"RPC MTAFUTE IGP" MAKONDA ACHUKIA UTEKAJI "AU MNAANGAIKA NA WATOTO WA VIGOGO MASIKINI MNAWAACHA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 01. 2024

Komentáře • 76

  • @KennedyZabron
    @KennedyZabron Před 5 měsíci +2

    Makonda Mungu akulinde Daima ,hapana mtu apotee miaka mitatu hapana wahusika wmuogope MUNGU

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed Před 5 měsíci +10

    Makonda Mungu atakupa wepesi pia Mama Samia Suluhu Hassan Amlinde Makonda....

    • @user-fr7jj1bo7y
      @user-fr7jj1bo7y Před 5 měsíci

      Makonda ndio mtekaji mkubwa muulizeni Roma mkatoliki aliyesema atarudi jumatatu!! muulizeni Mo Dewji nani alimteka? na Ben saanane yuko wapi? Makonda anajitafutia umaarufu wa kisiasa hana uwezo wa kuwasaidia..

    • @AleiHadji-js3ed
      @AleiHadji-js3ed Před 5 měsíci

      @@user-fr7jj1bo7y Roma ni muharibifu wa Ukiristo na Mila za TANZANIA ndio Nani Roma

  • @hosseasimon3887
    @hosseasimon3887 Před 5 měsíci +5

    Huyu dada yuko smart na ni jasiri,licha ya magumu ila anajenga hoja na inasikika

  • @user-cz5qg1rh5o
    @user-cz5qg1rh5o Před 5 měsíci +7

    Rais wetu kipenzi naomba kupitia kazi nzuri anayoifanya muenezi wako makonda naomba umsaidie mdogo wetu huyo. Coz umri mdogo kapitia magumu sana...hawa watu wenyepesa wahukumiwe wapo na wanajulikana. Kiwanja kimeende, mume katekwa jaman...haki anayo bado mtu anajenga VIONGOZI wapo. Mama yetu fanya kitu kwa mjukuu wako unapokuja mwanza hao watu walipe hyo ardhi watiwe ndani...mjukuu wako apate haki yake ona kakabidhi chama ndo mzazi wake pekee wa kusimamia suala lake. Vaa viatu huyu ndo binti yenu mngefanya nn. Tunaimani nawe Raisi wetu

  • @geegalax6479
    @geegalax6479 Před 5 měsíci +4

    Mungu akutie nguvu Makonda naamini umewekwa na Mungu kuwasaidia wanyonge. Wapenda haki tumuombee afanye vizuri zaidi

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Před 5 měsíci +1

    Makonda ajekuwa hakim . Mahakama zifungwe makonda atosha

  • @ismaelgadiye4488
    @ismaelgadiye4488 Před 5 měsíci +4

    Magufuli alimfundisha mutu na anatekelezwa kama alivyofundishwa na kufanya Kwa usahihi

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Před 5 měsíci +1

    Nikimsikia mtu anamsema vibaya maonda namdharau sn kwamba nitahira tus

  • @KennedyZabron
    @KennedyZabron Před 5 měsíci +1

    Jamaniii jamaniii Tanzania tunahangaika nyumbani kwetu wenyewe kwa nn utu umepotee ebu viongozi muwe na hofu ya MUNGU

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 Před 5 měsíci +5

    kama hukumu ya baraza la aridhi haijatoka huyo anaendelezaje hapo

  • @wizzydomtz
    @wizzydomtz Před 5 měsíci +3

    Magufuli apa daah mwenyezi mungu amlaze mali pema peponi masikin mzee wawatu

  • @josephmwanilonga1492
    @josephmwanilonga1492 Před 5 měsíci +7

    Amejuaje kuwa huyo ni marehemu.

  • @user-vt4wj1fr2c
    @user-vt4wj1fr2c Před 5 měsíci

    Mungu amsaidie Makonda kwakweli, una roho wa Mungu ndani yako.

  • @JoyceJames-bp6gq
    @JoyceJames-bp6gq Před 5 měsíci +1

    Nakupenda Makonda,Samia huyuuu

  • @LoshilaaMollel-qh5pb
    @LoshilaaMollel-qh5pb Před 5 měsíci +1

    Hawa police wa sasa wapenda hela wanajali hela kuliko wananji yaani mtu ametekwa hajapatikana alafu wahusika wameachiwa.

  • @lvanyDaniel_pw7kk
    @lvanyDaniel_pw7kk Před 5 měsíci

    Huyu dada anaakili ana hekima busara na uvumilivu Mungu akulinde na kuubariki🙏

  • @user-jj9or2ns2e
    @user-jj9or2ns2e Před 5 měsíci +2

    Naanza kumuelewa Makonda.

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Před 5 měsíci +1

    Mungu akubariki Makonda 🙏🙏🤍❤️

  • @eastherdorinejuma
    @eastherdorinejuma Před měsícem +1

    Makonda hoyer

  • @dominicmawala5614
    @dominicmawala5614 Před 5 měsíci

    Lengo nikusaidia wananchi ktk magumu wanayoyapitia hasa wa hali ya chini mfano wa huyu dada!! Mkuu nikushukuru sana Mungu akuzidishie afya njema ya akili na mwili wanyonge wapate HAKI, nimeelewa sana toka kwako japo mwanzoni nilijifanya mgumu kukuelewa matendo yako yanaongea. Amina

  • @user-ci1sm6sv9d
    @user-ci1sm6sv9d Před 5 měsíci +1

    Huyu ni mahututi ajae

  • @user-dq1ss2uq6u
    @user-dq1ss2uq6u Před 5 měsíci

    Mmh aisee Mungu akutie nguvu..na aliye mshauri mama kukupata Amejua kututafuta wa tz ..tulikuwa hatupo kama hatutaki hata kuwaona uonevu umezidi jmn

  • @happypiusi3801
    @happypiusi3801 Před 5 měsíci

    Nakupenda sanaaaaaaaa makonda wenye roho mbaya wanateseka

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Před 5 měsíci

    Hii kali,yaan mtu amepotea halafu watu wanapatikana na vitu vya marehem wanaachiwa wakati alietekwa hajapatikana.

  • @aziziatumanially424
    @aziziatumanially424 Před 5 měsíci

    Makonda Mungu unayemuamini akufanikishe sana

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv Před 5 měsíci +1

    Wati wasio julikana mmmmmhhhhhh???mie nilijuwa wasio julikana waliisha

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 Před 5 měsíci

    Mungu akulinde sana makonda wewe ni mtetezi wawanyonge😭😭😭

  • @zainabumsafir1182
    @zainabumsafir1182 Před 5 měsíci

    Pole sna kipenz mung yupo pamoja nawe yote yatapita

  • @aishaabrahaman9957
    @aishaabrahaman9957 Před 5 měsíci

    Hiii kazi anayoifanya makonda na mama afanye ndo anaweza kutoa maamuzi makonda hana maamuzi Kama raisi wetu

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 Před 3 měsíci

    Mheshimiwa Makonda wanyonge wasaidiwe huyu Mama Bwana alichukuliwa na hajui Bwana juu wapi Baba Mzazi haijulikani kama juu hai hii inauma mimi nafikiri ni udanganyifu na Rushwa Serikali iliyoko Madarakani ichukuwe Hatua asante

  • @TinahFrank
    @TinahFrank Před 2 měsíci

    Jamani uyu mungu uyu

  • @abuubaya7614
    @abuubaya7614 Před 5 měsíci +1

    Matangazo meng millard ayo

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 Před 5 měsíci

    Haya mambo ni mengi hata mimi nimezulumiwa na kutishiwa kuuwawa na police haohoa nimeriport kwao lakini mtuhumiwa alivyo fila police nikaanza kutishiwa na police tena.hujumana dhuluma ni nyingi sana

  • @immanuelcharles2699
    @immanuelcharles2699 Před 5 měsíci

    Kweli huyu Jamaa mkurya mfyatua na muuza matofali alipotezwa, hajaonekana hadi leo. sisi wakazi wa kahama tunalijua hilo.

  • @RashidMwasiposya-ck6py
    @RashidMwasiposya-ck6py Před 5 měsíci

    Wewe mungu akusimamie nakwelewa

  • @lvanyDaniel_pw7kk
    @lvanyDaniel_pw7kk Před 5 měsíci

    Huu ni mwili wa makonda ila roho niya magufuri

  • @aishaabrahaman9957
    @aishaabrahaman9957 Před 5 měsíci

    Haya maisha inabidi watu wawe wanachukua hatua mkononi

  • @keitatv9219
    @keitatv9219 Před 5 měsíci

    Piga kazi mzee

  • @JoyceJames-bp6gq
    @JoyceJames-bp6gq Před 5 měsíci

    Raisi wetu huyu anakufaaa sanaaa

  • @exprodigitaltechtv5571
    @exprodigitaltechtv5571 Před 5 měsíci +1

    hivi kwel hawa watu wanashida isije ikiwa wanapangwa 🤣🤣🤣 maana fisiem wajanja wajanja sana

    • @stellamsokwa6785
      @stellamsokwa6785 Před 5 měsíci

      Mjanja lazima amjue mjanja mwenzie... Na mkweli lazima amjue mkweli ko Kazi kwako

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 Před 5 měsíci

    Huyu askari anajuwa simu ya marehem mume kwani huyu aliyetekwa amekufa? Mheshimiwa makonda hao viongozi yaani askari wanajuwa ukweli wa aliyepoteya😅

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Před 5 měsíci

    Chadema wamehukumiwa sukari na umeme

  • @abihudikihemba5891
    @abihudikihemba5891 Před 5 měsíci

    Kwahiyo viongozi unaonafahari kusimama majukwaani mnapokelewa namabango ya KERO Tena zenye rangi na rushwa harufu yarushwa mnajiona mkosawa wakati hayosiyo yaleo

  • @MaikoSinyinza
    @MaikoSinyinza Před 4 měsíci

    Madudu tupu hii nchi duu mungusaidia

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 Před 5 měsíci

    Watupe chombo chakuwafeport hawa police wanaopewa rushwa halafu wanashiriki kuzulumu kuonia watu masikini

  • @rabiamenshoo1988
    @rabiamenshoo1988 Před 5 měsíci

    Natamani Makonda akabidhiwe Wizara ya Ardhi miezi mitatu tu, Migogoro yote ya ardhi itaisha within, akitoka huko apewe mambo ya ndani awanyooshe watu fulani hivi, baadae amalize na katiba na Sheria. Wallah ndugu zangu kuna wananchi wana matatizo makubwa sana, na watesi wao ni watu waliopo kwenye mamlaka fulani, sasa Rais hawezi kujua Kijiji Flani Kata Fulani kuna mwananchi huyo anahitaji watu kama Makonda kumsaidia.

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Před 5 měsíci

    Mwenye haki hajawai kuachwa dada utapata haki yako ata ikichelewa

  • @afropatriot7769
    @afropatriot7769 Před 5 měsíci

    Ukimaliza kuisaidia hii familia Mheshimiwa uisaidie na familia ya Ben saanane hawajui ndugu yao alipo mpk leo

  • @imeldasamwel539
    @imeldasamwel539 Před 5 měsíci

    Huyu anatakiwa mungu achukue chake bas

  • @nelsonwilliam7578
    @nelsonwilliam7578 Před 5 měsíci

    Kumbe ukweli unaujua kuwa jamaa kashakuwa malehemu sasa shida nn

  • @damymzuri9989
    @damymzuri9989 Před 5 měsíci +2

    Mbona picha za kihindi😂😮😅😊😢

  • @user-lg2uv5tr4x
    @user-lg2uv5tr4x Před 5 měsíci

    Mtekaji kapewa kesi ya utekaji kashindwa kutekeleza utekaji

  • @faidamuhamed3011
    @faidamuhamed3011 Před 5 měsíci

    Waliotekwa wapo wengi mbon sasa tunaugulia maumivu tu kwakweli

  • @jumaramadhani8221
    @jumaramadhani8221 Před 5 měsíci

    dada unajichoooo sio poa

  • @user-ci1sm6sv9d
    @user-ci1sm6sv9d Před 5 měsíci

    Huyu ni mahututi ajae 4:42

  • @imanidida6140
    @imanidida6140 Před 5 měsíci

    December 7 mwezi wa 12😂😂😂

  • @user-ji7fu2ep3z
    @user-ji7fu2ep3z Před 5 měsíci

    Namuona
    Kuomba Magufuli Kwa mbali

  • @user-hv9pv3sd1u
    @user-hv9pv3sd1u Před 5 měsíci

    Bada hamujasem

  • @angelsblackboard8008
    @angelsblackboard8008 Před 5 měsíci

    RPC bwege unawajibikaje kwa Makonda?

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 Před 5 měsíci

    Makonda kwa sasa apewe ulinzi wa ikulu

  • @monicagodfrey7251
    @monicagodfrey7251 Před 5 měsíci

    Adumu makonda

  • @GraceMhoja-zc7yg
    @GraceMhoja-zc7yg Před 5 měsíci

    Huyu dada asaidiewe jamn ili jambo ni la muda sana

  • @alimasha-qh3vn
    @alimasha-qh3vn Před 5 měsíci

    Makonda tumufananishe na maguli?

  • @jumamohamedy731
    @jumamohamedy731 Před 5 měsíci +1

    Mama unaona wananchi wako wanavyo nyimwa haki zao,nahao ulio wapa majukumu ili wakusaidie kazi

  • @ackshuba8679
    @ackshuba8679 Před 5 měsíci

    Mtekaji anashugulikia utekwaji

  • @user-ci1sm6sv9d
    @user-ci1sm6sv9d Před 5 měsíci

    Huyu ni mahututi ajae