ANAISHI NA UKIMWI/MZURI BALAA, ANA AKILI, KAJITANGAZA/INASISIMUA...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 08. 2024

Komentáře • 452

  • @christinakilua7387
    @christinakilua7387 Před 5 lety +20

    Daaah doreen your a strong women ,
    I LOVE YOU

  • @bonifasiemanueli2708
    @bonifasiemanueli2708 Před 5 lety +30

    dada hongera sana kwa ujasili huo nakuombea kwa Yesu afanye njia siku moja ushuhudie uponyaji

  • @worldlyricssongs6141
    @worldlyricssongs6141 Před 5 lety +10

    She is positive, beautiful, anajitambua... Yaaani I like her 😘😘

  • @princesinko4073
    @princesinko4073 Před 5 lety +25

    Huyu dada jasiri na nampongeza kwa kuwa muwazi sana

  • @AliHassan-et7xf
    @AliHassan-et7xf Před 5 lety +202

    Hata Mimi nimezaliwa nnao lakini Niko fit age 30 mungu mkubwa

  • @khadijakassimu3710
    @khadijakassimu3710 Před 5 lety +20

    Mimi mme wangu ana ukimwi nami sina naishi nae huu mwaka wa 13 hajaniambukiza na nimezaa nae watoto 2 hawajapata maambukizi ya ukimwi na hawana tatizo lolote.Nafata tu maelekezo ya ushauri nasaha toka AMREF.Wanatoa ushauri kwa sisi tunaoishi na waume wana VVU.Ila kila baada ya miezi 6 naenda kupima.Mara ya mwisho nimepima April 12 mwaka huu October 12 mwaka huu narudia tena ila sina hofu hata kidogo

    • @exhaudyvalentine1767
      @exhaudyvalentine1767 Před 5 lety +4

      Hpngera pia nawe wa kuigwa mkewangu mwez wa3 sasa htuelewan kisa U.T.I kaendakwao hapo nkagundua wewe nmtu nacyo kiatu

    • @flaviousbenedict6489
      @flaviousbenedict6489 Před 5 lety +2

      Kwahiyo unapima ili uone kama unao ufurahi au? Kama mna watoto kwanini msiache sex mkabaki kulea watoto. Sio kila ushauri ni mzuri kwako. Ebu fikiri unapima ili iweje

    • @christinatemba2493
      @christinatemba2493 Před 5 lety +4

      Ipo siku ukipima utaukuta dada wala usijisifu. Acha uzuzu, kwanini asiache kujamiana? Ili angalao watoto wenu wasibaki yatima , walau wabaki na nzazi mmoja. Tumia akili usiitegemee tu ushauri nasaha maana mkifa wala hawatahusika kulea wanao.

    • @irenewilliam3844
      @irenewilliam3844 Před 5 lety

      @@christinatemba2493 kabisa

    • @aminahhamadi6214
      @aminahhamadi6214 Před 5 lety

      @@flaviousbenedict6489 Ogopa Kitu Kupenda Kupitiliza (Kumzimia Mtu) Huwezi Kujizuia kwa lolote, Ndio Maana Wakaimba MAPENZI YANAUA. Halafu Wenye VVU Pia Wanamatamanio Hivyo Hawawezi Kuacha Sex, Chamsingi Wachukue Tahadhari Wakati wa TENDO.

  • @betterwilson3072
    @betterwilson3072 Před 5 lety +9

    Yaaan ur so amazing sanaaaa ndio maana una afya nzuri..Mungu akupe maisha marefu

  • @danielnjau372
    @danielnjau372 Před 5 lety +21

    Hakuna mzima kuishi ni bahati kufa ni lazma. Pia Hakuna ugonjwa mzuri.

  • @mtuifrida3144
    @mtuifrida3144 Před 5 lety +10

    Mungu ni mwema sanaaa... Endelea kumuamini utaishi maisha marefu sana.

  • @ashamwandu3781
    @ashamwandu3781 Před 5 lety +19

    usijari mwaya mdogo wangu mungu mkubwa, kuuguwa siyo kufa. Inshallah mungu atakutunza

  • @josephnjeno2582
    @josephnjeno2582 Před 5 lety +68

    Unaandika ana ukimwi mzuri balaa aliyekuambia ukimwi upo kwa wabaya tu ni nani au ukimwi wazuri unawaogopa

  • @annabalenga4420
    @annabalenga4420 Před 5 lety +24

    Yani!!! Mungu akulinde dada mzuri

  • @elizabethmziray3868
    @elizabethmziray3868 Před 5 lety +7

    Pole DADA MWENYEZI MUNGU aendelee kukulinda DADA

  • @shaibahkmwangoto8089
    @shaibahkmwangoto8089 Před 5 lety +12

    Jamani tuacheni zinaa. Huyu dada mungu ambariki sana. Mi ningekutana naye ningegonga kavu aisee. Huwezi kumjuwa muasirika kwakumtaza kwamacho. Aiseeeee.

  • @sammwasomola953
    @sammwasomola953 Před 5 lety +6

    Hakika nimempenda sana huyu Dada hakika yupo strong sana

  • @jenimichael1062
    @jenimichael1062 Před 5 lety +1

    Dada pole sana usiwaze ukimwi sikuizi fasheni kilamtu anao nawala siougonjwa kuna magonjwa yale yasiotibika nawala ayana kinga ayondio yakuyawazia nasio ukimwi

  • @aliarkam1413
    @aliarkam1413 Před 5 lety +8

    Subhanaallah . Mtoto Mzur kweli Nam nikapime nijijue .Pole sana Ndugu hongera sana kwa ujasili wako kujitangaza kwa kweli inataka Moto kweli .

    • @fetyzakry6673
      @fetyzakry6673 Před 5 lety +1

      Ukitaka kwenda unipitie na mimi

    • @fatmahchambo2037
      @fatmahchambo2037 Před 5 lety

      Uwiiiii.....jamani mnipitie na mimi twende sote

    • @Gratefulheart3188
      @Gratefulheart3188 Před 5 lety +1

      Tupitiane ila wakat wa kurudi tusijuane .😀😀😀😀😀

    • @fetyzakry6673
      @fetyzakry6673 Před 5 lety +1

      @@Gratefulheart3188 😀😀😀😀😀 hapana turudi tu pamoja majibu pia tuambizane

    • @fatmahchambo2037
      @fatmahchambo2037 Před 5 lety

      @mary nyaki umenivunja mbavu 😂😂😂😂😂.

  • @robertjunior9916
    @robertjunior9916 Před 5 lety +39

    Heri kuwa na ukimwi kuliko ugonjwa wa Moyo au figo

    • @asiimweanthony9057
      @asiimweanthony9057 Před 5 lety +3

      Robert Junior hakuna heri katika wagonjwa, Mimi naamini sijaumbiwa magonjwa

    • @simonlupatu5363
      @simonlupatu5363 Před 5 lety +2

      Ukimwi Dawa yake ni Damu ya Yesu tu. Maombi pekee hakika utapina tu

    • @saumukenga2096
      @saumukenga2096 Před 5 lety +1

      @@simonlupatu5363 dawa yake ni kuwa waaminifu. Tutosheke na ndoa zetu na tuogope mungu na tuache zinaa

  • @rabaanbigirimana2856
    @rabaanbigirimana2856 Před 5 lety +5

    Daah!!! Una ukimwi wew Dada? Poleni sana na sio wengi kama wew wangeweza kujitamburisha kama wana VVu.

    • @machaineomahe6697
      @machaineomahe6697 Před 5 lety

      jaman huyu dada hana ukimwi ila anaishi na virus vya ukimwi. ukimwi ni hatua ambayo mtu anakonda na mwili kuzidiwa na Virus vya ukimwi.

  • @anwarfundi5748
    @anwarfundi5748 Před 5 lety +13

    Allah atakulipa kwa wemawako hususan kwa vijana wenzako b blessed forever

  • @margarethsaramaki1100
    @margarethsaramaki1100 Před 5 lety +5

    Hongera Doreen Mungu yu mwema kwani hauko peke yako tuko pamoja nawe, God bless u forever.

  • @user-qr2gj3jp9l
    @user-qr2gj3jp9l Před 5 lety +22

    Pole sana mwaya duh lakini uumwe ukimwi usiumwe ukimwi ila utakufa tu

  • @dicksonulotu9717
    @dicksonulotu9717 Před 5 lety +7

    Doreen wewe ni mwanamke jasiri tena shupavu

  • @jhulianmwalongo2141
    @jhulianmwalongo2141 Před 5 lety +11

    Kuwa na HIV sio mwisho Wa maisha,mdogo wangu muathirika mumewe negative lakin maisha mubashhara raha,hata utawatamani.Tambua HIV sio mwisho Wa maisha.

    • @janengowi3011
      @janengowi3011 Před 5 lety +1

      Nenda kwenye maombi mdogo wangu utapona nenda kawe kwa mtumishi mwamposa utapona dada

  • @mrishokalamba
    @mrishokalamba Před 5 lety

    UKIMWI si Ugonjwa na Maambukizi ya VVU si ugonjwa ingawa inaweza sabababisha UKIMWI,,, UKIMWI hata mawazo huleta UKIMWI.... Pia kitu cha kuzingatia ni kwamba Maambukizi Ya VVU usipo fuata taratibu za kihuduma za Afya ndio yanaweza kuleta UKIMWI na ukiwa na UKIMWI ni rahisi kuruhusu magonjwa tofauti kukushambulia... Hongera mdada

  • @aishamashaka8601
    @aishamashaka8601 Před 5 lety +16

    hongera mwana Dada nibola ukimwi kuliko kisukali au moyo

    • @wennybarny168
      @wennybarny168 Před 5 lety

      Hata figo au ini au kansa ni balaa yani mateso makali

    • @louisagachie4384
      @louisagachie4384 Před 5 lety

      Kisukali..afhali..u just eat good diet...sio dawa 24/7

  • @deogratiusrutatwa7000
    @deogratiusrutatwa7000 Před 5 lety +29

    Nafikiri tutumie zaidi maneno “kuwa wazi “ kuliko neno “kujitangaza” inatia unyanyapaa

  • @mamdzootz4057
    @mamdzootz4057 Před 5 lety +1

    Mungu ni mwema anaweza kukuponya ukiamini WRM TV inaweza kukujenga kiimani zaidi

  • @mwanahamisibakari9565
    @mwanahamisibakari9565 Před 5 lety +10

    Amani iwe juu yako Doreen

  • @jojoekiza5400
    @jojoekiza5400 Před 5 lety +1

    Dada pole sana kweli wewe shuja God bless u.

  • @masoudmohd6054
    @masoudmohd6054 Před 5 lety

    dah umenihuzunisha sana pole sana sana dada Doreen Mungu akulinde na akuafu afu ya uzima aameen

  • @furahinikisapi4718
    @furahinikisapi4718 Před 5 lety +6

    We Dada in mzuri....mashallah nakutakia heri na maixha yenye baraka tele

  • @nebatmwangomba8427
    @nebatmwangomba8427 Před 5 lety +13

    Pole saana dadaangu usijari nakuomba mtangazaji huyu tumsaidie mwezi wa 5 ni wakupona anapona Kama hutojari nikutanishe naye halafu baada ya muda atarudi Tena studio kushuhudia kwamba ana Hali gani

  • @user-co3yk7xb4p
    @user-co3yk7xb4p Před 11 měsíci

    Wow very nice. Nimependa huo uwazi. Wengi huogopa kujitangaza

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Před 5 lety +5

    jamani dada poa kabisa umewapa hamasa wanaoogopa kusema kwamba wanaujonjwa huo kwanza karine hii ukimwi nikama mafua watu wajitangaze ili watibiwe kwavizuri nikama marazi mengine madogo tu ajabu sana unakuta mtu anaficha ugonjwa wa ukimwi nawakati kuna kansa kuna ebora kuda dengu haitibiki hata mm nilifikili siku moja nikiambiwa nina ukimwi nitajitangaza kwaajili ya kuelimisha jamii

  • @deogratiusrutatwa7000
    @deogratiusrutatwa7000 Před 5 lety +23

    Nimefurahi sana kwa confidence na uwazi wako Doreen naomba uje ofsini kwetu NACOPHA, Baraza la watu wanaoishi na VVU tuyajenge pamoja kwani wewe ni mfano mzuri kwa vijana wengi hapa Tanzania. Waweza kunipigia 0655141427 . Mimi ni Mtendaji mkuu

  • @esterbegina1022
    @esterbegina1022 Před 5 lety +2

    Nimekupenda adi nimebubujikwa na machoz pole my dear lakini Mungu nimwema ana kuona ata kujaza afya na maarifa utaishi kwa uwezo wake kupata virus sio kufa Nina Mdgo angu nae yuko ivo natamani awe rafiki yako umpe elim zaid jamani nimekuona kama yeye ee mungu wasaidie wadogo zangu. Natamani kukuona naomba na yako yasim nikupigie nikutafute karibu kwetu

  • @manyanyapeter4640
    @manyanyapeter4640 Před 5 lety +2

    Nampongeza sana huyu Dada mungu akupenguvu Dada naakurinde

  • @hassankurwa464
    @hassankurwa464 Před 5 lety +1

    Kama alikuwa hajui ana Ukimwi ina maana kuna mahusiano mengine na wanaume wengi. Duuu watu Mungu atustiri

  • @najma3268
    @najma3268 Před 5 lety +1

    Pole sana kipenzi, kikubwa umekuwa imara na kujikubali bas naamin mungu atakupa maisha marefu inshaallah kher

  • @williamtowo1032
    @williamtowo1032 Před 5 lety +4

    pole sana Dada mungu akupe ujasiri uwo ndugu

  • @landrinebagalwa5919
    @landrinebagalwa5919 Před 5 lety +1

    Ukimwi una tunzwa lakini out of the hospital, na izo dawa wana wapa ndo zina wa fanya kuwa peleka ku njiya ya kifo

  • @masanjamageme4138
    @masanjamageme4138 Před 5 lety +1

    doreen mungu awe nawe mpaka mwixho wa uhai wako maan unawapa nguvu hâta wengne ambao ulikuw wmekata tamaa

    • @rickansiribwa8289
      @rickansiribwa8289 Před 5 lety

      Doreen mm ninah rafiki yang na yeye alikuwa na maambukizi naa alimrudia MUNGU NA ivi sasa ninavokwambia amepona na hana tena ukimwi khy never give up ukimwamini MUNGU utapona kabisaa

  • @salehyassin9245
    @salehyassin9245 Před 5 lety +3

    Mungu akulinde na akuzidishie afya

  • @deboramatpapaztv
    @deboramatpapaztv Před 5 lety +5

    Ushukuru tu kua ulikua na wasimamizi wazuri sana....lasivyo....

  • @agneskadzo6105
    @agneskadzo6105 Před 5 lety +2

    Very Good sister

  • @fatumaamwantumu9165
    @fatumaamwantumu9165 Před 5 lety

    Kugua ukimwi sio kufaaaa mashaaallah unaukasili kweli duu

  • @prosperkonokono5716
    @prosperkonokono5716 Před 5 lety +2

    pole sana dada angu. ila naamin mungu anaweza kukuponya. fanya maamuzi

  • @somoemmanu3513
    @somoemmanu3513 Před 5 lety +10

    Nampenda uyo shemeji yangu nice sana dada umefanya vizuri sana dada

  • @basickasote538
    @basickasote538 Před 5 lety +3

    Mungu akulinde Doreen tupo wengi tumeathirika

  • @msangsmsangi6535
    @msangsmsangi6535 Před 5 lety +13

    Nyie mnaosema mkikutana naye hamuuachi,kwani mmeambiwa anatafuta bwana loooo

  • @malayamtamu6899
    @malayamtamu6899 Před 5 lety +5

    Mimi ninao lakini wa kuambukizwa please we Dada naomba uwe mshauri wangu unipe moyo

  • @ngalelefijo2545
    @ngalelefijo2545 Před 5 lety

    Hongera Doreen kwa kuweza kuwa muwazi kusaidia wenzako

  • @hajimnzava7463
    @hajimnzava7463 Před 5 lety +8

    polesana ila ukimwi saivi unapona nenda ukaombewe dada

  • @wazirisimeo9048
    @wazirisimeo9048 Před 5 lety

    Pole sana Doreen ila ni kawaida usiwe na hofu hata wasio nao huo ugonjwa wanakufa wanakuacha Mungu akulinde mama jasiri.

    • @janetmlulla374
      @janetmlulla374 Před 5 lety

      Cute girl, kufa ni kwa kila binadamu. Mungu aendelee kukupigania my girl.

  • @mosesmkoma6882
    @mosesmkoma6882 Před 5 lety +9

    Aisee inaumiza Ila Mungu akutie nguvu dada mzuri

  • @gwakisakaswaga5249
    @gwakisakaswaga5249 Před 5 lety +2

    Hongereni sana watangazaji ...hiki ni kipindi chenye tija saaana

  • @raphaelsamwel2640
    @raphaelsamwel2640 Před 5 lety +4

    Tunachapa tu kiufundiiiiiii!! Njooooooo

  • @zahara.mtingita5740
    @zahara.mtingita5740 Před 5 lety +3

    Mwenyezmungu. Atulinde. Na. Ili. Gonjwa. Usikie. Tu. Kwamwezio. Sio. Uwenao

  • @mariamfaki1166
    @mariamfaki1166 Před 5 lety +15

    Usijali huo ungojwj ni wakawaida tu kwani kuna ugonjwa wa cancer ndio ugonjwa mbaya wewe ni jasiri

  • @khadijak3065
    @khadijak3065 Před 5 lety +2

    Hongera kwa kuliona hilo Inge kuwa mwengine angefanya maksudi kuambukiza pole mdogo wangu mungu yupo pamoja na Wewe

  • @victoriajohn7893
    @victoriajohn7893 Před 5 lety +2

    You are special doreen

  • @saidmoh7505
    @saidmoh7505 Před 5 lety +3

    Ilikuwa kwenye watu 100 kumi hawakosi mpaka sasa wa 3 mmoja hakosi itafikia mahala Fulani mmoja hakosi hatari sana

  • @saumukenga2096
    @saumukenga2096 Před 5 lety +1

    Wengi wenye ugonjwa ni wale wazuri sana coz kila mtu akimwangalia yuwavutiwa

  • @mrsmile5425
    @mrsmile5425 Před 5 lety +2

    watangazaji baadhi ya maswali mnazingua...

  • @abubakariramadhani1372
    @abubakariramadhani1372 Před 5 lety +1

    pole sana Dada mungu ni mkuu akupe nguvu sana

  • @shankalimauno5786
    @shankalimauno5786 Před 5 lety +2

    god is always on time dadaake. matatizo nayo dua ucijali mungu yupo nawe

  • @mwanaiditz3900
    @mwanaiditz3900 Před 5 lety +6

    Pole sana mpnz

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 Před 5 lety +2

    Mungu akulinde na uwe na moyo huo huo,

  • @josephbonaventure7026
    @josephbonaventure7026 Před 5 lety +1

    Pole sana dada yangu Mungu yupo na wewe mama usikate tamaa fuata mashart ya dawa tu na uwalinde wengine pia

  • @mosesorgenes648
    @mosesorgenes648 Před 5 lety +3

    Hongera kwa hiyo clinic waliomtunza Dada huyu

  • @markosanga8197
    @markosanga8197 Před 5 lety +4

    Wewe dada ni kupende sana sana

  • @hancybeny
    @hancybeny Před 5 lety +2

    Mungu ni mwema na amtangulie daima huyu dada

  • @merycianadominic5215
    @merycianadominic5215 Před 5 lety +1

    Inaniuma sana, k
    Lakini umeamua jema Mungu akupe maisha narefu sana barikiwa

  • @rejinamgunde4731
    @rejinamgunde4731 Před 5 lety +1

    hongera Dorine kwa ujasir wako

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 5 měsíci

    Safi sana Doorin❤❤👍👍🙏🙏

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu Před 5 lety

    ukimwi dawa yake ni kuacha dhambi tu maana hata kama umejitangaza we sio bikra tayari watu wanakula kama kahawa sasa sijui hao wanaokula wako salama kiasi gani...

  • @neemasalum950
    @neemasalum950 Před 5 lety +7

    Ukimwi niugonjwa km ugonjwa mwingine

  • @davidzachariah5086
    @davidzachariah5086 Před 5 lety +3

    jaman mungu nimwema kwako dada

  • @changanikisesa7021
    @changanikisesa7021 Před 5 lety +2

    Pole dear Mungu akupe nguvu

  • @annatomas3557
    @annatomas3557 Před 5 lety

    #NAMPENDA SANA DADA ANGU DOREEN BADO TUPO PAMOJA PANDE ZA #TMK MDOGO AKO #Moudy hapa

  • @MrCyprian1589
    @MrCyprian1589 Před 5 lety +5

    Oh my God....

  • @edwingwesso129
    @edwingwesso129 Před 5 lety +5

    Jaman msiogope kupima kwa kwa Sasa kufa sio lahis

  • @eberykambona2173
    @eberykambona2173 Před 5 lety

    Mungu ni mwema ujasiri ni ushindi,umeshinda.

  • @florailovethismovegaspary1800

    Mungu ni mwema ukijitambua hivyo ni nzuri unakinga na wengine,mungu akuongoze

  • @jafetlaizer9191
    @jafetlaizer9191 Před 5 lety +1

    pole xana b dada

  • @claralassonn8833
    @claralassonn8833 Před 5 lety

    Mungu akutie nguvu akuna familia ambayo haija lia na hili

  • @khadijak3065
    @khadijak3065 Před 5 lety +1

    Nimelia pole sana zingatia masharti mbona. Wanaishi

  • @rosedavid499
    @rosedavid499 Před 5 lety +2

    huuuwi Mungu ninusulu naogopa ukimwi jamani wengine tunapima coz wa jawazito ila tofaut na hapo unakuwa na hofu hongera kwa kujikubal

  • @sofiaahmed8880
    @sofiaahmed8880 Před 5 lety +2

    mungu Atakulinda Dorin popote ulipo.

    • @geraldmsanga5954
      @geraldmsanga5954 Před 5 lety

      Ataishi, atazaa bila Maambukizi na atapata wajukuu atawaona Mungu ni mwema

  • @ibrahimaboker9086
    @ibrahimaboker9086 Před 5 lety +3

    Ukimwi ni ugonjwa serikali ya USA na UN SECURITY COUNCIL na EUROPE walikubaliana na wanasayansi wa USA walitengeneza ili kupunguza idadi ya wafrika ili ipunguwe na mungu si athumani ugonjwa huu ukaingia USA
    Na Europe dawa xipo lakini hawataki kuzitoa.

    • @andrewernest3313
      @andrewernest3313 Před 5 lety

      Kwani Kupungua kwa waafrika Kuna Faida gani kwa Wazunguu..!!???

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 Před 5 lety +2

    Maskin pole Sana dada mungu atakupa subra atakupa nguvu zaidi

  • @bintysele6999
    @bintysele6999 Před 5 lety +3

    yupo pia mtoto jirani ye2 anao uwo ugonjwa 😔😔😔 toka amezaliwa natumia dozi

  • @fauziyaomar6391
    @fauziyaomar6391 Před 5 lety +2

    Pole kwa mitihani

  • @seniornyungu9718
    @seniornyungu9718 Před 5 lety +2

    UKIMWI ni Upungufu wa Kinga Mwilini ambao hupelekea magonjwa mengine Nyemelezi.
    Kwa KWELI ni janga linapoteza nguvu kazi...vijana tujihadhari.

  • @suleimanjuma7526
    @suleimanjuma7526 Před 5 lety

    usiwaze Dada ndo mambo.utaishi kwa furaha iwapo hutojitia mawazo..mungu akuwafuuu

  • @deboramatpapaztv
    @deboramatpapaztv Před 5 lety +4

    Wanafanana majina na Doreen moracha wa kenya

  • @agnesjackson6321
    @agnesjackson6321 Před 4 lety

    By the way ukimwi sio kifo japo ambao hawana wawe makini na kuna unyanyapaa sana wa watu wenye virusi na pia usimcheke aliye nao sababu hujui kesho yako

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 Před 5 lety +1

    Dah pole sana

  • @makamehaji4395
    @makamehaji4395 Před 5 lety

    Pole sana, M/Mungu akufanyie wepesi katika mambo yako.