"RAIS SAMIA HAWEZI KUUZA NCHI, WANASEMA HANA JEMA NA BARA, HANA HURUMA NA BARA, KATAENI" KINANA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 05. 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Komentáře • 65

  • @Lucas-vq3gr
    @Lucas-vq3gr Před 2 měsíci +2

    Yes Hana jema, Samia Mrembo tu Wa Zanzibar, Na hiyo catiba mpelekee Bibi yako

  • @user-uq2gm5jj1f
    @user-uq2gm5jj1f Před 2 měsíci +2

    Hata mseme ccm mmetufikisha hapa maisha magumu hii ni ccm nyingine tofauti na ya nyelele tafakarini sana cag anatoowa tarifa za Hela zilizopigwa mnachekacheka tu nchi inapigwa mnakusanya Hela kwa masikini zipigwa huko juu kazi kusifiana tu chadema wako sahibi mbona mama hataki ushauri tumepiga kelele bandari tusibinafshishe

  • @levidavid1156
    @levidavid1156 Před 2 měsíci +3

    kinana umeamua kuzeeka vibaya sana

  • @christophersimoni1434
    @christophersimoni1434 Před 2 měsíci +3

    Mzee wa hovyo Sana ww

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli4043 Před 2 měsíci +2

    TUNATAKA KATIBA MPYA TUNATAKA TANGANYIKA YETU

  • @user-wx8bn3rd7l
    @user-wx8bn3rd7l Před 2 měsíci +2

    Sawli kinana, bandari za Zanzibar je vip

  • @mozejcs9160
    @mozejcs9160 Před 2 měsíci +1

    Hii mizee Mibinafsi sana, hawa wachumia tumbo

  • @yonazimpombe1160
    @yonazimpombe1160 Před 2 měsíci +1

    MGOMBEA MWENZA kwa utaratibu WA CCM Hana nguvu Wala maamuzi

  • @ezekielmatondane714
    @ezekielmatondane714 Před 2 měsíci +1

    Ata mumutetee vp huyo bibi hafai kabisa

  • @juliuszakayo6771
    @juliuszakayo6771 Před 2 měsíci +1

    Kumbe hata unaowahutubia wamejua unawadanganya ,, siunaona wanakuangalia kama mata anaeyaogelea maji machafu

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před 2 měsíci +1

    Nchi mbona mmeuza siku nyingi,wamasai wako wapi,ni kweli samia hana huruma watanganyika,,wewe ndiyo baba lao la mafisadi,

  • @robertmisako9443
    @robertmisako9443 Před 2 měsíci +2

    Wewe mzeee umesha zeeeka tulia kaaa pembeni huna lolote

  • @NoelyMziray-gi4xv
    @NoelyMziray-gi4xv Před 2 měsíci +1

    Soma katiba ya Zanzibar inasemaje mbona hamsomi vifungu

  • @user-qk2wu5wm1f
    @user-qk2wu5wm1f Před 2 měsíci

    Uliiba twiga ukawauza Qatar uarabuni wanyama hai😢😢😢

  • @ndarokassim6462
    @ndarokassim6462 Před 2 měsíci +1

    ww mwenyewe mlowezi,ndio maana full kuua ndovu

  • @faustinluambano2958
    @faustinluambano2958 Před měsícem

    Usitufundishe kuelewa somo

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli4043 Před 2 měsíci +1

    Hatudanganyiki tunataka katiba

  • @user-dq1vo6kv9q
    @user-dq1vo6kv9q Před 2 měsíci

    ❤❤❤❤

  • @dominickrukokelwa1284
    @dominickrukokelwa1284 Před 2 měsíci

    Chuki kubwa dhidi ya Rais haiko CHADEMA bila shaka imo ndani ya moyo wa CCM.

  • @musajuma8353
    @musajuma8353 Před 2 měsíci

    Kuna kitu kinaitwa reverse psychology,unaweza kuona anamtetea mtu na ikawa kinyume.

  • @calvinlema6107
    @calvinlema6107 Před 2 měsíci

    Katiba safiiii 😮

  • @MakalaCharles-uk1ny
    @MakalaCharles-uk1ny Před měsícem

    Je na zanzibar pana mtu wa bara ni Rais

  • @user-wt7vz1xx6c
    @user-wt7vz1xx6c Před 2 měsíci

    Machawa

  • @user-wt7vz1xx6c
    @user-wt7vz1xx6c Před 2 měsíci

    Kwali sikio lakufa hlipati dawa nendeni Ivo Ivo ushindi laizima

  • @allyomary2271
    @allyomary2271 Před 2 měsíci

    Sasa kinana mbona kama umekubaliana na lisu kuhusu mapungufu ya katiba yetu kwa mazungumzo yako hapa?

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli4043 Před 2 měsíci

    Yalitizamwa ki CCM na si kisheria

  • @user-or2od2rz1c
    @user-or2od2rz1c Před 2 měsíci

    alafu wana ccm watanzania wameisha elimika bado mnazani wa tz bado nimazuzu tu sikweli kwenye uchaguzi mlisha wakatisha wa tz kupiga kula lefa wenu kila kitu chenu mnasema mnauchaguzi nanani muwe mnajitangaza tu hata hela zakampeni mnachezeaga tu kodi zawananchi hi nchi haina uchaguzi mlisha wazalau tu wa tz kuwa uelewa wao mdogo

  • @user-zo7vl8bw8z
    @user-zo7vl8bw8z Před 2 měsíci

    Kwamaoni yagu iwekwe sheria iliiweze kulida kauli kama hizo zakuambiana hivo mara muzanzibar mara ana toka Bara naiwe nisheria kila anae jiita mwana Sasa achuge kutega au kubagua watu kwakauli kama hizo

  • @user-zc2ms4wl6r
    @user-zc2ms4wl6r Před 2 měsíci

    Mzee usipeleke mbali lami iliouzwa ilikua nikwajili yakuchenga uwanja wandege wasumbawanga ,je samia alikuwepo

  • @obadiajuma436
    @obadiajuma436 Před 2 měsíci

    Nikweli hana uruma nasikini yeye ni raisi wamatajiri ndiomaana masikini ata walalamike hanamajibu yamasikini yuko namajibu yawawekezaji namatajiri wenye mabasi Costa na madukamakubwa nawenyemitandao yasimu

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 Před 2 měsíci

    Ila hii nchi bhana,huyu mzee kwa nini asistaafu?mbona vijana ni wengi,hizo hekima za wazee si tutakua tunazifata makwao asee!!! Watu ni wale wale tu toka enzi za Nyerere jamani

  • @emmanuelmarko8442
    @emmanuelmarko8442 Před 2 měsíci

    Hoja za lisu bado hajakipatia. Kuna katiba ya Zanzibar na ya Tanzania. Je? Katiba yetu Tanganyika Iko wapi? Mh lisu alisoma katiba ya Zanzibar wewe kinana unasoma na kufafanua katiba Ipi? Lisu yuko sahihi kaeni vizuri mtafakari kwa nini hamhitaji katiba mpya? Mkishapata jibu ndipo mtoe majibu mazuri kwa wanachadema au watanzania kwa ujumla. Hii nchi yetu mnaofaidi ni nyie akina kinana. Madini mafuta gesi makaa ya mawe mbuga zetu wanyama kama tembo faru swala ngurue pori na nk. Mmezidi ulafi hii nchi yetu tumebarikiwa sana lakini uongozi ambao ni makini haujapatikana. Tunahitaji katiba mpya ili mambo yakae sawa na kiongozi aweze kuwajibika pindi afanyapo kosa.

  • @aristideskilawe5024
    @aristideskilawe5024 Před 2 měsíci +3

    Tumuunge mkono ACHANENI NA hawa wanaotaka kututenganisha kwa utanganyika na UZANZIBARI sisi ni watanzania

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo Před 2 měsíci

    Mizuka ya ndovu inalia babu tunakusubiri sana huku

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds Před 2 měsíci

    Tunataka katiba mpya hatudanganyiki na hiyo CCM yako

  • @LesiJama
    @LesiJama Před 2 měsíci

    Yanapotokea mambo kama hayo lazima wazee hao wasimame ila naombeni ngorongoro angalieni kwa jicho la pembeni

  • @NoelyMziray-gi4xv
    @NoelyMziray-gi4xv Před 2 měsíci

    Kinana hajitambui mbona husomi katiba ya zanzibar

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli4043 Před 2 měsíci

    Sisi tuna lala na jaa

  • @juliuszakayo6771
    @juliuszakayo6771 Před 2 měsíci

    SOMA.KATIBA YA NZANZIBA INASEMAJE ? MUH: LISU HATA MKUSANYIKE MACCM WOOOOOOTE MAZUZU MAKA KINANA HAMUWEZI KUMJIBU MSOMI AMBAE NI KIONGOZI MTU WA HAKI MTU JADIRI MAALIMU ANAEITWA NDUNDU LISU,, UKISHA KUA CCM AKILI INAHAMIA MAKALIONI

  • @hakiyangu
    @hakiyangu Před 2 měsíci

    Nyinyi ndo mnatakiwa kufa badala yake mnawauwa watetezi wa mali za Tanganyika. Mwizi tu wewe.

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli4043 Před 2 měsíci

    Mlisema hatioongea sasa vpi

  • @MagsKitundu-wb2wm
    @MagsKitundu-wb2wm Před 2 měsíci

    Mnatakiwa Muwajibu hivyo tena Muanike Mambo Anayoyafanya Samia .mimi najua Samia anafanya kazi kubwa sanaaa

    • @ramadhanchenga4606
      @ramadhanchenga4606 Před 2 měsíci

      Ni kweli kazi kubwa bandari imeenda wamasai wakimbizi kazi kubwa

  • @user-zc2ms4wl6r
    @user-zc2ms4wl6r Před 2 měsíci

    Magufuli. alisema tumwamini samia maana nimama mchapa kazi naniukweli bila uongo miradi mikubwa,inatekelezwa na inakamilika

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před 2 měsíci

    Machawa wanapiga makofi

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Před 2 měsíci

    Lisu alikuwa anasoma katiba ya zanzibar hivi wewe hujui kama wazanzibar wanakatiba yao?

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v Před 2 měsíci

    Hueleweki wewe babu .. ndio umeifikisha nchi hapa . Wezi nyie

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli4043 Před 2 měsíci

    Tatizi la BANDARI ni mkataba hauna kikomo tuletee mkataba sio maneno mepesi hi vi

  • @user-ih1pk1vs4q
    @user-ih1pk1vs4q Před 2 měsíci

    Hujatujb kinana maliasili zetu vp

  • @geey7893
    @geey7893 Před 2 měsíci

    Magufuli alikufa mkajidai kubebana na ndoa yenu ya Mkeka now mko wapi mmeanza kugeukana Walafi nyie. Tena wewe ulijiudhuru kisa umebanwa na Mzee JPM baadae umerud kufuata asali. Huoni ata aibu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 2 měsíci

    Nyie hamtendi haki ripoti ya Cag imetoa ripoti ya mijizi kwanni msiwatumbue kama Magufuli nyie mnalea wezi humo ndani ya ccm mijizi kubao

  • @beatusmajumbi7125
    @beatusmajumbi7125 Před 2 měsíci

    Miongoni mwa watu ambao taifa haliwezi kujivunia ni wewe,

  • @user-cu3cl4yy5s
    @user-cu3cl4yy5s Před 2 měsíci

    Mbona haweki mikataba za rasilimali za Zanzibar ??? Bandari na ngorongoro kwanini au zinafaidi bara peke yake??? Mbona asigombee wa bara Zanzibar

  • @allyiddi5866
    @allyiddi5866 Před 2 měsíci

    Hivi hwa chamdomo ukifika wakati wa uchaguzi mkuu wathutu kwenda zanzbar kutafuta mgombea mwenza wa tundu bovu ? Ili awe mgombea mwenza au ni dalili za kutaka kukiuka taratibu za uchaguzi ili waseme hawkutendewa haki?

  • @juliuszakayo6771
    @juliuszakayo6771 Před 2 měsíci

    Alafu mtu mzima.akisemamuongo nikama anakunya hadharani ,, CCM akili haman wanafikiri bado watanzania ni wajinga ,, subirini majibu ya hoja acheni propoganda

  • @yonazimpombe1160
    @yonazimpombe1160 Před 2 měsíci

    MGOMBEA MWENZA kwa utaratibu WA CCM Hana nguvu Wala maamuzi