Highlights | Simba 0-0 Singida Big Stars | Ngao ya Jamii - 10/08/2023

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 08. 2023
  • Tazama mbilinge zilizojiri ndani ya dakika 90 za mchezo wa nusu fainali ya pili ya Ngao ya Jamii kati ya Simba SC dhidi ya Singida Big Stars.
    Mechi hiyo ilimalizika bila kufungana na kisha kwenda katika mikwaju ya penati. Simba imeingia fainali kwa penati 4-2
  • Sport

Komentáře • 104

  • @ishaissah8536
    @ishaissah8536 Před 11 měsíci +2

    Naam hii ndo gemu sasa😊😊pga nikupge game ya moto mwanzo mwsho

  • @Octavinaelisa-fn6js
    @Octavinaelisa-fn6js Před 11 měsíci

    Amina mungu anakuona inabidi uombe toba umewakosea sana singida duh

  • @AgilipinaMashaka
    @AgilipinaMashaka Před 11 měsíci +1

    Simba refa alikuwa kwa upande wao

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Před 11 měsíci +1

    🎉🦁🦁🦁💥🎉

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Před 11 měsíci +2

    Simba hama kitu jmn Kambi uturuki😂😂😂😂

  • @user-pj4ws3km2s
    @user-pj4ws3km2s Před 11 měsíci +2

    Singida yupo vizur azam ajipange

    • @rockygappi1018
      @rockygappi1018 Před 11 měsíci

      Utashangaa singida kupigwa na Azam..subiri uone

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 Před 11 měsíci +1

    Kocha wa Simba anaudhaifu mkubwa sannah,
    Baada yamakelele ya mashabiki HATIMAE phiri ameingia Leo..... HATODUMU MSIMBAZI HUYU KOCHA COZ MASHABIKI WATAANZA KUMPANGIA KIKOSI.
    KOCHA ALIKUWA NABI TU NA VIKOSI VYAKE VISIVYOTABIRIKA.

  • @adinanialiamini5341
    @adinanialiamini5341 Před 11 měsíci +16

    Jamani mm simba lakini duh! Tujipange zaidi

    • @rockygappi1018
      @rockygappi1018 Před 11 měsíci +2

      Kujipanga kwa vipi tena??haikuwa bahati kwani huoni singida walifurahi kupata droo??..na walikuwa wanaomba mpira uishe

    • @thomasnachenga795
      @thomasnachenga795 Před 11 měsíci +3

      @@rockygappi1018refa kawabeba mnoo lile lilikuwa BAO

    • @rockygappi1018
      @rockygappi1018 Před 11 měsíci +2

      @@thomasnachenga795 inaweza kuwa una makengeza 🤔🤔😂😂😂 sio bure

    • @geofreykalawa2260
      @geofreykalawa2260 Před 11 měsíci +1

      Ww Simba ambae umejifunzia wap kuandika? Sema ww shabiki maandazi wa Timu ya Simba,

    • @user-gs7ro6od3u
      @user-gs7ro6od3u Před 11 měsíci

      Zaidi sana

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 Před 11 měsíci +3

    Mataa yaongezwe uwanjani

  • @Graceyust
    @Graceyust Před 11 měsíci +2

    Tunasubili pira uturuki vs pira avic town

  • @barakadaprince3742
    @barakadaprince3742 Před 11 měsíci

    Sema azam nyiee mnatuchezea hakirii

  • @geoffreysebusebu3173
    @geoffreysebusebu3173 Před 11 měsíci +1

    Mnaweka highlight dakika 5 kwenye michezo za muhimu alf wanywa kahawa mnaweka saa zima😢 hakika mmetuchoka Azam

  • @midfieldrhythm
    @midfieldrhythm Před 11 měsíci

    Highlights dakika 5, Azam mna akili kweli 😂😂. Ampo serious ata kidogo

  • @user-ns4ph9rm2u
    @user-ns4ph9rm2u Před 11 měsíci +1

    Simba hamna k2 kabxa
    Duuh Tabu bado ipo pale pale

  • @MBUGALIFE
    @MBUGALIFE Před 11 měsíci

    Simba

  • @JenithaJastini
    @JenithaJastini Před 11 měsíci

    Azam na download azammax nashindwa kujisajili

  • @wilfredelimeleki4543
    @wilfredelimeleki4543 Před 11 měsíci +2

    kocha mzembe sana.Mifumo yake ya kijinga sana.Angalia mifumo inayoleta faida kwa simba(tulivyocheza na wydad,orlando pirate,na power dynamo)yote hii ilikuwa ni mifumo ya mashambulizi.Michezo yote tuliyocheza simba mifumo ikiwa ya chenga sana na pasi hadi kurudisha kwa kipa haizaagi matunda.
    mgunda ni bora sana kuliko huyu mzee mbrazili

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 Před 11 měsíci +2

    Goli la singida sijui limekataliwa vipi mimi naona kama sijaelewa,singida wako vizuri

    • @rockygappi1018
      @rockygappi1018 Před 11 měsíci

      Ilikuwa offside dhahiri

    • @ukuvukiland2387
      @ukuvukiland2387 Před 11 měsíci +1

      Sijaona offside hapo angalia vizuri

    • @ishaissah8536
      @ishaissah8536 Před 11 měsíci

      ​@@ukuvukiland2387Kwan huon apo golikipa alichezewa rafu kbla yagoli kufungwa licha ya kuwa offside

    • @nasibuahmedy2438
      @nasibuahmedy2438 Před 11 měsíci

      Acha ubishi wa kimaandazi angalia offside clear kabisa kama unajua mpira lakini 1:38

    • @yasintakahamba1320
      @yasintakahamba1320 Před 11 měsíci

      Kamuulize bibi yako akuangalizie vizuri Kama wewe huoni Kama ni fauro

  • @SameheShalonde-mu9ip
    @SameheShalonde-mu9ip Před 11 měsíci +1

    Tunajipanga hii jumapili bda mbari

  • @jacksonmenas6026
    @jacksonmenas6026 Před 11 měsíci

    Sema hivi vipande mnaweke vifupi sana dk 5

  • @jonibenedkito1952
    @jonibenedkito1952 Před 11 měsíci

    Kwaiyo ndo mmeamua kutuwekea vipande vya dakika 5 mechi nzima jaman..!!? Mnashindwa kutuchukulia full mechi tukapata marudio kamili!

  • @carolineivan3748
    @carolineivan3748 Před 11 měsíci +1

    Yani simba dah tumekosa magoli mengi san nini shida

  • @MandelaEnos-qe8ul
    @MandelaEnos-qe8ul Před 11 měsíci

    Tuji page Kamado hiv

  • @user-ew6kx9uc3o
    @user-ew6kx9uc3o Před 11 měsíci +1

    Mbelekoo fc

  • @aminahkhuzwayo-iv1wl
    @aminahkhuzwayo-iv1wl Před 11 měsíci +2

    Huyu refa malaya wa kitambaa cheupe!kazingua vibaya saana leo!

  • @gooleserviceyoutubescandar3450

    Itajulikana Tuu, Kaziipo Jumapili.

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Před 11 měsíci

    Simba hama kitu jmn

  • @MajdiSeif-rw6pc
    @MajdiSeif-rw6pc Před 11 měsíci

    Tuko vzr ila hili kocha ndio changamoto. Chilunda,phiri,kramo banda ngoma hawa wote so wakuchelewasha kuwaingiza

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 Před 11 měsíci +1

    Wazee wa bahasha na marefa wao wa tff na yule rais wa madunduka walensi karia🤣🤣

  • @kemmyabdallah353
    @kemmyabdallah353 Před 11 měsíci

    Unyama mwingi

  • @magrethandrew681
    @magrethandrew681 Před 11 měsíci

    Yani mnatuwekea highlights ya dakika 5 wapuuzi nyie azam 😏😏😏

  • @ericksabini9675
    @ericksabini9675 Před 11 měsíci

    Tusubili dabi

  • @aimarsolano9879
    @aimarsolano9879 Před 11 měsíci +1

    Azam wacheni usenge ipeni haki yake SIMBA mnaweka highlight dakika tano ili iweje wakati timu nyengine zote mnaweka full karibia dk 25 tunaona highlight YANGA JANA Kacheza mmeweka full highlight ila SIMBA mnaweka dk 5 ujinga huo. Na ndio mana mnafungwa na YANGA huku mnacheka ila angalieni SINGIDA mwenzenu kafungwa analia kabisa unajua hasa hawa wamepambana sio nyie Pweza watupu.

  • @magreth1492
    @magreth1492 Před 11 měsíci

    Uwanja taa ni changamoto

  • @shijafabiano8136
    @shijafabiano8136 Před 11 měsíci +1

    simba alifungwa ukweli ndio huo

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Před 11 měsíci

      Ukwel unaujua ww hapo unanuka uongo na unafik😆😆😆

  • @meshackmlaki2066
    @meshackmlaki2066 Před 11 měsíci

    Amjajua azam kuweka highlight Dak 5 anamanisha watu wanunue vingamuzi Kwa wingi muhimu zaidi kuuza vifirushi dada deki😂

  • @mjukuuhotelitv7736
    @mjukuuhotelitv7736 Před 11 měsíci

    Ila nyie azam

  • @user-tt8yk1mf9m
    @user-tt8yk1mf9m Před 11 měsíci +1

    Fefa hakutenda haki

  • @priscusmboya4623
    @priscusmboya4623 Před 11 měsíci

    Clear offside

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Před 11 měsíci

    mafala sana nyinyi highlight mnaweka dk5 acheni kunogewa na hela mkaanza kutusahau sisi tunaolipa hizo hela

  • @hassanhaji8361
    @hassanhaji8361 Před 11 měsíci

    Kwanini kocha hajamuingiza mikisoni,ngoma na yule straika kutoka Rwanda?

  • @user-zd4hw6qe1w
    @user-zd4hw6qe1w Před 11 měsíci +2

    Sikuliaona tukio lakukataliwa goli ndo naliona mbana singida wanakataliwa goli halali kabisa kunanini nyuma ya pazia

    • @marckmark2738
      @marckmark2738 Před 11 měsíci +1

      Kwanza ni offside pili kabla ya gori Kazadi alikua amemlalia kipa angalia vzr ndugu

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Před 11 měsíci

      Nyuma ya pazia kuna mlango acha maswal ya kiboya

    • @nurdinswalehe
      @nurdinswalehe Před 11 měsíci

      Acha we ila Simba na yanga bhana hawanaga macho

    • @Octavinaelisa-fn6js
      @Octavinaelisa-fn6js Před 11 měsíci

      Refar mshenzi

  • @jbreezyqtz
    @jbreezyqtz Před 11 měsíci +1

    Duh 1:36

  • @SaleheMangele-yc6nn
    @SaleheMangele-yc6nn Před 11 měsíci

    B

  • @jamesjames2368
    @jamesjames2368 Před 11 měsíci +2

    Utopolo wanaweweseka 😅😅😅

  • @user-wu8rw3nc9q
    @user-wu8rw3nc9q Před 11 měsíci +1

    ukweli ni Simba ndo mwaka huu ndo unachukua ubingwa mwaka huuu

    • @azizamussa-qd3tj
      @azizamussa-qd3tj Před 11 měsíci +1

      Kwa kikosi hichi kilichocheza jana au kina kingine

  • @user-pb8ub3wm5o
    @user-pb8ub3wm5o Před 11 měsíci

    😂😂😂😂

  • @braveboy4249
    @braveboy4249 Před 11 měsíci

    Ni bora muache kabisa kuposti marudio maana hatufaidi chochote 😢😢AZAM TV MNAZINGUA SANA HATUOKOTI HIZI PESA TUNAZITAFUTA KWA JASHO ACHENI KUTUIBIA

  • @ishaissah8536
    @ishaissah8536 Před 11 měsíci

    Licha ya offside golikipa alichezewa raf

  • @SaidJumanne-ue2jy
    @SaidJumanne-ue2jy Před 11 měsíci

    Jamani mim yanga lkini timu yetu hamna kitu tujipange

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Před 11 měsíci +2

    Simba hama kitu jmn Kambi uturuki😂😂😂😂

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Před 11 měsíci

      Ulitaka kambi iwekwe kwny bichwa lako au😁😁😁😁😁

    • @magrethyeremia2279
      @magrethyeremia2279 Před 11 měsíci

      @@salamasaidi6620 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 muwafunge singida bila penalt

  • @magreth1492
    @magreth1492 Před 11 měsíci

    Uwanja taa ni changamoto

    • @rehemawamwarami3854
      @rehemawamwarami3854 Před 11 měsíci

      Lefa huyu wamchongooo kolo kabembwa sanaa alijui kuchezesha mpila

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Před 11 měsíci

      @@rehemawamwarami3854 jifunze kuandika kwanza