CCM WAMECHELEWA SANA KUMCHAGUA MAKONDA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 10. 2023
  • www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 100

  • @abdillahiabdallah438
    @abdillahiabdallah438 Před 9 měsíci +7

    Makonda unafiti sana Sana sana chadema mtaisoma No . Mama hongera kwa kulirejesha jemedari namkubali sana huyu ni hazina . Lisu atapunguza mdomo mdomo

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Před 9 měsíci +10

    Kitenge na manara sijui kama wanazikumbuka post za kumkashifu makonda dunia hii inapaswa kuweka akiba ya mambo sijui wanajisikiaje

  • @noelkisonga5534
    @noelkisonga5534 Před 9 měsíci +13

    Kutoka ndani ya moyo Wangu nakupongeza sana Makonda hongera sana.....unauzoefu wa kutumikia Chama na nchi

    • @teresiamumbi8069
      @teresiamumbi8069 Před 9 měsíci +1

      CCM nimewakubali haikutakiwa kuacha kijana Kama huyo apotee mitaani. Hongera mama Samia.

    • @teresiamumbi8069
      @teresiamumbi8069 Před 9 měsíci +1

      Bado kijana wetu sobaya aliyekuwa Mkuu wa wilaya Hai. Ikumbukwe naye alikuwa anatii amri. Mama muone kwa macho mawili vijana ndiyo nguzo ya kila kitu.

    • @user-ii6gs2jg4g
      @user-ii6gs2jg4g Před 9 měsíci

      Hunishindi Mimi aisee huyu mtu ni aseti katka nchi

  • @EdithTelemark
    @EdithTelemark Před 9 dny

    Makonda, mungu akulinde uingiapo na utokeapo! Moto wa aliye juu mbinguni uwachome kila akuwaziae mabaya!

  • @patricksalvatory2715
    @patricksalvatory2715 Před 9 měsíci +7

    makonda jembe letu na tunampenda sana acha apige kazi kwa kweli

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no Před 9 měsíci +7

    Nimeipenda sana hii welcome PAUL MAKONDA twakupenda sana

  • @BernadetaMassawe-qb9vb
    @BernadetaMassawe-qb9vb Před 9 měsíci +2

    Mungu wetu hawahi wa hachelewi kama ipoipotu❤❤makonda

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt Před 9 měsíci +4

    Hongera kwake Paul Makonda

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 Před 9 měsíci +1

    Makonda yupo vizuri ataimudu kazi yake wanamjua

  • @josephwilliam4727
    @josephwilliam4727 Před 9 měsíci +4

    Hongera kaka na kila la kheli katika utumishi wako

  • @godblessnetworkcollege9953
    @godblessnetworkcollege9953 Před 9 měsíci

    Hongera sana kaka mungu wa mbinguni akutangulie katika majukumu yako

  • @aud548
    @aud548 Před 9 měsíci +2

    😂😂😂sema ninyi wanafiq saanaaaaaaaa😂😂😂😂

  • @GeorgeMwakapalila-fy1nr
    @GeorgeMwakapalila-fy1nr Před 9 měsíci +5

    Mkonda hongera sana karibu chama kubwa 🥀🥀🥀

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz Před 9 měsíci

      Mkonda ndo nn

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 Před 9 měsíci

      ​@@KassimAlly-xp4dzlabda mmakonde😂😂

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 Před 9 měsíci

      Makonda ni kiboko Hongera sana sasa CCM iana mchezaji hatari wapinzani wajipange 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @RichPlumbing
    @RichPlumbing Před 9 měsíci +1

    Kitenge mnafki kinoma

  • @RestMkinga-wg1wr
    @RestMkinga-wg1wr Před 9 měsíci

    Hongera sana

  • @user-jw4go8cu4d
    @user-jw4go8cu4d Před 9 měsíci +1

    Najuwa wanapovuna ndipo wanapokula , lakini makonda nimtumishi Bora ,ninaowaelewa ,waziri mkuu, chalamila, huyujamaa MAKONDA ,

  • @ezekielmbise9766
    @ezekielmbise9766 Před 9 měsíci

    Nzuri Sana

  • @mugishamajeba9628
    @mugishamajeba9628 Před 9 měsíci +2

    ira kwakuteua makonda watapona wenda 2025 kunakitu watakipata kutoka kwake yani atawaokoa parefu

  • @tosh7671
    @tosh7671 Před 9 měsíci +3

    Ondoeni usen... wenu hapa mnawaona wabongo wana kumbukumbu fupi mnatuletea wauawaji wadhulumu wa haki ya kuishi

    • @nembibenard8440
      @nembibenard8440 Před 9 měsíci

      Jisemee ww sio utaje watanzania Mimi binafisi wala sina tatizo na makonda muuaji alimuua nani tutajie alieuliwa na makonda

    • @user-ii6gs2jg4g
      @user-ii6gs2jg4g Před 9 měsíci

      Nyoooko wewe alikuibia nn

  • @frankurio469
    @frankurio469 Před 8 měsíci

    Kabisa kabisa, wamechelewa sana

  • @ankoanko-zz7it
    @ankoanko-zz7it Před 9 měsíci +4

    Makonda namkubali sana

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji Před 9 měsíci +2

    MIDFIELDER YA NGUVU 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @GidionMushi
    @GidionMushi Před 9 měsíci +2

    Yaani wewe nimnafiki 😅😅😅😅😅

  • @user-yw6cn4yt4s
    @user-yw6cn4yt4s Před 9 měsíci +1

    Kitenge mnafiki sana ona haya iyooooi mtu mzima ivyo 😂😂😂😂

  • @husseinibrahim2929
    @husseinibrahim2929 Před 9 měsíci +1

    Makonda makonda makonda ✌

  • @kelvinngonasy8742
    @kelvinngonasy8742 Před 9 měsíci +1

    Ccm sasa wameanza kuelekea kuzuri namuombea Paul makonda afanye vizuri kwenye hii nafasi anafiti sanaaaaaaaa👍👍👍👍👍

  • @irovyairovya2333
    @irovyairovya2333 Před 8 měsíci

    Kitenge tahaaaa aakyamungu unafki kitu kibaya sana

  • @daslamonline4665
    @daslamonline4665 Před 9 měsíci +1

    Hicho cheo sio kikubwa Sana hata RC ilikuwa cha mtoto subira NI njema Sana,

  • @dopplereffect7154
    @dopplereffect7154 Před 9 měsíci

    Oyaah sasa Mkataba tupa Kuleee... Let Makonda Catch the Trend ...Ma Niggaz

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Před 9 měsíci +2

    Upele umepata ngozi

  • @benolduka
    @benolduka Před 9 měsíci

    Nchi hii rushwa ndo means kwa kila jambo,fedha jmesambazwa tayari kupongeza uteuzi uliofanywa na ccm kuhusu makonda. Au hamjui?

  • @Pelegrinoemanuel
    @Pelegrinoemanuel Před 9 měsíci +1

    Chawa bwana

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha Před 8 měsíci

    Du haya mabambataa na mabaki ya Dubai nayo! Uchawa kweli ugonjwa mbaya

  • @geey7893
    @geey7893 Před 9 měsíci +1

    Kumamakoo ongea vzuri

  • @mcyudasicqo9610
    @mcyudasicqo9610 Před 9 měsíci

    Wazee wambea nyieeeee😊😊😊😊😊😊

  • @user-fx6zr6ij5y
    @user-fx6zr6ij5y Před 9 měsíci

    Mnawasifia kabisa mnawaona watanzania mazuzu

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Před 9 měsíci

    Mama kama ni maamuzi Yako ni sahihi hata hivyo huyo ni kati tu ya wachezaji ambao wapi wengi uliowaacha ,Kwa muda huu ccm inatakiwa ibadilike hao wazee watoke sio Kwa ubaya Bali mahitaji sahihi Kwa wakati sahihi ukikosea tu mtakuja kujuta,ukiwa mwanasiasa jaribu kupunguza maadui sio kuongeza maadui Bado Bado makae muwe wakweli pale mzigo unapostahili kubebwa mchague anayestahili kuubeba Toka rohoni SI Kwa unafki

  • @HERMANKMONALELO-tl5kn
    @HERMANKMONALELO-tl5kn Před 9 měsíci +1

    Ninyi wanafiki

  • @michaellorri2275
    @michaellorri2275 Před 8 měsíci

    Huyo chawa kitenge aende tena dubai kufuata fungu la dp world mpuuz tu na makonda wake

  • @godwinmasoud7180
    @godwinmasoud7180 Před 9 měsíci +1

    Nafasi ilikuwa inamhitaji

  • @oyay2821
    @oyay2821 Před 9 měsíci +1

    Soon atarudi RC. Mbuzi kafia kwa muuza supu.

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 Před 9 měsíci +4

    Sasa chama kimepata mtu sahihi nafasi hiyo

  • @zaitunijumamkwazu5531
    @zaitunijumamkwazu5531 Před 9 měsíci

    NIKWELI TUMPE HONGERA ZAKE MAKONDA NA MAMA PONGEZI KWA KUMBUKA MAKONDA

  • @benolduka
    @benolduka Před 9 měsíci

    Wanafki wa hawamaliziki hata ukiua maelfu kwa sekunde

  • @jonathansirkintungi7434
    @jonathansirkintungi7434 Před 9 měsíci

    Chawa aibu hii unashindwa kuishi unajikomba Baba yako alizaa hasara

  • @shd12m55
    @shd12m55 Před 9 měsíci

    😂😂mbona zembwela na maulidi kama mna wenge hv au macho yangu😂😂😂😂😅😅

    • @simonwenceslaus3745
      @simonwenceslaus3745 Před 9 měsíci

      Jamaa haoo hawakuwahi kusema vzr makondo adi anatoka Hasa kitenge haeaelewani

  • @mchumiajuani1993
    @mchumiajuani1993 Před 9 měsíci

    NCHI HII INAWANAFIKI SIJAWAHI KUONA

  • @thomasbutingo17
    @thomasbutingo17 Před 9 měsíci

    Kitenge iyo HUAWEI kali sana sh ngp inauzwa

  • @xectionmchokozi7172
    @xectionmchokozi7172 Před 9 měsíci

    Jiandae bwana kitenge😂

  • @user-oi8sx9fw3w
    @user-oi8sx9fw3w Před 9 měsíci

    Nadhani watu wenye kazi zao wamesha umiza kichwa wakaona ili kuzima mijadala iliyokuwa ikiendelea lazima waangalie kitu kitakacho shikilia headline na trends mtaani ni kumpa nafasi Paul Makonda kuwa Katibu NEC, na wamefanikiwa hakuna farasi yoyote anae piga kelele Bandani sasa.

  • @harunmanura7900
    @harunmanura7900 Před 9 měsíci

    Watu wenye helment za udictater ndio wampongezao makonda ,,,samia amemaliza kuwateua wezi sasa anawarudisha madicteta 😢😢😢😢

  • @aud548
    @aud548 Před 9 měsíci

    Kunae watu hamjui SARCASM 😂😂😂...Sasa matusi ya nini ...

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim Před 9 měsíci

    Mama kayakanyaga hapo

  • @joezeno8
    @joezeno8 Před 9 měsíci

    KITENGE mwenyekiti
    wa WANAFKI 😂😂😂😂😂angalia anakuwa bariiiiiiidi kama maji ndani ya friji

  • @johnmahu5060
    @johnmahu5060 Před 9 měsíci

    Makonda ccm inamfaa kwn walimtumia kw haramia Mungu atawalipa hao wanafki

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz Před 9 měsíci

    Likizo bila malipo

  • @esromkanubo815
    @esromkanubo815 Před 9 měsíci

    Mulimdhihaki mno najua hapo mlipo mnaumia mno

  • @mohamedamini4268
    @mohamedamini4268 Před 9 měsíci

    mzee warioba kamlea pia ? akampiga makofi😂

  • @johnmahu5060
    @johnmahu5060 Před 9 měsíci

    Nape anajisalimisha amehosi ndo atauawa sasa

  • @sifuelinyaki3341
    @sifuelinyaki3341 Před 9 měsíci

    Wale watu wasiojulikana ivi waliishia wap..

  • @allymadenge4603
    @allymadenge4603 Před 8 měsíci

    Jipendekezeni Kwa Makonda mtapewa UDC

  • @FRANSKALITUSI4937
    @FRANSKALITUSI4937 Před 9 měsíci

    😂😂😂😂

  • @shamimushittindi1418
    @shamimushittindi1418 Před 9 měsíci

    KITENGE UMEUMBUKAAA

  • @nikumsomba1551
    @nikumsomba1551 Před 9 měsíci

    Xaf xana

  • @user-if3wy6xp9u
    @user-if3wy6xp9u Před 9 měsíci

    😂😂😅😅😅😅😂😂😂

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 Před 9 měsíci

    Miaka yote mitatu makonda alikuwa WAP?bado sabaya atateuliwa kuwa makamu wa rais

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 Před 9 měsíci

    Acheni uchawa, kwanza mnezeheka mwonekano wenu haupendezi, mnashabikia upumbavu, so boring

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4g Před 9 měsíci

    Wanafki pumbavu zenu, makonda piga kazi

  • @HassanSamata-pf2pm
    @HassanSamata-pf2pm Před 9 měsíci

    Makonda jembe

  • @lovenessmohamedy6329
    @lovenessmohamedy6329 Před 9 měsíci

    Kitenge zamu yako kumheshimu Makonda

  • @ZeraGeofrey
    @ZeraGeofrey Před 9 měsíci

    Kitenge ulikuwa unampiga madongo sana makonda alipotolewa wewe na haji manara

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 Před 9 měsíci

    MAKONDA HAS A POOR PUBLIC RELATION SO SENDING HIM OUT TO THE PUBLIC IS TANTAMOUNT TO CCM MOVEMENT, UPINZANI DUH! MAJERAHA

    • @saimonstephen7250
      @saimonstephen7250 Před 9 měsíci +1

      Poor public relations, umesoma coments za public yenyewe?

  • @Gamba177
    @Gamba177 Před 9 měsíci +1

    Mama Samia kafanya makosa kumchaguwa msenge makonda.