayekomoise4950 Před 3 lety

    Kilimo hicho nibola zaidi kabisa hatamimi nimekipenda mno. Ningependa kuuliza mbegu nitazipata vipi? Maana nahitaji hatamimi kujiendeleze kiuchumi.

  • @henrybartholomew2447
    @henrybartholomew2447 Před 5 lety +1

    Elimu nzuri sana, nawezaje kupata mawasiliano ili na Mimi niwekeze kwenye kilimo hiki?

  • @bakariomary4772
    @bakariomary4772 Před 4 lety

    Nimefurahi sana na nimependa san hili somo nataman niwe na mm moja kati y wakulima wapunga kw tija na biashara