Wakristo, walokole wa Leo,,, nondo hiyo,,,, be blessed pastor,, nashukuru MUNGU kutumia kinywa chako kutukumbusha na kutuonya, akupe miaka mingi na nguvu zaidi Tanzania ibadirike,, 😊
Amen mtumishi wa Mungu!! Ubarikiwe sana kwa kunena iliyo kweli ya Mungu!! Ni kweli kabisa kanisa la sasa ni shida hasa kwenye mavazi, watu wanafuatisha mitindo ya kidunia, kama nywele, nguo n.k, bila kujua hyo yote ni mitego ya shetani.
Kwakweli n shida saiv mavazi yamekuwa tishio kubwa mtu ukivaa kwa stara unaonekana we mshamba sana huendi na wakati Mungu gan huyu anaekwenda na wakati kama si ushetani tu kutawqla watu wa Mungu
Mch Abiud hujawahi badilika tangu nilipokufahamu kupitia wimbo wa NIKIFIKIRI MAISHA YANGU nikiwa mdogo na baadae ukaja chuoni Tumaini Iringa...ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu...hii injili dunia inaikosa sana
Kwa kweli,upuuzi mwingi sana umeingia ndani ya makanisa kiasi kwamba huwezi kutofautisha walio ndani na walio nje ya Kristo wote wana mitazamo ya upotofu tu! Mungu atutetee mno👏
Huwa sina mazoeya ya kususcribe video za wachungaji kwasababu wengi wamepotea ila leo roho kanambia sikiza huyu ..ghafla alaa kumbe ni mwimbaji ninaempenda..shukuran Abiud ..Mungu akufiche usichafuke..nimesuscribe ❤❤
Mungu huangalia mtu -ndani mpaka nje. -Kanisani mpaka nyumbani. -ukumbini mpaka sirini. Basi, watu waambiwe nini ili waelewe? WASIOPENDA VYA MUNGU, AWACHE KULIKO KUARUBISHA MAFUNDISHO YA KWELI. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Mungu Akubariki sana mtumishi wa Mungu hubiri ukweli kuhusu mapambo kwa wanawake na suruali hadi kwa wanawake wakati imekataliwa hata kwenye biblia naomba nipate location ya kanisa hili na mm siku moja nipate kushiriki nanyi
Abiudi Misholi kweli ni mtumishi wa Mungu kwa mafundisho haya
Mbarikiwe sana watu wa MUNGU.. Endeleeni kuusema ukweli sahihi
Wakristo, walokole wa Leo,,, nondo hiyo,,,, be blessed pastor,, nashukuru MUNGU kutumia kinywa chako kutukumbusha na kutuonya, akupe miaka mingi na nguvu zaidi Tanzania ibadirike,, 😊
Kwa kweli injili nzuri sana na Mungu atusaidie kuyaishi haya
Amen mtumishi wa Mungu!! Ubarikiwe sana kwa kunena iliyo kweli ya Mungu!! Ni kweli kabisa kanisa la sasa ni shida hasa kwenye mavazi, watu wanafuatisha mitindo ya kidunia, kama nywele, nguo n.k, bila kujua hyo yote ni mitego ya shetani.
Mch. Abiud Misholi, katika hili umepiga penyewe. Mungu akubariki sana na nakuombea uzidi kupata neema ya kuihubiri kweli katika kanisa la leo!!!
Nakufurahia mtumishi tupo wachache MBINGUNI LAZIMA UFANIKIWE Amen
Uko sahihi mtumishi wa mungu mungu akubariki sana mch misholi natamani nije kusali ktk kanisa lako
Ubarikiwe sana,,,naomba MUNGU ALIE HAI azidi kuwapa NEEMA ya kukemea haya ndani ya makanisa,,,
Hallelujah hallelujah ameeen NI kweli kabisa mtumishi
Mungu alibariki somo mzuri
Kwakweli n shida saiv mavazi yamekuwa tishio kubwa mtu ukivaa kwa stara unaonekana we mshamba sana huendi na wakati Mungu gan huyu anaekwenda na wakati kama si ushetani tu kutawqla watu wa Mungu
Mch Abiud hujawahi badilika tangu nilipokufahamu kupitia wimbo wa NIKIFIKIRI MAISHA YANGU nikiwa mdogo na baadae ukaja chuoni Tumaini Iringa...ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu...hii injili dunia inaikosa sana
Mungu akubariki sana bishop usiache kusema kweli
Mungu akubariki mtumishi
Ukweli kabisa injili tamu sana inayo nipa chakula cha roho mtakatifu.
Kwa kweli,upuuzi mwingi sana umeingia ndani ya makanisa kiasi kwamba huwezi kutofautisha walio ndani na walio nje ya Kristo wote wana mitazamo ya upotofu tu! Mungu atutetee mno👏
Huwa sina mazoeya ya kususcribe video za wachungaji kwasababu wengi wamepotea ila leo roho kanambia sikiza huyu ..ghafla alaa kumbe ni mwimbaji ninaempenda..shukuran Abiud ..Mungu akufiche usichafuke..nimesuscribe ❤❤
Ubarikiwe na Yesu kristo kwa semina nzuri saaana, mavazi
Kazia hapohapo mungu akubaliki mchungaji
Mungu akubariki sana Mtumishi Ubarikiwe tuonane Mbinguni.
Amen amen, hayo ndiyo mafundisho ya kweli,
Ubarikiwe sana mtumishi,Amen Amen Amen
Injili isiyogoshiwa..ndio hii
Ubalikiwe sana mch.wengi wanavaa ovyo katka kanisa
Pastor be blessed you are preaching the facts
Amena mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana kwa mafundisho mazuri ya neno la Mungu
Depuis lubumbashi DRC je manque des mots á vous dire car je suis croyant simple simple mais Dieu vous ce que vous lui demander amen ❤❤❤
Mungu atusaidie Mavazi yametupotesa sisi wanawake
nilikupenda unaimba, nakupenda ukihubiri.
asante watumishi wa MUNGUbado mupo kaza tu usijali hata ubaki na wawili ubarikiwe
Amen Baba Wasaidie
Hongera mtumishi, kemeeni sana kuhusu mavazi wala msiogope, mavazi ya hivyo yanaaibisha sana ukristo wetu.
Kemea kemea tafadhali kemea bila kuchoka
Amen MTU WA mungu,fundisha wanawake wawache. Kuvaa minisketi.
Mon of God Am Blessed,Afadali Ukweli Usemwe Watu Wa Mungu Wakombolewe
Amen ubarkiwe baba
Ubarikiwe sana baba mch. Endelea kusema kweli ya MUNGU baba. BWANA YESU akutunze
Amen Hallelujah Barikiwa sana 🙏 🙌 mtumishi wa Wa Mungu alie na sikio na asikie neno hili .
Mungu huangalia mtu
-ndani mpaka nje.
-Kanisani mpaka nyumbani.
-ukumbini mpaka sirini.
Basi, watu waambiwe nini ili waelewe?
WASIOPENDA VYA MUNGU, AWACHE KULIKO KUARUBISHA MAFUNDISHO YA KWELI.
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Asante Sana mtumishi
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu, huu ndo ukweli hata kama wengi hawaukubali.
Mungu akubariki Sana tunataka injili ya mitume na manabii Kama hii tusamee MUNGU wetu
Barikiwa mtumishi
pastor ni kweli kabisa Mungu akubariki sana
May God bless you man of God...good information for all christians
Amen, kweli tupu Mungu azidi kukutumia zaidi
Asante baba nimekuelewa
Hongera mtumishi Mungu kwa mafundisho mazuri kanisa litapona sasa
Mungu Akubariki sana mtumishi wa Mungu hubiri ukweli kuhusu mapambo kwa wanawake na suruali hadi kwa wanawake wakati imekataliwa hata kwenye biblia naomba nipate location ya kanisa hili na mm siku moja nipate kushiriki nanyi
Aminaaa kweli kanisa limevamiwa ila hai wachungaji siamini kama wameitwa na Mungu sema kweli mtumishi aliye wa Mungu atapona
Amina watumishi
Mungu akubariki🙏🙏🙏
God bless you man of God
Thanks pastor na ukweli usemwe watu wawe huru
Amen baba angu mungu aendelee kukutumia
Hii ni kweli kabisa Mungu atusaidie kwenye kizazi hiki.
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu nimepona
Be blessed so much
Amina
Bsrikiwa baba. Umenifurahisha aiseee
Ameen Ameen Ubarikiwe sana
Ubarikiwe sana
Nimebarikiwa
Umbarikiwe sanaaaa 🙌🙌🙌
Mungu akubariki sana mtumishi
Amina baba mchungaji barikiwa sana.
I love this am for it 100percent
AMINA
Asante mtumishi.
Amina baba
Amen
Kabisa barikiwa
Kwa hakika tusifiche dhambi pastors tuambie waamini ukweli kuzimu ni really wamama vaeni kieshima
Asante mtumishi maan Hali ni mby
Amen baba
Amina mchungaji tunaomba Tena urundi bunda
Ameen
Mimi n'a sema Amina,basi mungu asifiwe
Mungu tufungue macho
Great AMEN
Baba ubariwe sana
Habari hii haipendwi na wengi lakini ni ukweli sana . Barikiwa mtumishi
Very true 👍
Amen 🙏
Tuzidi kuombeana watumishi wa MUNGU
Muzee ubarikuwe Na Bwana
Amen Amen Amen
Asnte kweli kwelikabisa semayote
Aminaaa
Abiud BWANA akuinue
Kwa kweli
Ukweli mtumishi
asante mchungaji
Ubalikiwe sana baba SEMA ukweli
Exactly
Niguseee tenahhhh tenaaaaaaa 😂😂😂😂
Vazi alilo tupa Mungu ni vazi la wokovu mavazi ni utamaduni wa mahari
Eden, Adam na Eva walipewa wokovu kuficha uchi wao ama ngozi?
Jesus help us
Akika nabarikiwa hapa kenya
Huyu jamaa yuko serious sana kina mwakasege hawaongeagi kweli hiki ya MUNGU