Kutana na Zawadi aliyeishi na VVU kwa miaka 17 bila kumuambukiza mume wake Hamisi.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 01. 2020

Komentáře • 30

  • @williamibrahim2823
    @williamibrahim2823 Před 4 lety +5

    Hongeren sana tena sana

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Před 26 dny

    Mungu awatunze nimewapenda Bure huyo ndo mume dada umempata

  • @tabumasumbuko7213
    @tabumasumbuko7213 Před 4 lety +4

    Mungu Baba wambinguni awatunze

  • @tedymwandara5480
    @tedymwandara5480 Před 4 lety +7

    Yani we kaka nakutafakari ckupatii majibu.Yan umeshajua ana HIV lkn unafanya nae kavu kavu kweli we ni mwamba.

  • @janejonathan528
    @janejonathan528 Před 4 lety +5

    Mhhhhh hadi nimeogopa upendo wa huyu kaka nimkubwa sana ila Mungu mwaminifu dada mwamini na usikiri kuwa una HIV positive,kama alivyosema mumeo hakika utapona!

  • @fidesbenard2836
    @fidesbenard2836 Před 4 lety +2

    Mungu awalinde milele kwa upendo wenu..

  • @reggancamp5247
    @reggancamp5247 Před 4 lety +9

    Hongera sana Kaka kwakutokumkimbia huyo mkeo. Maana kwa hali hiyo ningumu sana kubaki nae ukizingatia mmeenda kupima halafu wewe unakuwa fresh yaani mkitoka angaza tu nakubeba begi mbio

  • @thobiasmanyinyi8977
    @thobiasmanyinyi8977 Před 4 lety +8

    Serikali na Mashirika, kama mnavyowajali wenye HIV; Pia waangaliwe na wengine hasa wale wenye majonjwa sugu kama vile kisukari n.k. Hata japo dawa zao kama wenye kisukari ikibidi wapatiwe free dawa zao maana tunawaona huku mtaani wanapata tabu sana, kwani dawa zinauzwa ghali sana na wengine hawana hata uwezo wa kumdu baadhi ya ghalama!!

  • @edwardkasubi1332
    @edwardkasubi1332 Před 4 lety +3

    Couple yenu inapendeza sana Glory to God

  • @salamahamadisudi1912
    @salamahamadisudi1912 Před 4 lety +4

    Na mpenda mume km huyu mwenye upendo wa dhati

  • @tabumasumbuko7213
    @tabumasumbuko7213 Před 4 lety +2

    Hongera kaka unamoyo ni wanaune wachache sana wenye moyo kama wako

  • @wemakalamu3538
    @wemakalamu3538 Před 4 lety

    Mubarikiwe inshaallah

  • @agnesvigao4277
    @agnesvigao4277 Před 3 lety +1

    Ilove u dada naomba namba yako ili unishauri vizur nikapime maana muoga

  • @moseelias2312
    @moseelias2312 Před 3 lety

    Honger

  • @silvanclementimsomamsoma5079

    Mmmm ayabana

  • @habibakhalfan1065
    @habibakhalfan1065 Před 4 lety +1

    Kwa_kweli_hakuna_aijuae_kesho_ila_kubwa_ni_kumuomba_Allah_huyu_kaka_Alie_mlinda,ni_Mungu_tu_ila_inatisha_mnoo

  • @fatimanoh2575
    @fatimanoh2575 Před 4 lety

    Allah kareem

  • @robbemanase9051
    @robbemanase9051 Před 4 lety +4

    Story kwenye medum nyingine wametoa tofauti na hii, inakuaje?

    • @isaacmwaipopo
      @isaacmwaipopo Před 3 lety +1

      Wametoa tofauti kiaje. Elezea. Mie nimesikiliza zote

  • @saidaosward3199
    @saidaosward3199 Před 2 lety

    Mimi ninauliza je watoto ulizaa hawajaapata maambukizi ya ukimwi

  • @mussamponzi8998
    @mussamponzi8998 Před 2 lety

    Hajaeleza kwanini mwenza wake hajapata?

  • @williamibrahim2823
    @williamibrahim2823 Před 4 lety +1

    Nikweli lakin?

  • @zawadiomari3757
    @zawadiomari3757 Před rokem

    Dad mm nataka namba zako

  • @eliaschamungwana2525
    @eliaschamungwana2525 Před 4 lety

    Kaka ,naomba number yako au Dada zawad

    • @albertogeorge6632
      @albertogeorge6632 Před 4 lety

      Mungu ni mwema kaka umeandaliwa pepo tayari na mwenyez mungu

  • @mpokimwakisimba692
    @mpokimwakisimba692 Před 3 lety +2

    Mmekuwa ushuhuda wenye manufaa kwa jamii. Elimu halisi watu hawana wengi wamepotoshwa Sana!