TUKIO ZIMA: KUVISHWA CHEO NA KUAPISHWA MNADHIMU MKUU WA JWTZ, IKULU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 02. 2018
  • Hafla hii imefanyika Ikulu jijini Dar es Salaam, ambapo Rais Magufuli amemwapisha Luteni Jenerali Yakubu Hassan Mohammed kuwa Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi Tanzania.
    Pia Mkuu wa Majeshi, Jenerali Venance Mabeyo awavisha vyeo vipya maafisa wengine waandamizi kumi waliopandishwa vyeo jana.
  • Sport

Komentáře • 113

  • @brunomubawa2276
    @brunomubawa2276 Před 4 lety +19

    Jina langu Bruno Mubawa napatikana mashariki mwa DRC mji wa goma ambapo siku zimepita tulikuwa na huyo Général James Mwakibolwa alifanya kazi sahihi kabisa alikuwa akisimamiya kikosi maalum cha force intervention ya un na majeshi ya Tzd sisi wa kongo tunakuwa na kumbukumbu kwake kabisa

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 Před 11 měsíci +1

      Acha kunifanyia mkongo wewe, ww umekaa huko unalinda amani ndo mara hii tu ujifanye mkongo

  • @fadhilikiwera6501
    @fadhilikiwera6501 Před 6 lety +11

    Well said Lt. Gen. Samuel Ndomba.
    Leadership is not to be saved but to save.
    Congr. New TPDF Chief of Staff Lt. Gen. Mohammed

    • @Ambagaye
      @Ambagaye Před 6 lety +2

      Hongera sana General Yakubu; Tabora school tulikuwa tukimtania General Yakubu Gowon, na kweli amekuwa General Yakubu. Kumbe hajabadilika sura yake; bado ni ile ile ya TS.

  • @jeanrobertdodo1244
    @jeanrobertdodo1244 Před 6 lety +7

    Mungu aibariki sana Tanzania na Wa Tanzania wote.

  • @unismbalia5913
    @unismbalia5913 Před 2 lety +4

    Magu tutaishia kukukumbuka sana na kuangalia picha zako R.I.P

  • @danielmachibya7472
    @danielmachibya7472 Před 6 lety +6

    Good advice from Ndomba.
    i like it

  • @anawa4326
    @anawa4326 Před 3 lety +3

    Big respect ✊🏽🇹🇿💪🏼

  • @mohamedkitiku5231
    @mohamedkitiku5231 Před 6 lety +2

    Jenerali V.Mabeo namkubali sana,poa sana kiongozi wangu.

  • @salumhalfani9101
    @salumhalfani9101 Před 5 lety +3

    Mungu hiongoze sana nchi yetu.

  • @benjaminulanga6749
    @benjaminulanga6749 Před 2 lety +5

    R.I.P John we miss you and we remember you everytime😭😭😭😭😭

  • @sadikmwita8538
    @sadikmwita8538 Před 2 lety +6

    I love magufuli may God rest his soul at peace

  • @allybomba4125
    @allybomba4125 Před 6 lety +3

    hongereni sana mungu. awaongoze katika mikakati yakazi

  • @sebastianngimba4850
    @sebastianngimba4850 Před 6 lety +5

    waislam waliowengi ni wazuri kiutawala,hivyo upole ni imani walio nayo kwa mungu najua itakua poa zaidi

  • @stephenjonas4866
    @stephenjonas4866 Před rokem +1

    kipindi ndomba anarudi kukaa ,, magufuli alimpiga jicho fulani.. kuona huyu mwamba ana kichwa smart sana..

  • @ambassadorkateme5903
    @ambassadorkateme5903 Před 5 lety

    Hongera sana wakubwa

  • @lameckeliakimu8677
    @lameckeliakimu8677 Před 5 lety +1

    Inapendeza sana.

  • @Ambagaye
    @Ambagaye Před 6 lety +3

    Mwakalindile ni kati ya wale waliokuwa watemi wa jeshi hili enzi zile

  • @aymankhadija619
    @aymankhadija619 Před 3 lety

    Safi Sanaa,hao wanadhimu wastaaafu wamefunda vilivyo.kazi Kwake mnadhimu mpya.ALLAH amuongoze

  • @jovithmapela4067
    @jovithmapela4067 Před 6 lety +1

    Jabili

  • @barakashadrack7695
    @barakashadrack7695 Před 2 lety +1

    Huyu ndo alikuwa Rais bana, hakika maumivu hayataisha

  • @bububuzanzibar9497
    @bububuzanzibar9497 Před 4 lety

    Yaani ww kaka Mwini nakukubali saana

  • @enockkimase6764
    @enockkimase6764 Před 2 lety

    Hongera jeshi retu

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 Před 2 lety

    Enzi za mzee nidhamu ilikuwepo r.i.p.kamanda magu,hakika fikra zako zitaishi

  • @edrickniwamanya5665
    @edrickniwamanya5665 Před 3 měsíci

    R.I.P dady😢😢😢😢

  • @hazjay4671
    @hazjay4671 Před 6 lety

    Gen.Mabeo Na #Pacha Wake Wakiwavisha Cheo

  • @josepheliakim8486
    @josepheliakim8486 Před 3 lety +1

    Nitafika hapo ln

  • @anthonykhisa892
    @anthonykhisa892 Před 5 lety

    mweshimiwa rais wa jamuhuri ya wa tazania amenyehsa wazi kua shuja sio yule ane kufa vitani bali pia anae rudisha ushindi nyumbani pia ni shuja vile vile .......hongera makufuli

  • @amdaniamli7881
    @amdaniamli7881 Před 5 lety

    Nisawa mwalimu wangu

  • @macborgevarest3435
    @macborgevarest3435 Před 6 lety +2

    I wish one of the well disciplined soldiers could be the president of our nation rather than other wise.

  • @mbwanarajab4756
    @mbwanarajab4756 Před 2 lety

    Alikuwa akipandisha wasukuma vyeo..

  • @MudiBakali
    @MudiBakali Před 6 dny

    Mugu ibaliki 1:09

  • @alloycejames5285
    @alloycejames5285 Před 3 měsíci

    Hakuna mwanamke😢😢

  • @joseflyfrancis1903
    @joseflyfrancis1903 Před 4 lety +1

    Hogela sana

  • @jaydon3361
    @jaydon3361 Před 6 lety +3

    Ukitaka kujinyoga bila kuguswa ingia humo halafu we utamke kwa herufi kubwa STOP..........

  • @hamzaliganga7437
    @hamzaliganga7437 Před 4 lety

    Ongereni nyote mliopandishwa vyeo

  • @jovithmapela4067
    @jovithmapela4067 Před 6 lety +1

    habali

  • @tubonemwakisonga6649
    @tubonemwakisonga6649 Před 6 lety +3

    Mzee wa songea ushaur wako ameupokea na tumeupokea

  • @eventelias3566
    @eventelias3566 Před 6 lety +1

    mzee wa tanga yuko na good advice.

  • @dicksonisakwe3063
    @dicksonisakwe3063 Před 6 lety

    Samahan! Kuuliza c ujinga,...nini maana ya mnadhim na kaz zake katka jesh? Ahsante!

    • @raphaellukindo3581
      @raphaellukindo3581 Před 5 lety

      mtendaji mkuu wa Jeshi

    • @charlevande8821
      @charlevande8821 Před 5 lety

      Msemaji mkuu wa jeshii

    • @RioIpo
      @RioIpo Před 4 lety

      Anaitwa Chief of Staff ndio kila kitu kwenye jeshi mana anakuwa ndio mtendaji mkuu

  • @jumaafadhili9066
    @jumaafadhili9066 Před 2 lety

    Harmonize alivyo gombana na diamond plut num

  • @hajimakame1062
    @hajimakame1062 Před 4 lety

    Hamna mtu wa Zanzibar mbona ktk walopandishwa veoo

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971 Před 6 lety

    kah..!

  • @macborgevarest3435
    @macborgevarest3435 Před 6 lety +1

    Mbona kama anakaribia kustafu?

  • @frednahson1759
    @frednahson1759 Před 5 měsíci

    Rip MN mwakalindile

  • @barikimollel7890
    @barikimollel7890 Před 2 lety

    Ninyi watu wakubwa mnaona tukinyanyaswa baada JPM kuondoka na mnatulia

  • @cezarmelimeli5376
    @cezarmelimeli5376 Před 2 lety

    Kwaa makamanda Kama Hawa na kwa jeshi imara Kama hilo imara kuliko lote afrika waziri wake ni mwa

    • @cezarmelimeli5376
      @cezarmelimeli5376 Před 2 lety

      Waziri ni mwanamke duuuu!hata mungu alikataa mwanamke kuwa kiongozi wa mwanaume!sembuse kwenye ulinzi wa nchi???.????
      Thanks

  • @valeliusdiockiles4506
    @valeliusdiockiles4506 Před 6 lety +1

    Haha wasukuma naona wana ishika nchi haaaa

    • @omarykikambaa3102
      @omarykikambaa3102 Před 6 lety +1

      VALELIUS DIOCKILES acha ukabila diockiles acha uchongezi utakugalimu

  • @amdaniamli7881
    @amdaniamli7881 Před 5 lety

    A mkubwa wangu na mwalimu wangu jnr yakubu mungu akuongoze

  • @mcjabbyevents4938
    @mcjabbyevents4938 Před 6 lety

    Tupo pamoja nawe baba

  • @aishafransic8749
    @aishafransic8749 Před 4 lety

    Sijaona barakoa au corona imekwisha

  • @linastinson-ali4733
    @linastinson-ali4733 Před 5 lety +1

    Mbona wote wanaume jamani??

    • @katujuwilson835
      @katujuwilson835 Před 4 lety +1

      Lina Stinson-Ali wanawake wapo ila zamu kwa zamu

  • @allyduwa9914
    @allyduwa9914 Před 4 lety

    Kondoa laini

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 Před 6 lety

    Sherehe

  • @famally7138
    @famally7138 Před 6 lety +1

    mbna wenye suti hawapig salute

  • @deusmauka9626
    @deusmauka9626 Před 5 lety

    Vijana wote wasomi wenye elimu ya chuo kikuu mlio wazalendo kwa Taifa lenu ingieni Jeshini mkalitumikie Taifa. Kazi ya watu makini wenye Uzalendo usio na mashaka.

    • @masanjakiliano2855
      @masanjakiliano2855 Před 4 lety +1

      Hahahaha udhan wanaingia tu kama ukumbini eeeeh mtumishi wa bwana hii kazi ni wateule sifa

    • @petermatonya6890
      @petermatonya6890 Před 4 lety +1

      Ushaambiwa kwenda JKT sio ajira

    • @lukandotv8101
      @lukandotv8101 Před 4 lety +1

      Wezi wote tz wanahistoria na majeshi kuwa walihudum kabsa au jkt

  • @rmussa7196
    @rmussa7196 Před 5 lety +2

    Mungu ibariki Tanzania yetu

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard5950 Před 2 lety

    Wewe unaropoka tu majina ya kisukuma huyajui usitake kuleta chuki zako hapa. Wote waliotunukiwa vyeo wanastahili.

  • @kmotivation1130
    @kmotivation1130 Před 3 lety

    Ushazeeka ndo vyeo ,

  • @salumubakari1855
    @salumubakari1855 Před 4 lety +1

    Ndoto, naana

  • @nalimwansumbule9235
    @nalimwansumbule9235 Před 2 lety

    Nakushukuru baba magufuli kwa Mambo yako makubwa na yenye heshima kubwa

  • @omarjinialy3356
    @omarjinialy3356 Před 4 lety +3

    Ni muslam ila amekula kiapo cha utii wa kulitumikia taifa na sio Dini ya Uislam hivo cheaf msaaf ondoa shaka na pale tunapo pahitaj tutafika ili tueweze kuingia katika 10 bora military ulimwengun 🖐🖐

  • @stanslauselias4576
    @stanslauselias4576 Před 6 lety

    duuuuu

  • @emmanuelmagesa1590
    @emmanuelmagesa1590 Před 6 lety +1

    Jamani mbona naskia majina ya kisukuma tuuuuuuuuu,,uuuwi

  • @evodiamathias2542
    @evodiamathias2542 Před 2 lety

    Hamisa mobeto

  • @abdalahfarida2074
    @abdalahfarida2074 Před 4 lety

    CCM na Magufuli punguzeni Kodi za Wafanya biashara kwani Uchumi Duniani umeanguka kutokana na ugonjwa wa Korona. Kwani CCM hamuwezi kuona mpaka mtukanwe. Ruhusuni Demokrasia nchini kuleta amani. Viongozi wote waliopita walikuwa hawapigi watu. Magufuli unapiga na kuua watu. Hata wewe uko njiani kuuwawa maana watu wamechoka wanataka kulipiza kisasi.

  • @stephenjonas4866
    @stephenjonas4866 Před rokem

    Afande ndomba.... mtu na nusu.

  • @ksmally1985
    @ksmally1985 Před 6 lety

    Kusa mwanawito

  • @ephraimkarugaba4137
    @ephraimkarugaba4137 Před 2 lety

    Magufuri sita kusahau milele kwanimpaka sasa bado sija amini kama kweli umekufa, lakini nina imani kimwili aupo Bali kiroho upo unaona watanzania jinsi tunavyo kukumbuka na sijui tuta kusahu lini najua wewe ulitumwa na Mungu kuja kutuonyesha jinsi nchiyetu inavyo paswa kuwa nakweli ulionyesha na mwisho ukaondoka na jua kila kinacho endelea unaona pamoja na Mungu Baba yetu aliye kutuma, basi ata Yesu kristo wa Nazareth aliye hai alitumwa na Mungu akafanya yakwake baada ya muda mfupi aka rudi kupeleka report yake kwa Bsba yake na sasa Magufuri nahamini kwamba report yake iko kwa Mungu. Tukumbuke watu walio teuliwa na Mungu ukaa mda mfupi nakuondoka Mungu nakuomba upokee Roho ya Baba yetu John pombe Magufuli iweke mahali pema peponi Amina.

  • @salumubakari1855
    @salumubakari1855 Před 4 lety

    Ndoto

  • @sebastianngimba4850
    @sebastianngimba4850 Před 6 lety +1

    waislam wako safi kiuongozi piga kazi

  • @aminarashid3916
    @aminarashid3916 Před 2 lety

    UTENZI MPYA RAFIKI TANZANIA czcams.com/video/pYJTjaEfQSo/video.html

  • @bishopjohnfrancis89
    @bishopjohnfrancis89 Před 6 lety

    Magufuli tutafika tu

  • @joshuaciza3043
    @joshuaciza3043 Před 2 lety

    Prono

  • @jovithmapela4067
    @jovithmapela4067 Před 6 lety

    Jabili

  • @josepheliakim8486
    @josepheliakim8486 Před 3 lety

    Nitafika hapo ln

  • @abdalahfarida2074
    @abdalahfarida2074 Před 4 lety

    CCM na Magufuli punguzeni Kodi za Wafanya biashara kwani Uchumi Duniani umeanguka kutokana na ugonjwa wa Korona. Kwani CCM hamuwezi kuona mpaka mtukanwe. Ruhusuni Demokrasia nchini kuleta amani. Viongozi wote waliopita walikuwa hawapigi watu. Magufuli unapiga na kuua watu. Hata wewe uko njiani kuuwawa maana watu wamechoka wanataka kulipiza kisasi.

  • @jovithmapela4067
    @jovithmapela4067 Před 6 lety

    Jabili

  • @abdalahfarida2074
    @abdalahfarida2074 Před 4 lety

    CCM na Magufuli punguzeni Kodi za Wafanya biashara kwani Uchumi Duniani umeanguka kutokana na ugonjwa wa Korona. Kwani CCM hamuwezi kuona mpaka mtukanwe. Ruhusuni Demokrasia nchini kuleta amani. Viongozi wote waliopita walikuwa hawapigi watu. Magufuli unapiga na kuua watu. Hata wewe uko njiani kuuwawa maana watu wamechoka wanataka kulipiza kisasi.

  • @abdalahfarida2074
    @abdalahfarida2074 Před 4 lety

    CCM na Magufuli punguzeni Kodi za Wafanya biashara kwani Uchumi Duniani umeanguka kutokana na ugonjwa wa Korona. Kwani CCM hamuwezi kuona mpaka mtukanwe. Ruhusuni Demokrasia nchini kuleta amani. Viongozi wote waliopita walikuwa hawapigi watu. Magufuli unapiga na kuua watu. Hata wewe uko njiani kuuwawa maana watu wamechoka wanataka kulipiza kisasi.

  • @abdalahfarida2074
    @abdalahfarida2074 Před 4 lety +1

    CCM na Magufuli punguzeni Kodi za Wafanya biashara kwani Uchumi Duniani umeanguka kutokana na ugonjwa wa Korona. Kwani CCM hamuwezi kuona mpaka mtukanwe. Ruhusuni Demokrasia nchini kuleta amani. Viongozi wote waliopita walikuwa hawapigi watu. Magufuli unapiga na kuua watu. Hata wewe uko njiani kuuwawa maana watu wamechoka wanataka kulipiza kisasi.