PATANISHO : JOY,HUYU MWANAUME ALIKUA NA UHUSIANO NA COUSIN YANGU,
Vložit
- čas přidán 23. 06. 2024
- Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya #gidinaghostasubuhi #patanisho
Subscribe to RadioJambo CZcams - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220 - Zábava
Warudiane lkni atakuwa ameignore red flag
Surely ata mimi ukikosa mazishi ya mamangu siezi shugulika nawewe tena. I feel she didn't bother to try harder to burry the fiancées mum
But inaeleweka jamani..kuna reasons inaeleweka
😂 ata yeri patanishow ruto amebadilika sana 😂😂😂😂
Early bird
Huyu dame ni kama ameachwa na mtu anapenda
Paul angekuwa ametuma fare angelalama bt since hakutuma anyamaze
Aki mapenzi wewe 😊😊😊😊😊😊🎉
Hyo Paul ni softi sana na bado atachezwa
Exactly
MwNzo wa patanisho ilikua matanga bt sijasikia wakiguzia ok kija utafunjwa moyo hadi miguu na msicha mungu znakuona uko na marafiki hukutaka tuu kwenda hiyo matanga huwezi niambia ulishindwa fare
Radio jambo please Reject the finance bill a beg😹relationship won’t work because we are busy to unite our country 😹😹tumia huu mda kupatanisha all GenZ
Paul Paul Paul penda roho yako
patanisha ruto na G N Z
Hiyo tabia ya kupenda mtu 100% bila kupima ni kujiletea balaa in case mambo yaharibike. Penda mtu but kumbuka huyo si mwanao anaweza pata mwingine any time nawe uachwo kama umeguruka. Ama ni aje Ghost?
Bro jipe shughul usijitie stress hapa
Watu wa mungu wako na temptations Mingi sana 😂
Currency for simps is dust......huyu jamaa atavunjwa moyo mahali imebaki😂😂
Lakini fare jamani kusema ukweli, a secondary school teacher hata kama kweli, madam just ongea Kiswahili ya kwenu, eti msimamo wake Ni yupi😂😂😂😂😂😂😂 wacha Kiswahili ya watu ama ujifunze kwanza ndio uanze kuongea.
Redio jambo must suspend Patanisho until we Gen Z we finish our demand.
Paul wachana na huyu mschana, utachezwa
Headline ndio imefanya niskize hii patanisho but sijaskia anything 😮
😂😂😂 hii ndo scam sasa
Huyo msichana ni red flag amezunguka akakuliwa na shinda akaona afadhari huyu jamaa..