Jamani nimejiona ndani yahuyo dada natamani kuwa kama yeye kwaajili ya kuelimisha wengine ninacho faham sisi wenye VVU niwatu kama wengine nikotayari kushea historia yangu ya vvu
Mungu ni mwema ila jitahidi kumwamini Mungu na ufuatilie maombi kwa mtumishi wa Mungu Mwamposa wa irise and shine tz kwenye Utube utapona kabisa kwa jina la Yesu kwa Mungu yote yanawezekana ameen
Sijawahi comments in this platform! This lady has touched my heart ♥️, She is very courageous! May God continue blessing you!! Na Asante kwa kuelimisha jamii!! We said undetectable untransmittable!! U=U! Hongera sana
We thank God for Leyla's courage,she is one in many MashaAllah. Can she help us in getting a HIV dating sites without paying through visa cards?watched from Kenya
May the projects go through InshaAllah, and may your book shine InshaAllah sister Leyla.Be blessed too, sister Shena, for the good job. Keep it up 🎉🎉🎉❤
Mungu apewe sifa May God bless her always 🥰hivi shena haujawah fikiria kuchanganya content I mean kuita watu walio Tanzania au popote sio tu lazima walio ulaya maana content nyingi zinafanana Ila hii iko tofauti I'm proud of you🥰
Wazungu karibu na wote wanaooa wageni haswa waafrika wanakua wachumi/wabaghili na wabinafs. Kuoa wazungu wenzao washajua hawatoelewana ndio mana wanatafuta waafrika haswa waliopo Afrika wawacontrol na kuwatumia.
Wee dada.pole sana.haswa kwa ujasiri wako nimeupenda sana, kueleza hadharani yaliyokupata haswa ukiwa bado mtoto wa miaka 13 hivi. Shikilia habari za Mungu sasa zaidi ili urithi bingu.mpya na.nchi mpya tunayotegemea, ambayo haitakuwa na ubakaji uliokupata. Ubarikiwe.
Hiyo ni kweli kabisa wanaume wa kizunguzungu wanatabia ya kukumbushia history yako ya nyuma yani masimango flani so inahitaji moyo sana na kujitambua kiakili
Acheni Mungu aitwe Mungu ndo maana tunafundishwa kuwa na Subra na kushukuru kwa kila jambo. Mungu hakupi jaribu lisokuwa na mlango. Kabakwa, kanyanyapaliwa lakini Mungu kampa mtu sahihi alomuandalia
Habari dada nimala yang yakwanza kukufatilia nimevutiwa kiukweli,ila naomba kukuuliza,mimi ninaishi namaambukizi lakin huwa nataman kutoa elimu kwa wengine hasa kwa njia ya mitandao lakina ni kitu ambacho nakifikilia mda sasa lakin sijui nianzie wap yan nataman sku moja ndoto yang itimie sitataka kujua watanichukulieje lakin naitaji kutoa elim tu kwawengine ili wajue namna yakujilinda ama kuishi bila stress ukiwa na vvu
Ugonjwa wa Phyllis I think so.,au kwa kiswahili Kaswende kama sijakosea. Wazungu wanao sana sana. Nilisoma kuna nchi sijui Marekani mpaka tiba yake imepotea ma'pharmacy . Na huo ugonjwa mtu anaweza kukaa nao mwilini miaka ya kutosha bila kujitokeza.,mara paaap anaanza kuumwa.
Norway unaweza shtakiwaa na mtoto ni wako Watoto wanapenda haki sana. Ukimgombeza anataka ajue kwanin umemgombeza... Ukimsemesha kwa sauti watu wanakuangaliaa..duuh hapana kwakweli.
Jamani nimejiona ndani yahuyo dada natamani kuwa kama yeye kwaajili ya kuelimisha wengine ninacho faham sisi wenye VVU niwatu kama wengine nikotayari kushea historia yangu ya vvu
Njoo tushauriane
Usiope dear unaweza ukatupa moyo nass tukapime tujijue
Dada alipitia ukatili katika umri mdogo sana...Mungu wa mbinguni akujalie heri daima..
Namuina Mungu. Kwa.macho yngu mawili..Mungu ni.mkubwa sana acha tuzidi kumtukuza uhaminifu wke ni wa ajabu sana Eemen❤ kwa hii story nimefarijika
Amen
Wow she speaks very good Swahili and confident woman. Asante dada for being genuine and educating the society. Asante da Shena
All credits to Laila
She is amazing kwakweli
@@OfficialDatingAssistancewe UK inch gani??
Love ur Swahili n ur confidence
Mungu ni mwema ila jitahidi kumwamini Mungu na ufuatilie maombi kwa mtumishi wa Mungu Mwamposa wa irise and shine tz kwenye Utube utapona kabisa kwa jina la Yesu kwa Mungu yote yanawezekana ameen
MUNGU ambariki huyu dada ampe afya njema ,aweze kuishi maisha marefu
Amen 🙏
Amen 🙏
@@leaherasto929naomba mawasiliano yako
Amen
Amina. Bwana ampe kibali ktk maisha yake
Sijawahi comments in this platform! This lady has touched my heart ♥️, She is very courageous! May God continue blessing you!! Na Asante kwa kuelimisha jamii!! We said undetectable untransmittable!! U=U! Hongera sana
Wow. Nimempenda huyu Dada, ni luwazi na ni mkweli. Asante sana mgeni wetu Nimejifunza mengi. 🙏🏾
Leo mrembo wa Tz katuletea Mrembo wa Congo, appreciate.
We thank God for Leyla's courage,she is one in many MashaAllah. Can she help us in getting a HIV dating sites without paying through visa cards?watched from Kenya
Leila uko vizuri, jasiri unaweza saidia watu wengine, nimekupenda
May the projects go through InshaAllah, and may your book shine InshaAllah sister Leyla.Be blessed too, sister Shena, for the good job. Keep it up 🎉🎉🎉❤
Masha Allah beautiful Laila ❤ Mwenyezi mungu aendelee kukupa shifaa na ujasiri. Wewe ni mrembo na mcheshi sana! Asanteni sana kwa mazungumzo mazuri 😊
Mungu apewe sifa May God bless her always 🥰hivi shena haujawah fikiria kuchanganya content I mean kuita watu walio Tanzania au popote sio tu lazima walio ulaya maana content nyingi zinafanana Ila hii iko tofauti I'm proud of you🥰
Hata walio Africa lakini walikutana kupitia mtandao
Either wa kijamii au wa kimahusiano
Kama unamjua mtu basi naomba Connection kipenzi 🥰
@@OfficialDatingAssistanceShena mtafuta dada anaitwa Jojo Gray kaolewa na mzungu tusikie nae alikutana vipi na mumewe.
Hongera sana Dada Shena tunazidi kujifunza sisi wenyendoto yakufika ulaya 🎉
Shukran 🙏
Nisaidie namba yake@@OfficialDatingAssistance
Iam addicted na hiki kipindi siku haiwez pita sijasikiliza wawili 😎😎
Shukran 🙏
Share na wengine wajifunze ba ku enjoy pia 🥰
Tupo ktk mashua moja😂😂😂😂😂huku ndo nimemwelewa TikTok nilikuwa najiuliza huyu analenga nini
She is a humble woman !!🎉
Waaa, may the Living God keep this smile forever!!! What a beautiful story....from Holland 🇳🇱
Wazungu karibu na wote wanaooa wageni haswa waafrika wanakua wachumi/wabaghili na wabinafs. Kuoa wazungu wenzao washajua hawatoelewana ndio mana wanatafuta waafrika haswa waliopo Afrika wawacontrol na kuwatumia.
Ahsante dada Shena,huyu dada amesaidia Sana hongera yake ni mkweli
Woooowww nampendaaaa sana huyu dada ninamfuatilia sana tiktok...Asante shena kwa kutufunza mambo mengiii
Shukran pia kwa Support yako kipenzi 🙏
Anatumia Jina gani tiktok?
Thanks very much . This interview is too educative .
Mungu ambariki sana sana. Nlikua naogopa kupima but sasa ntaenda kupima na nitakua tayari kwa majibu yoyote
Kweli kbs
Wee dada.pole sana.haswa kwa ujasiri wako nimeupenda sana, kueleza hadharani yaliyokupata haswa ukiwa bado mtoto wa miaka 13 hivi. Shikilia habari za Mungu sasa zaidi ili urithi bingu.mpya na.nchi mpya tunayotegemea, ambayo haitakuwa na ubakaji uliokupata. Ubarikiwe.
God bless you my sister.We thank God for you,keep telling your story.
Thanks for listening
😢Mungu akupe maisha marefu sana akutunze kila siku
Amazing interview and I loved her courage and honesty.
Shennah❤
duh,sad part ya raping...curse all men waliombaka huyo dada..walaaniwe maisha yao yote....i hate watu wasiokuwa na Utu...
Joyce, Mungu amemfariji Shaila, na pengine walishakufa au kuteseka zaidi. Shaifa zaidi kumwomba Mungu akuandae Kwa ajili ya maisha Bora Mbinguni
Joyce, Mungu amemfariji Shaila, na pengine waliombaka walishakufa au kuteseka zaidi. Shaifa omba Mungu akuandae Kwa ajili ya maisha Bora Mbinguni
What a beautiful, smart black beauty ❤ Leila you are the best may God continue to uplift you.
Nimependa kipindi hope ntaipata hiyo project na kitabu hapa hapa 😎
Hongera sana Dada kwa ujasiri na uthubutu wa kuwa muwazi Mungu akupiganie uwe na afya tele
Waaaah huyu dada ana story ambayo anawafanya wengi wasimame Tena Asanteh Sana 🙏
Asante sana dada,naomba no yako tuongee, mimi niko Sweden. Laila tafadhali naomba
🤔Norway ghali sana maisha hapo. Nilitembelea 2010 kwa siku nilikuwa natumia $100.00. Hongera sister na asante kwa elimu na taarifa
I love you Leila God has never forsaken you you are blessed May God bless your husband amen I am waiting for kitabu
I lover her she's very smart and strong lady❤❤
Hiyo ni kweli kabisa wanaume wa kizunguzungu wanatabia ya kukumbushia history yako ya nyuma yani masimango flani so inahitaji moyo sana na kujitambua kiakili
Very sad
Uyu Dada anafaa kupewa tuzo ya jasir kwakweli, dah, shukran kipenzi kwa hii interview, inatupa nguvu ya kutokata tamaa kwakweli.
Very true 🔥🔥
kabisa aseee da saumu
Nimefurahi sana kwa Leila amejituma piamumewake nampa hongera sana na azae mtoto Mwingine pia madame nakipongeza sana kwamahojiano
Asante sana kwa hii story. Imenigusa sana! I'm your new Subscriber. Greetings from Germany
Thank you so much 🙏
Nitakuwa mchoyo kama nisipo toa shukran kwa kweli shukran sna dafa shena❤
Shukran
Na Shukran nyingi tuwape wageni wetu
Wamekua na upendo sana kwa wengine kuja kuzungumza hapa
Jmn misha bana hakuna chakuzuia hatima yako yaani mpango wa mungu ni pale pale ooh.lord! hallelujah 🙌
Mungu akulinde Leila .Uko vizuri sana.Wengi huficha na wanaishi kwa taabu.
Ni kipenzi chetu kweli aswa
Mungu hawasimamiA kwa kweli ubarikiwe
Alafu mwajina wa mwanangu nimempenda kweli Ata haboeshi❤
Leila Mungu azidi kukutunza. Asante kwa kutuelimisha
Very beautiful woman
So much
Da shena nitafutie mda mimi naishi japan for 16 years now so I have some good stories about Japanese
Ahsante Rashid, Naomba tuwasiliane WhatsApp +4367764790884
Laila Dada mzuri sana mungu akubariki
Kwa kweli ametufundisha mengi. Nilishindwa kukomenti mengi nilikuwa busy darasani
Thanks dear
Nakupenda Sana Dada Yangu Laila Mungu Akusaidie Sana
Laila is cute!intelligence also
Very smart
Why are u so happy Laila? I am breaking just imagining what you've gone through😢😢
Mungu akubariki dd uko pow
Pole sana nduguyangu inauma
Beautiful smile. AM living positively too.Am Kenyan.plz nipe mzee mami.Am 64 years old.
Mmmmmmh 64 years surely unashindwa kukaa nyumbani
Mmmmmmh 64 years surely unashindwa kukaa nyumbani
Hmmm
Hongera sana dada una ujasir wa kutosha nimekupenda bure dar bigerup
Huyu m’ke anazungumza kweli tupu si wtnz wanaoaminisha watu ati mzungu ndio utajiri au furaha.
Asante Sana Dada mwenyezi mungu akutangulie nimejifuza mengi kuptia wewe
Mzungu akisema ndio ni ndio,,,na akisema hapana ni hapana,,,,,,hongera sana
Mungu mwema wengi watasimama tena kupitia wewe nimekupenda sanaaaaa❤
Laila so knowledgeable. UBARIKIWE.
Leila mukewli Sana mashallah ❤️
Mwenyezi Mungu akutunze daima mrembo ukimwi sio mwisho wa maisha
shemegy etu anae kiti ake mbinguni,,,!!Mungu ambariki sana sana amin
Kabisa Yani,,,that shemeji has got thawabu for the love he offered to this dada
Video zinajenga Sana Sana mungu akubariki uendelee kutupatia elimu zaidi na zaidi🥰🙏
Nimempenda 👏👏👏
Leila hongera na pole sana jmn dah
Acheni Mungu aitwe Mungu ndo maana tunafundishwa kuwa na Subra na kushukuru kwa kila jambo. Mungu hakupi jaribu lisokuwa na mlango. Kabakwa, kanyanyapaliwa lakini Mungu kampa mtu sahihi alomuandalia
Dada mimi nimekupenda naombo uwe rafiki yangu
Hongera sana kwa Laila,pia ana kiswahili kizuri sana
Leo umenifiraisha ku ohi watu tofauti
So amazing and very beautiful lady
Shena nimekuwa addicted kila siku lazma ningalie video zako coz utanifunza mengi
Ahsante dear 🙏
Jamani kuna wakati Mungu anakuokota kwa wakati sahihi 😢❤
Sending my love to her 😍😍😍😍
❤❤❤ dada shujaa sana nimempenda bure nimejifunza mengi sana kupitia wewe🎉🎉
Yaaan kiswahili chako Kiko sawa kabisa na jua hii itafanya wale wenyenye kunyanyasa wengine watajifunza
Bambiiii mwenyezi mungu ni mkubwa uganda wendi wano mukwano 😘😘😘😘😘😘😘
Habari dada nimala yang yakwanza kukufatilia nimevutiwa kiukweli,ila naomba kukuuliza,mimi ninaishi namaambukizi lakin huwa nataman kutoa elimu kwa wengine hasa kwa njia ya mitandao lakina ni kitu ambacho nakifikilia mda sasa lakin sijui nianzie wap yan nataman sku moja ndoto yang itimie sitataka kujua watanichukulieje lakin naitaji kutoa elim tu kwawengine ili wajue namna yakujilinda ama kuishi bila stress ukiwa na vvu
Yaani huyu dada nimemuelewa sana ngoja nipambane zangu mimi
Wao dada kaelezea kila kitu vizuri❤🎉
Wow...ningependa huyo dada anihusishe nipata mume huko kwao mwenye atanikubali
Uko vzr bibie mungu akupe maixha malefu
Ugonjwa wa Phyllis I think so.,au kwa kiswahili Kaswende kama sijakosea. Wazungu wanao sana sana. Nilisoma kuna nchi sijui Marekani mpaka tiba yake imepotea ma'pharmacy . Na huo ugonjwa mtu anaweza kukaa nao mwilini miaka ya kutosha bila kujitokeza.,mara paaap anaanza kuumwa.
Maashaa Allah All the best shann
Nimempenda bule huyu dada mungu ampe nguvu hakika
Hakika
Nimependa sana nipatiwe mawasiliano nae, tafadhali
God bless you Leila ❤❤❤
Pua ya host imenishughulisha sana mpka imenipotezea concentration
Pole, utaizoea taratibu tu
MashaAllah 🎉🎉🎉Mwenyezi Mungu amuweke
My mtag basi kipenz changu
Hiyo kweli huko kuko powa kabisa Norway
Ubarikiwe sana
Huyu dada nimependa jaman yupo vizuri sana
Norway unaweza shtakiwaa na mtoto ni wako
Watoto wanapenda haki sana.
Ukimgombeza anataka ajue kwanin umemgombeza...
Ukimsemesha kwa sauti watu wanakuangaliaa..duuh hapana kwakweli.
DADA SHENA NAOMBA NAMBA YA LEILA TAFADHALI
That is how european people are, when they love ,they take all the risk's
Kweli Luna ulaya ni ufanye kazi kwa bidii maisha ni bio bio a lot of paper 📑 alot of office appointments