MWANAMKE ALIYEAMBUKIZWA UKIMWI ATENGENEZA DAWA "SITUMII TENA ARVS,NILIKUWA NA KILO 22"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 08. 2024

Komentáře • 783

  • @princehancesam9892
    @princehancesam9892 Před 4 lety +91

    Apeleke sehem husika wengi wapone Tanzania wabunifu sema wazungu wanazingua sana

    • @princesssway1396
      @princesssway1396 Před 4 lety

      Sanaaa

    • @elizabethmabula101
      @elizabethmabula101 Před 4 lety

      Ndiyo

    • @Fgldesigns
      @Fgldesigns Před 4 lety +4

      Wazungu wapotoshaji wanataka tusijiamini

    • @magrethjohn8576
      @magrethjohn8576 Před 4 lety +7

      Prince hance Sam,kweli kabisa sema tuna amini kuwa dawa zikitoka kwa wazungu ndo zinafaa sana kumbe hizi zetu ndo kiboko

    • @pendojackison8822
      @pendojackison8822 Před 4 lety +3

      Kweliiii apelekee sehem husika watu waweze kupona maana watu wanateseka si watoto na vijana na wazee

  • @witneyjerry1293
    @witneyjerry1293 Před 4 lety +20

    Huyu mama hataji ili wakitaka kufanya utafiti wamlipe ndy aonyeshe mti na ndy maana hataki kuelekeza huo mti.

  • @geraldsiame1508
    @geraldsiame1508 Před 4 lety +28

    Afrika tumemwacha Mungu tukamwamini Muzungu ,watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa ,tuna miti ya kila aina kama zawadi kutoka Kwa Mungu lakini hatuna maarifa ya kuitumia

    • @ThomasMselle-rw5ej
      @ThomasMselle-rw5ej Před 4 měsíci

      Umesema kweli mno na viongozi wengi hawana nia ya kusaidia watu wasioweza kuwahonga fedha nzuri. Hawana maono wala nia ya kuinua heshima ya nchi na Africa. Wao na ndgu zao tu

    • @AminaShabani-uq9ok
      @AminaShabani-uq9ok Před měsícem

      Awasaidie na wengine

  • @alshaqsi1369
    @alshaqsi1369 Před 3 lety +5

    Samahani mama Mwenyezi Mungu amekupa kipaji cha kujua dawa na ww pia wajibu wako usiwe mchoyo km sheytan saidia binadamu ili ukiondoka dunia ikufae ilimu ulionayo

  • @sanchezmmary8986
    @sanchezmmary8986 Před 4 lety +46

    HII NDIO TANZANIA YA MAAJABU!!! SALUTE KWA MAMA.(TANZANIA UNFORGETTABLE)

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 Před 4 lety +16

    Mimi kama Dr wa CTC( clinic za HIV) naomba unywe hiyo dawa lakini usiache vidonge. Wengi walienda kwenye miti shamba, wakaacha dawa wamerudi CD4 zimeisha na wamefariki. Kweli ARVs zina side effects ila huwa kuna sababu km unazitumia na bado CD4 hazipandi.

    • @cool809cent8
      @cool809cent8 Před 4 lety +7

      Apana ongeza jitihada katika reseach usitumie aklkili za kwenye vitabu tu

    • @mkdg.4skolo891
      @mkdg.4skolo891 Před 4 lety +3

      Naomba nipate no sake jmni mm nahtaji saaana hzo dawa

    • @geofreylucas9469
      @geofreylucas9469 Před 4 lety

      @@mkdg.4skolo891 0754632685

    • @zachariabin5400
      @zachariabin5400 Před 4 lety +4

      Naww ni kibaraka cha wazungu tu huna lolote hakuna ugojwa ambao hauna tiba hizo PowerPoint zenu za medicine baadhi zinawadanganya,image 30yrs now hakuna cure for HIV ........na hizo dawa zenu ndo mnauwa watu nyny kupitia wazungu....wenu hebu nijibu Maswali
      1:why ARV akitumia mtu kama prophylaxis na uhakika ame contact na blood yenye high viral load kwa mgojwa mwenye HIV infection stage 4 huwa hapati HIV infection?,ndo dawa zimeuwa HIV au nini? na tunaambiwa HIV hafi kwa dawa yyte Bali abafubaa tu tena tunaambia no particles akiwa nje mwili ana inactive but akiwa kweny damu anakuwa active?
      Maswali ni mengi sana ukiweza kujibu na scientific reason nitajua umesoma kweli hukuwa unasoma PowerPoint? 2:mnapimaje viral load ikiwa HIV as retrovirus can't grow in pure culture? 3: jibu kwanza halafu nitaendelea kukuuliza ?

    • @tenecioustz1767
      @tenecioustz1767 Před 3 lety

      @@zachariabin5400 naomba namba zako ww plz

  • @joharikipindula6425
    @joharikipindula6425 Před 4 lety +10

    Miti ni mingi sana hapa Tanzania ya kutibu kila aina ya magonjwa ila tu nikukosa maarifa tuko mbu mbu sijui aliyeturoga ni nani?

  • @seifkulwa3346
    @seifkulwa3346 Před 4 lety +10

    Mama huo ni ujuzi wako, Mungu amekupatia kupitia matatizo tengeneza dawa uza kwa watu kwa bei nafuu Ila sasa ipuka sana kutumia media kujitangaza maana kilicho muua Dr. Sebi ni kijitangaza kwenye media na wenye viwanda vya dawa kumwandama sana!

    • @janethkomba4485
      @janethkomba4485 Před rokem +1

      Daaa 🙆Umeongea lamsingi asijutangaze yasije yakamkuta km ya Doctor seb Apumzuke kwa Amani😭

  • @mshaharatv5843
    @mshaharatv5843 Před 4 lety +14

    Huyu mama ni mtu muhimu sana.

  • @samoocoolingsystem93
    @samoocoolingsystem93 Před 4 lety +17

    Tusimdharau Binadamu Ni Kiumbe Mwenye Ufahamu Kwahiyo Huyo Mama Anajua Nini Anaongea 🙏🙏🙏

    • @mshaharatv5843
      @mshaharatv5843 Před 4 lety +2

      Huyo dogo vipi, huyo ni mama ako mpe kheshma ndo uzungumze nae.

  • @emmanueldutuleo3992
    @emmanueldutuleo3992 Před 4 lety +51

    Serikali tujalibu na huyu mama tunaweza kuwa na mwanzo mnzuri kuhusu ugonjwa huo

    • @muhudiddi5008
      @muhudiddi5008 Před 3 lety

      Mam mungu nimkubwa kumbuka ulivokua unajisikia maumivu wakat wa unaumwa tuambie iyoo dawa uokoe maisha ya wenzako

  • @newbornhaule1635
    @newbornhaule1635 Před 4 lety +11

    Waafrika tuaakili sana ila tu wazungu wametufundisha kujidharau huku wakitoa Elimu isiyonatija kwetu

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 Před 3 lety +5

    🙏 Mungu hatubaliki sote na hatuepushie haya maradh

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 Před 4 lety +7

    Ukimwi ni virus na hakuna virus inayokosa antivirus but since ni biashara ya mafia ulimwengu huu ni hatari ata kwa mama huyu

  • @munnawwaryaqub8524
    @munnawwaryaqub8524 Před 4 lety +22

    Dawa ya ukimwi ipo sema wazungu walishaturoga tyamini vyakwao na mimea aliotuumbia Allahu hatuiamini, ila dawa zipo na zinatibu kabisa

  • @masoudkipara5053
    @masoudkipara5053 Před 4 lety +15

    Kumbe ni biashara jaman duuuh unawasaidia mamazako ili watu wajae km kwa babu eeee???

  • @namanganewsofficiallchanel8631

    Ukikuta mtu aja like kiwa ujue kaongea point 100%

  • @mevakyavaleri6264
    @mevakyavaleri6264 Před 4 lety +14

    Watu kama hawawanapaswa kupewa kipaumbele na ulinzi wakutosha

  • @mariamwakabuta1034
    @mariamwakabuta1034 Před 4 lety +4

    Dawa za magonjwa makuu kama hayo zipo sema wanao mtukuza shetani mpone, marecan walikuwa wanaongoza watu weusi kutengeneza hizo dawa lkn waliuliwa wote walikuwa 50 .na nikependekeza Tanzania waendelee kutengeneza hizo dawa na wawauzie na wengine lkn najuwa wazungu watatuletea vita.

  • @janethkomba4485
    @janethkomba4485 Před rokem +2

    Kwahiyo mama angu utaki kutaja uwo mti 😢ujuwe ungetaja ungepata swawabu nyingi sanaa kutoka kwa Mungu sababu ungewaokowa wengi sanaa nakunawengine wamezariwa nauwo ugonjwa pasipokuwa nahatia wanateseka😢kunawengine awana uwezo waizi cm nakuungia CZcams lakini ungetaja uwo mti nirahic habari yaiyo tiba zingewafikia kiuraic adi uko vijijini ndani ukooo🙏

  • @edwingwesso6818
    @edwingwesso6818 Před 4 lety +4

    Kama unaamin huyu mama ni muongo tena sana like twende ni mfanya biashara kama wafanya biashara wengne

  • @kimmenelus7835
    @kimmenelus7835 Před 4 lety +11

    Yaani nilikuwa nakusikiliza lakini ulivyosema uwez kuutaja nikaingia kwenye uwanja wa coment na kukuachia ujumbe huuu
    ACHA ROHO MBAYA MAANA ATA MUNGU AMETENDA WEMA KUKUPA UZIMA TENA🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️

    • @elizabethmabula101
      @elizabethmabula101 Před 4 lety +2

      Umeona eeh. Hataki anatak apige pesa peke ake tu. Ubinafsi sio mzuri. Bora hata asingehojiwa acha akae na ukimwi wake ba dawa yake.

    • @ruthmaeja6340
      @ruthmaeja6340 Před 4 lety +1

      Atatajirikia wapi sasa?

    • @nasraabdallah850
      @nasraabdallah850 Před 4 lety +1

      Roho mbaya sn ameiyonesha dhahir kbsaa

    • @ernesttomas85
      @ernesttomas85 Před 4 lety

      Hati miliki

    • @zashamloli1233
      @zashamloli1233 Před 4 lety

      Kwel kbx n kwa roh hyo kupona utakuskia tu

  • @gabrieldenicc4502
    @gabrieldenicc4502 Před 4 lety +5

    Inabidi wampe tuzo pia waje wataaramu wamuoji na alitumia nini nani na ilikuaje mpaka akafikilia dawa flani inawezakumponyesha yangu ni hayo tusipotezee tunu yetu

  • @fredytarimo9107
    @fredytarimo9107 Před 4 lety +18

    Mungu akutie nguvu mama na dawa yako ikawe dawa ya kweli ukimwi umekua tishio kwa dunia.

    • @moshyfaraj9588
      @moshyfaraj9588 Před 10 měsíci

      Tunaimani tutapona kwa jina la yesu asante mama

  • @lightnessevarest9394
    @lightnessevarest9394 Před 4 lety +6

    Kama unaamini hyo mama anatafta kiki kama babu wa loliondo gonga like

  • @user-fv5to7ee3l
    @user-fv5to7ee3l Před 9 měsíci +1

    hongera mama na utakam lini kenya uzaidie watu wengi humu nchini kenya

  • @adamlipau8858
    @adamlipau8858 Před 4 lety +3

    Duuh! Kumbe huu ugonjwa bado upo? naona watu tunajimwaga tu condom hadi zina expire madukani...watu mwendo wa Mpoto tu...daah! Mungu atunusuru

  • @ernestngalu3533
    @ernestngalu3533 Před 4 lety +22

    Mnaotaka ataje mti wakati kipindi recoded mnaakili kweli

  • @rodamwajuma8043
    @rodamwajuma8043 Před 4 lety +23

    Hacha roho mbaya taja jina la mti wengine wautumiye.

    • @jimmyjigar1468
      @jimmyjigar1468 Před 4 lety +1

      Dah mzee mwenzangu njoo inibox nikubembeleze utaje mti

    • @hamadshein498
      @hamadshein498 Před 4 lety

      Ucwape mpka mkwanja.

    • @celinadulle4104
      @celinadulle4104 Před 4 lety +3

      Si ndio, mama ni mbinafisi. Kwani ukitaja jina kuna nini.?

    • @glorysimon775
      @glorysimon775 Před 4 lety

      Asitaje wakati mwenzenu anapambana nyie mmelala kuweni na nyie wabunifu

    • @barikiarastus8770
      @barikiarastus8770 Před 4 lety +4

      Hii ni biashara kama biashara nyingne, ni nani anatoa ideas yake ya pesa bure? ? Nyie ndio mnaroho mbaya sana maana hamtaki afaidike yeye waje wafaidike wajanja wajanja. Acheni mama wa watu apambane apige pesa.

  • @Kanga-pu6yl
    @Kanga-pu6yl Před 2 měsíci

    Wapi walio pona.
    Toa orodha.
    Kupona vvu si jambo la kawaida. Ni jambo laweza Fanya utembee uchi bila fahamu. Wacheni kufanyia biashara maisha ya waathiriwa.

  • @beresreuben1351
    @beresreuben1351 Před 4 lety +7

    Mungu ni mwaminifu yupo kutuokoa na mauti tanzania nitaifa teule

  • @bennamush1549
    @bennamush1549 Před 4 lety +3

    Tatizo watanzania hatupendi kujishughulisha Na kutumia fursa zetu ni mpaka tusubir wazungu tukijishughulisha tunaweza kikubwa imani tu

  • @user-bl9jj8wm9g
    @user-bl9jj8wm9g Před 5 měsíci +1

    Angetajaja huo mti ili watu wajisaidie na wasaidike pia maana ndugu zetu jamaa zetu na haya ss hatuijui kesho yetu itakuwaje kwaiyo angetaja ili watu wengine na watoto wanao zariwa wanusulike jamani😱

  • @hilalhilal8400
    @hilalhilal8400 Před 4 lety +6

    JAMAA NOMA. KAMHOJI MPAKA BIBI UMEMDONDOKA MDOMONI AKAUTAJA. DOH!🤣

  • @hemedisalim5522
    @hemedisalim5522 Před 4 lety +10

    Masiala Masiala inaweza ikawa dawa kweli

  • @harmonize3476
    @harmonize3476 Před 4 lety +28

    Tatizo la waafrika ubinafusi

  • @jaydjuma8255
    @jaydjuma8255 Před rokem +1

    Huyu mama sio poa ninaamini kweli dawa zipo zaukimwi yani 90% lakini serekali zetu zaki Africa zinachangia pia watu kuteseka allah azilani kabisa ..mama wewe ulipotia mateso yote hayo imekuaje ama inakuaje unashindwa kuwasaidia watu wanao kutafuta ao basi tengeneza dawa zako ziweke sokoni watu wanunue ao uache kujisifu wakati usaidiyi watu haifayi bhana

  • @ngwanashija2667
    @ngwanashija2667 Před 4 lety +11

    Mama umetisha huyu mama awezeshwe tu atengeneze dawa itibu dunia nzima wazungu ile kwao mana ukimwi wamegeuza milad

    • @ramathedon4001
      @ramathedon4001 Před 4 lety

      watamuua uyu mama nakwambia wazungu sio watu wazuri wamegeuza ukimwi nu Mradi wao wa kupiga ela

  • @rahmakitomar7968
    @rahmakitomar7968 Před 4 lety +6

    siri ya dawa anaijua mganga kama mnataka dawa kunyweni kama mna mashaka waacheni wenye imani wanywe

  • @leonardmwanza2731
    @leonardmwanza2731 Před 4 lety +11

    Ayo naomba namba ya huyu mama

  • @petermushy9883
    @petermushy9883 Před 4 lety +14

    Taja mti watu tupone bhana acha roho mbaya

  • @senorinamtei8202
    @senorinamtei8202 Před 4 lety +19

    Huo ni mti wa Ming’ongo/ amarula tree

  • @arkhamitwaha3692
    @arkhamitwaha3692 Před 4 lety +6

    Huyu ni kuchukua madini alonayo yaani tumtumie ila ahakilishe watu wanapona sio kufubaza tu

  • @hancesenya5259
    @hancesenya5259 Před 4 lety +14

    Nani mwingine anaona sahiv hyo kichwa pekee ndo ina kilo 22??😂😂😂
    Naomba like zangu jaman

  • @catherinesumari7499
    @catherinesumari7499 Před 4 lety +3

    Mungu anaweza ukiamini imani ya mama ni kibwa mno

  • @princesssway1396
    @princesssway1396 Před 4 lety +5

    Basi wizara ya afya iangalie pengine kweli itasaidia tafadhal pengine kweli itafanya haki

  • @fredyfile623
    @fredyfile623 Před 4 lety +3

    Kama nikweli hongera mama na unastahili kupewa uprofesa kabisaaa

  • @IDDYABDU
    @IDDYABDU Před 9 dny

    Kunavitu vinakera sikuizi watu Awana huruma we mama mungu anakuona

  • @kirupyseleman582
    @kirupyseleman582 Před 4 lety +23

    Mird najua mna mawasiliano na huyo mama mwambie hivi hatujasahau babu ya loliondo

  • @rosehaule220
    @rosehaule220 Před 4 lety +4

    Sasa kataja mti unaitwa mjonjoo🤣🤣🤣chezea waandishi wa habari ww kataja bila kujijuwa..sasa hiyo dawa ya ukimwi mbona unakuywa kila siku..na hizo axina kipimo.miti shamba ni mibaya zaidi cos aina vipimo..nilifikiri unakunywa mara moja unapona hiv🤣🤣 sasa si utakunywa madebe mangapi..mama wee bas ingepona barikiwa ugundue zaid

  • @namanganewsofficiallchanel8631

    Biashara ni matangazo ila ni siri pia

  • @sarahsalumu7792
    @sarahsalumu7792 Před 2 lety +2

    Uyo mama ana,nia ya kusaidia watu bali ni biashara ndugu zangu musiache dawa zinatolewa na serikali ipo siku Mungu atamtoa mtu mwenye moyo wa kusaidia ugonjwa ukapotea kama ebora na uyo mama ajue kua nae kiumbe ato zikwa na pesa

  • @sadiaabed6687
    @sadiaabed6687 Před 4 lety +5

    Mmmhh jamani sasa tutajuaje kama havionekani tunataka akienda kupimwa hapohapo tumsikie huo dakatari aseme sio yy na hio dawa ina uhakika gani apeleke mahabara ikapimwi kama inaponya maana kama anatumia na akipimwa havionekani inamaana anapona

  • @rosehaule220
    @rosehaule220 Před 4 lety +4

    Ila ziboreshwe.wagojwa wengi wa hiv ni wabunifu wa dawa kwan wanaangaika mnoo kutafuta uponyaji wanagundua vingi mnoo waangaliwe kwa macho mawili uenda wakasahidia

    • @wilsonemanuel9915
      @wilsonemanuel9915 Před 2 lety

      Amina mama Mungu ndio kakupa iyo dawa mama Mungu hakubalik

  • @richardkaiza74
    @richardkaiza74 Před 4 lety +4

    Wasaidie watu mama na wewe utabarikiwa. La kufanya peleka hiyo dawa Nemc wakaifanyie utafiti kwa undani. Wape maelekezo muhimu na wakupe hati Miliki. Wazarishe dawa hizo dawa kwa kiwango cha kimataifa .

  • @mosesnyamhanga449
    @mosesnyamhanga449 Před 4 lety +9

    Hapa hakuna kitu nbiashara tu! Me skizii ata....

  • @nuruabraham3769
    @nuruabraham3769 Před 4 lety +5

    hivi loliondo haipo Arusha kweli, nikumbusheni basi😂😂😂 maana naona huyu mama anaanza kuleta story za babu.

  • @joelboya9888
    @joelboya9888 Před 2 lety +2

    Ili usaidie ulimwengu inatakiwa utaje mchanganyiko wote na jinsi ya kuitengeneza kila mhanga ajitengenezee dawa

  • @sharonmasawe5381
    @sharonmasawe5381 Před 4 lety +4

    Kazi ya utangazaji inalipa mtangazaji mashavu amevimba amekua round ka mpira ndo maana anamwambia mama mambo

  • @user-wc6wq7rm7x
    @user-wc6wq7rm7x Před 18 dny

    Shida iliyopo utapeleka kama huyu katumiwa mzima.ikifika huko Malibu mpk uyapate kazi.au yaweza kukatisha tamaa..Ninayo ya nilisita kujipeleka huko.

  • @janethnkembo5808
    @janethnkembo5808 Před 4 lety +2

    Mhh ukimwi auna Dawa. Watu walio acha dawa wakaenda loliondo wengi walikufa.. Hakuna unafuu mbona na iyo niya kunywa kila Siku.?km arv

  • @azizaabdalah5206
    @azizaabdalah5206 Před 4 lety +14

    kaaa we mamaa wee utakufa na kipaji wape wenziomaujuziii😟

    • @zaynabali6109
      @zaynabali6109 Před 4 lety

      Eeeeh afaa kutaja uo mti tuujuwe pia sisi tutajitengezea, lakini ataki kutaja jina la mti😭😭😭muongo.

    • @MwalimuJelly
      @MwalimuJelly Před 3 lety

      @@zaynabali6109 mama anaitaji laki 6 ili akupe dawa

    • @zaynabali6109
      @zaynabali6109 Před 3 lety

      @@MwalimuJelly kwanzia leo nimewacha mambo ya mitandao kabisaa mimi ni hallo NA kunyamaza you tube byby

    • @MwalimuJelly
      @MwalimuJelly Před 3 lety

      @@zaynabali6109 kidogo tu nimtumie sijui ninge kuwa kwenye hali gani 😞😞😞

  • @tausiuledi5528
    @tausiuledi5528 Před 4 lety +4

    Ukimwi hu hu inawezekana kupona kweli.wataalamu wanasema ukitumia sana ARV vidudu vinfubaa ukienda kwenye vipimo havionekani. Ukitaka kujua acha dozi miezi sita mingi RIP inakuhusu.

  • @JK-uq1tv
    @JK-uq1tv Před 4 lety +2

    Inabidi apeleke hiyo Dawa NIMRI wakaifanyie utafiti Kwanza.

  • @haikamsechu8039
    @haikamsechu8039 Před 4 lety +11

    Kwanini mtu alazimishwe kutaja? Watu bwana. Mnataka tumieni hamtaki basi. Zawadi yake kwa kujitahidi kwake kwanini atoe bure. Msipende bure sana wanadamu kah!

  • @queenlove366
    @queenlove366 Před 3 lety +3

    Tunataka Jin ama semani namba yke plzz

  • @majaliwajohn7319
    @majaliwajohn7319 Před 4 lety +8

    Bongo hawaamini dawa zao ila ingekuwa kagunduwa mzungu asubuhi tu serikali ingefatilia.

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu Před 4 lety +5

    ningeshangaa mchaga gani mvivu wa kutafuta pesa na kuanza utapeli ila kwa kua umezaliwa Singida na watu wa huko ni wa pili baada ya wahaya basi flesh...
    wape namba za simu humu naona wapo wengi...

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 Před 4 lety +5

    11:25 kataja huo mti huo mnjonjo

    • @frankkajoba8372
      @frankkajoba8372 Před měsícem

      Unaufahamu huo mti dada manake tuna ndugu zetu wanataabika.

  • @fatmabaraka3191
    @fatmabaraka3191 Před 3 lety +1

    Uyu mtangazaji namuonaga ana dharau sana' fatilia Interview zake akioji mtu

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 Před 4 lety +1

    Na wandishi inabidi mtoke hapo mkiwa mmepiga dozi ya kinga🤨🤨🤨🤨
    Kijana piga hata jagi moja hapo 💪💪🍾

  • @BktvJusto
    @BktvJusto Před měsícem

    Aseme huo mti kwajilu yakuokoa wenzie kama watanzania lasivyo atajua anatafuta pesa

  • @princesssway1396
    @princesssway1396 Před 4 lety +4

    Ya kweli haya?

  • @judymukui7171
    @judymukui7171 Před 4 lety +2

    Tz twawaogopa nyinyi tangu enzi za loliondo😂😂but mbona corona hamna tz

  • @mtawalatv
    @mtawalatv Před 4 lety +2

    Tunahitaji kuwalinda hawa kwa nguvu zote Na kuwasogeza karibu na wataalam wajifunzee na hawa wabunifu. Wapo wengi mtaani tunawajibu wakuwaleta pamoja .na hawa watu wanapoteaga wazungu hawapendii mambo kama hayaa

  • @edwingwesso6818
    @edwingwesso6818 Před 4 lety +5

    Sasa hataki kusema kwahyo anataka rais amuombe ndo aseme au

  • @wee2587
    @wee2587 Před 4 lety +3

    kama MUNGU amekusaidia ukapata ufahamu wakutumia huu mti mbona uwe mchoyo

  • @majaliwajohn7319
    @majaliwajohn7319 Před 4 lety +2

    Mama husitaje maana wanajifanya hawaamini dawa zao kaa hivo hivo.

  • @bossmtoto133
    @bossmtoto133 Před 4 lety +5

    Duh hatari sana ukute umekula afu ndio unakuja kukuta hii interview

  • @ElizabethBosco-rs6se
    @ElizabethBosco-rs6se Před 4 měsíci +1

    Naomba namba

  • @AMINASAIDI-mx7rs
    @AMINASAIDI-mx7rs Před 6 měsíci

    Dah ,mungu akupe maisha malefu mama .

  • @reubenryoba998
    @reubenryoba998 Před 4 lety +2

    Pole mama huyo mtu mkubwa aliekwambukiza yupo kigoma jamaniii

  • @silperaura5637
    @silperaura5637 Před 2 lety

    Mama haoni kuwa mungu alimtumia yeye iliasaidie watu Kwa Nini asitaje huo mtu kweli mama mbinafsi ata mungu apendi

  • @annajohn175
    @annajohn175 Před 4 lety +3

    Hiyo kadi siyo ya CTC .....SEMA DAWA INAONGEZA CD4 AMBAYO NDIYO KINGA ..INAYOZUIA MAGONJWA MNYEMELEZI..KUPONYA NINA MASHAKA KINGA ZIKIWA JUU UNAKUWA SALAMA

    • @lilianluhasi5053
      @lilianluhasi5053 Před 4 lety

      Mtu anapona kabisa amini maana kinachofanya tuseme mtu anapona Ni kwasababu mtu anakunywa Mara moja hanywi Tena na anapona, ndiyo maana ya kupona, Kama haiponyeshi angeendelea kunywa kila siku

    • @deonikolausdeonikolaus62
      @deonikolausdeonikolaus62 Před 4 lety +1

      Sio kupona kabisa kiongoz inaongeza kinga

    • @idrisjuma2259
      @idrisjuma2259 Před 4 lety +5

      Kwanini huamini kupona? Ukweli ni kwamba ukitumia hizo dawa zao unaua kinga zako za asili unaleta kinga mpya artificial hivyo ukiacha kutumia kinga zitashuka na kuleta balaa kwa mgonjwa sio kwamba virusi vililala eti vimeamka hiyo si kweli kama tunavyoaminishwa.

  • @issaswedi6974
    @issaswedi6974 Před 11 měsíci

    Njia Bora ya kuachana na maambukizi ni kufuata mafundisho ya mwenyezi mungu na kumcha mwenyezi mungu hiyo ndo njia Bora zaidi na iwapo utajitambua kua umeathirika Basi usihofu bado mwenyezi mungu Yuko na wewe Ila unaweza kutumia dawa Kama vile PHV-39 solution na ukarejea kwenye shughuli zako za kawaida Kama siku zote

  • @user-bl9jj8wm9g
    @user-bl9jj8wm9g Před 5 měsíci

    Mungu tusaitie jamani malazi haya yamekaa pabaya sana ila huyo mm Kama angekuwa anasaidia watu kweri Sasa angetaja ili watu wawe sawa jamani

  • @ayoubhussein6625
    @ayoubhussein6625 Před 4 lety +8

    Roho mbaya sasa umefanya interview ya kazi gani!?

    • @iddirashid8038
      @iddirashid8038 Před 4 lety

      biashara hiyo

    • @siamejaylos9197
      @siamejaylos9197 Před 4 lety +1

      We unataka atoe siri kama watu watatengeneza vibaya wakafa. Hata ataje kutengeneza anajuwa mwenyewe huu sio ugali ahehe

  • @jsmfarms71263
    @jsmfarms71263 Před 4 lety +10

    Naona watu wanaomba number za simu 😂😂😂😂
    Ukimwi upo kweli kweli

  • @deodatusrweyongeza2880
    @deodatusrweyongeza2880 Před 3 lety +1

    Wazungu watakuua wewe mama wakigundua, maana wale jamaa, hawapendi waafrica tujiongeze

  • @shedracksebastian3090
    @shedracksebastian3090 Před 3 lety

    Mama yupo vizuri watu wanataka kujuadawa ili waanze kuzalisha nakuhuza nivizuri selikali impatie watu walio athirika kujiakikishia kama nikweli ili apate akimiliki itakayo Mlinda aweze kuzalisha ili selikali ipate mapato kupitia huyu mama ukombozi juu yataifa letu namataifa mengine yajue kuwa tayari tiba Ipo pia Nivizur mama uyu atunze vizuri kumbukumbu za mimea anayo itumia ili isipotee historia ya mzalendo aliye gundua dawa hiyo kutoka Arusha Tanzania wakuu ifanyie kazi maana jambo hili nijema.

  • @godfreybigeyo9105
    @godfreybigeyo9105 Před 4 lety +2

    Asante mama

  • @edwardgwaspika4943
    @edwardgwaspika4943 Před 4 lety +2

    Safi sana ndo ivo tusilale kusibiri mpaka dawa za nje. Hata uyo mh. Wa idarani awe na watu wanamwakilisha mikoani wachukue namba za simu wasaliane na mhusika moja kwa moja! Kusubili kuletewa mambo ya keep kizamani!

  • @abdallahsimba
    @abdallahsimba Před 4 lety +4

    NAMBA YA SIMU TUNAHITAJI YA CORONA KINGA TAFADHALI NIPO DAR

  • @geofreylucas9469
    @geofreylucas9469 Před 4 lety +1

    Ukiona anahofia kuutaja Basi jua ya kuwa huo mti ni maarufu na wengi wanaufahamu so anahic akiutaja tu kazi kwake imekwisha Tena so mim na wew tufikirie Mara mbili juu ya hii miti Kama aloe vera,muarobaini,majani ya mpera nk. ambayo Mara nyingi inatumika kutibu magonjwa sugu then uchanganye na hayo mengine anayoyasema

  • @bakariahmed4227
    @bakariahmed4227 Před 4 lety +6

    Tanzania mutatuzengua sana 😂😂🇨🇩

  • @irenemakuto6525
    @irenemakuto6525 Před 3 lety +2

    Surely🤔

  • @iddyshaban7353
    @iddyshaban7353 Před 2 lety

    Hongera mama Mungu a endelea kukusaidia uwasaidie nawengine

  • @Gama-e5t
    @Gama-e5t Před 13 dny

    Mama mi naomba nisaidie ntalipa kias chochote

  • @SunsetHunter4526
    @SunsetHunter4526 Před 4 lety +2

    Huyu Maza anachosema ni sahihi kabisa Miti shamba ni tiba tosha kwetu waafrika namkumbuka Dr Sebi alisema waafrika hatuhitaji kuumwa magonjwa kama haya Dr sebi nae aligundua Dawa ya HIV jamaa wakapita nae

  • @nancybiwott3042
    @nancybiwott3042 Před 4 lety +3

    Waa you still share microphone and not wearing mask at this time😷😷