Ameen baba, Mungu akuinue zaidi, umenifungua mengi kwa habari ya ULE mwisho. Kweli saa zimekwisha. Umeniongezea utayari. Mungu nipe neema niombee Israel ili nisikose unono wake na connection ya ULE mwisho
Natamani hili somo lirudiwe. Kama Kuna vitabu au CD tafadhali ziletwe kwenye maombi ya mwezi wa nane pale Dodoma. Baba Mungu akutendee mema unatusaidia wengi
Asante kwa ujumbe baba .Hakika nisaa mwafaka ya kurudi kwake maana yametimia nimekulewa baba asante kunifungua macho Mungu nipe macho ya kuibariki israel kikumbuke kizazi hiki Bwana Yesu nikumbuke ktk ufalme wako.
Mwalimu naoba nisije nikakosa kuingia mbiguni kwavile nimeyafuata mafudisho yako from I come to Qatar is 4yrs am from Kenya sijapata mafudisho yakuniweka mzingi kama yakwako nijua makubwa yakunistua I wish I can see you face to face before we go to heaven 🙏🙏🙏😭😭
Nakupenda Sana mwalimu na nilifurahi Sana kukuona mbezi kkkt kanisani jumapili iliyopita nikaona nimebarikiwa,, Mungu atakulinda nimaombi yangu kwa familia yako.
Mungu naomba unisamehe Mimi,familia yangu,ndugu zangu,taifa langu,ili tuwepo katika wale watakaonyakuliwa,ikiwezekana shetani na malaika zake ndio waende motoni,tuokoe Bwana Yesu
Mungu bariki Wana wako mioyo yetu ikukili milele na hata milele. Mungu wangu tubaliki pamoja na ukoo wetu ili hata ukija sasa tuketi kuume kwako Mungu Baba.
Usiniache Mungu wangu utakaporudi kuchukua wateule ….andika jina langu katika kitabu cha uzima ….usiache ndugu zangu, watoto wangu na wazazi wangu eeh Mungu
Eeeh BWANA nisaidie katika kila NYAKATI na katika kila MAJIRA niwe mwaminifu katika kweli yako,, ili unapokuja usinisahau,,,usiniache,,,binafsi naipenda Sana Israel na naibariki sana
Mungu atufumbue macho ya kiroho tuweze kufahamu. Mungu bariki taifa LAKO TEULE ISRAEL 🙏
Matukio yanayoendelea Israeli yamenileta hapa, nimejifunza kitu kikubwa sana Eeh Mungu tusaidie tuwe na mwisho mwema 🙏
Ameen baba, Mungu akuinue zaidi, umenifungua mengi kwa habari ya ULE mwisho. Kweli saa zimekwisha. Umeniongezea utayari. Mungu nipe neema niombee Israel ili nisikose unono wake na connection ya ULE mwisho
Natamani hili somo lirudiwe. Kama Kuna vitabu au CD tafadhali ziletwe kwenye maombi ya mwezi wa nane pale Dodoma. Baba Mungu akutendee mema unatusaidia wengi
Ameeeeeeeeeeeeeeeen 🙏 nakupenda Sana mwalimu mungu azidi kukutumia na kukulinda 🙏
Amen!!!
Ee Yesu naomba usiniache ukija mawinguni
Tuzidi kujinyenyejesha ikifika siku naamin hatatuacha kamwe, Amen.
Asante kwa ujumbe baba .Hakika nisaa mwafaka ya kurudi kwake maana yametimia nimekulewa baba asante kunifungua macho Mungu nipe macho ya kuibariki israel kikumbuke kizazi hiki Bwana Yesu nikumbuke ktk ufalme wako.
My lovely friends... JESUS CHRIST Loves you all.... Receive Him, His Power and Salvation.... AMEN AMEN AMEN.
Mwarimu mwakasengeubarikiwe sana SoMo rako Suri sana
Aiseee Mungu akutunze Mwalimu
Amen man of God God bless nimebarikiwa sana na somo hilo ni fupi lakini sijapoteza MB zangu nimebarikiwa sana mtumishi
God remember me, remember my family, my father and mother, my siblings, my husband and our children
Ee Mungu tusaidie kweli mwisho wetu uwe mwema ...wakati wakunyakuliwa kanisa na Mimi niwe wakwanza... Ameeen 🙏
Hiv baba kumbe mungu amekuonyesha yatakayotokes juu Israeli meaka
2023
Yesu atupe mwisho muzuri kuliko mwanzo 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Samahani naomba jina la wimbo wa hiyo ton
Mwalimu naoba nisije nikakosa kuingia mbiguni kwavile nimeyafuata mafudisho yako from I come to Qatar is 4yrs am from Kenya sijapata mafudisho yakuniweka mzingi kama yakwako nijua makubwa yakunistua I wish I can see you face to face before we go to heaven 🙏🙏🙏😭😭
Nakupenda Sana mwalimu na nilifurahi Sana kukuona mbezi kkkt kanisani jumapili iliyopita nikaona nimebarikiwa,, Mungu atakulinda nimaombi yangu kwa familia yako.
Amen! Mwalimu. Mwenye kujua somo la semina hii anijulishe. Mbarikiwe sana.
This prophet 🙌🙌🙌🙌🙌
somo zuri sana! ubarikiwe na Mungu tumtumikie Mungu tukiwa haiiiiii••••••••🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿&🇮🇱🇮🇱🇮🇱
Be blessed Papa it's true tupo nyakat za mwishoo
Ooh!! Haleluya haleluya haleluya Ameeeeeeeen nimebakiwa sana kwa somo tulilojifunza kuhusu Faida ya kuwepo kwa Taifa la Israel kwa mkristo.
Naomba neema yakuombea nakubariki Taifa lako Mungu wangu.Wajalie ndugu na jamaa zangu kuipenda Israel nakuiombea
Ameeen MUNGU IBARIKI ISRAEL PIA MUNGU MBARIKI MTUMISHI WAKO AZID KUTUFUNDISHA SIKU HADI SIKU. PIA MUNGU NAOMBA UNIPE MWISHO MWEMA
Naibariki na kuiinua Israel katika jina la Bwana
Ameena mungu akawe mtetez wa Israel pamoja na familia yangu
Ubarikiwe.saaaaana.mwalimu.wa.neno.lamungu.ashukuliwe.mungu.milele.na.milele
Indeed your my mentor in Christ.
Thank you Jesus
AMEN.. MUNGU anatufundisha kupitia kinywa cha masiha wake
Kwel kabisa
Mungu aendeleee kukutendea yalio mema
Mungu atusaidie sana...!!
Amina mikweli kabisa baba unachokisema na Mungu azidi kukufunulia maono na barikiwa San
Eee Mungu naomba niokoe ale kwenye udhaifu wangu napenda nikufahamu nikijua mm na familia yangu
God bless you mwalimu, am really inpired by your teachings i need this album, simon leshan from kenya
Mungu naomba unisamehe Mimi,familia yangu,ndugu zangu,taifa langu,ili tuwepo katika wale watakaonyakuliwa,ikiwezekana shetani na malaika zake ndio waende motoni,tuokoe Bwana Yesu
Mi binafsi nakupenda sana.. Mungu wa mbinguni akutunze mwalimu. Ninahuishwa na mafundisho yako
Walter chilambo
Mungu tunaomba Neema yako itufunike! Libarikiwe taifa la Mungu Israel
Ubarikiwe kwa somo zuri mtumishi ndio kinachotokea leo mtu anaifafanua israel kisiasa sana na hawajui kuwa ni makosa
Amina baba Mungu akubariki kwa Somo zuri kuhusu Israeli huu ni wakati wa masomo mazuri kama haya
Haleluya Mtumishi wa Mungu ubarikiwe mno nisomo la ndani kweli hili
Hakika barikiwa Sana mteule
Huyu mwlm amewekeza vitu vingi mno vya kiroho natamani ningekutana naye siku Moja nizungumze na yeye mambo yanayonisumbua moyoni
Pole Mungu akushindie
Mtafute Roho Mtakatifu...mpenzi ...atakupa majibu vyoooote❤️
@@emmanuelnollo5022 AMINA
Mi nilishasema Bwana asimtwae mpka SIKU moja nile meza moja naye
@@jescaemmanuel100 yaan tuko kimoja
MWENYEZI MUNGU akubariki sana Mwalimu wangu
Ameni Mungu atupe mwisho mzur barikiwa San mwalimu
Mungu awabariki baba Mwl. Mungu awape maisha marefu.
Lord lord lord I need your anointing
Barikiwa sana kwa somo nzuri Mtumish
Asante kwa mafundisho
Amen barikiwa baba kwa kutuandaa
Mungu bariki Wana wako mioyo yetu ikukili milele na hata milele. Mungu wangu tubaliki pamoja na ukoo wetu ili hata ukija sasa tuketi kuume kwako Mungu Baba.
Hili somo huwa sichoki kusikiliza kwa kila wiki hata mara tatu...Baba Mungu aendelee kukutunza upate kutufundisha na kulianda kanisa
Hi! Hili somo linaitwaje?
Danganyaneni sana watu wanapiga pesa nyinyi Munasema somo
Aminaa Aminaa eee Mungu tusaidie..Mungu akutunze Baba
Mungu akupe maisha malefu mtumishi wa mungu
Mungu akubariki na kukulinda daima mtumishi!
Ameni baba Yesu nisaidie kusimama kwenye Imani yako.
Amen,Asante kwa ujumbe
Majira yameenda Sana ,wakati umeenda Sana,Mungu unikumbuke unapokuja kulinyakuwa kanisa lako
Isee mungu akubress SNA mwakasege
We glorify the name of God for giving you this powerful message for Israel.Be blessed mwalimu.
Ameen Baba Barikiwaa nakulaa kilaa sikuu
Amen 🙏 Mungu azidi kukuinua mtumishi
Jaman mwenye mwendelezo wa mahubiri haya naomba anitumie 😭😭🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Ameeeeeeeeeeeeeen Haleluyaaaaa ubarikiwe sana mwalim Christopher mwakasege Mungu akutunze uzidi sana
Amina!
Amina baba mungu akutie nguvu
Ameni
Bwn Yesu asifiwe ! Asante kwa mafundisho yako mwl, Mungu akubariki
barikiwa sana baba angu wa kiroho
Ameni asantee mtumishi
Mungu naomba neema yako ya kuendelea kujifunza neno lako
Be Blessed more mwalim
Ameen mungu utusaidie
Amen Amen Mungu atusaidie
Ubarikiwe baba
Israel nyumbani kwetuuu Yerusalem mje teule Nakupenda nakuombea Amani israel🙏
Mungu akubarik Baba
Amebarikiwa aibarikiaye Israel Na amelaaniwa ailaaniaye israel 🙏EE MUNGU TUPE MWISHO MWEMA
Amen, Mungu tusaidie
Usiniache Mungu wangu utakaporudi kuchukua wateule ….andika jina langu katika kitabu cha uzima ….usiache ndugu zangu, watoto wangu na wazazi wangu eeh Mungu
Mungu akubariki Mtumimishi wa Mungu
Yesu tusaidie tujiandae kwa unyakuo
Amen baba Mwal Mwakasege
Asante baba
Eeeh BWANA nisaidie katika kila NYAKATI na katika kila MAJIRA niwe mwaminifu katika kweli yako,, ili unapokuja usinisahau,,,usiniache,,,binafsi naipenda Sana Israel na naibariki sana
Amen mungu afungu akili ziweze kuona mambo kwa upana wake
Mungu ibariki Ezrael, ipe nguvu zaidi
Amina Mtumishi
Amen Amen baba yangu
Ubarikiwe babaangu
Glory to God
Sitaki jehanamu Mungu kumbuka mtoto wako na kutegemea kwenye njia zangu zote nipe mwisho mzuri
MUNGU WANGU Ibariki Israel na mji wake MTAKATIFU Jerusalem
Amina 🙏 Mungu akubariki
Nikweli baba naomba uniombee nimalize mwendo salama .piya Mungu aweke kiu ndani yangu yakuombya IZRAEL naomba Yesu anikumbuke kwenye ufalme wake
Amen Mtumishi
Amen Amen
Amen baba
Ooooooooo God have mercy to us.We are sinners.
Glory to God❤
Glory to God
Ooh!! Groly to God haleluya haleluya haleluya kufumba na kufumbua tutabadilisha,na kuondolewa mavazi haya ili kuvaa vazi la wokovu la mwana kondoo.
Mungu ibariki Tanzania
Baba asante ila naomba sana uachiloe hili somo zima kama kuna uwezekano
Ameeni ee Mungu nipe Neema ya kuiombea Israeli
Na kweli Yesu usiniache nisaidie tu kuishi maisha ya toba
Bwana Aendeleye kuku paka Upako wake
Ameennn we love u daddy
❤Ameen