Wakili Mwabukusi Apewa Onyo na Kamati ya Mawakili ya Maadili 'Hatutakiwi Kuogopa'

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 05. 2024
  • #ijuesheria

Komentáře • 100

  • @jumakisailo8496
    @jumakisailo8496 Před 2 měsíci +2

    Mungu akuzidishie, busara, hekima, uvumilivu, lakini pia na ujasiri mkubwa. Binafsi sitapenda mheshimiwa Mwambukusi upotee mazima. Mungu akubariki sana..❤️🙏

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 2 měsíci +1

    Mwambukusi Mungu akubariki sana na elimu unayoitoa kwa sisi jamii imenijengea kujiamini kuwa mimi Mtanganyika sitakiwi kutishwa tishwa hapa Tanganyika tumebaki kutetemekea CCM ati sisi tunabaki kuitikia utumwa. Usiogope Tunakuaminia na tunakupenda sana

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 Před měsícem

    Mungu yuko nawe brother mzalendo wa kweli . Ubarikiwe sana

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 Před 2 měsíci +4

    Kiongozi tunakuelewa sana na tunakuombea sana Mungu azidi kukutetea katika majukumu yako siku zote, Ameni

  • @fredimtaze9982
    @fredimtaze9982 Před 2 měsíci +1

    🙏🙏Haina shida mzee wetu sisi tuko pamoja wewe hao machizi pigania haki za watu wanao oonewa mungu akubaliki

  • @user-bp7nb7yp2o
    @user-bp7nb7yp2o Před 2 měsíci +1

    Big up kaka Mungu yupo pamoja nawe.ukweli mara nyingi hushinda.

  • @ignacekiwale7281
    @ignacekiwale7281 Před 2 měsíci +7

    Dhahabu "HUPIMWA KWA MOTO"Nakupongeza sana Mhs: Adv.Mwabukusi...watetesi mpo wachache...Ubarikiwe sana

  • @amos878
    @amos878 Před 2 měsíci +1

    This is my guy Mr mwabukusi I will stand with you sir mungu utuamshe sisi watanganyika kwa kweli barikiwa baba 👏👏👏

  • @joelmwaitege2121
    @joelmwaitege2121 Před 2 měsíci

    Amen.
    Ubarikiwe sana

  • @user-ex9gt9np8i
    @user-ex9gt9np8i Před měsícem

    Nakupongeza Kaka yangu tukopamoja🙏

  • @gracyusoy9435
    @gracyusoy9435 Před měsícem

    Huyu jamaa huwa ananifurahisha sana ...ni miongoni mwa watanzania wachache sana wanaotupa tumaini kwamba Tanzania inaweza kupata viongozi wazuri....watu wa Busokelo msifanye makosa hakikisheni Mwabukusi anakwenda Bungeni 2025 halafu menine yatajulikana

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 Před 2 měsíci

    Baba tipo pamoja, Mungu akiwa dereva wako moja kieleweke. Usiwaogope mafisadi hão wasiyo na haya

  • @israelmwalukasa7295
    @israelmwalukasa7295 Před 2 měsíci

    Hongera sana

  • @jacobmakono4399
    @jacobmakono4399 Před 2 měsíci

    Professional misconduct!!..I like it!

  • @user-qk9iz5lt8q
    @user-qk9iz5lt8q Před 2 měsíci +1

    HAYO TUME YASIKIA WOTE NA TUKO PAMOJA KAMA UKINYAMAZISHWA MAWE NA ARIDHI YA NCHI HII YATA SEMA NA KULIA NA MUNGU ATASIKIA NA KUJIBU

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 Před 2 měsíci

    Respect

  • @neliusgosbertbaguma8693
    @neliusgosbertbaguma8693 Před 2 měsíci

    Salute to

  • @viktamassawe2925
    @viktamassawe2925 Před 2 měsíci

    Barikiwa sana wakili msomi

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před 2 měsíci

    TUNAZIDI KUKUOMBEA WAKILI MAHIRI SANA BWANA BONIFACE MWABUKUSI

  • @FESTOMBILINYI-mr2gr
    @FESTOMBILINYI-mr2gr Před 2 měsíci +1

    Mungu akubariki sana, tunakuelewa sana Wakili Msomi

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před 2 měsíci

    Haya mafisadi wanataka wanganyika wote tuwe machawa, wa ufisadi wao,pongezi kwako wakili

  • @user-so9fo5tv3j
    @user-so9fo5tv3j Před 2 měsíci +1

    Stay blessed lawyer Boniface Mwabukusu.

  • @daudisalum9574
    @daudisalum9574 Před 2 měsíci

    Namkubali sana Wakili msomi mwabukusi tupo pamoja sana kaka

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Před 2 měsíci

    Amini

  • @user-nm8ym6iq7n
    @user-nm8ym6iq7n Před 2 měsíci

    Fanya mazoez bro, tunakutegemea sana

    • @IbrahimTabu-qh9il
      @IbrahimTabu-qh9il Před 2 měsíci

      Tunatakiwa tukubali lolote litutokee hatakama nikutoa uhai wetu. Sisi laia wavuja jasho ndiyo nguvu yahao wanao ongea ukweli. Siyo kusifia nakuwaombea mungu...

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 Před 2 měsíci

    Kichaa ni were hayawani makubwa mnaoimeza nacho yeti. Namwimba Mungu azine Koo lako

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Před 2 měsíci +1

    Nilikuwa nimekumiss Nondo zako Wakili Mwambukusi nilikuwa nafuatilia mitandao karimbia wiki moja hivi. Mungu mwema.

  • @Mkemia..Kirigiti
    @Mkemia..Kirigiti Před 2 měsíci +1

    Usijisahau sana bro, pamoja na kwamba unafanya harakati zako. Ila chunga sana baadhi ya maneno. Ni ushauri wangu kama mdogo wko.
    I STAND TO BE CORRECTED🤝

    • @SiphaheryJafarymsogoya
      @SiphaheryJafarymsogoya Před 2 měsíci

      Sjajua kwani kakosea wapi ndugu yangu kama wewe unakubaliana na mifumo sawa ila ukweli usemwe jamaa kasema ukweli

  • @ezekielmusa1390
    @ezekielmusa1390 Před 2 měsíci

    🙏🙏

  • @fidelischibukwe543
    @fidelischibukwe543 Před 2 měsíci

    🙏🏾🙏🏾

  • @user-so9fo5tv3j
    @user-so9fo5tv3j Před 2 měsíci

    Stand up with justice being witnesses for GOD. And then even if it is against your own people. (Quran 4:135)

  • @user-my7fj6wn7y
    @user-my7fj6wn7y Před měsícem

    Daud alimuangusha goliati na ww amni tuko nyuma yako my brother

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 2 měsíci

    Watawala wa CCM wataenda wanako kwenda na matendo yao maovu yattangulia mbele watashangaa yote wanafanya yatawashuhudia mbele za Mungu ni watu Wabaya sana na wametufanya watumwa muda mrefu kiasi kwamba watanganyika hawajielewi mpaka wanafurahiwa na utumwa sasa kiasi kwamba ukiwauliza wanasema ee tusije tuasikika tukaleta. Nyerere mwenyewe angekuwa mwoga kiasi hicho Mpaka leo tungekuwa na Waingereza wakitutwala bado. Watu mfano wa Mwambukusi tunawaitaji ili watu wapate kujiamini tena Inchi kwetu Tanganyika. Ndiyo sababu wazika Tanganyika na sisi tunawachekea na kusema saw ati wanaogopa kuuwa kwani wao Mungu?

  • @jesaminzo
    @jesaminzo Před 2 měsíci

    MUNGU ni mwenye haki, huwa siachi kukuombea mtumishi wa kweli wa BWANA.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 2 měsíci

    Huyo anakuanbia kutathimini maneno ni wachawa tu kwa sababu hujatumia maneno yaliyo ya kutukana na yasiyo ya ustarabu. Je hawaoni yanayo fanywa na watawala wa CCM? KWA KWELI SISI WANAINCHI TUMEBAKI NA WEWE NA WACHACHE WANAO ONA WATANGANYIKA WATU. KEEP IT UP.

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula Před 2 měsíci +1

    MSHUKURU RAIS SAMIA.ANA HURUMA.ACHA KIHELEHELE

    • @mzarendo.com9624
      @mzarendo.com9624 Před 2 měsíci

      Mkundu wako jinga wewe.
      Ndiyo nyie mkijazwa mimba mna mshukuru Samia.
      Hovyoooo !!!
      😳😳😳😳

    • @allymusira2153
      @allymusira2153 Před měsícem

      Wakati magufuli kafuta mikutano na kubinya democracy akujitokeza alikuwa wapi kama siyo unafiki

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz Před 2 měsíci +1

    Wewe ungekuwa mkweli ingekuwa vizuri sana lakini ubaya wako mengi unayoyasema si ya kweli kwahiyo jirekebishe

    • @Brunn-mh2bq
      @Brunn-mh2bq Před 2 měsíci

      Yeah right! Jina lako linaotujuza unakoelekea. Ukweli ni Ukweli tu hauna kuupuliza kuupoza. Unatakiwa uwe jasiri au muoga. Unatakiwa uwe unatazama pande zote mbili kwa usawa. La sivyo wapoteza muda wako na kujiaibisha ndugu yangu. Mwambukusu yuko sawa na anasema kweli. Huo uwongo wake tujulishe basi nasi tujue. Usijifiche nyuma ya maneno ya jumla jumla eh bro😊

    • @allymusira2153
      @allymusira2153 Před měsícem

      Ana chuki tu alikuwa wapi wakati magufuli anawapiga pini kina lisu mpaka wakakimbia nchi

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki Před 2 měsíci +1

    Sauti ya mungu unajua wewe siungekuwa mchungaji njaa tu kiboko yenu makonda

    • @sindaslyvester1007
      @sindaslyvester1007 Před 2 měsíci

      Sauti ya MUNGU si lazima uwe mchungaji: Kuna wachungaji wachumia tumbo

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 Před 2 měsíci +1

    Welldone wakili mwabukusi. ✌️👏🙏

  • @sportsnewjs4330
    @sportsnewjs4330 Před měsícem +1

    Mwabukusi' waliyo kupa onyo ni CCM na sio mawakili
    Na hatahivyo' unapewa onyo kwalipi baya ulilotenda'!? Mwabukusi ukosahihi kabisa kwakutetea Nchi yetu na raslimali za Nchi yetu Tanzanian

  • @chalokalunde9429
    @chalokalunde9429 Před 2 měsíci

    Tukikosa watu kama Mwabukusi, basi ujue Tanganyika nzima ni kusanyiko la Matahiira .

  • @user-ti8fn1wn1w
    @user-ti8fn1wn1w Před 2 měsíci

    Tunakuamin wakili wetu wewe ndo msomi

  • @Lubango-gj3ud
    @Lubango-gj3ud Před 2 měsíci

    Boniphas Mwabukusi , Musa uliyetumwa kuwakomboa wana wa israel(watanganyika) kutoka utumwani misiri(ccm) Viva walkili

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Před 2 měsíci

      Eeh! Watanganyika kutoka utumwani wapi....? Watu mnafikiria mbali!

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi Před 2 měsíci +1

    👇🏿
    #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 Před 2 měsíci

    hao ni machawa achana nao piga kazi kamanda tupo pamoja

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf Před 2 měsíci +3

    KAA KARIBU NA MICROPHON USIKEKE PUMBAVU WEWE UMEZOWEA KUWAPOTOSHA WA TANZANIA " UKIENDELEA KUWAPOTOSHA WA TZ SHERIA HAIJAENDA LIKIZO" TUTADILI NA WEWE TUU HAKUNA NAMNA NYENGINE.

    • @nabimanyafesto5014
      @nabimanyafesto5014 Před 2 měsíci

      Ivi wewe na yeye mpumbavu ni nani?

    • @Brunn-mh2bq
      @Brunn-mh2bq Před 2 měsíci

      ​@@nabimanyafesto5014Nashangaa eti hamna namna "nyengine"😊 .Lione kwanza ya Mchambawima anataka kuhamishia kwa wasomi. Nyooo!!!

    • @user-ti8fn1wn1w
      @user-ti8fn1wn1w Před 2 měsíci

      We shoga nin mavi wewe

    • @austorb.nyondo2708
      @austorb.nyondo2708 Před 2 měsíci

      Nilijua shetani yuko kuzimu kumbe upo duniani? Acha ujinga jifunze kwa mwanasheria mwenye utu na mtetezi wa watz wetu.

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward Před 2 měsíci

      Kuendelea kuwalinda wasipotoshwe kwa hoja dhaifu ni udhaifu pia. Wanakula na kushiba huwaona raia wengine ni nusu watu au waliumbwa na Mungu mdogo. Binadamu wote sawa tunaelewa kama wewe. Labda wale wachache waliodumaa. Wengi wetu tumijifunza kutumaini tu
      Ipo siku tutachazana fimbo kwa tabia ya kudharau. Anatupotosha sisi hatuna akili? Hûwa tunatafakari kila jambo ndugu kwa akima sana. Ni bora useme kakupotosha wewe. Utawala hautetewi kwa akili nyepesi kiasi hicho.

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko Před 2 měsíci

    Wewe na makonda na lisu mko sawa kuwa viongozi wa juuuu

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 Před 2 měsíci

    Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana

  • @kakawataifa6752
    @kakawataifa6752 Před 2 měsíci

    Mungu anapenda watu wajasiri ,serikali inapenda wenye hofu je wewe mwenzangu utakuwa upande gani ?

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 Před 2 měsíci

    nchi yetu haiongozwi kwa mujibu wa Sheria Tanzania is a banana republic

  • @maranduleshira3727
    @maranduleshira3727 Před 2 měsíci

    Malcom X.

  • @user-nd4tq6nd8s
    @user-nd4tq6nd8s Před měsícem

    Tuko pamoja

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před 2 měsíci +1

    HAKINA ANAE KATAA KUKOSOLEA ILA INATEGEMEANA UNAMKOSOA KWA NJIA GAN UKIKOSIA KWA KUTUKANA HATUNA ATAKAE KUKALIA KIMYA KO REKEBISHA UONGEAJ WAKO

    • @usembiphonedar5632
      @usembiphonedar5632 Před 2 měsíci +2

      Mwizi anaitwa Mwizi! Jambazi anaitwa jambazi! Fisadi anaitwa Fisadi! Mchawi anaitwa mchawi! Chawa ni chawa tu! Je wewe unataka akosoe vipi! Awaiteje hao watu! Wanufaika wa huu mfumo kandamizi wa mafisadi hawawezi kumkubali wala kumwelewa Mwabukusi! Tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi!

    • @rehemaanyisile6205
      @rehemaanyisile6205 Před 2 měsíci

      How

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko Před 2 měsíci

    Hawatakuweza jeova hameshakuweka katika mioyo ya watu hachana na matumbo ya tamaa Kuna siku tu yatanyauka si kitambo

  • @YusufSwaibu
    @YusufSwaibu Před 2 měsíci

    Ulitete ubinafisaji bandari I lengo kutetea wapigaji ww uko kimasilahi Kwa wapigaji

  • @user-de8ly6ck8x
    @user-de8ly6ck8x Před 2 měsíci

    Verified sentences I missed u

  • @lupakisyoassa1579
    @lupakisyoassa1579 Před 2 měsíci

    Uoga ni dhambi kubwa, maana hata sauti ya Mungu akitaka kufanya jambo juu ya mtu wake alituma Malaika usiogope.

  • @MusyangiMatoti
    @MusyangiMatoti Před 2 měsíci

    Kauli ilijazwa kwa jazba kubwa mno, maneno Yako vema, mawakili wenzako mbona wapo mbali kwa jambo hili?

  • @user-lw3tg3yg5b
    @user-lw3tg3yg5b Před 2 měsíci

    Damu ya Yesu ikufunike na kukukinga nahila zao hawa wasio na haya wala soni Mungu akubariki na kukulinda ndugu yangu

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq Před 2 měsíci

    wanaojua makosa ya inchi hii wasomi wakiwemo wanasheria wa kujitegemea ndio wanaotetea wanainchi sisi watanzania tuko na nyie musichoke maana wanasheria serikali ni ccm ndio maana hata mabaya ya viongozi wao wanayabariki

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 Před 2 měsíci

    Smart guy ..lazima ujue gharama ya nafasi yako..
    Kazi ya wakili Ni ya Mungu
    Ukikosea utahukumiwa na Mungu
    Lazima mtende haki na kusimamia haki

  • @user-ur3rx3eu9f
    @user-ur3rx3eu9f Před 2 měsíci

    Pambana tupo nyuma yako

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l Před 2 měsíci +1

    ALAFU BAADHI YA WADAU KUKUPA SIFA ZISIZOFAA PIA WANAPITILIZA...WEWE HUWEZI KUWA SAUTI YA MUNGU NI BINADAMU WA KAWAIDA HUO NI UPUUZI TU

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před 2 měsíci +1

    HATUPING KAZ YAKO ILA NA WEW UMEONESHA MADHAI KIBAO KWENYE KUONGEA NA KUTUKANA VIONGOZ WETU HUNA HAJA YA KUTUKANA VIONGOZ WAKOSOE KWA HESHIMA

    • @jovinjoseph1247
      @jovinjoseph1247 Před 2 měsíci +1

      Mwizi ni Mwizi tu

    • @rehemaanyisile6205
      @rehemaanyisile6205 Před 2 měsíci +1

      Hakuna kupaka mafuta kwamgongo wachupa

    • @austorb.nyondo2708
      @austorb.nyondo2708 Před 2 měsíci

      Nafikrii ukiibiwa au mwanao kubaka nafikiri mbakaji utamuomba mzungumze kwa heshima maana mbakaji kwako anastahili heshima kuliko dhambi ya ubakaji aliotenda

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c Před 2 měsíci

    Ww ni sauti ya mungu kama hutojali no yako ya cm muheshimiwa pls

  • @jimonmwakalebela9470
    @jimonmwakalebela9470 Před 2 měsíci

    Gombea ubunge ccm

  • @khamismakame
    @khamismakame Před 2 měsíci +1

    Huyu Kichaaa afutiwe usajili Hana adabu wa code of conduct Anachnganya uwakili na Siasa Futa certification yake akalime Mahindi

    • @rehemaanyisile6205
      @rehemaanyisile6205 Před 2 měsíci +3

      Pumbavu kalime wewee,bwege mkubwa

    • @Brunn-mh2bq
      @Brunn-mh2bq Před 2 měsíci +2

      Punguani weye umeishia la pili unataka nawe uonekane mtu😊

    • @user-sl8bu3we1m
      @user-sl8bu3we1m Před 2 měsíci +1

      Pumbavu msukule wewe

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward Před 2 měsíci

      Tunaweza kushugulikiana sisi kwa sisi, ila nyuma ya pazia umaskini unatushukia wote.magonjwa yanayotibika yanatumaliza, vifo vya ajali vinatumaliza, rasilimali zinaporwa, ujenzi wa barabara kandarasi wanagenga wageni! Rushwa,wizi, uzembe CAG kila mwaka anatuonyesha.unatumia nguvu kubwa kushugulikiana? Haya nayo maendeleo? Au ni woga wa mtu aliye panda mgongoni mwa siba? Anaogopa kushika? Dhana kushugulikiana ni kikwazo cha maendeleo yetu. Uadui kila mahari utadhani tutaishi milele. Ajabu tunakomoana Kwa hasara ya uzao wetu wenyewe.

    • @frankremishoy5778
      @frankremishoy5778 Před 2 měsíci

      Msukule kabisa.kwanza kazi ya uwakili ni mtetea mtu yeyote aliye onewa hata kama siyo mahakamani

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l Před 2 měsíci

    Unapambana kukosoa mapungufu ya baadhi ya mambo LKN KASORO YAKO ni namna ya KUWASILISHA ndipo unakosa hekma na BUSARA na MWISHO WA SIKU HATA hayo unayoyasema yanaonekana ni UTUMBO Kwa baadhi ya watu

    • @nabimanyafesto5014
      @nabimanyafesto5014 Před 2 měsíci

      Hekima ipi ?? Watu wengine ni kwasabb hata wivu wa Mungu hamuujui. Hizo ni hekima za wizi mnazo zitaka anyway.

    • @IbrahimTabu-qh9il
      @IbrahimTabu-qh9il Před 2 měsíci

      Mtu yeyote akikosea anambiwatu hata kutukanwa sawatu haijalishi ninani.

  • @djumakadege659
    @djumakadege659 Před 2 měsíci

    Mheshimiwa Mwabukusi !
    Tunakuomba UMSHUKURU MwenyeziMungu.
    Hakuna anaekutisha wenzio wanakupenda ndiyo maana wamekusii ukae kimya.
    Kama kashindwa Jaji Mkuu Nyalali !wewe ni nani ? kama Jaji kissanga , Jaji Samatta hawa wote ni weledi wa sheria ! wewe nani ?
    Tunakuomba nenda jimboni kagombee ubunge au urais ili ukapiganie hayo unayoyataka.
    wameshindwa manguli wa sheria itakuwa hawa wa Leo.
    Matatizo ya nchi hii yslianza pale waasisi wa uhuru walipoenguliwa kwa dhulma wengi wao walikuwa waislam ndiyo maana dhambi ile inatafuna nchi mpaka na kesho.
    dhulma mwisho mbaya.
    wazee wetu walitafuta uhuru ili watu wote tupate haki lakini matokeo yake wakabaguliwa baada ya uhuru kupatikana . msimtafute mchawi ! wachawi wanajulikana hao ndiyo wametufikisha hapa. Mheshimiwa usilaumu tulipo angukia ukasahau tulipo jikwaa. Aksante