ZIJUE ISHARA ZA ROHO MTAKATIFU KATIKA NDOTO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 10. 2020
  • MWL MWAKASEGE, SOMO LINALOHUSIANA NA NDOTO

Komentáře • 520

  • @miriammollel1755
    @miriammollel1755 Před 3 lety +28

    Namshukuru sana Mungu kutupatia Mwalimu Mwakasege ambaye Roho wa Mungu yupo ndani take.🙏🙏.

  • @celinayohane7994
    @celinayohane7994 Před 3 lety +27

    Damu ya Yesu ikanene mema maishani mwako baba 🙏.

  • @ikanaelmshana8182
    @ikanaelmshana8182 Před rokem +9

    Amen Mungu tusaidie tupe Roho wako mtakatifu atuwezeshe kutukumbusha ndoto tunazoziota kwa jina la Yesu
    Kes

  • @servantjosiahtv3129
    @servantjosiahtv3129 Před 3 lety +11

    Oooh yes.. Asante sana Roho mtakatifu kwaajiri ya ujumbe huu kupitia Mtumishi wako mwakasege

  • @betinaernest2766
    @betinaernest2766 Před rokem +10

    NiliwAhi kuota ndoto Fulani ilikuwa ngumu Sana kuitafsir na hata mpaka leo hii siikumbuki,, baada ya kuiota hiyo ndoto nikaamka usiku huo huo na mda huo huo nikamuomba mwenyezi mungu anipe lugha rahisi niweze kuielew ile ndoto yaani anioteshe ndoto nyingine iliyo rahsi niweze kujua, nilivyolala tu haikupita mda mrefu nikapata mafunuo makubwa yaliyorahisi Sana ambayo hata mtoto mdogo anaweza kujua... Asante mungu

  • @dianasimon7202
    @dianasimon7202 Před 3 lety +9

    Asante mtumishi wa MUNGU barikiwa utokapo na uingiapo,MUNGU asikupungukie HEKIMA

  • @Mary-f4z
    @Mary-f4z Před 7 hodinami

    Ameeen baba Mungu akutumie kama yeye apendavyo

  • @Yasintamaiko
    @Yasintamaiko Před 14 dny +1

    Naomba uniombe nipatekazi nimechoka kufanya kazi zandani sikia maombi yangu BABA na Mungu akubaliki sana tena sana naitwa yasinta maiko🤲🤲😭

  • @jovithaclavery6474
    @jovithaclavery6474 Před 3 lety +8

    Amen, ubarikiwe Sana mtumishi ,nami nimeelewa sasa ,kuna ndoto naotaga mno inajirudiarudia Sana ,na huwa nafadhaika Sana kwasababu ni Mara nyingi sasa zinajirudia hizo ndoto🙏🙏🙏

    • @joyjilien5432
      @joyjilien5432 Před 2 lety

      Mwambie mtu yeyote haswa mtumishi wa mungu akuombee na baadae muulize tafsiri yake 🙏🙏

  • @emmanuelirunde8715
    @emmanuelirunde8715 Před 3 lety +23

    Amen Ubarikiwe Baba, Ninakutakia Baraka Za BWANA Na MUNGU MKUU, Aendelee Kukupa Upako.

  • @susiehollo7434
    @susiehollo7434 Před rokem +1

    Ndo leo napata ujumbe huu wakati nikiuhitaji zaidi, hakika wakati wa Bwana ndo wakati sahihi. Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu na Bwana aendelee kukutumia kwa ajili ya Utukufu wake 🙏

  • @Yasintamaiko
    @Yasintamaiko Před 14 dny

    Mwalimu natamani kukutana nawewe lkn nashindwa me kumfwata kwangu Mungu ndugu wamenitenga sijui nifanye nini na moyo wangu unaniambia nikikutana nawewe bc yote yataisha akuna ndugu anae niitaji kwasababu nimeamua kumfwata Mungu nashindwa kuendelea mbele vita nikubwa sana Baba kwangu maisha yangu yanaangamia naomba nisaidie 🤲🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭😭😭kilio changu nikikubwa mno sijui nifanye nini Mungu anipe neema ya kukutananawewe vikwazo nivingi sana pale ninapotamani kukutana nawewe naomba nisaidie mwalimu 🤲🤲🙏

  • @patriciameshacky2158
    @patriciameshacky2158 Před 2 lety +4

    Amen amen barikiwa sana baba nimekuanikikufatilia tangia nikiwa mdogo nasoma shule ya msingi hakika ufunuo wako kwangu uwanashuuda sana Baba yangu Mungu hakubariki sana 🙏🙏🙏

  • @PaulineIlolo
    @PaulineIlolo Před 13 dny +1

    Niliwai kuota ndoto kuhusu baba angu aliekua mgonjwa kesho yake baba angu akafariki nilitamani kuhama dunia💔

  • @marrytesha6779
    @marrytesha6779 Před 3 lety +14

    Mungu azidi kukupa nguvu mwalimu tunakupenda😍

  • @evaristagabriel4960
    @evaristagabriel4960 Před 3 lety +4

    Namshukuru Mungu kwa ajili yako mwalimu na mtumishi wa Mungu.

  • @elizabethjakobo279
    @elizabethjakobo279 Před 11 měsíci +7

    Uyu mtumishi nilikuwa na mskiliza tangu nikiwa mtoto adi Sasa niko mtu mzima Mungu akutuze baba yangu wakirooh 🇰🇪

  • @jacklinemomanyi1651
    @jacklinemomanyi1651 Před 2 lety +11

    Thanks to God !!! It has touched my heart and l am blessed too much .God bless the words of your mouth

  • @hellenkintebwe2319
    @hellenkintebwe2319 Před 3 lety +4

    Thanks,Man of God. Umenisaidia sana kwa hili. Be blessed.

  • @angelbless7070
    @angelbless7070 Před 3 lety +2

    God bless you daily,your my teacher in my life

  • @victoriasuleiman1066
    @victoriasuleiman1066 Před rokem +7

    Your Blessed Man of God... I'm Healed.Glory to Almighty God.

  • @asiamtatifikolo6477
    @asiamtatifikolo6477 Před 3 lety +10

    Asante Mwakasege Mimi din nyingine lakin, nakuelewa saana/

  • @marylynliseche773
    @marylynliseche773 Před rokem +2

    Amen mtumishi wa mungu Kwa kweli umenibariki sana and be blessed 🙏🙏🙏🙏❤️

  • @CatheLorry
    @CatheLorry Před 14 hodinami

    Mungu azidi kukubariki baba

  • @nancykigamwamureli9197
    @nancykigamwamureli9197 Před 3 lety +14

    Amen Amen glory to God am glad to hear from this channel. Asante kwa kunifungua macho ya ndani na kunifungisha kwajili ya ndoto be blessed too Amen watching from Germany

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 Před 3 lety +6

    Mungu akupe afya zaid mtumishi wa mungu

  • @elibarikieliatunawapatavzr7872

    Amen umeniongezea kitu Mungu aendelee kukupa ufunuo zaidi

  • @user-ll5dl5kh1s
    @user-ll5dl5kh1s Před 2 měsíci +3

    Asante Yesu Kwa kumtumia mtumishi wako, Mungu azidi kukuinua na kukutia nguvu mno

  • @fatumaluze7724
    @fatumaluze7724 Před 3 lety +5

    Mungu akupe umri mrefu Amina somo zuri sana

  • @pendonziku8731
    @pendonziku8731 Před 3 lety +4

    Ubarikiwe sana mtishi wa MUNGU umenifumgua kitu nilikuwa sijui

  • @jacquelinemwakatika
    @jacquelinemwakatika Před 3 lety +9

    Natamani kama wewe au zaidi ya wewe,unanibariki sana MUNGU azidi kukunza nakukutumia zaidi

  • @johnmwilolezi3924
    @johnmwilolezi3924 Před 3 lety +5

    Bwana yesu asifiwe watu wa mungu, mm nilikuwa naomba juu ya kupata mume. sahihi kwa muda wa siku kadhaa, lakin gafla naskia sauti ikiniambia mume wako anakuja ila hana mbuz wala kondooo ila ana kiu ya upendo mmpokeee. Jaman nisaidien kuhusu hili jambo

  • @samsonnashon9719
    @samsonnashon9719 Před 3 lety +3

    hakika somo hili ni jema na MUNGU akubariki sana mwalimu mwakasege I LOVE YOU

  • @YUSUPHIGUNGU
    @YUSUPHIGUNGU Před 2 měsíci

    Umebarikiwa sana mtumishi wa mungu. Mungu azidi kukubarki uzidi kutufundisha ile kweli tuipasayo kuenenda

  • @chipetapeter6804
    @chipetapeter6804 Před 2 měsíci

    Mungu akupe maisha marefu baba yangu nakupenda Sana naomba niombeee uchumi wangu ukatulie baba

  • @connieconny3584
    @connieconny3584 Před 3 lety +17

    Be blessed man of God!! This has really touched my heart....

  • @godlovemwakabuba8960
    @godlovemwakabuba8960 Před 3 lety +3

    Mungu wa Mbinguni aendelee kukutia nguvu katika utumishi wako.

  • @gracemsuya895
    @gracemsuya895 Před 3 lety +4

    Mungu akubariki na akutunze mwalimu

  • @beatricentyangiri9254
    @beatricentyangiri9254 Před 3 lety +9

    Am blessed with ths 🙏🙏

  • @shininisoipano4973
    @shininisoipano4973 Před 3 lety +2

    Nabarikiwa Sana Mungu akubariki Sana mtumishi wa Mungu 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @clementmusalege2477
    @clementmusalege2477 Před 2 lety

    Thank you for good massage to us God bless you forever.

  • @sadickwalker2795
    @sadickwalker2795 Před 3 lety +3

    Amen Man of God.

  • @ErnestKayombo
    @ErnestKayombo Před 9 měsíci +1

    Mchungaji naitwa Lili nipo njombe naomba uniombee rehema mchungaji tangu mwezi wa Saba nimekuwa nikiota na kuwaza hizo ndoto za kumkufuru mungu wangu nampenda mungu wangu niombee mchungaji

  • @rhodasamwel2485
    @rhodasamwel2485 Před 3 lety +9

    Ameen Ameen Yesu akutunze mwl wetu

  • @happyiskaka7318
    @happyiskaka7318 Před 3 lety +3

    Mungu akuinue mtumishi Asante nimeijua Siri

  • @clementkigelulye7915
    @clementkigelulye7915 Před 3 lety +2

    I'm so happy umeongea mengi yananihusu ukiwa na kupewa Cha utambuzi utawe tafsiri ndoto zako Kuna siku nilipata ndoto ya kufunguliwa anga Mungu azidi kukubariki Mtumishi wetu

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Před 3 lety +15

    NDOTO NI VITA NDANI YA NAFSI.EEEH MUNGU NIZIJUE NA KUTAMBUA NINI MANAKE NA NIFANYE NINI NA NDOTO SUMBUFU ZA ROHO CHAFU ZINIACHE KTK JINA LA YESU.AMINA.

  • @RosePatrick-vh2or
    @RosePatrick-vh2or Před měsícem

    Damu ya yesu inanena mwema maishani mwangu Amina mtumishi

  • @lucialeoter934
    @lucialeoter934 Před 2 lety +1

    Amina mtumishi BWANA yesu akubaliki.

  • @giselamkwele7745
    @giselamkwele7745 Před 3 lety +1

    Asante sana Mchungaji,nahitaji sana huduma yako,Mungu akubariki

  • @happytimpiyian1347
    @happytimpiyian1347 Před 3 lety +7

    Mwendelezo maana neno ni tamu sana

  • @joycefuraha264
    @joycefuraha264 Před 3 lety +2

    Thank you so much mwalimu.Mungu wa mbinguni akubariki sana na akuongezee ufunuo mkuu kwakusaidia watu wote.aksanti sana papa

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk Před 3 lety +17

    Baba asante kwa hii chanel. Sala ya Bwana ,ilinifungua sana

  • @ndakitv8148
    @ndakitv8148 Před 2 lety +6

    To God be the glory..!

  • @albertcharles6174
    @albertcharles6174 Před 3 lety +2

    Ameni mtumish wa Mungu napenda hudumazako.

  • @nuhumasika8000
    @nuhumasika8000 Před rokem

    Amina mtumishi wa mungu, mungu atusaidie katika ndoto na niwe na kiu ya kukujua wewe zaidi

  • @reymasenya6450
    @reymasenya6450 Před 3 lety +2

    Ubalikiwe Sana Mtumishi Wa Mungu

  • @harunimwita7976
    @harunimwita7976 Před 3 lety +4

    mungu akubariki sana mzee mwakasege.

  • @tumainimosha644
    @tumainimosha644 Před rokem

    Amina Baba, Baraka za Mungu ziwe juu yako!

  • @neemaharnaa4553
    @neemaharnaa4553 Před rokem

    God bless you Dad, it touch my heart

  • @mariamukasyupa6817
    @mariamukasyupa6817 Před 3 lety +5

    Ubarikiwe Mwalim

  • @hosianapanga9343
    @hosianapanga9343 Před rokem

    Nabarikiwa sana na mahubiri yako,be blessed baba.

  • @dativadiocles2714
    @dativadiocles2714 Před 3 lety +4

    Tumsifu Yesu Kristo mwalimu nimeota nakufa ila naomba adi nafufuka na nizaidi ya mara moja na kwa mfurulizo nn maana yake nisaidie mwalimu

  • @benjaminngholope3191
    @benjaminngholope3191 Před 3 lety

    Mungu akuzidishe nguvu ktk kazi yako ya kutufundisha neno la Mungu

  • @waziriamina1740
    @waziriamina1740 Před 3 lety +6

    Bwana yesu asifiwe ,naitwa AMINA HAMADI WAZIRI kutoka mbeya,
    Naomba tafsiri ya ndoto hii niliota ninakula ugali maharage ,ndoto hii niliiota kwa siku tatu mfululizo

    • @richarddavidmk
      @richarddavidmk Před 3 lety +3

      Wakati unaendelea kuitafakari, weka kinga, yaani Achilia damu Ya Yesu,juu Ya ndotohiyo. Na uiharibu kwa Damu Ya Yesu.kwamaana kula ktk ndoto si jambo jema.

    • @cynlym1847
      @cynlym1847 Před 3 lety

      Muombe Mungu uvunje hyo ndoto yamkini inamaana ya jela! Mungu akutie nguvu ubarikiwe

    • @toliamgaya4217
      @toliamgaya4217 Před 3 lety

      Soma biblia Sana maana yake kula neno la mungu

    • @mohsixtus7048
      @mohsixtus7048 Před 2 lety

      Kula ndotoni ni ambatano la urithi wa kichawi

  • @anjelasaid6098
    @anjelasaid6098 Před 3 lety +2

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu

  • @rebbymichelle6056
    @rebbymichelle6056 Před 3 lety +3

    Ubarikiwe sana mtumishi..

  • @stevenkyando151
    @stevenkyando151 Před 3 lety +2

    Ubarikiwe sana mwalimu kwa somo zuri

  • @ikanaelmshana8182
    @ikanaelmshana8182 Před rokem

    Amen Mungu akubariki mtumishi wake kwa kutulisha kiroho

  • @jacksonbiswalo8360
    @jacksonbiswalo8360 Před 3 lety +3

    Ninakukubali sana MTUMISHI wa MUNGU.Mungu akujaalie maisha marefu.

  • @dannymlewa6852
    @dannymlewa6852 Před 3 lety +3

    Powerful massage

  • @abcujamaa6151
    @abcujamaa6151 Před 3 lety +2

    Ameen MTUMISHI barikiwa sana

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Před rokem

    Asante mwalimu kumbe nilifanya bila kuelewa km niko sahihi nitaendelea kufuata hayo mafundisho

  • @mossesjoseph2202
    @mossesjoseph2202 Před 3 lety

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu aliye hai.

  • @brightmollel6698
    @brightmollel6698 Před 3 lety +18

    Powerful msg! Praise the Holy- spirit

  • @aloycesilas171
    @aloycesilas171 Před rokem

    Asante kwa mafundisho yako mtumishi wa mungu akubariki sana

  • @dorelnbraison348
    @dorelnbraison348 Před 3 lety

    Amina mungu akubariki karikibu utuhubirie injiri iringa mtumish wa mungu

  • @palmomfwango45
    @palmomfwango45 Před rokem

    Mungu akulinde na akupe hekima zaid asathe kwa neno la kutukumbussha

  • @successsafari5250
    @successsafari5250 Před 2 lety

    mwl bwana yesu asifiwe....asante sana kwa somo zuri ila naomba unisaidie maana kuna ndoto naiyota mala kwa mala ila cjui maana yake (naota na paa hewani)

  • @lizzybahati3739
    @lizzybahati3739 Před 2 lety

    Amen Nashukuru sana baba Mungu akubarki

  • @elimika01
    @elimika01 Před 3 lety

    Ubarikiwe Sana mtumishi.🙌🙌🙌

  • @esterisengela3345
    @esterisengela3345 Před 2 lety +1

    Mungu abariki huduma yako maana inatusaidia sana, Amen 🙏

  • @fridahissole122
    @fridahissole122 Před 3 lety +1

    Am blessed!!

  • @sadickmajaliwa1296
    @sadickmajaliwa1296 Před rokem

    Ubarikiwe mtumishi kwa mafundisho mazuri.

  • @agustinashayo7247
    @agustinashayo7247 Před 3 lety

    Mungu akubariki mtumishi wa mungu kwa neno zuri

  • @tatushemsanga1642
    @tatushemsanga1642 Před 2 lety

    Ameeeen ubarikiwe sana mtumishi was mungu kwa mafundisho

  • @emmanuelmakinga-tr3zu

    Ubarikiwe sana kwa mafundisho Mazuri Mwalimu

  • @amosmwenda2634
    @amosmwenda2634 Před rokem

    Amen mtumishi ubarikiwe Sana🙏🙏

  • @vivianmauya9302
    @vivianmauya9302 Před 3 lety +5

    Amen..be bless A man of God

  • @calvinmosha505
    @calvinmosha505 Před 3 lety +2

    Thanks father

  • @eliethkwesigabo1990
    @eliethkwesigabo1990 Před rokem +2

    Niliota mwanaume niliyekuwa nae ananitoa mimba,,,duh kumbe Mungu alikuwa ananionyesha nikapuuzia na akaitoa kweli😭kwa kuniwekea dawa kwenye chakula

    • @eliethkwesigabo1990
      @eliethkwesigabo1990 Před rokem

      Duh nimejifunza kitu,,niliomba kwa kulashia lashia😭,,,Maana kwa siku moja niliota ndoto mbili tofauti ambazo zilikuja kuwa kweli!

  • @bethmbwilo3092
    @bethmbwilo3092 Před rokem

    Ubarikiwe Sana Mtu mishi wa Bwana Yesu

  • @renaldatemu538
    @renaldatemu538 Před rokem

    Ahsante Kwa mafunuo haya mwl.
    Mungu àkutunze.

  • @nissiabalthasar8196
    @nissiabalthasar8196 Před 3 lety +1

    God be with you father..

  • @dayemukalai3427
    @dayemukalai3427 Před rokem

    Ameeen umbarikiwe🙏🙏🙏🙏

  • @zennahissah6068
    @zennahissah6068 Před 3 lety +1

    Asante baba kwa kuniponya na kunifundisha

  • @miriamopiyo4825
    @miriamopiyo4825 Před 3 lety +2

    Wachungaji wa mungu bwanayesu asifiwe.. Naitwa miriam ..Naomba mnisaidie nimekwa nikiota ndoto kuhusu mtoto wangu mara kwa mara .. Naota mtoto wangu amefura uvimbe mkubwa sehemu zake za siri tena naota analia kwa uchungu sana kuenda niangalie nikaona mtu ametoka hapo huyu mtu nikama amemba mtoto wangu tena naota mama yangu amemwinua mtoto wangu juu akamwangusha na tumbo macho ya mtoto ikatoa damu na mdomo nikalia kwa uchungu zaidi...sasa hi si ndoto mtoto wangu akiwa amelala ana tafuna sana meno nisaidieni tafathali ...

    • @aoman5214
      @aoman5214 Před 3 lety

      Hmmmm pole Sana mpenz ukiona hivyo basi jua kuna nguvu flani inayowez kumjarb mtoto wako hivyo umepewa maono ili uweze kusimama na kumwombea mwanao na pia unapopat ndoto km hizi ni muhimu Sana kusali na kukemea nguvu za magonjwa au za Giza maan unaweza kuot kumbe si mwanao akawa ni mtoto wa mwingine kupitia maombi yako yakamponya

    • @evdanifordyphilipo7017
      @evdanifordyphilipo7017 Před 2 lety

      Mmh

  • @edinakamendu3316
    @edinakamendu3316 Před 3 lety +3

    Ubarikiwe mtumishi

  • @albertnestorylukoo9716
    @albertnestorylukoo9716 Před 3 lety +3

    We hakika ni mtumishi wa Mungu. Mungu azidi kukupatia nguvu

  • @grace.mtibwapigahaosimbayo4586

    Ameen,ubarikiwe sana.