MWL C.MWAKASEGE: ZIFAHAMU FAIDA ZA KUWEPO KWA TAIFA LA ISRAEL KWA MKRISTO.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 06. 2021
  • FAIDA ZA KUWEPO KWA TAIFA LA ISRAEL KWA MKRISTO YEYO

Komentáře • 188

  • @naomibildad509
    @naomibildad509 Před 3 lety +32

    Mungu atufumbue macho ya kiroho tuweze kufahamu. Mungu bariki taifa LAKO TEULE ISRAEL 🙏

  • @jessicagervas4075
    @jessicagervas4075 Před 9 měsíci +4

    Matukio yanayoendelea Israeli yamenileta hapa, nimejifunza kitu kikubwa sana Eeh Mungu tusaidie tuwe na mwisho mwema 🙏

  • @rudiedenitv8309
    @rudiedenitv8309 Před 3 lety +16

    Ameen baba, Mungu akuinue zaidi, umenifungua mengi kwa habari ya ULE mwisho. Kweli saa zimekwisha. Umeniongezea utayari. Mungu nipe neema niombee Israel ili nisikose unono wake na connection ya ULE mwisho

  • @margarethkissaka3645
    @margarethkissaka3645 Před 3 lety +18

    Natamani hili somo lirudiwe. Kama Kuna vitabu au CD tafadhali ziletwe kwenye maombi ya mwezi wa nane pale Dodoma. Baba Mungu akutendee mema unatusaidia wengi

  • @doreenmaro3327
    @doreenmaro3327 Před 3 lety +16

    Ameeeeeeeeeeeeeeeen 🙏 nakupenda Sana mwalimu mungu azidi kukutumia na kukulinda 🙏

  • @rechomsuya352
    @rechomsuya352 Před 3 lety +11

    Ee Yesu naomba usiniache ukija mawinguni

    • @celinayohane7994
      @celinayohane7994 Před 3 lety +1

      Tuzidi kujinyenyejesha ikifika siku naamin hatatuacha kamwe, Amen.

    • @mwanzajosephine468
      @mwanzajosephine468 Před 3 lety +1

      Asante kwa ujumbe baba .Hakika nisaa mwafaka ya kurudi kwake maana yametimia nimekulewa baba asante kunifungua macho Mungu nipe macho ya kuibariki israel kikumbuke kizazi hiki Bwana Yesu nikumbuke ktk ufalme wako.

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 Před 3 lety +11

    My lovely friends... JESUS CHRIST Loves you all.... Receive Him, His Power and Salvation.... AMEN AMEN AMEN.

  • @veronicajerome1184
    @veronicajerome1184 Před rokem +2

    Mwarimu mwakasengeubarikiwe sana SoMo rako Suri sana

  • @lilianwaddo3220
    @lilianwaddo3220 Před 3 lety +5

    Aiseee Mungu akutunze Mwalimu

  • @stephanokanyika6321
    @stephanokanyika6321 Před 3 lety +1

    Amen man of God God bless nimebarikiwa sana na somo hilo ni fupi lakini sijapoteza MB zangu nimebarikiwa sana mtumishi

  • @ellyarola2939
    @ellyarola2939 Před 3 lety +3

    God remember me, remember my family, my father and mother, my siblings, my husband and our children

  • @saramuna1173
    @saramuna1173 Před 3 lety +1

    Ee Mungu tusaidie kweli mwisho wetu uwe mwema ...wakati wakunyakuliwa kanisa na Mimi niwe wakwanza... Ameeen 🙏

  • @user-fz9le6md1k
    @user-fz9le6md1k Před 7 měsíci

    Hiv baba kumbe mungu amekuonyesha yatakayotokes juu Israeli meaka
    2023

  • @dorcaskahwarakaliza8190
    @dorcaskahwarakaliza8190 Před 3 lety +4

    Yesu atupe mwisho muzuri kuliko mwanzo 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @judygathoni5861
    @judygathoni5861 Před 3 lety +1

    Mwalimu naoba nisije nikakosa kuingia mbiguni kwavile nimeyafuata mafudisho yako from I come to Qatar is 4yrs am from Kenya sijapata mafudisho yakuniweka mzingi kama yakwako nijua makubwa yakunistua I wish I can see you face to face before we go to heaven 🙏🙏🙏😭😭

  • @violeturima2265
    @violeturima2265 Před 3 lety +1

    Nakupenda Sana mwalimu na nilifurahi Sana kukuona mbezi kkkt kanisani jumapili iliyopita nikaona nimebarikiwa,, Mungu atakulinda nimaombi yangu kwa familia yako.

  • @fpnzota1151
    @fpnzota1151 Před 3 lety +1

    Amen! Mwalimu. Mwenye kujua somo la semina hii anijulishe. Mbarikiwe sana.

  • @davidandrew6332
    @davidandrew6332 Před 2 měsíci

    This prophet 🙌🙌🙌🙌🙌

  • @danielmlwafu4380
    @danielmlwafu4380 Před 3 lety +1

    somo zuri sana! ubarikiwe na Mungu tumtumikie Mungu tukiwa haiiiiii••••••••🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿&🇮🇱🇮🇱🇮🇱

  • @celinaphysoo4919
    @celinaphysoo4919 Před 2 lety +1

    Be blessed Papa it's true tupo nyakat za mwishoo

  • @andongolilemwakibwili9650

    Ooh!! Haleluya haleluya haleluya Ameeeeeeeen nimebakiwa sana kwa somo tulilojifunza kuhusu Faida ya kuwepo kwa Taifa la Israel kwa mkristo.

  • @LemaJoy-rs2td
    @LemaJoy-rs2td Před 9 měsíci

    Naomba neema yakuombea nakubariki Taifa lako Mungu wangu.Wajalie ndugu na jamaa zangu kuipenda Israel nakuiombea

  • @graciousmedia8235
    @graciousmedia8235 Před 3 lety

    Ameeen MUNGU IBARIKI ISRAEL PIA MUNGU MBARIKI MTUMISHI WAKO AZID KUTUFUNDISHA SIKU HADI SIKU. PIA MUNGU NAOMBA UNIPE MWISHO MWEMA

  • @mchopaluka4319
    @mchopaluka4319 Před 3 lety +1

    Naibariki na kuiinua Israel katika jina la Bwana

  • @evalineawary3604
    @evalineawary3604 Před 3 lety +1

    Ameena mungu akawe mtetez wa Israel pamoja na familia yangu

  • @daudimhoha894
    @daudimhoha894 Před 3 lety

    Ubarikiwe.saaaaana.mwalimu.wa.neno.lamungu.ashukuliwe.mungu.milele.na.milele

  • @mch.deosinkala3120
    @mch.deosinkala3120 Před 2 lety +1

    Indeed your my mentor in Christ.
    Thank you Jesus

  • @servantjosiahtv3129
    @servantjosiahtv3129 Před 3 lety +1

    AMEN.. MUNGU anatufundisha kupitia kinywa cha masiha wake

  • @mrwandamrwanda3751
    @mrwandamrwanda3751 Před 3 lety +4

    Mungu aendeleee kukutendea yalio mema

  • @theresiamsoffe3909
    @theresiamsoffe3909 Před 3 lety +3

    Mungu atusaidie sana...!!

  • @alexkimaro7067
    @alexkimaro7067 Před 3 lety +1

    Amina mikweli kabisa baba unachokisema na Mungu azidi kukufunulia maono na barikiwa San

  • @user-ze5ps6uc8m
    @user-ze5ps6uc8m Před 9 měsíci

    Eee Mungu naomba niokoe ale kwenye udhaifu wangu napenda nikufahamu nikijua mm na familia yangu

  • @leshansimon7689
    @leshansimon7689 Před 3 lety +3

    God bless you mwalimu, am really inpired by your teachings i need this album, simon leshan from kenya

    • @anithailomo8703
      @anithailomo8703 Před rokem

      Mungu naomba unisamehe Mimi,familia yangu,ndugu zangu,taifa langu,ili tuwepo katika wale watakaonyakuliwa,ikiwezekana shetani na malaika zake ndio waende motoni,tuokoe Bwana Yesu

  • @rehemaminja2843
    @rehemaminja2843 Před 3 lety +2

    Mi binafsi nakupenda sana.. Mungu wa mbinguni akutunze mwalimu. Ninahuishwa na mafundisho yako

  • @stephanokanyika6321
    @stephanokanyika6321 Před 9 měsíci

    Ubarikiwe kwa somo zuri mtumishi ndio kinachotokea leo mtu anaifafanua israel kisiasa sana na hawajui kuwa ni makosa

  • @McTabasam
    @McTabasam Před 9 měsíci

    Amina baba Mungu akubariki kwa Somo zuri kuhusu Israeli huu ni wakati wa masomo mazuri kama haya

  • @rahelgodfrey438
    @rahelgodfrey438 Před 3 lety

    Haleluya Mtumishi wa Mungu ubarikiwe mno nisomo la ndani kweli hili

  • @davidjackson448
    @davidjackson448 Před 8 měsíci

    Hakika barikiwa Sana mteule

  • @lynelee5846
    @lynelee5846 Před 3 lety +10

    Huyu mwlm amewekeza vitu vingi mno vya kiroho natamani ningekutana naye siku Moja nizungumze na yeye mambo yanayonisumbua moyoni

    • @emmanuelnollo5022
      @emmanuelnollo5022 Před 3 lety +3

      Pole Mungu akushindie

    • @concesafl
      @concesafl Před 3 lety +5

      Mtafute Roho Mtakatifu...mpenzi ...atakupa majibu vyoooote❤️

    • @lynelee5846
      @lynelee5846 Před 3 lety

      @@emmanuelnollo5022 AMINA

    • @jescaemmanuel100
      @jescaemmanuel100 Před 3 lety +2

      Mi nilishasema Bwana asimtwae mpka SIKU moja nile meza moja naye

    • @lynelee5846
      @lynelee5846 Před 3 lety

      @@jescaemmanuel100 yaan tuko kimoja

  • @nenolabwana38
    @nenolabwana38 Před 3 lety

    MWENYEZI MUNGU akubariki sana Mwalimu wangu

  • @franciscalenard6421
    @franciscalenard6421 Před rokem

    Ameni Mungu atupe mwisho mzur barikiwa San mwalimu

  • @noelmeshack718
    @noelmeshack718 Před 3 lety

    Mungu awabariki baba Mwl. Mungu awape maisha marefu.

  • @upendomalisa7108
    @upendomalisa7108 Před 5 měsíci

    Lord lord lord I need your anointing

  • @mwalimuselemankasangani2074

    Barikiwa sana kwa somo nzuri Mtumish

  • @MonicaMbetwa
    @MonicaMbetwa Před 4 měsíci

    Asante kwa mafundisho

  • @vailethbasil2260
    @vailethbasil2260 Před 3 lety

    Amen barikiwa baba kwa kutuandaa

  • @nicholauskahama3391
    @nicholauskahama3391 Před 2 lety

    Mungu bariki Wana wako mioyo yetu ikukili milele na hata milele. Mungu wangu tubaliki pamoja na ukoo wetu ili hata ukija sasa tuketi kuume kwako Mungu Baba.

  • @marrytanzania9035
    @marrytanzania9035 Před 3 lety +2

    Hili somo huwa sichoki kusikiliza kwa kila wiki hata mara tatu...Baba Mungu aendelee kukutunza upate kutufundisha na kulianda kanisa

  • @neemamwaijumba9195
    @neemamwaijumba9195 Před 3 lety

    Aminaa Aminaa eee Mungu tusaidie..Mungu akutunze Baba

  • @alicethobias932
    @alicethobias932 Před 3 lety +1

    Mungu akupe maisha malefu mtumishi wa mungu

  • @hopeyuda8326
    @hopeyuda8326 Před 3 lety

    Mungu akubariki na kukulinda daima mtumishi!

  • @mtumishiwambwana5564
    @mtumishiwambwana5564 Před 3 lety

    Ameni baba Yesu nisaidie kusimama kwenye Imani yako.

  • @matridajackson5540
    @matridajackson5540 Před 3 lety

    Amen,Asante kwa ujumbe

  • @marrynaftali7969
    @marrynaftali7969 Před 3 lety +1

    Majira yameenda Sana ,wakati umeenda Sana,Mungu unikumbuke unapokuja kulinyakuwa kanisa lako

  • @ibrahimmilinga987
    @ibrahimmilinga987 Před rokem

    Isee mungu akubress SNA mwakasege

  • @robertdaniel475
    @robertdaniel475 Před 2 lety

    We glorify the name of God for giving you this powerful message for Israel.Be blessed mwalimu.

  • @solomonmwamelo660
    @solomonmwamelo660 Před 3 lety

    Ameen Baba Barikiwaa nakulaa kilaa sikuu

  • @jisellecandy5403
    @jisellecandy5403 Před 2 lety

    Amen 🙏 Mungu azidi kukuinua mtumishi

  • @princesmaile3565
    @princesmaile3565 Před rokem

    Jaman mwenye mwendelezo wa mahubiri haya naomba anitumie 😭😭🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi5196 Před 3 lety

    Ameeeeeeeeeeeeeen Haleluyaaaaa ubarikiwe sana mwalim Christopher mwakasege Mungu akutunze uzidi sana

  • @janechilangazi2652
    @janechilangazi2652 Před 3 lety

    Amina baba mungu akutie nguvu

  • @hilgathjoshua8804
    @hilgathjoshua8804 Před 3 lety +7

    Ameni

    • @modestshikilana4610
      @modestshikilana4610 Před 3 lety +1

      Bwn Yesu asifiwe ! Asante kwa mafundisho yako mwl, Mungu akubariki

  • @rizikipyuzza3411
    @rizikipyuzza3411 Před 3 lety +1

    barikiwa sana baba angu wa kiroho

  • @janembalinga7074
    @janembalinga7074 Před 3 lety

    Ameni asantee mtumishi

  • @kikiebaby
    @kikiebaby Před 3 lety

    Mungu naomba neema yako ya kuendelea kujifunza neno lako

  • @getrudejackson8962
    @getrudejackson8962 Před 3 lety

    Be Blessed more mwalim

  • @monicambetwa2620
    @monicambetwa2620 Před 3 lety +1

    Ameen mungu utusaidie

  • @rosengowo8666
    @rosengowo8666 Před 3 lety

    Amen Amen Mungu atusaidie

  • @amanimwilenga1219
    @amanimwilenga1219 Před 3 lety

    Ubarikiwe baba

  • @gallaiphoneworldwide5178
    @gallaiphoneworldwide5178 Před 2 lety +1

    Israel nyumbani kwetuuu Yerusalem mje teule Nakupenda nakuombea Amani israel🙏

  • @luhamba6852
    @luhamba6852 Před rokem

    Mungu akubarik Baba

  • @heavenlighturonu6757
    @heavenlighturonu6757 Před 3 lety

    Amebarikiwa aibarikiaye Israel Na amelaaniwa ailaaniaye israel 🙏EE MUNGU TUPE MWISHO MWEMA

  • @peninahnyabonyi9331
    @peninahnyabonyi9331 Před 3 lety

    Amen, Mungu tusaidie

  • @lizzyontune5338
    @lizzyontune5338 Před 3 lety

    Usiniache Mungu wangu utakaporudi kuchukua wateule ….andika jina langu katika kitabu cha uzima ….usiache ndugu zangu, watoto wangu na wazazi wangu eeh Mungu

  • @gracekisaka8461
    @gracekisaka8461 Před 9 měsíci

    Mungu akubariki Mtumimishi wa Mungu

  • @mariethaenock3888
    @mariethaenock3888 Před 8 měsíci

    Yesu tusaidie tujiandae kwa unyakuo

  • @felixhoreramhezi4152
    @felixhoreramhezi4152 Před 3 lety

    Amen baba Mwal Mwakasege

  • @michaelsimon7728
    @michaelsimon7728 Před 3 lety

    Asante baba

  • @jescaemmanuel100
    @jescaemmanuel100 Před 3 lety +1

    Eeeh BWANA nisaidie katika kila NYAKATI na katika kila MAJIRA niwe mwaminifu katika kweli yako,, ili unapokuja usinisahau,,,usiniache,,,binafsi naipenda Sana Israel na naibariki sana

  • @costavmunisi5227
    @costavmunisi5227 Před 3 lety +1

    Amen mungu afungu akili ziweze kuona mambo kwa upana wake

  • @christinamwakitalima4267
    @christinamwakitalima4267 Před 3 lety +1

    Mungu ibariki Ezrael, ipe nguvu zaidi

  • @emmanuelbunuma5471
    @emmanuelbunuma5471 Před 3 lety +1

    Amina Mtumishi

  • @evangelistejohnhabamungu1054

    Amen Amen baba yangu

  • @zakayombwaga5810
    @zakayombwaga5810 Před 3 lety

    Ubarikiwe babaangu

  • @dominamosha7637
    @dominamosha7637 Před 2 lety

    Glory to God

  • @user-ze5ps6uc8m
    @user-ze5ps6uc8m Před 9 měsíci

    Sitaki jehanamu Mungu kumbuka mtoto wako na kutegemea kwenye njia zangu zote nipe mwisho mzuri

  • @andongolilemwakibwili9650
    @andongolilemwakibwili9650 Před 9 měsíci

    MUNGU WANGU Ibariki Israel na mji wake MTAKATIFU Jerusalem

  • @lusekelonikumwitikangondo4707

    Amina 🙏 Mungu akubariki

    • @ogotz2628
      @ogotz2628 Před 3 lety

      Nikweli baba naomba uniombee nimalize mwendo salama .piya Mungu aweke kiu ndani yangu yakuombya IZRAEL naomba Yesu anikumbuke kwenye ufalme wake

  • @rhodamkungu4237
    @rhodamkungu4237 Před 3 lety

    Amen Mtumishi

  • @neemamachangemachange8874

    Amen Amen

  • @eliceadam9301
    @eliceadam9301 Před 3 lety +1

    Amen baba

  • @frbm1729
    @frbm1729 Před 3 lety

    Ooooooooo God have mercy to us.We are sinners.

  • @trillhappybeautypoint9874

    Glory to God❤

    • @dominamosha7637
      @dominamosha7637 Před 2 lety

      Glory to God

    • @andongolilemwakibwili9650
      @andongolilemwakibwili9650 Před rokem

      Ooh!! Groly to God haleluya haleluya haleluya kufumba na kufumbua tutabadilisha,na kuondolewa mavazi haya ili kuvaa vazi la wokovu la mwana kondoo.

  • @taitusbangu8909
    @taitusbangu8909 Před 3 lety

    Mungu ibariki Tanzania

  • @neemashilangi3686
    @neemashilangi3686 Před 3 lety

    Baba asante ila naomba sana uachiloe hili somo zima kama kuna uwezekano

  • @seebs1156
    @seebs1156 Před 2 lety

    Ameeni ee Mungu nipe Neema ya kuiombea Israeli

  • @christinewomanoffaith5479

    Na kweli Yesu usiniache nisaidie tu kuishi maisha ya toba

  • @abigaelmamy5402
    @abigaelmamy5402 Před 2 lety +1

    Bwana Aendeleye kuku paka Upako wake

  • @esterlaurent2709
    @esterlaurent2709 Před 3 lety

    Ameennn we love u daddy

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 Před 9 měsíci

    ❤Ameen