Wamebaki wachache katika ulimwengu wahubiri kama huyu ambaye anaye hubiri katika Roho na kweli. Muenyezi Mungu akubariki na akutunze.
Amen baba
Mchungaji hii Roho niambukize na Mimi in Jesus name 💪
Barkiwa Mchungaji na Mungu
amen pasta
Mungu akutunze shuhuda na mafundisho yako yananijenga
Barikiwa sana mtumishi
Mungu akuinue Mtumishi
Asante Pasteur Amen
Amina mtumishi
Nabarikiwa sana n'a maubiri ya mutumishi amen
Kweli mchungaji kulola Aliacha Alama haya mahubiri ni yake kabisa
Nimebarikiwa sana Mch
Asante kwa mafudisho mtumishi
Ameen Baba Mungu atusaidie kwa kila anae mwaita na kumwamin
Barikiwe
Nabarikiwa sana na mafundisho yako Baba utunzwe wewe na familia yako ndani ya ya Damu ya Yesu.
Baba Mungu akulinde huu ujumbe watufaa saana unayo yasema yapo Mungu atusaidie
Funzo nzuri sana hio pastor,be blessed so much na mungu azidi kukuongezea nguvu.
Atali sana
Aaaaaa naomba MUNGU WA MBINGU NA NCHI AKULINDE WW NA FAMILIA YAKO HAYA MAHUBILI NI YA MHIMU MNO
Nabarikiwa sanaa muchungaji Mungu azidi kukupa hekimaa
Hee mungu wangu nahomba umupe mutumishiwako kibali aniombeye nipate shuleni
Muchungaji Mungu akubariki sanaa
Ubarikiwe Mtumishi Kwa kuutamba Wakati na kulionya kanisa
Yaani nimepapenda hapo
ubarikiwe sn muchungaji nasikia Ku barikiwa sn
Mchu ngaj ubarikiwe nawezapata. Namba yako
Amen amen
Amen Amen
Mch. Nakuomba nikumbuke KATIKA maombi yako Nami nipate Roho wako
Nimebarikiwaa
Barikiwa
ASANTE ujumbe mzuri sana
Ameeen
Naomba maombi baba napenda sana ibada kila nikitaka kwenda kusali napata homa jumapili kila ikifika naumwa ikipita tu mzima naomba msaada maana najua mungu atanisaidia kupitia maombi yako mtumishi
Amen babangu wa kirohoo
Niwachache wanaohubili mahubili kama haya Mungu akusaidie mtumishi wa bwana kusema kweli
Mchungaji kuamkia leo nmeota mavazi yangu yamejaa Mafi ila upande wa ndani,nlipoenda kuoga nkapata bafuni ndio zaidi ni kuchafu nlipooga nkitaka kufua nguo maji ya kaisha
Amen
WAMEKUWA MATEKA WAKO KWENYE MASHIMO
Mwenye namba ya mchungaji Abihudi misholi naomba anisaidie
Makanisa mengi, wamejaa WANAWAKE wanaume ni wachache WHY WHY WHY OH LORD!
Mungu akubalik mchungaji tufundishe baba
hua napo sikia mahubili yako nafisi yangu inapona
Saizi kuomba umeacha?
YUDA KATIKATI YA YESU, WAKO YUDA WENGI KANISANI NDO EAMEUA KANISA KONDOO WAKATAWANYIKA.OMG,😮
Nimefurahi kukusikiliza mafundisho ya leo yananitoa mahali, naomba MUNGU anipe macho ya rohoni, nitoke niwe niwe na mali. Fundishana mafanikio tutokenwote utajiri ni hazina kwa wstoto.
Kweli mtumishi makanisani shetani amepanda magugu makanisani leo mikopo ya liba imejaa inamana wapo wengi sana wa giza ndani ya kanisa
Ni huruma Sana Mimi Nilikuwa kwenye hiyo mikopo Namshukuru Mungu alinifunulia nikaacha
Amen Mutumishi wa Mungu