Utaratibu mpya kwa abiria na wasindikizaji, sasa kuingia kwa kadi Stendi ya Magufuli

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 08. 2024
  • Manispaa ya Ubungo, imeanzisha utaratibu mpya wa kuingia na kadi katika stendi ya kimataifa ya mabasi ya Magufuli ili kudhibiti upotevu wa mapato kwa abiria wanaoingia katika kituo hicho kilichopo Mbezi Luis.

Komentáře • 12

  • @josephatmathiasgalagalabuh786

    KWA NINI MAKAMPUNI YA MABASI YASIWE AUTOMATIC NI WAKALA WA STAND.
    YAANI anaekata ticketi anawekewa na ushuru wa stand halafu yy anapata risiti moja ataonyesha anapongia stand na hata kama atapandia njiani.hiyo kadi sijaelewa vizuri

  • @Johnny-b4i
    @Johnny-b4i Před rokem +3

    Wantazania wenzangu huyu kakosea au mimi ndo sijasikia vizuri hpo yaani abiria ana ticket tena aripe kuingia kwenye basi mnataka tuishi maisha gani lakini kwanini asilipe yule asie natikect abiria atumie ile ya kusafiria mbona vitu vingine mnatufanya watumwa mpaka leo!!!!?.

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před rokem

      Asante sana nchi hii haina utu tumefanywa wajinga sana

  • @princeemanuel5347
    @princeemanuel5347 Před rokem +2

    Kuna kawizi hapoooooo

  • @princeemanuel5347
    @princeemanuel5347 Před rokem +1

    Huo utaratibu wa abiria kulipia ushuru na wakati amekata ticket siyo Sawa Dada.
    Badilisheni hapo. Anaetakiwa kulipia ushuru ni mtu ambae siyo msafiri

  • @brownsebastianmwibi5647

    Pumbavu sana we dada.

  • @mugishamajeba9628
    @mugishamajeba9628 Před rokem +1

    dah iyo itakuwa inaumiza wanaichi wahari yachini yani mutu kashakata tiketi tena aripe iri arifikie gari iyo siyo aki munawaumiza watu mutu kama anatiketi apitetu

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 Před rokem

    da, naona kila kukikucha mnajaribu kuvumbua mbinu mpya ya kutunyonya sisi Watanzania, muda sio mrefu tutaanza kubeba mabegi yetu tuhamie kule alikotuambia Mwiguru. hamuoni aibu mtu alipie ticket na bado mumlipishe hela ya kuingia kwenye basi.
    kwweli mnaupiga mwingi.

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 Před rokem

    watanzania wenzangu kweli hii si haki, mtu anataka kusafiri, anunue ticket yake na bado alazimishwe kulipa hela ya kuingia kwenye bus, we dada utakuwa chawa kama chawa wengine, na ninakuambia kuwa sio lazima tuingie kwenye stendi yenu tutasubiri usafiri huo kwingine tofauti na ndani ya standi, au mnasemaje WaTz wenzangu.. uwiiiiiii, tunapelekwa wapi ???