Simba nitimu kubwa Tena tunaipenda sana lakin mnatukera sana viongozi was Simba Kwa uongowenu saabu hamjaanza leo kutuendesha endeleeni kutuendesha sana nahuo uongo wenu mngetujua mioyonni mweti tunavyo umia mngejiuzuru bila kuambiwa maana tumewachoka
Wawathamini hata waliopo niwazur ninamna yakuwtambua hata Hao wazur niwap Leo hatukupata matokeo kwasababu wasumbufu wali kuwa wawili chasambi Edwin barua fikilia kama chama micison kibu saido+chasambi naedwin fuled Hamna
Mda umefika wa kuaza kudanganywa Kama atujui Kat ya ao walio orozeshwa atu dirisha la usajiri litafunguliwa na adi linafungwa atuta waona sisi viongozi wamezoea kuchukua wachezaji wa bovu
Bdo tunarudi kulekule Simba inahutaji wachezaji wakubwa zaid ya haoo hi club n kubwa kwa sasaa wengi wao ni majina tupuu,viongizi mbn wanakosa vision ya mbaliii
Hiz taarifa ziwe za kwelii tu mkitudanganya mungu anawaonaa !!
😂😂😂 wnatudanganya sisi wanasimba
Jamani kama hayo ni ya kweli basi wanatosha. Ila bado Kiungo mkabaji.
❤SIMBA
Simba Mungu anawaona mkitudanganya
Simba nitimu kubwa Tena tunaipenda sana lakin mnatukera sana viongozi was Simba Kwa uongowenu saabu hamjaanza leo kutuendesha endeleeni kutuendesha sana nahuo uongo wenu mngetujua mioyonni mweti tunavyo umia mngejiuzuru bila kuambiwa maana tumewachoka
Yani ikiwa iko hivi namini kikombe msimu hujao wekundu wa msimbazi wana chukuwa❤ love you simbaa
Hapa hakuna kitu kama ndio yo tutaendelea kuwa watumwa wa utopolo sioni kwa Nini tunasajili wachezaji wachovu kama hao
Mkitudanganya mtatuudhi Sana Sisi wapenzi na Masha Oki WA simba
Tufik mahal tuwe wakwel.👍
Wawathamini hata waliopo niwazur ninamna yakuwtambua hata Hao wazur niwap Leo hatukupata matokeo kwasababu wasumbufu wali kuwa wawili chasambi Edwin barua fikilia kama chama micison kibu saido+chasambi naedwin fuled Hamna
Mkitudanganya mtakera sanaa
Mseme kweli maana mwatudanganya kila msimu
Simba bado hawana macho ya kuona wachezaji wazuri
Jaman kuwen wazi ifike hatua mumuogope Mungu kwa kauli zenu
Kama kweli tutaona
Mda umefika wa kuaza kudanganywa Kama atujui Kat ya ao walio orozeshwa atu dirisha la usajiri litafunguliwa na adi linafungwa atuta waona sisi viongozi wamezoea kuchukua wachezaji wa bovu
Kama hayo ni ya kweli Simba tutakuwa vizuri sana na mashabiki wengi watarudi maana tumepoteana sana
uongo wa kutufariji maumivu ni makubwa hii haisaidii
5:45 ikiwa hivyo itakuwa vzr
Naiwe hivyo❤❤
Duuuuuuuu! Jaman jaman jamaaan Kula chuma hiyoooo wanasimba tutakula lasta hizoo
Hebu punguzeni uongo Yani mnazidi tu kutudanganya tu halafu mnazidi kuongeza wazee
Simba nguvu moja
hayo ni ya kweli au tetesi
tarifa za Simba zareo 1:08
Hivi haya mnayoyasema ni yakweli msidanganye mashabiki
Tunawakaribisha wote tunatumaini .mungu akijaria
P
Uongo nyieeeeeeeee 😅😅😅
Manen hayo Kwan ni mara ngapi mnatundanganyaga❤
Daaah mi hata siwaamini hawa
Jamani mungusaidia yawe yakweli😮
Hatali.kama.ni.kweli
Shida ya wongoz wasimba niwaongo huwawanapost HIVo wachezaji mwisho wasku wanawaleta wakina jobe nawakina Fredi wamichongo Simba tumesha wazoea Kwa wango
Acha ujingaa bs brother
Kwann simba huwa wanaongea sana mpk tunashindwa kuamini lipi la kweli kama lile la mazoki yaani ni aibu tupu
Yakweli.hayoooo
Bdo tunarudi kulekule Simba inahutaji wachezaji wakubwa zaid ya haoo hi club n kubwa kwa sasaa wengi wao ni majina tupuu,viongizi mbn wanakosa vision ya mbaliii
Mbn wachezaji wengi wametokA humu humu NBC league hapa bongo.... Na sijaona sms tishio
Sawa inonga. Chama. Kapombe. Kibu. Saido. Manula. Wacha wa ondoke. Hawo walikwa wana hujumu Simba.
Ila lipoti yenu iwe naukweli make musiwe munatudanganya kama kweli munlo tuwambia mungu anawaona kla mulisemalo
Tukamwambia waziri wa habari awafatilie mmekuoa waongo sana mnaharibu tasnia ya habari
Jaman Kama ndoivy bad kiung .mkabaji
Hizo taarifa ziwe za ukweli bac jaman
Tumeridhia kama ni kweli napongeza. Mfadhili wetu simba
Azamu Watamtoa Fei kwenda Simba kwa mkopo kwa miaka miwili.
Iwe kweli kati ya hao ila sio juma shabani jamn mmh
Ngoja tuone kama kweli
Kama ni kweli sawa kiungo Mkabaji atafutwe tena
Ya kweli hayo?
Hiv nikweli au ndo munaturusha2
🎉mungu nimwema ita kuwatu
Sajilin hata messi yanga bado hatujaamua kumpa mtu hili kombe tukiamua tutawapa wala musijisumbue kusajili
Wasije wa wakayajabhaga tena simba kwenye kusajil
Vyoteee mfanye lakin mgunda awemkuuu
Kama kwer msimu ujao tunarudisha hesima yetu wanasimba
Ayo yakweri au mnatuta moyo wanasimbatu
Nikweli au munatudanganya
Mutuletee hao watu kweli maana munatuahidigi alafu mwisho wa siku wanapitaga hivi
Hakuna jipya. Hiyo ni fikis Tu. Mbona hao wachezaji ni wakawaida Sana.
Ikiwa hivooo itakuwa unyama xana
Asant Simba Kwa maandaliz yenu mazr
Tunaomba iwe kwel siyo maneno
Nikweli Yan watupag taarif za kwel
Mmh Kwa fei hapoo Kuna uhakika kwel
hayo.ni.maneno.sio.ya.kweli
Msiwe mnasema uongo aise
Ninakupenda Sana Tena Sana Ila uongozi sieielewi
Acheni uongo
Simba tumekuja kivingine dube woyooooo
2:30
tunawambia usajir mwaka huu msivulunde jamani
MMEANZA UONGO WENU HUWA MNASEMA HIVYOHIVYO NI USAJILI WA MAJINA TUU
me najua huu ni uongoo labda mpaka mwbaduke aseme
Usiwe usajili wamaneno iwe kweli tu.
Wanasimba tuache uongo mama uongo si dili
Jama wazee hatuwataki
Kama.ni.kweli.mo.simamie.mwenyewe.usajili
Kama kwel mwaka ujao makombe yot yet
Huyo Fei toto Hana jipya kabisa huko Azam Bora aende tu
Shida yenu niwaongo mno namnatukwaza mno wanasimba
Were ulicheza nae wapi hadi kujua ni mchovu Jamani hawa Jamaa safari kwa huo uongo
🎉
Simba tumebakia storitu bhan
Hapa inatosha tunasubiria Kwa hamu
Safisana kamasisi washabiki tumekubari ira misi poteze makubariano
haya.maneno.mnayo.sema.ni.ya.kweli.
kama.ni.kweli.tutaona
Kama mnatudanganya ole wenu
kiungo wa kati n
a namba 2 bado
Achen ujinga sisi siyo watoto wajisemee wenyewe mbwa sakisasa nyie
Tumchukue akamimko na kiple jaman
Nikweli hizo taarifa au
Sioni jina la lameki.lawi.mchezaji.wa.ndani beki kisiki
Kama nikwel itakuw unyam
Bado kiungo itakuwa fureshi
Nikweri
Mpeni mgunda ukocha mkuuu wewe muhindi wacha kuchukua makocha wabovu
Ww wachezaji huna usseme makocha wabovu kaka
Ivi hiki kitu ni kweri?
Tutaona tusiandikie mate wakati wino ipo
Umbea tu eeeeeeeeee