Ila serikali ya Tanzania sometimes hawatumii logic kabisa kwani wanapungukiwa na nanini kuwapa lifti abria wao wanaoelekea uelekeo ilipi yard. Ukisikia kutumia nguvu bila akili ndio hii
Kila kukicha serikalini kuna jitu lina ibuka na sera zake kwani gari kufika gongo la mboto serikali ina pungukiwa nini wakati kodi imesha toza kwenye tiketi za kielektronic
Kituo ni hapo , kama mlitoa nauli mkashuke sehem nyingine huo ni ujinga,bus linakituo na hapo ndio kituoni , na huo ni mradi wa serikali . Kunawatu wanahitaji kufanya biashara zao hapo pia nao wanahaki sababu wanalipia ......
Mji una watu wengi sana huu. Wakati ambao abiria wanapelekwa mpaka zinapopaki basi bado daladala zimekuwa hazikidhi idadi ya watu.. unaposema eti sababu ni hiyo mimi nakataa.. fanya upya tasmini yako
Hii nchi tunakokwenda sio kizuri.
Ila serikali ya Tanzania sometimes hawatumii logic kabisa kwani wanapungukiwa na nanini kuwapa lifti abria wao wanaoelekea uelekeo ilipi yard. Ukisikia kutumia nguvu bila akili ndio hii
Latra liangalieni Hilo pale mbezi ni balaa tupu
Kila kukicha serikalini kuna jitu lina ibuka na sera zake kwani gari kufika gongo la mboto serikali ina pungukiwa nini wakati kodi imesha toza kwenye tiketi za kielektronic
Hivi kwanini jamani?mwenye gari anakupa msaada mwingine agome
Kituo ni hapo , kama mlitoa nauli mkashuke sehem nyingine huo ni ujinga,bus linakituo na hapo ndio kituoni , na huo ni mradi wa serikali . Kunawatu wanahitaji kufanya biashara zao hapo pia nao wanahaki sababu wanalipia ......
Una jina zuri ila una roho mbayaaaaa!!!!!! 💀
Lakini kwanini tunateseka kwenye nchi yetu?
Unaweza kujikita umetukana ila ahh hawawezi elewa
Mbona mukienda mikowani mbashuka
Msongamano wa dar ni tofauti na mikoani. Unaweza kushuka mbezi ukakaa muda kila daladala ikija imejaa au inagombaniwa na wengine wazee hawawezi
Serikali imeweka utaratibu mzuri tu ...
Wachaga wana matatizo
waongo hawajawajulisha.Hata mimi nimepanda basi Arusha wameniambia inashuka shekilango lakini kufika mwenge wakatuambia mwisho hapo.
Hakuna serekali hinayo mjari mwananchi wake kwa hapa africa tuone watasema nini hiyo serekali
Watu huwa wana kurupuka tu kutoa maamuzi wakiamka na wake zao
Achen uchizi mbona mkifika moshi mnashukia stend msiseme mpelekwe mabogin au mbuyun shuken
Ww Dada una roho ya kichawi huna hata huruma ww, kwani ww inakupa hasara gani kama matajiri wenyewe wanatoa msaaada acha hizo ww zimwi
Wacha ujinga, unajua ukubwa wa dsm ama unaropoka tu.
Mi sio mchaga Ila magari mengi yanakwenda mjini yard kwa hiyo kupeleka watu mjini shida iko wap
Msongamano wa dar ni tofauti na mikoani. Unaweza kushuka mbezi ukakaa muda kila daladala ikija imejaa au inagombaniwa na wengine wazee hawawezi
Biashara ya daladala, tax, boda boda, guests nk zinategemea hao abiria. Hatuwezi kuwa na stand kila sehemu.
Mji una watu wengi sana huu. Wakati ambao abiria wanapelekwa mpaka zinapopaki basi bado daladala zimekuwa hazikidhi idadi ya watu.. unaposema eti sababu ni hiyo mimi nakataa.. fanya upya tasmini yako
Ela una ona yakuchezea