Mama.leo umeonge vyema hongera sana
Big up Mweshimiwa Shekimweri mkuu wa wilaya Dodoma mjini
Safi sana muheshimiwa Waziri kwa kuliona hilo, hao vijana wana nyanyasa sana wananchi
Hongera mh waziri fukuza hao wafanyakazi wezi na mh usichoke tembelea hata mikoa mingine pia
Wafanyakaz wa jiji wote nimajambazi ushahidi ninao wamegeuka mungu watu wana nyang’anya kwanguvu naishallah allah atawazalilisha hapa hapa
Mheshimwa Waziri Mungu akubariki mno. Watu wametapeliwa sana viwanja Dodoma na viongozi wa Jiji/ former CDA ni washiriki wakubwa wa utapeli huo
Nimekupenda bure dada yangu Mabula,Mungu akubariki. Ardhi dodoma ni kero. Kidogo tu dhurma.
Safi sn waziri...ardhi dodoma matapeli wengi mno
Njoo sumbawnga mama uozo mtupu rushwa tu Hawa watumish imefika mahali wanatia aibu Tena matapeli inasikitisha Sana inaumiza mno,
Huo mkoa matapeli wameamia huko.Unaitaji mkuu wa mkoa mwenye misuli kweli kweli..Wanataka kuchafua mji waanze kuziba na njia.Sijui Ardhi uwa mna shida gani.
Waziri umefanya maamuzi sahihi japo kwa kuchelewa sana. Uozo pale Dodoma Jiji upo muda mrefu. Mkurugenzi wa Jiji hatoshi kusimamia lile Jiji, Mamlaka yake ya uteuzi inabidi IMTUMBUE.
Mama njoo nakasulu huoukilitimba upo tumelipa ulasimishaji mwaka mzima hawajapima
HONGERA WAZIRI MABULA HAWA FANYAKAZI WA IDARA YA ARDHI,WENGI WAMEKUBADILIKA KUWA MATAPELI KTK WIZARA HIYO!!
Mheshimiwa Waziri hongera sana, nakuomba ufike DSM wilaya ya Ubungo idara ya ardhi hakuna uadilifu kabisa
Waziri atembelee mikoa yote...sector hiyo inachangamoto sana karibu kila mkoa....
Mh...hata haki muda mwingine haitendeki...!!!!
Dodoma nikero mweshimiwa.Chunguzeni hta utoaji wa wahati zaviwanja.Fojari nyingi,wanachukuwa pesa nyingi kudhulumu haki zawatu.Mfano mkubwa hizi kesi zamiradhi,mtu anakesi anachukuwa dockmeti anaenda CdA anabadilishiliwa hti bila kuchunguza nakufuta ushaidi.Tusaidieni sana hpa dodoma
Wahuni wapo wengi idara ardhi wapo kama madalali 😊
Toeni ajira
Mh wazir dodoma matatizo n mkubwa sana yanasababishwa na viongoz wa jiji ukitaka kupata ukweli kaa na wanachi uwasikilize
Wapi salama tz,? mbona Kila sehem ni uozo mtupu
Huenda Hiyo Mipango kaianzisha Mtangulizi wako yule aliyetoka anzeni naye
Nchi hii bwana ni majanga
KUMBE MAMA UKO VIZURI MWANZONI NILIKUCHUKIA. NJOO MWANZA ILEMELA KUNA MADUDU KIBAO. KUNA MADALALI WAPO MANISPAA
Kama mpaka mbunge anatapeliwa mtu wa hali ya chini si atafnywa chapati kabisa.
Aende na Tabora mjini ,Kuna miungu watu unafuatilia hati milliki miaka
MANENO,MANENO,MANENO.mpakalini?
😄
Waziri kumbe sisi wananchi tunafkiri Uwonzo huu wewe ndio umeruhusu kumbe tunatukana sirikali bure shida kubwa hapa Madiwani na mkurugezi
Mi nafikiri hao wabunge wangedhurumiwa wooote maana hawajui cha kuwafanyia wananchi. SAMAKI HUOZA KUANZIA KICHWANI. Unaweza ukaona hao vjana ndo wenye makosa, lkin uozo umeanzia kwa hao wakubwa.
Ndio maana tunazaa kizazi ambacho sio faida kwa sababu ya uwizi na machungu ya hela za binadamu . Kumbuka unaenda kuiangamiza familua yako
Mama njoo dar tmk hapa nikupe kanga wa kuchoma na coka Baridi tumemaliza kufunga au nikukatie tiket ya ndege ukapumzike ngome kongwe
Me sipo kwenye utapeli sema usajiri wa hati bado bei juu na usumbufu km .serekali mmejilizisha kiwanja ni changu kwanini mnachakua mda kunimikisha na kunipa hati.inabaki usumbufu pls wakae watu wafanye kazi mtu akitaka hati na mmejilizisha in week 2 iwe tayri
Hii mitoto inayotoka vyuo Ina tamaa halafu mijizi sana
@@adelinelyaruu3036 Kuna kumaliza shule kuhitimu, na kufuzu. Wengi waliomaliza shule ndo wanatabia ya kuigaiga. Msomi haigi
Ss wanapig makofi ya nini hao
kesi ya oktoviani ngaiza mpaka sasa hajaludishiwa kiwanja chake alio achia na baba yake miaka 20 hati haha wewe chukua hatu hata hapa kwako ilemela uzo ni mkubwa na zuruma ni kubwa na wewe upo😂😂😂😂
Dodoma jiji kuna uchaf sanaaaa wat wanakuwa kama so hinadam wawo mung atawadhalilisha hapa hapa yaarab
Hawa watu niwezi mpaka wabunge wanatapeliwa ,wanakula kwa urefu kamba
BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ0bE75nzavlm