MAMBO YA KUTOKUSAHAU UNAPOINGIA MSIMU MPYA WA MAISHA
Vložit
- čas přidán 15. 07. 2020
- SOMO:
SEMINA YA NENO LA MUNGU NA MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE
ARUSHA DAY 2A JANUARY 2020
unaweza kutuma Sadaka yako Kwa Njia Zifuatazo:
M-PESA 0754 211 633
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
PIA UNAWEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE
Ombi langu kwa Mungu mwalimu, Mungu akupe miaka mingi ya kuishi ili uendelee kufundisha. Ubarikiwe sana baba, huwa nabarikiwa na mafundisho yako.
Ameeni huduma iliyotakaswa na Mungu kwa kusudi tumjue Mungu kikamilifu Baba na mwalimu Mungu akutunze pamoja na familia yako akupe maisha malefu kwani bado tunauhitaji mkubwa wa mafundisho ya Mungu
Asante sana mtumishi kwa ujumbe mzuri Mungu akubariki sana
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu kwa kutusaidia kufungua akili zetu katika msimu huu mpya
Mungu akubariki sana Baba.
Wimbo huu unanibariki kila iitwapo leo, Mungu awabariki sana
Ubarikiwe mtumishi wa Bwana
Good watumishi,,Namshukur Mungu kumwinulia Nguzo ktk huduma,waimbaj kama hawa nabarikiwa Sana
Amen mungu azidi kukulinda mwalimu wetu waneno lamungu wetu Alie hai
Thank you God for your teaching.....be blesssed Dad
Nabarikiwa Sana na Mungu akuntunze mtumishi wake ili tupate mkate huu
Amina neno zuri sana Mungu azidi kukutia nguvu
Amina,Nabarikiwa sana na mafundisho yako MWL,Mungu wa Mbinguni AKUBARIKI sana
Amina
Mtumishi katika bustani la MUNGU na mwalimu wa neno,ubarikiwe tuuu...
Maisha marefu kwa mtumishi wa Bwana. Tuzidi kupata maarifa.
Nakwelewa sana mwl wangu.
Barikiwa sana Mungu Azidi kukupa Nguvu 🙏🙏
Amina
Barikiwa Mwl
Ameeen baba
Mungu akuvushe salama
Amina barikiwa sana
Kupata si ujanja na kukosa si ujinga tumpe mungu nafasi
ameen kumbwa mtumishi
Amen amen
Tunabarikiwa sana kupitia mwalimu🙏
Ishi miaka mingi Mtumishi
Hakika mungu ni mwema
Barikiwa mwalimu
Naomba jina la huu wimbo na msanii alieutunga,tafadhali
Msanii Fanuel sedekia
Amen
AMEN Amen
Wimbo wa fanuel sedekia
AMEN LORD 🤲
Hii one deslike ndo huyo alikuwa ameunda sumu ya kuuwa mwalimu pole yaooo
Tunapata changamoto namna yakuwapata live kwenye radio musoma mara
Hivi unaye dislike kitu kama hiki, kwanini waki follow?
Neno la msalaba kwetu sisi ni uzima bali kwao waliopotea ni upuuzi
Ameni
Mwamposa
Uliyemtaja unamfananisha na nani vile
Amina
Amen
Amen