RAIS SAMIA AMPIGIA SIMU MAKONDA MBELE YA MKUTANO MOSHI MJINI " NIMEKUFUATILI MZIGO TUMEUPOKEA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 01. 2024

Komentáře • 71

  • @chire4574
    @chire4574 Před 5 měsíci +11

    Kumbe samia anajuwa kinachoendelea na makonda..waaaah namnkubali mama sasa

  • @user-vi4wx7oi7o
    @user-vi4wx7oi7o Před 5 měsíci +1

    Dadangu Samia huyu kijana mlee vizuri. Mie ni mkenya lakini nafuatilia msafara
    Wa kijana
    Wangu Makonda na MashaAllah Mungu amzidishie. Mama Samia tano tena kwa uwezo wpa Allah.

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed Před 5 měsíci +10

    Mama samia huyu Nchimbi sio Team Yako kabisa....
    Mama samia kaa na Kina nchimbi maana nchimbi ataka haribu siasa ya Ccm

  • @esthersissamo1120
    @esthersissamo1120 Před 5 měsíci +1

    Safi sana Mungu ibariki Tanzania na wananchi wote

  • @christinadominic980
    @christinadominic980 Před 4 měsíci

    Hongera sana makonda kazi kubwa unayofanya katika jamii mitano tena mama kinamama tupo na wewe na mungu atakirinda

  • @aminaelimgonja2986
    @aminaelimgonja2986 Před 5 měsíci +3

    Uko vizuri Makonda

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed Před 5 měsíci +3

    Ccm hatutaki Faraka za kila siku.
    Nchengerwa...Dotto biteko....Aweso....n.k Kuweni pamoja Sana kujenga chama na selikali Yetu...
    Chadema wanataka kumtiae hofu mama samia kwa maaandamano

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si Před 5 měsíci +1

    Barabara ya kwenda maanguko ya maji Mnambe utalii kupitia daraja alilofungua mama Samia Rau ni mbaya kero kwa watalii

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před 5 měsíci +4

    Michezo ile ile mtaendelea kuchezewa watanzania kwa upumbavu wenu mpaka mkome 🚮

    • @faumahona5769
      @faumahona5769 Před 5 měsíci

      Unafikiri tumuweke nani sasa ambae hatatuchezea?

  • @EdiphonceNdibarema
    @EdiphonceNdibarema Před 5 měsíci +3

    Makonda na kupenda sana

  • @priscairene4605
    @priscairene4605 Před 5 měsíci +1

    Hongera.sana.makonda

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki Před 5 měsíci +2

    Mitano tena hakuna wa kupinga😂😂😂😂😂😂😂

  • @aristideskilawe5024
    @aristideskilawe5024 Před 5 měsíci +2

    Nani kama Mama! Hakika unatisha! Una upendo wa pekee kwa Kilimanjaro ❤Mungu akutunze Mama yetu. Wewe ni kiongozi wa mfano.

  • @massawemrlowprice3949
    @massawemrlowprice3949 Před 5 měsíci +8

    Tigo mnamsumbua hadi mama?

  • @kakazkanda
    @kakazkanda Před 5 měsíci +1

    👁️👁️

  • @IjumaaIjumaa
    @IjumaaIjumaa Před 5 měsíci

    Hatari sana tz wayanzania wengi tunasahau sujui tunanini akija huyu tunadhangilia .nabhatuchukuwi pointi na hatujui uchumi hapa tunakazi hatufikirii kabisa yangunmac

  • @user-zt2zx3un5g
    @user-zt2zx3un5g Před 5 měsíci

    kazi iyendelee

  • @user-mk1qz1mn7w
    @user-mk1qz1mn7w Před 5 měsíci +2

    Mitano tena

  • @innocentkanyata9923
    @innocentkanyata9923 Před 5 měsíci

    Nchimbi sio mwenzetu

  • @lukasngotee5544
    @lukasngotee5544 Před 5 měsíci

    Mama samia hooooyeeeee

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian4673 Před 5 měsíci

    🎉🎉🎉🎉 ASNTE KWA ZIARA HIZI MAANA UNAHAKIKISHA KM MAMBO YANAFANYIKA KWWLI. EKO.

  • @selemani-7879
    @selemani-7879 Před 5 měsíci

    Ccm ndio tuwapeleke afkoni wao ndio wataleta kombe mana hawajawahi kushindwa

  • @deogratiaskatinda9232
    @deogratiaskatinda9232 Před 5 měsíci +2

    Siasa za Tanzania na hofu kwa chama tawala kuelekea uchaguzi Mkuu.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před 5 měsíci

    Mitano tenaaaaa, hili Jembe lilikuwa likizo, ila Kilimanjaro mmetisha, mbona safari imenoga mnooooo

  • @user-ct2fb4ro9e
    @user-ct2fb4ro9e Před 5 měsíci

    😮makonda njo ileje halaka wakulila tunanyanyasika jaman

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui Před 5 měsíci

    MITANO ATA PA NANI MSENGEMAZIWA

  • @user-zt2zx3un5g
    @user-zt2zx3un5g Před 5 měsíci

    mimi naona makonda amesaliwa na magufuli jamani ako na huruma na wanchi wake nenda mpaka handeni kwediboma

  • @user-vp6kn4ej9t
    @user-vp6kn4ej9t Před 5 měsíci

    Kampeni zimeanza na baada ya kampeni "kimya!!!!!! wizi na uvivu unaendelea!! Hiyo ndio TZ ya waswahili> uongo mtupu>

  • @hassansimba7192
    @hassansimba7192 Před 4 měsíci

    Pga kazi

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 Před 5 měsíci

    Minara iboreshwe na sisi mitandao ina tusumbuaga pia wekeni mambo sawa

  • @StevenGendo-vx9jo
    @StevenGendo-vx9jo Před 5 měsíci

    Mnatuigizia upuuuzi

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s Před 5 měsíci

    Hizo ni kejeli tu. Kuwakeli wananchi

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 Před 5 měsíci

    😂❤

  • @AminiMsellem-gk3yy
    @AminiMsellem-gk3yy Před 5 měsíci +1

    Makonda ushakua muheshimiwa acha kuvaa machain shingoni 😂😂😂😂

    • @joezeno8
      @joezeno8 Před 5 měsíci

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @omaripeter7607
    @omaripeter7607 Před 5 měsíci

    Good makonda

  • @EliaMwaijumba
    @EliaMwaijumba Před 5 měsíci +1

    Makonda akuna kurara piga kazi tunaimani nawe

  • @jogoomohamed2652
    @jogoomohamed2652 Před 5 měsíci

    Mhe Rais unajua kuchagua,hapa kwa Kamanda Paul Makonda umechagua mtu sahihi tena kwa wakati sahihi.Piga kazi.Mkuu makonda

  • @joseemgongoz
    @joseemgongoz Před 4 měsíci

    Miladiayo naomba namba yako tutete

  • @bettykibale4449
    @bettykibale4449 Před 5 měsíci

    Utapeli huu jmn😂

  • @ntangiregemfuruki5478
    @ntangiregemfuruki5478 Před 5 měsíci

    MAMA KIPENZI CHETU..M.MUNGU AWE NAWE DAIMA.MAA UNAMACHO MBELE NA NYUMA.KUMLETA TENA.MH.MAKONDA.JEMBE LA CHAMA CCM.OYEEE😊

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui Před 5 měsíci +1

    WEWE MAKONDA WACHA KUMSIFIA YULE KUMA

    • @BekaCCM-mb6yp
      @BekaCCM-mb6yp Před 5 měsíci +1

      Acha kumtukana kiongozi wetu we ukome ww jamaa,,samia oyeee mitano tena

  • @gapserminja5215
    @gapserminja5215 Před 5 měsíci

    Tunachotaka Ni maendeleo sio maneno

  • @meshackthomas1341
    @meshackthomas1341 Před 5 měsíci

    Kinacho sumbua Tz nikutokua na sheria kali kwa wazembe kazin au watumiaji ovyo mali za uma badala yake muda mwingi wanautumia kuangali myanya upigaji na kupindisha haki au kuzurum kabisa baaz yao wanalindana au kutunziana sili zilizokinyume na maadili mema hata upataji wa nafasi za kaz hawatumii talatib halali kupata kaz ,badala ya kusoma ili Taifa lipige hatua but wanaajiliwa wakiwa pran zao zakwanza nikuibia taifa kwa Aina yoyote Mfano Sehem ambazo selikal inatakiwa kupata faida %100 wanapindisha Haki hiyo nawao wapate but namishahala wanalipwa.

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u Před 5 měsíci +1

    MAKONDA ENDELEA KUSAFISHA UCHAFU wa MAMA SAMIA

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 Před 5 měsíci

    Mmmmmm

  • @user-bs2nr7gz5p
    @user-bs2nr7gz5p Před 5 měsíci

    CCM oyeeeeeeeeeeeee

  • @florianhenry7198
    @florianhenry7198 Před 5 měsíci

    Network ikulu hamna nyie c ndo mlifunga 5G ?

  • @petersilas4234
    @petersilas4234 Před 5 měsíci +1

    Bila kukamilika kwa mradi wa maji Mwanga Same hatutakaa tumwelewe

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg Před 5 měsíci

    Michongo tabu sana

  • @priscairene4605
    @priscairene4605 Před 5 měsíci +1

    Piga.kazi.makonda.tuko.nyuma.yako.wana.c.c.m

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv Před 5 měsíci

    Tatizo makonda unatumia wsp coll shida nn

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui Před 5 měsíci

    WEWE MAMA UMEIALBU NCHI KUMA WEWE

    • @geofreymilinga2965
      @geofreymilinga2965 Před 5 měsíci

      huo niujinga na Upumbavu kabisa upewe ww iyo Nchi unamtukana Mama kweli ww unazo kichwani kweli huo ndio huuru alioukataa Magufuli unatakiwa kutafutwa alaka Sana.

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u Před 5 měsíci

    ENDELEENI KUSAFISHA MADUDU na UCHAFU wa MAMA SAMIA

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Před 5 měsíci

      UNAUMIA UKIWA WAPI NDUGU?! BANGE LAKO UMELIVUTIA WAPI KWA CHINI KWA JUU?!

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 Před 5 měsíci

    MAKONDA ❤❤

  • @user-vp5zi2xe3m
    @user-vp5zi2xe3m Před 5 měsíci

    Mitano tena mchezo ivi huo mkutano waweza kulingana hata kidogo na wa lema😂😂😂😂

  • @yoramusudayi
    @yoramusudayi Před 5 měsíci

    Hakuna atakayeiweza CCM wewe

  • @saiguranlaurent441
    @saiguranlaurent441 Před 5 měsíci

    Watanzania mko na uginjwa wa akili tafuteni tiba makonda ni mtu wa kupigiwa makofi na ccm yake ama Hadi hauwe mama semu ndio mjue mulifu bado kupelekwa machinjoni mutaamini ccm hawana Nia chema na watanzania

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před 5 měsíci

    😂😂😂😢🚮

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u Před 5 měsíci

    MAKONDA ENDELEA KUSAFISHA MADUDU na UCHAFU wa SAMIA, UCHAFU wa MAMA SAMIA ni Mwingi mno amna kiongozi hapo! Sasa hivi Paul MAKONDA ndio anambeba Samia pamoja na mauchafu yake

  • @obadiajuma436
    @obadiajuma436 Před 5 měsíci

    Ccm mmesha shindwa umeme kukatwa kila Siku sukari hakuna vitujuu mpaka vituvyaujezi

  • @priscairene4605
    @priscairene4605 Před 5 měsíci

    Piga.kazi.makonda.tuko.nyuma.yako.wana.c.c.m