Hata mseme ccm mmetufikisha hapa maisha magumu hii ni ccm nyingine tofauti na ya nyelele tafakarini sana cag anatoowa tarifa za Hela zilizopigwa mnachekacheka tu nchi inapigwa mnakusanya Hela kwa masikini zipigwa huko juu kazi kusifiana tu chadema wako sahibi mbona mama hataki ushauri tumepiga kelele bandari tusibinafshishe
alafu wana ccm watanzania wameisha elimika bado mnazani wa tz bado nimazuzu tu sikweli kwenye uchaguzi mlisha wakatisha wa tz kupiga kula lefa wenu kila kitu chenu mnasema mnauchaguzi nanani muwe mnajitangaza tu hata hela zakampeni mnachezeaga tu kodi zawananchi hi nchi haina uchaguzi mlisha wazalau tu wa tz kuwa uelewa wao mdogo
Kwamaoni yagu iwekwe sheria iliiweze kulida kauli kama hizo zakuambiana hivo mara muzanzibar mara ana toka Bara naiwe nisheria kila anae jiita mwana Sasa achuge kutega au kubagua watu kwakauli kama hizo
Nikweli hana uruma nasikini yeye ni raisi wamatajiri ndiomaana masikini ata walalamike hanamajibu yamasikini yuko namajibu yawawekezaji namatajiri wenye mabasi Costa na madukamakubwa nawenyemitandao yasimu
Ila hii nchi bhana,huyu mzee kwa nini asistaafu?mbona vijana ni wengi,hizo hekima za wazee si tutakua tunazifata makwao asee!!! Watu ni wale wale tu toka enzi za Nyerere jamani
Hoja za lisu bado hajakipatia. Kuna katiba ya Zanzibar na ya Tanzania. Je? Katiba yetu Tanganyika Iko wapi? Mh lisu alisoma katiba ya Zanzibar wewe kinana unasoma na kufafanua katiba Ipi? Lisu yuko sahihi kaeni vizuri mtafakari kwa nini hamhitaji katiba mpya? Mkishapata jibu ndipo mtoe majibu mazuri kwa wanachadema au watanzania kwa ujumla. Hii nchi yetu mnaofaidi ni nyie akina kinana. Madini mafuta gesi makaa ya mawe mbuga zetu wanyama kama tembo faru swala ngurue pori na nk. Mmezidi ulafi hii nchi yetu tumebarikiwa sana lakini uongozi ambao ni makini haujapatikana. Tunahitaji katiba mpya ili mambo yakae sawa na kiongozi aweze kuwajibika pindi afanyapo kosa.
SOMA.KATIBA YA NZANZIBA INASEMAJE ? MUH: LISU HATA MKUSANYIKE MACCM WOOOOOOTE MAZUZU MAKA KINANA HAMUWEZI KUMJIBU MSOMI AMBAE NI KIONGOZI MTU WA HAKI MTU JADIRI MAALIMU ANAEITWA NDUNDU LISU,, UKISHA KUA CCM AKILI INAHAMIA MAKALIONI
Hivi hwa chamdomo ukifika wakati wa uchaguzi mkuu wathutu kwenda zanzbar kutafuta mgombea mwenza wa tundu bovu ? Ili awe mgombea mwenza au ni dalili za kutaka kukiuka taratibu za uchaguzi ili waseme hawkutendewa haki?
Yes Hana jema, Samia Mrembo tu Wa Zanzibar, Na hiyo catiba mpelekee Bibi yako
Hata mseme ccm mmetufikisha hapa maisha magumu hii ni ccm nyingine tofauti na ya nyelele tafakarini sana cag anatoowa tarifa za Hela zilizopigwa mnachekacheka tu nchi inapigwa mnakusanya Hela kwa masikini zipigwa huko juu kazi kusifiana tu chadema wako sahibi mbona mama hataki ushauri tumepiga kelele bandari tusibinafshishe
kinana umeamua kuzeeka vibaya sana
Mzee wa hovyo Sana ww
TUNATAKA KATIBA MPYA TUNATAKA TANGANYIKA YETU
Sawli kinana, bandari za Zanzibar je vip
Hii mizee Mibinafsi sana, hawa wachumia tumbo
MGOMBEA MWENZA kwa utaratibu WA CCM Hana nguvu Wala maamuzi
Ata mumutetee vp huyo bibi hafai kabisa
Kumbe hata unaowahutubia wamejua unawadanganya ,, siunaona wanakuangalia kama mata anaeyaogelea maji machafu
Nchi mbona mmeuza siku nyingi,wamasai wako wapi,ni kweli samia hana huruma watanganyika,,wewe ndiyo baba lao la mafisadi,
Wewe mzeee umesha zeeeka tulia kaaa pembeni huna lolote
Soma katiba ya Zanzibar inasemaje mbona hamsomi vifungu
Uliiba twiga ukawauza Qatar uarabuni wanyama hai😢😢😢
ww mwenyewe mlowezi,ndio maana full kuua ndovu
Usitufundishe kuelewa somo
Hatudanganyiki tunataka katiba
❤❤❤❤
Chuki kubwa dhidi ya Rais haiko CHADEMA bila shaka imo ndani ya moyo wa CCM.
Kuna kitu kinaitwa reverse psychology,unaweza kuona anamtetea mtu na ikawa kinyume.
Katiba safiiii 😮
Je na zanzibar pana mtu wa bara ni Rais
Machawa
Kwali sikio lakufa hlipati dawa nendeni Ivo Ivo ushindi laizima
Sasa kinana mbona kama umekubaliana na lisu kuhusu mapungufu ya katiba yetu kwa mazungumzo yako hapa?
Yalitizamwa ki CCM na si kisheria
alafu wana ccm watanzania wameisha elimika bado mnazani wa tz bado nimazuzu tu sikweli kwenye uchaguzi mlisha wakatisha wa tz kupiga kula lefa wenu kila kitu chenu mnasema mnauchaguzi nanani muwe mnajitangaza tu hata hela zakampeni mnachezeaga tu kodi zawananchi hi nchi haina uchaguzi mlisha wazalau tu wa tz kuwa uelewa wao mdogo
Kwamaoni yagu iwekwe sheria iliiweze kulida kauli kama hizo zakuambiana hivo mara muzanzibar mara ana toka Bara naiwe nisheria kila anae jiita mwana Sasa achuge kutega au kubagua watu kwakauli kama hizo
Mzee usipeleke mbali lami iliouzwa ilikua nikwajili yakuchenga uwanja wandege wasumbawanga ,je samia alikuwepo
Nikweli hana uruma nasikini yeye ni raisi wamatajiri ndiomaana masikini ata walalamike hanamajibu yamasikini yuko namajibu yawawekezaji namatajiri wenye mabasi Costa na madukamakubwa nawenyemitandao yasimu
Ila hii nchi bhana,huyu mzee kwa nini asistaafu?mbona vijana ni wengi,hizo hekima za wazee si tutakua tunazifata makwao asee!!! Watu ni wale wale tu toka enzi za Nyerere jamani
Hoja za lisu bado hajakipatia. Kuna katiba ya Zanzibar na ya Tanzania. Je? Katiba yetu Tanganyika Iko wapi? Mh lisu alisoma katiba ya Zanzibar wewe kinana unasoma na kufafanua katiba Ipi? Lisu yuko sahihi kaeni vizuri mtafakari kwa nini hamhitaji katiba mpya? Mkishapata jibu ndipo mtoe majibu mazuri kwa wanachadema au watanzania kwa ujumla. Hii nchi yetu mnaofaidi ni nyie akina kinana. Madini mafuta gesi makaa ya mawe mbuga zetu wanyama kama tembo faru swala ngurue pori na nk. Mmezidi ulafi hii nchi yetu tumebarikiwa sana lakini uongozi ambao ni makini haujapatikana. Tunahitaji katiba mpya ili mambo yakae sawa na kiongozi aweze kuwajibika pindi afanyapo kosa.
Tumuunge mkono ACHANENI NA hawa wanaotaka kututenganisha kwa utanganyika na UZANZIBARI sisi ni watanzania
Mizuka ya ndovu inalia babu tunakusubiri sana huku
Tunataka katiba mpya hatudanganyiki na hiyo CCM yako
Yanapotokea mambo kama hayo lazima wazee hao wasimame ila naombeni ngorongoro angalieni kwa jicho la pembeni
Kinana hajitambui mbona husomi katiba ya zanzibar
Sisi tuna lala na jaa
SOMA.KATIBA YA NZANZIBA INASEMAJE ? MUH: LISU HATA MKUSANYIKE MACCM WOOOOOOTE MAZUZU MAKA KINANA HAMUWEZI KUMJIBU MSOMI AMBAE NI KIONGOZI MTU WA HAKI MTU JADIRI MAALIMU ANAEITWA NDUNDU LISU,, UKISHA KUA CCM AKILI INAHAMIA MAKALIONI
Nyinyi ndo mnatakiwa kufa badala yake mnawauwa watetezi wa mali za Tanganyika. Mwizi tu wewe.
Mlisema hatioongea sasa vpi
Mnatakiwa Muwajibu hivyo tena Muanike Mambo Anayoyafanya Samia .mimi najua Samia anafanya kazi kubwa sanaaa
Ni kweli kazi kubwa bandari imeenda wamasai wakimbizi kazi kubwa
Magufuli. alisema tumwamini samia maana nimama mchapa kazi naniukweli bila uongo miradi mikubwa,inatekelezwa na inakamilika
Machawa wanapiga makofi
Lisu alikuwa anasoma katiba ya zanzibar hivi wewe hujui kama wazanzibar wanakatiba yao?
Hueleweki wewe babu .. ndio umeifikisha nchi hapa . Wezi nyie
Tatizi la BANDARI ni mkataba hauna kikomo tuletee mkataba sio maneno mepesi hi vi
Hujatujb kinana maliasili zetu vp
Magufuli alikufa mkajidai kubebana na ndoa yenu ya Mkeka now mko wapi mmeanza kugeukana Walafi nyie. Tena wewe ulijiudhuru kisa umebanwa na Mzee JPM baadae umerud kufuata asali. Huoni ata aibu
Nyie hamtendi haki ripoti ya Cag imetoa ripoti ya mijizi kwanni msiwatumbue kama Magufuli nyie mnalea wezi humo ndani ya ccm mijizi kubao
Wa watumbue wa kina nani wakati ni wao
Miongoni mwa watu ambao taifa haliwezi kujivunia ni wewe,
Mbona haweki mikataba za rasilimali za Zanzibar ??? Bandari na ngorongoro kwanini au zinafaidi bara peke yake??? Mbona asigombee wa bara Zanzibar
Hivi hwa chamdomo ukifika wakati wa uchaguzi mkuu wathutu kwenda zanzbar kutafuta mgombea mwenza wa tundu bovu ? Ili awe mgombea mwenza au ni dalili za kutaka kukiuka taratibu za uchaguzi ili waseme hawkutendewa haki?
Ndo maana katiba inatakiwa ibadilishwe ili hiyo hoja Yako ijizike
Chamdomo ww
Alafu mtu mzima.akisemamuongo nikama anakunya hadharani ,, CCM akili haman wanafikiri bado watanzania ni wajinga ,, subirini majibu ya hoja acheni propoganda
MGOMBEA MWENZA kwa utaratibu WA CCM Hana nguvu Wala maamuzi