SOMO MUNGU ASIPOKUJIBU MAOMBI YAKO MUULIZE NI KWA NINI 1

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 07. 2021

Komentáře • 466

  • @clarambasha938
    @clarambasha938 Před 2 lety +86

    Maombi yangu ni Mungu amuweke mwakasege miaka mingi sana kuna ambao tunakua kiroho na pia tunapata kiu zaidi ya kuutafuta uso wa Mungu tukimskiliza. Huyu baba Mungu amemchukua level zingne za kiroho. Yesu akupe miaka mingu MWALIMU

    • @goated3801
      @goated3801 Před rokem

      Manukwa kweli na kubadilika ama kukua ti mdomoni

    • @pikipiki_market
      @pikipiki_market Před rokem +1

      AMEN

    • @salvatoryherman65
      @salvatoryherman65 Před rokem +1

      Ameniiii aleluya

    • @happyngonde2923
      @happyngonde2923 Před 6 měsíci +1

      Ninapopita ktka magumu, nikiisilikiiliza mafundisho ya mtumishi ya mwakasege napata nguvu mpya,🙏Mungu akutunze na afiche uhai wako ndani ya Damu ya YESU 🙏🙏

    • @mukambambale-df8hw
      @mukambambale-df8hw Před 5 měsíci +1

      Mungu akupe mengine ya zaidi mwalimu

  • @heriethmoses7082
    @heriethmoses7082 Před 3 lety +27

    Somo limekuja wakati sahihi kwangu, Barikiwa sana mwalimu

  • @mwanaidimwanga21
    @mwanaidimwanga21 Před 3 lety +21

    Ameen...Ahsante Mungu kwa ajili ya utumish huu, na neno hili. Utupe neema baba ya kutokutazama matatizo yetu na ugumu wa maisha, bali utupe neema ya kuyaelewa na kuatamia maono uliyoyaachilia juu yetu. Uchungu, tabu, udhalimu, magumu yasitufanye tushindwe kuomba sawasawa na mapenzi na kulitimiza kusudi lako. Katika maisha yako ufalme wako uje.

    • @neemaenock6358
      @neemaenock6358 Před 2 lety +2

      AMINA MUNGU ALIYEIANZISHA SAFARI YA MAISHA YETU ATUTETEE KWA DAMU YAKE YESU KRISTO TUNAMWAMINI ATATENDA TUSIKATE TAMAA

  • @rugetakimath7428
    @rugetakimath7428 Před rokem +5

    Mungu akubariki sana Baba Kwa kusikiliza na kuitii sauti ya Mungu, Barikiwa milele

  • @betyanyas8780
    @betyanyas8780 Před 2 lety +18

    Somo hili hakika limenilenga mimi na maisha Yale ninayoishi, nateseka ktk ndoa hii, ni naomba Mungu ambadilishe mume wangu, awe mtu wa kumcha Mungu, as he kutumia miadarati, lakini sijajibiwa na Mungu baba yangu, nitamrudia na kilio na unyenyekevu, nimuulize kwani I hajanijibu maombi yangu na Sasa ni km miaka mitano hivi ya mateso ndani ya ndoa yangu. Asante Sana mtumishi wa Mungu kwa neno hili, nimejifundisha mengi, barikiwa Sana. Amina... 🙏

  • @getrudemalisa4350
    @getrudemalisa4350 Před 2 lety +5

    Amen, nimebarikiwa Sana mtumishi Mungu akubariki sana nilikata tamaa ili kwa neno hili naamini Mungu atafanya kitu juu yangu na familia yangu

  • @magrethrupiah5057
    @magrethrupiah5057 Před 3 lety +6

    Somo zuri sana. Mungu anabaki kua Mungu nyakati zote. Hata kama hajanijibu vile nilivyo tamani, bado anabaki kua Mungu mwema. Somo hili limenibariki sana sana sana.

  • @marianajohn5415
    @marianajohn5415 Před 2 lety +4

    Asante Mungu kwa somo hili kubwa sana kwenye maisha yangu. Limekuja kwa wakati sahihi sana . Asante Yesu wangu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @marianajulius5926
    @marianajulius5926 Před 2 lety +3

    Barikiwa sana baba,,,,Unatufundisha Mengi 🙏🏿Mungu wetu anajibu❤️

  • @smartmwakipesile3842
    @smartmwakipesile3842 Před měsícem

    Ee,Mungu umtazame huyu mtumishi wako ukamtendee mema sana sku zote za maisha yake utukufu wako ukawe pamoja nae nyakati zote, nampenda sana mtumishi wako huyu, Ee Bwana Mungu muumba mbingu na nchi wewe ulie alfa na omega axante kwa chombo chako hiki ❤

  • @lilianmkelewele7489
    @lilianmkelewele7489 Před 2 lety +2

    Asante mungu kwa kumtumia mtumishi wako maana nilipata hili neno nikiwa katka mazo magumu muno nami naomba unijibu maombi yangu juu yayale yote niliyoomba naamini kupitia neno lako takatifu napokea kwa jina la yesu kristo ameni mbalikiwe watumishi🙏🙏🙏🙏

  • @mellissauwase5514
    @mellissauwase5514 Před rokem +8

    God bless you 🙏🏽 From 🇷🇼Rwanda

  • @ruthuthomas2357
    @ruthuthomas2357 Před 2 lety +9

    Mungu akupe maisha malefu mwalimu 🙏🙏🙏❤️

  • @atbakpblessedfml2642
    @atbakpblessedfml2642 Před 3 lety +4

    Asante Roho Mtakatifu kwa kuachilia somo hili .Mungu .Mungu awabariki watumishi wake

  • @joycelanda8987
    @joycelanda8987 Před 3 lety +8

    Amina mtumushi ,najiambatanisha na madhabahu hii Mimi na familia yangu ,naomba Mungu anijibu sawa na haja za moyo wangu! Amen.

  • @thomaskibada7056
    @thomaskibada7056 Před 3 lety +6

    Ubarikiwe baba tunajvunia kua nawewe katka nchi yetu ya Tanzania

  • @jacksonjohn8497
    @jacksonjohn8497 Před 2 lety +1

    Bwana Yesu Asifiwe Nashukulu kwa hili Somo Nimemuomba Mungu kwa Mda Mlefu ila ajanijibu Natumia Somo hili Kumuuliza tena Mungu Wangu Nina imani Naye

  • @upendoamani8164
    @upendoamani8164 Před 2 lety +5

    Neno la Mungu linaishi. Hili neno limenifungulia moyo wangu. Nimejua Kati ya kuomba na kulalamika.
    Mungu akubariki sana mtumishi. Nitaandika njozi🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @mwldanielelibariki4524
    @mwldanielelibariki4524 Před 2 lety +5

    Ameeen baba Neema ya Mungu iendelee kuongezeka juu yako Mara dufu

  • @colethachaula592
    @colethachaula592 Před rokem +4

    Hii ni kweli hata Mimi limenitokea kwenye maisha yangu, nina mdogo wangu anaumwa ninaomba mungu kupitia somo Hilo mungu amfungue apone ninaamini mungu anakwenda kunijibu Sasa.

  • @rebeccabraison8357
    @rebeccabraison8357 Před rokem +1

    Asnte sana mtumishi wa Mungu kwa somo hili nimepata kitu kikubwa sana Yesu akubaliki sana

  • @atuhaireakla3972
    @atuhaireakla3972 Před 2 lety +1

    For the first time kusikia hii massage nimekua nikisema kama nina uwezo wa kuuliza mungu maswali nigeweza

  • @user-ct3jq3qv7j
    @user-ct3jq3qv7j Před měsícem

    ubarikiwe mtumishi wa mungu namungu akupe maisha marefu

  • @DsmAccounts1
    @DsmAccounts1 Před 3 měsíci

    Ameni Mtumishi,Mwenyenzi Mungu akubariki sana

  • @nemaodhiambo7274
    @nemaodhiambo7274 Před 3 lety +4

    Ahsante Baba na Mama Mwakasege na team nzima ya mana ministry

  • @josephmbogo4439
    @josephmbogo4439 Před 3 lety +6

    Asanre sana Mwalimu Mwakasege kwa kweli neno hili kwangu linanihusu kabisa Eee Mungu wangu nakuomba usinyamaze nikuombapo ombi langu

  • @lilianmyinga4578
    @lilianmyinga4578 Před 3 lety +6

    Haleluya haleluya! Groly to god groly jina la bwana libarikiwe mno. Na mungu akupe maisha maisha marefu na yenye heri pamoja na uzao wa nyumba yako

  • @dalmasnyaribo7543
    @dalmasnyaribo7543 Před 3 lety +1

    Somo hili nimelifikia kupitia mtandao na limenipa moyo Sana kua Kuna siku MUNGU atanijipu maombi yangu na kunifungulia milango hili niwatimizie mama pajoma na Babu wangu ndoto yangu itimie katika jina la mungu wangu amen

  • @sarahmarishay6938
    @sarahmarishay6938 Před 2 lety +1

    Ameeeeen mtumushi hili somo lako limekuwa dawa kwangu Mungu kajibu mpaka NASHANGAA kwakwwli ubarikiwe Sana sana mwalinu Mwakasege🙏🙏🙏

  • @fridandenga7719
    @fridandenga7719 Před 2 měsíci

    Amen mwalimu nalichukua hili ni langu na nitaleta majibu

  • @betreaceparali9725
    @betreaceparali9725 Před rokem +1

    Mungu mtie Ng v mtumishi aendelee kutufundisha tusaidie kuelewa mungu nisaidie nijue kupambanua njozi au maono

  • @joshuakapungu938
    @joshuakapungu938 Před 2 lety +2

    Ee Mwenyezi Mungu hili somo nimelipata leo ila litanifungulia yote ninayoomba kila siku na Mungu atanyamaza tena sasa ni zamu yangu kujibiwa maombi yangu baba

  • @kwangukazungu8299
    @kwangukazungu8299 Před 3 lety +3

    Baba Mungu akubariki sana, umenigusa yaani naona Mungu kanyamaza lkn Asante kwa somo niendelee kuomba

  • @magrethrupiah5057
    @magrethrupiah5057 Před 10 měsíci +1

    Hili somo kila nikilisikiliza napata kitu kipya. Mungu anabakia kua Mungu hata kama hajajibu vile nilivyo tarajia. Yeye anampango mzuri sana na sisi wanadamu.

  • @lazaroulomi1854
    @lazaroulomi1854 Před 2 lety +1

    Barikiwa Mwl ,,Somo zuri sana sana.

  • @geendaki7678
    @geendaki7678 Před 2 lety +1

    Nakupenda Baba Mtumishi wa Mungu kila siku nakuombea Bwana akutie nguvu huduma hii bado tunaihitaji Sana na Kuna siku nimekuona katika ndoto ukiwa katika mto flani unabatiza nami nilikuwako huko

  • @InesYohana
    @InesYohana Před měsícem

    Barikiwa mtumishi wa mungu kwa mafundisho Yako🙏

  • @monicapaul7863
    @monicapaul7863 Před 3 lety +17

    Amen Mungu nisaidie nitimize lile kusudi uliloniletea duniani nisiishie njiani

  • @jackimulisamulisa6896
    @jackimulisamulisa6896 Před 2 lety +1

    Amen mtumishi mimi nayitwa judi naomba uniombe mimi na mtoto wangu maisha yetu magu sana kuna wakati mimi nakatatama ya maisha naomba utuombe

  • @sammywanje2686
    @sammywanje2686 Před 3 lety +2

    Kweli somo hili limenigusa sana,, ee MUNGU nihurumie na unisikie ombi langu,, mtumishi wa MUNGU asante kwa fundisho hili, nimelipokea kwa imani,,, BWANA YESU ASIFIWE

  • @mackrinapeter4417
    @mackrinapeter4417 Před 3 lety +3

    Mungu naomba usinyamaze..naomba ujibu maombi yangu usinyamaze Baba

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 Před 3 lety +2

    Asante mtumishi wa Mungu hili neno limekuja wakati sahii kwangu Ee Mungu usinyamaze nikuombapo 🙏🙏🙏

  • @doricekajuna6185
    @doricekajuna6185 Před 2 lety +1

    Asante Mtumish wa MUNGU kwa kutufundisha kutokata tamaaa. Tuendelee kumuomba Mungu.

  • @judithngasa1370
    @judithngasa1370 Před 2 lety +2

    Hallelujah Hallelujah sifa kwa Bwana azidi kukupa maono Mtumishi wa Mungu aliye hai.

  • @TulasupaSanga
    @TulasupaSanga Před 5 měsíci

    Asante mwalimu wangu Mungu naomba nisaidie njozi niliyo iyota mara kwa itimie aminaa 🙏🏿 🙏🏿🙏🏿

  • @elipidiuspancras4161
    @elipidiuspancras4161 Před rokem

    Barikiwa San mtumishi was Mungu Nazi yako sio bure

  • @helenakulliani1670
    @helenakulliani1670 Před 3 lety +1

    Asante mtumishi wa mungu kwa Somo.sifa na utukufu Ni kwa mungu aliye juu.amina.

  • @egnardamaicy3456
    @egnardamaicy3456 Před 3 lety +120

    Kwa mara ya kwanza roho mtakatifu amenisemesha nimeamka nikiwa nimevunjika moyo sana sioni nuru nikawa naskia tu fungua CZcams nafungua nakutana na neno hili tena nikiwa mtu wa kwanza kabisa😭

  • @lameckdaudi1925
    @lameckdaudi1925 Před rokem

    Ninamtukuza Mungu kwa ajili yako my Spiritual Father through you my eyes open and thirsty of seeking God increase in me Glory be to God. Mungu akutunze baba na azidi kukuimarisha.Amen

  • @LSA-23
    @LSA-23 Před 3 lety +4

    Mtumishi kuna mahubiri fulani niliwahi kiwa nayo nikayapoteza..yanahusu maombi ya kuzunguka kama babeli na kumwaga damu ya Yesu iliyotoka sehemu zote za mwili wake.
    Nayahitaji sana mtumishi.naomba nielekezwe mahali hata kama ni CD ninunue

  • @leamukamusoni6239
    @leamukamusoni6239 Před 2 lety +1

    Nashukuru kwaneno ilii linanifaya nipigeatuwa nimuhulizemungu kwanini aujibu amen ubarikiwe ddy

  • @paskazimakigo-bc7ju
    @paskazimakigo-bc7ju Před 3 měsíci

    Mwakasege Mungu akutunze vyema hakika tunabarikiwa

  • @qndassuofficially913
    @qndassuofficially913 Před 2 lety +1

    Amen🙏👏🏻👏🏻👏🏻barikiwa sana mutumishi , hakika nimebarikiwa sana hakika bwana unaweza na ninaamini utajibu sawasawa na mapenzi yako 🙏🙏

  • @furbenj7405
    @furbenj7405 Před 2 lety +1

    Amen my Father nitazidi kumkumbusha Mungu

  • @atuganilemwakyusa1701
    @atuganilemwakyusa1701 Před 3 lety +1

    Amen,Mungu akubariki sana.naendelea kujifunza mtumishi.

  • @FulliJohnPaul
    @FulliJohnPaul Před měsícem

    Ameen ubarikiwe mwalimu wa neno la Mungu

  • @siscahadassah4233
    @siscahadassah4233 Před 3 lety +2

    Somo hili limenifungua sana macho,nimegundua nilikuwa siombi ila nalalamika..naomba msaada kama tutaweza kulipata hili somo lote

  • @rovicsimon1981
    @rovicsimon1981 Před 2 lety +1

    Amen,nashukru saaana kwa SoMo hili

  • @smartmwakipesile3842
    @smartmwakipesile3842 Před 3 měsíci

    Mweee Mungu huyu ni waajabu, Mungu akuongezee miaka mingi uishi mtumishi, barikiwa sana baba.

  • @tulalumbashaibu8970
    @tulalumbashaibu8970 Před 3 lety +3

    Barikiwa mtumishi wa Mungu hakika nilivurugika mno ila kwa neno hili ninaona nuru tena

  • @enriqueganywamulume3681
    @enriqueganywamulume3681 Před 3 lety +1

    Tuna shukuru Mungu kwa maano hii ya kurusha tena solo ili , tume barikiwa tena tume pata kitu tena , ilpendeze Mungu kumu discute tena na tena na ku mbariki mtumishi wake. Kama kuna kipindi cha kufata tafazali mwalimu ita tu saidiya

  • @sarahlyimotv1380
    @sarahlyimotv1380 Před 3 lety +17

    It worth listening and listening and listening again 🙏🙏 Mungu akubariki Baba 🙏🙏

  • @mercygodia4084
    @mercygodia4084 Před 3 lety +15

    God please hear my cry. I trust in you.

  • @upendotemba4061
    @upendotemba4061 Před 3 lety +1

    Haleluya mtumishi
    Mungu akutunze
    Tunapata ufahamu

  • @alainmizo4694
    @alainmizo4694 Před rokem

    Jambo hili limekuwa moja kati ya ombi langu la evey day kana kwamba Mungu anipe kipawa chako mzazi wangu wa kiroho.nakufua toka D.R.Congo tume barikiwa saaaaaaaaaaaana kupitiya mafundisho yako babangu.naami kupitiya haya ninayo yapokea kutoka kwako...Mungu atanipa majibu kwa swali yangu.Mungu akubariki sana baba na piya abariki watakatifu wote kwa jumla

  • @bundallachaba3120
    @bundallachaba3120 Před 3 lety +4

    Hili somo ni zuri sana nimelitafuta mno sijalipata liwekeni lote watu wajifunze

  • @catrachannel7935
    @catrachannel7935 Před 3 lety +1

    Amen!
    Mungu apewe sifa,
    Asante mtumishi wa Mungu

  • @diwenagoodiani8087
    @diwenagoodiani8087 Před rokem

    Ubalikiwe na mungu akuzishie. Kipawa chako

  • @user-ky5vh7uu8i
    @user-ky5vh7uu8i Před 10 měsíci

    Ubarikiwe Sana Mtumishi wa MUNGU umetutia moyo na kutokukata tamaa naomba MUNGU ajibu maombi yangu Amina

  • @chipetapeter6804
    @chipetapeter6804 Před měsícem

    Amina baba naomba maombi yako ziniachie roho ya madeni

  • @rahmabisi5558
    @rahmabisi5558 Před 2 lety

    Nabarikiwa sana na mafundisho yako yananipandisha viwango vingine . Nipo songea natamani Sana nipate mafundisho yako yenye mlolongo kamili.

  • @jessy2404
    @jessy2404 Před rokem +2

    Mungu nikumbuke mali niko maisha sirahisi emungu pigana na madui zangu na wale wanao nipiga vita🙏

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp Před 5 měsíci

    Aminaa ubarikiwe san mtumishi kwa mafundisho mm pia ninashida na ndoa yangu mara ninaomba mara naacha lkn ubarikiwe hivi nitaomba c tokata tamaa

  • @AmaniDavid-ju7mb
    @AmaniDavid-ju7mb Před rokem

    Bwana Yesu asifiwe wapendwa nauliza ratiba ya semia mwenzi huu anaye jua anisaidie asante

  • @bakunduwukizebenithe7888
    @bakunduwukizebenithe7888 Před 11 měsíci

    Ubarikiwe sanna mcungaji nimejifunza kitu❤

  • @oliverabrahamoliverabraham3011

    Asante kwa mafundisho mazuri baba

  • @naomyndaya7800
    @naomyndaya7800 Před 2 lety +3

    Barikiwa mutu wa mungu, na kufata sana nikiwa RDC, mara kwa mara ninapo kufata nibarikiwa saaana, na kwa hilo naomba Mungu afunguwe njozi zangu. Ili ni shuudiye ukubwa wa mokozi. Barikiwa baba

  • @neemamunisi2053
    @neemamunisi2053 Před 2 lety +1

    Amen... Barikiwa Sana Mtumishi wa Mungu

  • @atupakisyemwakikali6777
    @atupakisyemwakikali6777 Před měsícem

    Mungu aendelee kumtumza uyu baba amlinde miaka yake yote atakayoish duniani

  • @Yasintamaiko
    @Yasintamaiko Před 18 dny

    Badoo hujamaliza kazi ya Mungu hapa duniani Baba

  • @seebs1156
    @seebs1156 Před 3 lety +1

    Ameni mtumishi wa Mungu neno hili limenijia mda muafaka kwangu 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @victoriamahenge9001
    @victoriamahenge9001 Před 2 lety +1

    Asnte kwa somo zuri baba yangu nimeelewa nakupata nikiwa mby ubarikiwe

  • @rachelmshana6555
    @rachelmshana6555 Před rokem

    Amina nitaendelea kuomba mpaka pale Mungu wangu atakojibu, sitanyamaza.

  • @reymasenya6450
    @reymasenya6450 Před 3 lety +2

    Asante Mungu Mm Naomba Ufunue Njozi Zangu

  • @lucymkisi18
    @lucymkisi18 Před rokem

    Mungu akupe maono zaidi ya mafundisho yako zaidi somo hili na lile la kuombea lango au mzaliwa wa kwanza

  • @rahelsamson7692
    @rahelsamson7692 Před 2 lety +1

    Amina Baba Mungu aendelee kuwatunza na kuwapa kibali

  • @julietkimigho8500
    @julietkimigho8500 Před rokem +2

    Amen poster be blessed in the name of Jesus christ

  • @haroldmartin4612
    @haroldmartin4612 Před 2 lety +1

    Amen, nimebarikiwa sana.
    Mungu akubariki na kukupa maisha marefu tufundishwe na Roho wa Mungu kupitia wewe.

  • @rodawlson8040
    @rodawlson8040 Před 3 lety +1

    Ameen Asante sana mwalimu Mungu akulinde na kukufunika pia

  • @peacebukambu2603
    @peacebukambu2603 Před 2 lety +4

    Asante Mungu kwa kunikutanisha na hili neno maana ni leo tu ndo nilikuwa najiuliza mimi kama mimi 🙏🙏🙏be blessed mtumishi wa Mungu

  • @frankchiwango1300
    @frankchiwango1300 Před 2 lety +2

    Amen

  • @mariagorethvicentnyerere1183

    Napenda Sana babangu na Mwalimu wangu. Hanaga mapicha picha ya miujiza. Nabarikiwa sana sana kumsikiliza.

  • @sarahfaida5648
    @sarahfaida5648 Před rokem

    Natamani kusudi la Mungu ndani yangu pia litimie, mimi ni je ni nani wa leo? Viwango vingine vya Mungu viingie ndani yangu nijitambue zaidi maana nilivyo leo naona bado kuna kitu sijafikia kusudi lake .. Amina

  • @user-il2dd6uo2u
    @user-il2dd6uo2u Před 9 měsíci

    Mungu ambariki mwl huyu anajua kufundisha

  • @alleoo273
    @alleoo273 Před 2 lety +2

    Barikiwa baba leo nimesukumwa kukusikiliza nanimejifunza kumkumbusha Mungu maana hua nalalamika sn badala ya kuomba

  • @roidaalphonceyou2227
    @roidaalphonceyou2227 Před 2 lety

    Asante kwa neno la MUNGU mtumishi wa MUNGU heshima utukufu na mrudishia MUNGU kwaajili ya utumishi huu Amina

  • @jameskenya2852
    @jameskenya2852 Před 2 lety

    Mungu naomba ujibu haja ya moyo wangu kwa wepes amen

  • @rosedaniel1981
    @rosedaniel1981 Před rokem

    Mungu akutunze daima baba

  • @wemarobert7140
    @wemarobert7140 Před 2 lety

    Amen, somo hili n nzuri, nataman nipate mwenderezo wake nlimalize lote

  • @bellimarwa5454
    @bellimarwa5454 Před 3 lety +1

    Mtumishi. Mungu Mimi huwa nabarikiwa Sana na mahibiri yako mungu akutumie kama apendavyo yeye