TIZAMA MATENDO MAKUU YA MUNGU, BAADA YA MAOMBI YALIYOONGOZWA NA MWL MWAKASEGE, HAKIKA MUNGU AKAJIBU.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 08. 2020
  • SEMINA YA MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE ARUSHA JANUARY 2020, BAADA YA MAOMBI MUNGU AKAJIBU NA WATU WAKASHUHUDIA JINSI MUNGU ALIVYOFANYA.

Komentáře • 373

  • @tumainchigeso5022
    @tumainchigeso5022 Před 3 lety +6

    Mungu anatenda miujiza mingi sana tatizo watu wengi hawampendi Mungu wanapenda miujiza tu hakika ipo siku utakuja kujuwa jinsi ulivyo poteza muda wako ktk Dunia hii ya dhambi ,okoka Leo ni muda sahihi

  • @elizabethtr5rrtakonaay413
    @elizabethtr5rrtakonaay413 Před 3 lety +27

    JEHOVA SHALOM asante kwa uponyaji nilikuwa naumwa kifua namshukuru Mungu baada ya maombi niliona kifua kimefunguka

  • @deboraruhinda1818
    @deboraruhinda1818 Před 3 lety +14

    Heshima sifa na utukufu ni kwa Bwana YESU, Aleluya

  • @jescakabogo730
    @jescakabogo730 Před 3 lety +8

    Haleluya haleluya. Mungu wa uweza unaweza. Barikiwa sana watumishi wa Mungu aliye hai

  • @samwelkowero1188
    @samwelkowero1188 Před 2 lety +2

    Mungu Ninakushukuru Kwakuwa Umeniponya nilikua dhaifu, Sasa Umeniweka Huru Mungu nakushukuru Sana Asante Yesu Kristo Amen,Mtumishi wa Bwana Mwalimu Mwakasege Mungu akubariki Sana .Amen

  • @faharimbwillo8403
    @faharimbwillo8403 Před 3 lety +11

    Amina nabarikiwa sana na Mungu aendelee kuwabariki sana 👏👏👏👏👏

  • @elbarikimrimi7777
    @elbarikimrimi7777 Před 3 lety +8

    Sifa, Heshima na utukufu ni kwa Mungu. Wewe ni Bwana utuponyaye..ahsante Yesu

  • @fedhajoseph7687
    @fedhajoseph7687 Před 3 lety +4

    Amen Amen nasisi nafamilia yangu tunapokea haja ya moyo yetu kwa jina la Yesu wanadharethi Amen.

  • @ekaristmanoni8273
    @ekaristmanoni8273 Před 3 lety +23

    Mungu azidi kutungusa kwa kila mwenye hitaji lake na mimi atanifikia siku yangu ,"Tumtumainie yeye wakati wote"

    • @fatumaasumani7930
      @fatumaasumani7930 Před 3 lety +1

      Namshukuru mungu wangu kwakunirudisha kazini

    • @fatumaasumani7930
      @fatumaasumani7930 Před 3 lety

      Namshuru mungu kwakunipa ujauzito namuomba mungu wangu aniondolee maumivu

    • @gooddeeds162
      @gooddeeds162 Před 3 lety +2

      @@fatumaasumani7930 umebarikiwa Mungu ni mkuu sana , Hongera sana .
      Mungu anaenda kukutendea makuu zaidi ya hayo, Hujaona kitu bado.
      Glory to God , You’re blessed in the name of Jesus

  • @luciekituza4267
    @luciekituza4267 Před 3 lety +10

    Amen! Jina la bwana Yesu kristo libarikiwe milele na milele🙌

  • @ibrahjoel7283
    @ibrahjoel7283 Před 3 lety +4

    Bwana Yesu asifiwe wapendwa samahan Ntaipataje hyo nyimbo ya kuabudu🙏 amen

    • @ruthstephen2791
      @ruthstephen2791 Před 3 lety

      Nadhani ipo youtube

    • @juliethernest4550
      @juliethernest4550 Před 3 lety

      Mnafeli wapi mnaoenda kwa waganga ? Mganga ameumbwa na Mungu he anaweza kumzidi nguvu aliyemuumba haiwezekani

  • @magrethsamson1835
    @magrethsamson1835 Před 3 lety +15

    Namshukuru mungu miguu yangu ilikuwa na maumivu kwenye viganja vya miguu baada ya ushiliki maombi haya nikasikia sauti kitu kimetoka sisikii Tena be maumivu

    • @concesafl
      @concesafl Před 3 lety +2

      Barikiwa sana

    • @obedyjonas4485
      @obedyjonas4485 Před 3 lety +2

      Mtoa ushuhuda unapoandika Mungu uanze kwa herufi kubwa maana mungu ya herufi ndogo kama hiyo hapo niliyoandika nyuma kidogo haimaanishi Mungu aliye hai.

    • @gooddeeds162
      @gooddeeds162 Před 3 lety

      Ubarikiwe sana

    • @veronicapanga1286
      @veronicapanga1286 Před 3 lety

      Samahn huyu.mchungaji yupo mkoa gani

    • @mercykombe
      @mercykombe Před 3 lety

      Glory to GOD

  • @peninaancon1256
    @peninaancon1256 Před 3 lety +3

    Ni Maombi yangu Mungu wa mbinguni awatunze (Mwl. Mwakasege na Mama) kwaajili ya utumishi wake kwa watu wake.
    Amina!.

  • @chimbokiswaga8662
    @chimbokiswaga8662 Před 3 lety +2

    Natangaza gonjwa la ukimwi kuniachia leo na kuwa huru kwa jina yesu kristo mnadhalet Alie hai amen utukufu kwa bwanaaa🙏🙏🙏🙏

    • @gooddeeds162
      @gooddeeds162 Před 3 lety

      Ameeeeen, Mungu wetu ni mwenye nguvu, upendo na huruma, Hakuna linalomshinda na kamwe halitokuwepo.
      Ubarikiwe sana ndugu yangu na Mungu anakupenda na lilo unalohitaji akutendee maishani mwako na mwilini basi limejibiwa katika jina la Yesu kristo.
      Be blessed 😊

    • @maoleminja6514
      @maoleminja6514 Před 3 lety

      Amen

  • @gracetarimo6073
    @gracetarimo6073 Před 3 lety +3

    Kupitia maombi haya mwanangu akapone ugonjwa ambao unajirudiarudia kwake kwa jina la yesu naomba nakuamin Amina🙏🙏🙏🙏🙏

    • @gooddeeds162
      @gooddeeds162 Před 3 lety

      Mungu akamguse mtoto wako, Akamponye, Akamlinde na mtoto akue katika njia zinazompendeza katika Jina la Yesu kristo, Mbarikiwe sana 😊

  • @christophermsigala8001
    @christophermsigala8001 Před rokem +1

    Namshukur Mungu nimesiliza maombi haya na niliungana nanyie katika madhabahu hiyo na nimepona sikio langu na sehem ya mbavu nlikuwa nikikaa naumia ila baada ya haya maombi nasmhukur Mungu..asante Mungu

  • @Iddapaul
    @Iddapaul Před 3 lety +13

    Amen na asante Yesu kwa uponyaji. Asante kwasababu ya Watumishi wa Mungu; nina mengi ya kumshukuru Mungu pia kwa ajili yao. Nimekuwa nikishika tumbo langu la uzazi kwa ajili yangu na wote wenye uhitaji wa watoto. Kwa zaidi ya miaka 10 na mimi nikapata mtoto wa kiume mwaka jana 2019 baada ya kukosa mtoto kwa miaka 19 tangu nilipopata binti yangu wa kwanza mwaka 2000. Sikupata matibabu yoyote ya kitaalamu hivyo namuinua Kristu kwa ushindi huu na namkabidhi mtoto wangu wa miujiza kwa Bwana siku zote za maisha yake.

    • @happynesselisha2048
      @happynesselisha2048 Před 3 lety +2

      Na amini kupitia ushuhuda wako kakaangu na wifi yangu wenye miaka sita kwenye ndoa nawo watapata mtoto. Amina

    • @wasajo
      @wasajo Před 3 lety

      Jamani mi pia namuomba sana Mungu kupitia ushuhuda wako naamini atanijibu yale nayomuomba kwa wakati wake

    • @priscajonas1978
      @priscajonas1978 Před 2 lety

      Kupitia ushuuda wako mpendwa.mungu fanye kitu kwangu

    • @doreenchanziii9398
      @doreenchanziii9398 Před rokem

      O9

    • @OmaryAkida
      @OmaryAkida Před 10 měsíci

      Ame rakin sija kufaam

  • @samwelmwaijumba6018
    @samwelmwaijumba6018 Před 3 lety +41

    Wewe ni Bwana uniponyayeeee Wewe ni Bwana mponyaji....hulituma neno lako nipone....Wewe ni Yesu mponyaji....

  • @justinakafwenda683
    @justinakafwenda683 Před 3 lety +5

    Sikia haja za moyo wangu Bwana Yesu uniponye na kunifanyia wepesi

  • @lovenesswaziri793
    @lovenesswaziri793 Před 3 lety +9

    Nampenda sana mwalim mwakasege

  • @leahnkwija1003
    @leahnkwija1003 Před 3 lety +16

    Nani kama wewe Mungu wangu,karibu nami Leo kwangu nakukaribisha uingie na ukae kwangu

  • @user-gt3mh5up3r
    @user-gt3mh5up3r Před rokem

    Mungu baba asante kwaajili ya mtumishi wako Christoph a mwakasege ,naomba unikutanishe nae itaji langu walijua bwana

  • @janejacob1402
    @janejacob1402 Před 8 měsíci

    Ee MUNGU wangu nionye kweli katika maisha yangu unisamehe makosa yangu unikinge na mambo mabaya ya ulimwengu mimi na uzao wangu utufungulie marango ya mafanikio kwa jina la yesu kwa damu ya yesu AMENI

  • @stellangowa9491
    @stellangowa9491 Před 3 lety +2

    najiunganisha na ibada hii mungu naomba usikie itaji langu

  • @kelvinlwiva5380
    @kelvinlwiva5380 Před 3 lety +10

    KWANINI UNARUDI NYUMA ILI UFE?
    Bwana Yesu apewe sifa mtu upendwaye na Mungu! Mungu ametupa neema ya uzima, nami ndani yangu nawiwa kukuletea neno la Mungu la lenye kuponya. Hasa wewe ambaye umekwisha kuijua neema na kipawa cha Mungu, lakini bado unavutwa na kuvutika kurudi nyuma ukidhani huko kuna usalama kuliko kwa Mungu, eti kwasababu kwa shetani utapata hirizi ya kuvaa, eti kwasababu utachanjwa chale na kuwekewa dawa, eti kwasababu utanyweshwa dawa za kujikinga, eti mganga atazindika nyumba yako, naomba nikwambie kitu mpendwa, shetani amekuwa akikuwinda sana wakati Mungu amekufunika na ulinzi wake, mara tu utakapotoka mikononi mwa Mungu,shetani atakugawanya vipande vipande, na Mungu anachukia kurudi nyuma, hebu msikie mwenyewe! “Ikiwa mtabaki katika nchi hii, ndipo nitawajenga, wala sitawabomoa, nami nitawapanda, wala sitawang'oa; kwa maana nayajutia mabaya niliyowatenda” Yeremia 42:10. Endelea kumsikiliza, “Haya ndiyo yatakayowapata watu wote waelekezao nyuso zao kwenda Misri, na kukaa huko; watakufa kwa upanga, na kwa njaa, na kwa tauni; hakuna mtu awaye yote miongoni mwao atakayesalia, au kuokoka katika mabaya nitakayoyaleta juu yao” Yeremia 42:17. Mpendwa kaa kwa Yesu kuna usalama wa kutosha, huko misri/duniani/kwa shetani UTAKUFA!!! Katika Mithali 1:32 imendikwa “Maana kurudi nyuma kwao wajinga kutawaua, Na kufanikiwa kwao wapumbavu kutawaangamiza.” Kurudi nyuma au kumwacha Yesu ni ndani ya maamuzi yako, lakini kutakuua, be sure! Yesu akagongelea msumari huu hapa katika Mathayo 12:45, msikie “Mara(pepo) huenda, akachukua pamoja naye pepo wengine saba walio waovu kuliko yeye mwenyewe, nao huingia na kukaa humo; na mtu(aliyerudi nyuma/mwacha Yesu) yule hali yake ya mwisho huwa mbaya kuliko ya kwanza. Ndivyo itakavyokuwa kwa kizazi hiki kilicho kibaya.” Uko tayari kupata shida yote hiyo? Sema hapana, maana Mungu baba yetu anatupenda na wala hataki tupotee, kaa ndani ya Yesu uwe salama na ufanikiwe! YESU NI MWOKOZI WA ULIMWENGU NJOO KWAKE LEO! Uwe na siku njema katika jina la Yesu Kristo.
    Kwa msaada zaidi piga: 0756-292-211 au 0711271110 Mwalimu kelvin Nathaniel Lwiva

  • @udzungwawater2022
    @udzungwawater2022 Před 3 lety +5

    Naitwa Magreth, Napenda Kumshukuru Mungu kwa uponyaji wake kwa kupitia maombi haya. Nimepona kifua kabisa nilikua nasumbuliwa Sana Hadi kuinama inanipa shida Sana. Ni Neema iliyoje na Mimi namuaibisha Shetani kwa kushuhudia leo. Hakika nimeziona nguvu za Mungu , Mungu akutunze mtumishi Glory be to God.

  • @vivylove4854
    @vivylove4854 Před 3 lety +17

    Ur prayers is powerful I was feeling bad from my body, feeling exhausted but now am okay may God bless you

  • @elicajimmy2059
    @elicajimmy2059 Před 3 lety

    Baba Christopher namama yangu Diana nawapenda sanaaa, Mungu waIbrahimu awatimizie ahadi zake kwenu, awatunze naRoho Mtakatifu asiwaondolee Bali awajaze daima ili muendelee kutumika, Mbarikiwe mpaka mshangae pamoja nafamiliya yenuu

  • @venavale4173
    @venavale4173 Před rokem

    Amina nimepokea na kupona kwa jina la YESU KRISTO WA NAZARETI ALIYE HAI.

  • @dr.peterik2586
    @dr.peterik2586 Před 3 lety +7

    Ninakupenda sana Mtumishi wa Mungu Mwakasege always hata watu waseme walitafutwa kukutanishwa na wewe wapone Wewe unasema wamekutanishwa na YESU aponyae.

  • @claraeline7458
    @claraeline7458 Před 2 lety

    Nakushukuru Mtumishi kwa ajili ya maombi haya nilikuwa na naumwa. Nikasikiliza maombi haya kwa imani nikapokea uponyaji. Na atukuzwe Mungu Mungu wa mbinguni aendelee kukutunza na kukulinda🙏

  • @nurulusekelo5708
    @nurulusekelo5708 Před 3 lety +1

    Mungu wangu uliye hai, ahsante kwa uponyaji wa mtoto wangu huko aliko shuleni, wewe ni Mungu mwenye upendo. oooh ahsante Yesu

    • @gooddeeds162
      @gooddeeds162 Před 3 lety

      Mungu wetu ni mkuu sana na mwaminifu mwenye kusikia na kutenda kama unavyohitaji, Mtoto abarikiwe,Malaika wa bwana wamlinde na kusimama nae popote akanyagapo.
      Amebarikiwa katika jina la Yesu Kristo 🙌🏿

  • @jimmymbisse999
    @jimmymbisse999 Před 3 lety +1

    Amina sifa enzi na utukufu ni kwa Mungu wa mbinguni Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo

  • @christinachriss9231
    @christinachriss9231 Před 3 lety

    Ktk watumishi wanaotumiwa na Mungu huyu ni no 1 hana mbwembe Mungu anafanyaga mwenyewe live namkubali,Mungu bariki hii huduma idumu

  • @dottosebastiano2532
    @dottosebastiano2532 Před 3 lety +11

    Jina la MUNGU NI KUBWA
    MUNGU akubariki mwalimu

  • @hurumamassawe6899
    @hurumamassawe6899 Před 3 lety

    Mungu uponyae Asante kwa uponyaji wako juu ya maisha yangu Asante Jeova nisii Ubarikiwe Mwalim Mwakasege and Diana Mwakasege

  • @nuruduma4954
    @nuruduma4954 Před 3 lety +8

    Nimeponywa na tumbo Mara moja alipokuwa akiomba!!jina la Yesu liinuliwe.

  • @oliviaambrose2907
    @oliviaambrose2907 Před 2 lety

    Asante Yesu usiku nilikuwa najisia vibay sn..nikafuatilia haya maombi hakika MUNGU mkuu. niko vizuri sn

  • @omarynasibu9570
    @omarynasibu9570 Před 3 lety +1

    Asante Yesu kwa kuniponya ni mzima tena Asante yesu kwa kunikomboa amen

  • @mwalimunanabiinelsonmwakik5542

    Ubarikiwe baba Leo naweza kuwa naheshima kwa ajili yako baba Umetulea vizuri

  • @user-Ndashuka001
    @user-Ndashuka001 Před 10 měsíci

    AMEN AMEN AMEN. Ahsante YESU Kwa kuniponya

  • @jumabernard3955
    @jumabernard3955 Před rokem

    Naitwa Rehema nimepokea uponyaji nilikuwa nasikia maumiv chini ya tumbo, nina ujauzito wa miezi 9 naamin nitajifungua salama , namtoa mtoto huyu sadaka ya dhabihu na nadhiri yangu kwa Bwana ikiwa atanifanikisha kulipwa mafao, kupata mahitaji yangu na ya mtoto Amen.

  • @heavenlight5084
    @heavenlight5084 Před 3 lety +1

    Shalom mtumishi wa MUNGU, kweli mom wangu umependeza, KRISTO AZIDI kuwainua

  • @rehemaburuna4641
    @rehemaburuna4641 Před 3 lety +19

    Yesu alivyo mzuri hivi jamani, kwann wengine wanajidanganya kwenda kwa waganga, sifa zote hizi ni zako Baba yetu uliyejuu

    • @barlethoyema6577
      @barlethoyema6577 Před 3 lety

      Namshukulu Mungu kwa uponyaji nilioupokea hasante Bwana Yesu wew ni Mungu uniponyae

    • @janethurio2453
      @janethurio2453 Před 3 lety

      Acha tu I wish tumtegemee Mungu wote. Ulimwengu ungekuwa shwari.

  • @florencekivevo2252
    @florencekivevo2252 Před 3 lety +5

    Amen am blessed our God never changes more grace

  • @hildachipalo208
    @hildachipalo208 Před 3 lety +10

    Amen amen Mungu ni mwaminifu sanaaa,,, tunashukuru kwa maombi

  • @bahatimyegeta5665
    @bahatimyegeta5665 Před 3 lety +1

    Ashukuriwe sana Mungu kwa kurupa mtumishi mwekasege nabarikiwa sana

  • @doreenmfuse9805
    @doreenmfuse9805 Před 3 lety +1

    Mungu wangu naomb hitaji langu haja ya moyo wangu baba ,naomb nkuone leo kuptia maomb haya naamin namm bwana Mungu nakuomba Mungu

  • @tusajigwekanemela4784
    @tusajigwekanemela4784 Před 3 lety +5

    Asante Mungu kwa utukufu wako

  • @vannyndayake8044
    @vannyndayake8044 Před 2 lety

    Mungu akubariki baba upo msaada MKUBWA kwa taïfa la Mungu,laiti ungeli fika inchini mwetu DRC naomba tupate kibali machoni mwa Bwana ukanyage inchini mwetu

  • @FATUMAMSALANGI-lc5dj
    @FATUMAMSALANGI-lc5dj Před 4 měsíci +1

    Asante yesu wangu kwa kuniponya miguu yangu imepona sasa

  • @oliviaambrose2907
    @oliviaambrose2907 Před 2 lety

    Amina napokea uponyaji kwa jina la yesu

  • @goldengodson9764
    @goldengodson9764 Před 3 lety +3

    Utukufu kwa Mungu aliye hai kwa uponyaji

  • @scholahmwelange2508
    @scholahmwelange2508 Před 2 lety

    Najivunia kuwa na mwalimu kama ww Mwakasege Mungu azidi kuku bariki

  • @beatricemarwa6731
    @beatricemarwa6731 Před rokem

    Asante Yesu umanaweza kutumia watu wako waliotayari kusaidia wanadamu wakujue. Maisaidie mtumishi wako kuijua kweli yote. Neno lako kupitia yy limeniponya. Asante Mungu

  • @edinahmaganga2722
    @edinahmaganga2722 Před 3 lety

    Nawapenda Sana hawa watumishi wa Bwana Christopher Mwakasege na mkewe Diana kwa kweli maombi yenu huwa na barikiwa Sana

  • @sinyoritasamwel6392
    @sinyoritasamwel6392 Před 3 lety

    Asante sana nimebarikiwa sana munguvazid kuwainua zaid na zaid

  • @jullyregy3057
    @jullyregy3057 Před 2 lety

    Shalom
    Nimesikiliza hii semina leo tar 24/10/2021 akati anaomba nimeshika tumbo Mana lilikua linasumbua anasema upande wa kushoto af kweli maumivu yakaongezeka upande huo huo kama vile anaonyeshwa yani na ni semina ya mwaka jana hii 🙏
    ila namshukuru Mungu niko sawa ni hewa chafu tuu inatoka tumboni kwa sasa
    Maombi huambatana na imani nimejifunza hili leo
    Mungu akubariki mtumishi🙏🙏

  • @samwelkowero1188
    @samwelkowero1188 Před 2 lety

    Asante Yesu Kristo Kwa kuniponyaa

  • @emmanuelmarcofficial1977
    @emmanuelmarcofficial1977 Před 2 lety +1

    Mungu mponyaji yuko nami leo

  • @leornadchali9683
    @leornadchali9683 Před rokem

    Tenda muujiza mungu wangu nenda mbele yangu yesu nipiganie nipe kushinda katika jina la yesu nivushe ng'ambo mungu wangu nishike mkono yesu

  • @jacquelinengamilaga4475

    Asante Yesu kwakua umenionekania, hakika nimepokea in Jesus name.

  • @sonjacxon908
    @sonjacxon908 Před 3 lety

    Amen Mungu and anisaidie mm Niw na ujasil iman nkiyonayo

  • @josephndimi6135
    @josephndimi6135 Před 3 lety

    Wewe Ni Mungu uponyae naomba uniponye Mungu wangu matatizo yote yanayo nisumbua AMINA

  • @AsheryElias-cv2pe
    @AsheryElias-cv2pe Před měsícem

    Kweli Mungu ni Mungu heshima na tukufu ni kwenye yeye atendaye hata yote❤

  • @vannyndayake8044
    @vannyndayake8044 Před 2 lety

    TZ mupo na NEEMA ya pekee kua na wqtumishi kama MWAKASEGE na DiaNa naomba Mungu awanyanyue zaidi ili waendelee kuwa msaada kwa watu wengi

  • @juliusibundara6671
    @juliusibundara6671 Před 3 lety

    Bwana ndiye mponyaji,yesu ni maji yatuliza kiu yangu.

  • @rosemarymorange3146
    @rosemarymorange3146 Před 3 lety

    Asante MUNGU kwA ajili bus uponyaji wangu. Uhimidiwe Bwana

  • @Shalom2018
    @Shalom2018 Před 3 lety +6

    Mungu ni mwema

  • @ndenitoriakimaro9631
    @ndenitoriakimaro9631 Před 3 lety +4

    Neno lako ni Kweli na amina MUNGU mwenye NGUVU

  • @juliananyiti581
    @juliananyiti581 Před 3 lety

    Na Mungu aliye asili ya mema atubariki sote ,pia azidi kutukumbuka ktk haha zetu na shida zetu za Kila siku .UBARIKIWE SANA MTUMISHI WA MUNGU.

  • @lindadaudi9735
    @lindadaudi9735 Před 2 lety

    Ameniponya Yesu asante Adonai

  • @barakatarimo4447
    @barakatarimo4447 Před 8 měsíci

    Mungu akafungue mbingu ktk shighuli zetu atulinde dhidi ya maadui

  • @kimasajesca2727
    @kimasajesca2727 Před 3 lety +1

    Mungu aliyejibu kwahawa wapendwa wetu naamini atajibu na kwangu

  • @josselinijosiah8370
    @josselinijosiah8370 Před 2 lety

    Asante Mungu kupitia mtumishi wako

  • @neemanzengele5132
    @neemanzengele5132 Před 3 lety

    Amen baba kwa utumishi wako Mungu akubariki

  • @ruthmwasomola3907
    @ruthmwasomola3907 Před 3 lety

    Amen nashukuru Sana mtumishi Mungu azidi kukulinda ili uzidi kutuudumia

  • @ngukumsurietarimo2003

    Bwana yesu asifiwe nilikuwa naumwa mguu ulipokuwa unaomba uvimbe umepona.

  • @verrynicemushi2563
    @verrynicemushi2563 Před 3 lety

    Asante sana barikiwa sana mwl

  • @hawaomary1641
    @hawaomary1641 Před 11 měsíci

    Nilikuwa napata maumivu ya vidonda vya tumbo na choo kama Cha mbuzi baada ya haya maombi namshukuru MUNGU wa mbinguni amenitetea na kuniweka huru nimeiona Nuru ya Bwana Kwa wazi ni muda wa mwaka sasa ninaumwa sana sifa utukufu na heshima na za kwake Bwana Yesu na MUNGU wangu Alie juu Yesu ni mzuri ninalia Kwa furaha asante Kwa Baraka watumishi wa MUNGU

  • @yasintabuhilya6418
    @yasintabuhilya6418 Před rokem

    Napokea nguvu ya uzima na familiar yangu ,barikiwa watumishi wa mungu

  • @lynelee5846
    @lynelee5846 Před 3 lety +3

    Kupitia shuhuda huu..nins Imani ndugu yangu aliye potea 2015 atarejea 😭😭😭😭🇰🇪🇰🇪

    • @musalukala9412
      @musalukala9412 Před 3 lety +1

      Ameeen amen

    • @gooddeeds162
      @gooddeeds162 Před 3 lety

      Amen and To God be the glory .
      Mungu ni mwenye upendo, huruma na ni mlinzi wetu basi ndugu yetu atapatikana haijalishi ni kwa muda gani lakini atarudi katika jina la Yesu kristo.

    • @lynelee5846
      @lynelee5846 Před 3 lety

      @@gooddeeds162 AMINA😩😩😩💔

  • @mathiaslyimo9373
    @mathiaslyimo9373 Před 3 lety +8

    Haleluya. Utukufu kwa Mungu

  • @rehemajayden
    @rehemajayden Před rokem

    Bwana yesu naomba mpinye mwanangu kila homa iliyopo ndani yake itoweke kwa jina la yesu

  • @raphaelsukari8465
    @raphaelsukari8465 Před 2 lety

    Miongoni mwa watumishi halisi wachache waliosalia wa Mungu aliye hai. God bless this man ,amen.

  • @ombeninassary4428
    @ombeninassary4428 Před 3 lety

    Amina ubarikiwe Mtumishi wa Mungu

  • @siaulomi457
    @siaulomi457 Před 3 lety

    Bwana yesu ponya familia yangu ,ulinz wako ukatawale kwenye ndoa yangu ,. Ukaniepushe na kila baya lililo mbele yangu

  • @mtumishiwamungunelson1684

    Weka imani kwa Jina LA Yesu Baba uko vyema unamtukuza Yesu siyo Mwanadamu Mungu akubariki Baba unakataa utukufu na Wewe ndo Mtumishi wa Mungu.

    • @fredybuha6809
      @fredybuha6809 Před 3 lety

      Watumishi wa kweli ndio huwa Wana mpa utukufu Yesu tuuu

  • @juliuslukumay333
    @juliuslukumay333 Před 3 lety +1

    Hakika mungu yupo na anajibu Kila mmoja kwa wakati wake.

  • @janeomary8464
    @janeomary8464 Před 3 lety +1

    Asantee bwanA yesu kwa kuniponya

  • @doreenemmanuel9800
    @doreenemmanuel9800 Před 2 lety

    Amen maombi mazuri sana Mungu azidi kukuinua Mtumishi Mwalimu kirstofa

  • @juliethpetro1556
    @juliethpetro1556 Před 3 lety +1

    Amina,nawapata vizur pia nabarkiwa

  • @ulumbielias4947
    @ulumbielias4947 Před 2 lety

    Nashukuru Mungu kwa mtumishi huyu baba nimepata uponyaji 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @marrynaftali7969
    @marrynaftali7969 Před 3 lety

    Mungu Asante kwa uponyaji wako,ninakurudishia sifa na utukufu unastahili baba

  • @angelkitelanya1800
    @angelkitelanya1800 Před 3 lety

    Amina barikiwa nimepona kwa imani

  • @malakimbise1642
    @malakimbise1642 Před 3 lety +3

    MUNGU AWABARIKI JAMNI MUNGU MNAYE MTUMIKIA AMESAIDIA WENGI ASA TAIFA LA TANZANIA

  • @florianmgata2858
    @florianmgata2858 Před 3 lety +1

    Bwana Yesu iponye familia yangu ..pamoja na mimi kwa kupitia maombi haya

  • @bitonkaywanga1097
    @bitonkaywanga1097 Před 3 lety

    Mungu wa mbinguni azid kuwa neemesha mzid kuwa wazima mzid kutubeba katik maombi mbarikiwe sana

  • @maikojohn536
    @maikojohn536 Před 10 měsíci

    Asante yesu kwa kuniponya

  • @teddybeasammy7860
    @teddybeasammy7860 Před 3 lety

    Napokea kwa damu Yesu!......Amen.