MAUAJI YA KUTISHA TEMEKE: DC MAPUNDA AFUNGUKA WATOTO WANAVYOBAKWA NA KUUAWA WAMEFIKA WATATU ANAWAJUA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 07. 2024

Komentáře • 69

  • @noot-oe2mw
    @noot-oe2mw Před 17 dny +9

    Inalilah wainalilah rajuuni poleni sana family

  • @Highviwmotionpictures09
    @Highviwmotionpictures09 Před 17 dny +6

    Hatari KUBWA sana tuweni makini

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před 17 dny +15

    Hao viongozi wanaovamia madanguro hii sasa ndio kazi ya kulifuatilia kwa kina na kutoa majibu ya kueleweka. Kama mnaweza kuzunguka magesti usiku na Polisi tusaidieni haya mambo .Haya ndio sasa uharibifu wa mazingira.

    • @user-fs7xc2bb5d
      @user-fs7xc2bb5d Před 16 dny +1

      Sio kweli watoto walikuwa wanabakwa kabla haujatokea msako wa madada powa msitafute sababu kwahiyo wewe unataka wanawake waendelee kujiuza

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 16 dny

      @@user-fs7xc2bb5d Sijasema sababu ya madada poa usininukuu vibaya.Nimesema haya ya watoto ndio haswa ya kuyatilia mkazo kufuatilia kwa kina na iwekwe adhabu kali na ifutwe dhamana kwa mbakaji na hao viongozi wawadhibiti Polisi kuacha kuharibu kesi ya mbakaji. Hii ndio haswa neno langu

    • @pendosailo1989
      @pendosailo1989 Před 16 dny

      Acha ujinga

  • @ReginaMussa
    @ReginaMussa Před 16 dny +2

    Jamani tunelekea wapi Dunia ya sasa 😭😭😭😭😭tuwalinde vipi watoto wetu 😭😭😭 hatuna aman hata wakiwepo shuleni, eee, Mungu tuokoe kwa haya majanga

  • @staminacastory5322
    @staminacastory5322 Před 12 dny +1

    Mwenyezi Mungu atusadie sisi wenyewe hatuwezi

  • @Chakol123-k7s
    @Chakol123-k7s Před 17 dny +7

    Wakibaka na kuua wanapata faida gani 😢😢 nao wakikutwa wauwawe

    • @momosaid6193
      @momosaid6193 Před 16 dny

      Hata sijui wanapata faida gan daah roho za kuua sijui wanatoa wap jamn

    • @Chakol123-k7s
      @Chakol123-k7s Před 13 dny

      @@momosaid6193 imani za kishirikina labda

  • @angonzamujunangoma8775

    Poleni sana wafiwa.Pumzika kwa amani maraika wa Mungu.Serikali ipo macho

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před 17 dny +3

    R.I.P poleni sana wafiwa

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Před 16 dny +2

    Mimi ninavyoona ni haya mambo ya ushurikina tu mkibahatika kukamata mmoja akisema ni mashariti kutoka kwa mganga tafadhalini mhakikishe anawapeleka kwa huyo mganga wauawe wote hadharani huenda watu wakaigopa

  • @colletatesha5265
    @colletatesha5265 Před 17 dny +3

    Uchaguzi unakaribia mijitu inatoa kafara tyu

  • @MohamedNassoro-md8yv
    @MohamedNassoro-md8yv Před 17 hodinami

    LA PANYA ROAD HALIJAISHA VIZURI LIMEKUJA LA MAUAJI YA WATOTO😢😢

  • @user-cq1iu7yg4t
    @user-cq1iu7yg4t Před 16 dny

    Hongereni sanaaa

  • @dayanamsuya6516
    @dayanamsuya6516 Před 16 dny +2

    Lugumi alipewa ela afunge CCTV camera yeye akala hela yote na serikali iko comfortable lakini at least ingesaidia kupata mwanzo hakuna asiyejulikana bhana kila siku hao hao

  • @blessingntuli3796
    @blessingntuli3796 Před 16 dny +1

    Inamaana polisi watashindwa kufanya uchunguzi ???
    Kuanzia walipotika watoto wawili hadi zakiemu alipo bakia mmoja haku Mjengo wowote wenye cctv camera Kweli 🤔🤔! Mkifanya hivyo atajulikana tuu

  • @user-xc5tv9dl5k
    @user-xc5tv9dl5k Před 17 dny +4

    Shida nikwamba nyie mumewakamata madada poa wakati hao ndo walikuwa wanamaliza ugumu.haya sasa

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 Před 16 dny

    Inalilaahi wainalilah rajighun polen wazazi pamoja na jamaa zenu

  • @zeyadazeyada8050
    @zeyadazeyada8050 Před 8 dny

    Kwa kweli ni mitihani mzito yarabi atulindie watoto wetu

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před 17 dny +1

    😢😢

  • @FatmaLyego
    @FatmaLyego Před 17 dny +2

    😢😢😢😢

  • @ZulekhaBaksh-ii4fk
    @ZulekhaBaksh-ii4fk Před 16 dny +1

    Kuna kipindi difenda zilikuwa zinatembea uhalifu umezidi

  • @Chakol123-k7s
    @Chakol123-k7s Před 17 dny +2

    Hili swala samia???

  • @namelockmaasailady8002

    😢😢😢

  • @ZulekhaBaksh-ii4fk
    @ZulekhaBaksh-ii4fk Před 16 dny +1

    Huku kwetu yombo machimbo pia kuna balaa la kupigwa mapanga

  • @SKY-fk3fz
    @SKY-fk3fz Před 17 dny +1

    😭😭😭😭😭wauliwe

  • @epema632
    @epema632 Před 16 dny

    So sad😢

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 Před 17 dny +4

    Hii nchi mnaongea sana kwa Nini msiweke camera mitaani ?

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před 16 dny +1

      Nani anajali ? Wakati fedha zote zaenda kwenye matumbo yao

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 Před 15 dny

      @@jumakapilima7295 nchi ya laana nchi ya Mavi kunuka!

  • @meshackthomas1341
    @meshackthomas1341 Před 17 dny +3

    Tatizo nimalezi. Kwa wazazi. Au family. Hayapo sawa matokeo yake uvutaji Bangi na pombe chafu. Umezidi sana. Kisha kuwa na makundi ya vijana wasema hovyo nawenye tatizo la Afya ya Akiri kipo. Kitu chakufanya endapo tutasimamia wajbu. wetu viongozi sasa

  • @user-vq6dc4nr5p
    @user-vq6dc4nr5p Před 8 dny

    Hivi mbona uchaguzi ukianza haya matukio yanazidi?

  • @tedyalifons924
    @tedyalifons924 Před 17 dny +1

    Acheni maneno

  • @DanieliMzirai
    @DanieliMzirai Před 17 dny +4

    Sixtus mapunda ulikuw mbunge wa kwetu mbinga mjini 2015

  • @PekeiLeki
    @PekeiLeki Před 7 hodinami

    🎉❤😅😮

  • @mwanakhamisimwinyimatano1185

    Inna lilah waina ilah rajiuun

  • @user-il5pk2dr5n
    @user-il5pk2dr5n Před 16 dny

    Inaumiza zaid ya sana..

  • @ummiissaabdulissaabdul8117

    Alafu nsikie ati tz tuna amani amani ipi hapa nchi hii kila leo mauaji ya kutisha mara albino kutolewa viungo sasa wengine hoo tanzania tuko na amani nchi zote nikuombs mungu tu

  • @ZulfaJevejeve
    @ZulfaJevejeve Před 5 dny

    😭😭😭😭

  • @jurdanforwardersltd1460

    hapa atuwasiki hata kidogo wanahojita haki za minadamu,sasa sijui wanatetea mambo gani?maana yangekua matukio mengine tungehona press aharaka sana.

  • @user-ur8cq1ye3b
    @user-ur8cq1ye3b Před 16 dny

    Nyie wauwaji kwan huko majumban kwenu hakuna watoto adi muue watoto wawenzenu

  • @kesterkanyala7718
    @kesterkanyala7718 Před 16 dny

    Mauaji yanakithiri SANA...UTEKAJI,UBAKAJI...Kila kukicha akina mama wanalia.

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki9758 Před 16 dny

    Duu tatizo lanchii hii mtuakibaka anyonywe serekali aitaki kufanya hivoo wanyonywee sio kumfunga jela akale ugali waburee watu wamekuwa suguuu watoto wetu wataisha jamani Sheria iwe kali

  • @user-yv1dw6cu9k
    @user-yv1dw6cu9k Před 16 dny

    😢😢😢😢😢😢daaa aisee

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 Před 16 dny

    Sasa panaitajika C CT V camera inatisha kabisa hii Hali

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 Před 16 dny

    Kuna shida kwenye malezi ya watoto... wengi wanajilea wenyewe... familia zimesambaratika sana... Mungu tusaidie sana

  • @hamishassan6784
    @hamishassan6784 Před 16 dny

    Mh Serikali haiwezi kushindwa najua hilo na sina shaka na serikali yangu lakini wazazi wazazi wazazi watoto hawa ni wetu sote sio eti kwa kuwa sio wako yaani si vibaya kumhoji mtu anayeongozana na binti ambaye wewe unaona kuna mashaka jamani mabinti zetu ni wadogo hawawezi pembua mambo,
    lakini pia kwa serikali yetu kwa maaendeleo haya ya sayansi na teknolojia hebu tutumie hizi changamoto kuwa wabunifu wa namna ya kutambua matukio ya kiarifu kama haya tuache kuhisi hisi au kushuku CCTV Canera zinashida gani kuwekwa kwenye maeneo yote hatarishi?

  • @ramadhanhassan9308
    @ramadhanhassan9308 Před 16 dny

    Familia Linda watoto wako hao Ni rasilimali

  • @temuramadhani5134
    @temuramadhani5134 Před 16 dny

    Temeke Kuna Nini?

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya1033 Před 16 dny

    Eti sio mambo ya serikali na mambo yenu nyie wazazi mshirikiane ,,,sijui kama mmesikia hii kauli au

  • @SalumMsafiri20
    @SalumMsafiri20 Před 17 dny +1

    Wazazi pamoja na walezi tuongeze umakini kwa vijana wetu. Matamanio ya utajiri yanapelekea binadam tunakuwa zaidi ya wanyama.

  • @timothbenard8213
    @timothbenard8213 Před 17 dny +1

    Bac nchi haina ulinz

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před 17 dny

      Ujue kuna ile hali serikali inatakiwa iwe kali mpaka mtu aogope kufanya uhalifu sa Hivi kuna kucheka cheka sana matukio yapo mengi na inakua kama kawaida tu

  • @Aishaynah_innah
    @Aishaynah_innah Před 17 dny +1

    😢😢

  • @hamisamajoka3284
    @hamisamajoka3284 Před 9 dny

    😢😢😢😢