NILIBAKWA NA WATU SITA NIKAPATA HIV| NIMEOLEWA NA MZUNGU | PIA NI MAMA NA HIV/AIDS ACTIVIST

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 08. 2024

Komentáře • 243

  • @doymatata4702
    @doymatata4702 Před 10 měsíci +22

    Jamani nimejiona ndani yahuyo dada natamani kuwa kama yeye kwaajili ya kuelimisha wengine ninacho faham sisi wenye VVU niwatu kama wengine nikotayari kushea historia yangu ya vvu

  • @beatricetenywa4367
    @beatricetenywa4367 Před 4 měsíci +5

    Dada alipitia ukatili katika umri mdogo sana...Mungu wa mbinguni akujalie heri daima..

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 Před 10 měsíci +8

    Namuina Mungu. Kwa.macho yngu mawili..Mungu ni.mkubwa sana acha tuzidi kumtukuza uhaminifu wke ni wa ajabu sana Eemen❤ kwa hii story nimefarijika

  • @joasitz9559
    @joasitz9559 Před rokem +16

    Wow she speaks very good Swahili and confident woman. Asante dada for being genuine and educating the society. Asante da Shena

  • @susanmshindo7593
    @susanmshindo7593 Před 10 měsíci +3

    Mungu ni mwema ila jitahidi kumwamini Mungu na ufuatilie maombi kwa mtumishi wa Mungu Mwamposa wa irise and shine tz kwenye Utube utapona kabisa kwa jina la Yesu kwa Mungu yote yanawezekana ameen

  • @user-zy8rc1gz2p
    @user-zy8rc1gz2p Před rokem +33

    MUNGU ambariki huyu dada ampe afya njema ,aweze kuishi maisha marefu

  • @brendamasao2011
    @brendamasao2011 Před 10 měsíci +2

    Sijawahi comments in this platform! This lady has touched my heart ♥️, She is very courageous! May God continue blessing you!! Na Asante kwa kuelimisha jamii!! We said undetectable untransmittable!! U=U! Hongera sana

  • @shalibrutsch-vlog
    @shalibrutsch-vlog Před rokem +5

    Wow. Nimempenda huyu Dada, ni luwazi na ni mkweli. Asante sana mgeni wetu Nimejifunza mengi. 🙏🏾

  • @BerthaKihanga-qd5hy
    @BerthaKihanga-qd5hy Před rokem +6

    Leo mrembo wa Tz katuletea Mrembo wa Congo, appreciate.

  • @user-jw8ek2jt3v
    @user-jw8ek2jt3v Před 2 měsíci +1

    We thank God for Leyla's courage,she is one in many MashaAllah. Can she help us in getting a HIV dating sites without paying through visa cards?watched from Kenya

  • @perpetuampita5018
    @perpetuampita5018 Před 11 měsíci +6

    Leila uko vizuri, jasiri unaweza saidia watu wengine, nimekupenda

  • @user-jw8ek2jt3v
    @user-jw8ek2jt3v Před 2 měsíci +1

    May the projects go through InshaAllah, and may your book shine InshaAllah sister Leyla.Be blessed too, sister Shena, for the good job. Keep it up 🎉🎉🎉❤

  • @zainabsibuma-omary7061
    @zainabsibuma-omary7061 Před měsícem

    Masha Allah beautiful Laila ❤ Mwenyezi mungu aendelee kukupa shifaa na ujasiri. Wewe ni mrembo na mcheshi sana! Asanteni sana kwa mazungumzo mazuri 😊

  • @sporastica7174
    @sporastica7174 Před rokem +9

    Mungu apewe sifa May God bless her always 🥰hivi shena haujawah fikiria kuchanganya content I mean kuita watu walio Tanzania au popote sio tu lazima walio ulaya maana content nyingi zinafanana Ila hii iko tofauti I'm proud of you🥰

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  Před rokem +1

      Hata walio Africa lakini walikutana kupitia mtandao
      Either wa kijamii au wa kimahusiano
      Kama unamjua mtu basi naomba Connection kipenzi 🥰

    • @sophiakassim6784
      @sophiakassim6784 Před 6 měsíci

      ​@@OfficialDatingAssistanceShena mtafuta dada anaitwa Jojo Gray kaolewa na mzungu tusikie nae alikutana vipi na mumewe.

  • @teresiamathias8636
    @teresiamathias8636 Před rokem +8

    Hongera sana Dada Shena tunazidi kujifunza sisi wenyendoto yakufika ulaya 🎉

  • @user-tp4jq9ij5m
    @user-tp4jq9ij5m Před 5 měsíci +6

    Iam addicted na hiki kipindi siku haiwez pita sijasikiliza wawili 😎😎

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  Před 5 měsíci

      Shukran 🙏
      Share na wengine wajifunze ba ku enjoy pia 🥰

    • @OlyUpowerfuljesus
      @OlyUpowerfuljesus Před 5 měsíci

      Tupo ktk mashua moja😂😂😂😂😂huku ndo nimemwelewa TikTok nilikuwa najiuliza huyu analenga nini

  • @seugingemyovela7053
    @seugingemyovela7053 Před 10 měsíci +4

    She is a humble woman !!🎉

  • @neemakalugila7674
    @neemakalugila7674 Před 3 měsíci

    Waaa, may the Living God keep this smile forever!!! What a beautiful story....from Holland 🇳🇱

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 Před 10 měsíci +5

    Wazungu karibu na wote wanaooa wageni haswa waafrika wanakua wachumi/wabaghili na wabinafs. Kuoa wazungu wenzao washajua hawatoelewana ndio mana wanatafuta waafrika haswa waliopo Afrika wawacontrol na kuwatumia.

  • @enjoybenjamini4713
    @enjoybenjamini4713 Před rokem +3

    Ahsante dada Shena,huyu dada amesaidia Sana hongera yake ni mkweli

  • @doramkolo1745
    @doramkolo1745 Před rokem +4

    Woooowww nampendaaaa sana huyu dada ninamfuatilia sana tiktok...Asante shena kwa kutufunza mambo mengiii

  • @mohamedmwavuguto8276
    @mohamedmwavuguto8276 Před 11 měsíci +6

    Thanks very much . This interview is too educative .

  • @IreneNgoja-wg3ty
    @IreneNgoja-wg3ty Před 11 měsíci +3

    Mungu ambariki sana sana. Nlikua naogopa kupima but sasa ntaenda kupima na nitakua tayari kwa majibu yoyote

  • @nanguniMtaita-hz4zt
    @nanguniMtaita-hz4zt Před 7 měsíci

    Wee dada.pole sana.haswa kwa ujasiri wako nimeupenda sana, kueleza hadharani yaliyokupata haswa ukiwa bado mtoto wa miaka 13 hivi. Shikilia habari za Mungu sasa zaidi ili urithi bingu.mpya na.nchi mpya tunayotegemea, ambayo haitakuwa na ubakaji uliokupata. Ubarikiwe.

  • @mwanamutwa
    @mwanamutwa Před rokem +4

    God bless you my sister.We thank God for you,keep telling your story.

  • @doreenniver6643
    @doreenniver6643 Před 10 měsíci +4

    😢Mungu akupe maisha marefu sana akutunze kila siku

  • @witneykato2476
    @witneykato2476 Před rokem +10

    Amazing interview and I loved her courage and honesty.

  • @JoyceakaJowi
    @JoyceakaJowi Před rokem +8

    duh,sad part ya raping...curse all men waliombaka huyo dada..walaaniwe maisha yao yote....i hate watu wasiokuwa na Utu...

    • @paulinacharles8969
      @paulinacharles8969 Před 10 měsíci

      Joyce, Mungu amemfariji Shaila, na pengine walishakufa au kuteseka zaidi. Shaifa zaidi kumwomba Mungu akuandae Kwa ajili ya maisha Bora Mbinguni

    • @paulinacharles8969
      @paulinacharles8969 Před 10 měsíci

      Joyce, Mungu amemfariji Shaila, na pengine waliombaka walishakufa au kuteseka zaidi. Shaifa omba Mungu akuandae Kwa ajili ya maisha Bora Mbinguni

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 Před rokem +4

    What a beautiful, smart black beauty ❤ Leila you are the best may God continue to uplift you.

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před 11 měsíci +1

    Nimependa kipindi hope ntaipata hiyo project na kitabu hapa hapa 😎

  • @EpiphaniaMallya
    @EpiphaniaMallya Před 10 měsíci +1

    Hongera sana Dada kwa ujasiri na uthubutu wa kuwa muwazi Mungu akupiganie uwe na afya tele

  • @bennamush4616
    @bennamush4616 Před 10 měsíci

    Waaaah huyu dada ana story ambayo anawafanya wengi wasimame Tena Asanteh Sana 🙏

  • @stellasimon8306
    @stellasimon8306 Před rokem +1

    Asante sana dada,naomba no yako tuongee, mimi niko Sweden. Laila tafadhali naomba

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 Před 10 měsíci +1

    🤔Norway ghali sana maisha hapo. Nilitembelea 2010 kwa siku nilikuwa natumia $100.00. Hongera sister na asante kwa elimu na taarifa

  • @irenesisamo2184
    @irenesisamo2184 Před 11 měsíci +1

    I love you Leila God has never forsaken you you are blessed May God bless your husband amen I am waiting for kitabu

  • @suzanetilito8194
    @suzanetilito8194 Před rokem +3

    I lover her she's very smart and strong lady❤❤

  • @annamussa185
    @annamussa185 Před rokem +4

    Hiyo ni kweli kabisa wanaume wa kizunguzungu wanatabia ya kukumbushia history yako ya nyuma yani masimango flani so inahitaji moyo sana na kujitambua kiakili

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před rokem +4

    Uyu Dada anafaa kupewa tuzo ya jasir kwakweli, dah, shukran kipenzi kwa hii interview, inatupa nguvu ya kutokata tamaa kwakweli.

  • @ashuramdee344
    @ashuramdee344 Před 9 měsíci

    Nimefurahi sana kwa Leila amejituma piamumewake nampa hongera sana na azae mtoto Mwingine pia madame nakipongeza sana kwamahojiano

  • @akothsewe734
    @akothsewe734 Před rokem +4

    Asante sana kwa hii story. Imenigusa sana! I'm your new Subscriber. Greetings from Germany

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před rokem +3

    Nitakuwa mchoyo kama nisipo toa shukran kwa kweli shukran sna dafa shena❤

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  Před rokem

      Shukran
      Na Shukran nyingi tuwape wageni wetu
      Wamekua na upendo sana kwa wengine kuja kuzungumza hapa

  • @Keyjop
    @Keyjop Před 5 měsíci

    Jmn misha bana hakuna chakuzuia hatima yako yaani mpango wa mungu ni pale pale ooh.lord! hallelujah 🙌

  • @hopegwimile53
    @hopegwimile53 Před 9 měsíci

    Mungu akulinde Leila .Uko vizuri sana.Wengi huficha na wanaishi kwa taabu.

  • @cathypeter
    @cathypeter Před rokem +5

    Ni kipenzi chetu kweli aswa

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 Před rokem +5

    Mungu hawasimamiA kwa kweli ubarikiwe

  • @user-wd9tp7eb7j
    @user-wd9tp7eb7j Před 10 měsíci +1

    Alafu mwajina wa mwanangu nimempenda kweli Ata haboeshi❤

  • @anithamsoke2329
    @anithamsoke2329 Před rokem +1

    Leila Mungu azidi kukutunza. Asante kwa kutuelimisha

  • @witneykato2476
    @witneykato2476 Před rokem +5

    Very beautiful woman

  • @Rashidmaganga6
    @Rashidmaganga6 Před 7 měsíci +1

    Da shena nitafutie mda mimi naishi japan for 16 years now so I have some good stories about Japanese

  • @bernadethamlundebartlett387

    Laila Dada mzuri sana mungu akubariki

  • @getrudahiasint3198
    @getrudahiasint3198 Před rokem +3

    Kwa kweli ametufundisha mengi. Nilishindwa kukomenti mengi nilikuwa busy darasani

  • @gwantwamwalyaje8515
    @gwantwamwalyaje8515 Před 3 měsíci

    Nakupenda Sana Dada Yangu Laila Mungu Akusaidie Sana

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 Před rokem +4

    Laila is cute!intelligence also

  • @Manuella966
    @Manuella966 Před 10 měsíci

    Why are u so happy Laila? I am breaking just imagining what you've gone through😢😢

  • @user-iy1np9et3q
    @user-iy1np9et3q Před 15 dny

    Mungu akubariki dd uko pow

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4j Před 2 měsíci

    Pole sana nduguyangu inauma

  • @margaretwambete1228
    @margaretwambete1228 Před 10 měsíci

    Beautiful smile. AM living positively too.Am Kenyan.plz nipe mzee mami.Am 64 years old.

    • @jacqueli18
      @jacqueli18 Před 8 měsíci

      Mmmmmmh 64 years surely unashindwa kukaa nyumbani

    • @jacqueli18
      @jacqueli18 Před 8 měsíci

      Mmmmmmh 64 years surely unashindwa kukaa nyumbani

    • @FM-xi3on
      @FM-xi3on Před 2 měsíci

      Hmmm

  • @QweenChamshama-fv6fk
    @QweenChamshama-fv6fk Před 10 měsíci +1

    Hongera sana dada una ujasir wa kutosha nimekupenda bure dar bigerup

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 Před 10 měsíci +2

    Huyu m’ke anazungumza kweli tupu si wtnz wanaoaminisha watu ati mzungu ndio utajiri au furaha.

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt Před 10 měsíci

    Asante Sana Dada mwenyezi mungu akutangulie nimejifuza mengi kuptia wewe

  • @irenejohn8194
    @irenejohn8194 Před 10 měsíci +1

    Mzungu akisema ndio ni ndio,,,na akisema hapana ni hapana,,,,,,hongera sana

  • @HappySoy-zy2ep
    @HappySoy-zy2ep Před 10 měsíci +1

    Mungu mwema wengi watasimama tena kupitia wewe nimekupenda sanaaaaa❤

  • @margaretwambete1228
    @margaretwambete1228 Před 10 měsíci

    Laila so knowledgeable. UBARIKIWE.

  • @habibamura5255
    @habibamura5255 Před 5 měsíci +1

    Leila mukewli Sana mashallah ❤️

  • @alodiadiocless3546
    @alodiadiocless3546 Před 10 měsíci

    Mwenyezi Mungu akutunze daima mrembo ukimwi sio mwisho wa maisha

  • @klaussteiner94
    @klaussteiner94 Před rokem +6

    shemegy etu anae kiti ake mbinguni,,,!!Mungu ambariki sana sana amin

    • @egnelakibua4077
      @egnelakibua4077 Před 10 měsíci

      Kabisa Yani,,,that shemeji has got thawabu for the love he offered to this dada

  • @tinamwasekaga9571
    @tinamwasekaga9571 Před 10 měsíci

    Video zinajenga Sana Sana mungu akubariki uendelee kutupatia elimu zaidi na zaidi🥰🙏

  • @aikandosa
    @aikandosa Před rokem +4

    Nimempenda 👏👏👏

  • @glorymasy7687
    @glorymasy7687 Před rokem +2

    Leila hongera na pole sana jmn dah

  • @tamashanuhu2668
    @tamashanuhu2668 Před 10 měsíci

    Acheni Mungu aitwe Mungu ndo maana tunafundishwa kuwa na Subra na kushukuru kwa kila jambo. Mungu hakupi jaribu lisokuwa na mlango. Kabakwa, kanyanyapaliwa lakini Mungu kampa mtu sahihi alomuandalia

  • @user-jz7td8kb6n
    @user-jz7td8kb6n Před rokem +4

    Dada mimi nimekupenda naombo uwe rafiki yangu

  • @annatemu4488
    @annatemu4488 Před 11 měsíci +1

    Hongera sana kwa Laila,pia ana kiswahili kizuri sana

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4j Před 2 měsíci

    Leo umenifiraisha ku ohi watu tofauti

  • @justinerjuliaus8907
    @justinerjuliaus8907 Před rokem +2

    So amazing and very beautiful lady

  • @anithamsoke2329
    @anithamsoke2329 Před rokem

    Shena nimekuwa addicted kila siku lazma ningalie video zako coz utanifunza mengi

  • @doreenniver6643
    @doreenniver6643 Před 10 měsíci +1

    Jamani kuna wakati Mungu anakuokota kwa wakati sahihi 😢❤

  • @cecilliasenya4588
    @cecilliasenya4588 Před 9 měsíci

    Sending my love to her 😍😍😍😍

  • @Diana-lf3nr
    @Diana-lf3nr Před 10 měsíci

    ❤❤❤ dada shujaa sana nimempenda bure nimejifunza mengi sana kupitia wewe🎉🎉

  • @lenatawinchilaus7688
    @lenatawinchilaus7688 Před 10 měsíci

    Yaaan kiswahili chako Kiko sawa kabisa na jua hii itafanya wale wenyenye kunyanyasa wengine watajifunza

  • @mariamtumwebaze389
    @mariamtumwebaze389 Před 11 měsíci +1

    Bambiiii mwenyezi mungu ni mkubwa uganda wendi wano mukwano 😘😘😘😘😘😘😘

  • @user-lr8ti4qc4o
    @user-lr8ti4qc4o Před 10 měsíci

    Habari dada nimala yang yakwanza kukufatilia nimevutiwa kiukweli,ila naomba kukuuliza,mimi ninaishi namaambukizi lakin huwa nataman kutoa elimu kwa wengine hasa kwa njia ya mitandao lakina ni kitu ambacho nakifikilia mda sasa lakin sijui nianzie wap yan nataman sku moja ndoto yang itimie sitataka kujua watanichukulieje lakin naitaji kutoa elim tu kwawengine ili wajue namna yakujilinda ama kuishi bila stress ukiwa na vvu

  • @marywilliam2572
    @marywilliam2572 Před rokem +2

    Yaani huyu dada nimemuelewa sana ngoja nipambane zangu mimi

  • @user-go5wb2pi2i
    @user-go5wb2pi2i Před 4 měsíci

    Wao dada kaelezea kila kitu vizuri❤🎉

  • @atispesaagan3570
    @atispesaagan3570 Před 10 měsíci

    Wow...ningependa huyo dada anihusishe nipata mume huko kwao mwenye atanikubali

  • @barakamazigo4840
    @barakamazigo4840 Před 6 měsíci

    Uko vzr bibie mungu akupe maixha malefu

  • @damariszuckschwert9489

    Ugonjwa wa Phyllis I think so.,au kwa kiswahili Kaswende kama sijakosea. Wazungu wanao sana sana. Nilisoma kuna nchi sijui Marekani mpaka tiba yake imepotea ma'pharmacy . Na huo ugonjwa mtu anaweza kukaa nao mwilini miaka ya kutosha bila kujitokeza.,mara paaap anaanza kuumwa.

  • @mariamahmad8261
    @mariamahmad8261 Před rokem +1

    Maashaa Allah All the best shann

  • @Octavinaelisa-fn6js
    @Octavinaelisa-fn6js Před 10 měsíci +1

    Nimempenda bule huyu dada mungu ampe nguvu hakika

  • @Merciana-uh3mz
    @Merciana-uh3mz Před 4 měsíci

    Nimependa sana nipatiwe mawasiliano nae, tafadhali

  • @ghislaineanifa637
    @ghislaineanifa637 Před 8 měsíci

    God bless you Leila ❤❤❤

  • @FM-xi3on
    @FM-xi3on Před 2 měsíci

    Pua ya host imenishughulisha sana mpka imenipotezea concentration

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před 10 měsíci

    MashaAllah 🎉🎉🎉Mwenyezi Mungu amuweke

  • @janethzacharia7967
    @janethzacharia7967 Před 2 měsíci

    My mtag basi kipenz changu

  • @hassankhamis344
    @hassankhamis344 Před 4 měsíci

    Hiyo kweli huko kuko powa kabisa Norway

  • @aidaanatory9330
    @aidaanatory9330 Před 3 měsíci

    Ubarikiwe sana

  • @naomyreuben8997
    @naomyreuben8997 Před 7 měsíci

    Huyu dada nimependa jaman yupo vizuri sana

  • @beatricetenywa4367
    @beatricetenywa4367 Před 4 měsíci

    Norway unaweza shtakiwaa na mtoto ni wako
    Watoto wanapenda haki sana.
    Ukimgombeza anataka ajue kwanin umemgombeza...
    Ukimsemesha kwa sauti watu wanakuangaliaa..duuh hapana kwakweli.

  • @fridanyoni2867
    @fridanyoni2867 Před 7 měsíci

    DADA SHENA NAOMBA NAMBA YA LEILA TAFADHALI

  • @marykennedymarwa1641
    @marykennedymarwa1641 Před 10 měsíci +1

    That is how european people are, when they love ,they take all the risk's

  • @peterokalo9632
    @peterokalo9632 Před 10 měsíci

    Kweli Luna ulaya ni ufanye kazi kwa bidii maisha ni bio bio a lot of paper 📑 alot of office appointments