MAGOLI: Yanga yaipiga Dodoma Jiji 4-0; Aziz Ki afikisha 17; NBC PL 22/05/2024
Vložit
- čas přidán 21. 05. 2024
- Stephane Aziz Ki amefunga magoli mawili na kufikisha magoli 17 katika mbio za ufungaji bora, Yanga ikiibugiza Dodoma Jiji mabao 4-0 kwenye Dimba la Jamhuri, Dodoma.
Ni mchezo wa #NBCPremierLeague uliofunguliwa na goli la Clement Mzize dakika ya 10 kabla ya Aziz kufunga mawili dakika ya 45+3 kwa penati na dakika ya 51, na kisha Maxi Nzengeli akafunga kazi kwa goli la nne dakika ya 78.
Magoli yote manne haya hapa.... - Sport
Kama umefrahi Leo azizi ki kufunga gonga. Like apa
Me pia nimefurahi Sana aziz k kufunga Kama naww numefurahia gonga hapa like za kutosha
Nampongeza mzize kwa kumpa pasi ya goli azizi ki❤❤❤
Mzize Mungu akubariki
Nimependa clement alivyompa pasi azizi afungule hongera yake moyo saf kabisa
Huondy uungwana
Ata Mimi nampongeza clement Kwa kumpa Aziz ki mpira sio mchoyo
Mzize ukopw brooo minimekwelewa nini umemanisha
Wewe ni mimi...
Yupo poa yhn
Amazing performance for my team and congratulations KI AZIZ for doubling goals today and thus you have gone into a lead over Feisal., Magnificent 💛💚💛💚💛💚
Waoooooh nimefurai Sana jaman 💚💚💚💚💚💚💚💚💚
Mimi ni YANGA 👌💚💛
Yanga africa like hap love sana
Yangga ni sisi tu kila kitu kwetu jmn yanga rahaaa
Rahaaaaaaaaaaa
Golden buti ya aziz ilee
Mikolobwanje Ileeee imenuna 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Top score 👌 tunae wananchi😂😂😂
Yanga mtatuua mashabiki wenu kwaraha aziz ki wapedozi hao watoto❤❤❤❤❤
Raha sana jamani Yangaaaaa❤❤❤❤
Saaafiiiiiiii kabisaaaa
Mungu ni mwema asante Kwa ushindi
💚💚💚💚💚💚💚
YANGA 💛💚 TEAM OUR HAPPINESS
❤❤ ki azizi
Goli la Max 👌
Hii ndyoo yangaaaa
Yaaan nikimuona Alajiga namkumbuka2 mzee Said😂😂
😂😂😂
Umenikumbusha mbali sana
Vile alivyosema alajga anahangaliaga miguu ya aziz ki leo nmekubali
😂😂😂 hata mm
Tunakila sababu ya kufurahia sisi kama Wananchi kwa hii misimu 3 mfululizo na mingine inayokuja MUNGU akipenda pia.. viongozi msiumize sana kichwa sisi kama mashabiki tutajitaidi kujisajiri ili kuwezesha mapato kwa timu yetu lakini pia msimlazimishe azizi kubaki ingali hatuna uwezo wa kumlipa Hela anayotaka japo tunampenda kama tulivyompenda mayele na sio kwa ubaya ni suala la kawaida sana kumuacha mchezaji kama mmeshindwa kumlipa anachotaka...na sisi mashabiki tusiwe wajinga wa kubeza viongozi kisa wachezaji wazuri wanaondoka badala yake yujisajiri kwa wingi na tuangalie ni watu gani wanakuja mbadala wa wanaoondoka YANGA,ninauamini saaaaaana uongozi wangu wa timu yangu pendwa ya YANGA.🔥🔥🔥🔥❤❤
Max ilitakiwa ampe aziz kiii
🎉🎉 Aziz ki akishinda ndio Raha yetu wananchi
Daah max angemtupia aziz pale mwana amalize biashara mapema
🎉🎉🎉🎉🎉🎉bravoooooo
Oya kuna nyimbo mpya ya yanga +ushindi mtaaamuuu basi inakua humu tu humu tu😅😅😅
😂😂😂😂
Nasikiaa rahaa chama lang yangaa asante mungu 😂😂😂😂🙏
Yanga hii raha sanaaa,
Nawapenda Sana chama langu❤❤❤
Azam mnafanya uzembe sana,mechi imeisha mda mrefu sana halafu highlight mnakuja kuweka sasa hiv
Quality yenyewe mbayaaa
Kongole kwa Young Africans chama langu
Niame yanga me niumize kichwa
Na alikua na nafasi ya kufunga tena clear goal
Aziz k anama goli 17 kwa Sasa Bado anamche mbili mkononi
Humu tuu🔥🔥🔥💛💚
Max ungefanya Kama mzize...😮😮
Mbinausi max 😢😢😢😮
Hongereni watani
💚💛💚💛💪💪💪
Kiwanja hicho, na ukubwa wa ligi haviendani Ni aibu😢
Maendeleo hayana chama inakubidi tu 😂🤔😂🤔💚💚💚💛💛💛💛
Alaf kuna wengin et wanasema max angemp Aziz yani yey aletewe mipila t bil kutokwa jasho hachani mambo ya hovyooooooooo
❤❤❤
Hivi mla ugari na sukari ana ma goal mangapi?
16
Anateseka huko ariko
Fei goli 16
16
16
Good
Farasi wa vita,Guu lake la kushoto ni kama gobole anataka kuua temba,ila Azizi😂
Lengo mama la msimu huu limeisha, ujumbe kwa viongozi ni kubakiza nyota wakubwa na kuongeza vipanga vingine🖤💚💛
💚💛🗝️🔑🔥💪🙏
Mfugaj Bora
Wanin?
Yeah japo nataman fei mtt w boo ila azz k n bora zaid anastaili
Haya ndio magoli sio yale ya mchongo ya nafasi ya pili Fc, na hata hio yapili hamuipatiiii
Okra hana furaha kabisa hata kumshangilia mwenzake
Kama Ligi ina improve then kwanini viwanja viko ovyo!?......TFF mnabidi muangalie hili....Aibu
Ki n noma
Operation bila gazi😂😂😂
Nice guy
Nimefrah Mzize alivyompa pass kiii
Golikipa wa dodoma jiji 💔 nijau sana
Rahaaa tuuu
Noma sana
This is second striker
Sasa magoli manne ya nini? Tumetosheka na magoli labda Aziz pekee afunge💙💚💛
😂😅😂😅
😂😂😂😂😂
Hzi ni sifa tu wanatakiwa wakiingia uwanjani wamtengenezee aziz ki nafasi za magoli akishafunga matatu basi waaache wapinzani nao wafurahi
🔥🔥😂
🧡💛💚💛🧡🧡💛💛👏👏👏🔥🔥
Safisana
Mimi nimefurahi mpira umefuhi❤❤❤❤❤❤❤
😂😂😂
Kwayanga hii
Ss ndo yanga
Aziz ki si mbinafsi anafunga kwa ajili ya timu n si kwa ajili yake tu
move ya goli la Nzengeli licha ya kuomba mpira n kutopewa baada ya Nzengeli kuona kakaa kwenye nafasi nzuri ya kujaribu kushuti n akafunga
Lkn unaona uso wake umejawa n furaha n anakuwa wa kwanza kwenda kucelebrate nae
Kolo😂😂😂
Sio kwa mateso hayaaaa
Ubingwa
Kiatu
Mchezaji bora
Kipa bora
Kiungo bora
Mshambuliaji Bora
Beki bora
Kocha bora
Timu bora
Mashabiki bora
Jezi bora
Tabasamu bora 😂😂😂
Da umesahau Mzee mpili Bora 😂😂
Dodoma wanacheza km team yng ya simba ujinga uji6
😢😂😂😂😂
Hii ndio yanga bwana
yanga tuna keraaaaaaa
Mechi ya ndugu😅😅😅
Bado hujasema
Mpaka useme
Nabaado.
Oooooooooooooooooiiii
Stephano aziz ki
❤❤❤
😂😂😂😂
🇹🇿
😂😂😂Utu tu mwaka huu ndo utatumika ila ingekua inaeezekana tuzo zote zilikua zinatakiwa kua za dar yanga afrika 💛💚💚🇹🇿 atutaki kuacha kitu ata za majin watupe 😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Point sana 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 jmn Raha zimezidi
@@ZenaMsumagilo we timu gn 💛💚🖤
@@JastinAlphonce mimi Yanga naipenda mpaka inanilevya
@@ZenaMsumagilo ahahaa gud sasa
Kyanite.wewe.ukowap
lazima tuwakere...
Fei toto ni mtoto TU,asubiri wakati wake bado
Dah Yang raha cio poa
Kumbe magol yenyewe ya butua butua ivo
yakweñu ambayo sio ya butu butu yakoap
@@user-gj5uj8xm6z angalia ya Jana ufurai
@@user-gj5uj8xm6z mwambie Anitha haon vizuri 😂😂😂
Msuuuuu Hanna timu wala Aziz ki hamn mchezaj ety mnamsifia goli LA hak inatakiwa utokwe jasho kupewa Moira gorin na kumalizia alaf mnamsifia mm nam laumu mzize kwanin asinge shinda mwenyewe aone faid ya jash lake😅😅😅😅
We njaaa
Penalty ya mchongo kwa Aziz Domo😮
Bado hujasema
Na mpaka useme
Kolo kama kolo
Hongera ww uloumbwa na domo zuri
Wewe unauwakika 😮😮😮😢😢😅😅😅😅😅😅😅