MWANZO MWISHO, WALIOTUMWA NA 'AFANDE' WALIVYOFIKISHWA MAHAKAMANI, WAPANDISHWA KWENYE NDINGA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Watu wanne wanaotuhumiwa ‘kutumwa na afande’ kumlawiti na kumbaka binti mkazi wa Yombo Dovya, jijini Dar es Salaam leo Jumatatu Agosti 19, 2024 wamefikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka mawili.
    Watuhumiwa hao wamefikishwa katika Mahakama ya Kanda Dodoma na kusomewa mashtaka ya kubaka kwa kikundi (gang rape) na kumwingilia kinyume na maumbile binti ambaye hakutajwa jina lake mahakamani.
    Akizungumza na waandishi wa habari nje ya Mahakama Kuu ya Tanzania mkoani Dodoma, Mkurugenzi Msaidizi Ofisi ya Mashtaka Makao Makuu, Renatus Mkude amesema vijana hao wamekana mashtaka hayo na kutokana na unyeti wa shauri hilo wataendelea kuwa mahabusu.

Komentáře • 25

  • @jaylyzergang944
    @jaylyzergang944 Před 21 dnem +1

    Hao hawastahili kufungwa Waleten mtaani mtukabidhi sisi wananchi Adhabu Yao tunayo sisi OMBI KWA SERIKALI🙏🙏

  • @ZaharaAdamu-r5o
    @ZaharaAdamu-r5o Před 16 dny +1

    Sitaman kabisa kuona hii taarifa maana nakosa nguvu

  • @elizabethsangure4677
    @elizabethsangure4677 Před 19 dny

    Duh poleni

  • @SamweliMabera
    @SamweliMabera Před 21 dnem

    Jamani video ipo inaonekana ushahidi tosha mbona mnawachelewesha hao maboya

  • @GunguKikungu
    @GunguKikungu Před 14 dny

    Jamani ushaidi upo haki ipo wapi

  • @DativaLeopord
    @DativaLeopord Před 22 dny

    Vijana jamani ,ni nguvu kazi ya taifa hebu acheni madawa ya kulevya ,Nahisi hii mikaka haikutumia akili zake ni upumbavu na utaira unaotokana na dawa za kulevya tu

  • @stellanyamuhogota1832
    @stellanyamuhogota1832 Před 23 dny +1

    Aliewatuna yuko wapi😢

  • @madelinazawadi120
    @madelinazawadi120 Před 23 dny +1

    RPC mchaga,wabakaji wachaga😢😢

  • @AbuuKuziga
    @AbuuKuziga Před 23 dny

    Tia ndan ao mafala ✊️✊️✊️

  • @zwinaalhabsi664
    @zwinaalhabsi664 Před 23 dny +1

    Wanahaki gani hao washenzi

  • @jacksonmboya5320
    @jacksonmboya5320 Před 21 dnem

    Ukiwa mtetezi kwenye Hilo Jambo hata mtoto wako n lazima aje bakwa tuuu tena na idadi mara 2 ya wale

  • @ainessmbise1009
    @ainessmbise1009 Před 23 dny

    Tanzania ata wageni waiogopa,eti wanajeshi wametumwa na afande tena mwanamke iyo ni laana kwenye familia ya afande na wanajeshi na wanataka kumficha uyo afande mama,

  • @YohanaMichael-sw8vj
    @YohanaMichael-sw8vj Před 22 dny

    Na Alie watuma nae Atiwe ndani

  • @mapundawilliam370
    @mapundawilliam370 Před 23 dny

    Je nayule boss wao nayeye kakamatwa au yupo kazini,maana tulisikia ni Police mwenye cheo. Nahao vijana tulisikia ni Police. Kama nikweli basi neheri tuseme Police wa 4 police.

  • @tanzaniawomenyouthempowerm267

    Wachaga mnafeli wapi?

  • @JohnMdee-pm1qh
    @JohnMdee-pm1qh Před 22 dny

    Wapigwe viboko 40 kuingia jela miaka 30 viboko40 kutoka iwe fuzo Kwa wabakaji wotee

  • @mapundawilliam370
    @mapundawilliam370 Před 23 dny

    Baadae taarifa ikabadirika eti wanajeshi, Police kuamuru wanajeshi mmmmmmh. Nnawaeiwasi

  • @jumarajab5316
    @jumarajab5316 Před 22 dny

    hao askari gani mbona wa miili hivo si hatari hii

  • @LusekeloMwakyalabwe-ux9xq

    Huyu mwenye jezi si ndo alie kua anavuta bangi

  • @AminaJumaa-d4q
    @AminaJumaa-d4q Před 23 dny

    Alietoa ajira mbona aonekani

  • @DonaldkilianiMmbaga
    @DonaldkilianiMmbaga Před 23 dny

    Wachukuliwe atua za kinizamu

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk Před 23 dny

    Wabakaji m naona ni dili msafara kabisa.. Wajinga hao kweli mnapoteza gharama hivyo

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani807 Před 23 dny

    Wanahaki gani hao wajinga walijirekodi kabisa