Ndugu yangu David kuna kitu niliwai kugundua sijui kama wasikilizaji wako au wewe mwenyewe umewai kujua yaani kila usimamapo mbele ya watu kufudisha siwewe uwa unaongea ila roho wa mungu aliye ndani yako.hili linanifanya nakusikiliza kwa makini tena zaidi.
Mwenyezi mungu endelea kututunzia mtumishi huyu,maana kila nimsikilizapo,hunibariki sana mie,maana maisha yetu,tumezungukwa na changamoto nyingi sanaa,huyu mtumishi nikimsikiliza,huwa ananiponya roho na mwili,ubarikiwe sana mchngji.
Pastor, Mungu akubariki Sana Sana kwa somo hili. Jana tulipoomba, niliweka Nia thabiti. Leo nimeamka nikiwa mtu mpya kabisa kimwili kiroho na kiafya. Ninamshukuru Sana MUNGU kwa ajili yako. Mungu aendelee kukubariki nasi tupokee yale akufunuliayo kwa UTUKUFU wa jina lake. Amen 🙏.
Jofrey msengi anateswa na nguvu za giza,naomba apate uponyaji kwa jina la YesuKristo,kupitia wewe pastor.imani yangu itamponya aliko huko.,mungu wangu nisaidie.
Ndio mchungaji nimepewa nguvu mpya sana kutoka kwako mim nimama mtilie nilikua napika chakula siuz lakin siku hizi mungu amefunga milango na madirisha mpaka nashangaa
Hello Pastor...am jonah waweru from Kenya nafuatilia sana sermons zako na kwa kweli nmebalikiwa...nlikuwa najiona mdhambi sana mpaka nkishindwa kuomba...but umenifunza kwamba mungu anachukia dhambi lakini unatupenda zaidi....I thank God sasa nawexa kuomba na magumu yote yenye nlikuwa napitia amenionyesha njia ....sasa imani yangu iko imara....naomba uniombee mungu aanisaindie nisirudi kwa dhambi tena....ubarikiwe zaidi pastor....glory be to God.
Unaongea vitu vilivyo jificha sana mtu akikusikiliza na ataacha uovu maramoja. Tanzania tungekusikiliza wote akika Mahakamani kesi zisingepatika kabsa kabsa😢
PR .Mungu akusaidie sana.Usiache kunena...unatugusa,unaimarisha Imani yangu,unanifanya no pate nguvu mpya Tena ya kusonga MBELE keep roho.Mungu akupe haja za moyo WAKO.
Amina mtumishi nimebarkiwa sana Kila nilipotaka kwende mbele za Mungu sheteni ananiletea orodha ya dhambi zangu zote mpaka nashindwa kuomba ila kuanzia Leo ntakuwa na ujasili mbele za Mungu
Pastor nakushuku sana somo rako limenigusa sana tena sana upande wakusamehe mzazi utazani unanifaham mpaka nimedondosha chozi Mungu aendelee kukupaka mafuta
Historia ni ndefu siwez elezea kila ktu ila kw ufupi kila ninapokutana na changamoto za maisha masomo yako hunisahihisha mara kwa mara. USHAURI WANGU Madaktari wa akiri,lishe na walimu wa elimu ya kiroho wanahitajika kwa haraka sana katika kizazi hiki cha kuangamia kwa kukosa MAARIFA
Asante pastor neno hili limenipa hatua nalimenifundisha Sana sitateseka tena maana Christo nivyote Imani ndio funguo neno limenfunza kabisa ubarikiwe Sana Na Mungu akupe Maisha marefu uzidi kuhubiria watu, wengi ❤
Tangu ni tambua kuwa naweza jiombea and prophesy to my life and my family nilikataa maombe eti God sent me my destiny helper l want to be a destiny to someone mapenzi ya Mungu yatimia
Pastor kwa jinsi ulivyokubali kuwa wakala wa Kristo ktk kufufua mioyo iliyozimia, Hakika Mungu akukumbuke ktk uzima wa milele naamini umeandaliwa taji nyingi, Mungu wetu akupe ushindi mkuu.
Nina mushukuru sana Bwana yesu nilifunguliwa na yesu kupitia mutumishi wake Pastor David Mubaga Mungu akubariki sana na akuwezeche sana ninakuombeya mutumishi .
Leticia baziwani; Pr ninabarikiwa maana umenifundisha mambo mengi ambayo natamani niyatende maishani MUNGU akubariki sana naomba uniombe niwe mtu wa kunyenyekea na kuwa na hekima katika ndoa yangu haiko salama
Kwenye maombi naomba tusaidie kwa maombi mtumishi wa Mungu amfungue macho baba yangu akaweze kuona tena. Mn akiombew anaona alafu hali yakutokuona inarudi tena. Ametumia dawa sana no improvement.Ubarikiw kwa utume wako. Turiani morogoro ninakupata vyema.
😭😭😭😭😭Nahisi nguvu zikinijaza, nmekuwa wa kujikinga na mawazo ya uovu wangu, Lakin nmeshuka chini Mungu anikange na anirehemu, nimekuwa nikitamani kuimba nyimbo za deliverance nikikumbuka dhambi zangu napata Tena nmeishiwa iyo roho ya UIMBAJI, Lakin Leo Ubarikiwe Sana Mtumishi umenifungua masikio na macho ya ndani ooh✍️✍️👂👂👂🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Napenda sana mahubili yako mchungaji yananitia nguvu sana natamani siku moja uje kwenye makambi ya huku kwetu naamini utaongoa roho nyingi,Mungu akubariki sana mchungaji ww na familia yako.Amen
Ufunguo wakufingua magumu kwangu kunifuatilia watu wabaya kunichafua naomba nipate mume kusiwe na ugumu kwangu nifanikiwe kufanya biashala kusiwe na ugumu kwangu nipone hiv
Ndugu yangu David kuna kitu niliwai kugundua sijui kama wasikilizaji wako au wewe mwenyewe umewai kujua yaani kila usimamapo mbele ya watu kufudisha siwewe uwa unaongea ila roho wa mungu aliye ndani yako.hili linanifanya nakusikiliza kwa makini tena zaidi.
Mungu atukuzwe kwa hilo
@@MahubiriPrMmbaga AMEN! AMEN! AMEN...
Amina 🙏
AMINA
Aminaa
Mwenyezi mungu endelea kututunzia mtumishi huyu,maana kila nimsikilizapo,hunibariki sana mie,maana maisha yetu,tumezungukwa na changamoto nyingi sanaa,huyu mtumishi nikimsikiliza,huwa ananiponya roho na mwili,ubarikiwe sana mchngji.
Mtumishi nabarikiwa sana ninaposikiliza mafundisho MUNGU akubariki ningependa kusjiriki ibada zako mm nipo morogoro
Mungu akubarikii pastor mafundisho yako yana uponyajii
Sina meno zuri la kusema.bali naomba Mwenyezi Mungu azidi sana kukutunza.unatuokoa.jina la Bwana lihimidiwe.
Mungu azidishe maneno yake kinywani mwako tupate kukua na kuongezeka kiroho.Mungu akutunze
Pastor, Mungu akubariki Sana Sana kwa somo hili. Jana tulipoomba, niliweka Nia thabiti. Leo nimeamka nikiwa mtu mpya kabisa kimwili kiroho na kiafya. Ninamshukuru Sana MUNGU kwa ajili yako. Mungu aendelee kukubariki nasi tupokee yale akufunuliayo kwa UTUKUFU wa jina lake. Amen 🙏.
Mungu atukuzwe
Ameeeen
Amen mungu atukuzwe
Jofrey msengi anateswa na nguvu za giza,naomba apate uponyaji kwa jina la YesuKristo,kupitia wewe pastor.imani yangu itamponya aliko huko.,mungu wangu nisaidie.
Mungu anisaidiye nikutane na Yesu katika uthaifu wangu wa imani.
Amen Glory to the most high
Amen..kweli ni Mungu Mimi kwanza nabarikiwa sana na mahubiri Yako umenisaidia pakubwa sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen
Barikiwa sanaaaaa mtumishi wa MUNGU YESU azidi kukutumia kuongoa roho 🙏
Na itwa Mathias. Mchungaji mimi huwa nasikiliza mafundishoyako , kunamambo ambayo yananijega Mungu akubariki.
Mungu akubariki
Mungu akubaliki
Ndio mchungaji nimepewa nguvu mpya sana kutoka kwako mim nimama mtilie nilikua napika chakula siuz lakin siku hizi mungu amefunga milango na madirisha mpaka nashangaa
wa chungaji Mungu wetu awa bariki sana na awa linde na aendeleye kuwapa nguvu ya ku tupatiya nguvu ya ku tegemeya Meenyezi Mungu❤🙏
Asante pastor David mbaga umenifanya nmepata nguvu mpya kuendelea kii Imani... from Kenya
Amen
Bwana Yesu Kristo naomba unipe nia thabiti na neema, neema ya kutosha kupenya na kukufikia Wewe katika jina la Yesu Kristo Amina na Amina Haleluya.
Hello Pastor...am jonah waweru from Kenya nafuatilia sana sermons zako na kwa kweli nmebalikiwa...nlikuwa najiona mdhambi sana mpaka nkishindwa kuomba...but umenifunza kwamba mungu anachukia dhambi lakini unatupenda zaidi....I thank God sasa nawexa kuomba na magumu yote yenye nlikuwa napitia amenionyesha njia ....sasa imani yangu iko imara....naomba uniombee mungu aanisaindie nisirudi kwa dhambi tena....ubarikiwe zaidi pastor....glory be to God.
Mungu atukuzwe saana kwa ushuhuda huu
Mm kwa familia ndiye nitakae ibuka na baraka
nimepata badiliko ndani yomo mungu awepamoja nasi
Naitwa neema leo nimegungua kumbe kunakitu ninacho yani Neema natamani kuishi nikitambua mimi ni Neema kama jinalangu
Unaongea vitu vilivyo jificha sana mtu akikusikiliza na ataacha uovu maramoja. Tanzania tungekusikiliza wote akika Mahakamani kesi zisingepatika kabsa kabsa😢
PR .Mungu akusaidie sana.Usiache kunena...unatugusa,unaimarisha Imani yangu,unanifanya no pate nguvu mpya Tena ya kusonga MBELE keep roho.Mungu akupe haja za moyo WAKO.
Amen
Amina mtumishi nimebarkiwa sana Kila nilipotaka kwende mbele za Mungu sheteni ananiletea orodha ya dhambi zangu zote mpaka nashindwa kuomba ila kuanzia Leo ntakuwa na ujasili mbele za Mungu
Pastor nakushuku sana somo rako limenigusa sana tena sana upande wakusamehe mzazi utazani unanifaham mpaka nimedondosha chozi Mungu aendelee kukupaka mafuta
Nimepokea funguo za kupokea kufungua magumu
Mungu akubariki
Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah AMEN Utukuvu kwa YESU KRISTO USIFIWE MILELE YESU
Historia ni ndefu siwez elezea kila ktu ila kw ufupi kila ninapokutana na changamoto za maisha masomo yako hunisahihisha mara kwa mara. USHAURI WANGU Madaktari wa akiri,lishe na walimu wa elimu ya kiroho wanahitajika kwa haraka sana katika kizazi hiki cha kuangamia kwa kukosa MAARIFA
Kweli
Asante pastor neno hili limenipa hatua nalimenifundisha Sana sitateseka tena maana Christo nivyote Imani ndio funguo neno limenfunza kabisa ubarikiwe Sana Na Mungu akupe Maisha marefu uzidi kuhubiria watu, wengi ❤
Nimekusikia Na nikafutia njia za kwako kwa kweli biashara SAA hii nimeanza kuona inanieendea vizuri kwa kweli mungu in wa ajabu
Amen
Pastor nabarikiwa sana na haya mahubiri,yamenipa ujasiri mkubwa sana ktk imani,ubarkiwe mtumishi wa mungu
Amen
Pastor!lazima nipenye nifikie ushindi wangu.Pass I like your massage from God.Ryiadhi Saudi
Amen
Nimebarikiwa sanaa na Neno la leo ninakupata mubashara kutoka Muscat Oman Mwenyezi Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu Asante kwa Mahubiri mazuri
Nimebarikiwa
I will come and testify that I am healed this Saturday my faith says so
Mapito yetu mazito,magumu na ya kutisha hayana nguvu iwapo neema ya Mungu tutaitegemea kwa Imani bila MASHAKA.
Mungu ashukuriwe kwa mafunuo ya utukufu wa Jina kāke na ukombozi wake kwetu ktk KRISTO Yesu.
Tuned from Lodwar Kenya
Mungu akulinde
🙏
Asante pasta ninapata nguvu mipango yangu inapata jibu kwasababu naamini hiyo.from D.R.C.LUBUMBASHI.Mungu akubariki
PR Mungu akubariki mafundisho yako yananipa ujasir nataman wakati wa maombi nami niwepokama kuna uwezo 🙏🙏🙏🙏
Lov u Pr.Mungu amekutuma kututia moyo na kuinua kiwango chetu cha Imani.BARIKIWA
AMEEEEN
Tangu ni tambua kuwa naweza jiombea and prophesy to my life and my family nilikataa maombe eti God sent me my destiny helper l want to be a destiny to someone mapenzi ya Mungu yatimia
Asante Mungu kwa Neno holi nimepona maumivu yaliyokuwa yananisumbua. Asante Pokea shukurani yangu hii ndogo kama shukurani yangu kwa uponyaji huu
Hakika mchangaji mwenyez Mungu amekufanya uwe baraka kwetu ili tufunguliwe
ASANTE mtumishi umenisaidia.
Pastor mimi ni babycher still naamini mahubiri yako niombee roho wa Bwana awe Nami aniponye katika kweli
Ninabarikiwa sana pastor Mbaga na somo hilo
Huwa namfwatilia Sana huyu mtu wa Mungu.Mungu akubariki
Pastor kwa jinsi ulivyokubali kuwa wakala wa Kristo ktk kufufua mioyo iliyozimia, Hakika Mungu akukumbuke ktk uzima wa milele naamini umeandaliwa taji nyingi, Mungu wetu akupe ushindi mkuu.
Nashukuru sana pastor I'm always motivated by your sermons
Remember me in prayers I'm yearning to be spiritually stable bt bado....pray for me
Namushukuru Sana Mungu kwa ujumbe wako mtumishi wa Mungu nimefunguliwa bwana azidi kukutumia.
Amina napokea uponyaji kutoka kwa Yesu.
Asante yesu kwa hubiri zuri nimebalikiwa Mungu atusaidie kiburi
Asante sana Leo nimefunguliwa naomba mungu anisaidie kuliishi meno ubarikiwe kionhoz
UNA ROHO FAFANUZI, LAKINI ZAIDI YA NI KUELIMISHA !!! AMEN. ROHO TAMBUZI I NAWE.
Barikiwa sana mchungaji nimeguswa na somo
Kuna kitu nimegunduwa na sema Asante mtumishi wamungu
Àm really blessed by your teachings pastor
Nina mushukuru sana Bwana yesu nilifunguliwa na yesu kupitia mutumishi wake Pastor David Mubaga Mungu akubariki sana na akuwezeche sana ninakuombeya mutumishi .
Amen Yesu nisaidie siwezi bila ww
Amina mafundisho Yako yamenijenga kiimani barikiwa sana
1 year ila ujembe ni wa leo🙌
Asantekwasomo zurimchungaji umenitia moyo mtoto akiendashule anaumwaakirudi nyumbani anakuamzima ninaamini kupitamafundisho hayahii haliitakomakwajinalaYesu mwananguataponanaatarudi shuleni nanafasiyakehatafeliatafauru naawewakwazasikuzooote kwenyemasomoyake keajinalaYesuamina barikiwasana mchungajiMunguakulinde
Ubarikiwe san, na atukuzwe Mungu anaekutumia wew hutulisha neno lake, Amina
Leticia baziwani; Pr ninabarikiwa maana umenifundisha mambo mengi ambayo natamani niyatende maishani MUNGU akubariki sana naomba uniombe niwe mtu wa kunyenyekea na kuwa na hekima katika ndoa yangu haiko salama
Amen Amen barikiwa sana pastor nabarikiwa sana
Hongera mtumishi ubarikiwe
Kwenye maombi naomba tusaidie kwa maombi mtumishi wa Mungu amfungue macho baba yangu akaweze kuona tena. Mn akiombew anaona alafu hali yakutokuona inarudi tena. Ametumia dawa sana no improvement.Ubarikiw kwa utume wako. Turiani morogoro ninakupata vyema.
Mungu atende muujiza
😀😀😀😀😀😀😀😀ila David akiri yako unaijua mwenywe hapo kwenye nywele za mzungu umeniua mbavu mimi
😂
Asante sana kabisa
Tangu nikufwate hapa nabarikiwa sana
Asante endelea kubarikiwa mungu akutumie kadiri apendavyo.....nimepata kitu kipya nguvu ya kushuhudia
Mungu ukatuponye mimi na Mume wangu.
Amina ubarikiwe sana nasomo hili zuri mtu wa mungu,
Amen kwa mafundisho mazuri
remember me in prayer, I have a neck tumor for 22yrs.
Soma yeremia 17 mstari wa 14
Barikiwa sana pasta mungu akuongoze kila jambo, nimebarikiwa sana🙏
Pr katika wenye dhambi ndimi mkuu wao naomba uniombee nipate kufunguliwa tumbo na kuzaa Naamini katika nguvu za Yesu.
Mungu akutendee muujiza
Barikiwaa SANA mtumishii Bwana akuinuwe Akupiganiye SANA
Mungu akubariki Mchungaji ninabarikiw na mafundisho yako.
😭😭😭😭😭Nahisi nguvu zikinijaza, nmekuwa wa kujikinga na mawazo ya uovu wangu, Lakin nmeshuka chini Mungu anikange na anirehemu, nimekuwa nikitamani kuimba nyimbo za deliverance nikikumbuka dhambi zangu napata Tena nmeishiwa iyo roho ya UIMBAJI, Lakin Leo Ubarikiwe Sana Mtumishi umenifungua masikio na macho ya ndani ooh✍️✍️👂👂👂🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
AMEN
Amina!
Masomo yako yamekuwa mbaraka kwangu pamoja na kurudi nyuma ila nimepata nguvu ya kusimama
Napenda sana mahubili yako mchungaji yananitia nguvu sana natamani siku moja uje kwenye makambi ya huku kwetu naamini utaongoa roho nyingi,Mungu akubariki sana mchungaji ww na familia yako.Amen
Mchungaji ninapokusikiliza hasa somo lililokuwa linasema vizuizi vikubwa vya baraka nilijihisi sifai naomba uniombe nipate hekima natamani kuongea nawe inbox ili unipe ushauri wa mambo fulani.
Nabarikiwa sana,Bwana akibariki zaidi ili tubarikiwe zaidi.
🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 amen
Mungu akupe maisha makefu from uganda
Nataka niwe na levu ya just sana
Ufunguo wakufingua magumu kwangu kunifuatilia watu wabaya kunichafua naomba nipate mume kusiwe na ugumu kwangu nifanikiwe kufanya biashala kusiwe na ugumu kwangu nipone hiv
Amina brother mbaga YESU asifiwe
C'est bon
Ameeeeen MTUMISHI
Pr. Nabarikiwa sana pia ninashida naitaji maombi pamoja na family yangu
Amen,,, nami naona muujizaa mkubwaaa pastor hakika Mungu ni mkuuu
Thanks pastor, remember me in prayer on my spiritual journey and life debt difficulties. May God bless you continually to touch more souls for God.
Ahante mtumishi kwa kutulisha neno la Mungu
Ee Mungu lehema zako na zidumu milele barikiwa mtumishi wa BWANA
MUNGU awenawe.
Amina
Barikiwa pastor, nmetambua magumu ninayoyapitia Yana faida kubwa kwangu
mchungaji mm naomba unisaidie na maombi
Asante sana pastor mmbaga mungu akubariki sana
Amen. Am blessed and lifted up.. Thanks pastor for the massage