Hiyo sayansi hakuna, nguvu za asili. Lamsingi ni kutubu kurejea kwa الله , mungu ana tetemesha ardhi yake kutukumbusha toba, watu wanamuasi sana الله sasa yani tumepitiliza kwakweli. Adi ibilisi anashangaa kwa kuona watu wamemzidi kwa maasi.
Turejee kwa YESU ndie njia pekee ya kweli na Uzima.Pasipo YESU hatuwezi kumwona MUNGU kwakua sisi ni wenye dhambi.Ni kwa njia ya YESU tunapata neema na rehema za Mungu
MWISHO WA DUNIA UNAKARIBIA,KWA WALE WANAOSEMA HAKUNA KIAMA WAONE KUA ALLAH NI MJUZI NA MUWEZA WA KILA KITU,ALLAH SI KAZI KUBWA KUIFUTA DUNIA NA VILIVYOMO NDANI YAKE... ALLAH KASEMA KTK QUR'AN TUKUFU(ITAKAPOTETEMESHWA ARDHI MTETEMEKO WAKE HUO KUBWA,NA ITAKAPOTOA ARDHI MIZIGO YAKE HIYO,NA BINADAMU AKASEMA WAKATI HUO OH! INA NINI LEO
Naipenda sana chaneli hii ila Leo wamenishangaza kichwa cha habari tetemeko tukaona bar bar imeharibika kumbe sio ya singida dah mmeanza lini na nyinyi kuweka viraka
Matetemeko mahali mahali... Mara vita karibu Dunia nzima haiko sawaa... Bwana YESU analudi. WOKOVU NI LAZIMA Ili kujiandaa na kunyakuliwa kwenda kwetu Mbinguni. Kama umeelewa weka like yako hapo.
Ni kweli Yesu yupo karibu sana kurudi. Mwezi Januari niliota Yesu anaelea Mawinguni. Alikuwa ameshuka chini sana. Pia kulikuwa na radi na matetemeko na nyumba zilikuwa zinaporomoka. Ilitisha sana!
Tanzaniaa mngeanza kujipendekeza Nchi zotee za eqst Afrika wametoaa misaada ya chakula Turkey jpo na wao ni maskini kma nyie…. ilee ricord inakaaa na nyinyi mkipata maafa mtapata kusaidiwa 😢😢…Turkey imepata misaada so kwasababu ni Watu wa europe coz wanajitoa kutoa misaada nchi yoyote ikipata Jangaa
Unanitisha unajua wiki iliyopita nimeota ndoto asubui arithi imepasuka kukawa na ufa mkubwa Sana kiasi kwamba hakuna alieweza kuvuka kwenda upande mwingine Mungu atusaidie
Mwaka 2015 tetemeko lilipita baliadi ilikuwa mcha,jamani ni hatali tuombe mungu tu mwaka 2018pia lilipita kahama ilikuwa saa6 ucku nilijua niwachawi maana nyumba iliyumba na bati. Zikawa zinatoa sauti ckujua kama ni tetemeko adi nilipo ckia watu wanaxema axbh
Hapo hakuna nguvu ya Dunia Wala mgandamizo wa Nini,,,hapana hapo ni mungu tu na mungu anaonyesha uwepo wake,,,apo nikumuomba mungu atujalie atuondolee adhabu hii,,tumuombe tu mungu atuhurumie na asituadhibu
Kipimo cha tetemeko, *Richter scale*, kwa Kiswahili, tutamkeje, *Richita* au *Richa*? Kwa Kiingereza, *ch* ni *k*, yaani, inakuwa, *Rik* + tuh*. Inasikika kama, *Rikta*.
Tanzania hasa kanisa lipo kwenye Adhabu na tumepewa miezi 12 ya kuomba toba naona watumishi wengi wa Mungu wamenyamaza Tanzania tuinuke tuombe yanayo kuja ni magumu peke yetu hatuwezi 😭Mungu atuhurumie sana
@@mwajumamohd7930 Mungu anataka toba ya Taifa zima anayepaswa kutoa tamko ni yule anayeongoza nchi ,maovu yamezidi juu ya Taifa letu kama hawatakubali kutii tujiandae kupigwa na Mungu kama sodoma na gomola
@@aliceudoba3672 Maono hayo kapewa Mtumishi Malendeja Makashi tumebakiwa na miezi 10 yanayo kuja Tanzania ni makubwa mno kama tutaendelea kupuuza 😭Rais ni mwisilam anajua maana ya toba kweli?
Biblia inasema yakua nyakati za mwisho yaani kabla ya kuja kwa Kristo Yesu haya yatatokea...Ni dalili yakua Kristo Yesu Anarudi wapendwa tuache sayansi.REPENT YOU PEOPLE JESUS IS COMING END TIME SIGN
Jidanganye tu ujuwavyo wewe ndio ivo unavoeleza lkn maandiko yako katika Quran sura kamili ipo inaeleza hizo ni dalili za mwisho wa Dunia Alla atujaalie mwisho mwema biidhinillahi
TUOMBE MUNGU JUU YA TAIFA, KUNA JAMBO LITASHUTUA NCHI MWAKA HUU! ILIFANYIKA DAR MWAKA JUZI,TUKA POTEZA RAIS MAGUFURI NA MKAPA NA BAADHI YA VIONGOZI WAKUU WA NCHI! LILITOKEA KANDA YA ZIWA PIA,AKAFA RAIS.TUOMBE.
Tanzania ya mavi kunuka na Serikali ya CCM mlifanya uamuzi wa ovyo Dodoma kuifanya makao makuu ya nchi , wakati miaka mingi inajulikana ni sehemu iliyo rahisi kupata matetemeko ya ardhi, kuna uwezekano kuingia hasara kubwa ya miundo ya mbinu nk kwa mkoa wa Dodoma
Mola anaonyesha uwepo wake kwa kuwa wanadamu tumekuwa bize na Dunia kuliko yeye kumnyenyekea na kufanya mema yamfurahishayo,Allah tuvushe ktk hili
Totally agree
Hakuna msaada zaidi ya toba na kumrudia mungu wetu na yeye ndio msaada wetu na si binadamu eeh mungu utuhurumie 🙏
Hakika
Point
Ni Mungu sio mungu
ALLAH atulinde insha ALLAH
Ee Mungu utulinde kwa neema zako. Amina.
Mungu tuhurumie
Allah atunusuru na mabalaa ya aina zote#tupunguze maasi na kumsabihh Allah na Mungu atatuhurumia biidhni llah!!!
Swadakta kbsa sheikh wngu
Yaa rabb tunakuomba mola wetu mtukufu umetukuka na umetakasika na kila mapungufu tukinge na mitetemeko wa ardhi
Tunusuru yaanrabb
Allah atuhifadhi
tubadilike maasi yamekua mengi sasa
Hiyo sayansi hakuna, nguvu za asili. Lamsingi ni kutubu kurejea kwa الله , mungu ana tetemesha ardhi yake kutukumbusha toba, watu wanamuasi sana الله sasa yani tumepitiliza kwakweli. Adi ibilisi anashangaa kwa kuona watu wamemzidi kwa maasi.
Kabisaaa ndugu tumezid dhambi ....tutubu kwakwel
Turejee kwa YESU ndie njia pekee ya kweli na Uzima.Pasipo YESU hatuwezi kumwona MUNGU kwakua sisi ni wenye dhambi.Ni kwa njia ya YESU tunapata neema na rehema za Mungu
Laaillaha illa Allah, turudini kwa Allah. Hatujachelewa tutubuni. Allah atulinde
Haswaaa umesema kweli mwenyezi mungu hachezewi dhambi zimezidi dom na singida pombe tu na uchafu mwingine acheni zambi
Mungu turehemu
Mungu 2nusuru tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Amen.
Eeee mola wetu tunusuru sis waja wako Amin🙏🙏🙏🙏🙏
MWISHO WA DUNIA UNAKARIBIA,KWA WALE WANAOSEMA HAKUNA KIAMA WAONE KUA ALLAH NI MJUZI NA MUWEZA WA KILA KITU,ALLAH SI KAZI KUBWA KUIFUTA DUNIA NA VILIVYOMO NDANI YAKE...
ALLAH KASEMA KTK QUR'AN
TUKUFU(ITAKAPOTETEMESHWA ARDHI MTETEMEKO WAKE HUO KUBWA,NA ITAKAPOTOA ARDHI MIZIGO YAKE HIYO,NA BINADAMU AKASEMA WAKATI HUO OH! INA NINI LEO
Naipenda sana chaneli hii ila Leo wamenishangaza kichwa cha habari tetemeko tukaona bar bar imeharibika kumbe sio ya singida dah mmeanza lini na nyinyi kuweka viraka
Kurudi kwa Yesu kumekaribia
Maasi yamekuwa mengi
Mungu aturehemu. Hapa ninachokiona ni toba tu watu tuanze kutubu maasi yamezidi kuwa mengi.
Ohooo mungu wangu🙏😭
Isijekuwa kama la uturuki mungu wangu
Mungu atusaidie jaman🙏🙏
Ile iliyotokea Turkey ndio bado dunia inajirekebisha. Na bado tutasikia tsunami soon. Pia volcano. Mwenyenzi Mungu anafanya kazi yake.
Mwenyezi mungu awalinde na kuwakinga na maafa
tuachee dhambii jamajii!!
Sio nguvu za asili bana hii ni adhabu anayotupa mwenyezi mungu ili tuache madhambi na tumwabudu mwenyezi mungu
Subhanallah Allah Akbar Lailaha illa Llah Subhanallah
Mungu tusadie jaman
Matetemeko mahali mahali... Mara vita karibu Dunia nzima haiko sawaa... Bwana YESU analudi. WOKOVU NI LAZIMA Ili kujiandaa na kunyakuliwa kwenda kwetu Mbinguni.
Kama umeelewa weka like yako hapo.
Ni kweli Yesu yupo karibu sana kurudi. Mwezi Januari niliota Yesu anaelea Mawinguni. Alikuwa ameshuka chini sana. Pia kulikuwa na radi na matetemeko na nyumba zilikuwa zinaporomoka. Ilitisha sana!
@@colkiwale4973 Yesu akirudi anakuja kuwakana wanamuona yeye ni Mungu.
Allah akbar molla wetu tunusuru na hii garika
Subuhanallah Allah tustili wajawako tusamee mazambi yetu
Polen Sana dugu zetu
Mungu atusaidie na hili kanga jaman mwamini Mungu yupo
Tanzaniaa mngeanza kujipendekeza Nchi zotee za eqst Afrika wametoaa misaada ya chakula Turkey jpo na wao ni maskini kma nyie…. ilee ricord inakaaa na nyinyi mkipata maafa mtapata kusaidiwa 😢😢…Turkey imepata misaada so kwasababu ni Watu wa europe coz wanajitoa kutoa misaada nchi yoyote ikipata Jangaa
Mhhhhhhh Allah mustaan waalaih tuqlaan
Huyu jamaa mesoma kweli aloo. Anastahili kuwa katika nafasi hiyo.
Yesu kristo MUNGU atuokowe???
Hili la ijumaaa nililisikia aiseeeee nilikimbia atar Yani tetemeko kubwa atar
Unanitisha unajua wiki iliyopita nimeota ndoto asubui arithi imepasuka kukawa na ufa mkubwa Sana kiasi kwamba hakuna alieweza kuvuka kwenda upande mwingine Mungu atusaidie
Iyo ipo inakaribia imeanzia kenya itapita lilipopta bonde la ufa
Geologist+counselor+first responder.
Not geologist but qadar of God
Kuna nabii anaitwa Agustine Tengwa alilieleza hili CZcams na watu wanazidi kupuuza..kuna mengi yatatokea..tunahitaji kutubu na maombi...
Mungu tusalidie
Tuache maaswi maana yalikua sehem zingine leo yapo kwetu
Mungu tusaidie
Tetemeko ni miujiza ya mungu
Sawa ata ww mwanadamu ni miujiza ya mungu pia
Ni Mungu sio mungu
Ya ALLAH tunusuru waja wako utufishe hali ya kuwa una radhi nasi
Mungu atunusuru na janga hili 😭😭
Amiin
Hii yote maasi ya kinajuma lokole na wenzake mashoga mashoga mashoga pleaseee mtuachie ya yetu nendeni marekani
Singida mjini lilipita saa 6:20
Eee mungu tunakuomba utulinde na janga hili
#ILoveYoutubing
Mungu atulide tu wallah
Tumuombe mungu sanaaa
Yuko kwenye siku za mwishio tusamehe baba yetu
Eeeh MUNGU utuepushe na haya majanga
Mwaka 2015 tetemeko lilipita baliadi ilikuwa mcha,jamani ni hatali tuombe mungu tu mwaka 2018pia lilipita kahama ilikuwa saa6 ucku nilijua niwachawi maana nyumba iliyumba na bati. Zikawa zinatoa sauti ckujua kama ni tetemeko adi nilipo ckia watu wanaxema axbh
Hapo hakuna nguvu ya Dunia Wala mgandamizo wa Nini,,,hapana hapo ni mungu tu na mungu anaonyesha uwepo wake,,,apo nikumuomba mungu atujalie atuondolee adhabu hii,,tumuombe tu mungu atuhurumie na asituadhibu
ZOTE HIZI NI DALILI ZA KIAMA HAKUNA MKANDAMIZO WALA NINI,
ALLAH KATUTAHADHARISHA KUA TUSIJETUKAFA ILA TUMEKUA WAUMINI(WAISLAM)
Mtihani dah
Chini ya meza? Mungu tujalie kukuabudu haki Leo nimemkumbuka daddy
Richter
Kipimo cha tetemeko, *Richter scale*, kwa Kiswahili, tutamkeje, *Richita* au *Richa*?
Kwa Kiingereza, *ch* ni *k*, yaani, inakuwa, *Rik* + tuh*. Inasikika kama, *Rikta*.
Rita acale= raita
Umeweka picha ya tetemeko la uturuki ili kutuogopesha sio
Uwongo mtupuu
Semeni watu wafanye toba acheni kupotosha watu watu waombe SANA BWANA Atuuhurumiyee
Kipimo cha nini?Hebu kuweni makini kidogo!
Tanzania hasa kanisa lipo kwenye Adhabu na tumepewa miezi 12 ya kuomba toba naona watumishi wengi wa Mungu wamenyamaza Tanzania tuinuke tuombe yanayo kuja ni magumu peke yetu hatuwezi 😭Mungu atuhurumie sana
Ila samia angetoa tamko rasmi kuingia kwenye maombi kitaifa kama walinyokuwa wanafanya wenzake
@@aliceudoba3672 kwani maombi nayo yanamuitaji Samia?? Duh..mmezoea kuongozwa kaka ng'ombe
@@mwajumamohd7930 Mungu anataka toba ya Taifa zima anayepaswa kutoa tamko ni yule anayeongoza nchi ,maovu yamezidi juu ya Taifa letu kama hawatakubali kutii tujiandae kupigwa na Mungu kama sodoma na gomola
@@aliceudoba3672 subiri uambiwe nenda ukale ukalale usiku ndio huu
@@aliceudoba3672 Maono hayo kapewa Mtumishi Malendeja Makashi tumebakiwa na miezi 10 yanayo kuja Tanzania ni makubwa mno kama tutaendelea kupuuza 😭Rais ni mwisilam anajua maana ya toba kweli?
Biblia inasema yakua nyakati za mwisho yaani kabla ya kuja kwa Kristo Yesu haya yatatokea...Ni dalili yakua Kristo Yesu Anarudi wapendwa tuache sayansi.REPENT YOU PEOPLE JESUS IS COMING END TIME SIGN
Kwani biblia ni kitabu cha Mungu?
Mathayo 24:1-7
Mi mbona nlikua kizota na nikaskia mtikisiko mkubwa mida ya mchana iv
Ufunuo 9:21 tutubu na kuacha dhambi sio unatubu saa hiyo hiyo unarudia dhambi
Mbona ile siku lilitokea Uturuki siku ya 3 yake yalitokea Pemba na Hamkutowa
Watu wachukue tahadhari tu hakuna namna sema wale wa magorofani mna hali ngumu😜
Hapa nimeamka nausingizi umenikosa acha tu
Tukasome MATHAYO 24
Dodoma
Kinachotakiwa ni kutubu tu watu badala ya kumtegemea MUNGU wametegemea shetani
🤦🏿♀️
Kila mtu amrudie MUNGU ndiyo jawabu ya haya yote
Makofi ya bungeni ndo chanzo.
😭😭😭😭😭 kweli tena
Jidanganye tu ujuwavyo wewe ndio ivo unavoeleza lkn maandiko yako katika Quran sura kamili ipo inaeleza hizo ni dalili za mwisho wa Dunia Alla atujaalie mwisho mwema biidhinillahi
Mimi kaka poa
TUOMBE MUNGU JUU YA TAIFA, KUNA JAMBO LITASHUTUA NCHI MWAKA HUU! ILIFANYIKA DAR MWAKA JUZI,TUKA POTEZA RAIS MAGUFURI NA MKAPA NA BAADHI YA VIONGOZI WAKUU WA NCHI! LILITOKEA KANDA YA ZIWA PIA,AKAFA RAIS.TUOMBE.
Pangea
Anko wangu huyuu mimi ni mtoto wa dada ake naitwa Amani Songo na mama angu anaitwa happy mbogoni.....m
😅😅dah ayah
Hahahaha 🙌
@@niceone9392 naona anko kaamua kutoa tahadhari kwa Taifa nikaona nijitambulishe mnijue bana naweza ata ubaloziii sehemuu😂😂😂
Hongera kwa uncle wa nguvu
@@humphreymwihambi4330 Asante bro
Tanzania ya mavi kunuka na Serikali ya CCM mlifanya uamuzi wa ovyo Dodoma kuifanya makao makuu ya nchi , wakati miaka mingi inajulikana ni sehemu iliyo rahisi kupata matetemeko ya ardhi, kuna uwezekano kuingia hasara kubwa ya miundo ya mbinu nk kwa mkoa wa Dodoma
Huelewi
Uko Tanzania? Chunga Sana uongeacho Ndungu kama upo bora umwombe MUNGU iwe salaama
Usichanganye siasa na Mungu unafeli
Hayo majanga yanayotaka ni kuwakumbusha watu Mungu yupo na inapaswa Tufanye Mamb mema,lakn serikali kuhamia Dodoma hakumaanishi ivo
@@panafricanmawesa2555 ngoja nikusaidie , utafiti ulifanyika miaka mingi na kugundua ni sehemu rahisi kupata matetemeko ya ardhi
Mungu atunusuru
Mungu 2nusuru tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿