Highlights | Simba 0-0 Singida Big Stars | Ngao ya Jamii - 10/08/2023
Vložit
- čas přidán 9. 08. 2023
- Tazama mbilinge zilizojiri ndani ya dakika 90 za mchezo wa nusu fainali ya pili ya Ngao ya Jamii kati ya Simba SC dhidi ya Singida Big Stars.
Mechi hiyo ilimalizika bila kufungana na kisha kwenda katika mikwaju ya penati. Simba imeingia fainali kwa penati 4-2 - Sport
Naam hii ndo gemu sasa😊😊pga nikupge game ya moto mwanzo mwsho
Amina mungu anakuona inabidi uombe toba umewakosea sana singida duh
Simba refa alikuwa kwa upande wao
🎉🦁🦁🦁💥🎉
Simba hama kitu jmn Kambi uturuki😂😂😂😂
Singida yupo vizur azam ajipange
Utashangaa singida kupigwa na Azam..subiri uone
Kocha wa Simba anaudhaifu mkubwa sannah,
Baada yamakelele ya mashabiki HATIMAE phiri ameingia Leo..... HATODUMU MSIMBAZI HUYU KOCHA COZ MASHABIKI WATAANZA KUMPANGIA KIKOSI.
KOCHA ALIKUWA NABI TU NA VIKOSI VYAKE VISIVYOTABIRIKA.
Jamani mm simba lakini duh! Tujipange zaidi
Kujipanga kwa vipi tena??haikuwa bahati kwani huoni singida walifurahi kupata droo??..na walikuwa wanaomba mpira uishe
@@rockygappi1018refa kawabeba mnoo lile lilikuwa BAO
@@thomasnachenga795 inaweza kuwa una makengeza 🤔🤔😂😂😂 sio bure
Ww Simba ambae umejifunzia wap kuandika? Sema ww shabiki maandazi wa Timu ya Simba,
Zaidi sana
Mataa yaongezwe uwanjani
Tunasubili pira uturuki vs pira avic town
Sema azam nyiee mnatuchezea hakirii
Mnaweka highlight dakika 5 kwenye michezo za muhimu alf wanywa kahawa mnaweka saa zima😢 hakika mmetuchoka Azam
😆😆😆😆😆😆
Highlights dakika 5, Azam mna akili kweli 😂😂. Ampo serious ata kidogo
Simba hamna k2 kabxa
Duuh Tabu bado ipo pale pale
Simba
Azam na download azammax nashindwa kujisajili
kocha mzembe sana.Mifumo yake ya kijinga sana.Angalia mifumo inayoleta faida kwa simba(tulivyocheza na wydad,orlando pirate,na power dynamo)yote hii ilikuwa ni mifumo ya mashambulizi.Michezo yote tuliyocheza simba mifumo ikiwa ya chenga sana na pasi hadi kurudisha kwa kipa haizaagi matunda.
mgunda ni bora sana kuliko huyu mzee mbrazili
Goli la singida sijui limekataliwa vipi mimi naona kama sijaelewa,singida wako vizuri
Ilikuwa offside dhahiri
Sijaona offside hapo angalia vizuri
@@ukuvukiland2387Kwan huon apo golikipa alichezewa rafu kbla yagoli kufungwa licha ya kuwa offside
Acha ubishi wa kimaandazi angalia offside clear kabisa kama unajua mpira lakini 1:38
Kamuulize bibi yako akuangalizie vizuri Kama wewe huoni Kama ni fauro
Tunajipanga hii jumapili bda mbari
Sema hivi vipande mnaweke vifupi sana dk 5
Kwaiyo ndo mmeamua kutuwekea vipande vya dakika 5 mechi nzima jaman..!!? Mnashindwa kutuchukulia full mechi tukapata marudio kamili!
Yani simba dah tumekosa magoli mengi san nini shida
Tuji page Kamado hiv
Mbelekoo fc
Huyu refa malaya wa kitambaa cheupe!kazingua vibaya saana leo!
Itajulikana Tuu, Kaziipo Jumapili.
Simba hama kitu jmn
Tuko vzr ila hili kocha ndio changamoto. Chilunda,phiri,kramo banda ngoma hawa wote so wakuchelewasha kuwaingiza
Wazee wa bahasha na marefa wao wa tff na yule rais wa madunduka walensi karia🤣🤣
Unyama mwingi
Yani mnatuwekea highlights ya dakika 5 wapuuzi nyie azam 😏😏😏
Tusubili dabi
Azam wacheni usenge ipeni haki yake SIMBA mnaweka highlight dakika tano ili iweje wakati timu nyengine zote mnaweka full karibia dk 25 tunaona highlight YANGA JANA Kacheza mmeweka full highlight ila SIMBA mnaweka dk 5 ujinga huo. Na ndio mana mnafungwa na YANGA huku mnacheka ila angalieni SINGIDA mwenzenu kafungwa analia kabisa unajua hasa hawa wamepambana sio nyie Pweza watupu.
Hata jana yanga tuliwekewa dkk 5
Pweza😁😁😁😁
Uwanja taa ni changamoto
simba alifungwa ukweli ndio huo
Ukwel unaujua ww hapo unanuka uongo na unafik😆😆😆
Amjajua azam kuweka highlight Dak 5 anamanisha watu wanunue vingamuzi Kwa wingi muhimu zaidi kuuza vifirushi dada deki😂
Kabisa azam wapuuz
Ila nyie azam
Fefa hakutenda haki
Et fefa
Clear offside
mafala sana nyinyi highlight mnaweka dk5 acheni kunogewa na hela mkaanza kutusahau sisi tunaolipa hizo hela
Kwanini kocha hajamuingiza mikisoni,ngoma na yule straika kutoka Rwanda?
Una hakika hawajacheza???
Sikuliaona tukio lakukataliwa goli ndo naliona mbana singida wanakataliwa goli halali kabisa kunanini nyuma ya pazia
Kwanza ni offside pili kabla ya gori Kazadi alikua amemlalia kipa angalia vzr ndugu
Nyuma ya pazia kuna mlango acha maswal ya kiboya
Acha we ila Simba na yanga bhana hawanaga macho
Refar mshenzi
Duh 1:36
B
Utopolo wanaweweseka 😅😅😅
Kwa pira bahasha pira mbeleko pira ni bebe
ukweli ni Simba ndo mwaka huu ndo unachukua ubingwa mwaka huuu
Kwa kikosi hichi kilichocheza jana au kina kingine
😂😂😂😂
Ni bora muache kabisa kuposti marudio maana hatufaidi chochote 😢😢AZAM TV MNAZINGUA SANA HATUOKOTI HIZI PESA TUNAZITAFUTA KWA JASHO ACHENI KUTUIBIA
Licha ya offside golikipa alichezewa raf
Unajua mpira www
@@user-fd1kv7zm4s 🙂
Jamani mim yanga lkini timu yetu hamna kitu tujipange
Wew ni kolo huna lolote
Kolo OG
Gem ya Simba na singida si umeiona I pili makolo mapema tuu wanakufa
Utopolo og
Utopolo OG
Simba hama kitu jmn Kambi uturuki😂😂😂😂
Ulitaka kambi iwekwe kwny bichwa lako au😁😁😁😁😁
@@salamasaidi6620 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 muwafunge singida bila penalt
Uwanja taa ni changamoto
Lefa huyu wamchongooo kolo kabembwa sanaa alijui kuchezesha mpila
@@rehemawamwarami3854 jifunze kuandika kwanza