ALICHOZUNGUMZA LISSU KANDA YA ZIWA AKIPATA URAIS
Vložit
- čas přidán 31. 08. 2020
- Mgombea Urais kupitia tiketi ya chadema Tundu Lisu ametaja maeneo muhimu atakayoyashughulikia kwa mikoa ya kanda ya Ziwa iwapo atashinda Urais kuwa ni kufufua kilimo cha zao la pamba, kuweka mazingira bora ya biashara kwa wamachinga kuboresha sekta ya uvuvi pamoja na bima ya afya kwa kila Mtanzania
Baba hongera sana. Watakuelewa tu mbele ya safari💪💪💪💪💪
Treni siao maendeleo ya nchi au wananchi asante sana lissu
LISU mm napenda Sana kukusikiliza kwasababu unaongea makavu
Jamani magufuli kasema atampa kazi huyu,ila kwa maoni yangu hafai hata kupewa ofisa tarafa
Mbona wew hajakupa
Magufuli hafai kuwa hata mwenyekiti wa kijiji
@@amanibenjamini9637 acha kijitoa ufahamu,mi ntakupa sababu zisizopugua 20, kwann magufuli anafaa kuwa rais,tena kwa zaid ya miaka 30 ijayo,na ntakupa sababu kama hizo kwann lissu hafai hata kuwa diwani,nawe nipe facts kama hizo cyo kuroroma tu,tumieni akili mlizopewa bure na Mungu kujadili issues cyo ushabiki na kupelekwa kama makapi
Ni yeyeeee
mungu tusaidie ili sasa nijanga lingine
Hata Wana yanga yeye ndie alitudidimiza kwa kumkalia vibaya manji.
Hongera mnyampa
Kama umesikia sasa mara kumi weka like🧐🧐🧐
Kura kwa Lissu jamani tule asali na maziwa
Kweli ni yeye ✌️✌️✌️
People xx power
Sema baba wewe ni rais wetu mag lazima tung'oe madarakani
Huyu rais wenu ajaribu 2025 labda atafanikiwa
Sasa!!!sasa!!!sasa!!! Achana na magufuli mnajipiga risasi wenyewe halafu mnamsingizia muheshimiwa ana kazi nyingi za kufanya siyo kishindana mtu kama wewe achana na rais wetu wa wanyonge utalaaniwa na njaa zako
Una mapepo wewe...watu wanavyotekwa na kupgwa risasi huoni au.
@@bonifatiusjames5642 naona mapepo unayo ww na huyo kuiongozi wenu tena ana bahari maana angefanya upuuzi huo hizo nchi anazozisifia zina democracy asingekuwepo huyo maana hawataki upuuzi kama huo
Ben sanane alitekwa na kuuawa na chadema wenyewe?. Roma alitekwa na chadema? Mo alitekwa na chadema?. Akwilin aliuawa na askari wa chadema?. Usiwe na mapenzi na chama kiasi cha kupitiliza. Chama kinapokosea kiri kuwa chama changu kimekosea. Unakumbuka kuwa nape baada ya kuikosoa kosoa sana serikali alinyooshewa bastola mpaka akamwambia jamaa tulia usifanye hivyo unakichafua chama changu?. Vp nayo ilikuwa ni chadema?. Ccm imefeli sana kwa hii miaka mitano ndugu.
@@bonifatiusjames5642 Magufuli atabaki kuwa juu mkipenda msipende hiyo ndiyo habari ya mjini
@@bonifatiusjames5642 pepo magufuli
Sema Baba lisu wambie hao ccm
Mmmm hapana wewe nje ni nje uchumi tofauti.
Tanzania, tofauti na kenya tofauti na america tofauti na china. Kila nchi ina mazingira yake, maisha yanatofautiana, utalatibu unatofautiana, biashara zinatofautiana.
Ahsanteni sana makamanda lisu baba lao # ni yeye 2020
Duu unavitoa wapi hivyo vyumba wakati mlikuwa mnaomba kuchangiwa pesa chadema acheni uongo
Stand kubwa za mabasi zenye shopping malls na sehemu za machinga na mama ntilie na masoko makubwa mbona yanajengwa mikoa yote na serikali ya magufuli au hamjui
Mmmh! Hapo hakuna 'fiesta' kweli? Mungu yu nawe LISSU!
Watu wa chache sana hao. Suburi Magufuli aje hapo uone Nyomi la Watu
MWANZA Ccm
Kagera tunateseka tumekopa kahawa miezi 3 imepita
Big up H.E president Lissu
LISU una akili nyingi mno!!! licha ya risasi,Mungu akulinde, hakuna anaweza kuwa na akili nzur,baada kupata matatizo kama ya lisu,Ni Mungu tu!!!
Bigapu sana
Kwa akili zipi hana jipya kila kitu kishafanywa😏
Anachooongea wenzake washafanya anafanya kuwadanganya wajinga wake wenyye akili km zake
Leo atakujenga akuna cement sh 16000 maguli alikuta 14000 usiseme sukari wala nini alafu mkulima ndo kapotezewa mfugaji nikunyanganywa hata hizo mifugwa nani hajui ndiyo Tanzania yawanyonge ya magufuli Leo anataka kura Tena siyo ombi lazima ashinde
Wanakubeza hapo. Tunakusubir kwenye sanduku la KURA
Serikali yako ya Belgique 🇧🇪 indeed
kwahiyo ww unawapenda wajelumani ww unaupenda uvuvihalam ww hauna uwezo wakuwa nautawala wahaki bali unatetea tumbolako kwajili umetumwa utuchochee ili tupigane na kwa taalifayako ss watu wapwani hautudanganyi wadanganye waukouko kanda ya ziwa wasio jielewa ss hautu ganganyi amakweli watu wa kanda yaziwa hamna shulani memayote mnayo tendewa na magufuli lakini bado mna mshangilia mtu anae wapotosha ila mjue mungu anawaona kumbukeni uyo anawapotosha mlijueilo
Kadoma wamekuelewa wamekusikia Ila binadam Hana fadhila.
Naona Kama unanizingua
Wala usiseme maana natamani nimtie kibao lkn ndiyo yuko kwenye tv😏
Du,! Miji mikuu yote ya Dunia hii,!!!!azijengeeee daaaah,,!!
Ccm oyeeeeeeeehhhhh
Wewe aibu unayo
Walio changa mbona hukuwapa risit uongo wa kitoto kweli....🙄
huyu jamaa mpumbavu sana. hajui jinsi ya hizi nchi za nje zilizoendelea huwa kwanini zinaendelea. watu wote huku kama unafanya kazi au una biashara lazima ulipe tax. hiyo hela inayo patikan kwenye tax ndio innayo endesha nchi. Mmiliki wa mall analilipia tax hilo mall, muuza biashara kwenye hilo mall analipia tax biashara yake (juu yake na kodi ya mlango) na mnunuaji analipia tax kwa alichikinunua. Sasa leo unasema ukipata urais, wamachinga hawatolipa tax ya elfu 20 kwa mwaka, lakini unataka wajekulipa kodi ya mlango ambayo itaweza kufika hata laki moja, ambayo inakwenda moja kwa moja kwa muekezaji wa mall. sasa hebu anifahamishe nchi itatengeneza pisa vipi? atamkata kodi ya kiasi gani huyo muekezaji? na hii plan yake itawasaidia vipi hao wamachinga maana watakua wanalipa 1.2million kwa mwaka kwa kodi ya mlango kutoka elfu 20 kwa mwaka kwa tax. Nahsangaa sana hao watu waliohudhuria wanashangiria upumbavu usiotaka tochi kama huu.
Kwa sababu hawajuwi kitu maskin wao wanashangiria tu cc tulokuwa huku nnje ndiyo tunayaona hakuna cha bure ulipe tax pamoja na national insurance
20,000 kwa mwaka ...
Watanzania wengi hatujatembelea nchi za nje na pia hatufutiliiivitu wengiwetu kufuata mkumbo tu yaani Anaenda kuwapiga ela watajuta na watamkumbuka Magu watalia na kusaga meno chamachenyewe icho wezi watupu
Hizi sera mbona kama za kwenye ndio mzee ya prof jay
Umeonaeee
naipnda chadeeeeemaaaa
Mmmmh mmmmh haya bhana kura itaamua
Uchiz unao
Jamaa anaongea kama anaongea na watu hawajaenda shule
Unatumiaa pesa nyingi unawakata wanafunzi wa vyuo vikuu pesa ili muwalipe wasanii na mbebe watu kwenye malori ccm mungu anawaona
Safi
Yaaani Lisu ni Muongo, c tunaishi nje na Bima tunalipa, na kama huna Bima hakuna atakayekutibu.
Upo nje ya wapi
Nikweli Sam ulaya wnajali sna Kodi kuliko chochote Ila tz hatusomi hatufatilii tunadanganywa dah sawa lakin.
Ela izo utazitoa wapi za kujenga Malls, none sense
Mtanyooka tu mwaka huu
@@emmapaul1766 wapiga kura sio wanaokusanyika kwenye mikutano ndo shida kubwa
Mim naona kama hali ndo ivi naona bora kuwe na chama kimoja tu tanzania sio kwa presha tunazopata kuhusu huyu jamaa lisu hana akil hata kidog
Wee unaakili
@@zakayosanga2499 wew na lisu wenu ni matahila bhana
@@mwarobainmchung3512 mume wenu kashikwa pabaya mnalo
na bado wehu nyie
kati ya lisu na magufuli nani anaonekana hana akili hata kwenye kampeni zake
et nipeni uris nitampa lisu kazi
lissu anataka kutupa watanzania kazi
@@stevenramadhan6768 hahaha pigen umbea na majungu mkimaliza mtupishe tupige kazi alafu muwe mnakaa barabaran kutuomba omba pumbavu nyie
nanyie mliokuwa waelewa wa kanda yaziwa mjitahidi kuwaelimisha wananchiwenzeni kua uyo lisu anawapotosha
Wewe nguruwe kweli
✌✌✌✌
🤞🤞🤞🤞🤞🤞🤞🤞
yaaani unapogia debe foreigner.haha umeanza kuwabeza waliokutuma eti
Hizi akili akipewa nchi hakianani itakua porojo tu
Tulia wewe
Magufuri hoyeee
lissu
Pole huna mpango wowote na huwezi kuongoza
@@zainabmuhamed2772 mmmmh
Ujitetee kwa akili sana kamand
Hela unazitoa wapi wewe nyamaza tu huna chochote mzee baki kimya upewe nafasi tu serikalini baada ya magufuli kupita . Utaenda njee tunajua .
Lisu ndiye kiongozi sahihi magu mpiga dili tu
@@yohanaevance9784 subutuuuu unaota wewe au
@@rukkysayid6613 huo ndio ukwl maana vitu vinaonekana, mwenyewe unaona umati huo, wkt mlishasemaga kuwa upinzani umekufa, watu waliamua kukaa kimya tu, lkn ccm ni chama ambacho hakifai kimeiba sana fedha za umma
@@yohanaevance9784 🤔🤔angalia clip za Luwasa wtu walikuwa kuliko hao matoke yake nn ,wingi wa wtu sio kushinda wengine wamesogea hapo kwa yao sio kwa ajili yake
@@yohanaevance9784 na hata kama anaiba na maendeleo tunayaona au ww mwenzetu huoni nikutumie👓
Wacha uongo
Apo xaxa uwongo mtarajiwa
Jamaaa. Kkwel msomi asee
Tuache uongo lisu yuko vizuri ahadi zake zinagusa maisha ya vyama vyote
Mi naona risasi alizopigwa zilimfyetua akili huyu mtu kwakuwa hajielewi anachozungumza hata kidogo
Zimemfanya awe na akili nyingi
Pinga hojazake kichwa maji wewe
@@ukweliunauma4570 alokwambia nani na barabara anapita hizo hizo na ndiyo zinamrahisishia kazi ya kwenda huku na huku angepata taabu sana na hali yake
@@rukkysayid6613 acha ujinga sio pesa za ccm au magufuli ni pesa zetu walipa kodi, soma kwanza usifate ushabiki tu. Usifate msiki wa diamond tu harmonize
@@ukweliunauma4570 😏lako hilo sasa yy c anasema wananchi wanadhulumiwa sasa ingekuwa c utaratibu wa hizo kodi barabara zingetengenezwa vipi sasa na nchi zote kodi za wananchi ndiyo maendeleo ya nchi sikatai lkn yy anapinga kila kitu huo ndiyo ujinga siyo mm
Napita tu
NA VIPI KUHUSU SGR INAYOJENGWA NA SERIKALI YA MAGUFULI UNATAKA KUSEMAJE?
Haisaidii kitu ikiwa watu hawako huru na wanapotea potea
@@ukweliunauma4570 SASA HAO WATU WANAPOTEZWA NA NANI?
@@amiryshomary3901 jiulize na serekali haifanyi kitu , wana polisi usalama na kila kitu wako kimnya
atavunja
@@ukweliunauma4570 KAKA KATIKA HAYA MAMBO YA KISIASA INATAKIWA UWE MAKINI SANA,,,,LA SIVYO UTAJIKUTA UNAAMINISHWA UONGO,,,FUATILIA KWA MAKINI SIASA ZA UPINZANI HASA KIPINDI HIKI CHA KAMPENI UTAJIFUNZA KITU...NA UKIPATA MUDA GOMBEA NAFASI ZA UONGOZI UTAGUNDUA VITI VINGI SANA.
Magufuli baba lenu
toa sera acha maneno
CCM oyeee
nondo bizo
Tunalipa hela nyingi sana huku ulaya kwa ajili ya bima ya afya wacha uongo
Mkundu ulaya unakujua?
kabisa muongo sana mie nalipa euro 45 kila mwezi kwa hinayana afya na ndio wameendelea. jumuiya GP euro 60 au wenye health card hawalali GP. lakini kama unaandikwa dawa unalipa elfu tano
Tundu lisu unafaa sana baba ss tupo pamoja nawe
Muda umekaribia wa Mapinduzi ya Kisiasa Tanzania Lissu anatengeneza njia
Magufuli juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh!! 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
MUONGO HAKUNA BIMA YA MILIONI 9 TZ ?
Hujui kwakua ni kikundi kimoja cha wezi utajua vipi shida za watu?mkundu wewe na mama yako
@@salimouazir3506 SASA KUNITUKANA UMEJIONGEZEA KITU GANI KATIKA MAISHA YAKO?....
@@amiryshomary3901 hawana sela Ingekuwa watu wanalipa iyo atabunge lisiongelee. Inamaaana kulipa bima nisiri au?, wamepata mgpmbea kichaaa hatariii
Hakuna serikali inayo jiendesha duniani bila kodi.
Utauwezaje urais kama jimbo lenyewe limekushinda hahahahahaaaaa unachekesha sanaa japo mimi nakuona kituko sana
Jimbo limemshinda au amenyang'anywa? Endelea kujichekesha ila #Niyeye
@@mathiaszakaria7052 jitambue ndugu wakolon walijenga reli kwa lengo la kubeba lasilimali zetu Ila wa Africa bado tumelala tu na lisu atatupeleka pabaya siasa sio ushabiki wa tz wengi tunaushabiki tu hatufatilii na hatusomi .
Kul yko moja aita mludisha john ikulu na iyo kula yko moja aitamfany lisu awe rais ko kama una point tuliza mxhono
@@hafidhibakari4832 alo kwambia magu katupeleka Pazur nani usifanye kitu kutaka kujibiwa ata usipo piga kula iyo kula yko moja aito saidia kitu kowetuliza kiwashel😂😂😂
Lisu baba lao
Iyo Bima ni bure au?
czcams.com/video/XGrMO9FpeYM/video.html
Kazi ipo
Kwakuongea.namkubali.magufuli.aonindani
Jmn wana mcc humu mmetafta nn, nyinyi jiandaen kuwaengua wagombe wa ubunge na udiwan, ss hv zamu ya wapi?
200000÷12 ........
Hakuna malorii hapooo wala kina mondi
Wewe mzee losu na wewe mkweli Sana duuu
magufuli ndo kilakitu
Ujinga mtupu kwa hiyo uvuvi haramu ukizuiliwa ni kosa? Wapi utaweza kuhudumia wtz wote bila mchango wao kama siyo kutudanganya .bila watu kuchangia chochote wewe pesa utazitoa wp acha kudanganya na kupotosha watu kujiandaa kupiga uvivu wakitegemea kuwa utawapatia huduma zote bila kufanya kazi.ccm oyeeeeeeee piga kazi upate mafanikio
Nadhani Lissu anachomaanisha Ni Hiki...Badala ya Kuwakamata wavuvi na Nyavu zile zinazovua Samaki Wadogo na Kuzichoma Na Pengine Kwa Wavuvi Kupewa Faini...Serikali inapaswa Iwe ya Kwanza Kuzuia Uuzwaji wa Vyavu Hizo na Hiyo ndio kuzuia uvuvi haramu ...Hiyo ndio itakuwa Tiba ya tatizo Haswa na Vyavu zinazokubalika Ndio ziuzwe pekee, Hapa Uvuvi utakuwa Halali wala Unyang'aji hautosikika.....
@@zacchaeusnzella7394 ndivyo alivyomaanisha hasa
@@AK-is9xi Hyesss Sister
Magu yupo juu
Huyu Lissu anawadanganya tu yaani nyie munashangilia uwongo wake, Anawapenda wazungu sio watanzania kueni makini musije kujutia
Wewe .ndoo boya
Ŕuu
Anataka kuuza nchi sasa 🤣🤣🤣
Acha.uchoko
People ssssssss
Duh kumbe huyu mtu nahis Ana vyeti feki maana mtu mwenye elimu hawez kuongea hiv
Mtanyooka tu
Wewe mama ako anavyo original ndio maana ukazaliws
Ingia wewe
Mipango siyo matumizi ukiwa huna Kila kitu utajifanya unakijua lakni wewe piga tu kelele zako
MWANZA ni CHADEMA mtupu
Kwa iyo wavue kiholela
Sam was tz shida sna watu walikuwa wanatumia sum mabom kweli sekali ipo tu Mambo ya ajabu sna yalikuwa yanafanyika tz ndio maana Kenya walituacha sna.
@@hafidhibakari4832 kabisa kaka na nakuelewa vizuri unachosema. Watu shida kweli kaka.
Mwananchi mnazingua, mkitaka kuonyesha watu waliohuzuliwa, mnaonyesha blur, ili watu wasione kuwa jamaa anasapot kutoka kwa wananchi
0.
. X. .0
hana sera kuruhusu uvuvi haramu tena unaturudisha nyuma tulikotoka
Chukua ruzuku kura hatukupi
Kampe ndugu yako
Sawa baba wambiye kweli kila kitu makufuli utafikiri yeye ndokazisha TANZANIA
Kigeugeu wewe,
Unawaongopea wasiojierewa
Huyo anaye sema huyo Jamaa ni mpumbavu huenda yeye ni kichaa anatakiwa kupimwa akili zake
Wewe Tundu LISU acha ujinga,Magufuli ndio kila kitu,wewe hufai kuwa kiongoz katika nchi hii
Oja Kaka jibu
Magufuli kwanini awe.zaidi jibu oja
Jipime Kama una akil timamu
Mjinga labda mamaako
Mkundu wako ndio kilakitu tunauitaji wanaume wenye hasila na maisha ukishindwa weka wa baba yako mzazi
Huyu jamaa ni mpuuzi hata simuelewi huyu mpumbavu
Na ninani kwani aliekwambia umuelewe??
Ujue kichwa yako itakuwa mbovu,hizo zote #logic,ukifikiria vzuri utagundua shida ya #MwlNyerere haikuwa miundombinu ila nikitu kingine kbs je ni kipi? Tafakari
Huyu mtu anataka aingie tu ikulu hayo anayosema hapo ni uongo mtupu nyie ndo matapeli mnataka kutuletea vita tu
@@janekikoti2179 weee ulitaka aingie chooni sio!!!
Ukiwa Mh rais tunaweza kua nchi bora Sana mana unajua istoria wewe jembe Ila Uber utusemei tunatabika madereva
LISSU NI "MUUJIZA WA MWENYEZI MUNGU UNAOISHI "
Mbona na nyie mmewanyang’anya watu pesa zao kwa kisingizio cha kuchangia harakati za chama, je nyie mmewapa risti wachangiaji wa harakati? Acheni utopolo nyie
Topolo magu na ccm
Huyu jamaa tapel wa kisiasa aiseee ukimsikiliza porojo tupu
Tapel babu yako
Acha ujinga wewe
Magu kasema umuachie agombee atakupa vikazi vidogovidogo serikalini!!! Siyo rushwa hiyo?? Kumbe wale wabunge waunga juhudi na akna katambi uuuuuuwiiiiih! Huyu bwana zao la manuva!