CCM WAMECHELEWA SANA KUMCHAGUA MAKONDA
Vložit
- čas přidán 22. 10. 2023
- www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Makonda unafiti sana Sana sana chadema mtaisoma No . Mama hongera kwa kulirejesha jemedari namkubali sana huyu ni hazina . Lisu atapunguza mdomo mdomo
Kitenge na manara sijui kama wanazikumbuka post za kumkashifu makonda dunia hii inapaswa kuweka akiba ya mambo sijui wanajisikiaje
😂😂😂😂😂hapo anajikaza tu
Kutoka ndani ya moyo Wangu nakupongeza sana Makonda hongera sana.....unauzoefu wa kutumikia Chama na nchi
CCM nimewakubali haikutakiwa kuacha kijana Kama huyo apotee mitaani. Hongera mama Samia.
Bado kijana wetu sobaya aliyekuwa Mkuu wa wilaya Hai. Ikumbukwe naye alikuwa anatii amri. Mama muone kwa macho mawili vijana ndiyo nguzo ya kila kitu.
Hunishindi Mimi aisee huyu mtu ni aseti katka nchi
Makonda, mungu akulinde uingiapo na utokeapo! Moto wa aliye juu mbinguni uwachome kila akuwaziae mabaya!
makonda jembe letu na tunampenda sana acha apige kazi kwa kweli
Nimeipenda sana hii welcome PAUL MAKONDA twakupenda sana
Sema unampenda
Hawezi jiachia kama kwa magufuli
Mungu wetu hawahi wa hachelewi kama ipoipotu❤❤makonda
Hongera kwake Paul Makonda
Makonda yupo vizuri ataimudu kazi yake wanamjua
Hongera kaka na kila la kheli katika utumishi wako
Watangazaji nawaelewa sana
Hongera sana kaka mungu wa mbinguni akutangulie katika majukumu yako
😂😂😂sema ninyi wanafiq saanaaaaaaaa😂😂😂😂
Mkonda hongera sana karibu chama kubwa 🥀🥀🥀
Mkonda ndo nn
@@KassimAlly-xp4dzlabda mmakonde😂😂
Makonda ni kiboko Hongera sana sasa CCM iana mchezaji hatari wapinzani wajipange 🤣🤣🤣🤣🤣
Kitenge mnafki kinoma
Hongera sana
Najuwa wanapovuna ndipo wanapokula , lakini makonda nimtumishi Bora ,ninaowaelewa ,waziri mkuu, chalamila, huyujamaa MAKONDA ,
Nzuri Sana
ira kwakuteua makonda watapona wenda 2025 kunakitu watakipata kutoka kwake yani atawaokoa parefu
Ondoeni usen... wenu hapa mnawaona wabongo wana kumbukumbu fupi mnatuletea wauawaji wadhulumu wa haki ya kuishi
Jisemee ww sio utaje watanzania Mimi binafisi wala sina tatizo na makonda muuaji alimuua nani tutajie alieuliwa na makonda
Nyoooko wewe alikuibia nn
Kabisa kabisa, wamechelewa sana
Makonda namkubali sana
MIDFIELDER YA NGUVU 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Yaani wewe nimnafiki 😅😅😅😅😅
Kitenge mnafiki sana ona haya iyooooi mtu mzima ivyo 😂😂😂😂
😂😂😂😂aibuuuu
Makonda makonda makonda ✌
Ccm sasa wameanza kuelekea kuzuri namuombea Paul makonda afanye vizuri kwenye hii nafasi anafiti sanaaaaaaaa👍👍👍👍👍
Kitenge tahaaaa aakyamungu unafki kitu kibaya sana
Hicho cheo sio kikubwa Sana hata RC ilikuwa cha mtoto subira NI njema Sana,
Hicho kinazid rc
Oyaah sasa Mkataba tupa Kuleee... Let Makonda Catch the Trend ...Ma Niggaz
Upele umepata ngozi
Nchi hii rushwa ndo means kwa kila jambo,fedha jmesambazwa tayari kupongeza uteuzi uliofanywa na ccm kuhusu makonda. Au hamjui?
Chawa bwana
Du haya mabambataa na mabaki ya Dubai nayo! Uchawa kweli ugonjwa mbaya
Kumamakoo ongea vzuri
Wazee wambea nyieeeee😊😊😊😊😊😊
Umeonaee
Mnawasifia kabisa mnawaona watanzania mazuzu
Mama kama ni maamuzi Yako ni sahihi hata hivyo huyo ni kati tu ya wachezaji ambao wapi wengi uliowaacha ,Kwa muda huu ccm inatakiwa ibadilike hao wazee watoke sio Kwa ubaya Bali mahitaji sahihi Kwa wakati sahihi ukikosea tu mtakuja kujuta,ukiwa mwanasiasa jaribu kupunguza maadui sio kuongeza maadui Bado Bado makae muwe wakweli pale mzigo unapostahili kubebwa mchague anayestahili kuubeba Toka rohoni SI Kwa unafki
Ninyi wanafiki
Huyo chawa kitenge aende tena dubai kufuata fungu la dp world mpuuz tu na makonda wake
Nafasi ilikuwa inamhitaji
Soon atarudi RC. Mbuzi kafia kwa muuza supu.
Sasa chama kimepata mtu sahihi nafasi hiyo
NIKWELI TUMPE HONGERA ZAKE MAKONDA NA MAMA PONGEZI KWA KUMBUKA MAKONDA
Wanafki wa hawamaliziki hata ukiua maelfu kwa sekunde
Chawa aibu hii unashindwa kuishi unajikomba Baba yako alizaa hasara
😂😂mbona zembwela na maulidi kama mna wenge hv au macho yangu😂😂😂😂😅😅
Jamaa haoo hawakuwahi kusema vzr makondo adi anatoka Hasa kitenge haeaelewani
NCHI HII INAWANAFIKI SIJAWAHI KUONA
Kitenge iyo HUAWEI kali sana sh ngp inauzwa
Iyo ni samsung fold
Unapata km 2m
Jiandae bwana kitenge😂
Nadhani watu wenye kazi zao wamesha umiza kichwa wakaona ili kuzima mijadala iliyokuwa ikiendelea lazima waangalie kitu kitakacho shikilia headline na trends mtaani ni kumpa nafasi Paul Makonda kuwa Katibu NEC, na wamefanikiwa hakuna farasi yoyote anae piga kelele Bandani sasa.
Watu wenye helment za udictater ndio wampongezao makonda ,,,samia amemaliza kuwateua wezi sasa anawarudisha madicteta 😢😢😢😢
Nyoooko wewe
Kameze panadol utulize maumivu
Kunae watu hamjui SARCASM 😂😂😂...Sasa matusi ya nini ...
Mama kayakanyaga hapo
KITENGE mwenyekiti
wa WANAFKI 😂😂😂😂😂angalia anakuwa bariiiiiiidi kama maji ndani ya friji
Watu mnakumbukumbu😂😂
Makonda ccm inamfaa kwn walimtumia kw haramia Mungu atawalipa hao wanafki
Likizo bila malipo
Mulimdhihaki mno najua hapo mlipo mnaumia mno
mzee warioba kamlea pia ? akampiga makofi😂
Nape anajisalimisha amehosi ndo atauawa sasa
Wale watu wasiojulikana ivi waliishia wap..
Jipendekezeni Kwa Makonda mtapewa UDC
😂😂😂😂
KITENGE UMEUMBUKAAA
Xaf xana
😂😂😅😅😅😅😂😂😂
Miaka yote mitatu makonda alikuwa WAP?bado sabaya atateuliwa kuwa makamu wa rais
Acheni uchawa, kwanza mnezeheka mwonekano wenu haupendezi, mnashabikia upumbavu, so boring
Wanafki pumbavu zenu, makonda piga kazi
Makonda jembe
Kitenge zamu yako kumheshimu Makonda
Hakika
Kitenge ulikuwa unampiga madongo sana makonda alipotolewa wewe na haji manara
AIBU ZAO
@@shamimushittindi1418 hapo saizi anajikomba kwa kumsifia🙌
MAKONDA HAS A POOR PUBLIC RELATION SO SENDING HIM OUT TO THE PUBLIC IS TANTAMOUNT TO CCM MOVEMENT, UPINZANI DUH! MAJERAHA
Poor public relations, umesoma coments za public yenyewe?
Mama Samia kafanya makosa kumchaguwa msenge makonda.