ABIRIA WAGOMA KUSHUKA KITUO CHA MAGUFULI MBEZI DAR ES SALAAM

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 08. 2024

Komentáře • 25

  • @charlesmpemba9387
    @charlesmpemba9387 Před 2 lety +2

    Hii nchi tunakokwenda sio kizuri.

  • @leahmafwenga4695
    @leahmafwenga4695 Před 2 lety +3

    Ila serikali ya Tanzania sometimes hawatumii logic kabisa kwani wanapungukiwa na nanini kuwapa lifti abria wao wanaoelekea uelekeo ilipi yard. Ukisikia kutumia nguvu bila akili ndio hii

  • @omarysaid8725
    @omarysaid8725 Před 2 lety +1

    Kila kukicha serikalini kuna jitu lina ibuka na sera zake kwani gari kufika gongo la mboto serikali ina pungukiwa nini wakati kodi imesha toza kwenye tiketi za kielektronic

  • @teachingtruthmission2140

    Hivi kwanini jamani?mwenye gari anakupa msaada mwingine agome

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před měsícem

    Kituo ni hapo , kama mlitoa nauli mkashuke sehem nyingine huo ni ujinga,bus linakituo na hapo ndio kituoni , na huo ni mradi wa serikali . Kunawatu wanahitaji kufanya biashara zao hapo pia nao wanahaki sababu wanalipia ......

  • @jumannemsengi2195
    @jumannemsengi2195 Před 2 lety +1

    Una jina zuri ila una roho mbayaaaaa!!!!!! 💀

  • @mwanumwanu1513
    @mwanumwanu1513 Před rokem

    Lakini kwanini tunateseka kwenye nchi yetu?

  • @stephanosemu5642
    @stephanosemu5642 Před rokem

    Unaweza kujikita umetukana ila ahh hawawezi elewa

  • @abdulkhamis1170
    @abdulkhamis1170 Před 2 lety +1

    Mbona mukienda mikowani mbashuka

    • @nmctanzania
      @nmctanzania Před rokem

      Msongamano wa dar ni tofauti na mikoani. Unaweza kushuka mbezi ukakaa muda kila daladala ikija imejaa au inagombaniwa na wengine wazee hawawezi

  • @biitamarry4383
    @biitamarry4383 Před rokem

    Serikali imeweka utaratibu mzuri tu ...

  • @hasaabdi7199
    @hasaabdi7199 Před 2 lety +2

    Wachaga wana matatizo

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 Před 2 lety +1

    waongo hawajawajulisha.Hata mimi nimepanda basi Arusha wameniambia inashuka shekilango lakini kufika mwenge wakatuambia mwisho hapo.

  • @mussamayawa817
    @mussamayawa817 Před 2 lety

    Hakuna serekali hinayo mjari mwananchi wake kwa hapa africa tuone watasema nini hiyo serekali

  • @omarysaid8725
    @omarysaid8725 Před 2 lety

    Watu huwa wana kurupuka tu kutoa maamuzi wakiamka na wake zao

  • @neemadamas8154
    @neemadamas8154 Před 2 lety +2

    Achen uchizi mbona mkifika moshi mnashukia stend msiseme mpelekwe mabogin au mbuyun shuken

    • @jumannemsengi2195
      @jumannemsengi2195 Před 2 lety

      Ww Dada una roho ya kichawi huna hata huruma ww, kwani ww inakupa hasara gani kama matajiri wenyewe wanatoa msaaada acha hizo ww zimwi

    • @loui7050
      @loui7050 Před 2 lety

      Wacha ujinga, unajua ukubwa wa dsm ama unaropoka tu.

    • @charlesmpemba9387
      @charlesmpemba9387 Před 2 lety

      Mi sio mchaga Ila magari mengi yanakwenda mjini yard kwa hiyo kupeleka watu mjini shida iko wap

    • @nmctanzania
      @nmctanzania Před rokem +1

      Msongamano wa dar ni tofauti na mikoani. Unaweza kushuka mbezi ukakaa muda kila daladala ikija imejaa au inagombaniwa na wengine wazee hawawezi

  • @geofreyjohn1984
    @geofreyjohn1984 Před 2 lety

    Biashara ya daladala, tax, boda boda, guests nk zinategemea hao abiria. Hatuwezi kuwa na stand kila sehemu.

    • @nmctanzania
      @nmctanzania Před rokem

      Mji una watu wengi sana huu. Wakati ambao abiria wanapelekwa mpaka zinapopaki basi bado daladala zimekuwa hazikidhi idadi ya watu.. unaposema eti sababu ni hiyo mimi nakataa.. fanya upya tasmini yako

    • @fadymoses4994
      @fadymoses4994 Před rokem

      Ela una ona yakuchezea