Komentáře •

  • @globaltv_online
    @globaltv_online Před rokem +2

    BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ0bE75nzavlm

  • @saulimmbaga.safisana9556

    Mama.leo umeonge vyema hongera sana

  • @brunonsungwe8389
    @brunonsungwe8389 Před rokem

    Big up Mweshimiwa Shekimweri mkuu wa wilaya Dodoma mjini

  • @cavoo4get649
    @cavoo4get649 Před rokem

    Safi sana muheshimiwa Waziri kwa kuliona hilo, hao vijana wana nyanyasa sana wananchi

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 Před rokem

    Hongera mh waziri fukuza hao wafanyakazi wezi na mh usichoke tembelea hata mikoa mingine pia

  • @hamdincatalonia3272
    @hamdincatalonia3272 Před rokem +2

    Wafanyakaz wa jiji wote nimajambazi ushahidi ninao wamegeuka mungu watu wana nyang’anya kwanguvu naishallah allah atawazalilisha hapa hapa

  • @juliusmagoti5650
    @juliusmagoti5650 Před rokem

    Mheshimwa Waziri Mungu akubariki mno. Watu wametapeliwa sana viwanja Dodoma na viongozi wa Jiji/ former CDA ni washiriki wakubwa wa utapeli huo

  • @veronicanangale4700
    @veronicanangale4700 Před rokem +2

    Nimekupenda bure dada yangu Mabula,Mungu akubariki. Ardhi dodoma ni kero. Kidogo tu dhurma.

  • @bashirmrisho8491
    @bashirmrisho8491 Před rokem

    Safi sn waziri...ardhi dodoma matapeli wengi mno

  • @DiginaZumba-dv1xo
    @DiginaZumba-dv1xo Před rokem +1

    Njoo sumbawnga mama uozo mtupu rushwa tu Hawa watumish imefika mahali wanatia aibu Tena matapeli inasikitisha Sana inaumiza mno,

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 Před rokem

    Huo mkoa matapeli wameamia huko.Unaitaji mkuu wa mkoa mwenye misuli kweli kweli..Wanataka kuchafua mji waanze kuziba na njia.Sijui Ardhi uwa mna shida gani.

  • @Hamy1109
    @Hamy1109 Před rokem

    Waziri umefanya maamuzi sahihi japo kwa kuchelewa sana. Uozo pale Dodoma Jiji upo muda mrefu. Mkurugenzi wa Jiji hatoshi kusimamia lile Jiji, Mamlaka yake ya uteuzi inabidi IMTUMBUE.

  • @mrbolt8194
    @mrbolt8194 Před rokem

    Mama njoo nakasulu huoukilitimba upo tumelipa ulasimishaji mwaka mzima hawajapima

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před rokem

    HONGERA WAZIRI MABULA HAWA FANYAKAZI WA IDARA YA ARDHI,WENGI WAMEKUBADILIKA KUWA MATAPELI KTK WIZARA HIYO!!

  • @henryjohn2898
    @henryjohn2898 Před rokem

    Mheshimiwa Waziri hongera sana, nakuomba ufike DSM wilaya ya Ubungo idara ya ardhi hakuna uadilifu kabisa

  • @iddmwendotanzaniteexp5050

    Waziri atembelee mikoa yote...sector hiyo inachangamoto sana karibu kila mkoa....
    Mh...hata haki muda mwingine haitendeki...!!!!

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 Před rokem

    Dodoma nikero mweshimiwa.Chunguzeni hta utoaji wa wahati zaviwanja.Fojari nyingi,wanachukuwa pesa nyingi kudhulumu haki zawatu.Mfano mkubwa hizi kesi zamiradhi,mtu anakesi anachukuwa dockmeti anaenda CdA anabadilishiliwa hti bila kuchunguza nakufuta ushaidi.Tusaidieni sana hpa dodoma

  • @NtanunuraWillsonBaru
    @NtanunuraWillsonBaru Před rokem

    Wahuni wapo wengi idara ardhi wapo kama madalali 😊

  • @bakarithegeoinformatician7406

    Toeni ajira

    • @hamisihabibu
      @hamisihabibu Před rokem

      Mh wazir dodoma matatizo n mkubwa sana yanasababishwa na viongoz wa jiji ukitaka kupata ukweli kaa na wanachi uwasikilize

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Před rokem

    Wapi salama tz,? mbona Kila sehem ni uozo mtupu

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Před rokem

    Huenda Hiyo Mipango kaianzisha Mtangulizi wako yule aliyetoka anzeni naye

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před rokem

    Nchi hii bwana ni majanga

  • @saidihamisi9146
    @saidihamisi9146 Před rokem

    KUMBE MAMA UKO VIZURI MWANZONI NILIKUCHUKIA. NJOO MWANZA ILEMELA KUNA MADUDU KIBAO. KUNA MADALALI WAPO MANISPAA

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 Před rokem

    Kama mpaka mbunge anatapeliwa mtu wa hali ya chini si atafnywa chapati kabisa.

  • @eliashagai7920
    @eliashagai7920 Před rokem

    Aende na Tabora mjini ,Kuna miungu watu unafuatilia hati milliki miaka

  • @josephnjella4919
    @josephnjella4919 Před rokem +1

    Wanakula kwa urefu Wa namba zao

  • @mawazoaliselemani8909
    @mawazoaliselemani8909 Před 11 měsíci

    MANENO,MANENO,MANENO.mpakalini?

  • @mawazoselemani614
    @mawazoselemani614 Před rokem

    😄

  • @ebenezernnko8251
    @ebenezernnko8251 Před rokem

    Waziri kumbe sisi wananchi tunafkiri Uwonzo huu wewe ndio umeruhusu kumbe tunatukana sirikali bure shida kubwa hapa Madiwani na mkurugezi

  • @domycossan1395
    @domycossan1395 Před rokem

    Mi nafikiri hao wabunge wangedhurumiwa wooote maana hawajui cha kuwafanyia wananchi. SAMAKI HUOZA KUANZIA KICHWANI. Unaweza ukaona hao vjana ndo wenye makosa, lkin uozo umeanzia kwa hao wakubwa.

  • @emmanuelsaria7975
    @emmanuelsaria7975 Před rokem

    Ndio maana tunazaa kizazi ambacho sio faida kwa sababu ya uwizi na machungu ya hela za binadamu . Kumbuka unaenda kuiangamiza familua yako

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 Před rokem

    Mama njoo dar tmk hapa nikupe kanga wa kuchoma na coka Baridi tumemaliza kufunga au nikukatie tiket ya ndege ukapumzike ngome kongwe

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 Před rokem

    Me sipo kwenye utapeli sema usajiri wa hati bado bei juu na usumbufu km .serekali mmejilizisha kiwanja ni changu kwanini mnachakua mda kunimikisha na kunipa hati.inabaki usumbufu pls wakae watu wafanye kazi mtu akitaka hati na mmejilizisha in week 2 iwe tayri

  • @alexjackson5960
    @alexjackson5960 Před rokem +1

    Hii mitoto inayotoka vyuo Ina tamaa halafu mijizi sana

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 Před rokem

      Hawa watoto wanaiga kutoka wapi?

    • @alexjackson5960
      @alexjackson5960 Před rokem

      @@adelinelyaruu3036 Kuna kumaliza shule kuhitimu, na kufuzu. Wengi waliomaliza shule ndo wanatabia ya kuigaiga. Msomi haigi

  • @ezekielmwakyagi9330
    @ezekielmwakyagi9330 Před rokem

    njoo na kinondoni salasala

  • @kibwetere1418
    @kibwetere1418 Před rokem

    Ss wanapig makofi ya nini hao

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed8875 Před rokem

    kesi ya oktoviani ngaiza mpaka sasa hajaludishiwa kiwanja chake alio achia na baba yake miaka 20 hati haha wewe chukua hatu hata hapa kwako ilemela uzo ni mkubwa na zuruma ni kubwa na wewe upo😂😂😂😂

    • @hamisihabibu
      @hamisihabibu Před rokem

      Dodoma jiji kuna uchaf sanaaaa wat wanakuwa kama so hinadam wawo mung atawadhalilisha hapa hapa yaarab

    • @hamisihabibu
      @hamisihabibu Před rokem

      Dodoma jiji panauozo sana watu wananyimwa haki zao sanaaaa

    • @aminaally7364
      @aminaally7364 Před rokem

      Kumeoza jiji dodoma ardhi timua wote

  • @hassangasaba4565
    @hassangasaba4565 Před rokem

    Hawa watu niwezi mpaka wabunge wanatapeliwa ,wanakula kwa urefu kamba