Simba walivyowasili Bukoba kuwavaa Kagera Sugar; Ahmed Ally afunguka kuhusu Chama
Vložit
- čas přidán 10. 05. 2024
- KAGERA SUGAR vs SIMBA | Simba yatua kwa kishindo Bukoba tayari kuwakabili Kagera Sugar, mashabiki wafunguka matarajio yao, Ahmed Ally aweka wazi mipango akieleza sababu za kuwakosa Chama, Miquissone, Saido, na Kibu Denis
…..asema “mwisho wa kupata matokeo mabaya kwenye Uwanja wa Kaitaba ni kesho Mei 12”. - Sport
❤️ ALHAMDULILLAH❤️ Safi bukoba wanalunyasi tupo nanyie Inshallah 🇹🇿 🇦🇪
Ushindi ni kagera
Wamejivunjaaa haoo makusudii
Simba haitoki kaitaba
Simba kuchukua kombe labda kwa njia ya kuliuba tu
unasema ...?
@@mirzah117 waende ofisi za TFF wakaibe kombe kama wanataka wachukue kwa maana kuchukua ubingwa haitowezekana
Mm siamin kama chama na Luis ni majuruhi
Ni majeruhi ndugu yangu