Yanga SC 3-0 Tabora United | Highlights | CRDB Bank Federation Cup 01/05/2024

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 04. 2024
  • Mabingwa watetezi, Yanga SC wametinga nusu fainali ya #CRDBBankFederationCup kwa kuibutua Tabora United mabao 3-0 kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.
    Magoli ya Yanga yametoka kwa Stephane Aziz ki dakika ya 35, Kennedy Musonda dakika ya 66 na Joseph Guede dakika ya 82.
  • Sport

Komentáře • 113

  • @jozidasuperior7257
    @jozidasuperior7257 Před 20 dny +11

    Wa kumi na sita nipeni like zangu Sasa mbele nyuma mwiko😂

  • @Trendingnews-bill
    @Trendingnews-bill Před 19 dny +3

    Guede ashakua moto❤🎉

  • @vi3ayo1622
    @vi3ayo1622 Před 20 dny +3

    Yanga oyeeeee,,, simba ni watoto wadogo,,,hii ngoma hawaiwezi❤❤❤❤

  • @uchebetz7284
    @uchebetz7284 Před 20 dny +5

    Aziziki ni fund sana huyu jamaaaa

  • @PriscangoshaNgosha
    @PriscangoshaNgosha Před 20 dny +3

    Magori ya Azizi k ni pambe 👌👌

  • @user-nx3zy1ny3c
    @user-nx3zy1ny3c Před 19 dny +2

    Jamani Guede tusamahe tulisema wametuletea galasha 🤣🤣🤣

  • @Maryc2G
    @Maryc2G Před 20 dny +5

    Gwende juuu, juuu sana🇹🇿🌻🌻

  • @angelnyalile4827
    @angelnyalile4827 Před 20 dny +2

    Uyu Guedee Ana kitu atafik mbaliii🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀

  • @vickykwembe5842
    @vickykwembe5842 Před 19 dny +2

    Safi sana

  • @kwamefidel736
    @kwamefidel736 Před 20 dny +4

    Hongera wananchi Kwa mchezo mzuri

  • @mashekac.mtatiro894
    @mashekac.mtatiro894 Před 20 dny +3

    Good work Wananchi

  • @senseiamani4684
    @senseiamani4684 Před 19 dny +1

    Yangaaaa bingwa

  • @rahmaali8423
    @rahmaali8423 Před 20 dny +2

    Lakini jamani guede anajua kufunga jamaa ni noma

  • @barakachaula7050
    @barakachaula7050 Před 20 dny +4

    Hii Mechi Angekua Simba Angekula 3😂😂😂

  • @issaya8977
    @issaya8977 Před 20 dny +2

    A Aziziki ni fundi wakuona mbali

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 Před 20 dny +1

    Uyu guede kwa kumalizaga machi mungu ambariki sana

  • @TeacherTz-cw2xs
    @TeacherTz-cw2xs Před 20 dny +36

    wapili leo like zangu bc km unaamini yanga ni bingwa wa hii michuano pia🇹🇿🇹🇿

  • @ColinMgaya-td3vv
    @ColinMgaya-td3vv Před 20 dny +8

    Usipokuja na gadi na miradi ilimradi....😅jumla nitaigawa idadi iwee wastani 🎉yanga hatari

  • @beninyojamestungaraza9190

    Tabora mlipanda kwa janjaa janjaa acha mpate mlicho stahilii

  • @user-iu2cm5um6e
    @user-iu2cm5um6e Před 20 dny +1

    Kiii moto wakuotea mbali

  • @tanzalandtv3311
    @tanzalandtv3311 Před 20 dny +3

    Young Africans SC , hatariiiiiiii motoooooooo

  • @dickMassawe
    @dickMassawe Před 20 dny +5

    Wakwanza Kam kaw wananchi

  • @Kingsunnymusic
    @Kingsunnymusic Před 20 dny +2

    Guede nimeanza kumwelewa

  • @chandrakuziga9214
    @chandrakuziga9214 Před 20 dny

    Forward hatuna wananchi

  • @amoscharles1985
    @amoscharles1985 Před 20 dny +1

    Mi simba lakin kwa hii yanga rangi nyekundundu ufisadi mwingi acha wawatese mashabiki harisi

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Před 17 dny

    Kibabage wakati mwingine badala ya kutoa assist apige moja kwa moja golini kuliko kupoteza muda. Awe haraka tu na kidogo kuongeza ukatiri

  • @LusekeloLusekelokibona
    @LusekeloLusekelokibona Před 20 dny +4

    Yanga acha itupe laha jaman

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta9658 Před 20 dny +2

    Alhamdulillah jmn vip makolo kuhusu psccome mmetoka apo mmekimbilia kwa red card ila nyie bhn nilisikia uchungu alipofanyiwa faulo paccome nikasema Mungu wangu awa wanataka kumuumiza tena ila mwamba ako fiti

    • @nasramercy7016
      @nasramercy7016 Před 18 dny

      Ila pacome hii game kacheza Kwa woga sanaa😅

  • @tawakalimankasim82
    @tawakalimankasim82 Před 19 dny

    Tushamsahau "manywele" manywele ya kichwani hatuna haja nae hhhhhhhh🤣🤣🤣🤣 saiv tuna gwede. Yanga bingwa

  • @tztanzania2262
    @tztanzania2262 Před 20 dny +1

    Tabora safu ya ulinzi inaudhaif saana kipa wenu ni mzur

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m Před 20 dny +7

    Ila Pacome ni mtu mmoja hatari sana sijawahi kuona hapa Tanzania.

  • @yustobitalio3597
    @yustobitalio3597 Před 19 dny

    This is Yanga 🗿🗿🗿🗿

  • @FredyKhamis
    @FredyKhamis Před 20 dny +5

    If you love yanga press your like here❤❤❤

  • @rodrickshio8346
    @rodrickshio8346 Před 20 dny +1

    Mzize huwa anakunywa uji tu au? dogo hana malengo kabisa ,anacheza ili mradi,sijui hajifunzi kitu kwa hawa wafungaji waleo !!?

  • @christinajohn8891
    @christinajohn8891 Před 20 dny +5

    Pacome wetu karejeaaa

  • @tekanabishwiga8074
    @tekanabishwiga8074 Před 19 dny

    Nilijua kuwa yanga bado inaendlea kunyanyasa

  • @bahatinassorali5222
    @bahatinassorali5222 Před 20 dny

    Mashabiki kidogo😢

  • @shafiibashir9337
    @shafiibashir9337 Před 20 dny

  • @hamisisonga9958
    @hamisisonga9958 Před 20 dny +7

    Nzengel kama mbape tu mule mule

  • @linahmkinga8041
    @linahmkinga8041 Před 20 dny

    Mnaboa azamu utuonyeshe vizuri.jamani mbona ivyo

  • @SamsonElias-bj8vm
    @SamsonElias-bj8vm Před 20 dny +2

    Naitwa samusoni eriass azzk nifundi2 kusema kweri

  • @joycemmassi5046
    @joycemmassi5046 Před 20 dny +4

    Asanteni wazee wa Yanga kufika ktk uwanja baada ya kushiba pilau na jezi mpya mkaingia chamanzi na KUFANYA YENU 😂😂😂😂

  • @LusekeloLusekelokibona
    @LusekeloLusekelokibona Před 20 dny +3

    Yanga nibola

    • @dvjkelly8449
      @dvjkelly8449 Před 20 dny

      Ni kweli, hadi nyie tuliwapa bahasha tukawapiga nje ndani

  • @SilasNgunda
    @SilasNgunda Před 20 dny

    🎉

  • @abdullabdalatif2834
    @abdullabdalatif2834 Před 20 dny +1

    Mzize ni mchezaji mzuri shida yake ni kutoona gori lilipo

  • @CosmassKabuti
    @CosmassKabuti Před 19 dny

    naomba mamba ya pakome zuzwa

  • @jasmangumbe3894
    @jasmangumbe3894 Před 20 dny +3

    jamani mzize ana shida sehemu

  • @mukhsintwaha5909
    @mukhsintwaha5909 Před 20 dny +3

    MashaAllah

  • @jessicaanania6326
    @jessicaanania6326 Před 20 dny +1

    💚💐💚💛💛🙏🏿

  • @abdidalalidalalisanya
    @abdidalalidalalisanya Před 20 dny +2

    Mchezo upo poa sana

  • @hasanimohamedi279
    @hasanimohamedi279 Před 20 dny +2

    nimepend hiy ya guede

  • @ErickJeremiah-ry4pw
    @ErickJeremiah-ry4pw Před 20 dny

    Which this country?

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Před 20 dny +1

    Kumbe zile 5-1 na 2-1 mlipewa bahasha na wazee wa bahasha?.

  • @amanizavala
    @amanizavala Před 20 dny +1

    Utopolo wazee wa bahasha

    • @user-io2rj2yp5d
      @user-io2rj2yp5d Před 20 dny

      Makolo mmebaki kujinyonga tu

    • @user-ch2it3qt5z
      @user-ch2it3qt5z Před 20 dny

      Sawa nyie 😂si wazee makelele fc lialia fc mangungu fc na Shimba waliwapa bahasha wakala 5-1 tukawapa tena bahasha wakala 2-1 bahasha uendelee😂😂😂😂

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Před 20 dny

      7 tuliwapa bahasha

    • @user-ch2it3qt5z
      @user-ch2it3qt5z Před 20 dny

      Ww ulie sema bahasha nd unajua ata Jana namungo tuliwapa bahasha wasifungwe

    • @saleheathumani1009
      @saleheathumani1009 Před 20 dny

      Makolo nao niwazee wakupokea bahasha

  • @bingomix8912
    @bingomix8912 Před 20 dny

    𝑺𝒉𝒐𝒘 𝒌𝒂𝒍

  • @k.jrluther6301
    @k.jrluther6301 Před 20 dny +3

    Who is NEXT? Nani anakuja tumshone.

  • @user-dd3ek5fh5g
    @user-dd3ek5fh5g Před 20 dny

    💚💛🦾

  • @JamesModeste
    @JamesModeste Před 20 dny

    ppppppppppppppp😢

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 Před 20 dny +1

    Watoto wa jangwani wazee wa jangwani..tunataka professional football kwa maslahi ya wachezaji sio kocha,wengine tushacheza mpira,mpira kuna baadhi ya wanangu wachezaji wananielewa ,mpira kama vita..

  • @rumanyikajoe7038
    @rumanyikajoe7038 Před 20 dny +1

    Ligi ya Tanzania imeharibiwa na Utopolo. Subiri muone mwakani tusipoporomoka mpaka 20.

  • @user-ch2it3qt5z
    @user-ch2it3qt5z Před 20 dny +1

    😂😂😂😂ila Mzinze atakuwa anashida ki mawazo sio bure mbn kijana anaonekana mdogo lkn anacheza kizeee😂😂

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 Před 20 dny +1

      Yani uyu mtoto ck hizi kanitoka rohoni we acha tu😢

    • @user-ch2it3qt5z
      @user-ch2it3qt5z Před 20 dny

      Dah cjui huyu kjn nn kinamsmbua toka mech ya mamelody pale dar es salaam ad Leo amekosa utulivu umakin kila siku unapungua bech la ufund limsaidie kjn tunamuitaj lkn mh...

  • @user-xw8ox3hf8o
    @user-xw8ox3hf8o Před 20 dny +2

    Wachawi wa ligi kuu TZ ( Tanzania Premier League) wakamatwa na Polisi jijini Dar es salaam.
    Ushindi wa Yanga leo hautaibomoa Simba, bali utaendelea kuijenga Simba.
    Yanga ni wachawi. Uchunguzi wa kisheria bado unaendelea.
    Ukweli ni kuwa, sisi watanzania hatutaukubali ushindi wa Yanga kwa mwaka huu wa tatu mfululizi, kutumia uchawi ili kushinda ligi kuu ya Tanzanzania.
    Simba Sc Tanzania is the winner

  • @Maryc2G
    @Maryc2G Před 20 dny +2

    Tabira kipa mnae, kaokoa magori mengi kweli

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Před 20 dny

      KIPIA ni Diara na yule wa kosti unioni aisee

    • @Maryc2G
      @Maryc2G Před 20 dny

      @@errydeo8865 kweli, lakini wa Tabora nimemuheshimu, asinge kuwa mzuri jana ingekuwa magiri sita, amejitahidi

  • @NashackNashack-nc5ni
    @NashackNashack-nc5ni Před 20 dny

    🎉

  • @Sparosmilebae
    @Sparosmilebae Před 20 dny +2

    Tulia tabora ushonwe