Ahemed Aly inashangaza kama unamtamani shawishi uongozi wako wamsajili usijifanye unampenda sana kuliko wanayanga sisi hatutoki kwenye njia na mpango huo wa kutaka kuidhofisha Yanga basi wewe na waliohusika katika hilo mmefeli sisi tunadonga mbele na mayele ataendelea kupata mafanikio aongeze bidii tu aache kujishirikisha na akina Ahemed washirikina.
Kwanza hii ni uchonganishi mkubwa. Kumbe mchezaji akishindwa kupaform alikouzwa Ni kutupiwa majini, kumbe wao ndiyo wa Kwanza. Kama anamsifia chama kua alikua wa motoo walipo muuza pamoja na Luis mikison. Lakini walishindwa kufanya vizuri, Kumbe ndiyo kazi yao kuwatumia mashetani wachezaji wao ili warudi tena, na siyo kuendelea mbele. Viongozi wa Simba Muwe making na huyo msemaji wenu, hapo mmepigwa na chuma kizito Sana.
Usiwe msemaji mnafiki ww ulikuwepo wakati mayele anatupiwa majini ww ni mfa maji tu uwachi kutapatapa unashindwa kuongea Cha maana unaongea pumba sema tu kama unamtaka ndio Maana unajisemesha ujinga tu Mimi naona simba hawana msemaji Wana pumba huyu anatakiwa kuwa msemaji wa timu za kuku na mbwa
Msemaji wa Yanga... Semaji la Fiston Kalala Mayele, The King😂😂😂😂 Kama unakumbukumbu vizuri kabla ya Mayele kuondoka yanga Alisema mwenyewe siondoki Yanga kwasababu ndiopo penye bahati yangu... mwishoni akasema "naondoka kwasababu timu imeamua kuniuza, hakuna mkubwa kuliko timu"
Swala la morison yupo avict ,acha ushaiki na umbea na kaja kwa kocha wa viungo anaendelea mpk atakapikuwa sawa,unaongea mwisho wa siku utaambiwa utoe ushahidi,sisi ni washabiki wa simba kiwango chetu sio kizuri kama mechi ya geita tupo ovyo,tujadili ya kwetu haya hayatuhusu
Unapoteza muda snaaaaaa,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hujatukeraaaa,cc ndio YANGA hata ww tutakuroga,UMESAHAU ULIPGWA FAINI YA UCHAWI??!!!maana unayajua mpaka kuyaunda.💚💛💪💪🙏🙏🙏wewe ni PIMBI aisee
Chuki zote zilianza pale tarehe 5 november, mbwa wewe na bado utaongea sana kenge we peleka sauti yako kama sho........ si useme tu kuwa mnamtaka Mayele 😂😂😂😂😂na ole wenu siku mukimchukua halafu tukakutana tunawapiga tena 10 kudadek, na hlo la 10 huyo mayele wenu ndo atajifunga mwenyewe kwa presha, potea acha majini yetu yajiridhihirishe
Acha kuongea unazi Ahmed ally we Kama unamuitaji huyo mayele kamchukue sio kuongea usicho kijua et mayele katupiwa majini heee!!! Mi naona kama unatongoza Mwanamke ki zamani kabisa hauna jipya mmwanetu by dzonga m2 mbadi pande Dundani mtundani au ukipenda niite shabiki kindaki ndaki la yanga pole sana mashabiki wa smb
UYU JAMAA APEWE ULINZI MAALUMU 😅😅😅 YULE MSEMAJI WAO BINGWA WA KUOA NA KUACHA NDO ILITAKIIWA ALISEMEE ILI ....DAAA AHED ALLY POLE SANA NDO MPIRRA WA TANZANIA HUU UNAFIKI MWINGI AWA NYUMA MWIKO MAJI MACHAFU YA JANGWAN YANAWAARIBU AKILI ZAO 😂😂
Wewe mpuuzi ! Jisikilize mwenyewe unavyobwabwaja pumba ! semaji la makokolo brand kubwa !Semaji hovyooo ! Kama unapenda kuisemea Yanga sema kama unavyoonekana kiasi unakumbuka wachezaji woote wa yanga waliobugi ! Tutakupeleka ukajifunze usemaji kwa Ali Kamwe.
Yaani Ahmed unaamini kweli kuna majini ya kutuma Bongo - Cairo enzi hizi za sayansi? Au ni kwa kuwa umepata la kusema kuhusu mbabe wako? Wewe mwenyewe wasema. NYUMA MWIKO. Hautoturudisha huko
mungu akubariki sana semaji 😂😂😂😂
Kaka hekima ya Mungu iko ndani yako!
Uko vizuri sana semaji langu!
asante ahmedi watambue hao hawajui
Yanga washamba sanaaaaa awajitambi
Ni kweli kabisa semaji langu umeongea ukweli mtupu nyuma mwiko washamba sana 💪⚽
P
Uwakika anajua semaji letu
Asante mjomba medi up vizur saan
Waambieeeeeee semaji letu🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁
Umetisha semaji la caf
Huwez kumng'ang'ania mtu kam umemtolea posa❤❤❤
Hahaha heheheheeee sima kaka penda sana
Ahemed Aly inashangaza kama unamtamani shawishi uongozi wako wamsajili usijifanye unampenda sana kuliko wanayanga sisi hatutoki kwenye njia na mpango huo wa kutaka kuidhofisha Yanga basi wewe na waliohusika katika hilo mmefeli sisi tunadonga mbele na mayele ataendelea kupata mafanikio aongeze bidii tu aache kujishirikisha na akina Ahemed washirikina.
Mayele analalamika anatumiwa majini nayanga alafu wewe unasema atiye bidii, mshamba kweli wewe
Nawewe nikati ya wachawi tu
nakuombea Simba yetu iludi ukiwa na afya njema
Yani simba unyamwa mwingi ahmedi Ally ni bala yani ni semaji la kweli kweli😊
Muda wa usajili huu acha maneno mengi,utaumbuka muda si mrefu😂😂😂
Sema babaa
Unateseka brother
Huyu jamaa akili zake ujinga mwingi lkn Tuishi nae tu😂😂😂
Wambie hao wapiga kerere wanalubaluba hao kaka mkubwa simba mbele nyuma mwiko
Penda sana semaji letu simba
Uko sahihi sanaaa semaji rakafu ❤❤❤❤ utoporo wanaroho ya kichawi Sanaa wanaroho yakwanini kila mchezaji akiondoka utoporo razima kuwe nashida hawapendi wengine wapate washamba sanaaaa wanaroho mbaya nena washamba kweli
Mnateseka sana aiseeee polen
@@user-ww9uz9mx7l sawa mdogo wa nabii Tito🤣🤣🤣
Na bado ww tukutupia majini dadeq,jipendekeze tu naww
Shida yenu mnajikuna na kucheka wenyewe, harusi sio yenu lkn wewe na hilo la kuropoka lenu hilo na mtakula Tano zaidi tena
Shida yenu mnajikuna na kucheka wenyewe, harusi sio yenu lkn wewe na hilo la kuropoka lenu hilo na mtakula Tano zaidi tena
Kumbuka na ww ni MTANZANIA,kasema anajuta kuja kucheza TANZANIA,unaongea pumba aisee,KWAHIYO ULITAKA TUWAIGE NYIE??!!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣huna jipya pambana na Hali yako.kwahiyo ww ndio umemjaza UJINGA MAYELE??!!! tumekuelewa msemaji wetu usiepata posho💚💛💪💪💪💪🙏🙏🙏🙏
Kwanza hii ni uchonganishi mkubwa. Kumbe mchezaji akishindwa kupaform alikouzwa Ni kutupiwa majini, kumbe wao ndiyo wa Kwanza. Kama anamsifia chama kua alikua wa motoo walipo muuza pamoja na Luis mikison. Lakini walishindwa kufanya vizuri, Kumbe ndiyo kazi yao kuwatumia mashetani wachezaji wao ili warudi tena, na siyo kuendelea mbele. Viongozi wa Simba Muwe making na huyo msemaji wenu, hapo mmepigwa na chuma kizito Sana.
Uyu jamaa ajui ni mshamba achana naye aongee
Yani msemaji official kabisa wa Simba ndio anayaongea haya duuh aisee 😂😂
huyo anakarir history tuuuu hajui kitu kasimliwa tuuu ndo maan analopoka
Mutu akiongea kweliii mbayasiyoo acheni ushamba semaji lasimbahilo
Simba kwa kosa la huyu mbwa ximba mkipigwa 10 tena mxilaumu anaroboka sana
Nakukubali sana semaji la timu kubwa... Umeongea Point
wewe ni muimba tarabu acha umbea
@@KharidyPaulo hiviwewe na Huyu Nani mbea wewe badala usubiri ally kamweaposti ndo ukoment ualetaleta shobo Kwenye vikaovya watu babuuu fatilia laifu yako !!!
🎉Huyu ana uthibitisho wa hayo majini kutoka Yanga au anaropokwa!.
Anao eee
Usajiliwayanga
Huyu msemaji wa simba hana taaluma ya usemaji ni bora akabadilishwa ,katafutwe mwenye uwezo wa kuisemea simba na wala siyo yanga
Vipi wewe unataaluma tukupe kijiti
Hujitambui
Chama alishindwa uarabuni kwani mulimutupia majini,twisila alishindwa uarabuni kwani alitupiwa majini?
Miksoni nae si alienda na akarudi
Huyu jamaa hajielewi hata kidogo.
Napia jambo lengine anajitengenezea nafasi ili jamaa akifeli huko alipo asiende yanga aende simba.
Semaji la kimataifa muheshimiwa somaaaa iyoooo
Kweli xnatuu
Kijana yajuzi yaache yalivyo maana ukija kuteleza tu simba unaondoka kwa sasa huna jipya tulia muunde timu ifanye kazi siyo porojo tu
Hv Tano tulizowabinua mayele alikuwemo😅😮😢🎉😂❤
Tunasimama bega Kwa bega hii imeenda
Ndio tumegundua kuwa simba mlipotufunga tano tulikuwa tunacheza na majini, hatkukujua sisi
Na 6 na 5 na 4 vip
@@mwinjilistiaristidesmeja1834, majini FC 😂😂😂
uyu jamaa akili za pombe hivi ajawahi kuonja moshi uyuuu yaaan anaongea utumbo zama hizi anaacha ongelea utaalam wa soka anasaport giza bila aibu
Unajikomba tu kwahiyo akina chama na mickson mliwatupia majini ndiyo maana wakashindwa kwa waarabu
Umejaza ujinga tu makelele Ndo maana tunafungwa badala upige Kelele kwa viongoz Ww mjinga
Nacho juwa kuwa ipo siku watakosa sehemuu ya kusajili wachezajii kwenye team nyingine
Huyu jamaa mpuuz anajikomba atapigwa nyuma na mayelee
Haaaaaa hivi huyu Ahmed ally kaishiwa na yakusema pole sana broo 😂
Yanga washamba
Ok kaka uko vizuri
Amedi Ally tatizo unongea Sana punguza maneno bas
Usajiliwayanga
Huyu jamaa uchizi unamsumbua mlimleta manzoki Yuko wapi hafai kwanye Brandi ya Simba wamtumue tuu toka zako
Soka la bongo wasemaji hawana hata taalama hawajui nni wanasema kaz ya kusemana usimba na uyanga balirikin nyinyi wasemaj acheni unaz 6:53
Kwa heshima ulizonazo hukupaswa kuongea hvy bro pole sana majini utakuwa ww mganga wao unaowapatiaga✅✅ yukwap sasa mbna hajaja kwako
Huyo ni maneno tu anawadanganya hakuna Cha mayele Wala mwezake na mayele ikitokea mayele kaja Simba mjue washabiki wa Simba mumepinga
Wana yanga hao wanataka kututowa mchezoni huyo ahamedi achukuliwe hatuwa kali
Simama na mayele ukutane kitu kizito
Jamani huyu jamaa ameifanya Simba Kama chama cha siasa wanasimba amkeni haya yanahisiana na Nini na timu
Kweli,,:
Huyu jamaa 5 za YANGA 2 za PRISON na 1 LA AHLY kachanganyikiwa msameheni bure,,,,,,!!!
Usiwe msemaji mnafiki ww ulikuwepo wakati mayele anatupiwa majini ww ni mfa maji tu uwachi kutapatapa unashindwa kuongea Cha maana unaongea pumba sema tu kama unamtaka ndio
Maana unajisemesha ujinga tu Mimi naona simba hawana msemaji Wana pumba huyu anatakiwa kuwa msemaji wa timu za kuku na mbwa
unajua sana kakaaaa
Mumekosa vya kusema yakwenu yanawashinda yanga yanga na samata anavyouzwa simba ilikuwa haikujui wewe...😅😅
Hao majini kwao ndo nyumbani ndomana wanapambana kuishusha simba kwa uchawi lkn watashindwa kwa uwezo wa mungu
Yani sikutegemea Kama msemaji wa simba unangelea Mambo ya majini, hujamaa ni mjinga Sana,kwa wazifa wake huo hapaswi kuongea hivyo, mjinga Sana,
We Ahamed Ally akili huna ka si mwana Habari we tako kweli
Kumbe hata huyu jamaa ni mjinga. Yaan anaongeea kwa nguvu akiongelea majini ya mayele. Kumbukeni mliogelea Tano bila mayele
USITUFUNDISHE KAZI FALA WEWEEEE💚💛💪💪💪🙏🙏🙏KWAHIYO WAKATI ANATUPIWA MAJINI ULISHIKA NJIWA?AU KITU GANI??!!;
Mnajishushia hadhi yenu kwa mambo ya ajabu😢
Huyu sawa na changudoa lazima tumuchukulie batua se.eji La majin
Msemaji wa Yanga... Semaji la Fiston Kalala Mayele, The King😂😂😂😂
Kama unakumbukumbu vizuri kabla ya Mayele kuondoka yanga Alisema mwenyewe siondoki Yanga kwasababu ndiopo penye bahati yangu... mwishoni akasema "naondoka kwasababu timu imeamua kuniuza, hakuna mkubwa kuliko timu"
Swala la morison yupo avict ,acha ushaiki na umbea na kaja kwa kocha wa viungo anaendelea mpk atakapikuwa sawa,unaongea mwisho wa siku utaambiwa utoe ushahidi,sisi ni washabiki wa simba kiwango chetu sio kizuri kama mechi ya geita tupo ovyo,tujadili ya kwetu haya hayatuhusu
Huyu jamaa hajui usemaji simba bora wamuache tu wakiendelea nae watafer sana
Duh ila msemaji wetu unaongeaga point sana
Unapoteza muda snaaaaaa,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hujatukeraaaa,cc ndio YANGA hata ww tutakuroga,UMESAHAU ULIPGWA FAINI YA UCHAWI??!!!maana unayajua mpaka kuyaunda.💚💛💪💪🙏🙏🙏wewe ni PIMBI aisee
Najùa unaipenda yanga ila ujui kuongea bila kusema yanga nawewe utakuja jangwani
Uko vizuri
Chuki zote zilianza pale tarehe 5 november, mbwa wewe na bado utaongea sana kenge we peleka sauti yako kama sho........ si useme tu kuwa mnamtaka Mayele 😂😂😂😂😂na ole wenu siku mukimchukua halafu tukakutana tunawapiga tena 10 kudadek, na hlo la 10 huyo mayele wenu ndo atajifunga mwenyewe kwa presha, potea acha majini yetu yajiridhihirishe
Kama tff inatenda haki Kwa wasemaji kuropoka inabidi ufungiwe kama manara au ulete ushahidi
Ushindi wao n majini akuna team isofungwa wao nani wenyewe wanajiona wababe kwa mijini yao.
Hahaha acha nicheke kwanza kwa hyo tukusaidie nn if wananchi ni washamba kwa hyo zile Tano mlipigwa na washamba🥱🥱🥱
OYOOOOOOO, NYUMA MWIKO KIMENUKAAAAAAA, WAJINGA SANA NA WASHAMBA WAKUBWA. KUMBE MNAMTISHIA MAYELE MAJINI ILI ARUDIIIIIII, KENGE UTOPOLO MMEUMBUKAAAAAA, NYIE MAJINI UTOPOLO, RUDISHENI JINI LENU, TOENI HILO JINI KWA MAYELE, MTETEZI AHMEDY MTETEE MAYELEEEEEEEEEEEEEEE
Ongea na. Simba. Yako ,Achana na yanga, mayele hakuwa. Simba,. Anakuhusu. Nini?
Hujielewi wewe ni msemaji wangu wa Simba lakin sasa huna inshu
Msemaji wa clab ingine kaacha kuzungumzia tim yake kahamia kwampinzan
Msemaji wetu huenda amemlisha maneno y kuchafua Yanga kwa. Wivu kufurahisha wachawi kwa faida yake wacha hayo wote ni nchi moja
Mpuuzi kweli mwandishi msemaji mkuu kama wew unakosa Cha kusema kweli
Acha kuongea unazi Ahmed ally we
Kama unamuitaji huyo mayele kamchukue sio kuongea usicho kijua et mayele katupiwa majini heee!!! Mi naona kama unatongoza
Mwanamke ki zamani kabisa hauna jipya mmwanetu by dzonga m2 mbadi pande Dundani mtundani au ukipenda niite shabiki kindaki ndaki la yanga pole sana mashabiki wa smb
Ashamed Aly ww nimwehu2 mayele hakusu pia hujaajiliwa yanga unamzungumzia pumbagani ww msha bibiako
huyu jamaa ache kuizungumzia yanga azungumzie simba jee ubingwa watachukua anawadangaya watu wa simba tu uongozi umewashinda washie ngazi ache ngojera
Umesimama kwenye chata la yanga bado unataka kuwa chambua
UYU JAMAA APEWE ULINZI MAALUMU 😅😅😅
YULE MSEMAJI WAO BINGWA WA KUOA NA KUACHA NDO ILITAKIIWA ALISEMEE ILI ....DAAA AHED ALLY POLE SANA NDO MPIRRA WA TANZANIA HUU UNAFIKI MWINGI AWA NYUMA MWIKO MAJI MACHAFU YA JANGWAN YANAWAARIBU AKILI ZAO 😂😂
Wew eb acheni sajiri za mtandaoni maneno mengi vitendo ziro
Wewe mpuuzi ! Jisikilize mwenyewe unavyobwabwaja pumba ! semaji la makokolo brand kubwa !Semaji hovyooo ! Kama unapenda kuisemea Yanga sema kama unavyoonekana kiasi unakumbuka wachezaji woote wa yanga waliobugi ! Tutakupeleka ukajifunze usemaji kwa Ali Kamwe.
Yanga mko wapi katika hiri? Mshitakini huyu akatoe ushahidi wa hayo majini yake yawezekana yeye Ndiyo anamajini.
Hakupanga kikosi chetu kishinde ugenini au nyumbani anaongelea ujinga mtupi Simba hamna kocha hamna Wala eti semaji semaji wa mchongo nali kichwa lake
Mtu mwenye akili timamu uwez kukaa na kuongea ujinga kama huo mshamba uyo 😅
Yaani Ahmed unaamini kweli kuna majini ya kutuma Bongo - Cairo enzi hizi za sayansi? Au ni kwa kuwa umepata la kusema kuhusu mbabe wako? Wewe mwenyewe wasema. NYUMA MWIKO. Hautoturudisha huko
We nimpumbavu ayo majini uliyaona we kama unamtaka kamchukue tim Huna mbwa wew lohoinayma msenge
Katika wasemaji ambao hana hakir Tanzania hii msemaji wa simba
Mhaho wa nyuma mwiko 😂😂😂wazeee wa my muna😊
Hamjitambui wanasimba badala ya kujadili ya kwenu mnajadili ya jilan
Haya mambo una ushahidi nayo siyo unaropoka tu yasije yakakukuta ya haji manara shauri yako mdogo wangu ahmed ally
Wewe Ahamed ally unajitambua kweli. Unaacha kuzungumzia simba unahangaika na yanga nakudhauri uache kupotosha umma kuhusu mayele.hakuna MTU anamlioga mayele anajiloga mwenyewe.mayele hawezi rudi simba akitaka kurudi Tanzania aje acheze yanga na wala cyo simba.simba inauwa vipaji vya wachezaji. Pumbavu sana mwache mayele acheze mpira.
Huyu jamaa yuko vzuri wanasimba tumpeni Maua yake 🎉🎉
Huyu ni shoga dhahiri shairi unavaaje shela kwa harusi isiyo yako ! Wewe sema wazi drama zenu na Mayele ndio za kishamba.
Washabiki wa simba ugomvi wa mayele na yanga ni ugomvi wetu hata wakitaka tuununue tuko tayari tutachanga.
Yanga wanatuma majini ila yule alipokosa penalty kurudi tu tz ajali na kufa msijisahaulishe hata nyie majini mnatumia
Unable uhakika kuwa anatupiwa kweli Majini? Wewe ni mjinga na niwa kizamani sana
Mohamed Ally Nyuma Mwiko watakutumia majini achana nao hawa vijamaa vya kihansi