TUKIO ZIMA: KUVISHWA CHEO NA KUAPISHWA MNADHIMU MKUU WA JWTZ, IKULU
Vložit
- čas přidán 14. 02. 2018
- Hafla hii imefanyika Ikulu jijini Dar es Salaam, ambapo Rais Magufuli amemwapisha Luteni Jenerali Yakubu Hassan Mohammed kuwa Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi Tanzania.
Pia Mkuu wa Majeshi, Jenerali Venance Mabeyo awavisha vyeo vipya maafisa wengine waandamizi kumi waliopandishwa vyeo jana. - Sport
Jina langu Bruno Mubawa napatikana mashariki mwa DRC mji wa goma ambapo siku zimepita tulikuwa na huyo Général James Mwakibolwa alifanya kazi sahihi kabisa alikuwa akisimamiya kikosi maalum cha force intervention ya un na majeshi ya Tzd sisi wa kongo tunakuwa na kumbukumbu kwake kabisa
Acha kunifanyia mkongo wewe, ww umekaa huko unalinda amani ndo mara hii tu ujifanye mkongo
Well said Lt. Gen. Samuel Ndomba.
Leadership is not to be saved but to save.
Congr. New TPDF Chief of Staff Lt. Gen. Mohammed
Hongera sana General Yakubu; Tabora school tulikuwa tukimtania General Yakubu Gowon, na kweli amekuwa General Yakubu. Kumbe hajabadilika sura yake; bado ni ile ile ya TS.
Mungu aibariki sana Tanzania na Wa Tanzania wote.
Aamin
Magu tutaishia kukukumbuka sana na kuangalia picha zako R.I.P
Good advice from Ndomba.
i like it
Hamna kitu!!
Big respect ✊🏽🇹🇿💪🏼
Jenerali V.Mabeo namkubali sana,poa sana kiongozi wangu.
Mungu hiongoze sana nchi yetu.
R.I.P John we miss you and we remember you everytime😭😭😭😭😭
I love magufuli may God rest his soul at peace
iliandaliwa vizuri sanaa
hongereni sana mungu. awaongoze katika mikakati yakazi
waislam waliowengi ni wazuri kiutawala,hivyo upole ni imani walio nayo kwa mungu najua itakua poa zaidi
kipindi ndomba anarudi kukaa ,, magufuli alimpiga jicho fulani.. kuona huyu mwamba ana kichwa smart sana..
Hongera sana wakubwa
Inapendeza sana.
Mwakalindile ni kati ya wale waliokuwa watemi wa jeshi hili enzi zile
Safi Sanaa,hao wanadhimu wastaaafu wamefunda vilivyo.kazi Kwake mnadhimu mpya.ALLAH amuongoze
Jabili
Huyu ndo alikuwa Rais bana, hakika maumivu hayataisha
Yaani ww kaka Mwini nakukubali saana
Hongera jeshi retu
Enzi za mzee nidhamu ilikuwepo r.i.p.kamanda magu,hakika fikra zako zitaishi
R.I.P dady😢😢😢😢
Gen.Mabeo Na #Pacha Wake Wakiwavisha Cheo
Nitafika hapo ln
mweshimiwa rais wa jamuhuri ya wa tazania amenyehsa wazi kua shuja sio yule ane kufa vitani bali pia anae rudisha ushindi nyumbani pia ni shuja vile vile .......hongera makufuli
Nisawa mwalimu wangu
I wish one of the well disciplined soldiers could be the president of our nation rather than other wise.
Alikuwa akipandisha wasukuma vyeo..
Mugu ibaliki 1:09
Hakuna mwanamke😢😢
Hogela sana
Ukitaka kujinyoga bila kuguswa ingia humo halafu we utamke kwa herufi kubwa STOP..........
Duh kaka umetisha
Hahahaha utajuta kwann umezaliwa
Duuu waislam wawili tu kundi lote ilo
I wish could be there! I would have said STOP!
Hamimu Swalehe ulitegemea wawe wangapi?
Ongereni nyote mliopandishwa vyeo
habali
Mzee wa songea ushaur wako ameupokea na tumeupokea
mzee wa tanga yuko na good advice.
Samahan! Kuuliza c ujinga,...nini maana ya mnadhim na kaz zake katka jesh? Ahsante!
mtendaji mkuu wa Jeshi
Msemaji mkuu wa jeshii
Anaitwa Chief of Staff ndio kila kitu kwenye jeshi mana anakuwa ndio mtendaji mkuu
Harmonize alivyo gombana na diamond plut num
Hamna mtu wa Zanzibar mbona ktk walopandishwa veoo
kah..!
Mbona kama anakaribia kustafu?
Rip MN mwakalindile
Ninyi watu wakubwa mnaona tukinyanyaswa baada JPM kuondoka na mnatulia
Kwaa makamanda Kama Hawa na kwa jeshi imara Kama hilo imara kuliko lote afrika waziri wake ni mwa
Waziri ni mwanamke duuuu!hata mungu alikataa mwanamke kuwa kiongozi wa mwanaume!sembuse kwenye ulinzi wa nchi???.????
Thanks
Haha wasukuma naona wana ishika nchi haaaa
VALELIUS DIOCKILES acha ukabila diockiles acha uchongezi utakugalimu
A mkubwa wangu na mwalimu wangu jnr yakubu mungu akuongoze
Tupo pamoja nawe baba
Sijaona barakoa au corona imekwisha
Mbona wote wanaume jamani??
Lina Stinson-Ali wanawake wapo ila zamu kwa zamu
Kondoa laini
Sherehe
Mungu ibariki Tanzania na Mubariki Rais wetu
Mxonjo huyo ndo ayevaa
Kassim Rajabu hongeren
mbna wenye suti hawapig salute
Fam Ally hauruhusiw kupga salute kama hujavaa kiaskari
Suti ni kiraia,salute mpaka uvae full uniform.
1
Vijana wote wasomi wenye elimu ya chuo kikuu mlio wazalendo kwa Taifa lenu ingieni Jeshini mkalitumikie Taifa. Kazi ya watu makini wenye Uzalendo usio na mashaka.
Hahahaha udhan wanaingia tu kama ukumbini eeeeh mtumishi wa bwana hii kazi ni wateule sifa
Ushaambiwa kwenda JKT sio ajira
Wezi wote tz wanahistoria na majeshi kuwa walihudum kabsa au jkt
Mungu ibariki Tanzania yetu
Wewe unaropoka tu majina ya kisukuma huyajui usitake kuleta chuki zako hapa. Wote waliotunukiwa vyeo wanastahili.
Ushazeeka ndo vyeo ,
Poleee
Ndoto, naana
Nakushukuru baba magufuli kwa Mambo yako makubwa na yenye heshima kubwa
Ni muslam ila amekula kiapo cha utii wa kulitumikia taifa na sio Dini ya Uislam hivo cheaf msaaf ondoa shaka na pale tunapo pahitaj tutafika ili tueweze kuingia katika 10 bora military ulimwengun 🖐🖐
duuuuu
iko poa
Jamani mbona naskia majina ya kisukuma tuuuuuuuuu,,uuuwi
Emmanuel Magesa NDIO WENYE ELIMU
Hamisa mobeto
CCM na Magufuli punguzeni Kodi za Wafanya biashara kwani Uchumi Duniani umeanguka kutokana na ugonjwa wa Korona. Kwani CCM hamuwezi kuona mpaka mtukanwe. Ruhusuni Demokrasia nchini kuleta amani. Viongozi wote waliopita walikuwa hawapigi watu. Magufuli unapiga na kuua watu. Hata wewe uko njiani kuuwawa maana watu wamechoka wanataka kulipiza kisasi.
Afande ndomba.... mtu na nusu.
Kusa mwanawito
Magufuri sita kusahau milele kwanimpaka sasa bado sija amini kama kweli umekufa, lakini nina imani kimwili aupo Bali kiroho upo unaona watanzania jinsi tunavyo kukumbuka na sijui tuta kusahu lini najua wewe ulitumwa na Mungu kuja kutuonyesha jinsi nchiyetu inavyo paswa kuwa nakweli ulionyesha na mwisho ukaondoka na jua kila kinacho endelea unaona pamoja na Mungu Baba yetu aliye kutuma, basi ata Yesu kristo wa Nazareth aliye hai alitumwa na Mungu akafanya yakwake baada ya muda mfupi aka rudi kupeleka report yake kwa Bsba yake na sasa Magufuri nahamini kwamba report yake iko kwa Mungu. Tukumbuke watu walio teuliwa na Mungu ukaa mda mfupi nakuondoka Mungu nakuomba upokee Roho ya Baba yetu John pombe Magufuli iweke mahali pema peponi Amina.
Aminaa
Ndoto
waislam wako safi kiuongozi piga kazi
UTENZI MPYA RAFIKI TANZANIA czcams.com/video/pYJTjaEfQSo/video.html
Magufuli tutafika tu
Prono
Jabili
Nitafika hapo ln
CCM na Magufuli punguzeni Kodi za Wafanya biashara kwani Uchumi Duniani umeanguka kutokana na ugonjwa wa Korona. Kwani CCM hamuwezi kuona mpaka mtukanwe. Ruhusuni Demokrasia nchini kuleta amani. Viongozi wote waliopita walikuwa hawapigi watu. Magufuli unapiga na kuua watu. Hata wewe uko njiani kuuwawa maana watu wamechoka wanataka kulipiza kisasi.
Jabili
Mambo vp
CCM na Magufuli punguzeni Kodi za Wafanya biashara kwani Uchumi Duniani umeanguka kutokana na ugonjwa wa Korona. Kwani CCM hamuwezi kuona mpaka mtukanwe. Ruhusuni Demokrasia nchini kuleta amani. Viongozi wote waliopita walikuwa hawapigi watu. Magufuli unapiga na kuua watu. Hata wewe uko njiani kuuwawa maana watu wamechoka wanataka kulipiza kisasi.
CCM na Magufuli punguzeni Kodi za Wafanya biashara kwani Uchumi Duniani umeanguka kutokana na ugonjwa wa Korona. Kwani CCM hamuwezi kuona mpaka mtukanwe. Ruhusuni Demokrasia nchini kuleta amani. Viongozi wote waliopita walikuwa hawapigi watu. Magufuli unapiga na kuua watu. Hata wewe uko njiani kuuwawa maana watu wamechoka wanataka kulipiza kisasi.
CCM na Magufuli punguzeni Kodi za Wafanya biashara kwani Uchumi Duniani umeanguka kutokana na ugonjwa wa Korona. Kwani CCM hamuwezi kuona mpaka mtukanwe. Ruhusuni Demokrasia nchini kuleta amani. Viongozi wote waliopita walikuwa hawapigi watu. Magufuli unapiga na kuua watu. Hata wewe uko njiani kuuwawa maana watu wamechoka wanataka kulipiza kisasi.