UFUNGUO WA KUFUNGUA MAMBO MAGUMU (OFFICIAL VIDEO)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 09. 2024

Komentáře • 205

  • @ccbajaspara2174
    @ccbajaspara2174 Před rokem +50

    Ndugu yangu David kuna kitu niliwai kugundua sijui kama wasikilizaji wako au wewe mwenyewe umewai kujua yaani kila usimamapo mbele ya watu kufudisha siwewe uwa unaongea ila roho wa mungu aliye ndani yako.hili linanifanya nakusikiliza kwa makini tena zaidi.

  • @user-co5vo5kc4b
    @user-co5vo5kc4b Před 19 dny

    Mwenyezi mungu endelea kututunzia mtumishi huyu,maana kila nimsikilizapo,hunibariki sana mie,maana maisha yetu,tumezungukwa na changamoto nyingi sanaa,huyu mtumishi nikimsikiliza,huwa ananiponya roho na mwili,ubarikiwe sana mchngji.

  • @LightnessLightsndowo
    @LightnessLightsndowo Před 25 dny

    Mtumishi nabarikiwa sana ninaposikiliza mafundisho MUNGU akubariki ningependa kusjiriki ibada zako mm nipo morogoro

  • @LiljozynagTy
    @LiljozynagTy Před 16 dny

    Mungu akubarikii pastor mafundisho yako yana uponyajii

  • @SarahSamatwa
    @SarahSamatwa Před 5 měsíci +1

    Sina meno zuri la kusema.bali naomba Mwenyezi Mungu azidi sana kukutunza.unatuokoa.jina la Bwana lihimidiwe.

  • @user-ls2gl6js9k
    @user-ls2gl6js9k Před 7 měsíci +2

    Mungu azidishe maneno yake kinywani mwako tupate kukua na kuongezeka kiroho.Mungu akutunze

  • @haddasahestara7543
    @haddasahestara7543 Před 2 lety +14

    Pastor, Mungu akubariki Sana Sana kwa somo hili. Jana tulipoomba, niliweka Nia thabiti. Leo nimeamka nikiwa mtu mpya kabisa kimwili kiroho na kiafya. Ninamshukuru Sana MUNGU kwa ajili yako. Mungu aendelee kukubariki nasi tupokee yale akufunuliayo kwa UTUKUFU wa jina lake. Amen 🙏.

  • @user-ik5vx8bt1u
    @user-ik5vx8bt1u Před 8 měsíci +1

    Jofrey msengi anateswa na nguvu za giza,naomba apate uponyaji kwa jina la YesuKristo,kupitia wewe pastor.imani yangu itamponya aliko huko.,mungu wangu nisaidie.

  • @batagyakikayaga7665
    @batagyakikayaga7665 Před rokem +6

    Mungu anisaidiye nikutane na Yesu katika uthaifu wangu wa imani.

  • @aldrichtiengo1814
    @aldrichtiengo1814 Před měsícem

    Amen Glory to the most high

  • @janekuriain580
    @janekuriain580 Před rokem +4

    Amen..kweli ni Mungu Mimi kwanza nabarikiwa sana na mahubiri Yako umenisaidia pakubwa sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @annajohn2077
    @annajohn2077 Před rokem +4

    Barikiwa sanaaaaa mtumishi wa MUNGU YESU azidi kukutumia kuongoa roho 🙏

  • @mathiasvano6508
    @mathiasvano6508 Před 9 měsíci +2

    Na itwa Mathias. Mchungaji mimi huwa nasikiliza mafundishoyako , kunamambo ambayo yananijega Mungu akubariki.

  • @MercyKinya-c5r
    @MercyKinya-c5r Před měsícem

    Mungu akubaliki

  • @PeterCharles-yc7tn
    @PeterCharles-yc7tn Před 2 měsíci

    Ndio mchungaji nimepewa nguvu mpya sana kutoka kwako mim nimama mtilie nilikua napika chakula siuz lakin siku hizi mungu amefunga milango na madirisha mpaka nashangaa

  • @user-yj8sz9kj9x
    @user-yj8sz9kj9x Před 2 měsíci

    wa chungaji Mungu wetu awa bariki sana na awa linde na aendeleye kuwapa nguvu ya ku tupatiya nguvu ya ku tegemeya Meenyezi Mungu❤🙏

  • @saumukarisa9873
    @saumukarisa9873 Před rokem +2

    Asante pastor David mbaga umenifanya nmepata nguvu mpya kuendelea kii Imani... from Kenya

  • @blessedtumaini516
    @blessedtumaini516 Před 10 měsíci

    Bwana Yesu Kristo naomba unipe nia thabiti na neema, neema ya kutosha kupenya na kukufikia Wewe katika jina la Yesu Kristo Amina na Amina Haleluya.

  • @jonahwaweru5681
    @jonahwaweru5681 Před rokem +2

    Hello Pastor...am jonah waweru from Kenya nafuatilia sana sermons zako na kwa kweli nmebalikiwa...nlikuwa najiona mdhambi sana mpaka nkishindwa kuomba...but umenifunza kwamba mungu anachukia dhambi lakini unatupenda zaidi....I thank God sasa nawexa kuomba na magumu yote yenye nlikuwa napitia amenionyesha njia ....sasa imani yangu iko imara....naomba uniombee mungu aanisaindie nisirudi kwa dhambi tena....ubarikiwe zaidi pastor....glory be to God.

  • @EleenLihavi
    @EleenLihavi Před 5 měsíci +1

    Mm kwa familia ndiye nitakae ibuka na baraka

  • @user-sj3nv3gv1b
    @user-sj3nv3gv1b Před rokem +1

    nimepata badiliko ndani yomo mungu awepamoja nasi

  • @wellneemawelle5774
    @wellneemawelle5774 Před 10 měsíci

    Naitwa neema leo nimegungua kumbe kunakitu ninacho yani Neema natamani kuishi nikitambua mimi ni Neema kama jinalangu

    • @wellneemawelle5774
      @wellneemawelle5774 Před 10 měsíci

      Unaongea vitu vilivyo jificha sana mtu akikusikiliza na ataacha uovu maramoja. Tanzania tungekusikiliza wote akika Mahakamani kesi zisingepatika kabsa kabsa😢

  • @lidyapendomollel1439
    @lidyapendomollel1439 Před rokem +2

    PR .Mungu akusaidie sana.Usiache kunena...unatugusa,unaimarisha Imani yangu,unanifanya no pate nguvu mpya Tena ya kusonga MBELE keep roho.Mungu akupe haja za moyo WAKO.

  • @joviethikokugonza2793

    Amina mtumishi nimebarkiwa sana Kila nilipotaka kwende mbele za Mungu sheteni ananiletea orodha ya dhambi zangu zote mpaka nashindwa kuomba ila kuanzia Leo ntakuwa na ujasili mbele za Mungu

  • @merryjohn9391
    @merryjohn9391 Před 8 měsíci

    Pastor nakushuku sana somo rako limenigusa sana tena sana upande wakusamehe mzazi utazani unanifaham mpaka nimedondosha chozi Mungu aendelee kukupaka mafuta

  • @user-fu7ep9tr1b
    @user-fu7ep9tr1b Před 6 měsíci

    Nimepokea funguo za kupokea kufungua magumu

  • @ahaziamtemela-ys5et
    @ahaziamtemela-ys5et Před 7 měsíci

    Mungu akubariki

  • @dorcusamisi2926
    @dorcusamisi2926 Před 10 měsíci

    Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah AMEN Utukuvu kwa YESU KRISTO USIFIWE MILELE YESU

  • @mshigilakarume4425
    @mshigilakarume4425 Před rokem +1

    Historia ni ndefu siwez elezea kila ktu ila kw ufupi kila ninapokutana na changamoto za maisha masomo yako hunisahihisha mara kwa mara. USHAURI WANGU Madaktari wa akiri,lishe na walimu wa elimu ya kiroho wanahitajika kwa haraka sana katika kizazi hiki cha kuangamia kwa kukosa MAARIFA

  • @user-sd6bo1xs2z
    @user-sd6bo1xs2z Před 9 měsíci

    Asante pastor neno hili limenipa hatua nalimenifundisha Sana sitateseka tena maana Christo nivyote Imani ndio funguo neno limenfunza kabisa ubarikiwe Sana Na Mungu akupe Maisha marefu uzidi kuhubiria watu, wengi ❤

  • @mwendakalunyu3933
    @mwendakalunyu3933 Před rokem +1

    Nimekusikia Na nikafutia njia za kwako kwa kweli biashara SAA hii nimeanza kuona inanieendea vizuri kwa kweli mungu in wa ajabu

  • @victorjohn8671
    @victorjohn8671 Před 2 lety +3

    Pastor nabarikiwa sana na haya mahubiri,yamenipa ujasiri mkubwa sana ktk imani,ubarkiwe mtumishi wa mungu

  • @emilynekesa1475
    @emilynekesa1475 Před rokem +2

    Pastor!lazima nipenye nifikie ushindi wangu.Pass I like your massage from God.Ryiadhi Saudi

  • @kilungumsabaha3891
    @kilungumsabaha3891 Před rokem +1

    Nimebarikiwa sanaa na Neno la leo ninakupata mubashara kutoka Muscat Oman Mwenyezi Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu Asante kwa Mahubiri mazuri

  • @HolloKibishi-nt5ui
    @HolloKibishi-nt5ui Před 7 měsíci

    I will come and testify that I am healed this Saturday my faith says so

  • @baluhyaandrew1564
    @baluhyaandrew1564 Před rokem

    Mapito yetu mazito,magumu na ya kutisha hayana nguvu iwapo neema ya Mungu tutaitegemea kwa Imani bila MASHAKA.

  • @enockmwinuka9837
    @enockmwinuka9837 Před rokem

    Mungu ashukuriwe kwa mafunuo ya utukufu wa Jina kāke na ukombozi wake kwetu ktk KRISTO Yesu.

  • @rockcephas4787
    @rockcephas4787 Před 2 lety +4

    Tuned from Lodwar Kenya

  • @edouardnsenga6793
    @edouardnsenga6793 Před rokem

    Asante pasta ninapata nguvu mipango yangu inapata jibu kwasababu naamini hiyo.from D.R.C.LUBUMBASHI.Mungu akubariki

  • @NapendaKakore-gg3no
    @NapendaKakore-gg3no Před 10 měsíci

    PR Mungu akubariki mafundisho yako yananipa ujasir nataman wakati wa maombi nami niwepokama kuna uwezo 🙏🙏🙏🙏

  • @RachealMndambi-kv9sd
    @RachealMndambi-kv9sd Před 10 měsíci

    Lov u Pr.Mungu amekutuma kututia moyo na kuinua kiwango chetu cha Imani.BARIKIWA

  • @truphenakhagori9387
    @truphenakhagori9387 Před 6 měsíci

    AMEEEEN

  • @hawamusumba431
    @hawamusumba431 Před 2 lety +1

    Tangu ni tambua kuwa naweza jiombea and prophesy to my life and my family nilikataa maombe eti God sent me my destiny helper l want to be a destiny to someone mapenzi ya Mungu yatimia

  • @beatricemarwa6731
    @beatricemarwa6731 Před rokem

    Asante Mungu kwa Neno holi nimepona maumivu yaliyokuwa yananisumbua. Asante Pokea shukurani yangu hii ndogo kama shukurani yangu kwa uponyaji huu

  • @godfreymsyomi4289
    @godfreymsyomi4289 Před rokem

    Hakika mchangaji mwenyez Mungu amekufanya uwe baraka kwetu ili tufunguliwe

  • @optimumtv8298
    @optimumtv8298 Před rokem +1

    ASANTE mtumishi umenisaidia.

  • @babycherokal1229
    @babycherokal1229 Před rokem

    Pastor mimi ni babycher still naamini mahubiri yako niombee roho wa Bwana awe Nami aniponye katika kweli

  • @zipporahnyabira2042
    @zipporahnyabira2042 Před měsícem

    Ninabarikiwa sana pastor Mbaga na somo hilo

  • @nellyrebiam3095
    @nellyrebiam3095 Před rokem +1

    Huwa namfwatilia Sana huyu mtu wa Mungu.Mungu akubariki

  • @zeliageorge3311
    @zeliageorge3311 Před rokem

    Pastor kwa jinsi ulivyokubali kuwa wakala wa Kristo ktk kufufua mioyo iliyozimia, Hakika Mungu akukumbuke ktk uzima wa milele naamini umeandaliwa taji nyingi, Mungu wetu akupe ushindi mkuu.

  • @mtallmedia7499
    @mtallmedia7499 Před rokem +4

    Nashukuru sana pastor I'm always motivated by your sermons
    Remember me in prayers I'm yearning to be spiritually stable bt bado....pray for me

    • @alexdominick3541
      @alexdominick3541 Před rokem

      Namushukuru Sana Mungu kwa ujumbe wako mtumishi wa Mungu nimefunguliwa bwana azidi kukutumia.

  • @sifaeljoseph3248
    @sifaeljoseph3248 Před rokem +1

    Amina napokea uponyaji kutoka kwa Yesu.

  • @kissanselu8569
    @kissanselu8569 Před rokem

    Asante yesu kwa hubiri zuri nimebalikiwa Mungu atusaidie kiburi

  • @user-zs9kr3tc5x
    @user-zs9kr3tc5x Před 11 měsíci

    Asante sana Leo nimefunguliwa naomba mungu anisaidie kuliishi meno ubarikiwe kionhoz

  • @JOHNKKULULINDA-pc6gy
    @JOHNKKULULINDA-pc6gy Před rokem

    UNA ROHO FAFANUZI, LAKINI ZAIDI YA NI KUELIMISHA !!! AMEN. ROHO TAMBUZI I NAWE.

  • @johnsonmisheto9422
    @johnsonmisheto9422 Před rokem

    Barikiwa sana mchungaji nimeguswa na somo

  • @constancenimbona7550
    @constancenimbona7550 Před rokem

    Kuna kitu nimegunduwa na sema Asante mtumishi wamungu

  • @user-zh3oo5yi8o
    @user-zh3oo5yi8o Před 6 měsíci

    Àm really blessed by your teachings pastor

  • @mangawas5723
    @mangawas5723 Před rokem

    Nina mushukuru sana Bwana yesu nilifunguliwa na yesu kupitia mutumishi wake Pastor David Mubaga Mungu akubariki sana na akuwezeche sana ninakuombeya mutumishi .

  • @betrs5285
    @betrs5285 Před 11 měsíci

    Amen Yesu nisaidie siwezi bila ww

  • @pendomartin1809
    @pendomartin1809 Před rokem

    Amina mafundisho Yako yamenijenga kiimani barikiwa sana

  • @Geoffrey_sabato
    @Geoffrey_sabato Před 8 měsíci

    1 year ila ujembe ni wa leo🙌

  • @eugenianafutal9748
    @eugenianafutal9748 Před rokem

    Asantekwasomo zurimchungaji umenitia moyo mtoto akiendashule anaumwaakirudi nyumbani anakuamzima ninaamini kupitamafundisho hayahii haliitakomakwajinalaYesu mwananguataponanaatarudi shuleni nanafasiyakehatafeliatafauru naawewakwazasikuzooote kwenyemasomoyake keajinalaYesuamina barikiwasana mchungajiMunguakulinde

  • @elizaphankamando1836
    @elizaphankamando1836 Před 2 lety

    Ubarikiwe san, na atukuzwe Mungu anaekutumia wew hutulisha neno lake, Amina

  • @leticiabaziwani5234
    @leticiabaziwani5234 Před rokem

    Leticia baziwani; Pr ninabarikiwa maana umenifundisha mambo mengi ambayo natamani niyatende maishani MUNGU akubariki sana naomba uniombe niwe mtu wa kunyenyekea na kuwa na hekima katika ndoa yangu haiko salama

  • @slamafamily5720
    @slamafamily5720 Před 10 měsíci

    Amen Amen barikiwa sana pastor nabarikiwa sana

  • @tilaboymatata3411
    @tilaboymatata3411 Před 9 měsíci

    Hongera mtumishi ubarikiwe

  • @sifaeljoseph3248
    @sifaeljoseph3248 Před rokem

    Kwenye maombi naomba tusaidie kwa maombi mtumishi wa Mungu amfungue macho baba yangu akaweze kuona tena. Mn akiombew anaona alafu hali yakutokuona inarudi tena. Ametumia dawa sana no improvement.Ubarikiw kwa utume wako. Turiani morogoro ninakupata vyema.

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 Před rokem +2

    😀😀😀😀😀😀😀😀ila David akiri yako unaijua mwenywe hapo kwenye nywele za mzungu umeniua mbavu mimi

  • @innocomtv5115
    @innocomtv5115 Před rokem +1

    Asante sana kabisa
    Tangu nikufwate hapa nabarikiwa sana

  • @liberataelisha9786
    @liberataelisha9786 Před rokem

    Asante endelea kubarikiwa mungu akutumie kadiri apendavyo.....nimepata kitu kipya nguvu ya kushuhudia

  • @estherjonas8466
    @estherjonas8466 Před 11 měsíci

    Mungu ukatuponye mimi na Mume wangu.

  • @kambiremsy5327
    @kambiremsy5327 Před rokem

    Amina ubarikiwe sana nasomo hili zuri mtu wa mungu,

  • @Joycependopendo-dv2tb
    @Joycependopendo-dv2tb Před 10 měsíci

    Amen kwa mafundisho mazuri

  • @manken2647
    @manken2647 Před 2 lety +1

    remember me in prayer, I have a neck tumor for 22yrs.

  • @brahelmakalla9760
    @brahelmakalla9760 Před rokem

    Barikiwa sana pasta mungu akuongoze kila jambo, nimebarikiwa sana🙏

  • @lucydamas4712
    @lucydamas4712 Před rokem

    Pr katika wenye dhambi ndimi mkuu wao naomba uniombee nipate kufunguliwa tumbo na kuzaa Naamini katika nguvu za Yesu.

  • @saramss7262
    @saramss7262 Před 2 lety

    Barikiwaa SANA mtumishii Bwana akuinuwe Akupiganiye SANA

  • @sifaeljoseph3248
    @sifaeljoseph3248 Před rokem

    Mungu akubariki Mchungaji ninabarikiw na mafundisho yako.

  • @getrudenabwayo4754
    @getrudenabwayo4754 Před rokem

    😭😭😭😭😭Nahisi nguvu zikinijaza, nmekuwa wa kujikinga na mawazo ya uovu wangu, Lakin nmeshuka chini Mungu anikange na anirehemu, nimekuwa nikitamani kuimba nyimbo za deliverance nikikumbuka dhambi zangu napata Tena nmeishiwa iyo roho ya UIMBAJI, Lakin Leo Ubarikiwe Sana Mtumishi umenifungua masikio na macho ya ndani ooh✍️✍️👂👂👂🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @priscathadei4343
    @priscathadei4343 Před rokem

    Amina!
    Masomo yako yamekuwa mbaraka kwangu pamoja na kurudi nyuma ila nimepata nguvu ya kusimama

  • @bernadethafrancis1498

    Napenda sana mahubili yako mchungaji yananitia nguvu sana natamani siku moja uje kwenye makambi ya huku kwetu naamini utaongoa roho nyingi,Mungu akubariki sana mchungaji ww na familia yako.Amen

    • @leticiabaziwani5234
      @leticiabaziwani5234 Před rokem

      Mchungaji ninapokusikiliza hasa somo lililokuwa linasema vizuizi vikubwa vya baraka nilijihisi sifai naomba uniombe nipate hekima natamani kuongea nawe inbox ili unipe ushauri wa mambo fulani.

    • @ObadiaDaniel
      @ObadiaDaniel Před 4 měsíci

      Nabarikiwa sana,Bwana akibariki zaidi ili tubarikiwe zaidi.

  • @user-jg2lz6gs3y
    @user-jg2lz6gs3y Před měsícem

    🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 amen

  • @user-ql8kz5nq6r
    @user-ql8kz5nq6r Před rokem

    Mungu akupe maisha makefu from uganda

  • @pendaelizakayo2385
    @pendaelizakayo2385 Před 11 měsíci

    Nataka niwe na levu ya just sana

  • @salamaseif4183
    @salamaseif4183 Před rokem

    Ufunguo wakufingua magumu kwangu kunifuatilia watu wabaya kunichafua naomba nipate mume kusiwe na ugumu kwangu nifanikiwe kufanya biashala kusiwe na ugumu kwangu nipone hiv

  • @ccbajaspara2174
    @ccbajaspara2174 Před rokem

    Amina brother mbaga YESU asifiwe

  • @jerlaskambale5458
    @jerlaskambale5458 Před rokem

    C'est bon

  • @aloisiamsaki6277
    @aloisiamsaki6277 Před rokem

    Ameeeeen MTUMISHI

  • @salumuomari4403
    @salumuomari4403 Před 9 měsíci

    Pr. Nabarikiwa sana pia ninashida naitaji maombi pamoja na family yangu

  • @amosikalebu6978
    @amosikalebu6978 Před rokem

    Amen,,, nami naona muujizaa mkubwaaa pastor hakika Mungu ni mkuuu

  • @evansmaranga6632
    @evansmaranga6632 Před rokem +1

    Thanks pastor, remember me in prayer on my spiritual journey and life debt difficulties. May God bless you continually to touch more souls for God.

  • @macklinakabyazi3036
    @macklinakabyazi3036 Před rokem

    Ahante mtumishi kwa kutulisha neno la Mungu

  • @eliudimwashilindi3823
    @eliudimwashilindi3823 Před 2 lety

    Ee Mungu lehema zako na zidumu milele barikiwa mtumishi wa BWANA

  • @pendophilipo131
    @pendophilipo131 Před 2 lety +1

    MUNGU awenawe.

  • @stanleymhozi7590
    @stanleymhozi7590 Před 11 měsíci

    Amina

  • @cristinekenya1050
    @cristinekenya1050 Před 2 lety

    Barikiwa pastor, nmetambua magumu ninayoyapitia Yana faida kubwa kwangu

  • @user-df2ei9gl7h
    @user-df2ei9gl7h Před 9 měsíci

    mchungaji mm naomba unisaidie na maombi

  • @pendosengerema
    @pendosengerema Před rokem

    Asante sana pastor mmbaga mungu akubariki sana

  • @marcellahmariga5453
    @marcellahmariga5453 Před 2 lety +3

    Amen. Am blessed and lifted up.. Thanks pastor for the massage