RAIS SAMIA ALIVYOMUITA MBELE MDOGO WAKE IKULU, "EBU NJOO HUKU, HUYU NI MDOGO WANGU KABISA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 147

  • @wazirally1791
    @wazirally1791 Před rokem +6

    Miladi miladi ulishindwa kumrekodi kwa upande wa muonekano???? legend mnanielewa

  • @shaameshaame9721
    @shaameshaame9721 Před 2 lety +14

    Basi ashauriwe asifate mkumbo ajistiri kwani tukumbuke kuna maisha baada ya haya na ndio khatar sana huko

    • @jacksonpallangyo1369
      @jacksonpallangyo1369 Před rokem +3

      Kwani yupo uchi wee vp?

    • @khalfanikimanta6663
      @khalfanikimanta6663 Před rokem +2

      ​@@jacksonpallangyo1369 Ndugu ifanye akili yako ni nyenye kufikiri jambo hilo kalizungumza @shaame ni kwa kuzingatia familia anayo ishi na kutoka huyo dada ake umemuona yuko kichwa wazi?
      Kisha nakufahamisha katika uislamu UCHI wa mwanamke ni mwili mzima isipokuwa uso na viganja vyake

  • @jogoomohamed2652
    @jogoomohamed2652 Před 2 lety +18

    Safi sana mhe Rais wangu/wetu.Ucheshi wako unatufanya nasi tufurahi.Ninakuombea sana mama siku zote.Inshallah

  • @habibndyeshobora6848
    @habibndyeshobora6848 Před rokem +1

    Mlilelewa vizuri saana ki maadili , EXCELLENT!!!! M/ MUNGU AWASIMAMIE ZAIDI!!!!

  • @alloycejames5285
    @alloycejames5285 Před 3 měsíci +2

    Hehe... mamangu. Asante sana mamangu. Je ameolewa? Nauliza tu...😊

  • @zaidihussein4311
    @zaidihussein4311 Před rokem +4

    Rais wetu tuna kupenda sanaaaaqaa

  • @fatumamtukane44
    @fatumamtukane44 Před rokem +4

    Mashallah mbona watu mnateseka

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Před 2 lety +13

    RAHA kweli kweli. FAMILIA ikiwa na wenye VIPAJI viingi VIZURI KTK jamii yao. Ashukuriwe MUNGU kwa kweli.

    • @farajajosephat6022
      @farajajosephat6022 Před 2 lety

      Vipaji!???

    • @kennywilliam2466
      @kennywilliam2466 Před 2 lety

      Vipaji kwenye familia za viongoz kasikilize wimbo wa twenty percent 20% naficha harafu njoo mtaani uone sefuria zinavyo toboka kwa kukwanguliwa ukoko.

  • @GodfreyMhando-gn7ok
    @GodfreyMhando-gn7ok Před 13 dny

    Mama unajuwa sanaa

  • @minnadaffa6453
    @minnadaffa6453 Před 2 lety +8

    Congrats ladies .women are always able ,no fear

  • @tengestenges8028
    @tengestenges8028 Před rokem +4

    Mimi pia mdogo wako kabisa.ila nasota kweli kweli

  • @shaameshaame9721
    @shaameshaame9721 Před 2 lety +15

    Hayakuwa maisha ya dunia ila ni starehe zenye kukatika.

  • @iddikimia4951
    @iddikimia4951 Před 2 lety +4

    Safi sana Mama

  • @SavaniLaboratory
    @SavaniLaboratory Před rokem +2

    This is what we call in Kenya corruption/state cupture

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo191 Před 2 lety +3

    Waaw!! So nice 👏👏👏🇧🇪🇧🇪🇧🇪

  • @maskthegreet8400
    @maskthegreet8400 Před rokem +1

    Ccm kitanda naijuaga damu yako mamasamia uwa unapendaga sana kuweka dore juu ukishusha dore mezainajisafisha yenyewe✋🧧nimeanza kuukubari ufaamu wako💙❤️😁

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg Před 3 měsíci

    Mbona kama Mtanganqyika kichwa hajafunika, na wazanzibar wengi hufunika nyele zao jamani

  • @estermachea3373
    @estermachea3373 Před rokem

    Safi Sanaa mama hongera kwahilo

  • @momo21
    @momo21 Před rokem

    Wa Tz from kenya ❤'mdogo wangu 'inamaanisha nini ,I've been wondering .someone please nielimishe

    • @Kandege
      @Kandege Před rokem +1

      Means my sibling.

    • @momo21
      @momo21 Před rokem

      @@Kandege humbled G

  • @godfreymwenesho1770
    @godfreymwenesho1770 Před 9 měsíci

    Nawezaje kupata mawasiliano ya ikulu au namba ya Rais DK Samia

    • @gracerishandumilema278
      @gracerishandumilema278 Před 5 měsíci

      Mimi mwenyewe natamni nionane na mama Samia,ila sijui nafanyaje,mungu tusaidie

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Před rokem

    Hongeraaa team manager

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 Před 2 lety +4

    Sisi wengine na familia zetu ndiyo tutakula jeuri yetu siyo

    • @menalikechildren8836
      @menalikechildren8836 Před 2 lety

      hahahah

    • @gracelee61
      @gracelee61 Před 2 lety

      😅

    • @hamiyhamadi2613
      @hamiyhamadi2613 Před rokem

      Hahahahaahha

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 Před rokem

      Kila familia Ina mchango kwa Taifa... Eneo gani hapo ndio tunakotofautiana. Kuna wachezaji, wachekeshaji, waalimu, madaktari, manesi, dereva, injinia, makasisi, majeshi, wachungaji, wakulima, Wafugaji, wavuvi nk. Labda kwa nadra sana familia nzima iwe ya majanga Kama wezi, majambazi nk

  • @nassorseif7907
    @nassorseif7907 Před 2 lety +6

    Mpe ushauri avae km wewe dunia ya kupita tuu

    • @franklinassey6600
      @franklinassey6600 Před 2 lety

      Wapumbavu mko wengi

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale Před 2 lety

      @@franklinassey6600 Hahahaa aisee... wengi mno! Anaacha kufanya kazi anataka pesa za BURE!

    • @marygregory7566
      @marygregory7566 Před 2 lety

      Mnajali sana miili kuliko roho zenu,
      Jichunguzeni na matendo yenu

    • @hamzaswaibu9470
      @hamzaswaibu9470 Před 2 lety

      @@marygregory7566 Ukisha vaa ovyo hayo ni matendo mabaya usisitete ujinga

    • @marygregory7566
      @marygregory7566 Před 2 lety

      @@hamzaswaibu9470 jiulize wewe una dhambi ngapi, sio kila wakati kukosoa wenzio

  • @mussaharun7257
    @mussaharun7257 Před rokem +1

    Kwann hajafunika kichwa

  • @prosperkullaya6721
    @prosperkullaya6721 Před 2 lety +2

    Mama mcheshi sana

  • @fadhilhimid2776
    @fadhilhimid2776 Před rokem

    Well done

  • @georgenyoni9879
    @georgenyoni9879 Před rokem

    Msimu ajaficha kichwa ,kwa mwanamke wa kizanzibar hii ni adimu sana

  • @SamweliFelix-ij2pc
    @SamweliFelix-ij2pc Před 7 měsíci

    Mama naomba unisaidie unipeleke studio

  • @herimallya3385
    @herimallya3385 Před rokem

    angekuwa ni Magufuli,, angeng'aka fatuma,,"Sukuma Gang"!

  • @muhammadfadhil9442
    @muhammadfadhil9442 Před rokem

    Na mimi namuona alivyovurugika maa nywele ipo wima na haitaki kufunikwa.

  • @Yu-jr9uf
    @Yu-jr9uf Před 2 lety +4

    Mshauri avae shungi basi

    • @selamanngasa8200
      @selamanngasa8200 Před 2 lety

      Kaolewa maana, nikalembo kwr

    • @allygibu7003
      @allygibu7003 Před 2 lety

      @@selamanngasa8200 itabidi tuulizie Kama hakajaolewa tuoe

    • @eliashibundabalinze2217
      @eliashibundabalinze2217 Před 2 lety

      Shungi ni nje tu ndugu, vipi kuhusu usafi wa roho zenu zikoje?

    • @suleimanjuly1396
      @suleimanjuly1396 Před 2 lety

      @@eliashibundabalinze2217 stara ni moja wapo ya kupunguza maovu wew acha kujisemesha na ndio maana vitabu vyote vya dini vinasema hakuna alie kamilika isipokua mungu na katika dini yetu stara kwa mwanamke ni mhimu kuliko kitu chochote sijui huko kwenu

    • @eliashibundabalinze2217
      @eliashibundabalinze2217 Před 2 lety

      @@suleimanjuly1396 kwetu sisi usafi wa roho zetu ni bora kuliko kitu chochote, maana Mungu ni Roho nao wanaomwabudu imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.
      Vipi kwa makabila yasiyovaa nguo yanavaa majani au ngozi tu tena wanafunika mbele na nyuma tu hawana stara?

  • @johngerrald4453
    @johngerrald4453 Před rokem +1

    Mashalaaaah ana kitu atafika mbali hebu nipe namba yake

  • @mosalim871
    @mosalim871 Před rokem +1

    ila hajavaa ushungi Kma ww

  • @salminasalim5630
    @salminasalim5630 Před rokem

    Kwani yeye ndio anafundisha mbona hivyo hapana wanaocheza ni wote sema unawapongeza wote sio huyo tu jamani utawakatisha tamaa wengine

  • @sirajanimunira9424
    @sirajanimunira9424 Před 2 lety +1

    Eeee

  • @emmanuelymwaja7318
    @emmanuelymwaja7318 Před rokem

    VIP kwan ameolewa huyo?
    Ili niwe shemeji yake Mh.Presdent🤪🤪

  • @berusarga2897
    @berusarga2897 Před rokem

    Mama samia me mkwe kwenu sasa utanisaidia mahari lakin

  • @khamisabduuqataadah8488
    @khamisabduuqataadah8488 Před 2 lety +3

    Kama ni Mdogo wake kweli kwanini stara hana na yeye rais yu na stara?

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 Před 2 lety +3

      Stara uwanjani? Atachezaje mpira na majuba?

    • @khamisabduuqataadah8488
      @khamisabduuqataadah8488 Před 2 lety

      @@salmahalfani6307 hapo alipomwita alikuwa uwanjani?
      Unaamua kuasi kisa nini?

    • @HelbethMlelwa
      @HelbethMlelwa Před 2 lety +4

      Kiujumla michezo ya mpira ni ushetani, haipo katika biblia wala quruan tukufu.

    • @khamisabduuqataadah8488
      @khamisabduuqataadah8488 Před 2 lety

      @@HelbethMlelwa Shukrani Sana ndugu mie nawashangaa Sana hawa akina Mama.

    • @swaumdodoma7591
      @swaumdodoma7591 Před 2 lety +1

      @@HelbethMlelwa point sana mimi kama mimi sitakuja ruhusu binti yangu ajiingize kwenye mambo kama ayo na akikaidi atafute pakwenda

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi408 Před rokem

    Samia miaka 10 tena

  • @ednaJF1028
    @ednaJF1028 Před 2 lety +9

    Mambo ya kuonyeshana hayo magufuli hakuwa nayo kabisa.he was very simple man
    I will always remember you Baba ❤️

    • @muddyville
      @muddyville Před 2 lety +13

      Sijui huwa mnavutaga bangi au nini, mbona hata huyo uliyemtaja alikuwa anawasimamisha watu? Hukumbuki wakati anahutubia kuhusu yule Mtoto wa Dada yake aliyegombea Jimbo la kawe alimwambia asimame? Daaah

    • @mkude
      @mkude Před 2 lety +10

      Acha chuki wewe kwahiyo kama mh Magufuli alikuwa na tabia flani unataka na huyu mama awe na tabia hiyo hiyo,buree kabisaa wewe,

    • @winfordmwangonda5375
      @winfordmwangonda5375 Před 2 lety +8

      Raisi anawapongeza vijana kwa mafanikio na kuwapa support,ni jambo njema kwa mkuu wa nchi ,hakuna dhambi kumtaja mdogo wake ,its not a show off stuff, just appreciating her young sister

    • @ghost8641
      @ghost8641 Před 2 lety +7

      ​@@muddyville sio bangi tu wanavuta unga kabisa hawa watu ni wale wenye roho za kwanini mwanammke Rais that's why they are still bitter sour losers

    • @mudighurayra
      @mudighurayra Před 2 lety +2

      Hufatilii ulikua unafata mkumbo 2

  • @machaggechacha243
    @machaggechacha243 Před 10 měsíci

    Mwarabu.

  • @musamsangi774
    @musamsangi774 Před 2 lety +2

    Duh!! Mrembo kweli kama hajolewa naomba uchumba

  • @mezddimosso3318
    @mezddimosso3318 Před rokem

    Sisi na mama

  • @muniraame1535
    @muniraame1535 Před 2 lety

    Jamani hata kuvaa mtandio basi jihifadhi ww mwanamke was kiislamu unatutia aibu wa kwetu

  • @lanlady2504
    @lanlady2504 Před 2 lety +1

    Kumbeee!

  • @kainimlowe9646
    @kainimlowe9646 Před 2 lety +1

    Ushamba tu

  • @mtwamkulu7319
    @mtwamkulu7319 Před rokem

    Ameolewa?

  • @alisaleh2507
    @alisaleh2507 Před 2 lety +1

    MAMA MM NAKUKUMBUSHA TU, HUYO MDOGO WAKO UNAEFURAINAE LEO ANAWEZA KUKUGHARIMU SIKU YA HUKUMU, INAKUAJE.MTOTO WA KIISLAMU ANATEMBEA KICHWA WAZI NA WW UNAMPONGEZA, NAKUKBUSHA TU MAMA, ANGALIA SANA.KUNA MAISHA BAADA YA KIFO

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 Před 2 lety

    Hayo ndo alikataa Baba mangu mambo ya ndugu ndugu hakutaka.misifa tu misifa

  • @alikidungura9419
    @alikidungura9419 Před rokem

    Ayo manyele

  • @marlonstudios4408
    @marlonstudios4408 Před rokem

    Itabidi nimuoe

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka Před 2 lety +1

    Daah kwelii imekaa powah sana

  • @berthajohn8840
    @berthajohn8840 Před 2 lety +1

    Chezea mdogo wake ww

  • @lilykarim8968
    @lilykarim8968 Před rokem

    Mbona hafanani na mwinyi

  • @kennywilliam2466
    @kennywilliam2466 Před 2 lety +1

    Vipaji kwenye familia za viongozi kasikilize wimbo wa twenty percent 20% naficha harafu njoo mtaani uone sefuria zinavyo toboka kwa kukwanguliwa ukoko!!

  • @saadmbaraqa5272
    @saadmbaraqa5272 Před 2 lety

    Maji hakishamwagika hayazoleki

  • @ayushsaeed1051
    @ayushsaeed1051 Před 2 lety

    Mwambie ajistiri

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Před rokem

    Undugu kufaana

  • @saidsalum9587
    @saidsalum9587 Před 2 lety

    Km ni mimi kwa jamii ninayotokea nicingemkataa kama ni ndugu yngu ila nicingejivunia kwa yy kutembea kichwa wazi wakt ni muislmu kbsa

  • @ismailjuma3692
    @ismailjuma3692 Před 2 lety +3

    Eeeeeee viumbe muogopeni Allah miongoni mwa njia za kumuogopa Allah ni stara.

  • @ayoebi7666
    @ayoebi7666 Před rokem

    Tanzania 🇹🇿 Brushed political sexs .

  • @saidhassan7779
    @saidhassan7779 Před 2 lety +3

    MSIMU NAKUPENDA SANA

    • @lazaromaria5334
      @lazaromaria5334 Před 2 lety

      duuhh nakubal mwanangu 😂😂😂

    • @saidhassan7779
      @saidhassan7779 Před 2 lety

      @@lazaromaria5334 Hahhha nipe number zako Kaak

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 Před 2 lety

      Wabongo kwa fursa tupo makini saaaana
      Said weka jitihada upate chombo

    • @trayoversion
      @trayoversion Před 2 lety

      Umeniwahi nilitaka niseme hivyo

    • @user-kr2qr8vx1x
      @user-kr2qr8vx1x Před 3 měsíci

      Msimu nakupenda mwanangu...mungu akupe hekima kama ya mweshimiwa dada ambae kwangu mweshimiwa mama...nakuomba mwanangu niombee Kwa dada Nina mkwe wangu anae tarania kuwa mwanangu amsaidie kazi naomba sana sana nashindwa kumfikia mweshimiwa rais..Kwa uwezo wa mungu kupitia kwako akate nde naamini mungu ni mwaminifu..hili anisaidie naomba mwanangu nibembelezee Kwa mweshimiwa dada...Sina kazi nauguza baba.mungu akubariki ktk yote nakupenda mwanangu.