Simba walivyowasili Bukoba kuwavaa Kagera Sugar; Ahmed Ally afunguka kuhusu Chama

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 05. 2024
  • KAGERA SUGAR vs SIMBA | Simba yatua kwa kishindo Bukoba tayari kuwakabili Kagera Sugar, mashabiki wafunguka matarajio yao, Ahmed Ally aweka wazi mipango akieleza sababu za kuwakosa Chama, Miquissone, Saido, na Kibu Denis
    …..asema “mwisho wa kupata matokeo mabaya kwenye Uwanja wa Kaitaba ni kesho Mei 12”.
  • Sport

Komentáře • 9

  • @Ommybabaa47
    @Ommybabaa47 Před 17 dny +1

    ❤️ ALHAMDULILLAH❤️ Safi bukoba wanalunyasi tupo nanyie Inshallah 🇹🇿 🇦🇪

  • @alexmzumbwe1328
    @alexmzumbwe1328 Před 16 dny +1

    Ushindi ni kagera

  • @Franccoz
    @Franccoz Před 16 dny +1

    Wamejivunjaaa haoo makusudii

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 Před 16 dny

    Simba haitoki kaitaba

  • @IsayaKisyeri
    @IsayaKisyeri Před 16 dny +2

    Simba kuchukua kombe labda kwa njia ya kuliuba tu

    • @mirzah117
      @mirzah117 Před 16 dny

      unasema ...?

    • @IsayaKisyeri
      @IsayaKisyeri Před 16 dny

      @@mirzah117 waende ofisi za TFF wakaibe kombe kama wanataka wachukue kwa maana kuchukua ubingwa haitowezekana

  • @user-vy5ei1xl4p
    @user-vy5ei1xl4p Před 17 dny +1

    Mm siamin kama chama na Luis ni majuruhi