MWL C. MWAKASEGE: NAMNA YA KUJITOA TOKA MADHARA YA VITI VYA ENZI VYA MIUNGU JUU YA MAISHA YAKO. [1A]
Vložit
- čas přidán 5. 04. 2022
- 1A. SEMINA YA NENO LA MUNGU ILIYOFUNDISHWA DAR ES SALAAM SEPTEMBA 2014.
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
PIA UNAWEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE
MANA MINISTRY # CADF # MWAKASEGE
Praise the Lord servant of God. I'm for the first time coming across your teachings and very humbled by the depth of revelation God has released for his glory and manifestation of your ministry. May God bless you so much. I look forward to your sermons. Felix wanzala from Nairobi Kenya
Ooooh hili somo nimelingoja kwa muda mrefu liwekwe. Mungu awabariki Sana kwa Kazi njema
Mungu anijalie na mimi nitoke kwenye madhara ya viti vya ENZI juu maisha yangu na ya wanafamilia wangu wote
Somo la wakati huu tunaopitia Tanzania. Asante Mana office
Hili neno limenitoa mahali... Bwana Mungu akutumie na zaidi mtumishi
Amen hallelujah..nimekaa darasani nimejifunza...YESU ASIFIWE..MUNGU akulinde mwalimu🙏
Baba you know we still need you. Tanzania tumebarikiwa kuwa na Mwl. Mwakasege. Mungu akutunze Baba, Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iendelee kukufunika na huduma ya Mana ikuwe Kwa ajili ya Bwana
Mmlouu᯾᯾♥︎♥︎♥︎♥︎☹︎☹︎jjejejjjjejjejjeej
Ameen barikiwa mnoo
May the Almighty GOD blesses you and your family. Your doctrines teach and bless me very well.
Always Stay Abundantly Blessed! From Kenya Yetu!
i am blessed evans from kenya
Barikiwa sana Mama na baba yangu mtumishi Mwakasege 🙏🙏🙏
Ni mchungaji pekee ambae hakuna mtu hata mmoja anaweza kuthubutu kumsema vibaya
Baba mwakasege ubarikiwe mungu akuinue milele na milele yote
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 my God bless you
Nalipata vipi somo la"TOBA YA KUJINASUA TOKA KWENYE MADHARA YA SADAKA ZA FAMILIA KWA MIUNGU" alifundisha dodoma
shalom mtumishi, ameandika kitabu, unaweza kukipata kwenye ofisi za mana ministry kama zipo kwenye mkoa wako. kwa dar es salaam ni jengo la luther house, gorofa ya tatu, wanafungua kwanzia j3 mpaka ijumaa
Ameeen barikiwa Sana mtumishi
Mungu aendelee kukutunza na kukubariki Amina
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Eeh mungu tusaidie Ameen
God bless you daddy
Dad🥰🥰🥰🌹🌹
Ngoja nimsikilize Tena baba
Barikiwe Sana baba
Amen
Mungu azidi kukubariki
thanks JESUS
MUNGU ni mwema
Blessed
Ameeen
Bwana aseme tena 😭🙏
Ameen
bless
I missed your seminars
🙏🙏🙏
Mafundisho yamchungaji nimazuli yanamaelezo mapanasana nimazulli pia ukiyachunguza amesemea utawala uliomadarakanileo yani nikamavile anawaambia ukweli hawa watawala waangalie kuwa ukiwanamamlaka au mkuuflani hichocheo kitapita yupo muweza mfalume wadunia
How can i get this book "Mwongozo wa kuombea Akili" Susan , Nairobi , Kenya
W2
Napata wapi vitabu vya Mwalimu Mwakasege?
Baba mwakasege ubarikiwe mungu akuinue milele na milele yote
Ameeen
Amen
Amen
Amen