Makonda ndio mtekaji mkubwa muulizeni Roma mkatoliki aliyesema atarudi jumatatu!! muulizeni Mo Dewji nani alimteka? na Ben saanane yuko wapi? Makonda anajitafutia umaarufu wa kisiasa hana uwezo wa kuwasaidia..
Rais wetu kipenzi naomba kupitia kazi nzuri anayoifanya muenezi wako makonda naomba umsaidie mdogo wetu huyo. Coz umri mdogo kapitia magumu sana...hawa watu wenyepesa wahukumiwe wapo na wanajulikana. Kiwanja kimeende, mume katekwa jaman...haki anayo bado mtu anajenga VIONGOZI wapo. Mama yetu fanya kitu kwa mjukuu wako unapokuja mwanza hao watu walipe hyo ardhi watiwe ndani...mjukuu wako apate haki yake ona kakabidhi chama ndo mzazi wake pekee wa kusimamia suala lake. Vaa viatu huyu ndo binti yenu mngefanya nn. Tunaimani nawe Raisi wetu
Lengo nikusaidia wananchi ktk magumu wanayoyapitia hasa wa hali ya chini mfano wa huyu dada!! Mkuu nikushukuru sana Mungu akuzidishie afya njema ya akili na mwili wanyonge wapate HAKI, nimeelewa sana toka kwako japo mwanzoni nilijifanya mgumu kukuelewa matendo yako yanaongea. Amina
Mheshimiwa Makonda wanyonge wasaidiwe huyu Mama Bwana alichukuliwa na hajui Bwana juu wapi Baba Mzazi haijulikani kama juu hai hii inauma mimi nafikiri ni udanganyifu na Rushwa Serikali iliyoko Madarakani ichukuwe Hatua asante
Haya mambo ni mengi hata mimi nimezulumiwa na kutishiwa kuuwawa na police haohoa nimeriport kwao lakini mtuhumiwa alivyo fila police nikaanza kutishiwa na police tena.hujumana dhuluma ni nyingi sana
Kwahiyo viongozi unaonafahari kusimama majukwaani mnapokelewa namabango ya KERO Tena zenye rangi na rushwa harufu yarushwa mnajiona mkosawa wakati hayosiyo yaleo
Natamani Makonda akabidhiwe Wizara ya Ardhi miezi mitatu tu, Migogoro yote ya ardhi itaisha within, akitoka huko apewe mambo ya ndani awanyooshe watu fulani hivi, baadae amalize na katiba na Sheria. Wallah ndugu zangu kuna wananchi wana matatizo makubwa sana, na watesi wao ni watu waliopo kwenye mamlaka fulani, sasa Rais hawezi kujua Kijiji Flani Kata Fulani kuna mwananchi huyo anahitaji watu kama Makonda kumsaidia.
Makonda Mungu akulinde Daima ,hapana mtu apotee miaka mitatu hapana wahusika wmuogope MUNGU
Makonda Mungu atakupa wepesi pia Mama Samia Suluhu Hassan Amlinde Makonda....
Makonda ndio mtekaji mkubwa muulizeni Roma mkatoliki aliyesema atarudi jumatatu!! muulizeni Mo Dewji nani alimteka? na Ben saanane yuko wapi? Makonda anajitafutia umaarufu wa kisiasa hana uwezo wa kuwasaidia..
@@user-fr7jj1bo7y Roma ni muharibifu wa Ukiristo na Mila za TANZANIA ndio Nani Roma
Huyu dada yuko smart na ni jasiri,licha ya magumu ila anajenga hoja na inasikika
Rais wetu kipenzi naomba kupitia kazi nzuri anayoifanya muenezi wako makonda naomba umsaidie mdogo wetu huyo. Coz umri mdogo kapitia magumu sana...hawa watu wenyepesa wahukumiwe wapo na wanajulikana. Kiwanja kimeende, mume katekwa jaman...haki anayo bado mtu anajenga VIONGOZI wapo. Mama yetu fanya kitu kwa mjukuu wako unapokuja mwanza hao watu walipe hyo ardhi watiwe ndani...mjukuu wako apate haki yake ona kakabidhi chama ndo mzazi wake pekee wa kusimamia suala lake. Vaa viatu huyu ndo binti yenu mngefanya nn. Tunaimani nawe Raisi wetu
Mungu akutie nguvu Makonda naamini umewekwa na Mungu kuwasaidia wanyonge. Wapenda haki tumuombee afanye vizuri zaidi
Chadema wamehukumiwa serikali kwakuzuia sukari na mgao
Makonda ajekuwa hakim . Mahakama zifungwe makonda atosha
Magufuli alimfundisha mutu na anatekelezwa kama alivyofundishwa na kufanya Kwa usahihi
Nikimsikia mtu anamsema vibaya maonda namdharau sn kwamba nitahira tus
Jamaniii jamaniii Tanzania tunahangaika nyumbani kwetu wenyewe kwa nn utu umepotee ebu viongozi muwe na hofu ya MUNGU
kama hukumu ya baraza la aridhi haijatoka huyo anaendelezaje hapo
Magufuli apa daah mwenyezi mungu amlaze mali pema peponi masikin mzee wawatu
Hapo ndipo kunawasiwasi.
Amejuaje kuwa huyo ni marehemu.
Nimeshangaa
Yanii😢😢😢
YESU WANGU😳🙆
Huyo dada ndo anasema marehemu
Mungu amsaidie Makonda kwakweli, una roho wa Mungu ndani yako.
Nakupenda Makonda,Samia huyuuu
Hawa police wa sasa wapenda hela wanajali hela kuliko wananji yaani mtu ametekwa hajapatikana alafu wahusika wameachiwa.
Huyu dada anaakili ana hekima busara na uvumilivu Mungu akulinde na kuubariki🙏
Naanza kumuelewa Makonda.
Mungu akubariki Makonda 🙏🙏🤍❤️
Makonda hoyer
Lengo nikusaidia wananchi ktk magumu wanayoyapitia hasa wa hali ya chini mfano wa huyu dada!! Mkuu nikushukuru sana Mungu akuzidishie afya njema ya akili na mwili wanyonge wapate HAKI, nimeelewa sana toka kwako japo mwanzoni nilijifanya mgumu kukuelewa matendo yako yanaongea. Amina
Huyu ni mahututi ajae
Mmh aisee Mungu akutie nguvu..na aliye mshauri mama kukupata Amejua kututafuta wa tz ..tulikuwa hatupo kama hatutaki hata kuwaona uonevu umezidi jmn
Nakupenda sanaaaaaaaa makonda wenye roho mbaya wanateseka
Hii kali,yaan mtu amepotea halafu watu wanapatikana na vitu vya marehem wanaachiwa wakati alietekwa hajapatikana.
Makonda Mungu unayemuamini akufanikishe sana
Wati wasio julikana mmmmmhhhhhh???mie nilijuwa wasio julikana waliisha
Mungu akulinde sana makonda wewe ni mtetezi wawanyonge😭😭😭
Pole sna kipenz mung yupo pamoja nawe yote yatapita
Hiii kazi anayoifanya makonda na mama afanye ndo anaweza kutoa maamuzi makonda hana maamuzi Kama raisi wetu
Mheshimiwa Makonda wanyonge wasaidiwe huyu Mama Bwana alichukuliwa na hajui Bwana juu wapi Baba Mzazi haijulikani kama juu hai hii inauma mimi nafikiri ni udanganyifu na Rushwa Serikali iliyoko Madarakani ichukuwe Hatua asante
Jamani uyu mungu uyu
Matangazo meng millard ayo
Haya mambo ni mengi hata mimi nimezulumiwa na kutishiwa kuuwawa na police haohoa nimeriport kwao lakini mtuhumiwa alivyo fila police nikaanza kutishiwa na police tena.hujumana dhuluma ni nyingi sana
Kweli huyu Jamaa mkurya mfyatua na muuza matofali alipotezwa, hajaonekana hadi leo. sisi wakazi wa kahama tunalijua hilo.
Wewe mungu akusimamie nakwelewa
Huu ni mwili wa makonda ila roho niya magufuri
Haya maisha inabidi watu wawe wanachukua hatua mkononi
Piga kazi mzee
Raisi wetu huyu anakufaaa sanaaa
hivi kwel hawa watu wanashida isije ikiwa wanapangwa 🤣🤣🤣 maana fisiem wajanja wajanja sana
Mjanja lazima amjue mjanja mwenzie... Na mkweli lazima amjue mkweli ko Kazi kwako
Huyu askari anajuwa simu ya marehem mume kwani huyu aliyetekwa amekufa? Mheshimiwa makonda hao viongozi yaani askari wanajuwa ukweli wa aliyepoteya😅
Chadema wamehukumiwa sukari na umeme
Kwahiyo viongozi unaonafahari kusimama majukwaani mnapokelewa namabango ya KERO Tena zenye rangi na rushwa harufu yarushwa mnajiona mkosawa wakati hayosiyo yaleo
Madudu tupu hii nchi duu mungusaidia
Watupe chombo chakuwafeport hawa police wanaopewa rushwa halafu wanashiriki kuzulumu kuonia watu masikini
Natamani Makonda akabidhiwe Wizara ya Ardhi miezi mitatu tu, Migogoro yote ya ardhi itaisha within, akitoka huko apewe mambo ya ndani awanyooshe watu fulani hivi, baadae amalize na katiba na Sheria. Wallah ndugu zangu kuna wananchi wana matatizo makubwa sana, na watesi wao ni watu waliopo kwenye mamlaka fulani, sasa Rais hawezi kujua Kijiji Flani Kata Fulani kuna mwananchi huyo anahitaji watu kama Makonda kumsaidia.
Mwenye haki hajawai kuachwa dada utapata haki yako ata ikichelewa
Ukimaliza kuisaidia hii familia Mheshimiwa uisaidie na familia ya Ben saanane hawajui ndugu yao alipo mpk leo
Huyu anatakiwa mungu achukue chake bas
Kumbe ukweli unaujua kuwa jamaa kashakuwa malehemu sasa shida nn
Mbona picha za kihindi😂😮😅😊😢
Mtekaji kapewa kesi ya utekaji kashindwa kutekeleza utekaji
Waliotekwa wapo wengi mbon sasa tunaugulia maumivu tu kwakweli
dada unajichoooo sio poa
Huyu ni mahututi ajae 4:42
December 7 mwezi wa 12😂😂😂
Namuona
Kuomba Magufuli Kwa mbali
Bada hamujasem
RPC bwege unawajibikaje kwa Makonda?
Makonda kwa sasa apewe ulinzi wa ikulu
Adumu makonda
Huyu dada asaidiewe jamn ili jambo ni la muda sana
Makonda tumufananishe na maguli?
Mama unaona wananchi wako wanavyo nyimwa haki zao,nahao ulio wapa majukumu ili wakusaidie kazi
Mtekaji anashugulikia utekwaji
Una uwakika Au mdomo mali yako
Huyu ni mahututi ajae