PATANISHO : TITUS - ANIRUDISHIE KILA KITU YANGU MPAKA PESA YA SALON
Vložit
- čas přidán 2. 12. 2020
- Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya
Subscribe to RadioJambo CZcams - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220 - Zábava
@Radio Jambo.
Naitwa Remy nipo Tz shabiki mkubwa wa Radio Jambo since 2011.
MUNGU awabariki timu nzima ya radio Jambo you are strong ,big ,well , organised and creative radio station for 21 century.
Ati Titus yes sir ongea na mke wako haro haro baby hi darling morning 😂😂 huyu jamaa is very funny greeting from northern Uganda we love radio jambo
I'm your Tanzanian fan 🇹🇿
Asante sana Mariam
😂😂😂😂😂😂Aki huyoo man though,kiherehere ndyo mob,apunguze bangi
Thanks
@@samuelmorris585 napenda nafuatilia Sana patanisho kutoka Tz
Tupo 🇹🇿🇹🇿🇹🇿nacheka km fala😅😅😅😅😅🇴🇲
Huyu mwanaume kiherehere...you have made my day😂😂😂😂
ghost aki cheka hivyo u record then mnitumie weeuh l need this laughter 🤣 🤣🤣🤣 tafadhali radio jambo
Gidi tu nataka kuona Titus live kwa show asap... Very funny fella🤣🤣🤣👍
Waah ya Leo imeweza gidi na ghost good job... Herooo baby darling tafuta bibi
That end key,,, na thie akiumgaga🤣🤣🤣🤣, made ma day.
I am from Rwanda I like radio jambo
Wowww
Welcm
Nyasaeee woi hi baby hi Darling morning .
..........mayoooo this kamba guy lazima anatumia ki shash
😂😂😂😂😂😂 mulei utanimaliza hii kecheko
Those two guyz Gd na ghst kila siku they makes ma day i like u guyz biggup i do got some marriage tips and regulationz from u #Radio 📻 Jambo92.7
The ending...my goodness sijawai cheka ivo😂😂😂
Someone help me get that ringtone
Ghai ati "Thiukyumaga....house managers leo sidhani ntapata stress za waiguru 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 my ribs
This made me
I want this ringtone 🤪😊😊😊
Mimi pia
Je uliipata
Wakenya tunapenda baba ,long living rao 😂😂
😂😂😂😂aki leo am inlove wth Titus skiza Tune...
Very nice congrats kwa kazi nzuri gidi na ghost 👻
Gidi wewe ni mkali, but Titus be serious jameni, ndoa sio mchezo.
Titus utangoja sana.............pesa irudi
😂😂😂😂😂😂hello baby darling morning...😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hello beiby hae darling, morning 😄😂😄😂
The last part is hilarious and the way Gidie has a straight face 🤣🤣🤣🤣 leo umeweza
Kkkkjkkjjjjjjkjjkjjjjkkjjkkjkkjjjjjjjjj
Nomaaaaaaaaaa
Waaah gidi ni mkali
Heroo heroo baby high darling
😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣heroo
😂😂😂🙈🙈🙈🙈Gidi hapo kwa kukula fare mbona unatoboa siri yawa😂😂😂😂utafanya tunyimwe fare
Mwanaume adai pesa zake.mbona kz alivyokuwa amtumia alikuwa ataka Nani agaramike kumuhudumia
😋😋😋nipate wapi kaa huyu Titus central bank
Hawa watoto wasikuhizi wanakula Chips imechomwa na mafuta ya transformer. Damu inakimbia Kama live wire ya stima ya three face - Hawana subra. Wamezoea kudandia tu kama mathree. Anadanganya Hata haoni. Sasa amecheswo. Titus Wa!!!!!
Mungu anawaona
Wewe ukidai pesa na wewe vile ulitumtumia two years umemlipa nn, shame on u Titus
Ako sawa
Please Titus come we marry each other.
I like this kind of Men aki😂😂😂😂😂.Nyumba itakua comedy kila siku
It's the kicheko for me
Yeah
Yah yaaah!!!!
likes hapa
Come and stay hio sio ndowa ni uzinifu
Gidi hawa wanaume wanasema Fulani dió ameniharibia Bibi waambie wa style up shida ni Wao Wao
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Waaaaah skiza tu 😂😂😂😂🤸😂🤸😂 ikiff up 😁😁
Ghost please kicheko inanimaliza🤣🤣🤣
The ending got me 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Titus love his wife😒😒😒😒😒😒😒😒😒😒😒😒😒😒she doesn't love him back ...Titus ajipange
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ndume zingine 🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🤣waaah
But Huyu Mwanaume ako nakierelere sana anataka arudishuwe garama alinunulia bibi nguo Whts this😷💆💆
Gidi: umemaliza
Titus: eeeh
RJ: thiī ūkīūmaga🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ghost:😂
Mafans:🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂 that's the best part!
ahaha
Hahahahahahaha.... Titus 🤣🤣🤣
Dondosha like hapa walio patana wote kwenye kipindi Cha patanisho wakutane siku mojaa wa shereke na kutoa shukrani ya kusema thanks tu
Titus mwezi umepatwa
Titus hiyo haraka yako itakuumiza kuwa mpole plz. Uko na kiherehere sana hata gidi hakuelewi jamani
Aki gidi si uwa mwaskia Mambo 🤣🤣
pwr
ghost aki l love hio kicheko yako
Waaaah Bibi zenu gidi na ghost huwa wanafurahia sana ,aisee nyiii watu mna roho ya dhahabu ,my role models
wako poa
😂😂😂 Leo Mumenimaliza.
Ghost mbinguni utaionea VIU sasa 😁😁😁😁
Hello hi baby hi darling wish I watched the same day 😂😂😂😂😂
🤣 🤣 🤣 Titus uko na kiherehere haki, hello baby darling
I agree totally with u
"Ebu sasa jaribu" for me😂😂😂
Huyu jamaa ako kiherehere sana!
Yeah maaan....Titus ni bank na na metrine ni mteja yeah maaan.. by the way c Titus anaongea sana harafu anaitisha pesa ya saloon sijui manguo nini nini...eeeish na metrine akitaka umulipe hiyo mda amekaa nawe...anyway sijui hadi sasa hivi kuna watu ufanya kam we stay hadi kuzaa Watoi bila kujitambulisha kwa both families!!! Yeah maan.. If pple can't afford church wedding,attorney general why can't they do introduction one yeah maan...Tiukiomaga🎵🔊
Huyu mwanaume ni Kiherehere sana
🤣😂😂😂😂 noma sana 🤣
Wow huyu jamaa ana utoto sana ni Judith kutoka malindi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hae baby hae darling 😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
The end 😂😂😂😂😂😂😂😂
Mtanimaliza jamani hii kali itabidi uwapeleke wanaume wingine kuwafundisha kuongea 😂😂😂😂😂
Huyo Dem mkora bat utapata tu mtu isijali ya kuku nayai bat ya mungu n mengi
Central bank🤣🤣🤣bro unachezwa!
Ni mimi ndio si elewi kiswahili ama shida ya huyu Titus ni nn, haeleweki, huyu mwanaume ndio shida kubwa 🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️mm siwezi kuishi na mwanaume kimbelembele kama huyu
Kwani wee uko na kazi
Apo kwenye mbelembele ndio umenifanya nicheke kifara jaman
Gidi wapi unganishow pliz,,ama utaleta wale wamepatana na kufanya harusi
Good work
Hahahaha yani gidi na ghost mnaweza ambia mtu aende akikauka😂😂😂😂
Noma
Mimi ni fun wenu kutoka migori frequency gani juu siwapati tafadhali
Punguza ya ya"hey darling sweetheart "
Mr ya
Titus utaniua jameni ety manguo via tu nkt uuuwi waa
Gidi wanakulaga sana fare hawa wadada😀😀🇹🇿
Sasa wewe unaropoka sana na haujaenda hata kujitambulisha kwao nkt uko na ufala wewe Titus
Noma sana
😂😂😂😂😂😂😂 hi baby hi darling 😂😂😂😂kenya mtanimaliza adi nguvu za kiume
😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@christinesumba9075 😁😁🤣🤣
@@ellahpraiser9714 😁🤣🤣
Yani nimecheka kama mjinga
Titus tafuta bibi mwingine, hiyo family inakukula tu pesa wooooie, May God punish those two sisters 🤣🤣🤣🤣🤣🤣, hii patanisho ya leo ni poa sana, nimecheka yangu yote 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Gidi yawa mbona unaguza story ya kukula fare? Wuuuuuuwiiiii 🙆🙆🙆
Wanawake sijui nan aliwaloga
😅😅😅😂😁😁😁😁😁😁😁😁😁😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆Leo sina la kuongea waja tu nicheke asante ghost kwa kicheko😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤩🤩🤩🤩🤩🤩😆😆😆😆😆😆Titus tafuta bibi mwingine 😆😆😃 Imagine unaenda stenji unakaa uko kusubiri mtu na hakuji.
Leo sina comment
Hiyo pupa na mbiyo ya Titus ya kisungura ndiyo imefanya Metrine ametoroka... Kasuku.
The skiza tho 😁😀
The best patanisho ever 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂hapo kwa haroo baby haroo darling😂😂😂😂😂😂😂😂karibu nibingirike chini😂😂😂😂jamaa yuko na mambio🙈😂😂😂
acha tu hahhhahahaha
Mi nmeisha yangu yote😂😂😂😂
Weeeeh🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Niokotwe chini ya meza😂😂😂😂😂😂
@@ladylovermisspretty1009 😂😂😂😂😂😂polepole isigonge kichwa😂😂😂
Aki mm nakufa pi Titus n kabila gani
Ni mganda
Ngai gidi siku moja utaniua.
Nimekwama hapo kwa central bank,,,,😂😂😂huyu ghost atanmalza siku moja
Gid alimchomea akachanuka
Ilikuwa come we try
Utakoma na hizo darling zako na beby haaahaaa....
Gidi umechoma na huyo jamaa yawa Sasa mmetoboa siri ya fare Sasa nitapewa fare kweli
Hahahahahaha hiyo skiza tone
Wanaume wahuku kenya wananishinda tabia unaishije na na mtoto wawenyewe hujui kwao
sikiza kicheko patanisho kicheko si mtatuua yawa
Gidi unachomea hety central bank...😂😂😂mwanaume kelele anayo mingi ajitume kwa kina msichana