RAIS MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSTUKIZA GEREZA LA UKONGA mp4
Vložit
- čas přidán 29. 11. 2016
- Amiri Jeshi Mkuu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 29 Novemba 2016 , amefanya ziara ya kushtukiza katika Gereza la Ukonga jijini Dar Es Salaam na kupiga marufuku uuzwaji wa sare za majeshi nchini na watu binafsi na kutaka wale wote wanaouza sare hizo wazikabidhi kwa majeshi husika mara moja.
Nani anafuatilia mpaka leo hii 2022
Mm
Mimi apa ☝️
Mimi
REST IN PEACE LEGEND YOUNG GENERATION WILL MISS U JOHN
a president talking and his audience is so engrossed and attentive, indicating a sense of belonging, interest, listening to a man, saying something important and very valuable, with passion, not just a formality delivering a pre-written speech... these are members of the civil force and I can tell that he is admonishing, educating and encouraging them by the way they are so attentive as if he is delivering words of redemption. A very hands-on president.
yani kwawewe muheshimiwa kwanza mungu akulinde pia hata ukitawala miaka 100 kwangu sio tatizo mungu akubaliki unajua utu mkuu
Kiukweli kabisa kutoka chin ya uvungu wa moyo wangu namuomba mungu akusimamie sana Mh. JPM akulinde na kukuepusha na maadui wasiopenda maendeleo ya nchi yetu waliokuwa wameigawana Tanzania kama mashamba ya urithi ya baba zao...kila siku kukicha unanipa matumain ya kuiona Tanzania mpya ambayo umekuwa ukituahidi... kwa uelewa wangu mdogo nafahamu hiyo vita unayopigana ningumu sana mh. lkn kwa uwezo wa mungu utashinda inshallah mungu akubariki sana mh. Endelea na kasi hiyo hiyo mh. mpaka kila sehemu ikae kwenye mstari
nimekubali utuba hii
Anayemchukia Rais Magufuli hafai kuwa mtanzania.
Hana lolote masifa tu ya KISU - KUMA. Ongeza wafanyakazi wa Serekali mishahara maana maisha yamepanda. Masifa tu.
@@evansmlalo4049 una akili kwer wee
@@evansmlalo4049 naona ukapimwe akili maana nsona wee unapenda vya bure panya wewe
Mashallah huyu rais. Tungekuwa na kama huyu African kungekuwa hakuna uoneve. Bg up Magufuli god bless u all the way from kenya
Nimependa sana hii, Mhe:Rais kwa hili umetenda haki na Mungu akusimamie utatue changamoto za Jeshi la Magereza.
Dominique Bubeship
Xaf xana mkuu wetu umeyaona mengi kuhuc jeshi LA magereza MUNGU akuximamaie sana uzid kupigania nchi yetuu Be blessed #Magufuli
JPM ni AmiriJeshi wa ukweli Hakika. mungu Mbariki Rais JPM, Amin.
najua wapo watakao chukia .lakini mnyonge mnyongeni hakiyake mpeni.asante rais Magufuri .Mungu akulinde .
asha ngohi hapo hamna wa kuchukia labda ww una chuki na wenzako
Raisi mangufuli intelligent man surely ulichaguliwa na mungu
Baba tunakupenda sana. Piga kazi bila woga. Watanzania wenye shida wanakuhitaji kuendelea kuwa jasiri asiye mwoga. Tunakupongeza baba
A bit understandable, I do know what you think of for Tz's visions.
Iwe Kenya hivi raha sanaa big up tz magufuli
I feel this president. How i wish to be a Tanzanian
Please please be Kenyan president even if it part time better than the greedy one we have.
never giveup man
these greed Will suffer I tell you just keep on praying
Kenya kwenye uongozi,tume chemsha mno na Mungu atukomboe!
Tanzania please can we borrow your president for just one month pleeeeeease we need such leaders in kenya
kiigunyu wa mami hahahaaaaaaa we don't want
Ninamupongeza mweshimiwa raisin kwakazi anazozifanya kweli yéyé anapenda wanainchi wake ingelikuwa vizuri anafanya semina kwawengine waraisi anawaonesha ginsi yakutendeya haki wanainchi wawo kwa ukweli gisi anaenda mko kwa mko tena anakamata wakati wakusikiliza wanainchi wake wawili awo watatu vraiment tunamupongeza . mungu amubariki
wewe ni mwamba Wa Tanzania mungu akulinde
Rest In Paradise , jemedari wetu #RIPMagufuli
😭😭😭😭😭
Wangekua wanaludisha watu magu ningemurudisha
I this president, I wish angekuwa wa Kenya, tungekuwa far
mashaALLAH Tanzania ALLAH amewabariki kwa kuwapa sir MAGUFULI
wewe ni rais unaetakiwa kuwa kwenye hii nchi hadi mungu atakapo kuchukua mungu mjalie huyu rahis wetu
Huyu baba,wawatu nacho ona bapa Tz haimtoshi ana mkono wa uongonzi kweli I wish angeongoza Africa nzima Tz imebarikiwa with H.E Jobn Pombe Magufuri kumbe wakati mwingine Jina ndoo mtu Magufuri ni gufuri rakufunga na kukomesha corruption
nampenda sana rais magufuli mungu ambariki sana sana hakuna tena km yy strong man mungu ibariki tanzania mmariki rais mgufuli
Nihatari huy Jamaaan abarikuw
Tatizo Kila kitu kinafanyika Dar. Sehemu zingine hamna. Sijui Tanzania ni Dar.
tatizo la mtanzania akipata pesa anawaza stareh hawazi kujiendeleza
safi sana mweshimiwa magufuli
We uyu raisi mbona anaakili sana kaah. SALUTE FATHER
Mungu ni mwema kukupata wewe Mh Rais wetu mpendwa ikibidi kaa adi 2035 bhna!!
mungu yupo nawe.piga kazi tunakusapot kwa hali na mali hakuna atayekuyumbisha.
nakupnda xana jpm acha waixome namba
Kaa chini na raisi wangu Shein kwa ajili ya mikakati ya Zanzubar...nakukubali mwendo wa kasi
Raisi jhon pombe umetembelea sehemunyingisana ilakwetukatavi umetusahau mweshimiwa tunakuomba ututembeeleenasisi munguakulinde wewendiyo mteteziwetu
Nashukuru kwa mawazo mazuri ya busala.
Wazo langu nikwamba; ukamataji wa watu Bure Bure Kama mtu ana passport yake lakini anazungusha vibaya eti atoe hela ili aachiliwe inauma sana limufikie rais Magufuri Asante sana kwa Hayo.
Fanya kazi jpm
Tanzania mshukuru mungu aliyewachagulia prezo ka huyu
Mungu akusimamie wewe ndio mtetezi wa taifa
Magufuli hongera sana nakupenda sana uko creative sana .... big up
hongera rais.hata hivyo kuhusu changamoto hiyo nimekukubali kwani wafungwa kila mtu anaweza kuwa nå kipaji kwa hiyo cha muhimu kila mwenyewe kipaji chake basi aajibike kuitumikia nchi.Kina washonaji nguo Kina wanaojua kuchonga mafenicha hiyo ni changamoto wataweza kufungua bidhaa mbalimbali.sio mpaka rais awazindue masikio.tuzindukeni naendelea ya nchi huletwa nå mwananchi mwenyewe
safi sana baba uendeleeee miaka mingi mpaka 2050
Najivunia kura yangu hapa kazi tu
Samson Charles poa
Tuna RAIS mcha Mungu, anajali wananchi,mkweli,
muheshimiwa magufuli mpk nahis kutoa choz kwa fraha ya msimamo wako katak uongoz wanchi nipo nchi ya dubai lakin nipo makin sana kufatilia mungu akusimamie raisi wangu naipenda nchi yangu na sito achakuipenda mungu akutie nguvu mheshimiwa magufuli
hakika namuomba mungu akusimamie
Makufuli oyeeeee nakupenda hasa njoo zanzibar uwe raisi tunakupenda sana makufuli oyeeeee
Hakika Wewe ni Rais bora , Mola akupe Nuru utuongoze Milele ikiwezekana.
Very good president we never se I'm from Burundi but I love Tanzania and former President
muheshimiwa Mungu akupe umrimrefu kuwaokowa watanzania Na wa African wote
Kwa kweli mazuri unayowatendea wananchi wa Tanzania ni mazuri, natamani kwetu Kenya tupate kama wewe siku moja. hawa tulio nao ni kujifanya tu.Mungu na akuzidishie nguvu
miaka yote tungepata rais kama huyu tanzania ingekuwa mfano
philip ohulo MARION ATOLI NGONG
philip japheth ohulo l on
Raisi wa Tanzanie mungu ukurinde iri uiendereze Tanzanie mana wewe nimutumishi kabisa hapa kazitu
Said a kalol
Tutakukumbuka daima mwamba from Chato
Umeniachia kidondo Moyoni,,,, Umeondoka Mapema mno Magufuli,,, Tutawapata wapi viongozi wapya wenye Kariba yako😭😭😭😭😭😭😭
Pumzika Kwa amani shujaa wangu amina
Rose msafiri hiyo txt yako inaweza kukukosti umeongea vibaya sana. hiyo pombe unaowafananisha wenzako unawapelekea wewe?. au wewe ni mzuri kiasi gani. mbona hatuoni mnara ulioandikwa rose msafiri anadura ya dhahabu. chunga huo ulimi utakuponza. uliza waliojifanya kuongea kauli mbovu sehemu kama hizi. shauri yako
Rahma Shaban RAISI WANGU ANGALIA NAKO NIDA KUNAVITAMBULISHO VILIVYO ALIBIKA TUNASUMBULIWA UTOE ELFU 20000. NDIO UPATE TUANGALIE WALE WAHALII YA CHINI NAOMBA ULISIMAMIE
2022 😭😭😭😭
Cpl wa jw anasomea vita hasa ya section kwenye vita , ndio maana anaitwa section commander. Hao wengine wanasomea nn?
Maghufuli knows his business. No speech. Just the Truth.
Mueshimiwa ukistaafu ndo mambo ya ajabu yaendelee???? Mkuu tafazali moto huu uendelee maana yake 2025 yasitokee maajabu,abra kadabra basi tena mueshimiwa Raisi. Wazee wetu nyie tunawategemea sababu ndo mtakua waamuzi wakuu.
jabar malid apana
Mie hupata hamasa pindi nikimskiza mzee magufuli hongera rais -watanzania mnabahati sana.
Marufuku kuanzia leo kuuza sare za Jeshi. Ila kama ni kampuni upewe tenda na aapishwe kwani hela yetu tupewe watanzania ibaki humu humu.
Mungu akusamehee
Baba njoo Arusha wanazingua bado hukuu
Asante baba👏👏👏
Commissioner General wa magereza alijihuzuru, baada ya hii surprise visit. That tells a lot.
Mimi si mtanzania lakini nimeona vibaya nyumba za wafanyakazi muhimu wa serekali ni mabanda huyu rais mtunzeni sana
Kwa kweli tuna Rais Mpambanaji na mzalendo
Baba yangu bas tuuu 😭😭😭😭😭
Good job
I like him so much
Siasa za kinafiki!! Jwtz form six tu abapewa nyota lain magereza watu wana degree zao hakuna kitu!!!! UNAFIKi!!!
Kufundisha mikakati ufuatiliaji kwa viongozi hasa serikalini ni maendeleo
wafungwa walipwe mshahara pia.wakitoka jela wawe na mtaji
Yani mm nilifanya kosa kubwa sana kura yangu kumpa Lowasa arafu nimeacha kiongozi muadilifu kama uyu ila uchaguzi ujao kura yangu sipepesi macho nampa Anko Magu warahi
Hivi kila kitu lazima afanye raisi ? Wazo la kutumia wafungwa kujenga nyumba au katumia mashamba ya magereza kwa ajili ya uzalishaji mbona ni common sense ? Mbona sisi sekondari tulikuwa tunalima mboga zetu wenyewe hadi ngombe tulikuwa nao ndo sembuse Magereza
Adnan Kashogi
WhatsApp
Facebook
Umenenena
ubarikiwe baba
This generation hates truth
Huyu ndiye the sent one
Mungu amuchunge
I love you Mr president.
God bless you and may He continue to fill you with His wisdom, guidance and protection.
My wish is for rest of so called african leaders to grasp and learn from his leadership.
upo juu baba safi
safi sana mweheshimiwa makufuri
Daaa uyu mweshimiwa namkubali aisee
Ur too creative President
Kazi nzuri
Nasisi zanzibari tunaimba
Tupate raisi kamahuyu magufuli nipo zanzibari
Kweli tutapata raisi Zanzibar kamahuyu tusubiri mwakani
Good
mimi ni mkenya nilikuwa naona TZ kama nchi iliyonyuma sana Lakini tangu magufuli kuwa raisi naona TZ ni nchi inayoendelea vizuri after 10 years itakuwa mbele ya nchi zote africa mashariki GOD bless TZ
Aamiin 🙏
Nakumix sana my dady😢😢😢
eti nimekubali afande!!!!
Rest in paradise Mwamba geu!
Maghufuli ni raisi anayependa maendeleo
mungu akulinde
hukosei kiongozi wangu
Chaela Abduly namkubali sana
Ni uwajibikaji uliotukuka kuongea ukweli mbeleya majenelali
Hongera Sana JPM
Jamani mnamchukia Anko magu Bure
Keep rest in peace 🕊️ president
vizuri snaa muheshimiwa
R.I.P BABA😭😭😭😭😭😭😭
UK sawa Rais wangu
I dont bealieves that,.
Piga kaz Mh.Magufuli safi sana
Nice leadership from President John Pombe magufuli.
Big up mkuu
Chuma cha Africa, nimekubali akili ya uongozi ulikuwa nayo, MUNGU Akurehemu pumzika tunakupenda sana
Mbona sisi waalimu wa DSM hutusemei hutujengei???