PATANISHO - NI STIMA GANI HIYO ANATENGENEZA NA SIKU TATU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 01. 2022
  • Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
    #RadioJamboKenya
    Subscribe to RadioJambo CZcams - bit.ly/39wwc6u
    Mitandao ya Kijamii
    Instagram - rb.gy/e154d1
    Facebook - rb.gy/09d1b9
    Twitter - rb.gy/e23220
  • Zábava

Komentáře • 206

  • @vitalyonga77
    @vitalyonga77 Před 7 měsíci +2

    Hawa watu wa kupatanishwa tungekua tunawawatch ingekua fun zaidi bwana

  • @kurashigesir8709
    @kurashigesir8709 Před 2 lety +25

    Some ladies will lose good men easily....a very hardworking guy.

    • @sakinadolcas
      @sakinadolcas Před 2 lety +5

      For real💯..huyo mama Ako na bad company, wanamdanganya

  • @catherinematoke2559
    @catherinematoke2559 Před 2 lety +10

    Sirapu moja hadi ikamupoo🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wakisii tuheshimiwe🙌

  • @marygakii8907
    @marygakii8907 Před 2 lety +6

    Huyu aelewe bwanake na atulie ajue anatafuta,wangu anaendanga even a month na namuelewa sana koz he is handworking na sijawah mshuku imgn

  • @puritymutheu375
    @puritymutheu375 Před 2 lety +24

    He is a nice guy mama nanii rudi home. Don't loose that man. He is struggling for you and your kids.

  • @hoseawafula6903
    @hoseawafula6903 Před 2 lety +12

    i pay bills thru laughing sarcastically 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @susanmuthoni5482
    @susanmuthoni5482 Před 2 lety +12

    I think in this case is lack of enough communication na kutoelewana.na lack of trust.na wivu.
    Watoto sasa ndio wanateseka🥲🥲

  • @lemmyk8747
    @lemmyk8747 Před 2 lety +18

    Gidi na mlei mungu awabariki Kwa kutetea ndoa za watu maana kiukweli nyinyi ni watu wa maana Sana katika hii dunia

  • @africanreactions
    @africanreactions Před 2 lety +24

    This man is very genuine

  • @rosewanda2484
    @rosewanda2484 Před 2 lety +35

    This woman is not exposed. I have worked with an electrician wiring a house and its alot of work and since mine was from Muranga and the house is in Nairobi he and his team of about 5 would spend upto 3 weeks working and sleeping at the site. They even would carry their meko and cook on site. This was just one job and they made countless visit from the beginning to the end. Good electricians are a gem.

  • @lemmyk8747
    @lemmyk8747 Před 2 lety +35

    Kiukweli napenda Sana hii show inaelimisha na kutoa stress na maisha inasonga.... Big up Sana Gidi na mlei

  • @jabaliobanda9848
    @jabaliobanda9848 Před 2 lety +17

    Mulei when you laugh I just find myself laughing. Keep it up to Gidi and Mulei

  • @marymumbiroshan6688
    @marymumbiroshan6688 Před 2 lety +19

    Niandikeni kazi ya kucheka na ghost

  • @reginagakii167
    @reginagakii167 Před 2 lety +14

    Representing gulf guys tuko gangari sana.....love your show

  • @simonkimani6045
    @simonkimani6045 Před 2 lety +5

    This guy seems to be serious in life, ana ukweli furani, he try this best to look for his family

  • @valleriefaith6703
    @valleriefaith6703 Před 2 lety +13

    Gidi u in a good mood today...... Hujasema fupisha story 😅😅😅

  • @samirkacashaqaa8937
    @samirkacashaqaa8937 Před 2 lety +18

    I love you guys naitwa Abdi from kilifi county ❤ God bless you 🙏

  • @marykalenga137
    @marykalenga137 Před 2 lety +10

    this man is so honest...

  • @rogersmokaya3126
    @rogersmokaya3126 Před 2 lety +10

    Napenda radio jambo sana,, rogers from Nyamira County

  • @cosmasanunda9504
    @cosmasanunda9504 Před 2 lety +11

    The guy is right searching for the family, and his aman hard work with full of trustworthy that's why his clients using him always

  • @kimanijohn9529
    @kimanijohn9529 Před 2 lety +55

    That guy is right, he has to struggle for his family, he can even spend time outside fetching money for his family

  • @vanenyaboke8237
    @vanenyaboke8237 Před 2 lety +4

    The guy is soo mature n loves his family.mary ukiloose uyu hauna bahati

  • @clemencianyaboga8946
    @clemencianyaboga8946 Před 2 lety +9

    Abdi Ata paka mzee hunywa maziwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Gmwaboli
    @Gmwaboli Před 2 lety +4

    That man is genuine and the best she can ever get

  • @sylvianjeri6216
    @sylvianjeri6216 Před 2 lety +12

    Huyu kijana ako sawa gidi usimuingilie aki hiyo kazi mm naijua ata mjengo mtu huenda one week

  • @lynnm7866
    @lynnm7866 Před 2 lety +7

    Mwanaume amejieleza vizuri ,kama hana mpango wa kando then wanafaa kuelewana tu

  • @ayarobertson919
    @ayarobertson919 Před 2 lety +5

    The guy sounds genuine

  • @moreh462
    @moreh462 Před 2 lety +12

    Alinipiga siraapu😄😄😄

    • @djsavage8882
      @djsavage8882 Před 2 lety

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @kwahmah230
    @kwahmah230 Před 2 lety +8

    gidi unaeza eka kwa mtu stima hata 1 wik sio kitu ya siku moja

  • @asiyoedward3511
    @asiyoedward3511 Před 2 lety +1

    Siku hizi ukifumania mwanaume wako na mwanamke- una shukuru tu Mungu .

  • @okothstephen9960
    @okothstephen9960 Před 2 lety +2

    Huyo mama aelewe huyo jamaa. Na kama hataki jamaa afanye kazi basi atafute kazi alishe familia

  • @RKBro-jr1ts
    @RKBro-jr1ts Před 2 lety +10

    🤣🤣unbelievable,unakujiwa mpaka kwako na prado kama muheshimiwa,nataka connections na uyo mama pia mimi ni Fundi wa interior decor

  • @dominicongaga3114
    @dominicongaga3114 Před 2 lety +5

    Huyu mosichana ni peer influence

  • @blessingsbenzo6837
    @blessingsbenzo6837 Před rokem +1

    Nampenda hyu mwanaume he is genuine

  • @teshedwards6310
    @teshedwards6310 Před 2 lety +8

    This guy is true

  • @emilykiplagat7545
    @emilykiplagat7545 Před 2 lety +4

    😂😂😂😂 weh! Kulala nje kwa mwanaume these days me nalala sijipi stress, wengine walipata 1st salary wakapotea 3 day's.hii maisha ni kujipenda

  • @marrysilvester3861
    @marrysilvester3861 Před 2 lety +7

    Naitwa Marry Nawapata vzr kutoka Tz

  • @elijahnyangeri770
    @elijahnyangeri770 Před 2 lety +27

    Ghost always makes my day.😀😀😅

  • @merinasash3267
    @merinasash3267 Před 2 lety +14

    Mbona watu wanalalamika hakuna sauti na mm nasikia 🤔🤔

  • @aneymaalim704
    @aneymaalim704 Před 2 lety +4

    very funny indeed akakuja kunichukua na Gari hustler stima kiwazi

  • @salomemsangi3752
    @salomemsangi3752 Před 2 lety +5

    Hahaaa Wakenya mnafurahisha
    Ila wanawake waKenya mnamsimamo amuogopi kitu, ila hii kuachana mnazalisha machokora mengi

  • @faithimali61
    @faithimali61 Před 2 lety +5

    Nakupenda kama njugu karanga 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @godsfavour5665
    @godsfavour5665 Před 2 lety +3

    Alafu mtu anaweza wacha bwana mzuri alafu baadaye akienda kuangukia bwana mwengine sumbua ndio anaweza tii

  • @christineachieng4094
    @christineachieng4094 Před 2 lety +7

    Gidii youre harsh on boychild

  • @faithe4063
    @faithe4063 Před 2 lety +1

    Mwanamke uwesi karibisha mume na maneno mabaya,slap mbaka upate

  • @mariamjohn1700
    @mariamjohn1700 Před 2 lety +7

    Gidi nipo Tanzania napenda niwe naangalia hii kipindi live nifanyeje

  • @esthernyakoboke3635
    @esthernyakoboke3635 Před 2 lety +4

    Mary pls elewana mjenge familia yenu

  • @vincethebasist4
    @vincethebasist4 Před 2 lety +4

    A good man am working na madam hope this wont happen...ladies pay well

  • @noelamadadi5731
    @noelamadadi5731 Před 2 lety +7

    Mary acha bwana atafute hela

  • @reginaamoo6530
    @reginaamoo6530 Před 2 lety +3

    Aki Gidi leo kweli was was present in this situation

  • @ashleygrace389
    @ashleygrace389 Před 2 lety +3

    18 on trending 🙌

  • @decoloniz_afro
    @decoloniz_afro Před 2 lety +4

    Man sound genuine....i find the lady abit immature

  • @happygolucki6884
    @happygolucki6884 Před 2 lety +3

    Gidi na Ghost💙❤💚💛🧡

  • @Waziri77
    @Waziri77 Před 11 měsíci

    WANAWAKE WANATAFUTA WANAUME KAMA HAWA

  • @abeldickie
    @abeldickie Před 2 lety

    The man sounds genuine. And I understand that slap. Mixture of love frustration. N if u understand how bibi wakisii hukaribisha bwana nyumbani utaelewa pia, juu Obara amesema alikaribishwa na maswali

  • @ireneatuke1581
    @ireneatuke1581 Před 2 lety +4

    Kijana yuko right laxima atafute pesa ya farmily

  • @dedanpasil10
    @dedanpasil10 Před 2 lety +1

    woooi I thought ni Victor mandala anapatanishwa

  • @junioroloo5752
    @junioroloo5752 Před 2 lety +3

    ON Trending 25🔥🔥💪

  • @AfroStarCrew
    @AfroStarCrew Před 2 lety

    Atoti nyenoka nyenoka atoti suroka suroka.... Atoti

  • @atongsimonnyang9459
    @atongsimonnyang9459 Před 2 lety +1

    Hii ni stima ya voltage ⚡ ngapi🤣🤣🤣

  • @erick.ndunda2518
    @erick.ndunda2518 Před 2 lety +2

    The guy is very honest

  • @kelvinkarani1904
    @kelvinkarani1904 Před 2 lety +1

    Hiyo kicheko ya Ghost Mule joh! heheheheheheheheeeeeee

  • @petersonwanaswa4996
    @petersonwanaswa4996 Před 2 lety +7

    The lady ain't exposed. I also do contracts and specific people will consider you because of your performance. I sometimes go as far as Moyale from Nairobi.

  • @valveee5858
    @valveee5858 Před 2 lety +3

    But communication is important He could have called the wife. Simple things we ignore can cause chaos.

  • @anwardiba1154
    @anwardiba1154 Před 2 lety +2

    Ati stima ya voltage ngapi😂😂😂😂😂

  • @degrahomambia1599
    @degrahomambia1599 Před 2 lety +3

    Gidi na Ghost huyo jamaa ako straight forward na anatafutia familia yake huyo mama wacha arudi kwa boma alee watoi

  • @viulancemkanyika3466
    @viulancemkanyika3466 Před 2 lety +1

    Nawapenda Sana watu wangu.

  • @komakech1019
    @komakech1019 Před 2 lety +2

    Uyo jaama ni innocent,

  • @sumyahkalama
    @sumyahkalama Před 2 lety +2

    Nakupenda kama njugu karanga

  • @heatherwanjuguna4629
    @heatherwanjuguna4629 Před 2 lety +28

    This man is an electrician and his job is out of station and contract based. This woman needs to understand that because they also need the income. They are called repeat jobs. As long as the lady continues to construct, the guy will always be called for jobs.

  • @statetv7489
    @statetv7489 Před 2 lety +1

    Siraaap..konkiii

  • @shiigeorge8107
    @shiigeorge8107 Před 2 lety +1

    Good job,,endeleeni tu hivo

  • @everlynekimaiga922
    @everlynekimaiga922 Před 2 lety +5

    Wanaume ni sumu ya mapenzi 😭😭😭😭

  • @jamesmutisya8383
    @jamesmutisya8383 Před 2 lety +1

    Mwanamke anaacha watoto anaenda kwao..bure kabisa

  • @jamesgathaiya6450
    @jamesgathaiya6450 Před 2 lety +1

    Nauliza kwani huku anatengeneza stima ni far ajy hawezi lala kwake but anyway happy New year

    • @daviddaking6761
      @daviddaking6761 Před 2 lety

      Hujaskia alikuja kuchukuliwa na Prado it shows n place iko far

  • @bettyofficial633
    @bettyofficial633 Před rokem

    😂😂😂😂si akuje anitengenezee stima 😂😂😂😂

  • @johnmugo7126
    @johnmugo7126 Před 2 lety +4

    Ako na Prado🤣🤣🤣🤣

  • @MLM2447
    @MLM2447 Před 2 lety +4

    Aki Ghost hiyo kichekoooo ????

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 Před 2 lety +2

    Kwa nyumba ya ghorofa ni kazi ngumu kwa mtu mmoja kusuka hizo waya za umeme. Alikuwa peke yake kwa hiyo siku tatu bado sio nyingi kwa nyumba kubwa kama hiyo. Fanya kazi kaka achana na upuuzi wa wivu wa huyu bibi Ukikosa kazi atakukimbia.

  • @markgoga3475
    @markgoga3475 Před 2 lety +5

    Hakuna sauti

  • @mwanosu7128
    @mwanosu7128 Před 2 lety +7

    Nunueni simu mm naipata n audio visual

  • @matete900
    @matete900 Před 2 lety +1

    Haaa nyinyi mumesikia kweli ama ni Mimi Tu eti mama alikucha kunijukua na gari 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @sheilacherotich1288
    @sheilacherotich1288 Před 2 lety +1

    Yaani huyu analalamikia siku tatu akukuja huku kwenda tunalala na kitanda mwezi si ataenda kabisa

  • @godsfavour5665
    @godsfavour5665 Před 2 lety +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣lakini inakuwanga funny boma inatambulikangatu kama ya mama🤣kwani wazee hawatambulikangi au vipi

  • @lawrencewambuakithaitho3296

    Hatari sanaa

  • @Boaz22
    @Boaz22 Před 9 měsíci

    Kenya power😂😂😂😂😂

  • @Waziri77
    @Waziri77 Před 11 měsíci

    Moi'sbridge ndo home kwetu,huyo mama sijawahi muona

  • @kevokevo8290
    @kevokevo8290 Před 2 lety

    Very big Fun of patanisho

  • @mutulehephsiba5961
    @mutulehephsiba5961 Před 2 lety +2

    Some madness..Sasa huyu bwana anaeza loose job simply bkoz ya his wife's insecurities....
    Am imagining huyu mama akasikie kesi inafanywa koz of her sidhani anaeza ita huyu jamaa tena job...rudi kwako mwangaliane mkule mapenzi

  • @euniqshisiali1709
    @euniqshisiali1709 Před 5 měsíci

    Stima ya voltage ngapi🤣🤣🤣

  • @kerubosharon6336
    @kerubosharon6336 Před 2 lety +1

    😂😂😂😂😂weeeh my kisii pipo

  • @janewambui
    @janewambui Před 2 lety +5

    🤭🤭 this life has no balance

  • @alzubarapark3736
    @alzubarapark3736 Před 2 lety +2

    Stima niza Aina nyingi

  • @lemmyk8747
    @lemmyk8747 Před 2 lety +6

    Hahaha nakupenda kama njugu karanga

  • @owangh86
    @owangh86 Před 2 lety +2

    Mary wacha ufala utakula nini if your man is not working mzae tafuta bibi mwingine

  • @emalit.v1850
    @emalit.v1850 Před 2 lety +1

    Am in pitieni kwangu pia
    #gainwiththefirst

  • @dotytydo2342
    @dotytydo2342 Před 2 lety +1

    Apa nisimple kijana ukienda nenda na mke wako basi

  • @reubenoduor9520
    @reubenoduor9520 Před 2 lety

    Hyo ni ukora

  • @africanreactions
    @africanreactions Před 2 lety +1

    Kuchapa mwanamke haifai

  • @evansmuthui7278
    @evansmuthui7278 Před 2 lety +1

    That guy wow