RAIS MAGUFULI ANAZUNGUMZA NA WANANCHI BAADA YA KUZINDUA STAND MPYA YA MABASI MBEZI LUIS

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • #millardayoUPDATES

Komentáře • 61

  • @zainabumbondei8635
    @zainabumbondei8635 Před 3 lety +4

    Naongea kwa kutoka moyoni katika maisha yangu sijawahi kumpenda Rais katika Nchi ya TANZANIA kama nilivyokua nikimpenda Rais Magufuli pumzika kwa amani baba etu🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭

  • @josephjohnmagesa8256
    @josephjohnmagesa8256 Před 3 lety +9

    Wangap wamekuja baada yakusikia kifo chake

  • @hamissahamissa105
    @hamissahamissa105 Před 3 lety +12

    Yani tunamuombea mungu akupe maishamarefu raisi wetu magufuli mtetezi wa wanyonge

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 Před 3 lety +11

    Tutake nn Tena kwa huyu rais 🙌🙌👌

  • @josephjohnmagesa8256
    @josephjohnmagesa8256 Před 3 lety +3

    Ulikua raisi wa haki,mkweli,mpenda kazi,mpenda maskini dah mungu akupumzishe mheshimiwa magufuli

  • @naivashaazori6233
    @naivashaazori6233 Před 3 lety +5

    Kama huna shkuran kwa huyu rais wetu basi hutakaa ushukru tena mungu akubariki baba

  • @emmanuelbonifase1114
    @emmanuelbonifase1114 Před 3 lety +10

    Kazi yao ilikua matusi na sio kuomba kwa ajili ya wananchi

  • @Jax20022
    @Jax20022 Před 3 lety +3

    Rais wetu ni the best!!

  • @zablonnyanda6095
    @zablonnyanda6095 Před 3 lety +6

    Dah?! Huyu jamaa ana akili sana aisee! Japo kuna watu eanampinga sana Ila watampenda tu!

  • @michaelmrema5233
    @michaelmrema5233 Před 3 lety +6

    Naamini mungu atatenda miujiza nandoto za wengi zitatimia pale magufuli atakapoongezewa muda.

  • @jpkkakudji9402
    @jpkkakudji9402 Před 3 lety +8

    Baba lao

  • @zainabumbondei8635
    @zainabumbondei8635 Před 3 lety +1

    Maskin kumbe hapa alikua anaaga wananchi wake kweli MUNGU katuwekea fumbo kwenye kifo INNALILLAH WAINNA ILAYHU RAJIUN ALLAH akuweke sehemu inayostahili pumzika kwa amani baba etu

  • @saidiissa8729
    @saidiissa8729 Před 3 lety +7

    Mweshimiwa rais kiukwel toka uje morogoro kwenye soko kuu na leo tena upo hapa stand mkuu dar kiukwel unachokizungumzia juu ya wananchi wanyonge kiukwel yanatusaidia sanaa n

  • @mathewmasisa9511
    @mathewmasisa9511 Před 3 lety +6

    Maendeleo oyeeee

  • @allymamlo252
    @allymamlo252 Před 3 lety +3

    Nipo Mbozi huyu jamaa hua ananiliza kwa anayofanya kwa furaha jamani

  • @josephyamatlaizar2847
    @josephyamatlaizar2847 Před 3 lety +1

    Mungu amlaze maali pema peponi 🙏🙏🙏🙏👏

  • @devothaeustace7051
    @devothaeustace7051 Před 3 lety +2

    Mungu akupe pumziko la milele tutakukumbuka Daima,😭🙏🙏

  • @eibrahimramadhan7053
    @eibrahimramadhan7053 Před 2 lety +1

    Daah nmejkut machoz yqkinitoka gafla daah rip kamanda 😢😭😭😭

  • @tadayaugustine2694
    @tadayaugustine2694 Před 3 lety +2

    Raisi ndio huyu

  • @fransicalazaro561
    @fransicalazaro561 Před 3 lety +8

    Magufuli hoyeeeeeeee

  • @chomasongidion6047
    @chomasongidion6047 Před 2 lety +1

    Kiukweli kifo hiki,utazani upo Rais wangu,jamani sina la kusema

  • @zainabumbondei8635
    @zainabumbondei8635 Před 3 lety +1

    Unaniliza ww baba jamani 😭😭😭😭😭

  • @zablonnyanda6095
    @zablonnyanda6095 Před 3 lety +3

    Huyu jamaa ni mjanja sana,

  • @victorialucas4476
    @victorialucas4476 Před 3 lety +1

    Dah! Mwanga wa milele ukuangazie pumzika baba

  • @babashuayb4926
    @babashuayb4926 Před 3 lety +1

    Rest in peace Mr president

  • @happinesszabron6811
    @happinesszabron6811 Před 3 lety +1

    Baba yetu kweli ndo umeondoka hatutakusikia tena jamani

  • @giftpaul2559
    @giftpaul2559 Před 2 lety

    Raisi bora shujaa wa Africa

  • @alphonceushaki357
    @alphonceushaki357 Před 3 lety +3

    Milladi Ayo mbona umekuwa adimu sana siku kadhaa ivi

  • @sikitujuma4866
    @sikitujuma4866 Před 3 lety +1

    Baba mungu akulinde kama ukonga viongozi walikua bomu kama uyo waitara hamna kitu maeneyo ya bichi pemba kitunda tumepata tabu kudai mtaro

  • @rukabobugalama2722
    @rukabobugalama2722 Před 3 lety +2

    Magufuli kiboko lao

  • @michaelmrema5233
    @michaelmrema5233 Před 3 lety +2

    Mheshimiwa wamesahau kukuambia kuwa kuna daraja tishio lililopo kibamba kibwegere kuvukia kwakinega kuja mkoa wa pwani. Hili daraja limetundikwa kwenye mti wamkuyu kwakutumia wayawaya tu.
    Mbaya zaidi huo mto unamamba wakutosha kabisa.

  • @gidiongidy9252
    @gidiongidy9252 Před 3 lety

    Kumbe walinzi wake ndo walimmaliza rais wetu . Muangalie vzur walivyokua wakikonyezana tangia hapo hakurudi jukwaani tena

  • @chomasongidion6047
    @chomasongidion6047 Před 2 lety

    Watu walikuelewa Sana Sana.utakumbukwa daima.wewe nimshindi na umeshavishwa Taji la ushindi

  • @arafaomari1832
    @arafaomari1832 Před 3 lety +3

    Woyoo

  • @hamedabashir9
    @hamedabashir9 Před 3 lety +2

    Woyoooo👌👌👌👌👌👌👌

    • @davidmweri6716
      @davidmweri6716 Před 3 lety

      Rais John Pombe Josephu Magufuli Mungu akulinde sana saaaaana naakuzidishie akukinge na mabaya yote,

  • @patriccharles1562
    @patriccharles1562 Před 3 lety +1

    Wapembe nuksi duh 🕵️🕵️🕵️

  • @kijaziwakijayo6833
    @kijaziwakijayo6833 Před 3 lety +1

    Yaani me napendekeza ata nchi hii itwe Magufuli tu. Mitano tena

  • @getrudamkulu9319
    @getrudamkulu9319 Před 3 lety

    Dah jamaniiii Leo hii eti umeondoka jamaniiii mbona mapema jamaniiii ulikuwa una mengi ya kututendea dah moyo umeumaaa jamaniiii pumzika kwa amani baba umevipiga vita vilivo vizuri mwendo umeumaliza Mungu akurehemu na akupumzishe kwa amani

  • @happyshija5418
    @happyshija5418 Před 3 lety +3

    Hii stend iko wapi jaman

  • @abdallahsaid8157
    @abdallahsaid8157 Před 3 lety

    MashaAllah!

  • @sikitujuma4866
    @sikitujuma4866 Před 3 lety +1

    Masikini tuna fuga vikuku vinazama maji yakijaa tunaomba yavutwe tunapewGari la zima moto tununue dizel na posho ya dereva na wasaidizi wake

  • @EbondoSounds
    @EbondoSounds Před 3 lety

    😭😥😥😢

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 Před 3 lety +2

    Mmmmmh😷😷😷

  • @mariumkirungi3699
    @mariumkirungi3699 Před 3 lety

    Rip baba

  • @emasonnziliye8711
    @emasonnziliye8711 Před 3 lety

    😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @dannykyungay6527
    @dannykyungay6527 Před 3 lety

    RIP

  • @musaguga
    @musaguga Před 3 lety +1

    Maendeleo hayana chama ila usisahau siku moja ina masaa 48

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 Před 3 lety

    🤣🤣