PATANISHO - NI STIMA GANI HIYO ANATENGENEZA NA SIKU TATU
Vložit
- čas přidán 4. 01. 2022
- Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya
Subscribe to RadioJambo CZcams - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220 - Zábava
Hawa watu wa kupatanishwa tungekua tunawawatch ingekua fun zaidi bwana
Some ladies will lose good men easily....a very hardworking guy.
For real💯..huyo mama Ako na bad company, wanamdanganya
Sirapu moja hadi ikamupoo🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wakisii tuheshimiwe🙌
Huyu aelewe bwanake na atulie ajue anatafuta,wangu anaendanga even a month na namuelewa sana koz he is handworking na sijawah mshuku imgn
He is a nice guy mama nanii rudi home. Don't loose that man. He is struggling for you and your kids.
💯💯💯
i pay bills thru laughing sarcastically 😂😂😂😂😂😂😂😂
I think in this case is lack of enough communication na kutoelewana.na lack of trust.na wivu.
Watoto sasa ndio wanateseka🥲🥲
U r right Susan
Gidi na mlei mungu awabariki Kwa kutetea ndoa za watu maana kiukweli nyinyi ni watu wa maana Sana katika hii dunia
This man is very genuine
This woman is not exposed. I have worked with an electrician wiring a house and its alot of work and since mine was from Muranga and the house is in Nairobi he and his team of about 5 would spend upto 3 weeks working and sleeping at the site. They even would carry their meko and cook on site. This was just one job and they made countless visit from the beginning to the end. Good electricians are a gem.
Kiukweli napenda Sana hii show inaelimisha na kutoa stress na maisha inasonga.... Big up Sana Gidi na mlei
Facts! 💯👍🏿
Mulei when you laugh I just find myself laughing. Keep it up to Gidi and Mulei
🤣🤣🤣me too
Niandikeni kazi ya kucheka na ghost
Representing gulf guys tuko gangari sana.....love your show
Qatar hapa 🇶🇦🇶🇦
Saudia in
This guy seems to be serious in life, ana ukweli furani, he try this best to look for his family
Gidi u in a good mood today...... Hujasema fupisha story 😅😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 I feel you
😂😂😂😂
Akh hua ananibore nashindwa mbona kipindi isipewe tym
I love you guys naitwa Abdi from kilifi county ❤ God bless you 🙏
this man is so honest...
Napenda radio jambo sana,, rogers from Nyamira County
The guy is right searching for the family, and his aman hard work with full of trustworthy that's why his clients using him always
That guy is right, he has to struggle for his family, he can even spend time outside fetching money for his family
Earn money or fetching yawa
@@dastonamichaels1854 jamaa akona mpango
The guy is soo mature n loves his family.mary ukiloose uyu hauna bahati
Abdi Ata paka mzee hunywa maziwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
That man is genuine and the best she can ever get
Huyu kijana ako sawa gidi usimuingilie aki hiyo kazi mm naijua ata mjengo mtu huenda one week
Ni kweli jamaa ako sawa
Mwanaume amejieleza vizuri ,kama hana mpango wa kando then wanafaa kuelewana tu
The guy sounds genuine
Alinipiga siraapu😄😄😄
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
gidi unaeza eka kwa mtu stima hata 1 wik sio kitu ya siku moja
Siku hizi ukifumania mwanaume wako na mwanamke- una shukuru tu Mungu .
Huyo mama aelewe huyo jamaa. Na kama hataki jamaa afanye kazi basi atafute kazi alishe familia
🤣🤣unbelievable,unakujiwa mpaka kwako na prado kama muheshimiwa,nataka connections na uyo mama pia mimi ni Fundi wa interior decor
Pia mm ni fundi wa Generator... connection na hyo mama please
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
Huyu mosichana ni peer influence
Nampenda hyu mwanaume he is genuine
This guy is true
😂😂😂😂 weh! Kulala nje kwa mwanaume these days me nalala sijipi stress, wengine walipata 1st salary wakapotea 3 day's.hii maisha ni kujipenda
Kabisa
Naitwa Marry Nawapata vzr kutoka Tz
Ghost always makes my day.😀😀😅
😂😂😂 Mimi pia
@@joannyvituko5273 that man laughs\
Mbona watu wanalalamika hakuna sauti na mm nasikia 🤔🤔
Nashangaa kwangu pia iko
Mimi kwangu pia iko sawa
Wapunguze sauti ya radio 😅
Marry please go to your kids, he's not hard working guy. Please.
Mi naskia vizuri kabisa
very funny indeed akakuja kunichukua na Gari hustler stima kiwazi
Hahaaa Wakenya mnafurahisha
Ila wanawake waKenya mnamsimamo amuogopi kitu, ila hii kuachana mnazalisha machokora mengi
Nakupenda kama njugu karanga 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Alafu mtu anaweza wacha bwana mzuri alafu baadaye akienda kuangukia bwana mwengine sumbua ndio anaweza tii
Gidii youre harsh on boychild
Mwanamke uwesi karibisha mume na maneno mabaya,slap mbaka upate
Gidi nipo Tanzania napenda niwe naangalia hii kipindi live nifanyeje
Download application ya radio jambo unasikia vizuri tu
@@joshuasabasi3118 🙏
Mary pls elewana mjenge familia yenu
A good man am working na madam hope this wont happen...ladies pay well
Mary acha bwana atafute hela
Aki Gidi leo kweli was was present in this situation
18 on trending 🙌
Man sound genuine....i find the lady abit immature
Gidi na Ghost💙❤💚💛🧡
WANAWAKE WANATAFUTA WANAUME KAMA HAWA
The man sounds genuine. And I understand that slap. Mixture of love frustration. N if u understand how bibi wakisii hukaribisha bwana nyumbani utaelewa pia, juu Obara amesema alikaribishwa na maswali
Kijana yuko right laxima atafute pesa ya farmily
woooi I thought ni Victor mandala anapatanishwa
ON Trending 25🔥🔥💪
Atoti nyenoka nyenoka atoti suroka suroka.... Atoti
Hii ni stima ya voltage ⚡ ngapi🤣🤣🤣
The guy is very honest
Hiyo kicheko ya Ghost Mule joh! heheheheheheheheeeeeee
The lady ain't exposed. I also do contracts and specific people will consider you because of your performance. I sometimes go as far as Moyale from Nairobi.
But communication is important He could have called the wife. Simple things we ignore can cause chaos.
Ati stima ya voltage ngapi😂😂😂😂😂
Gidi na Ghost huyo jamaa ako straight forward na anatafutia familia yake huyo mama wacha arudi kwa boma alee watoi
Nawapenda Sana watu wangu.
Uyo jaama ni innocent,
Nakupenda kama njugu karanga
This man is an electrician and his job is out of station and contract based. This woman needs to understand that because they also need the income. They are called repeat jobs. As long as the lady continues to construct, the guy will always be called for jobs.
True ✌️
Well said
Siraaap..konkiii
Good job,,endeleeni tu hivo
Wanaume ni sumu ya mapenzi 😭😭😭😭
Mwanamke anaacha watoto anaenda kwao..bure kabisa
Nauliza kwani huku anatengeneza stima ni far ajy hawezi lala kwake but anyway happy New year
Hujaskia alikuja kuchukuliwa na Prado it shows n place iko far
😂😂😂😂si akuje anitengenezee stima 😂😂😂😂
Ako na Prado🤣🤣🤣🤣
Aki Ghost hiyo kichekoooo ????
Kwa nyumba ya ghorofa ni kazi ngumu kwa mtu mmoja kusuka hizo waya za umeme. Alikuwa peke yake kwa hiyo siku tatu bado sio nyingi kwa nyumba kubwa kama hiyo. Fanya kazi kaka achana na upuuzi wa wivu wa huyu bibi Ukikosa kazi atakukimbia.
Hakuna sauti
Nunueni simu mm naipata n audio visual
Haaa nyinyi mumesikia kweli ama ni Mimi Tu eti mama alikucha kunijukua na gari 🤣🤣🤣🤣🤣
Yaani huyu analalamikia siku tatu akukuja huku kwenda tunalala na kitanda mwezi si ataenda kabisa
😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣lakini inakuwanga funny boma inatambulikangatu kama ya mama🤣kwani wazee hawatambulikangi au vipi
Hatari sanaa
Kenya power😂😂😂😂😂
Moi'sbridge ndo home kwetu,huyo mama sijawahi muona
Very big Fun of patanisho
Some madness..Sasa huyu bwana anaeza loose job simply bkoz ya his wife's insecurities....
Am imagining huyu mama akasikie kesi inafanywa koz of her sidhani anaeza ita huyu jamaa tena job...rudi kwako mwangaliane mkule mapenzi
Stima ya voltage ngapi🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂weeeh my kisii pipo
🤭🤭 this life has no balance
Stima niza Aina nyingi
Hahaha nakupenda kama njugu karanga
Mary wacha ufala utakula nini if your man is not working mzae tafuta bibi mwingine
Am in pitieni kwangu pia
#gainwiththefirst
Apa nisimple kijana ukienda nenda na mke wako basi
Hyo ni ukora
Kuchapa mwanamke haifai
That guy wow