MAKUBWA, MTANZANIA ALIYEGUNDUA DAWA YA UKIMWI AELEZEA CHANZO CHA DAWA HIYO,MSIKILIZE AKIFUNGUKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 05. 2023
  • #uhondotv #uhondo

Komentáře • 131

  • @JosephJulus-wi6xy
    @JosephJulus-wi6xy Před měsícem +3

    Hyo dawa inapatikana kwa Gani

  • @user-sm4vk5gh1k
    @user-sm4vk5gh1k Před 8 měsíci +8

    Mnaomponda huyu tr ndo mabarozi wa vvu mnatetea matumbo yenu mnafulahia watu wateseke dawa isipatkane na mungu amekataa kamleta huyo kuikomboa dunia.

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u Před 7 měsíci +6

    Mama Samia tusaidie mpe ushirikiano mpe kazi ndugu yan gu Msigwa awe waziri wa afya

  • @user-sw7bh9eh6u
    @user-sw7bh9eh6u Před 5 dny

    Munguakulinde

  • @jaydjuma8255
    @jaydjuma8255 Před 10 měsíci +5

    Lakini jamani Africa sis tunalana gani lakini mbona maisha yetu Yana zidi kuzorota sana day by day kisa ubinafsi sana watu wanateketea na watu mpo

  • @wilsonslaa5533
    @wilsonslaa5533 Před 4 měsíci +1

    Mungu akusaidie San uendelee ivo ivo

  • @BUYEGILAZARO-dx5ug
    @BUYEGILAZARO-dx5ug Před 11 měsíci +1

    Hongera nimekusoma,,

  • @aloyceiluminata3650
    @aloyceiluminata3650 Před rokem +13

    Huyu asipoangalia watamuua...ukimwi au virusi vya HIV vilitengenzwa na wamarekani ni biological weapons...lengo ni kupunguza watu ila pili lengo ni kupiga pesa!!!!kuwa makini doctor

  • @user-ip4mr5mt6m
    @user-ip4mr5mt6m Před 8 měsíci +1

    Mungu akulinde Mr msigwa

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 Před rokem +4

    Be bless kaka usife moyo kama unsitaji clincl mororogo nitakuoa bei nafuu kabisa weka simu nitakupigia

    • @masalachifumbo389
      @masalachifumbo389 Před rokem

      Musigwa ijtahidi dawa yoko saidia watu wapone mambo haha magu biyashala ya dunia watu watalala bila kula

  • @reubenjoram9675
    @reubenjoram9675 Před 5 měsíci

    Hongera sana tumechoka nahisi hali

  • @user-em9xm3sh1p
    @user-em9xm3sh1p Před 7 měsíci

    Mungu akubarik

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u Před 7 měsíci +2

    Angalia ndugu yangu Msigwa wasije wakakupoteza maana wazungu ni waongo sana mitishamba ndio dawa Bora duniani

  • @user-vh6nh6fp2z
    @user-vh6nh6fp2z Před 4 měsíci

    Usife moto Mr msigwa mungu atakusaidiya

  • @user-dx9gf7vx1r
    @user-dx9gf7vx1r Před 4 měsíci

    Mungu akutete na kukulinda,

  • @StephanoWiliam-oy5bz
    @StephanoWiliam-oy5bz Před 6 měsíci

    Namba brother

  • @mildredsophia7122
    @mildredsophia7122 Před 11 měsíci +1

    May God preserve you for us. Kuna watu wengi wanatumia HIV kama kitega uchumi na hawataki tiba ipatikane.

  • @LemmyJoseph-ye3dp
    @LemmyJoseph-ye3dp Před 29 dny

    Ok

  • @user-ib8vo3qb4c
    @user-ib8vo3qb4c Před 21 dnem

    Hiyo dawa angeigundua mzungu wala kusingekuwa na kikwazo lakini mwafrika mmmm tutakapotoa taarifa ulimwenguni tunaogopa tutakosa missada kwa hisani ya mareka lakin inshallah tunazidi kumuomba mw MUNGU atie wepesi kwa hilo

  • @isaacashel3328
    @isaacashel3328 Před 7 měsíci +2

    😢jaman tupeni hiyo vvu inatesa atali kwakweli

  • @lilianimachumi4508
    @lilianimachumi4508 Před 6 měsíci

    Mungu asaidie

  • @user-sw7bh9eh6u
    @user-sw7bh9eh6u Před 5 dny

    Tunaombanamba plees doctor

  • @AnnaNdimbo
    @AnnaNdimbo Před 20 dny

    Naomba namb yk plz

  • @SaraphinaMange
    @SaraphinaMange Před 21 dnem

    Unapatikana wap

  • @user-os6ne4zc4l
    @user-os6ne4zc4l Před 4 měsíci

    Naomba namba

  • @peteremanuel8022
    @peteremanuel8022 Před 12 dny

    Mbona hujaanza kutibu sasa?

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 Před 9 měsíci +2

    Waafrika tunashida sana.Kumwani mwafrika mwenzeke kwlolote lile nikazi.Hpo angekuja mzungu akatangaza amepata dawa yaukimwi,hyo angepokelewa naangepewa ushirikiano wte mpka eneo angepewa.Namsamahaa wekodi angepewa.Nawananchi wngetangaxiwa nakushauriwa kwanguvu sana walekee hko kwamzungu.Lakini simwamfrika

    • @neemalkiswaga6126
      @neemalkiswaga6126 Před 4 měsíci

      Aende Kwa wazungu wamuuwe

    • @Kanga-pu6yl
      @Kanga-pu6yl Před 29 dny

      Siasa za magharibi na Africa hakuna ni binu na lugha ya biashara.
      Magharibi watu wafa bona wapinge maarifa kama inamanufaa.
      Karanga ni lugha ya kudharau kazi ya wengine, toa yako Bure zifanye kazi basi biashara itanoga.

  • @maisarahakizimana7074

    Namba

  • @user-ib8vo3qb4c
    @user-ib8vo3qb4c Před 21 dnem

    Na mkimuua huyu kaka wallah tutafunga siku 40 kisha tutatandika kisomo cha kufa mtu atakehusika kwnza tunaanza na familia yake then mwenyewe ankuwa wa mwisho apate uchungu kwanza wa kufiwa alafu anamalizika mwenyewe

  • @abuumitema548
    @abuumitema548 Před rokem

    Krinic yako iko wapi

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula Před rokem +1

    Njaa mbaya

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Před 26 dny

    Hivi Dr msigwa unavyotuambia si uandike namba Yako ya cm watu wakutafute Cha msingi namba ya cm kaka hayo ya serikali ikuruhusi ni ngumu maana wanajali maslahi yao tuu angekuwa magufuli angekuruhusu hao wenzangu na Mimi haaaa

  • @user-ev9ps4vo4p
    @user-ev9ps4vo4p Před 9 měsíci +2

    Samahani ninapokuja kwako natakiwa niwe najua wingi wa vijidudu kwani nikija huwezi kunipima wewe ukanipatia damu na vipimo vyako ni bei gani?

  • @user-iu5rb9tk1c
    @user-iu5rb9tk1c Před 4 měsíci +1

    Doctor unapatikan wapi

  • @mamaafrica-kq6ni
    @mamaafrica-kq6ni Před 5 měsíci

    Unapatikana wp doctor

  • @habibahamisi2367
    @habibahamisi2367 Před 2 měsíci

    Dr,selikali hautakubali kukutangaza kwasabababu hawana uchungu na watu wao,lengo lao nikuua nguvu kazi basi wasaidie watanzania toa namba za sim wananchi wanakuelewa,

  • @Kanga-pu6yl
    @Kanga-pu6yl Před 29 dny

    Bona Kwa CZcams yake hakuna comments hata mmoja Kwa jambo la hatari kama vvu.
    Hapa comments kibao hakuna kufuta.

  • @user-tk9bg5tv3m
    @user-tk9bg5tv3m Před 5 měsíci

    Dr.naomba namba

  • @StephanoWiliam-oy5bz
    @StephanoWiliam-oy5bz Před 6 měsíci +1

    Naomba namba brother

  • @BabdulyZaharani-en9br
    @BabdulyZaharani-en9br Před 4 měsíci

    Namba zako

  • @pmnyabaturi4484
    @pmnyabaturi4484 Před rokem

    #samiasuluhu

  • @habibahamisi2367
    @habibahamisi2367 Před 2 měsíci

    Eeh mungu baba mlinde huyu kiumbe wako na watu wenye chuki na binadam wa tanzania,Tr tunakuamini ila toa namba

  • @kamugishaurban1995
    @kamugishaurban1995 Před 10 měsíci +2

    dokita je una hospitar yako?

  • @AmourMahemba
    @AmourMahemba Před rokem +1

    Weka no

  • @user-pi6vs7jz6t
    @user-pi6vs7jz6t Před 7 měsíci

    Tunahitaji namba

  • @kamugishaurban1995
    @kamugishaurban1995 Před 10 měsíci +2

    dawa yako inapatikana wapi ? nasikia inatibu presha baba.

  • @lilianrwegasira2769
    @lilianrwegasira2769 Před rokem

    Namba yako baba atakayetaka atakutafta

  • @wilsonslaa5533
    @wilsonslaa5533 Před 4 měsíci

    Docta no zako pliz

  • @samwelkulagwa861
    @samwelkulagwa861 Před 2 měsíci

    Nitakuwa balozi wako Dr.

  • @maryjoseph6255
    @maryjoseph6255 Před rokem

    Namba tafadhari

  • @emmauszinedin2954
    @emmauszinedin2954 Před 6 měsíci

    Ndiyo hoho utafuti unewezekana Arakini utureteye watu 50 wenye nimzsha wapa sawa bakapona VHV Ndio tutapata ukweri sindio

  • @user-uh4kb2ox6b
    @user-uh4kb2ox6b Před 7 měsíci

    no yako

  • @allymohamed2630
    @allymohamed2630 Před rokem

    Mimi nahitaji naipataje sasa

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 Před 9 měsíci +1

    Wape dawa watu wapone sio kuongea mambo mengi

  • @agnessjoseph3199
    @agnessjoseph3199 Před rokem

    Tupe no kaka

  • @user-rd5gd4lc4e
    @user-rd5gd4lc4e Před 6 měsíci

    Wasaide

  • @user-wh3fe7xl7d
    @user-wh3fe7xl7d Před 3 měsíci

    Mtu akitaka kukupata anakupateje

  • @khadijamasoud4238
    @khadijamasoud4238 Před rokem

    Doctor namba yako

  • @user-gl8ij6mn6e
    @user-gl8ij6mn6e Před 5 měsíci

    Hapo kwenye gharama kuondoa ndio tatizo..wenzio wanapiga pesa kwa kuuza hizo dawa huu ukinwi ni biashara y watu

  • @Lupamwakyoma
    @Lupamwakyoma Před 7 měsíci

    Naomba namba yako Nita kutafuta

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u Před 7 měsíci +3

    Watu kama wewe Msigwa Mungu huwatumia kuwasaidia watu kupona huo ugonjwa wa ukimwi

  • @BeltaMatius
    @BeltaMatius Před 5 měsíci

    Tupe namba zako

  • @reubenjoram9675
    @reubenjoram9675 Před 5 měsíci

    Unatufaa wamarekani niwashenzi siwspendi

  • @isaacashel3328
    @isaacashel3328 Před 7 měsíci

    Tupe dawa dr watu tupone tu

  • @EnockFred-hs3wo
    @EnockFred-hs3wo Před rokem

    4 in 9 zinapatikana madukani au

  • @user-lg7xh1fh6k
    @user-lg7xh1fh6k Před 5 měsíci

    Sambaza maduka yadawabasi utuelekeze

  • @PricillahNdombi
    @PricillahNdombi Před 4 měsíci

    Naimba number

  • @alexvenas2699
    @alexvenas2699 Před rokem +2

    Mheshimiwa rais mama samia ,tazama suala hili ,kwani sisi hatuwezi kufika mahari tukajitegemea kama ichi Kwa vitu vyetu vya asili? Nina imani na wewe mama kama ulivyo tazama kero zingine kwa jicho la pili hata hili mama yetu msikivu unaweza kulitazama kama linaukweli ,Ama hapana halina ukweli.?

  • @Kanga-pu6yl
    @Kanga-pu6yl Před 29 dny

    Wapi walio pona, hakuna orodha yoyote.
    Vita vya vipimo, wasomi, wamagharibi na wazungu.
    Daktari hakuna research inafanya anatibu Kwa mjibu wa kanuni ya masomo.
    Toa dawa Kwa watu kumi, wapone na Dunia mzima itafata wewe, hii ingine ni biashara na sarakasi.
    Matendo si maneno, porojo na kudharau kazi ya wengine..

  • @YussufSaid-ok4pu
    @YussufSaid-ok4pu Před rokem

    Iyo dawa inapatikana wapi

  • @KingStationery
    @KingStationery Před 4 měsíci

    Aliyetumia akapona nani😊

  • @bundalamabula6264
    @bundalamabula6264 Před rokem

    Mimi sijakuelewa, wewe tangaza dawa zako kuliko kupondea dawa zingine

  • @user-fn9qt1oh1w
    @user-fn9qt1oh1w Před 5 měsíci

    Muongo huyo

  • @neemachrispine2342
    @neemachrispine2342 Před rokem +1

    Namba yako tutapataje

    • @mponziney5845
      @mponziney5845 Před 8 měsíci +2

      Namba yake unaipata kwenye CZcams na ukimpigia anapokea na anakuelekeza kulingana na shida yako

    • @rosemwenda8281
      @rosemwenda8281 Před 6 měsíci

      @@mponziney5845Mbona you tube hamna

    • @selemanifikirifundi8952
      @selemanifikirifundi8952 Před 6 měsíci

      @@mponziney5845 dada mponzi naomba unitafute na maswali nataka unisaidie tafadhali

  • @assfzainab912
    @assfzainab912 Před 8 měsíci +1

    DAWA CPO WATU WANAKUFA BURE TENA MIT AMBAO TUNAIPANDA NYUMBANI MUNGU HAWEZ KULETA UGONJWA BILA DAWA UKIMWI UNADAWA ZAKE

  • @RaynathaRangson
    @RaynathaRangson Před 10 měsíci

    Namba tafadhali

  • @joramkimario9321
    @joramkimario9321 Před rokem +2

    Kama hamuamn bas ngojen zungu aseme

  • @abdalahmrisho3076
    @abdalahmrisho3076 Před rokem +3

    Ww mwongo mwongo acha kudanganya watu

  • @josephatmathiasgalagalabuh786

    duh

    • @chiku6136
      @chiku6136 Před rokem

      Weka namba

    • @abubakarimburu9096
      @abubakarimburu9096 Před rokem +1

      Sisi binadamu ukweli tunaukataa kabisa kwa sababu tumezoea kudanganywa na wazungu

    • @elizabertkabadi3090
      @elizabertkabadi3090 Před 11 měsíci

      Wanaompinga ndo wale anaowasema wamekalilishwa nawazungu wanaona watakosa kazi

    • @elizabertkabadi3090
      @elizabertkabadi3090 Před 11 měsíci

      Na wengisana wanampinga msigwa ukiangalia nihaohao wanaotumia karanga iv sisi binadamu akiri yetu inafanyakazi kweli??

    • @elizabertkabadi3090
      @elizabertkabadi3090 Před 11 měsíci +1

      Et mtu anakubali kufa na bomu shingoni kulko kuondosha hilo bomu akawa salama.

  • @hawakiza6067
    @hawakiza6067 Před 6 měsíci +1

    Mbona yupo Hajibu sms

  • @wanyonyiemmanuel1990
    @wanyonyiemmanuel1990 Před měsícem

    Mimi niko kenya nitapata aje hii dawa?

    • @Kanga-pu6yl
      @Kanga-pu6yl Před 29 dny

      Karibu dawa zake na toa ukweli Kwa wengine

    • @AbcrahDemoraj
      @AbcrahDemoraj Před 4 dny

      ​@@Kanga-pu6ylwe unaptikan wapi .

  • @user-ld3vs3go9r
    @user-ld3vs3go9r Před rokem

    Dr naomba namba yako

  • @hashimuShaidu
    @hashimuShaidu Před 21 dnem

    Mwenyezi mungu akuwekee wepesi ktk hili.igekuwa vzr sana ukatoa na namba zako za cm na kituo ambacho unapatikana

  • @kamugishaurban1995
    @kamugishaurban1995 Před 10 měsíci +1

    Weka hospitali yako unze kazi utibu wa Afrika , watakao pona ndo watatoa ushuhuda

  • @sophiamwasha7445
    @sophiamwasha7445 Před 10 měsíci

    Dr Mungu akulinde

  • @AnnaNdimbo
    @AnnaNdimbo Před 20 dny

    Naomba namb yk plz

  • @rehemasuwedi7653
    @rehemasuwedi7653 Před 5 měsíci

    Toa tiba watu wapone mungu hamekuonyesha husaidie