AHMED ALLY ATANGAZA VITA NA YANGA KISA MAYELE/AFICHUA MAZITO TUSIYOYAJUA YANAYOENDELEA.

Sdílet
Vložit

Komentáře • 865

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 Před 4 měsíci +21

    mungu akubariki sana semaji 😂😂😂😂

  • @pastormartinshija374
    @pastormartinshija374 Před 3 měsíci +4

    Kaka hekima ya Mungu iko ndani yako!
    Uko vizuri sana semaji langu!

  • @Omarymwesongo227
    @Omarymwesongo227 Před 2 dny

    asante ahmedi watambue hao hawajui

  • @MustafaFella
    @MustafaFella Před dnem

    Yanga washamba sanaaaaa awajitambi

  • @hawarashidi
    @hawarashidi Před 4 měsíci +7

    Ni kweli kabisa semaji langu umeongea ukweli mtupu nyuma mwiko washamba sana 💪⚽

  • @johnsonmichael945
    @johnsonmichael945 Před 4 měsíci +5

    Asante mjomba medi up vizur saan

  • @JoelJames-qk1mc
    @JoelJames-qk1mc Před 3 měsíci +4

    Waambieeeeeee semaji letu🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁

  • @IvanGerald-tp4hu
    @IvanGerald-tp4hu Před 12 hodinami

    Umetisha semaji la caf

  • @user-lh6yf6rz1c
    @user-lh6yf6rz1c Před 4 měsíci +5

    Huwez kumng'ang'ania mtu kam umemtolea posa❤❤❤

  • @GaudentusWillium
    @GaudentusWillium Před 2 dny +1

    Hahaha heheheheeee sima kaka penda sana

  • @user-zz8qr9gn1f
    @user-zz8qr9gn1f Před 4 měsíci +7

    Ahemed Aly inashangaza kama unamtamani shawishi uongozi wako wamsajili usijifanye unampenda sana kuliko wanayanga sisi hatutoki kwenye njia na mpango huo wa kutaka kuidhofisha Yanga basi wewe na waliohusika katika hilo mmefeli sisi tunadonga mbele na mayele ataendelea kupata mafanikio aongeze bidii tu aache kujishirikisha na akina Ahemed washirikina.

    • @samweli7985
      @samweli7985 Před 4 měsíci

      Mayele analalamika anatumiwa majini nayanga alafu wewe unasema atiye bidii, mshamba kweli wewe

    • @samweli7985
      @samweli7985 Před 4 měsíci

      Nawewe nikati ya wachawi tu

  • @AlphaYoram-uh9bp
    @AlphaYoram-uh9bp Před dnem

    nakuombea Simba yetu iludi ukiwa na afya njema

  • @wizardmobile5493
    @wizardmobile5493 Před 2 dny

    Yani simba unyamwa mwingi ahmedi Ally ni bala yani ni semaji la kweli kweli😊

  • @khadijabhoke4564
    @khadijabhoke4564 Před 11 hodinami

    Muda wa usajili huu acha maneno mengi,utaumbuka muda si mrefu😂😂😂

  • @user-wg3oh5ll7g
    @user-wg3oh5ll7g Před 3 měsíci +2

    Sema babaa

  • @user-ib3fd1tc3r
    @user-ib3fd1tc3r Před 4 dny

    Unateseka brother

  • @user-ch2it3qt5z
    @user-ch2it3qt5z Před 4 měsíci +4

    Huyu jamaa akili zake ujinga mwingi lkn Tuishi nae tu😂😂😂

  • @SimionWesiko
    @SimionWesiko Před 4 hodinami

    Wambie hao wapiga kerere wanalubaluba hao kaka mkubwa simba mbele nyuma mwiko

  • @GaudentusWillium
    @GaudentusWillium Před 2 dny

    Penda sana semaji letu simba

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Před 4 měsíci +3

    Uko sahihi sanaaa semaji rakafu ❤❤❤❤ utoporo wanaroho ya kichawi Sanaa wanaroho yakwanini kila mchezaji akiondoka utoporo razima kuwe nashida hawapendi wengine wapate washamba sanaaaa wanaroho mbaya nena washamba kweli

    • @user-ww9uz9mx7l
      @user-ww9uz9mx7l Před 4 měsíci

      Mnateseka sana aiseeee polen

    • @chusseboywcb2808
      @chusseboywcb2808 Před 4 měsíci

      @@user-ww9uz9mx7l sawa mdogo wa nabii Tito🤣🤣🤣

    • @greysonkisinda7390
      @greysonkisinda7390 Před 4 měsíci

      Na bado ww tukutupia majini dadeq,jipendekeze tu naww

    • @WhiteYusto-bu9ym
      @WhiteYusto-bu9ym Před 4 měsíci

      Shida yenu mnajikuna na kucheka wenyewe, harusi sio yenu lkn wewe na hilo la kuropoka lenu hilo na mtakula Tano zaidi tena

    • @WhiteYusto-bu9ym
      @WhiteYusto-bu9ym Před 4 měsíci

      Shida yenu mnajikuna na kucheka wenyewe, harusi sio yenu lkn wewe na hilo la kuropoka lenu hilo na mtakula Tano zaidi tena

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 Před 2 měsíci

    Kumbuka na ww ni MTANZANIA,kasema anajuta kuja kucheza TANZANIA,unaongea pumba aisee,KWAHIYO ULITAKA TUWAIGE NYIE??!!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣huna jipya pambana na Hali yako.kwahiyo ww ndio umemjaza UJINGA MAYELE??!!! tumekuelewa msemaji wetu usiepata posho💚💛💪💪💪💪🙏🙏🙏🙏

  • @ipyanaandilile894
    @ipyanaandilile894 Před 4 měsíci +2

    Kwanza hii ni uchonganishi mkubwa. Kumbe mchezaji akishindwa kupaform alikouzwa Ni kutupiwa majini, kumbe wao ndiyo wa Kwanza. Kama anamsifia chama kua alikua wa motoo walipo muuza pamoja na Luis mikison. Lakini walishindwa kufanya vizuri, Kumbe ndiyo kazi yao kuwatumia mashetani wachezaji wao ili warudi tena, na siyo kuendelea mbele. Viongozi wa Simba Muwe making na huyo msemaji wenu, hapo mmepigwa na chuma kizito Sana.

  • @HusseinNkuna
    @HusseinNkuna Před 4 měsíci +6

    Yani msemaji official kabisa wa Simba ndio anayaongea haya duuh aisee 😂😂

    • @casbertsosten
      @casbertsosten Před 2 měsíci

      huyo anakarir history tuuuu hajui kitu kasimliwa tuuu ndo maan analopoka

  • @HamisiMastepu
    @HamisiMastepu Před 19 dny

    Mutu akiongea kweliii mbayasiyoo acheni ushamba semaji lasimbahilo

  • @user-gg2be4un5s
    @user-gg2be4un5s Před 2 měsíci +1

    Simba kwa kosa la huyu mbwa ximba mkipigwa 10 tena mxilaumu anaroboka sana

  • @WilliamPeter-ky7sx
    @WilliamPeter-ky7sx Před 4 měsíci +5

    Nakukubali sana semaji la timu kubwa... Umeongea Point

    • @KharidyPaulo
      @KharidyPaulo Před 4 měsíci

      wewe ni muimba tarabu acha umbea

    • @user-rb5pc1qw1r
      @user-rb5pc1qw1r Před 4 měsíci

      @@KharidyPaulo hiviwewe na Huyu Nani mbea wewe badala usubiri ally kamweaposti ndo ukoment ualetaleta shobo Kwenye vikaovya watu babuuu fatilia laifu yako !!!

  • @ListonNyamoga
    @ListonNyamoga Před 3 měsíci +2

    🎉Huyu ana uthibitisho wa hayo majini kutoka Yanga au anaropokwa!.

  • @user-fo4vp3em3p
    @user-fo4vp3em3p Před 4 měsíci +3

    Huyu msemaji wa simba hana taaluma ya usemaji ni bora akabadilishwa ,katafutwe mwenye uwezo wa kuisemea simba na wala siyo yanga

  • @user-yk3zl7gp2r
    @user-yk3zl7gp2r Před 4 měsíci +4

    Chama alishindwa uarabuni kwani mulimutupia majini,twisila alishindwa uarabuni kwani alitupiwa majini?

  • @bkrjma5285
    @bkrjma5285 Před 4 měsíci +3

    Huyu jamaa hajielewi hata kidogo.
    Napia jambo lengine anajitengenezea nafasi ili jamaa akifeli huko alipo asiende yanga aende simba.

  • @WiliamMaige
    @WiliamMaige Před 5 hodinami

    Kweli xnatuu

  • @user-kh3fb4nl4w
    @user-kh3fb4nl4w Před 17 dny

    Kijana yajuzi yaache yalivyo maana ukija kuteleza tu simba unaondoka kwa sasa huna jipya tulia muunde timu ifanye kazi siyo porojo tu

  • @emanuelgrevazi3483
    @emanuelgrevazi3483 Před 4 měsíci +8

    Hv Tano tulizowabinua mayele alikuwemo😅😮😢🎉😂❤

    • @augustshirima9726
      @augustshirima9726 Před 4 měsíci +2

      Tunasimama bega Kwa bega hii imeenda

    • @mwinjilistiaristidesmeja1834
      @mwinjilistiaristidesmeja1834 Před 4 měsíci +3

      Ndio tumegundua kuwa simba mlipotufunga tano tulikuwa tunacheza na majini, hatkukujua sisi

    • @aamarsuleymain2932
      @aamarsuleymain2932 Před 4 měsíci +1

      Na 6 na 5 na 4 vip

    • @user-id5oc7hm4n
      @user-id5oc7hm4n Před 4 měsíci

      ​@@mwinjilistiaristidesmeja1834, majini FC 😂😂😂

    • @Saditrap-zt1nl
      @Saditrap-zt1nl Před 4 měsíci

      uyu jamaa akili za pombe hivi ajawahi kuonja moshi uyuuu yaaan anaongea utumbo zama hizi anaacha ongelea utaalam wa soka anasaport giza bila aibu

  • @joshualutengamasomwakilawa1025
    @joshualutengamasomwakilawa1025 Před 4 měsíci +1

    Unajikomba tu kwahiyo akina chama na mickson mliwatupia majini ndiyo maana wakashindwa kwa waarabu

  • @user-gp3bx8nq1u
    @user-gp3bx8nq1u Před 2 měsíci

    Umejaza ujinga tu makelele Ndo maana tunafungwa badala upige Kelele kwa viongoz Ww mjinga

  • @ERICKKIBONA
    @ERICKKIBONA Před měsícem

    Nacho juwa kuwa ipo siku watakosa sehemuu ya kusajili wachezajii kwenye team nyingine

  • @user-tb7fz8jl2o
    @user-tb7fz8jl2o Před 2 měsíci +1

    Huyu jamaa mpuuz anajikomba atapigwa nyuma na mayelee

  • @MedyHamisi
    @MedyHamisi Před 9 dny

    Haaaaaa hivi huyu Ahmed ally kaishiwa na yakusema pole sana broo 😂

  • @HusseynPambakali
    @HusseynPambakali Před 3 dny

    Yanga washamba

  • @LoirukoNgekee
    @LoirukoNgekee Před 2 měsíci

    Ok kaka uko vizuri

  • @Davidmayala-mh9ow
    @Davidmayala-mh9ow Před 3 dny

    Amedi Ally tatizo unongea Sana punguza maneno bas

  • @AllenKangwa
    @AllenKangwa Před 2 dny

    Usajiliwayanga

  • @swebeyongo8030
    @swebeyongo8030 Před 2 měsíci

    Huyu jamaa uchizi unamsumbua mlimleta manzoki Yuko wapi hafai kwanye Brandi ya Simba wamtumue tuu toka zako

  • @ShedestaMkoi
    @ShedestaMkoi Před 2 měsíci

    Soka la bongo wasemaji hawana hata taalama hawajui nni wanasema kaz ya kusemana usimba na uyanga balirikin nyinyi wasemaj acheni unaz 6:53

  • @DorcasAkyoo-mp6bj
    @DorcasAkyoo-mp6bj Před 3 měsíci

    Kwa heshima ulizonazo hukupaswa kuongea hvy bro pole sana majini utakuwa ww mganga wao unaowapatiaga✅✅ yukwap sasa mbna hajaja kwako

  • @Davidmayala-mh9ow
    @Davidmayala-mh9ow Před 3 dny

    Huyo ni maneno tu anawadanganya hakuna Cha mayele Wala mwezake na mayele ikitokea mayele kaja Simba mjue washabiki wa Simba mumepinga

  • @godykamwela8680
    @godykamwela8680 Před 2 měsíci

    Wana yanga hao wanataka kututowa mchezoni huyo ahamedi achukuliwe hatuwa kali

  • @hassanswale
    @hassanswale Před 2 měsíci +1

    Simama na mayele ukutane kitu kizito

  • @user-hl3ek5te8q
    @user-hl3ek5te8q Před 4 měsíci

    Jamani huyu jamaa ameifanya Simba Kama chama cha siasa wanasimba amkeni haya yanahisiana na Nini na timu

  • @PaulinaMacha
    @PaulinaMacha Před 9 dny

    Kweli,,:

  • @AllyKajogoo-mi6cb
    @AllyKajogoo-mi6cb Před 2 měsíci

    Huyu jamaa 5 za YANGA 2 za PRISON na 1 LA AHLY kachanganyikiwa msameheni bure,,,,,,!!!

  • @AminaAmimu-gp9po
    @AminaAmimu-gp9po Před 23 dny

    Usiwe msemaji mnafiki ww ulikuwepo wakati mayele anatupiwa majini ww ni mfa maji tu uwachi kutapatapa unashindwa kuongea Cha maana unaongea pumba sema tu kama unamtaka ndio
    Maana unajisemesha ujinga tu Mimi naona simba hawana msemaji Wana pumba huyu anatakiwa kuwa msemaji wa timu za kuku na mbwa

  • @AginesKavishe
    @AginesKavishe Před 10 dny

    unajua sana kakaaaa

  • @EdgerMsapila
    @EdgerMsapila Před 3 měsíci

    Mumekosa vya kusema yakwenu yanawashinda yanga yanga na samata anavyouzwa simba ilikuwa haikujui wewe...😅😅

  • @user-sb3bp9yz5v
    @user-sb3bp9yz5v Před 2 měsíci

    Hao majini kwao ndo nyumbani ndomana wanapambana kuishusha simba kwa uchawi lkn watashindwa kwa uwezo wa mungu

  • @yusuphonesmo1791
    @yusuphonesmo1791 Před 4 měsíci +2

    Yani sikutegemea Kama msemaji wa simba unangelea Mambo ya majini, hujamaa ni mjinga Sana,kwa wazifa wake huo hapaswi kuongea hivyo, mjinga Sana,

  • @PeterJanson-ok6tv
    @PeterJanson-ok6tv Před 3 měsíci

    We Ahamed Ally akili huna ka si mwana Habari we tako kweli

  • @Philiponada
    @Philiponada Před 4 měsíci

    Kumbe hata huyu jamaa ni mjinga. Yaan anaongeea kwa nguvu akiongelea majini ya mayele. Kumbukeni mliogelea Tano bila mayele

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 Před 2 měsíci

    USITUFUNDISHE KAZI FALA WEWEEEE💚💛💪💪💪🙏🙏🙏KWAHIYO WAKATI ANATUPIWA MAJINI ULISHIKA NJIWA?AU KITU GANI??!!;

  • @Ayoub-Kayaga2023
    @Ayoub-Kayaga2023 Před 4 měsíci +3

    Mnajishushia hadhi yenu kwa mambo ya ajabu😢

  • @user-bi8hr3nu6g
    @user-bi8hr3nu6g Před 4 měsíci +1

    Huyu sawa na changudoa lazima tumuchukulie batua se.eji La majin

  • @elinadaniel5990
    @elinadaniel5990 Před 4 měsíci

    Msemaji wa Yanga... Semaji la Fiston Kalala Mayele, The King😂😂😂😂
    Kama unakumbukumbu vizuri kabla ya Mayele kuondoka yanga Alisema mwenyewe siondoki Yanga kwasababu ndiopo penye bahati yangu... mwishoni akasema "naondoka kwasababu timu imeamua kuniuza, hakuna mkubwa kuliko timu"

  • @bethmahela2182
    @bethmahela2182 Před 4 měsíci +1

    Swala la morison yupo avict ,acha ushaiki na umbea na kaja kwa kocha wa viungo anaendelea mpk atakapikuwa sawa,unaongea mwisho wa siku utaambiwa utoe ushahidi,sisi ni washabiki wa simba kiwango chetu sio kizuri kama mechi ya geita tupo ovyo,tujadili ya kwetu haya hayatuhusu

  • @PiasonGreston
    @PiasonGreston Před měsícem

    Huyu jamaa hajui usemaji simba bora wamuache tu wakiendelea nae watafer sana

  • @hamzayasni2793
    @hamzayasni2793 Před 19 dny

    Duh ila msemaji wetu unaongeaga point sana

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 Před 2 měsíci

    Unapoteza muda snaaaaaa,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hujatukeraaaa,cc ndio YANGA hata ww tutakuroga,UMESAHAU ULIPGWA FAINI YA UCHAWI??!!!maana unayajua mpaka kuyaunda.💚💛💪💪🙏🙏🙏wewe ni PIMBI aisee

  • @user-eg9ne2sb9c
    @user-eg9ne2sb9c Před 2 měsíci

    Najùa unaipenda yanga ila ujui kuongea bila kusema yanga nawewe utakuja jangwani

  • @AlmasRamadhani
    @AlmasRamadhani Před 3 měsíci

    Uko vizuri

  • @veronamayange7017
    @veronamayange7017 Před 4 měsíci

    Chuki zote zilianza pale tarehe 5 november, mbwa wewe na bado utaongea sana kenge we peleka sauti yako kama sho........ si useme tu kuwa mnamtaka Mayele 😂😂😂😂😂na ole wenu siku mukimchukua halafu tukakutana tunawapiga tena 10 kudadek, na hlo la 10 huyo mayele wenu ndo atajifunga mwenyewe kwa presha, potea acha majini yetu yajiridhihirishe

  • @user-sw6mp1ff9i
    @user-sw6mp1ff9i Před 3 měsíci

    Kama tff inatenda haki Kwa wasemaji kuropoka inabidi ufungiwe kama manara au ulete ushahidi

  • @user-gb1jq9zz1j
    @user-gb1jq9zz1j Před měsícem

    Ushindi wao n majini akuna team isofungwa wao nani wenyewe wanajiona wababe kwa mijini yao.

  • @DorcasAkyoo-mp6bj
    @DorcasAkyoo-mp6bj Před 3 měsíci

    Hahaha acha nicheke kwanza kwa hyo tukusaidie nn if wananchi ni washamba kwa hyo zile Tano mlipigwa na washamba🥱🥱🥱

  • @athumaniyuba935
    @athumaniyuba935 Před 4 měsíci

    OYOOOOOOO, NYUMA MWIKO KIMENUKAAAAAAA, WAJINGA SANA NA WASHAMBA WAKUBWA. KUMBE MNAMTISHIA MAYELE MAJINI ILI ARUDIIIIIII, KENGE UTOPOLO MMEUMBUKAAAAAA, NYIE MAJINI UTOPOLO, RUDISHENI JINI LENU, TOENI HILO JINI KWA MAYELE, MTETEZI AHMEDY MTETEE MAYELEEEEEEEEEEEEEEE

  • @Hasssa-uu4nx
    @Hasssa-uu4nx Před 4 měsíci

    Ongea na. Simba. Yako ,Achana na yanga, mayele hakuwa. Simba,. Anakuhusu. Nini?

  • @user-dy8xi1yg9y
    @user-dy8xi1yg9y Před 3 měsíci

    Hujielewi wewe ni msemaji wangu wa Simba lakin sasa huna inshu

  • @muddymbwana5679
    @muddymbwana5679 Před 4 měsíci +5

    Msemaji wa clab ingine kaacha kuzungumzia tim yake kahamia kwampinzan

  • @user-ke8iq9ue1h
    @user-ke8iq9ue1h Před 3 měsíci

    Msemaji wetu huenda amemlisha maneno y kuchafua Yanga kwa. Wivu kufurahisha wachawi kwa faida yake wacha hayo wote ni nchi moja

  • @user-vr4hi1ub1t
    @user-vr4hi1ub1t Před 4 měsíci

    Mpuuzi kweli mwandishi msemaji mkuu kama wew unakosa Cha kusema kweli

  • @MedyHamisi
    @MedyHamisi Před 9 dny

    Acha kuongea unazi Ahmed ally we
    Kama unamuitaji huyo mayele kamchukue sio kuongea usicho kijua et mayele katupiwa majini heee!!! Mi naona kama unatongoza
    Mwanamke ki zamani kabisa hauna jipya mmwanetu by dzonga m2 mbadi pande Dundani mtundani au ukipenda niite shabiki kindaki ndaki la yanga pole sana mashabiki wa smb

  • @user-gc9wy6qp2m
    @user-gc9wy6qp2m Před 3 měsíci

    Ashamed Aly ww nimwehu2 mayele hakusu pia hujaajiliwa yanga unamzungumzia pumbagani ww msha bibiako

  • @rashidally656
    @rashidally656 Před 2 měsíci

    huyu jamaa ache kuizungumzia yanga azungumzie simba jee ubingwa watachukua anawadangaya watu wa simba tu uongozi umewashinda washie ngazi ache ngojera

  • @user-eg9ne2sb9c
    @user-eg9ne2sb9c Před 2 měsíci

    Umesimama kwenye chata la yanga bado unataka kuwa chambua

  • @johnsonlweyemam7944
    @johnsonlweyemam7944 Před 4 měsíci

    UYU JAMAA APEWE ULINZI MAALUMU 😅😅😅
    YULE MSEMAJI WAO BINGWA WA KUOA NA KUACHA NDO ILITAKIIWA ALISEMEE ILI ....DAAA AHED ALLY POLE SANA NDO MPIRRA WA TANZANIA HUU UNAFIKI MWINGI AWA NYUMA MWIKO MAJI MACHAFU YA JANGWAN YANAWAARIBU AKILI ZAO 😂😂

  • @user-fg2sj7pb2g
    @user-fg2sj7pb2g Před 22 dny

    Wew eb acheni sajiri za mtandaoni maneno mengi vitendo ziro

  • @dietrichoswald34
    @dietrichoswald34 Před 4 měsíci

    Wewe mpuuzi ! Jisikilize mwenyewe unavyobwabwaja pumba ! semaji la makokolo brand kubwa !Semaji hovyooo ! Kama unapenda kuisemea Yanga sema kama unavyoonekana kiasi unakumbuka wachezaji woote wa yanga waliobugi ! Tutakupeleka ukajifunze usemaji kwa Ali Kamwe.

  • @suleimanomary8689
    @suleimanomary8689 Před 4 měsíci

    Yanga mko wapi katika hiri? Mshitakini huyu akatoe ushahidi wa hayo majini yake yawezekana yeye Ndiyo anamajini.

  • @user-pc1sw3pp8z
    @user-pc1sw3pp8z Před 3 měsíci

    Hakupanga kikosi chetu kishinde ugenini au nyumbani anaongelea ujinga mtupi Simba hamna kocha hamna Wala eti semaji semaji wa mchongo nali kichwa lake

  • @fanuelionesmo9643
    @fanuelionesmo9643 Před 8 dny

    Mtu mwenye akili timamu uwez kukaa na kuongea ujinga kama huo mshamba uyo 😅

  • @gerrymimi9387
    @gerrymimi9387 Před 4 měsíci

    Yaani Ahmed unaamini kweli kuna majini ya kutuma Bongo - Cairo enzi hizi za sayansi? Au ni kwa kuwa umepata la kusema kuhusu mbabe wako? Wewe mwenyewe wasema. NYUMA MWIKO. Hautoturudisha huko

  • @RabeccaAdam
    @RabeccaAdam Před 2 měsíci

    We nimpumbavu ayo majini uliyaona we kama unamtaka kamchukue tim Huna mbwa wew lohoinayma msenge

  • @user-xl3xw8gy6o
    @user-xl3xw8gy6o Před 4 měsíci +1

    Katika wasemaji ambao hana hakir Tanzania hii msemaji wa simba

    • @richardromano6592
      @richardromano6592 Před 4 měsíci

      Mhaho wa nyuma mwiko 😂😂😂wazeee wa my muna😊

  • @suhimanmahamud5620
    @suhimanmahamud5620 Před 2 měsíci

    Hamjitambui wanasimba badala ya kujadili ya kwenu mnajadili ya jilan

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 Před 4 měsíci +5

    Haya mambo una ushahidi nayo siyo unaropoka tu yasije yakakukuta ya haji manara shauri yako mdogo wangu ahmed ally

  • @NeemiaLotti-wl7hu
    @NeemiaLotti-wl7hu Před 3 měsíci

    Wewe Ahamed ally unajitambua kweli. Unaacha kuzungumzia simba unahangaika na yanga nakudhauri uache kupotosha umma kuhusu mayele.hakuna MTU anamlioga mayele anajiloga mwenyewe.mayele hawezi rudi simba akitaka kurudi Tanzania aje acheze yanga na wala cyo simba.simba inauwa vipaji vya wachezaji. Pumbavu sana mwache mayele acheze mpira.

  • @FrankEnockmabundu
    @FrankEnockmabundu Před 4 měsíci

    Huyu jamaa yuko vzuri wanasimba tumpeni Maua yake 🎉🎉

  • @jameslyambilo372
    @jameslyambilo372 Před 4 měsíci

    Huyu ni shoga dhahiri shairi unavaaje shela kwa harusi isiyo yako ! Wewe sema wazi drama zenu na Mayele ndio za kishamba.

  • @user-eu4ml4gu2z
    @user-eu4ml4gu2z Před 4 měsíci +1

    Washabiki wa simba ugomvi wa mayele na yanga ni ugomvi wetu hata wakitaka tuununue tuko tayari tutachanga.

  • @user-lv2sq9ci7b
    @user-lv2sq9ci7b Před 4 měsíci

    Yanga wanatuma majini ila yule alipokosa penalty kurudi tu tz ajali na kufa msijisahaulishe hata nyie majini mnatumia

  • @kilululucaskulimba2554
    @kilululucaskulimba2554 Před 4 měsíci

    Unable uhakika kuwa anatupiwa kweli Majini? Wewe ni mjinga na niwa kizamani sana

  • @JosephDesideri
    @JosephDesideri Před 4 měsíci

    Mohamed Ally Nyuma Mwiko watakutumia majini achana nao hawa vijamaa vya kihansi