wosia wa Raisi Magufuli kabla ya kifo chake "nikifa mtanikumbuka

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 314

  • @benardsamba5248
    @benardsamba5248 Před 2 lety +47

    niwangapi bado tunamkumbuka raisi mpendwa wetu pumzika kwa amani JPM 🤲

  • @josiahsimon5333
    @josiahsimon5333 Před 3 lety +26

    Mtu huyu alikuwa kama messenger wa Mungu naamini atakuwa mbinguni aliweza kuishinda Corona kwa kumuamini MwenyeziMungu Mhe Magufuli Ahsante sana pumzika kwa amani

  • @respernyamusi9194
    @respernyamusi9194 Před 8 měsíci +5

    what a lovely and ambitious president above all a father of the poor rest in peace magufuli si kenya tungekua na rais kama huyu jamani

  • @eliachniyonkuru9797
    @eliachniyonkuru9797 Před 3 lety +36

    Poleni sana wandugu zetu wa Tanzania kwakumupoteza Raïs wenu kiukweli Africa tunapoteza shujaa!! Sound from Burundi

  • @richardkubanda6627
    @richardkubanda6627 Před 3 lety +12

    Mungu Kwa Nini umeruhusu mwamba wetu aende, tumebaki na ukiwaaa nafsi zimejaa Giza. Daima tutakukumbuka J.P.M💔💔💔💔

  • @gambobakari4978
    @gambobakari4978 Před 2 lety +7

    Hakuna tena Magufuli duniani,plz mungu nakuomba umuweke magufuli peponi forever.

  • @josiahsimon5333
    @josiahsimon5333 Před 3 lety +20

    Hakika mtu huyu alikuwa mwema sana (John Pombe Magufuli)

  • @felicianholle3010
    @felicianholle3010 Před 3 lety +27

    Tupeaneni pole wa Tanzania tumepoteza Rais mwenye maono na malengo na nchi yetu,tumwombe Mungu atupe roho ya kuweza kuhimili msiba huu

  • @onlyyoujesus8232
    @onlyyoujesus8232 Před 3 lety +13

    Baba, tangu umetutoka huku tunaumizwa tu. Mungu akupe mbingu ulitetee Taifa lako mbele yake. Mema uliyoacha yanavurugwa, raha hatuna furaha wala amani

  • @sadickkalinga7888
    @sadickkalinga7888 Před 3 lety +9

    Wewe mzee uende kwaamani tena najuabinaadam siimkamilifu mwenyeezi mungu akupunguzie adhabu yake maana binaadam huulizwa umefanyann duniani lakini upo chakujibu juu yetu wa Tanzania mungu akurehem ulipo kama ulivosema akupe japo uongoz wa kwaya mbinguni

  • @michaelmuchomerson8263
    @michaelmuchomerson8263 Před 3 lety +28

    Watyu hufa ila hichi kifo kimeniuma sana, rip my president

    • @fauzatisospita5053
      @fauzatisospita5053 Před 3 lety

      Saaaaana

    • @ismailshaban7776
      @ismailshaban7776 Před 3 lety

      @@fauzatisospita5053 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅😂😂😅😅😅😅😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @ismailshaban7776
      @ismailshaban7776 Před 3 lety

      Tuna nyanyasika baba sisitumetolewa sem zetuzabia shallah bilamkosa yoyote sasaivi wenyepesa ndio wenyenguvu kalia tandamti nasikukuu sokolime ungua sem nyingine mbali nashanga time fukuzwasisi sokolachini limeachwa ilasisi machinga tumefukuzwa tutaishi vip wengine tunafamilia zinatuangali tunawaze wana tuangalia mnafikili sisi tutaishi vp mbakaleo atuelewi tuishi vp

    • @ismailshaban7776
      @ismailshaban7776 Před 3 lety

      Wengine tunafamilia autujui tuishivp mbakaleo tupotupo kaziatuna tukeweka biashalla tunafukuzwa inauma sana

    • @ismailshaban7776
      @ismailshaban7776 Před 3 lety +1

      Kaliakoo tamti nasikukuu sokokulilio ungua jukabisa mtawanya mwezi sisituko sokodogo ilatumefukuzwa inaniuma Sana

  • @sadickkalinga7888
    @sadickkalinga7888 Před 3 lety +11

    Huwa najiuliza kwann mungu aliruhusu uende? Kwann mungu hukusubiri japo amalize japo awam yaketuu? Eemungu angalia machozi yetu wa Tanzania basi Tupe Mbadala wake unataka tuishije wa Tz onayanayoendelea hivi sasa mungu

  • @morinebarongo2778
    @morinebarongo2778 Před 3 lety +10

    Shine on ur way president..u were good man...from kenya

  • @bashirisayyidmdee7653
    @bashirisayyidmdee7653 Před 3 lety +9

    Tumeumia sana wazalendo wa nchi hii kumpoteza kiongozi jasiri mzalendo lakn mungu ni mwema atafanya njia pasipo na njia

  • @saidhamis2161
    @saidhamis2161 Před 3 lety +12

    Nitakukumbuka daima ,wewe ni baba mdogo wa taifa mungu tujaze ujasiri kama baba JPM ,lala salama Amin🙏

  • @aishahatibu6630
    @aishahatibu6630 Před 3 lety +8

    Allah aifanye wepesi katika safali yako baba tutakukumbuka Sana tumekua watu wamajozi kila dakika nalia emungu tupenguvu katikaa hiki kipindi kigumu 😭😭🙆

  • @janenanjala6643
    @janenanjala6643 Před 3 lety +6

    Poleni Sana ndugu zangu wa tanzania.kwa kimpoteza raisi wamaana sana mwenye kujali watu wa chini pole pole polemimi ni mkenya na nilimpenda Sana raisi.mheshimiwa John pombe magufuli nimelia Sana😭😭😭😭😭😭

    • @malavidoaluminium9353
      @malavidoaluminium9353 Před 3 lety

      Pole nawewe ndug yote ni mipango ya mungu

    • @fauzatisospita5053
      @fauzatisospita5053 Před 3 lety

      Kitu ukiwa nacho thamani yake huioni ila kikiondoka ndo utaelewa.Najua hata wabaya wake mtajua baadae,Allah amsimamie kaburiin mwake,

  • @stevensimtowe4511
    @stevensimtowe4511 Před 3 lety +5

    Nina mashaka na ii Grass,Maana baada ya uu mkutano Ndo matatizo yalipo azia Apo,,,Ila wanachi Hawajaridhika kabisa na Kifo Cha Rais wetu,,Apa lazima Kuna kitu Apa😭😭😭inauma Sana🙏🙏

    • @evflorasoledad1437
      @evflorasoledad1437 Před 3 lety

      Ata mimi sijailewa imenipa shaka

    • @salumukevin957
      @salumukevin957 Před rokem

      Nirizani ni mm peke yangu niliye wazia hiro Lakini ni semester ni mawazo yangu tu binafsi all in rest in peace King of Tanzania 🇹🇿

  • @farajimubelela5308
    @farajimubelela5308 Před 3 lety +7

    Tunaumia sana mmepoteza mtumkubwa sana wallai mwenyezi Mungu ampokee salama

  • @kassimramadhani7903
    @kassimramadhani7903 Před 3 lety +10

    Muda wako uliopewa na mungu wa kuwatumikia watanzania 17/3/2021 hapo ndipo ilikuwa nukta ya mwisho, tutakukumbuka daima ila tu mfano wa wewe cjauona eeeee! mungu muweke sehemu iliyotukuka zaidi kwa ufalme wako

  • @apetrol5047
    @apetrol5047 Před 3 lety +13

    Tutamkumbuka kwa mengi baba pumuzika kwa amani

  • @psmasaga8085
    @psmasaga8085 Před 3 lety +2

    Mnamo mwaka 1996 nlizaliwa mkapa akiwepo mungu ailaze roho ya mkapa mahari pema pepon know magufuri bba umenitoka mungu akubariki xana kwa ulioyafanya baba can budi kuxema amina mungu akupokee kwa a man ameeen know like magufuri pombe josephu amina

  • @fredyphilimon38
    @fredyphilimon38 Před 2 lety +7

    I never tired to listen you father RIP 🙏

  • @sonofmaggietv361
    @sonofmaggietv361 Před rokem +2

    You'll ever be in my heart Baba Maghufuli, mimi ni Mkenya japo kazi yako ya busara naitambua vema Baba
    Naiombea roho yako ikapumzike kwa amani haswa hui mwezi wa kuombea wafu

  • @israeljoshuwa1448
    @israeljoshuwa1448 Před 2 lety +2

    Mzee ndoto zako zote zimezikwa hakuna kinacho enderea Mungu atusaidie sote kwa kweli watazania

  • @anthonymbugua8536
    @anthonymbugua8536 Před 10 měsíci +2

    Am from Kenya but l love this man from my heart,rest in peace mzee.

  • @thabitbakari6733
    @thabitbakari6733 Před 10 měsíci +1

    Ninalia kwa uchungu huwezi kupata mtetezi kama muheshimiwa magufuli magufuli gweeee tunalia babaaa tunaumia mungu pokea mochozi yetu ya uchungu mungu tuhukumie penye wabaya wote, magufuli umeiinua Africa magufuli upokelewe na machozi ya waafrika wote maeen❤❤❤😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @nzikucathibeth8814
    @nzikucathibeth8814 Před 3 lety +6

    Tumejawa na majonzi mengi juu ya jpm, hatukuwahi kufikili Kama ingekuj tokea hivi lkn yamkini Mungu anakusudii lake, hivoo Ni jukumu Letu watanzania wote Kuwa wavumilivu, tushirikiane na kuliombea taifa letu ktk kipindi hiki kigumu!! Aidha tumsihii Sana Mungu aachilie ten kipawa kingine Kwa aliye kusudiwa kusimamia nchiii yetu. R. I. P JPM

  • @avitusntongo9920
    @avitusntongo9920 Před 3 lety +5

    Jaman tumeumia san kwa msiba wa rahis kipenz dah mungu ilaze roho yake mahali pema peponi daima utakuwa mfano wa kuigwa ndan na mje ya nchi tunashukuru kwa Ulipotufkisha mweshimiwa asiye Shakuru kdogo!

    • @juliusmengoru4249
      @juliusmengoru4249 Před 3 lety

      Tumxhukuru mungu kwa kila jambo,, kazi yake haina makosa, baba yetu magufuli tulikupenda ila mungu amekupenda zaid, munguu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi Amina,!!

    • @christianvitalis1456
      @christianvitalis1456 Před 3 lety

      Daaa! 😭😭😭😭😭 Kwakweriiii tutakukumbuka Sana baba wa wanyonge

    • @rosepallangyo8017
      @rosepallangyo8017 Před 3 lety

      Mungu akupunguzie adhabu ya kaburi 😭😭😭😭😭

  • @vedastetuyishimire2603
    @vedastetuyishimire2603 Před 3 lety +5

    Pole sana, Mungu atakupa zawadi

  • @mwizukaelias1737
    @mwizukaelias1737 Před 3 lety +4

    Dah mie xita msahau huyu baba mpaka sasa hajatoka kichwani mwang mngu airaze roho yake pema peponi

  • @masalumaduhu7968
    @masalumaduhu7968 Před 3 lety +6

    Mama afuatilie hotuba za mfalme ajifunze, asione aibu tulimpenda JPM kwa misimamo yake na maamuzi ya papo kwa papo. Ndio maana wanyonge tulimpenda na hakutaka kodi za walalahoi. Mheshimiwa mama yetu fuatilia hotuba hizi ujifukize, Elimu haina mwisho. R.I.P. JPM pumzika kwa aman.

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 Před 2 lety

      Ajifunze nini sasa? Yani unataka mama atutawale kama yule vampire?? Huyu mama siyo kama lile jitu..

  • @fahadimohamedi251
    @fahadimohamedi251 Před 3 lety +5

    Tutakukumbuka kwa mengi sana rest in piece Magufuli

  • @lynoxnyamax245
    @lynoxnyamax245 Před 3 lety +9

    Shine in your way bwana Magufuli,poleni watanzania

  • @lydialuhigo
    @lydialuhigo Před 3 lety +22

    President Magufuli came and conquered that old disease "corruption" he built Tanzania in very few years. He did what 4 presidents combined couldn't do. Rest in peace Magufuli you are loved. ❤

    • @abubakarwasonga5398
      @abubakarwasonga5398 Před 3 lety

      Dah ni huzuni kubwa, inauma sana...anatetea kiukweli watu wa chini!

    • @ericmuthuri1145
      @ericmuthuri1145 Před 2 lety

      He was the president off the people I would like to have president like makufuri Ruto my president please please you are david God give you wisdom God bless kenya I wish i can see you life life with.you government's bcoze I love kenya this my home kenya

  • @MikkyKikula
    @MikkyKikula Před 3 měsíci

    Allaaah tujaaalie amani ,ungoz bora uendelee kudum tz toka serikali awamu ya kwanz mpaka miaka endelevu aaamiiin aamiiin

  • @magangiralucas6516
    @magangiralucas6516 Před 2 lety +1

    Kwa sasa hatuna tena kiongozi wa maendeleo walio baki magaragaja tu majizi mafisadi Mapiga ela tu maendeleo tena bas uyu mama nnchi ishamshinda kabisa nnchi inadidimia chin

  • @omaryissa6399
    @omaryissa6399 Před rokem +2

    Mungu akupunguzie adhabu huko ulipo baba yetu kwani ulikuwa na upendo usiyo kuwa na mfano pumzika kwa amani kipenzi cha watanzania

  • @chrismutisya
    @chrismutisya Před 3 lety +24

    He came and left a legacy in a short period...something that most African Presidents have been unable to do. RIP John Pombe Magufuli.

  • @denicentimba4725
    @denicentimba4725 Před 3 lety +2

    Daaaah hili ni pigo kubwa kwetu wa Tanzania na Africa kwa ujumla tutakukumbuka Sana shujaa wetu 😭😭😭😭😭🙏🙏🙏

  • @mashuranovictor7720
    @mashuranovictor7720 Před 3 lety +4

    Pumzika kwa amani baba yetu ni mengi uloyafanya kwa ajili ya taifa letu,ukumbukwe daima

  • @victarmashurano4660
    @victarmashurano4660 Před 3 lety +6

    MaGufuli was really a fighter

  • @fraviansweetberty8819
    @fraviansweetberty8819 Před 3 lety +4

    Tunataman sana Sana saut yako mosimamo yako utendaji wako wakazi baba

  • @mudhihirumikidadi6066
    @mudhihirumikidadi6066 Před 3 lety +2

    Pumzika mungu akuweke pahalipema

  • @barakamsungu5260
    @barakamsungu5260 Před 3 lety +3

    Tunahitaji Maraisi wa aina hii Tanzania awamu 4 mfululizo bila kuingia wale chukua chako mapema watu wasio na huruma wala uzalendo wa nchi yao, hakika vizazi vijavyo vitakuwa kama Ulaya, lkn kinyume cha hapo ni mwendo wa kinyonga kwenye maendeleo, we need aggressive leaders(Tunahitaji viongozi machachari) sio wa kwenda kulala na kula raha Ikulu,pale ni mahara pa kupiga kazi mchakamchaka.

  • @danieltoroka7281
    @danieltoroka7281 Před 2 lety +1

    👏👏👏👏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭 dah baba mimi sina usemi baba magu pumzika kwa amani

  • @zakarianyambuge5363
    @zakarianyambuge5363 Před 2 lety +1

    Wewe jembe letu pumzika Kwa Amani jemedali wetu mkuu tunakukumbuka mno Leo hii hakika wewe chaguo la mungu kwetu watanzanzia ,Asante mungu Kwa kutupa huyu mtu amefanya makubwa sana

  • @anafikamugisha8834
    @anafikamugisha8834 Před 16 dny

    Mungu AKUHIFADHI mzee wetu

  • @OscarFabian-uu3rs
    @OscarFabian-uu3rs Před 5 měsíci +1

    Mungu baba mlaze mahali pema peponi, mtetezi wawanyonge. Lo jamani

  • @izacmumius1785
    @izacmumius1785 Před 2 lety +3

    Baba God bless your heart

  • @anzuruunramadhani1006
    @anzuruunramadhani1006 Před 3 lety +5

    Tutakukumbuka Sanaa tuu

  • @aishajanka-jr1zw
    @aishajanka-jr1zw Před rokem +1

    Nimiaka miwili sasa bila ya wewe Rais wetu Magufuli Allah akuangazie Nuru huko alipo tunakukumbuka sana Rais wetu

  • @barakamsungu5260
    @barakamsungu5260 Před 3 lety +3

    Raisi wetu alikuwa na kipaji cha pekee katika maendeleo na ujasiri wa ajabu pia mtu mwenye kufanya yasiyowezekana yawezekane, R.I.P Shujaa wetu.

  • @charleselijah-vq3hq
    @charleselijah-vq3hq Před 9 měsíci

    Ukweli ni kwamba Mweheshimiwa ulikuwa Rais wa kujielewa Ndugu Hayati Dr.John Joseph Pombe Magufuli alikuwa na sera makini ya kuinua Tanzania. Pumzika kwa amani Mzee wetu Dr.John Joseph Pombe Magufuli

  • @nolvanondotambwe8221
    @nolvanondotambwe8221 Před 3 lety +2

    Sijawai kuona rais kama jpm.nitamkumbuka daima

  • @sammiebabu8550
    @sammiebabu8550 Před rokem

    😮bdo tunakukumbuka rais wetu magufuli watching from Kenya 🇰🇪

  • @AhmedHassan-iz3hq
    @AhmedHassan-iz3hq Před 3 lety +4

    Rest peace makufuli will miss you to much

  • @donedaddy4561
    @donedaddy4561 Před 3 lety +8

    Kipindi hiki kimekuwa kigum saaana kwetu Watanzania ila naamini M/Mungu atatulinda daima R,I,P MY PRESIDENT

    • @mwinyihaji4400
      @mwinyihaji4400 Před 3 lety +2

      Mungu akupe subira ndugu yangu, sio wewe tu bal hata sisi nchini kenya 🇰🇪

    • @donedaddy4561
      @donedaddy4561 Před 3 lety

      Amin

    • @christamazara1266
      @christamazara1266 Před 3 lety

      Hv roho ya Rais wangu c iko mbingun naomba umtokee hata mamasamia ili akueleze kwa nn wamegeuka

  • @eagleartsproduction3536
    @eagleartsproduction3536 Před 3 lety +8

    I'll Live to treasure His Legacy from Kenya

  • @anzuruunramadhani1006
    @anzuruunramadhani1006 Před 3 lety +3

    Msiba wa huu ni waafrika nzima tumeumia Sanaa jamanii

  • @alanusrespicius1796
    @alanusrespicius1796 Před 3 lety +2

    Hilo li zungu usingelisifia maana limekuwa shida kwa wanyonge

  • @erastokayombo3253
    @erastokayombo3253 Před 3 lety +3

    Baba tutakukumbuka San wanao umetuachia kipara huku baba😭😭😭😭😭

  • @shannymaina8787
    @shannymaina8787 Před 3 lety +4

    You Ride On magufuli... 🙏🇹🇿

  • @sonko-13
    @sonko-13 Před 2 lety +2

    Huwa nikisikia hotuba hasa lile neno" najua ipo siku mtanikumbuka, sio kwa mabaya ila kwa mazuri" yaan nalia tu😭

  • @kingwatabata4230
    @kingwatabata4230 Před 3 lety +3

    TUNAKUFA ILA JPM 🙌💔💔😥😭

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc Před 3 lety +2

    Mimi ni mtu wa Kiitaliano. Nilimsoma Magufuli, mwanasiasa niliyemthamini kwa malalamiko yake dhidi ya ufanisi wa visodo. Alikuwa rais mzuri na jasiri, mtu mwaminifu ambaye alikuwa amepunguza mshahara wake (kutoka $ 15,000 hadi $ 4,000) alitetea masilahi ya watu. Nilithamini pia msimamo wake juu ya covid na dhidi ya chanjo hatari. Nadhani walimuua ingawaje alikufa rasmi na shida za moyo. Nakubali juu ya Magufulification ya Afrika! Kwa hivyo, heshima kamili kwa Magufuli ambaye kwangu atabaki hai milele kwa uaminifu wake.

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Před 2 lety +1

      Complimenti Roberto

    • @DottRoBroc
      @DottRoBroc Před 2 lety

      @@Pedeshee01 asante sana Omar

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Před 2 lety

      @@DottRoBroc karibu sana bado upo tanzania ama usharudi italia kwa sababu mimi mwenyewe ninaishi italia nasikitika tumempoteza eroe wetu Magufuli

  • @esterkiula7186
    @esterkiula7186 Před 3 lety +6

    Tutakukumbuka kwa mengi baba pumzika kwa Aman

  • @jamesmwas372
    @jamesmwas372 Před 2 lety +1

    Hakika baba tunajuta kwa sasa hakika

  • @munguniushindi8465
    @munguniushindi8465 Před 3 lety +1

    Mungu akutetee Kama alivyomtetea Dorcas.
    Magufuli baba roho yako inaishi.

  • @ericksonomare6042
    @ericksonomare6042 Před rokem

    Wat a lovely speech indeed lala poa mzee wetu

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Před 2 lety

    Aaaah umeondoka upesi baba, mungu akuhifadhi pema peponi inshaallah, Amin

  • @aleximurwanashyaka4688
    @aleximurwanashyaka4688 Před 8 měsíci

    I don't know if we gonna find that the man like you We still love you❤❤❤❤

  • @user-bu7zb5wv4r
    @user-bu7zb5wv4r Před 9 měsíci

    mungu ailaze mahar pema peponi amina

  • @blackhunter455
    @blackhunter455 Před 2 lety +2

    Continue Resting in peace Dr JPM!!

  • @sabrinakasim5671
    @sabrinakasim5671 Před rokem

    Moyo Wang. Inaniuma sanaa nikimkumbukaa uyu baba. Eeee mwenyezimungu mlinde baba uyu na adhabu za kaburiniii. Tunajw kuw binadamu hatuja kamilika Ila watanzaniya au afrika kwA ujumla bado anaishi kwenye mioyo yetu tuna mpenda Sana Tena Sanaa🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @mwanamatofali6981
    @mwanamatofali6981 Před 2 lety +1

    Awaa president in passion rest in p mzee

  • @johnshavanji3257
    @johnshavanji3257 Před rokem

    Tumepoteza kiongozi Africa! Maçhozi yangu juu yako hayatawahi kukauka!!! Maono makubwa, upendo kwa wanyonge, ujasiri wa kuyatekeleza....Oo Baba Magufuli!!! Oo Baba!!! Ughaibu ukakuchukia ukisaidiwa na wasaliti wa Tanzania kukumaliza!!!

  • @jessicarasigu2220
    @jessicarasigu2220 Před 3 lety

    Hakika baba Magu daima tutakukumbuka maishani mwetu watanzania wanyonge, 😭 😭😭😭😭😭😭😭😭 Pumzika kwa Amani Raisi wetu Tulikupenda Sana,Ila Mungu kakupenda zaidi yetu MAGU Ahsante kwakutujali wakati wa UHAI wako 🙏🙏

    • @liannsambu7264
      @liannsambu7264 Před 3 lety

      Ila nikimwangalia JPM Hapa hakuwa na furaha ,yuko tofauti kidogo na nyuma usikute alikuwa hajisikii vizuri

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 Před 3 lety +2

    MAMA SAMIA TUNAKWAMBIA UKWELI KM HUTAKI KUJIFUNZA KWA JPM, HAYUPO WA KUKUPA KURA JUA HILOM

  • @VenanceEphraim-hr2cc
    @VenanceEphraim-hr2cc Před 9 měsíci

    La Tanzanie avait un président vraiment c'était un ange de Dieu vraiment

  • @mambokeshomqweli9427
    @mambokeshomqweli9427 Před 3 lety +5

    Pumziko la amani mkuu

  • @karimhgau9020
    @karimhgau9020 Před 2 lety

    Asante Mungu,wewe ndy muweza wa kila jambo.mpumzishe kwa amani mpendwa wetu.

  • @safariboison7946
    @safariboison7946 Před 3 lety +3

    Tutaendelea kukumbuka

  • @allyabdallahmsusa
    @allyabdallahmsusa Před 3 lety +3

    So, Sad😢 Lala salama Baba 🙏🏾

  • @vedastetuyishimire2603
    @vedastetuyishimire2603 Před 3 lety +5

    Rest in peace

  • @chinapato2367
    @chinapato2367 Před 3 lety +12

    He was amazing presdent of this country no one like him rest in peace😔😔😔

  • @jumannerajabu6324
    @jumannerajabu6324 Před 3 lety +1

    dah kwakweli kizuli hadumu watanzania tuna majonzi myoni mwetu mpaka myaka kumi ipite

  • @erassila838
    @erassila838 Před 3 lety +3

    Alikuwa kiongozi shupavu, mwanga wa milele ukuangazie ehee Baba apumzike kwa amani

  • @user-et7zy6jh8w
    @user-et7zy6jh8w Před 10 měsíci

    Atakumbukwa mwenda zakeee by chatooo🎉🎉🎉

  • @emarrgeorge8536
    @emarrgeorge8536 Před rokem +1

    Mmh Hata Sauti imenipa Mashaka Mzeewangu😭...Mbona haikuwa Kama Nilioizoea

  • @clemencegundala1948
    @clemencegundala1948 Před 3 lety +9

    RIP pombe Mbele yako nyuma yetu

  • @deavistz5162
    @deavistz5162 Před 3 lety +3

    Tutampata wapi😭😭😭

  • @user-rr2ic8en4y
    @user-rr2ic8en4y Před rokem

    Kweli among heroes you were the best

  • @user-bc9de9vy7q
    @user-bc9de9vy7q Před 9 měsíci

    Kwa bahati mbaya logo hakuna rufaaa mimi na watanzania wenzangu tungekurudisha

  • @user-kl9me9pq5v
    @user-kl9me9pq5v Před 11 měsíci

    Mungu akulaze pema peponi

  • @peterandrew2795
    @peterandrew2795 Před 2 lety

    Mungu akupunzishe kifuani mwa ibrahimu baba yetu....kweli nlikupenda sana ila basi tuu kazi ya mungu haina makosa.

  • @joyceenos4397
    @joyceenos4397 Před 3 lety +1

    Umekufa na Pesa Sasa hivi hazionekani hakuna kinacho endelea zaidi ya chanjo ya corona

  • @mohamedyeslam5194
    @mohamedyeslam5194 Před rokem

    Sijaona president kama huyu,mungu alimchukuwa mapema,watu watakukumbuka Kwa mazuri

  • @masimayala7803
    @masimayala7803 Před 3 lety +1

    Mungu anawaona mlio...........

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 Před 2 lety +2

    Never forget this Person in my all Life