MAKONDA AFOKA KWA UKALI HADI CHALAMILA AKATIKISA KICHWA, AONGEA MANENO MAZITO....

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 10. 2023
  • MAKONDA AFOKA KWA UKALI HADI CHALAMILA AKATIKISA KICHWA, AONGEA MANENO MAZITO....
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 146

  • @Mumewangu
    @Mumewangu Před 9 měsíci +12

    Hongera makonda umesitisha maongezi kwa ajili ya AZANA mungu akubariki

  • @gerishamgonja1064
    @gerishamgonja1064 Před 9 měsíci +12

    Baba hizo salamu zifike na kwa wakuu wa wilaya hasa ARUSHA

  • @soloartist_ivanvespalusind1609
    @soloartist_ivanvespalusind1609 Před 9 měsíci +7

    Nakubali sana pamoja na mapungufu yake, anamchango mkubwa kwa maendeleo ya nchi yetu.

  • @goodnessmndeme198
    @goodnessmndeme198 Před 9 měsíci +1

    Hongera kiongozi makonda piga kazi ,kazi iendelee tunampenda sana mama na mitano tena tutampa hakika,kama kazi mama amefanya

  • @edithafrancis847
    @edithafrancis847 Před 9 měsíci +14

    Mungu ni mwema akisema ndio hakuna wa kusema hapana, na ktk hii dunia huwezi pendwa na watu wote, chapa kazi timiza majukumu yako

  • @ericksimon3899
    @ericksimon3899 Před 9 měsíci +7

    Kwahyo huyo Rc alivotikisa kichwa ndo ukaona upost😢

  • @fatmamsiliwa8485
    @fatmamsiliwa8485 Před 9 měsíci +6

    Tunaomb mutusaidie tumpqte mtoto Warda sasa mwez wa 7 mwalimu wema kahonga pesa sijui vip jamani tulia tunaomba😢😢😢😢

    • @FatmaZena
      @FatmaZena Před 9 měsíci +1

      Nasikia amepatikana,leo ingia kwenye kipindi cha jumapili tupate mengi alikuwa wapi,ilikuwaje.leo hii

  • @mereyamhomesmariamhomes3464
    @mereyamhomesmariamhomes3464 Před 9 měsíci +14

    Kama kweli kuna haki masidie mama Warda apate mwanae tafadhali

  • @VenaEliki
    @VenaEliki Před 9 měsíci +2

    Mnaongea sana maisha yanazidi kuwa magumu kilakitu ghali mafuta umeme vinywaji yaani ninyi mnafurahi sisi tunahuzuni

    • @user-ge3cg4ct9z
      @user-ge3cg4ct9z Před 5 měsíci

      Hapo sio serikali bali iliandikwa kukaribia mwisho wa dunia kutakua ni nyakati ngumu Tena za hatari tuombeane tu Mungu atupe mwisho mwwema

  • @SamiraameirSamira-qt9yn
    @SamiraameirSamira-qt9yn Před 9 měsíci +3

    Mbn hilo jukumu la warda hamlibebi wala hawaambii hio siri kali ahh 😢😢😢

  • @zwinaalhabsi664
    @zwinaalhabsi664 Před 9 měsíci +7

    Chapa kazi kaka

  • @hawa6052
    @hawa6052 Před 9 měsíci +5

    Sawa mkuu tunakukubali ila kunamtoto WARDA aliepotea tunaomba msaada mkuu

  • @sss3s867
    @sss3s867 Před 9 měsíci +2

    sijaelewa haya maneno kiongozi wa chama cha ccm kusema tz haina vyama vya upinzani. bali ina watowa taarifa

  • @happyfaniabatromeo8010
    @happyfaniabatromeo8010 Před 9 měsíci +5

    😄😄😄😄MTU habadilishwiii kwa kusemwaa piga kazi Makondaa

  • @richimuniko3578
    @richimuniko3578 Před 9 měsíci +3

    Acheni wizi haki itawale ndio tutawapenda.

  • @aristideskilawe5024
    @aristideskilawe5024 Před 9 měsíci +11

    Makonda you are good! Keep it brother

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 Před 9 měsíci

    hongera sana

  • @gerishamgonja1064
    @gerishamgonja1064 Před 9 měsíci +2

    Tumepata shida sana madereva bajaji

  • @saliminyusuph6122
    @saliminyusuph6122 Před 9 měsíci

    Huyu mwamba mama Samia akimpa ulinzi. Aisee huwa amuanyi mtu Wala amuogopi mtu. Usingekuta NI sheria yupo tayari ata kuzupiga ngumi kwa wazinguaji.😁😁🤣🤣

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa961 Před 9 měsíci +2

    Ole wenu mumuue hamna jema tunakesha na kumlilia mungu atakufa yy

  • @user-fi6og2xm9x
    @user-fi6og2xm9x Před 7 měsíci

    Pamoja baba

  • @azizamvungi1871
    @azizamvungi1871 Před 9 měsíci +2

    Nakupenda dogo Makonda wewe ni mwba

  • @rashiditembo1574
    @rashiditembo1574 Před 9 měsíci

    Asante mkuu, Tumevuka,

  • @mossyfimbo3577
    @mossyfimbo3577 Před 7 měsíci

    Chalamila yupi anatikisa kichwa Chalamila mpya au wa zamani acheni unafiki

  • @isihakaliyuma1848
    @isihakaliyuma1848 Před 9 měsíci +8

    Baba wewe nikiongoz ulieteuliwa na mungu

  • @user-db4xu7vv1z
    @user-db4xu7vv1z Před 9 měsíci

    ❤❤❤❤❤

  • @user-ld4ed1kb4l
    @user-ld4ed1kb4l Před 9 měsíci +2

    Upo vizr piga kaz

  • @samirysahiry5109
    @samirysahiry5109 Před 9 měsíci

    Kwenye mungu oyeee kimyaaaaaaa dar oyeeeee oyeeweww

  • @sautiisiyosema
    @sautiisiyosema Před 9 měsíci +1

    Usituangushe tu binafsi nakupenda sana ila si dhani kama utanishawishi

  • @JamalKhan-le9ud
    @JamalKhan-le9ud Před 9 měsíci

    Kazi hiendeleee 🙏🙏🙏🙏

  • @beatricemunisi7891
    @beatricemunisi7891 Před 9 měsíci +2

    Makonda mwamba kabisaa

  • @rosemarymunyi5035
    @rosemarymunyi5035 Před 9 měsíci

    Coming back strong all the best 👍 👌

  • @fredpiter4657
    @fredpiter4657 Před 9 měsíci

    Hongera Sana makonda

  • @memorymakweta8253
    @memorymakweta8253 Před 9 měsíci +2

    Chongolo huyu huyu...nchi ngumu sana

  • @jonassemka
    @jonassemka Před 7 měsíci

    Apewe ukatibu mkuu uyoo,kipenzi cha wananchi

  • @SamiraameirSamira-qt9yn
    @SamiraameirSamira-qt9yn Před 9 měsíci +2

    Mbn husemi kitu kuhusu mtt warda 😢😢

  • @linazebadia7555
    @linazebadia7555 Před 9 měsíci

    njoo arushaaa

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 Před 9 měsíci +1

    Mtajua hamjuwiii...mmetimba tena😂😂

  • @zaiboris9696
    @zaiboris9696 Před 9 měsíci

    usiempenda kaja❤

  • @zakhiamsuya4922
    @zakhiamsuya4922 Před 9 měsíci +1

    Mungu akisema ndio haiwez kusema hapanaaaaaa

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Před 9 měsíci

    Waooo Makonda wetu🙉🙉

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 9 měsíci +1

    Ninampenda Makonda..Tumtunze ❤

  • @BakarySalim-xn7po
    @BakarySalim-xn7po Před 9 měsíci

    Jamaa anajua siasa

  • @mchiwakaka8911
    @mchiwakaka8911 Před 9 měsíci +1

    mungu akupe maishamarefu❤❤❤

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 Před 9 měsíci +2

    NAPE ALIFITI SANA KWENYE HII NAFASI

    • @NunuKupela
      @NunuKupela Před 9 měsíci

      Sana sana aliweza mno na Bado akipewa nafas anaweza unaushawishi mzur

  • @Ramadhaningamba
    @Ramadhaningamba Před 8 měsíci

    Kwaiyo ata ukikosea kiongea una kua umeagizwaa

  • @hajiissa9200
    @hajiissa9200 Před 9 měsíci

    Combread upo vizuri tunakupongeza combread

  • @user-pm7pj6zi6q
    @user-pm7pj6zi6q Před 9 měsíci

    Congratulations

  • @goodnessmndeme198
    @goodnessmndeme198 Před 9 měsíci

    Mwenezi msaidie mama watumishi kilio chetu hatutaki hiki kikokotoo tunakufa kwa stress tunataka turudi kikokotoo kile cha awali

  • @nasermeme80
    @nasermeme80 Před 9 měsíci +2

    Chama cha mapinduzi ni wanyanyasaji kwa vijana kazi yao kuchumia matumbo yao tu ikifika kipindi cha kampen kutudanganya na kofia tu

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Před 9 měsíci +2

    Makonda tunaomba tu umsaidie mama warda alokuwa akikaa kwa mwalimu wema tunakuomba sana wewe kiongozi shujaa warda kapotea na kapotelea kwa mwalimu wema lakini mwalimu wema kakaa kimya kama hajapotelewa na mtoto

    • @bahatielias6443
      @bahatielias6443 Před 9 měsíci

      Makonda siyo polis, nendeni polisi mkaeleze mtasaidiwa,huko mnakotaka Ni kwenye siasa

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha Před 8 měsíci

    Miaka zaidi ya 60. mnaimba ngonjera zile zile. Kwanini msijiulize ni kwanini hawajakombolewa kama kweli mnajua mnachofanya zaidi ya usanii? Leo umeramba matapishi yako pale ulipomtisha. Natamani akuripishie

  • @jafalishomary
    @jafalishomary Před 9 měsíci

    Safisana makonda tunakuamini upo vzr

  • @immanuelinvocavith1498
    @immanuelinvocavith1498 Před 9 měsíci +1

    Kiburi hutangulia anguko

  • @kaliskaguzkalis4424
    @kaliskaguzkalis4424 Před 9 měsíci

    Taratibu taratibu mzee siasa hainaga sifa kaka, unakula nao unacheka nao na...

  • @ahmedhamis
    @ahmedhamis Před 9 měsíci

    Mtoto warda aliyepotea wakuu mfuatilieni

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 Před 9 měsíci +1

    WANACHAMA WAMEKUA MACHAWA SIO SAUTI YA WANANCHI WANACHAMA KAZI YETU NI KUSIGIA TU

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 9 měsíci

    Wakurudishe tu uwe mkuu wa mkoa wa dar madawa ya kulevya ni mengi sanaaaa

  • @winfridagama5832
    @winfridagama5832 Před 9 měsíci

    Nilikumiss

  • @aminaasia-jl8fk
    @aminaasia-jl8fk Před 9 měsíci

    Basi tunaomba kunafamilyi inamtafuta mtoto wao warda tunaomba msaada maanahawa viongozi wengine wameshindwa

  • @derickcowly6681
    @derickcowly6681 Před 9 měsíci

    Chalamila mwenzako atakusaidia sana apo Dar es salaam kazi imempata mfanyakazi 😂😂😂

  • @wardaridhwankassim4774
    @wardaridhwankassim4774 Před 9 měsíci

    Mungu oyee tenaa😂😂 Yaan huyu Aktoboa 2025 sjui

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z Před 9 měsíci +1

    Anae jua uwezo wako ni mkeo.

  • @user-zs7wn3xe7o
    @user-zs7wn3xe7o Před 9 měsíci

    Katiba mpya tunapata au?

  • @hidayaismail-fk1js
    @hidayaismail-fk1js Před 9 měsíci

    ila jamaa kazid et mungu oyeee dur

  • @catherineHenryMalila
    @catherineHenryMalila Před 9 měsíci +2

    Waliaza hivyo.kwakua wanakujua Umefanya ukatili sana kwa baadhi Raia...kipindi cha magufuli umeumiza wengi...ulitumiwa vibaya...mlilitaja sana jina la Mungu lakini huku mkifanya ukatili...mlikua watu wa kupenda kusifiwa sana...watu wamekunugunikia sana....jitahidi kutumia polite language

  • @japhetselestine2156
    @japhetselestine2156 Před 9 měsíci

    Unafaa hata kuwa Raisi ndg, una hotuba zenye upako, Mungu wa Mbinguni akutunze na kukuinua, ikimpendeza akakufikishe hata kwenye ngazi ya Uraisi, wewe ni maghufuli namba mbili.

  • @derickcowly6681
    @derickcowly6681 Před 9 měsíci

    Moto wako ni mkali utaweza kweli kweli

  • @salmahostel903
    @salmahostel903 Před 7 měsíci

    Makonda tunakuomba uje huku kwetu Arusha sombetini hatuna umeme na ukija una haribu vitu maji miezi 2 hakuna maji lakini bili zinakuja kumbukeni uchaguzi unakuja

  • @MariaKegoro-xv2ou
    @MariaKegoro-xv2ou Před 9 měsíci

    Jembe

  • @HassanSimeon
    @HassanSimeon Před 9 měsíci

    Ila bro dah hay

  • @ankoanko-zz7it
    @ankoanko-zz7it Před 9 měsíci +1

    Mwamba huyu hapa.

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 Před 9 měsíci

    Kumbe bado upo😂

  • @sultankivumbi9255
    @sultankivumbi9255 Před 9 měsíci

    Akiwemo huyuapa😅😅

  • @mamylnkuzi8482
    @mamylnkuzi8482 Před 8 měsíci

    MUNGU akulinde tupo nyuma yako tunakuombeaa

  • @evaristkasavaga402
    @evaristkasavaga402 Před 9 měsíci

    sikioni kinachofurahiwa hapa maana umeme shida maji shida mafuta bei juu nyie mmefurahi tu

  • @shebbytrante7025
    @shebbytrante7025 Před 8 měsíci

    Simpendi huyu baba,sijui kwann hafi

  • @tatotato506
    @tatotato506 Před 9 měsíci +1

    Makonda kaka yetu kunamtoto wetu warda kapotea kwa mwalimu wema tusaidie apatikane

  • @rasvegas8991
    @rasvegas8991 Před 9 měsíci

    Mama wardaa

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    NAKUAMINIA MAKONDA WAKONDESHE MAPEMA MAJIPU YAMEIVA MENGI KWA VIONGOZI TUMBUA NYAYO ZA BABA HAYATI 👏 😂

  • @fatmamsiliwa8485
    @fatmamsiliwa8485 Před 9 měsíci

    Mm nilimeshamtumia kink😊

  • @michaelmwambije3603
    @michaelmwambije3603 Před 9 měsíci +1

    Unafany ukaseme jela Kwa uov ulio ufanya

  • @stanymccary7136
    @stanymccary7136 Před 9 měsíci

    Yani Chalamila hatoskika tena 😃

  • @elizabethswai7777
    @elizabethswai7777 Před 9 měsíci

    ❤2025 Rais wangu P.Makonda

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 Před 9 měsíci

    Kuna vitu vidogo vidogo tu hyu akijirekebisha atakua kiongoz bora san kwa upande wa wanyonge nadhani kuanzia sasa wataanza kufurahi magufuli no 2 please watu wasije waka...

  • @athumanihamisi6265
    @athumanihamisi6265 Před 9 měsíci

    Mama amechemka

  • @shijamakoye6013
    @shijamakoye6013 Před 9 měsíci

    Mama kachoka sasa kaona ngoja awaletee chuma

  • @davidtz1320
    @davidtz1320 Před 9 měsíci

    Bro Ushauri wangu jitahid kubakisha maneno katika uongozi wako binadamu hawana kumbukumbu

    • @mossyfimbo3577
      @mossyfimbo3577 Před 7 měsíci

      Binaadamu kuwambiwa ukweli huwa hawapendi siku zoote kwa kuwa ni majizi

  • @allymasanilo1961
    @allymasanilo1961 Před 9 měsíci

    iki chuma kisipate uraisi kaz ipo😅

  • @Kadebecomedy
    @Kadebecomedy Před 9 měsíci

    Baba baba karibuuuuuuuuuuuuu❤❤❤❤❤❤

  • @dannywillson5874
    @dannywillson5874 Před 9 měsíci

    Chalamila huyu huyu naemjua mmi au kisa alopok ovyo n mbish na mtata

  • @happypiusi3801
    @happypiusi3801 Před 9 měsíci

    ,💪💪💪💪💪💚💛💚💚💚💚💚

  • @lemonadesoldier1377
    @lemonadesoldier1377 Před 9 měsíci

    Mwizi wa kura anaongea😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 Před 9 měsíci

    Spidi, tuonyeshe ulichofanya Dar?

    • @musakihama7205
      @musakihama7205 Před 9 měsíci

      Wewe hukijui?au ndio miwani ya mbao mpaka kisu na Mbowe waseme ndio ujue alifanya kazi,au hakufanya.

  • @user-kd9cj8zb8s
    @user-kd9cj8zb8s Před 8 měsíci

    Abee

  • @abuumkumbalu9123
    @abuumkumbalu9123 Před 9 měsíci

    Bashite huyo kaja na Speed

    • @saliminyusuph6122
      @saliminyusuph6122 Před 9 měsíci

      Huyu jamaa mama akimpa ulinzi kweli aogopagi mtu. Yupo tayari azipige ata ngumi😁😁😂😂

  • @Gracemima
    @Gracemima Před 8 měsíci

    NILIMUONYA TUNDU LISSU, KUMUTUSI HAYATI MAGUFULI, NI KUWAUDHI WATANZANIA WALIO WENGI. WATU WANAVYO MUSHANGILIA MAKONDA, NI HOPE YA KUONA KAZI YA MAGUFULI KWA SASA INASHUGHULIKIWA NA HAIPUUZWI NA KUONA SAUTI YA MAGUFULI IMERUDI. HII IMEWAPA HOPE WATANZANIA.

  • @yussufsaid8223
    @yussufsaid8223 Před 9 měsíci

    Allah akupe hidaya uweze kuijua haki na kuifata,chapakaz makonda

  • @PaulPyumpa
    @PaulPyumpa Před 9 měsíci

    Majambaz wamerudi mzigoni

  • @ramadhaniraphael6955
    @ramadhaniraphael6955 Před 9 měsíci +2

    Hana jipya huyo