Niko hapa Taiwan, ni kweli, tetemeko lilikuwa kubwa sana. Tumeogopa na tusijue cha kufanya tofauti ya kukimbilia uvunguni mwa kitanda au chini ya meza. Vitu vilidondoka kutoka kwenye makabati, vioo vimepasuka lakini Mungu alininusuru, sikuumia popote. Mungu atukuzwe.
Hizi ni nyakati za mwisho,enyi wanadamu kwahiyo haya hayana budi kutokea,Tubuni dhambi na kuziacha mpate kuokoka.siku mbaya zinakuja kwa dunia yote.Mwaminini Yesu mpate kuokolewa.
Wewe ni Mungu wa kuogopwa , kwa usiku
Mmoja unaweza kutajirisha na kwa usiku mmoja unaweza kumaskinusha Yesu anarudi tubunj na kuiamini Injili hilo tu
Niko hapa Taiwan, ni kweli, tetemeko lilikuwa kubwa sana. Tumeogopa na tusijue cha kufanya tofauti ya kukimbilia uvunguni mwa kitanda au chini ya meza. Vitu vilidondoka kutoka kwenye makabati, vioo vimepasuka lakini Mungu alininusuru, sikuumia popote. Mungu atukuzwe.
Amen 🙏🏻🙏🏻
@ROZINABONIPHACE-ye9cy Amen
Pole sana 🙏
Poleni sana Taiwan
Hizi ni nyakati za mwisho,enyi wanadamu kwahiyo haya hayana budi kutokea,Tubuni dhambi na kuziacha mpate kuokoka.siku mbaya zinakuja kwa dunia yote.Mwaminini Yesu mpate kuokolewa.
Kwa kuwa tumesahau maandiko yanasema juu ya nyakati hizi acha yatukute.
Watu wamekuwa bize wanazitegemea kazi za mikono Yao na kumsahau Mungu
Poleni waathirika wote 😢😢😢😢😢
Poleni jaman mungu awalinde
😢😢
Aiseee....Mungu awe pamoja nao kwa waathirika maana ni tetemeko kubwa.
Hapa. Kikubwa kumwamini mungu2
Poleni sana ndugu zetu
Poleni sana ,
Myaonapo haya jueni mwisho umekaribia
Poleni sana
Kuna catoon moja inaitwa Simpsons.. ile ya meli kugonga daraja imo.. na hii ya tetemeko imo.
God have mercy on us 😭😭🤲🏽🤲🏽
😢😢
Wakwanza kutoa msaada ni China!! USA 🇺🇸 hayupo hapo!! Taiwan kuwen na akili
China ni karibu ramani unaijua?
@mandlasakhile9109 refresh your mind, then ask again...
Lugha gongana 😊
@@Gulfnas1 no need of refreshing my mind, how far is the US to Taiwan, a lot of miles different continents, besides its a natural disaster.
hiyo ndo china moja
EE MUNGU Tusamehe kwakua umetuumba wewe
4 deaths till now
Nataman Ingewakumbumba Wana Wa Israel
Mungesema Allah kawapiga 😁😁😁
@@adkajisi4536 Kwa Fikra Zako Kuna Kiumbe Anayeweza Kusababisha Ayo Kama Sio Yy Mwenye Mamlaka Ayo
@@adkajisi4536haipingiki na bado cku yao yaja
@@adkajisi4536kwani huko taiwani mkewako au babako ndoalosababisha tetemeko sio ALLh
Kwa kuwaombea Binadamu wenzako maafa Basi Mwenyezi Mungu akuangushie balaa la maangamizi wewe na kizazi chako chote😮😮 Kima wewe.
Poleni sana Taiwan