ALICHOZUNGUMZA LISSU KANDA YA ZIWA AKIPATA URAIS

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 31. 08. 2020
  • Mgombea Urais kupitia tiketi ya chadema Tundu Lisu ametaja maeneo muhimu atakayoyashughulikia kwa mikoa ya kanda ya Ziwa iwapo atashinda Urais kuwa ni kufufua kilimo cha zao la pamba, kuweka mazingira bora ya biashara kwa wamachinga kuboresha sekta ya uvuvi pamoja na bima ya afya kwa kila Mtanzania

Komentáře • 220

  • @annapeter4994
    @annapeter4994 Před 3 lety +4

    Baba hongera sana. Watakuelewa tu mbele ya safari💪💪💪💪💪

  • @samsonpeterlazaro6948
    @samsonpeterlazaro6948 Před 3 lety +3

    Treni siao maendeleo ya nchi au wananchi asante sana lissu

  • @salumungele4594
    @salumungele4594 Před 3 lety +4

    LISU mm napenda Sana kukusikiliza kwasababu unaongea makavu

  • @mathiasmichael715
    @mathiasmichael715 Před 3 lety +5

    Jamani magufuli kasema atampa kazi huyu,ila kwa maoni yangu hafai hata kupewa ofisa tarafa

    • @fishing_story.
      @fishing_story. Před 3 lety +1

      Mbona wew hajakupa

    • @amanibenjamini9637
      @amanibenjamini9637 Před 3 lety

      Magufuli hafai kuwa hata mwenyekiti wa kijiji

    • @mathiasmichael715
      @mathiasmichael715 Před 3 lety

      @@amanibenjamini9637 acha kijitoa ufahamu,mi ntakupa sababu zisizopugua 20, kwann magufuli anafaa kuwa rais,tena kwa zaid ya miaka 30 ijayo,na ntakupa sababu kama hizo kwann lissu hafai hata kuwa diwani,nawe nipe facts kama hizo cyo kuroroma tu,tumieni akili mlizopewa bure na Mungu kujadili issues cyo ushabiki na kupelekwa kama makapi

  • @mosesjohn1825
    @mosesjohn1825 Před 3 lety +3

    Ni yeyeeee

  • @subiraabeid588
    @subiraabeid588 Před 3 lety +3

    mungu tusaidie ili sasa nijanga lingine

  • @felixbenos6365
    @felixbenos6365 Před 3 lety +5

    Hata Wana yanga yeye ndie alitudidimiza kwa kumkalia vibaya manji.

  • @ngiomomoisteven39
    @ngiomomoisteven39 Před 3 lety +2

    Hongera mnyampa

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 Před 3 lety +1

    Kama umesikia sasa mara kumi weka like🧐🧐🧐

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 Před 3 lety +3

    Kura kwa Lissu jamani tule asali na maziwa

  • @somymoivan6199
    @somymoivan6199 Před 3 lety +3

    Kweli ni yeye ✌️✌️✌️

  • @wasafiwasafi734
    @wasafiwasafi734 Před 3 lety +4

    Sema baba wewe ni rais wetu mag lazima tung'oe madarakani

    • @janekikoti2179
      @janekikoti2179 Před 3 lety

      Huyu rais wenu ajaribu 2025 labda atafanikiwa

  • @farajibaswaten7507
    @farajibaswaten7507 Před 3 lety +5

    Sasa!!!sasa!!!sasa!!! Achana na magufuli mnajipiga risasi wenyewe halafu mnamsingizia muheshimiwa ana kazi nyingi za kufanya siyo kishindana mtu kama wewe achana na rais wetu wa wanyonge utalaaniwa na njaa zako

    • @bonifatiusjames5642
      @bonifatiusjames5642 Před 3 lety

      Una mapepo wewe...watu wanavyotekwa na kupgwa risasi huoni au.

    • @rukkysayid6613
      @rukkysayid6613 Před 3 lety

      @@bonifatiusjames5642 naona mapepo unayo ww na huyo kuiongozi wenu tena ana bahari maana angefanya upuuzi huo hizo nchi anazozisifia zina democracy asingekuwepo huyo maana hawataki upuuzi kama huo

    • @saidkhantz2525
      @saidkhantz2525 Před 3 lety

      Ben sanane alitekwa na kuuawa na chadema wenyewe?. Roma alitekwa na chadema? Mo alitekwa na chadema?. Akwilin aliuawa na askari wa chadema?. Usiwe na mapenzi na chama kiasi cha kupitiliza. Chama kinapokosea kiri kuwa chama changu kimekosea. Unakumbuka kuwa nape baada ya kuikosoa kosoa sana serikali alinyooshewa bastola mpaka akamwambia jamaa tulia usifanye hivyo unakichafua chama changu?. Vp nayo ilikuwa ni chadema?. Ccm imefeli sana kwa hii miaka mitano ndugu.

    • @rukkysayid6613
      @rukkysayid6613 Před 3 lety

      @@bonifatiusjames5642 Magufuli atabaki kuwa juu mkipenda msipende hiyo ndiyo habari ya mjini

    • @amanibenjamini9637
      @amanibenjamini9637 Před 3 lety

      @@bonifatiusjames5642 pepo magufuli

  • @muselematiku2100
    @muselematiku2100 Před 3 lety +2

    Sema Baba lisu wambie hao ccm

  • @ezekielaloyce5917
    @ezekielaloyce5917 Před 3 lety +2

    Mmmm hapana wewe nje ni nje uchumi tofauti.

  • @daudgabriel1509
    @daudgabriel1509 Před 3 lety +1

    Tanzania, tofauti na kenya tofauti na america tofauti na china. Kila nchi ina mazingira yake, maisha yanatofautiana, utalatibu unatofautiana, biashara zinatofautiana.

  • @michasonjudge7348
    @michasonjudge7348 Před 3 lety +4

    Ahsanteni sana makamanda lisu baba lao # ni yeye 2020

  • @mawananasoro4405
    @mawananasoro4405 Před 3 lety +2

    Duu unavitoa wapi hivyo vyumba wakati mlikuwa mnaomba kuchangiwa pesa chadema acheni uongo

  • @henryjohn2913
    @henryjohn2913 Před 3 lety +6

    Stand kubwa za mabasi zenye shopping malls na sehemu za machinga na mama ntilie na masoko makubwa mbona yanajengwa mikoa yote na serikali ya magufuli au hamjui

  • @paulnathan58
    @paulnathan58 Před 3 lety +2

    Mmmh! Hapo hakuna 'fiesta' kweli? Mungu yu nawe LISSU!

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 Před 3 lety +1

    Watu wa chache sana hao. Suburi Magufuli aje hapo uone Nyomi la Watu

  • @syliverTV5G
    @syliverTV5G Před 3 lety +3

    MWANZA Ccm

  • @tecnonkwenda8240
    @tecnonkwenda8240 Před 3 lety +2

    Kagera tunateseka tumekopa kahawa miezi 3 imepita

  • @tecnonkwenda8240
    @tecnonkwenda8240 Před 3 lety +1

    Big up H.E president Lissu

  • @michaelmagige4669
    @michaelmagige4669 Před 3 lety +7

    LISU una akili nyingi mno!!! licha ya risasi,Mungu akulinde, hakuna anaweza kuwa na akili nzur,baada kupata matatizo kama ya lisu,Ni Mungu tu!!!

    • @yonamakala8642
      @yonamakala8642 Před 3 lety

      Bigapu sana

    • @rukkysayid6613
      @rukkysayid6613 Před 3 lety

      Kwa akili zipi hana jipya kila kitu kishafanywa😏

    • @mapenzi_tz1511
      @mapenzi_tz1511 Před 3 lety

      Anachooongea wenzake washafanya anafanya kuwadanganya wajinga wake wenyye akili km zake

  • @samwelsimon9278
    @samwelsimon9278 Před 3 lety +1

    Leo atakujenga akuna cement sh 16000 maguli alikuta 14000 usiseme sukari wala nini alafu mkulima ndo kapotezewa mfugaji nikunyanganywa hata hizo mifugwa nani hajui ndiyo Tanzania yawanyonge ya magufuli Leo anataka kura Tena siyo ombi lazima ashinde

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 Před 3 lety +1

    Wanakubeza hapo. Tunakusubir kwenye sanduku la KURA

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 Před 3 lety

    Serikali yako ya Belgique 🇧🇪 indeed

  • @hajikadoma1652
    @hajikadoma1652 Před 3 lety +1

    kwahiyo ww unawapenda wajelumani ww unaupenda uvuvihalam ww hauna uwezo wakuwa nautawala wahaki bali unatetea tumbolako kwajili umetumwa utuchochee ili tupigane na kwa taalifayako ss watu wapwani hautudanganyi wadanganye waukouko kanda ya ziwa wasio jielewa ss hautu ganganyi amakweli watu wa kanda yaziwa hamna shulani memayote mnayo tendewa na magufuli lakini bado mna mshangilia mtu anae wapotosha ila mjue mungu anawaona kumbukeni uyo anawapotosha mlijueilo

  • @isaacmwansile5091
    @isaacmwansile5091 Před 3 lety +2

    Naona Kama unanizingua

    • @rukkysayid6613
      @rukkysayid6613 Před 3 lety

      Wala usiseme maana natamani nimtie kibao lkn ndiyo yuko kwenye tv😏

  • @simonmsola3423
    @simonmsola3423 Před 3 lety

    Du,! Miji mikuu yote ya Dunia hii,!!!!azijengeeee daaaah,,!!

  • @simongitting6562
    @simongitting6562 Před 3 lety +2

    Ccm oyeeeeeeeehhhhh

  • @mangobase
    @mangobase Před 3 lety +1

    Walio changa mbona hukuwapa risit uongo wa kitoto kweli....🙄

  • @MrAmcho
    @MrAmcho Před 3 lety +3

    huyu jamaa mpumbavu sana. hajui jinsi ya hizi nchi za nje zilizoendelea huwa kwanini zinaendelea. watu wote huku kama unafanya kazi au una biashara lazima ulipe tax. hiyo hela inayo patikan kwenye tax ndio innayo endesha nchi. Mmiliki wa mall analilipia tax hilo mall, muuza biashara kwenye hilo mall analipia tax biashara yake (juu yake na kodi ya mlango) na mnunuaji analipia tax kwa alichikinunua. Sasa leo unasema ukipata urais, wamachinga hawatolipa tax ya elfu 20 kwa mwaka, lakini unataka wajekulipa kodi ya mlango ambayo itaweza kufika hata laki moja, ambayo inakwenda moja kwa moja kwa muekezaji wa mall. sasa hebu anifahamishe nchi itatengeneza pisa vipi? atamkata kodi ya kiasi gani huyo muekezaji? na hii plan yake itawasaidia vipi hao wamachinga maana watakua wanalipa 1.2million kwa mwaka kwa kodi ya mlango kutoka elfu 20 kwa mwaka kwa tax. Nahsangaa sana hao watu waliohudhuria wanashangiria upumbavu usiotaka tochi kama huu.

    • @rukkysayid6613
      @rukkysayid6613 Před 3 lety

      Kwa sababu hawajuwi kitu maskin wao wanashangiria tu cc tulokuwa huku nnje ndiyo tunayaona hakuna cha bure ulipe tax pamoja na national insurance

    • @sera.8bomani502
      @sera.8bomani502 Před 3 lety

      20,000 kwa mwaka ...

    • @mapenzi_tz1511
      @mapenzi_tz1511 Před 3 lety

      Watanzania wengi hatujatembelea nchi za nje na pia hatufutiliiivitu wengiwetu kufuata mkumbo tu yaani Anaenda kuwapiga ela watajuta na watamkumbuka Magu watalia na kusaga meno chamachenyewe icho wezi watupu

  • @daudimakaya9240
    @daudimakaya9240 Před 3 lety +4

    Hizi sera mbona kama za kwenye ndio mzee ya prof jay

  • @drichyrichard740
    @drichyrichard740 Před 3 lety +1

    naipnda chadeeeeemaaaa

  • @arthurisacksuka5369
    @arthurisacksuka5369 Před 3 lety +1

    Mmmmh mmmmh haya bhana kura itaamua

  • @ayubujackson6994
    @ayubujackson6994 Před 3 lety +2

    Uchiz unao

  • @benyavan5774
    @benyavan5774 Před 3 lety +5

    Jamaa anaongea kama anaongea na watu hawajaenda shule

  • @fikirigesen1655
    @fikirigesen1655 Před 3 lety

    Unatumiaa pesa nyingi unawakata wanafunzi wa vyuo vikuu pesa ili muwalipe wasanii na mbebe watu kwenye malori ccm mungu anawaona

  • @haridimpelengana1246
    @haridimpelengana1246 Před 3 lety

    Safi

  • @sammangwana4523
    @sammangwana4523 Před 3 lety +1

    Yaaani Lisu ni Muongo, c tunaishi nje na Bima tunalipa, na kama huna Bima hakuna atakayekutibu.

    • @mathiaszakaria7052
      @mathiaszakaria7052 Před 3 lety

      Upo nje ya wapi

    • @hafidhibakari4832
      @hafidhibakari4832 Před 3 lety

      Nikweli Sam ulaya wnajali sna Kodi kuliko chochote Ila tz hatusomi hatufatilii tunadanganywa dah sawa lakin.

  • @sammangwana4523
    @sammangwana4523 Před 3 lety +2

    Ela izo utazitoa wapi za kujenga Malls, none sense

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Před 3 lety

      Mtanyooka tu mwaka huu

    • @sammangwana4523
      @sammangwana4523 Před 3 lety

      @@emmapaul1766 wapiga kura sio wanaokusanyika kwenye mikutano ndo shida kubwa

  • @mwarobainmchung3512
    @mwarobainmchung3512 Před 3 lety +1

    Mim naona kama hali ndo ivi naona bora kuwe na chama kimoja tu tanzania sio kwa presha tunazopata kuhusu huyu jamaa lisu hana akil hata kidog

    • @zakayosanga2499
      @zakayosanga2499 Před 3 lety

      Wee unaakili

    • @mwarobainmchung3512
      @mwarobainmchung3512 Před 3 lety

      @@zakayosanga2499 wew na lisu wenu ni matahila bhana

    • @stevenramadhan6768
      @stevenramadhan6768 Před 3 lety

      @@mwarobainmchung3512 mume wenu kashikwa pabaya mnalo

    • @stevenramadhan6768
      @stevenramadhan6768 Před 3 lety

      na bado wehu nyie
      kati ya lisu na magufuli nani anaonekana hana akili hata kwenye kampeni zake
      et nipeni uris nitampa lisu kazi
      lissu anataka kutupa watanzania kazi

    • @mwarobainmchung3512
      @mwarobainmchung3512 Před 3 lety

      @@stevenramadhan6768 hahaha pigen umbea na majungu mkimaliza mtupishe tupige kazi alafu muwe mnakaa barabaran kutuomba omba pumbavu nyie

  • @hajikadoma1652
    @hajikadoma1652 Před 3 lety +3

    nanyie mliokuwa waelewa wa kanda yaziwa mjitahidi kuwaelimisha wananchiwenzeni kua uyo lisu anawapotosha

  • @yassinimohamed4014
    @yassinimohamed4014 Před 3 lety +1

    ✌✌✌✌

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 Před 3 lety +1

    yaaani unapogia debe foreigner.haha umeanza kuwabeza waliokutuma eti

  • @mangobase
    @mangobase Před 3 lety +4

    Hizi akili akipewa nchi hakianani itakua porojo tu

  • @bernardinaa7565
    @bernardinaa7565 Před 3 lety +3

    Magufuri hoyeee

  • @sulekibombwe1367
    @sulekibombwe1367 Před 3 lety +1

    lissu

  • @eliyatango3624
    @eliyatango3624 Před 3 lety

    Ujitetee kwa akili sana kamand

  • @ezekielaloyce5917
    @ezekielaloyce5917 Před 3 lety +2

    Hela unazitoa wapi wewe nyamaza tu huna chochote mzee baki kimya upewe nafasi tu serikalini baada ya magufuli kupita . Utaenda njee tunajua .

    • @yohanaevance9784
      @yohanaevance9784 Před 3 lety

      Lisu ndiye kiongozi sahihi magu mpiga dili tu

    • @rukkysayid6613
      @rukkysayid6613 Před 3 lety

      @@yohanaevance9784 subutuuuu unaota wewe au

    • @yohanaevance9784
      @yohanaevance9784 Před 3 lety

      @@rukkysayid6613 huo ndio ukwl maana vitu vinaonekana, mwenyewe unaona umati huo, wkt mlishasemaga kuwa upinzani umekufa, watu waliamua kukaa kimya tu, lkn ccm ni chama ambacho hakifai kimeiba sana fedha za umma

    • @rukkysayid6613
      @rukkysayid6613 Před 3 lety

      @@yohanaevance9784 🤔🤔angalia clip za Luwasa wtu walikuwa kuliko hao matoke yake nn ,wingi wa wtu sio kushinda wengine wamesogea hapo kwa yao sio kwa ajili yake

    • @rukkysayid6613
      @rukkysayid6613 Před 3 lety

      @@yohanaevance9784 na hata kama anaiba na maendeleo tunayaona au ww mwenzetu huoni nikutumie👓

  • @samhadas8009
    @samhadas8009 Před 3 lety +1

    Wacha uongo

  • @oswadlujombo7542
    @oswadlujombo7542 Před 3 lety +1

    Apo xaxa uwongo mtarajiwa

  • @chuwafamily496
    @chuwafamily496 Před 3 lety +4

    Mi naona risasi alizopigwa zilimfyetua akili huyu mtu kwakuwa hajielewi anachozungumza hata kidogo

    • @ukweliunauma4570
      @ukweliunauma4570 Před 3 lety

      Zimemfanya awe na akili nyingi

    • @salimouazir3506
      @salimouazir3506 Před 3 lety

      Pinga hojazake kichwa maji wewe

    • @rukkysayid6613
      @rukkysayid6613 Před 3 lety

      @@ukweliunauma4570 alokwambia nani na barabara anapita hizo hizo na ndiyo zinamrahisishia kazi ya kwenda huku na huku angepata taabu sana na hali yake

    • @ukweliunauma4570
      @ukweliunauma4570 Před 3 lety

      @@rukkysayid6613 acha ujinga sio pesa za ccm au magufuli ni pesa zetu walipa kodi, soma kwanza usifate ushabiki tu. Usifate msiki wa diamond tu harmonize

    • @rukkysayid6613
      @rukkysayid6613 Před 3 lety

      @@ukweliunauma4570 😏lako hilo sasa yy c anasema wananchi wanadhulumiwa sasa ingekuwa c utaratibu wa hizo kodi barabara zingetengenezwa vipi sasa na nchi zote kodi za wananchi ndiyo maendeleo ya nchi sikatai lkn yy anapinga kila kitu huo ndiyo ujinga siyo mm

  • @conasmalale1073
    @conasmalale1073 Před 3 lety

    Napita tu

  • @amiryshomary3901
    @amiryshomary3901 Před 3 lety +2

    NA VIPI KUHUSU SGR INAYOJENGWA NA SERIKALI YA MAGUFULI UNATAKA KUSEMAJE?

    • @ukweliunauma4570
      @ukweliunauma4570 Před 3 lety +1

      Haisaidii kitu ikiwa watu hawako huru na wanapotea potea

    • @amiryshomary3901
      @amiryshomary3901 Před 3 lety

      @@ukweliunauma4570 SASA HAO WATU WANAPOTEZWA NA NANI?

    • @ukweliunauma4570
      @ukweliunauma4570 Před 3 lety

      @@amiryshomary3901 jiulize na serekali haifanyi kitu , wana polisi usalama na kila kitu wako kimnya

    • @TANZANIAALERT
      @TANZANIAALERT Před 3 lety +1

      atavunja

    • @amiryshomary3901
      @amiryshomary3901 Před 3 lety

      @@ukweliunauma4570 KAKA KATIKA HAYA MAMBO YA KISIASA INATAKIWA UWE MAKINI SANA,,,,LA SIVYO UTAJIKUTA UNAAMINISHWA UONGO,,,FUATILIA KWA MAKINI SIASA ZA UPINZANI HASA KIPINDI HIKI CHA KAMPENI UTAJIFUNZA KITU...NA UKIPATA MUDA GOMBEA NAFASI ZA UONGOZI UTAGUNDUA VITI VINGI SANA.

  • @saluwonderscotto9883
    @saluwonderscotto9883 Před 3 lety +3

    Magufuli baba lenu

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 Před 3 lety

    toa sera acha maneno

  • @adammbuba7357
    @adammbuba7357 Před 3 lety +3

    CCM oyeee

  • @samweliisack7779
    @samweliisack7779 Před 3 lety

    nondo bizo

  • @samhadas8009
    @samhadas8009 Před 3 lety +2

    Tunalipa hela nyingi sana huku ulaya kwa ajili ya bima ya afya wacha uongo

    • @salimouazir3506
      @salimouazir3506 Před 3 lety

      Mkundu ulaya unakujua?

    • @TANZANIAALERT
      @TANZANIAALERT Před 3 lety

      kabisa muongo sana mie nalipa euro 45 kila mwezi kwa hinayana afya na ndio wameendelea. jumuiya GP euro 60 au wenye health card hawalali GP. lakini kama unaandikwa dawa unalipa elfu tano

  • @yonamakala8642
    @yonamakala8642 Před 3 lety +4

    Tundu lisu unafaa sana baba ss tupo pamoja nawe

  • @modestylucas4087
    @modestylucas4087 Před 3 lety +2

    Muda umekaribia wa Mapinduzi ya Kisiasa Tanzania Lissu anatengeneza njia

  • @anonmgoo7960
    @anonmgoo7960 Před 3 lety +4

    Magufuli juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh!! 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @amiryshomary3901
    @amiryshomary3901 Před 3 lety +1

    MUONGO HAKUNA BIMA YA MILIONI 9 TZ ?

    • @salimouazir3506
      @salimouazir3506 Před 3 lety

      Hujui kwakua ni kikundi kimoja cha wezi utajua vipi shida za watu?mkundu wewe na mama yako

    • @amiryshomary3901
      @amiryshomary3901 Před 3 lety

      @@salimouazir3506 SASA KUNITUKANA UMEJIONGEZEA KITU GANI KATIKA MAISHA YAKO?....

    • @mapenzi_tz1511
      @mapenzi_tz1511 Před 3 lety

      @@amiryshomary3901 hawana sela Ingekuwa watu wanalipa iyo atabunge lisiongelee. Inamaaana kulipa bima nisiri au?, wamepata mgpmbea kichaaa hatariii

  • @mtanzaniahuru6203
    @mtanzaniahuru6203 Před 3 lety +3

    Hakuna serikali inayo jiendesha duniani bila kodi.
    Utauwezaje urais kama jimbo lenyewe limekushinda hahahahahaaaaa unachekesha sanaa japo mimi nakuona kituko sana

    • @mathiaszakaria7052
      @mathiaszakaria7052 Před 3 lety +2

      Jimbo limemshinda au amenyang'anywa? Endelea kujichekesha ila #Niyeye

    • @hafidhibakari4832
      @hafidhibakari4832 Před 3 lety

      @@mathiaszakaria7052 jitambue ndugu wakolon walijenga reli kwa lengo la kubeba lasilimali zetu Ila wa Africa bado tumelala tu na lisu atatupeleka pabaya siasa sio ushabiki wa tz wengi tunaushabiki tu hatufatilii na hatusomi .

    • @isayajoseph6055
      @isayajoseph6055 Před 3 lety +1

      Kul yko moja aita mludisha john ikulu na iyo kula yko moja aitamfany lisu awe rais ko kama una point tuliza mxhono

    • @isayajoseph6055
      @isayajoseph6055 Před 3 lety

      @@hafidhibakari4832 alo kwambia magu katupeleka Pazur nani usifanye kitu kutaka kujibiwa ata usipo piga kula iyo kula yko moja aito saidia kitu kowetuliza kiwashel😂😂😂

  • @haruniblackson390
    @haruniblackson390 Před 3 lety +2

    Lisu baba lao

  • @sammangwana4523
    @sammangwana4523 Před 3 lety

    Iyo Bima ni bure au?

  • @mangobase
    @mangobase Před 3 lety

    czcams.com/video/XGrMO9FpeYM/video.html
    Kazi ipo

  • @abassmchonjo6635
    @abassmchonjo6635 Před 3 lety

    Kwakuongea.namkubali.magufuli.aonindani

  • @moureenkirundwa8691
    @moureenkirundwa8691 Před 3 lety +1

    Jmn wana mcc humu mmetafta nn, nyinyi jiandaen kuwaengua wagombe wa ubunge na udiwan, ss hv zamu ya wapi?

  • @watwegopnina6480
    @watwegopnina6480 Před 3 lety

    200000÷12 ........

  • @fikirigesen1655
    @fikirigesen1655 Před 3 lety

    Hakuna malorii hapooo wala kina mondi

  • @daudpaulo2867
    @daudpaulo2867 Před 3 lety +2

    Wewe mzee losu na wewe mkweli Sana duuu

  • @hajikadoma1652
    @hajikadoma1652 Před 3 lety +3

    magufuli ndo kilakitu

  • @nicethamanonga5855
    @nicethamanonga5855 Před 3 lety +2

    Ujinga mtupu kwa hiyo uvuvi haramu ukizuiliwa ni kosa? Wapi utaweza kuhudumia wtz wote bila mchango wao kama siyo kutudanganya .bila watu kuchangia chochote wewe pesa utazitoa wp acha kudanganya na kupotosha watu kujiandaa kupiga uvivu wakitegemea kuwa utawapatia huduma zote bila kufanya kazi.ccm oyeeeeeeee piga kazi upate mafanikio

    • @zacchaeusnzella7394
      @zacchaeusnzella7394 Před 3 lety +1

      Nadhani Lissu anachomaanisha Ni Hiki...Badala ya Kuwakamata wavuvi na Nyavu zile zinazovua Samaki Wadogo na Kuzichoma Na Pengine Kwa Wavuvi Kupewa Faini...Serikali inapaswa Iwe ya Kwanza Kuzuia Uuzwaji wa Vyavu Hizo na Hiyo ndio kuzuia uvuvi haramu ...Hiyo ndio itakuwa Tiba ya tatizo Haswa na Vyavu zinazokubalika Ndio ziuzwe pekee, Hapa Uvuvi utakuwa Halali wala Unyang'aji hautosikika.....

    • @AK-is9xi
      @AK-is9xi Před 3 lety +1

      @@zacchaeusnzella7394 ndivyo alivyomaanisha hasa

    • @zacchaeusnzella7394
      @zacchaeusnzella7394 Před 3 lety

      @@AK-is9xi Hyesss Sister

  • @syliverTV5G
    @syliverTV5G Před 3 lety +2

    Magu yupo juu

  • @fidelslick2086
    @fidelslick2086 Před 3 lety +3

    Huyu Lissu anawadanganya tu yaani nyie munashangilia uwongo wake, Anawapenda wazungu sio watanzania kueni makini musije kujutia

  • @mohammedsembi8408
    @mohammedsembi8408 Před 3 lety

    Ŕuu

  • @zakariaibrahim9895
    @zakariaibrahim9895 Před 3 lety

    Anataka kuuza nchi sasa 🤣🤣🤣

  • @sayunipentecostelikambamab7926

    People ssssssss

  • @eliasmsikite1660
    @eliasmsikite1660 Před 3 lety +3

    Duh kumbe huyu mtu nahis Ana vyeti feki maana mtu mwenye elimu hawez kuongea hiv

  • @faustinikatemi4177
    @faustinikatemi4177 Před 3 lety +2

    Mipango siyo matumizi ukiwa huna Kila kitu utajifanya unakijua lakni wewe piga tu kelele zako

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 Před 3 lety +2

    MWANZA ni CHADEMA mtupu

  • @sammangwana4523
    @sammangwana4523 Před 3 lety +2

    Kwa iyo wavue kiholela

    • @hafidhibakari4832
      @hafidhibakari4832 Před 3 lety +1

      Sam was tz shida sna watu walikuwa wanatumia sum mabom kweli sekali ipo tu Mambo ya ajabu sna yalikuwa yanafanyika tz ndio maana Kenya walituacha sna.

    • @sammangwana4523
      @sammangwana4523 Před 3 lety

      @@hafidhibakari4832 kabisa kaka na nakuelewa vizuri unachosema. Watu shida kweli kaka.

  • @historicorner2182
    @historicorner2182 Před 3 lety +1

    Mwananchi mnazingua, mkitaka kuonyesha watu waliohuzuliwa, mnaonyesha blur, ili watu wasione kuwa jamaa anasapot kutoka kwa wananchi

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 Před 3 lety +1

    hana sera kuruhusu uvuvi haramu tena unaturudisha nyuma tulikotoka

  • @henedaidha5600
    @henedaidha5600 Před 3 lety +2

    Chukua ruzuku kura hatukupi

  • @1carbon676
    @1carbon676 Před 3 lety

    Sawa baba wambiye kweli kila kitu makufuli utafikiri yeye ndokazisha TANZANIA

  • @ihanomadili
    @ihanomadili Před 3 lety +3

    Kigeugeu wewe,

  • @lawjoseph6590
    @lawjoseph6590 Před 3 lety +1

    Unawaongopea wasiojierewa

  • @mozakhamis7253
    @mozakhamis7253 Před 3 lety +3

    Huyo anaye sema huyo Jamaa ni mpumbavu huenda yeye ni kichaa anatakiwa kupimwa akili zake

  • @mosesmussa3669
    @mosesmussa3669 Před 3 lety +1

    Wewe Tundu LISU acha ujinga,Magufuli ndio kila kitu,wewe hufai kuwa kiongoz katika nchi hii

  • @rassimbaengswahili6191
    @rassimbaengswahili6191 Před 3 lety +4

    Huyu jamaa ni mpuuzi hata simuelewi huyu mpumbavu

    • @AK-is9xi
      @AK-is9xi Před 3 lety +1

      Na ninani kwani aliekwambia umuelewe??

    • @duoxmasisa6529
      @duoxmasisa6529 Před 3 lety

      Ujue kichwa yako itakuwa mbovu,hizo zote #logic,ukifikiria vzuri utagundua shida ya #MwlNyerere haikuwa miundombinu ila nikitu kingine kbs je ni kipi? Tafakari

    • @janekikoti2179
      @janekikoti2179 Před 3 lety

      Huyu mtu anataka aingie tu ikulu hayo anayosema hapo ni uongo mtupu nyie ndo matapeli mnataka kutuletea vita tu

    • @AK-is9xi
      @AK-is9xi Před 3 lety

      @@janekikoti2179 weee ulitaka aingie chooni sio!!!

  • @daudpaulo2867
    @daudpaulo2867 Před 3 lety +2

    Ukiwa Mh rais tunaweza kua nchi bora Sana mana unajua istoria wewe jembe Ila Uber utusemei tunatabika madereva

  • @anthonyzambi4415
    @anthonyzambi4415 Před 3 lety +2

    LISSU NI "MUUJIZA WA MWENYEZI MUNGU UNAOISHI "

  • @rassimbaengswahili6191
    @rassimbaengswahili6191 Před 3 lety +1

    Mbona na nyie mmewanyang’anya watu pesa zao kwa kisingizio cha kuchangia harakati za chama, je nyie mmewapa risti wachangiaji wa harakati? Acheni utopolo nyie

  • @casmilelisha8300
    @casmilelisha8300 Před 3 lety +1

    Huyu jamaa tapel wa kisiasa aiseee ukimsikiliza porojo tupu

  • @raphaelsamwel2640
    @raphaelsamwel2640 Před 3 lety +2

    Magu kasema umuachie agombee atakupa vikazi vidogovidogo serikalini!!! Siyo rushwa hiyo?? Kumbe wale wabunge waunga juhudi na akna katambi uuuuuuwiiiiih! Huyu bwana zao la manuva!