RAIS MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSTUKIZA GEREZA LA UKONGA mp4

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 11. 2016
  • Amiri Jeshi Mkuu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 29 Novemba 2016 , amefanya ziara ya kushtukiza katika Gereza la Ukonga jijini Dar Es Salaam na kupiga marufuku uuzwaji wa sare za majeshi nchini na watu binafsi na kutaka wale wote wanaouza sare hizo wazikabidhi kwa majeshi husika mara moja.

Komentáře • 265

  • @dicksonmatulile1523
    @dicksonmatulile1523 Před 2 lety +10

    Nani anafuatilia mpaka leo hii 2022

  • @mrtayalika2865
    @mrtayalika2865 Před 3 lety +19

    REST IN PEACE LEGEND YOUNG GENERATION WILL MISS U JOHN

  • @mounbakko5871
    @mounbakko5871 Před 6 lety +7

    a president talking and his audience is so engrossed and attentive, indicating a sense of belonging, interest, listening to a man, saying something important and very valuable, with passion, not just a formality delivering a pre-written speech... these are members of the civil force and I can tell that he is admonishing, educating and encouraging them by the way they are so attentive as if he is delivering words of redemption. A very hands-on president.

  • @mrishodaudi7490
    @mrishodaudi7490 Před 5 lety +4

    yani kwawewe muheshimiwa kwanza mungu akulinde pia hata ukitawala miaka 100 kwangu sio tatizo mungu akubaliki unajua utu mkuu

  • @mirajiibrahim51
    @mirajiibrahim51 Před 7 lety +18

    Kiukweli kabisa kutoka chin ya uvungu wa moyo wangu namuomba mungu akusimamie sana Mh. JPM akulinde na kukuepusha na maadui wasiopenda maendeleo ya nchi yetu waliokuwa wameigawana Tanzania kama mashamba ya urithi ya baba zao...kila siku kukicha unanipa matumain ya kuiona Tanzania mpya ambayo umekuwa ukituahidi... kwa uelewa wangu mdogo nafahamu hiyo vita unayopigana ningumu sana mh. lkn kwa uwezo wa mungu utashinda inshallah mungu akubariki sana mh. Endelea na kasi hiyo hiyo mh. mpaka kila sehemu ikae kwenye mstari

  • @thomasnyarusanda2608
    @thomasnyarusanda2608 Před 6 lety +16

    Anayemchukia Rais Magufuli hafai kuwa mtanzania.

    • @evansmlalo4049
      @evansmlalo4049 Před 4 lety

      Hana lolote masifa tu ya KISU - KUMA. Ongeza wafanyakazi wa Serekali mishahara maana maisha yamepanda. Masifa tu.

    • @hamedabashir9
      @hamedabashir9 Před 3 lety +1

      @@evansmlalo4049 una akili kwer wee

    • @hamedabashir9
      @hamedabashir9 Před 3 lety +1

      @@evansmlalo4049 naona ukapimwe akili maana nsona wee unapenda vya bure panya wewe

  • @fatumakadenge3209
    @fatumakadenge3209 Před 4 lety +2

    Mashallah huyu rais. Tungekuwa na kama huyu African kungekuwa hakuna uoneve. Bg up Magufuli god bless u all the way from kenya

  • @tuntumemedia2046
    @tuntumemedia2046 Před 7 lety +8

    Nimependa sana hii, Mhe:Rais kwa hili umetenda haki na Mungu akusimamie utatue changamoto za Jeshi la Magereza.

  • @emaxiliannyalob716
    @emaxiliannyalob716 Před 6 lety +1

    Xaf xana mkuu wetu umeyaona mengi kuhuc jeshi LA magereza MUNGU akuximamaie sana uzid kupigania nchi yetuu Be blessed #Magufuli

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 Před 7 lety +6

    JPM ni AmiriJeshi wa ukweli Hakika. mungu Mbariki Rais JPM, Amin.

  • @ashangohi450
    @ashangohi450 Před 7 lety +11

    najua wapo watakao chukia .lakini mnyonge mnyongeni hakiyake mpeni.asante rais Magufuri .Mungu akulinde .

    • @davidmbilinyi4198
      @davidmbilinyi4198 Před 6 lety +1

      asha ngohi hapo hamna wa kuchukia labda ww una chuki na wenzako

  • @amashbaibe8361
    @amashbaibe8361 Před 4 lety +2

    Raisi mangufuli intelligent man surely ulichaguliwa na mungu

  • @skeetergodwins2576
    @skeetergodwins2576 Před 5 lety +1

    Baba tunakupenda sana. Piga kazi bila woga. Watanzania wenye shida wanakuhitaji kuendelea kuwa jasiri asiye mwoga. Tunakupongeza baba

  • @godfreydignalis163
    @godfreydignalis163 Před 5 lety +3

    A bit understandable, I do know what you think of for Tz's visions.

  • @faridabakari8511
    @faridabakari8511 Před 6 lety +7

    Iwe Kenya hivi raha sanaa big up tz magufuli

  • @iddopaka4606
    @iddopaka4606 Před 4 lety +3

    I feel this president. How i wish to be a Tanzanian

  • @lifestyle7464
    @lifestyle7464 Před 7 lety +11

    Please please be Kenyan president even if it part time better than the greedy one we have.

    • @michaelthoya3348
      @michaelthoya3348 Před 5 lety

      never giveup man
      these greed Will suffer I tell you just keep on praying

    • @gabrielnyanga5071
      @gabrielnyanga5071 Před 4 lety

      Kenya kwenye uongozi,tume chemsha mno na Mungu atukomboe!

  • @MrCeejay64
    @MrCeejay64 Před 7 lety +11

    Tanzania please can we borrow your president for just one month pleeeeeease we need such leaders in kenya

    • @aminamohd604
      @aminamohd604 Před 5 lety

      kiigunyu wa mami hahahaaaaaaa we don't want

  • @ndikujeany2103
    @ndikujeany2103 Před 5 lety

    Ninamupongeza mweshimiwa raisin kwakazi anazozifanya kweli yéyé anapenda wanainchi wake ingelikuwa vizuri anafanya semina kwawengine waraisi anawaonesha ginsi yakutendeya haki wanainchi wawo kwa ukweli gisi anaenda mko kwa mko tena anakamata wakati wakusikiliza wanainchi wake wawili awo watatu vraiment tunamupongeza . mungu amubariki

  • @nelsonkilele4782
    @nelsonkilele4782 Před 7 lety +4

    wewe ni mwamba Wa Tanzania mungu akulinde

  • @cydre3401
    @cydre3401 Před 3 lety +6

    Rest In Paradise , jemedari wetu #RIPMagufuli

  • @ramadhanolunga8220
    @ramadhanolunga8220 Před 4 lety +5

    I this president, I wish angekuwa wa Kenya, tungekuwa far

  • @mehdyahmed8479
    @mehdyahmed8479 Před 5 lety +5

    mashaALLAH Tanzania ALLAH amewabariki kwa kuwapa sir MAGUFULI

  • @b5342s2
    @b5342s2 Před 5 lety +2

    wewe ni rais unaetakiwa kuwa kwenye hii nchi hadi mungu atakapo kuchukua mungu mjalie huyu rahis wetu

  • @konde24ful
    @konde24ful Před 5 lety +4

    Huyu baba,wawatu nacho ona bapa Tz haimtoshi ana mkono wa uongonzi kweli I wish angeongoza Africa nzima Tz imebarikiwa with H.E Jobn Pombe Magufuri kumbe wakati mwingine Jina ndoo mtu Magufuri ni gufuri rakufunga na kukomesha corruption

  • @sharomosses5516
    @sharomosses5516 Před 7 lety +3

    nampenda sana rais magufuli mungu ambariki sana sana hakuna tena km yy strong man mungu ibariki tanzania mmariki rais mgufuli

  • @venturemalobo
    @venturemalobo Před 6 lety +2

    Tatizo Kila kitu kinafanyika Dar. Sehemu zingine hamna. Sijui Tanzania ni Dar.

  • @kibwanaradhia4307
    @kibwanaradhia4307 Před 7 lety +7

    tatizo la mtanzania akipata pesa anawaza stareh hawazi kujiendeleza

  • @sabinajohn8375
    @sabinajohn8375 Před 7 lety +5

    safi sana mweshimiwa magufuli

  • @youngstar2044
    @youngstar2044 Před 4 lety +1

    We uyu raisi mbona anaakili sana kaah. SALUTE FATHER

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 Před 5 lety +1

    Mungu ni mwema kukupata wewe Mh Rais wetu mpendwa ikibidi kaa adi 2035 bhna!!

  • @nhoutyeddycole7506
    @nhoutyeddycole7506 Před 4 lety +1

    mungu yupo nawe.piga kazi tunakusapot kwa hali na mali hakuna atayekuyumbisha.

  • @veronicamsyete5380
    @veronicamsyete5380 Před 7 lety +5

    nakupnda xana jpm acha waixome namba

  • @ashakombo1903
    @ashakombo1903 Před 7 lety +1

    Kaa chini na raisi wangu Shein kwa ajili ya mikakati ya Zanzubar...nakukubali mwendo wa kasi

  • @mantizo9719
    @mantizo9719 Před 5 lety +3

    Raisi jhon pombe umetembelea sehemunyingisana ilakwetukatavi umetusahau mweshimiwa tunakuomba ututembeeleenasisi munguakulinde wewendiyo mteteziwetu

  • @markeddy1976
    @markeddy1976 Před 7 lety +2

    Nashukuru kwa mawazo mazuri ya busala.
    Wazo langu nikwamba; ukamataji wa watu Bure Bure Kama mtu ana passport yake lakini anazungusha vibaya eti atoe hela ili aachiliwe inauma sana limufikie rais Magufuri Asante sana kwa Hayo.

  • @johnpaulmaronsaho7968
    @johnpaulmaronsaho7968 Před 5 lety +3

    Fanya kazi jpm

  • @alfazaalhaji5988
    @alfazaalhaji5988 Před 5 lety +1

    Tanzania mshukuru mungu aliyewachagulia prezo ka huyu

  • @alibomba3304
    @alibomba3304 Před 5 lety +2

    Mungu akusimamie wewe ndio mtetezi wa taifa

  • @ashakombo1903
    @ashakombo1903 Před 7 lety

    Magufuli hongera sana nakupenda sana uko creative sana .... big up

  • @kibwanaradhia4307
    @kibwanaradhia4307 Před 7 lety +4

    hongera rais.hata hivyo kuhusu changamoto hiyo nimekukubali kwani wafungwa kila mtu anaweza kuwa nå kipaji kwa hiyo cha muhimu kila mwenyewe kipaji chake basi aajibike kuitumikia nchi.Kina washonaji nguo Kina wanaojua kuchonga mafenicha hiyo ni changamoto wataweza kufungua bidhaa mbalimbali.sio mpaka rais awazindue masikio.tuzindukeni naendelea ya nchi huletwa nå mwananchi mwenyewe

  • @frankpaulo7970
    @frankpaulo7970 Před 7 lety +3

    safi sana baba uendeleeee miaka mingi mpaka 2050

  • @samsoncharles8988
    @samsoncharles8988 Před 7 lety +11

    Najivunia kura yangu hapa kazi tu

  • @bossmau764
    @bossmau764 Před 6 lety

    muheshimiwa magufuli mpk nahis kutoa choz kwa fraha ya msimamo wako katak uongoz wanchi nipo nchi ya dubai lakin nipo makin sana kufatilia mungu akusimamie raisi wangu naipenda nchi yangu na sito achakuipenda mungu akutie nguvu mheshimiwa magufuli

  • @yassinjuma6717
    @yassinjuma6717 Před 6 lety +2

    hakika namuomba mungu akusimamie

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 Před 4 lety

    Makufuli oyeeeee nakupenda hasa njoo zanzibar uwe raisi tunakupenda sana makufuli oyeeeee

  • @othmanabdallah3146
    @othmanabdallah3146 Před 5 lety +1

    Hakika Wewe ni Rais bora , Mola akupe Nuru utuongoze Milele ikiwezekana.

  • @gazeomar8273
    @gazeomar8273 Před 2 lety

    Very good president we never se I'm from Burundi but I love Tanzania and former President

  • @eliekalonji7805
    @eliekalonji7805 Před 4 lety

    muheshimiwa Mungu akupe umrimrefu kuwaokowa watanzania Na wa African wote

  • @philipjaphethohulo8957
    @philipjaphethohulo8957 Před 7 lety +5

    Kwa kweli mazuri unayowatendea wananchi wa Tanzania ni mazuri, natamani kwetu Kenya tupate kama wewe siku moja. hawa tulio nao ni kujifanya tu.Mungu na akuzidishie nguvu

  • @user-hx3mq5fg7v
    @user-hx3mq5fg7v Před 4 měsíci

    Tutakukumbuka daima mwamba from Chato

  • @jamaa2760
    @jamaa2760 Před 3 lety

    Umeniachia kidondo Moyoni,,,, Umeondoka Mapema mno Magufuli,,, Tutawapata wapi viongozi wapya wenye Kariba yako😭😭😭😭😭😭😭

  • @JohnKanoni-iq6mf
    @JohnKanoni-iq6mf Před rokem

    Pumzika Kwa amani shujaa wangu amina

  • @rahmashaban8693
    @rahmashaban8693 Před 7 lety +3

    Rose msafiri hiyo txt yako inaweza kukukosti umeongea vibaya sana. hiyo pombe unaowafananisha wenzako unawapelekea wewe?. au wewe ni mzuri kiasi gani. mbona hatuoni mnara ulioandikwa rose msafiri anadura ya dhahabu. chunga huo ulimi utakuponza. uliza waliojifanya kuongea kauli mbovu sehemu kama hizi. shauri yako

    • @sungapongwa8075
      @sungapongwa8075 Před 4 lety

      Rahma Shaban RAISI WANGU ANGALIA NAKO NIDA KUNAVITAMBULISHO VILIVYO ALIBIKA TUNASUMBULIWA UTOE ELFU 20000. NDIO UPATE TUANGALIE WALE WAHALII YA CHINI NAOMBA ULISIMAMIE

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles4385 Před 2 lety +1

    2022 😭😭😭😭

  • @miltonjohn9779
    @miltonjohn9779 Před 11 měsíci

    Cpl wa jw anasomea vita hasa ya section kwenye vita , ndio maana anaitwa section commander. Hao wengine wanasomea nn?

  • @StevonneGithinji
    @StevonneGithinji Před 5 lety +4

    Maghufuli knows his business. No speech. Just the Truth.

  • @jabarmalid5393
    @jabarmalid5393 Před 7 lety +6

    Mueshimiwa ukistaafu ndo mambo ya ajabu yaendelee???? Mkuu tafazali moto huu uendelee maana yake 2025 yasitokee maajabu,abra kadabra basi tena mueshimiwa Raisi. Wazee wetu nyie tunawategemea sababu ndo mtakua waamuzi wakuu.

  • @sande6410
    @sande6410 Před 6 lety

    Mie hupata hamasa pindi nikimskiza mzee magufuli hongera rais -watanzania mnabahati sana.

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 Před 4 lety

    Marufuku kuanzia leo kuuza sare za Jeshi. Ila kama ni kampuni upewe tenda na aapishwe kwani hela yetu tupewe watanzania ibaki humu humu.

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 Před 7 měsíci

    Mungu akusamehee

  • @emmyraphael6745
    @emmyraphael6745 Před 4 lety +1

    Baba njoo Arusha wanazingua bado hukuu

  • @ramdhanitamimu3226
    @ramdhanitamimu3226 Před 6 lety +1

    Asante baba👏👏👏

  • @mboyajackson4574
    @mboyajackson4574 Před 7 lety

    Commissioner General wa magereza alijihuzuru, baada ya hii surprise visit. That tells a lot.

  • @eddieeddie5189
    @eddieeddie5189 Před 6 lety +3

    Mimi si mtanzania lakini nimeona vibaya nyumba za wafanyakazi muhimu wa serekali ni mabanda huyu rais mtunzeni sana

  • @ignaspius
    @ignaspius Před 2 lety +1

    Baba yangu bas tuuu 😭😭😭😭😭

  • @yahyaomar7471
    @yahyaomar7471 Před 7 lety +1

    Good job

  • @ramadhanolunga8220
    @ramadhanolunga8220 Před 4 lety +1

    I like him so much

  • @raphaelsamwel2640
    @raphaelsamwel2640 Před 5 lety

    Siasa za kinafiki!! Jwtz form six tu abapewa nyota lain magereza watu wana degree zao hakuna kitu!!!! UNAFIKi!!!

  • @josephmathias9849
    @josephmathias9849 Před rokem

    Kufundisha mikakati ufuatiliaji kwa viongozi hasa serikalini ni maendeleo

  • @giftofhope7782
    @giftofhope7782 Před 6 lety +1

    wafungwa walipwe mshahara pia.wakitoka jela wawe na mtaji

  • @alexjonsoni6868
    @alexjonsoni6868 Před 4 lety

    Yani mm nilifanya kosa kubwa sana kura yangu kumpa Lowasa arafu nimeacha kiongozi muadilifu kama uyu ila uchaguzi ujao kura yangu sipepesi macho nampa Anko Magu warahi

  • @dct4lif
    @dct4lif Před 7 lety +10

    Hivi kila kitu lazima afanye raisi ? Wazo la kutumia wafungwa kujenga nyumba au katumia mashamba ya magereza kwa ajili ya uzalishaji mbona ni common sense ? Mbona sisi sekondari tulikuwa tunalima mboga zetu wenyewe hadi ngombe tulikuwa nao ndo sembuse Magereza

  • @ghatibiganio3551
    @ghatibiganio3551 Před 7 lety +1

    ubarikiwe baba

  • @chururuz9700
    @chururuz9700 Před 7 lety +1

    This generation hates truth
    Huyu ndiye the sent one
    Mungu amuchunge
    I love you Mr president.
    God bless you and may He continue to fill you with His wisdom, guidance and protection.
    My wish is for rest of so called african leaders to grasp and learn from his leadership.

  • @ashasaleh9609
    @ashasaleh9609 Před 7 lety +3

    upo juu baba safi

  • @sabinajohn8375
    @sabinajohn8375 Před 7 lety +3

    safi sana mweheshimiwa makufuri

  • @samwelbulikanwa9383
    @samwelbulikanwa9383 Před 6 lety

    Ur too creative President

  • @paulelisa488
    @paulelisa488 Před 7 lety +6

    Kazi nzuri

  • @hambalgullam8178
    @hambalgullam8178 Před 4 lety +1

    Good

  • @honestyfirst2165
    @honestyfirst2165 Před 6 lety +2

    mimi ni mkenya nilikuwa naona TZ kama nchi iliyonyuma sana Lakini tangu magufuli kuwa raisi naona TZ ni nchi inayoendelea vizuri after 10 years itakuwa mbele ya nchi zote africa mashariki GOD bless TZ

  • @user-ie4ml1ps2c
    @user-ie4ml1ps2c Před 11 měsíci

    Nakumix sana my dady😢😢😢

  • @nwntz
    @nwntz Před 7 lety +1

    eti nimekubali afande!!!!

  • @richardnyalinga134
    @richardnyalinga134 Před rokem

    Rest in paradise Mwamba geu!

  • @adamsmwita4940
    @adamsmwita4940 Před 7 lety

    Maghufuli ni raisi anayependa maendeleo

  • @patrickplatnumz559
    @patrickplatnumz559 Před 6 lety

    mungu akulinde

  • @chaelaabduly473
    @chaelaabduly473 Před 7 lety +5

    hukosei kiongozi wangu

  • @msomimosomy9812
    @msomimosomy9812 Před 2 lety

    Ni uwajibikaji uliotukuka kuongea ukweli mbeleya majenelali

  • @gordenmhambule8094
    @gordenmhambule8094 Před 5 lety

    Hongera Sana JPM

  • @aishandayishimiye5127
    @aishandayishimiye5127 Před 6 lety +1

    Jamani mnamchukia Anko magu Bure

  • @hasheembaadae4478
    @hasheembaadae4478 Před rokem

    Keep rest in peace 🕊️ president

  • @khamisshariff6600
    @khamisshariff6600 Před 6 lety

    vizuri snaa muheshimiwa

  • @edrickniwamanya5665
    @edrickniwamanya5665 Před 4 měsíci

    R.I.P BABA😭😭😭😭😭😭😭

  • @delphinayesdickson4075

    UK sawa Rais wangu

  • @oscarkasalile8442
    @oscarkasalile8442 Před 3 lety +1

    I dont bealieves that,.

  • @matridanyamadale318
    @matridanyamadale318 Před 6 lety

    Piga kaz Mh.Magufuli safi sana

  • @kenmusembi4565
    @kenmusembi4565 Před 6 lety +1

    Nice leadership from President John Pombe magufuli.

  • @chumamihambo8060
    @chumamihambo8060 Před 4 lety

    Big up mkuu

  • @georgegeorge9688
    @georgegeorge9688 Před rokem

    Chuma cha Africa, nimekubali akili ya uongozi ulikuwa nayo, MUNGU Akurehemu pumzika tunakupenda sana

  • @esthermadauda3012
    @esthermadauda3012 Před 3 lety

    Mbona sisi waalimu wa DSM hutusemei hutujengei???