MWL C. MWAKASEGE: NAMNA YA KUJITOA TOKA MADHARA YA VITI VYA ENZI VYA MIUNGU JUU YA MAISHA YAKO. [2C]
Vložit
- čas přidán 5. 09. 2024
- 2C. SEMINA YA NENO LA MUNGU ILIYOFUNDISHWA DAR ES SALAAM SEPTEMBA 2014.
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
PIA UNAWEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE
MANA MINISTRY # CADF # MWAKASEGE
I wish kanisa lingefuatilia somo hili la viti vya ENZI. Ndiyo Mana naye Yesu ametupa kiti cha enzi kilicho juu ya viti vya ENZI na vitu vya enzi vyote.
Na barikiwa sana mtumishi mungu akubariki
Jinsi ya kuombea miguu mwakasege
Mungu wa mbinguni akubariki mt wa Mungu kwa maneno mazuri yakutujenga
Zaidi ya yote bado utabaki kua Mungu kwangu na Kwa wengine,utukuzwe milele Mungu mwenyewe enzi yote.
Mungu nisaidie sana kupitia somo hili, Yesu Bariki Mwalimu na Familia yake
Mungu baba mwaminifu na wa haki Mlinde mtumish wako na kumpiginia katika hali zote
Mungu anatupenda sana anajua kinachotukwamisha hivyo ameturudishia ujumbe huu tena katika msimu huu mpya kwa ulimwengu wote na kwa kanisa lake ili tupone, mwenye macho aone na mwenye masikio asikie neno hili ambalo Roho anena na kanisa lake.
Kama Kuna mtumishi huwa namuelewa sana bsi ni ww baba. UTUKUFU Kwa MUNGU
Shalom naomba lirudiwe somo linalosema "Mungu asipojibu maombi yako muulize"
Asante mwalimu
Glory to God
Ahsanteni kwa kuposti, Naomba mposti pia somo la Mungu asipokujibu maombi yako, muulize 🙏
Mimi naomba uongozi utengeneze flash disk, zenye masomo ya nyuma, tununue, nilikuwa na CD zote zimeharibika. Masomo muhimu sana haya, nimeandika notes nazo baada ya muda zinaharibika.
mtumishi tukwaminia courage
Shalom, ingekuwa vizuri kama mngetusaidia kuzilabel kwa namba maana tunapata shida kujua ipi ya siku ya kwanza na kuendelea, tunakariri nguo tu .
Natanguliza shukrani.
Ponyeza apo Jini ya Maandisi meuzi Mahari kumeandikwa (more) ,Kuna utapata jibu la swali lako Mfano utapata part (1A,1B) (2A,2B,2C) Barikiwa
Praise the lord 🙏🙏🙏
asante sana kwa hii series
Asanteni kwa somo👏🏿🙏🏿
Mafundisho yananijenga sana
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏
Asante Kwa kuirudia
OohThank you
Tst43 I
amen
🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
🙏🙏
Glory to GOD