RAIS SAMIA ALIVYOMUITA MBELE MDOGO WAKE IKULU, "EBU NJOO HUKU, HUYU NI MDOGO WANGU KABISA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 07. 2022

Komentáře • 146

  • @wazirally1791
    @wazirally1791 Před rokem +4

    Miladi miladi ulishindwa kumrekodi kwa upande wa muonekano???? legend mnanielewa

  • @shaameshaame9721
    @shaameshaame9721 Před rokem +14

    Basi ashauriwe asifate mkumbo ajistiri kwani tukumbuke kuna maisha baada ya haya na ndio khatar sana huko

    • @jacksonpallangyo1369
      @jacksonpallangyo1369 Před rokem +3

      Kwani yupo uchi wee vp?

    • @khalfanikimanta6663
      @khalfanikimanta6663 Před rokem +2

      ​@@jacksonpallangyo1369 Ndugu ifanye akili yako ni nyenye kufikiri jambo hilo kalizungumza @shaame ni kwa kuzingatia familia anayo ishi na kutoka huyo dada ake umemuona yuko kichwa wazi?
      Kisha nakufahamisha katika uislamu UCHI wa mwanamke ni mwili mzima isipokuwa uso na viganja vyake

  • @zaidihussein4311
    @zaidihussein4311 Před rokem +4

    Rais wetu tuna kupenda sanaaaaqaa

  • @jogoomohamed2652
    @jogoomohamed2652 Před rokem +18

    Safi sana mhe Rais wangu/wetu.Ucheshi wako unatufanya nasi tufurahi.Ninakuombea sana mama siku zote.Inshallah

  • @habibndyeshobora6848
    @habibndyeshobora6848 Před rokem +1

    Mlilelewa vizuri saana ki maadili , EXCELLENT!!!! M/ MUNGU AWASIMAMIE ZAIDI!!!!

  • @alloycejames5285
    @alloycejames5285 Před 27 dny +2

    Hehe... mamangu. Asante sana mamangu. Je ameolewa? Nauliza tu...😊

  • @fatumamtukane44
    @fatumamtukane44 Před rokem +3

    Mashallah mbona watu mnateseka

  • @iddikimia4951
    @iddikimia4951 Před rokem +4

    Safi sana Mama

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Před rokem +12

    RAHA kweli kweli. FAMILIA ikiwa na wenye VIPAJI viingi VIZURI KTK jamii yao. Ashukuriwe MUNGU kwa kweli.

    • @farajajosephat6022
      @farajajosephat6022 Před rokem

      Vipaji!???

    • @kennywilliam2466
      @kennywilliam2466 Před rokem

      Vipaji kwenye familia za viongoz kasikilize wimbo wa twenty percent 20% naficha harafu njoo mtaani uone sefuria zinavyo toboka kwa kukwanguliwa ukoko.

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo191 Před rokem +3

    Waaw!! So nice 👏👏👏🇧🇪🇧🇪🇧🇪

  • @tengestenges8028
    @tengestenges8028 Před rokem +4

    Mimi pia mdogo wako kabisa.ila nasota kweli kweli

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg Před 2 dny

    Mbona kama Mtanganqyika kichwa hajafunika, na wazanzibar wengi hufunika nyele zao jamani

  • @SavaniLaboratory
    @SavaniLaboratory Před rokem +2

    This is what we call in Kenya corruption/state cupture

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Před rokem

    Hongeraaa team manager

  • @minnadaffa6453
    @minnadaffa6453 Před rokem +8

    Congrats ladies .women are always able ,no fear

  • @shaameshaame9721
    @shaameshaame9721 Před rokem +15

    Hayakuwa maisha ya dunia ila ni starehe zenye kukatika.

  • @maskthegreet8400
    @maskthegreet8400 Před rokem +1

    Ccm kitanda naijuaga damu yako mamasamia uwa unapendaga sana kuweka dore juu ukishusha dore mezainajisafisha yenyewe✋🧧nimeanza kuukubari ufaamu wako💙❤️😁

  • @sirajanimunira9424
    @sirajanimunira9424 Před rokem +1

    Eeee

  • @estermachea3373
    @estermachea3373 Před rokem

    Safi Sanaa mama hongera kwahilo

  • @prosperkullaya6721
    @prosperkullaya6721 Před rokem +2

    Mama mcheshi sana

  • @mussaharun7257
    @mussaharun7257 Před rokem +1

    Kwann hajafunika kichwa

  • @johngerrald4453
    @johngerrald4453 Před rokem +1

    Mashalaaaah ana kitu atafika mbali hebu nipe namba yake

  • @SamweliFelix-ij2pc
    @SamweliFelix-ij2pc Před 4 měsíci

    Mama naomba unisaidie unipeleke studio

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 Před rokem +4

    Sisi wengine na familia zetu ndiyo tutakula jeuri yetu siyo

    • @menalikechildren8836
      @menalikechildren8836 Před rokem

      hahahah

    • @gracelee61
      @gracelee61 Před rokem

      😅

    • @hamiyhamadi2613
      @hamiyhamadi2613 Před rokem

      Hahahahaahha

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 Před rokem

      Kila familia Ina mchango kwa Taifa... Eneo gani hapo ndio tunakotofautiana. Kuna wachezaji, wachekeshaji, waalimu, madaktari, manesi, dereva, injinia, makasisi, majeshi, wachungaji, wakulima, Wafugaji, wavuvi nk. Labda kwa nadra sana familia nzima iwe ya majanga Kama wezi, majambazi nk

  • @nassorseif7907
    @nassorseif7907 Před rokem +6

    Mpe ushauri avae km wewe dunia ya kupita tuu

    • @franklinassey6600
      @franklinassey6600 Před rokem

      Wapumbavu mko wengi

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale Před rokem

      @@franklinassey6600 Hahahaa aisee... wengi mno! Anaacha kufanya kazi anataka pesa za BURE!

    • @marygregory7566
      @marygregory7566 Před rokem

      Mnajali sana miili kuliko roho zenu,
      Jichunguzeni na matendo yenu

    • @hamzaswaibu9470
      @hamzaswaibu9470 Před rokem

      @@marygregory7566 Ukisha vaa ovyo hayo ni matendo mabaya usisitete ujinga

    • @marygregory7566
      @marygregory7566 Před rokem

      @@hamzaswaibu9470 jiulize wewe una dhambi ngapi, sio kila wakati kukosoa wenzio

  • @emmanuelymwaja7318
    @emmanuelymwaja7318 Před rokem

    VIP kwan ameolewa huyo?
    Ili niwe shemeji yake Mh.Presdent🤪🤪

  • @herimallya3385
    @herimallya3385 Před rokem

    angekuwa ni Magufuli,, angeng'aka fatuma,,"Sukuma Gang"!

  • @georgenyoni9879
    @georgenyoni9879 Před rokem

    Msimu ajaficha kichwa ,kwa mwanamke wa kizanzibar hii ni adimu sana

  • @mosalim871
    @mosalim871 Před rokem +1

    ila hajavaa ushungi Kma ww

  • @fadhilhimid2776
    @fadhilhimid2776 Před rokem

    Well done

  • @muhammadfadhil9442
    @muhammadfadhil9442 Před rokem

    Na mimi namuona alivyovurugika maa nywele ipo wima na haitaki kufunikwa.

  • @momo21
    @momo21 Před rokem

    Wa Tz from kenya ❤'mdogo wangu 'inamaanisha nini ,I've been wondering .someone please nielimishe

    • @Kandege
      @Kandege Před rokem +1

      Means my sibling.

    • @momo21
      @momo21 Před rokem

      @@Kandege humbled G

  • @salminasalim5630
    @salminasalim5630 Před rokem

    Kwani yeye ndio anafundisha mbona hivyo hapana wanaocheza ni wote sema unawapongeza wote sio huyo tu jamani utawakatisha tamaa wengine

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi408 Před rokem

    Samia miaka 10 tena

  • @mezddimosso3318
    @mezddimosso3318 Před rokem

    Sisi na mama

  • @berthajohn8840
    @berthajohn8840 Před rokem +1

    Chezea mdogo wake ww

  • @lanlady2504
    @lanlady2504 Před rokem +1

    Kumbeee!

  • @kainimlowe9646
    @kainimlowe9646 Před rokem +1

    Ushamba tu

  • @berusarga2897
    @berusarga2897 Před rokem

    Mama samia me mkwe kwenu sasa utanisaidia mahari lakin

  • @machaggechacha243
    @machaggechacha243 Před 7 měsíci

    Mwarabu.

  • @godfreymwenesho1770
    @godfreymwenesho1770 Před 6 měsíci

    Nawezaje kupata mawasiliano ya ikulu au namba ya Rais DK Samia

    • @gracerishandumilema278
      @gracerishandumilema278 Před 2 měsíci

      Mimi mwenyewe natamni nionane na mama Samia,ila sijui nafanyaje,mungu tusaidie

  • @muniraame1535
    @muniraame1535 Před rokem

    Jamani hata kuvaa mtandio basi jihifadhi ww mwanamke was kiislamu unatutia aibu wa kwetu

  • @alikidungura9419
    @alikidungura9419 Před rokem

    Ayo manyele

  • @mtwamkulu7319
    @mtwamkulu7319 Před rokem

    Ameolewa?

  • @marlonstudios4408
    @marlonstudios4408 Před rokem

    Itabidi nimuoe

  • @khamisabduuqataadah8488
    @khamisabduuqataadah8488 Před rokem +3

    Kama ni Mdogo wake kweli kwanini stara hana na yeye rais yu na stara?

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 Před rokem +3

      Stara uwanjani? Atachezaje mpira na majuba?

    • @khamisabduuqataadah8488
      @khamisabduuqataadah8488 Před rokem

      @@salmahalfani6307 hapo alipomwita alikuwa uwanjani?
      Unaamua kuasi kisa nini?

    • @HelbethMlelwa
      @HelbethMlelwa Před rokem +4

      Kiujumla michezo ya mpira ni ushetani, haipo katika biblia wala quruan tukufu.

    • @khamisabduuqataadah8488
      @khamisabduuqataadah8488 Před rokem

      @@HelbethMlelwa Shukrani Sana ndugu mie nawashangaa Sana hawa akina Mama.

    • @swaumdodoma7591
      @swaumdodoma7591 Před rokem +1

      @@HelbethMlelwa point sana mimi kama mimi sitakuja ruhusu binti yangu ajiingize kwenye mambo kama ayo na akikaidi atafute pakwenda

  • @kennywilliam2466
    @kennywilliam2466 Před rokem +1

    Vipaji kwenye familia za viongozi kasikilize wimbo wa twenty percent 20% naficha harafu njoo mtaani uone sefuria zinavyo toboka kwa kukwanguliwa ukoko!!

  • @ayushsaeed1051
    @ayushsaeed1051 Před rokem

    Mwambie ajistiri

  • @Yu-jr9uf
    @Yu-jr9uf Před rokem +4

    Mshauri avae shungi basi

    • @selamanngasa8200
      @selamanngasa8200 Před rokem

      Kaolewa maana, nikalembo kwr

    • @allygibu7003
      @allygibu7003 Před rokem

      @@selamanngasa8200 itabidi tuulizie Kama hakajaolewa tuoe

    • @eliashibundabalinze2217
      @eliashibundabalinze2217 Před rokem

      Shungi ni nje tu ndugu, vipi kuhusu usafi wa roho zenu zikoje?

    • @suleimanjuly1396
      @suleimanjuly1396 Před rokem

      @@eliashibundabalinze2217 stara ni moja wapo ya kupunguza maovu wew acha kujisemesha na ndio maana vitabu vyote vya dini vinasema hakuna alie kamilika isipokua mungu na katika dini yetu stara kwa mwanamke ni mhimu kuliko kitu chochote sijui huko kwenu

    • @eliashibundabalinze2217
      @eliashibundabalinze2217 Před rokem

      @@suleimanjuly1396 kwetu sisi usafi wa roho zetu ni bora kuliko kitu chochote, maana Mungu ni Roho nao wanaomwabudu imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.
      Vipi kwa makabila yasiyovaa nguo yanavaa majani au ngozi tu tena wanafunika mbele na nyuma tu hawana stara?

  • @musamsangi774
    @musamsangi774 Před rokem +2

    Duh!! Mrembo kweli kama hajolewa naomba uchumba

  • @saadmbaraqa5272
    @saadmbaraqa5272 Před rokem

    Maji hakishamwagika hayazoleki

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 Před rokem

    Hayo ndo alikataa Baba mangu mambo ya ndugu ndugu hakutaka.misifa tu misifa

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Před rokem

    Undugu kufaana

  • @lilykarim8968
    @lilykarim8968 Před rokem

    Mbona hafanani na mwinyi

  • @alisaleh2507
    @alisaleh2507 Před rokem +1

    MAMA MM NAKUKUMBUSHA TU, HUYO MDOGO WAKO UNAEFURAINAE LEO ANAWEZA KUKUGHARIMU SIKU YA HUKUMU, INAKUAJE.MTOTO WA KIISLAMU ANATEMBEA KICHWA WAZI NA WW UNAMPONGEZA, NAKUKBUSHA TU MAMA, ANGALIA SANA.KUNA MAISHA BAADA YA KIFO

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka Před rokem +1

    Daah kwelii imekaa powah sana

  • @ednaJF1028
    @ednaJF1028 Před rokem +9

    Mambo ya kuonyeshana hayo magufuli hakuwa nayo kabisa.he was very simple man
    I will always remember you Baba ❤️

    • @muddyville
      @muddyville Před rokem +13

      Sijui huwa mnavutaga bangi au nini, mbona hata huyo uliyemtaja alikuwa anawasimamisha watu? Hukumbuki wakati anahutubia kuhusu yule Mtoto wa Dada yake aliyegombea Jimbo la kawe alimwambia asimame? Daaah

    • @mkude
      @mkude Před rokem +10

      Acha chuki wewe kwahiyo kama mh Magufuli alikuwa na tabia flani unataka na huyu mama awe na tabia hiyo hiyo,buree kabisaa wewe,

    • @winfordmwangonda5375
      @winfordmwangonda5375 Před rokem +8

      Raisi anawapongeza vijana kwa mafanikio na kuwapa support,ni jambo njema kwa mkuu wa nchi ,hakuna dhambi kumtaja mdogo wake ,its not a show off stuff, just appreciating her young sister

    • @ghost8641
      @ghost8641 Před rokem +7

      ​@@muddyville sio bangi tu wanavuta unga kabisa hawa watu ni wale wenye roho za kwanini mwanammke Rais that's why they are still bitter sour losers

    • @mudighurayra
      @mudighurayra Před rokem +2

      Hufatilii ulikua unafata mkumbo 2

  • @saidsalum9587
    @saidsalum9587 Před rokem

    Km ni mimi kwa jamii ninayotokea nicingemkataa kama ni ndugu yngu ila nicingejivunia kwa yy kutembea kichwa wazi wakt ni muislmu kbsa

  • @ismailjuma3692
    @ismailjuma3692 Před rokem +3

    Eeeeeee viumbe muogopeni Allah miongoni mwa njia za kumuogopa Allah ni stara.

  • @saidhassan7779
    @saidhassan7779 Před rokem +3

    MSIMU NAKUPENDA SANA

    • @lazaromaria5334
      @lazaromaria5334 Před rokem

      duuhh nakubal mwanangu 😂😂😂

    • @saidhassan7779
      @saidhassan7779 Před rokem

      @@lazaromaria5334 Hahhha nipe number zako Kaak

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 Před rokem

      Wabongo kwa fursa tupo makini saaaana
      Said weka jitihada upate chombo

    • @trayoversion
      @trayoversion Před rokem

      Umeniwahi nilitaka niseme hivyo

    • @user-kr2qr8vx1x
      @user-kr2qr8vx1x Před 18 dny

      Msimu nakupenda mwanangu...mungu akupe hekima kama ya mweshimiwa dada ambae kwangu mweshimiwa mama...nakuomba mwanangu niombee Kwa dada Nina mkwe wangu anae tarania kuwa mwanangu amsaidie kazi naomba sana sana nashindwa kumfikia mweshimiwa rais..Kwa uwezo wa mungu kupitia kwako akate nde naamini mungu ni mwaminifu..hili anisaidie naomba mwanangu nibembelezee Kwa mweshimiwa dada...Sina kazi nauguza baba.mungu akubariki ktk yote nakupenda mwanangu.

  • @ayoebi7666
    @ayoebi7666 Před rokem

    Tanzania 🇹🇿 Brushed political sexs .