Ahmed Ally wa Simba aibuka mkutano wa UVCCM Taifa abebwa kwa shangwe

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 07. 2024
  • Meneja habari na mahusiano wa Simba, Ahmed Ally ni miongoni mwa vijana waliojitokeza katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Saalam leo kwa lengo la kutoa hamasa kwa vijana kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji na vitongoji 2024.
    Ally amewaambia maelfu ya vijana waliohudhuria uwanjani hapo kuwa Tanzania ya kesho inawahitaji huku akiwasihi kujiunga na Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) ili kuliendeleza gurudumu la taifa hili.
    Aidha, lengo la kuwakutanisha vijana hao katika Uwanja wa Mkapa ni kuwahamasisha kujitokeza kupiga kura katika uchaguzi mdogo wa serikali za mitaa 2024.

Komentáře • 6

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 Před 9 dny +1

    Uyu ni waziri

  • @kalamuyangu1
    @kalamuyangu1 Před 9 dny +2

    Alaah! Kumbe familia 😂😂😂

  • @TimothyAlex-it2lm
    @TimothyAlex-it2lm Před 9 dny +2

    Hongereni sana Wana uvccm Taifa pamoja tunajenga Taifa la Tanzania mama Samia mitano tena inamhusu kwenye Taifa hili hatuna mhemuko sisi .

  • @erastojackson9397
    @erastojackson9397 Před 8 dny

    We ni kenge kabisa nilikua nakukubali Sana kuanzia leo nahama Simba mi sitaki Tena ushabiki wa mpira leo nachoma jezi zangu zote za Simba. Acha njaa wewe.

    • @salumualoyce5620
      @salumualoyce5620 Před 7 dny

      Tuliza kijambio wewe shabiki maandazi.

    • @bone102
      @bone102 Před 5 dny +1

      Sasa unamwambia nan kachome Sisi tunasubir za msimu 2024/25 tukanunue za kutosha😂😂😂