MAMA ALIFARIKI /NINA VVU / NILIKUWA NA MAHUSIANO NA WENGI / HATUKUDUMU - DOREEN ODEMBA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 08. 2024
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 65

  • @dianamsangawale9925
    @dianamsangawale9925 Před 2 lety +8

    Daaaah,Mungu akutie nguvu Dada angu na uishi miaka mingi zaidi na uwe mwenye furaha

  • @azizaabeid2055
    @azizaabeid2055 Před 2 lety +3

    Yani mie nampenda huyu dada muda wote anatabasamu MashaAllah mzuri mwenyewe mungu azidi kukupa afya kwani kuwa na ukimwi sio mwisho wa maisha

  • @rosenamilia4140
    @rosenamilia4140 Před 2 lety +5

    Ugonjwa wa KANSA ndio tishio kubwa sana Duniani bila kujali nchi masikini na tajiri. Kuwa na VVU unaweza kuishi navyo hata miaka 50 to 60,mradi utumie dawa. Kansa hata utumie dawa maisha yake mafupi sana, kutegemea ni stage ya ngapi.Ishi kwa imani yako na Mungu wako na usisikiluze ya watu wanasemaje au wanakuonaje.

  • @jumanurdini9814
    @jumanurdini9814 Před 2 lety +10

    Pole xna binti Doreen jamn 🙏 🙏 ww n binti mzuri

  • @antoinekatembo8520
    @antoinekatembo8520 Před 2 lety +9

    Pole sana binti M/Mungu aendelee kukupa faraja na ujasiri mkubwa wa kuendelea kuistamili hiyo hali!

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 Před 2 lety +6

    She's so beautiful

  • @janethjohn7053
    @janethjohn7053 Před 2 lety +3

    Mungu akutie nguvu na unaweza kupona kwa sababu tafiti zinaendelea

  • @geofreyjackson9292
    @geofreyjackson9292 Před 2 lety +6

    I really Love you dear, stay blessed ❤️❤️.

  • @aloyceiluminata3650
    @aloyceiluminata3650 Před 2 lety +9

    HIV is not a big deal these days....na hao virus wa HIV wanaenda ku disappear baada ya miaka 30-40 ijayo.. that's why wameleta the new virus (corona) which is very very stubborn.....wanajua HIV inaelekea mwisho so lazima waendelee kufanya biashara zao that's NWO.. that's world

  • @aboubaqarally9834
    @aboubaqarally9834 Před 2 lety +2

    Vijana tunakufa kizembee sanaa!!🤔 Hembu tazama pisi kali kama huyu wapo wangpi kitaani. Baharia ukipewa namba unaomba game unatumia mkongo ukifikir unasthili kusifiwa na baby wako kumbe ooh. Dah. but Mungu akupe maisha mareefu sna we dada. upo Really

  • @maishakisunzu1029
    @maishakisunzu1029 Před 2 lety +3

    Hongera Sana Doreen kujiamini ni Jambo la kheri

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 Před 2 lety

    Allah tunaomba Rehma zako!! yasafishe majanga haya mazito!!

  • @devothaignatus5911
    @devothaignatus5911 Před 2 lety

    Pole sana Mungu aktetee uckte tamaa mungu atakpigania kwanza ww nimzr sana

  • @aishaimam1442
    @aishaimam1442 Před 2 lety +2

    Pole sana ila haina mmoja my d hii mitihan n ya kila mtu inamkuta

  • @jumamohamed1233
    @jumamohamed1233 Před 2 lety +3

    WANAUMEEEEEEEEE!!!! HANGEEEEEEE HATARI HIYOOOOOOOOO INAKUJAAAAAAAA, KAENI MKAO WA KUSUBIRI PILAU MAANA MHHHHHH!!

    • @agnessherman57
      @agnessherman57 Před 2 lety +2

      Huna ubinadamu wewe

    • @talinangwira6245
      @talinangwira6245 Před 2 lety +1

      Pumbu kweli wewe

    • @patrickpeter1800
      @patrickpeter1800 Před 2 lety +1

      Mdomo wako hauna breki hyu hajapenda kuwa hivyo alizaliwa na maambukz badaya ya kumuombea wewe wa mtenga au din yako yakufundisha ivyo

    • @azizaabeid2055
      @azizaabeid2055 Před 2 lety +1

      Kaka tena mate chini hujafa hujaumbika hakuomba huyu ila mungu alikuwa kashamuandikia na kuwa na HIV sio mwisho wa maisha wanakufa wazima huumwi popote kwani tujuwe kufa ni lazima muda wowote si lazima uwe na ukimwi hatakiwa tuwatenge walakuwanyanyapa kesho yetu kaka hatuijui tuwe na busara na kauli zetu

    • @abdulazizmwipi9295
      @abdulazizmwipi9295 Před 2 lety

      @@patrickpeter1800 ww dini yetu haifndshi hvy usihusishe dini hpo ni ujinga wke kaongea dini hpo haihusiki

  • @zubedamagambo9600
    @zubedamagambo9600 Před 2 lety +2

    Pole ndugu, Mungu azidi kukutia nguvu.

  • @trifainanjalika5100
    @trifainanjalika5100 Před 2 lety +2

    Asante kwa kutusemea mumy itz very painfull lakin tunatakiwa tuish ili tupambane Mungu tutie nguvu

  • @faridaaloyce7672
    @faridaaloyce7672 Před 2 lety

    Nakupenda Doreen

  • @user-gp9qr7lc5r
    @user-gp9qr7lc5r Před 8 měsíci

    ❤❤

  • @fatumaabdallah6720
    @fatumaabdallah6720 Před 2 lety +3

    Umenenepa sana

  • @allahakujazekheriwowww5694

    Uko mkweli

  • @evanjelcamelkizedeck1356

    MUNGU BABA akupe afya njema dear

  • @mariamibrahim6738
    @mariamibrahim6738 Před 2 lety +1

    Wallah

  • @bigirumanalululouise4540

    Pole san dada

  • @patrickpeter1800
    @patrickpeter1800 Před 2 lety +1

    Polesana ndugu mungu yu pamkja na wewe

  • @christinajmnkenyi724
    @christinajmnkenyi724 Před 2 lety

    We nijasiri na usikate tamaa big up

  • @maigathomas2353
    @maigathomas2353 Před 2 lety

    Polee

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 Před 2 lety +8

    Namjuwa huyu dada ni anajisikia hatari.. tumeaoma wote

    • @khadijabakari2932
      @khadijabakari2932 Před 2 lety +2

      Hatakiwi kuwa mnyonge wandug

    • @mayaproducts5294
      @mayaproducts5294 Před 2 lety +2

      Ndivyo wanavyo kuwaga watu aina hii sio kujisikia yaani ni wakuwavumilia.

    • @najuf8021
      @najuf8021 Před 2 lety +3

      Sio kujiskiani hal yakuhofia watu

    • @msafirisalum8436
      @msafirisalum8436 Před 2 lety +1

      Msamehe bure tu sio yeye ndio kama anavyokueleza matatizo aliyonayo

    • @dafemadafema1365
      @dafemadafema1365 Před 2 lety +2

      Kujisikia ni kawaida ulitaka asijisikie kwan yeye n mait si mzima huyo nyooo

  • @fatymamy9902
    @fatymamy9902 Před 2 lety

    Pole sana doreen

  • @linahcharles3981
    @linahcharles3981 Před 2 lety +1

    So sorry Dear

    • @kiehbhzh7044
      @kiehbhzh7044 Před 2 lety

      mashallah dada dorini amezidi kunenepa sn Allah atakupa kizazi vhema lnshallah

  • @ivonvena9409
    @ivonvena9409 Před 2 lety

    Ukimw ni kawaida kuliko Corona sahv watu wanaishi miaka mingi kuliko wazima

  • @happynelson1136
    @happynelson1136 Před 2 lety

    Huyu si tulishamuonaga kwenye chanel nyingi tu akisimulia kuhusu afya yake ameibuka tena

  • @gichainedaudimokami6784

    Can I get her contact?

  • @rajah9328
    @rajah9328 Před 2 lety +2

    Pole san Dda yngu ata mim girlfriend alkua n virus kw upendo akanielezea kusikitisha alibakwa na bbke wa kambo

    • @chichimloli5926
      @chichimloli5926 Před 2 lety

      Ikawaje baada ya apo najua ulmuacha,je muna urafki

    • @rajah9328
      @rajah9328 Před 2 lety

      @@chichimloli5926 aliponishow ada dawa zake still tulkua twa meet mwnywe akaamua tuwe marafiki hkutka tena niwe mpenzi wke nilimsii haja geto mara kw mara nadhni mwisho akaamua kubdlisha line coz yey akua hjua ameathriki n twa meet ady alipofika 4m akaelezwa ukwel ckufichi ady sai ntfuta namba yke kw best zke coz nilisafar warabuni iwpo ingekua anipendi angeniachia n bdo ningekua Kenya cjui uko wapi coz ata marafiki

    • @zuenaaliy1925
      @zuenaaliy1925 Před 2 lety

      @@rajah9328 yuwaitwa nani cz de sm story like my fruend

    • @rajah9328
      @rajah9328 Před 2 lety

      @@zuenaaliy1925 sas iwpo alinipenda haknitel afya yake den ni mtaje jina lake uoni apo usaliti nani pia ni makosa makubwa ata daktari mwnywe awezi sema mtu flani ameathriki

    • @zuenaaliy1925
      @zuenaaliy1925 Před 2 lety

      @@rajah9328 sawa mzee baba ww ukirudi 001 mtafte hata kma sio kimahusioni bt umuone tu

  • @moricemorice75
    @moricemorice75 Před 2 lety

    Naomb namb yake dor

  • @user-gp9qr7lc5r
    @user-gp9qr7lc5r Před 8 měsíci

    ❤❤